Nimekuwa mtoa sana kwa ndugu, jamaa na hata rafiki shida kubwa ninayoipata ni kwamba.. mbali ya huko kujitoa kwangu kote mtu bado anaona ninzo nyingi na nikisubutu kusema sina maneno mabaya nayasikia kwa watu wa karibu kuwa SI MTU WA KUJALI MATATIZO YA WATU ....Nimejifunza kitu hapa
Ahsant sana bro, uwep wako no WA mhim usinyamanz maan ukinyamanza kunawatu watasimama hawataendeleya mbel maan mungu anakutumia kama chombo Cha usafili wa wengi
Joel yaan hiyo point ya tatu ya kusaidi kwa kutohitaji malipo Wala shukran bali kutegemea malipo kutoka kwa Mungu yaan umezungumza maneno kutoka ktk quran surah insan au surat dahari mwenyezi Mungu amewataje wale wanao saidia msikini na wafungwa ma mayatima na wala hawahitaji kutoka kwao malipo wala shukran isipokuwa wanafanya hivyo kwa kutaka radhi za Allah
Jambo lingine ambalo nimejifunza kwa upande wangu ni kuwa unaposaidia watu kuna kundi la watu wengine hawapendi kabisa ufanye ivo,wengine wangependa kuwa kweny nafasi yako,wengine ni chuki tu zisizo na sababu.
Mr nanauka kiukweli unamawaidha mzuri kabisa lakini Kuna kitu kimoja kinanitatisa nimekua wakulaumiwa nawatu hakuna kitu naweza fanya ama kusema bila mtu kulamika Hadi liniusunisha sababu najaribu niwezavyo lkini mwisho wasiku lawama , tafadhali ni saindie
Mimi binafsi Mungu ndio anayenilipaga na kunibarik maana wengi niliotoa kidogo tugawane hawanashukran na wengiwao hawapend ata mafanikio yangu na ndo hao hao unaonijitoa kwa moyo kwao. Watu wanakatisha sana tamaa ataumsaidie Mara 9 ukishindwa kumsaidia mala moja basi chuki inainuka
Nimejifunza usitegemee chochote kwa unaye msaidia isipokuwa ameguswa yeye mwenyewe kurudisha fadhila. Ila ukimsaidia mtu fanya kama utumishi kwa Mungu utalipwa na Mungu mwenyewe
Natamani kuonana na wewe Mimi nimzaliwa wambeya kwa Sasa Niko sumbawanga Mimi nifundi welding Kuna Mambo mhimu ambayo ninge penda tu shilikishane ya uso kwa uso tafadhali.
Kweli Kaka Joel Mimi ni binti ambae najitoa Sana kwenye kusaidia watu ijapokuwa Sina pesa za kutosha lakin nakumbuka niliwai kumsaidia dada yangu Mara nyingi Mara ya mwisho nilimpa mtaji lakin baada ya kufanya mauzo akampa Ela zote mume wake alafu akazitumia đđnawakati Mimi nilijitoa kumpa mtaji ili asinisumbue Tena kuniomba omba Ela lakin chakushangaza kala mtaji na mume wake still bado anaendelea kuniomba Ela yaani kweli watu awasaidiki Bali wanarudisha maendeleo ya watu nyuma kwakweliđ„șđ„șSafari hii atanichukia we ngoja
Kama wewe ni mtu wa Yesu wala usimhukumu Bali unapaswa kumpenda zaidi Kama wewe ulivyopendwa na Yesu. Msamehe tena na tena na kisha msaidie ushauri na kumwongoza vema. Huyo ni ndugu yako na Yesu anasema asiye wapenda wa kwao ni mbaya kuliko mpagani. Endelea kumsaidia tena na tena
Ahsante sana ndugu jeol Nanauka kwa Elimu yako kwa kweli umenifundisha mengi na umeniepusha vingi sana mungu Akubariki sana upate maisha marefu đ€đ€
Ni kwel kaka kuw tunatakiw kusaidia watu but changamot ni kuw unawezaj kujuw kuw aliyekuj kukuomb msaad ana uhitaj huo kwel maan wengin huja kwa lengo la kukurudish nyum kimaendeleo
Mm nikisaidia huwa najifurahisha yaani nainjoi vibaya sana na napata nguvu yakuona kumbe naweza kua sababu ya mtu kufurahi najiona wathamani ile mbayaa.
Maisha yetu ni kama filamu ambayo mwisho wake huwaga una mambo mengi sana, Ahsante Mwalimu kwa somo zuri moja katika mada hizi tano nazani ni halisi kabisa maisha tunaoishi wengine mpaka sasa.
Nimekuwa mtoa sana kwa ndugu, jamaa na hata rafiki shida kubwa ninayoipata ni kwamba.. mbali ya huko kujitoa kwangu kote mtu bado anaona ninzo nyingi na nikisubutu kusema sina maneno mabaya nayasikia kwa watu wa karibu kuwa SI MTU WA KUJALI MATATIZO YA WATU ....Nimejifunza kitu hapa
Ni baba watu hawajui kabisa,wanafikiri una pesa tu
Unachosema ni kweli,,naunga mkono
Ni kweli kabisa huwa hawajui unapitiakwenye changamoto Gani huwa na ukiwa huna huwa hawaamini.
Msaada unanguvu ktka mafanikiao ya mwenyewe kiu ya mafanikiao nimeona ktk kutoa kwn hujui mungu ametuma Nan I'll umtolee sadaka
Thanks saaana bro joel coz nimejifunza meng meng coz napenda kusaidia watu
Nimejifunza kuwa ukiwa mtu wa kusaidia watu wengine watatumia hiyo chance kukumiza kwakutojali unapitia nn ila wanataka uwasaidie
Mungu atusaidie
Hasante sana bro kwaushauri mzuri
Mwenyezmungu atupe khatma njema.. đ€
Wengine ukimsaidia anakuhukuru Hadi unogopa kumsaidia tena .
Ahsant sana bro, uwep wako no WA mhim usinyamanz maan ukinyamanza kunawatu watasimama hawataendeleya mbel maan mungu anakutumia kama chombo Cha usafili wa wengi
Joel yaan hiyo point ya tatu ya kusaidi kwa kutohitaji malipo Wala shukran bali kutegemea malipo kutoka kwa Mungu yaan umezungumza maneno kutoka ktk quran surah insan au surat dahari mwenyezi Mungu amewataje wale wanao saidia msikini na wafungwa ma mayatima na wala hawahitaji kutoka kwao malipo wala shukran isipokuwa wanafanya hivyo kwa kutaka radhi za Allah
Uko vizr saaana
Asantesana kaka Joel hukukwetu ukimsaidia mtu akifanikiwa wengi wanakudharau mpaka unaweza kujutia ulichofanya
Nikweli kabisa uyasemayo mm nimejifunza nimesaidia bila shukrani ila nimejitutumua nakufelisha mambo ilasasa nimejifunza niko kwenye mabadiliko
Asante kwa mafudisho mazuri,barikiwa Sana toka kwetu kwetu ata sisi unatusaidia kutufundishađđ»đđ»
As iko kwenye plan yang ya maisha japo kuwa nasoma bdo but i believ ntaweza kufika mbali
Mungu azid kukuweka
Amina
Tunajitoa Sana kwa ndugu na watu wa karibu Ila cku tuh mtu au jamaa akuklilia shda ukimwambia huna lawama.hatari Sana ytaka moyo hassa
Mungu akubariki sana
Ukweli mm hilii jambo la 4 huwa linanitesaa kweli aisee yaani ataa uwasaidie vp
Mawaidha mazuri Ndugu Nanauka Joel đđđđ shukran đïž
Naaamin pia ukimusaidia mtu Kuna baraka sana
Amen Amen Amen
Hii Ni kweli kabisa
Jambo lingine ambalo nimejifunza kwa upande wangu ni kuwa unaposaidia watu kuna kundi la watu wengine hawapendi kabisa ufanye ivo,wengine wangependa kuwa kweny nafasi yako,wengine ni chuki tu zisizo na sababu.
hatakama nimekutana na watu wasiokuwa na shukrani sitaacha kusaidia kipindi musaada wangu unaitajika
Sawa ila tutatoa msaada Kwa anaejielewa
Umeongea ukweli kabisa. Yote hayo mimi nayapitia. Nakukubali sana Joel.
Kweli tupu mbaya zaidi wengi husahau wema wote waliofanyiwa hasta aliyewasaidia akiishiwa
Sahihi kaka joe
Nakufuatilia sana kutoka Kenya transnzoia county .kwa kweli you are my role model
Shukran Kaka kweli Kabisa ujakosea
Amina sana kaka
Dah, Utukufu kwa MUNGU, nimebarikiwa sana na nimejifunza kitu Cha tofauti sana ambacho nilijuwa skijui ktk kusaidia watu
Real talk abour
Perfect brother
umenifunza kaka kwakweli
Umesahau kugusia swala la kumsaidia mtu na kumsema pembeni ukiwa na watu wengine
Yaan kabisa mwngne akikusaidis ukoo mzma utajua
Kweli kaka yangu naomba uhendelee kutufundisha. Nimebarikiwa sana na somo lako
Mr nanauka kiukweli unamawaidha mzuri kabisa lakini Kuna kitu kimoja kinanitatisa nimekua wakulaumiwa nawatu hakuna kitu naweza fanya ama kusema bila mtu kulamika Hadi liniusunisha sababu najaribu niwezavyo lkini mwisho wasiku lawama , tafadhali ni saindie
Asante umeongea ukweri
Asantee brother umenifungua nimekuwa mtu wa kuwasaidia watu lakin wengine hawana shukran
Nakuelewa sana kaka now muda wote nahitaji kupata mawadha yakođđ
Hata mie napofanya hivo huenjoy sana
ni sahihi kabisa kaka Joe mengi nimeyapitia pia karika kuwasaidia watu
Amen kakaangu sana MUNGU akubariki sana kwa Elimu hii đ
Kaka Joel naomba Mungu akuepushe na mabaya
Kweli ukisaidia watu usisubir shukran kutoka kwaođđ
Mimi binafsi Mungu ndio anayenilipaga na kunibarik maana wengi niliotoa kidogo tugawane hawanashukran na wengiwao hawapend ata mafanikio yangu na ndo hao hao unaonijitoa kwa moyo kwao. Watu wanakatisha sana tamaa ataumsaidie Mara 9 ukishindwa kumsaidia mala moja basi chuki inainuka
Kabisa kaka joel ukwel sitaweza kuwasaidia watu wote lkn nitajitahid kuwasaidia watu wengi kwenye maisha yangu
Mimi ni mmoja wa uliowasaidia katika masomo pale mtwara kaka
yes sir
Nimejifunza usitegemee chochote kwa unaye msaidia isipokuwa ameguswa yeye mwenyewe kurudisha fadhila. Ila ukimsaidia mtu fanya kama utumishi kwa Mungu utalipwa na Mungu mwenyewe
Nakukubali Sana nipo apa Arusha karibu sana
Ni kwel ayo Ni hakika uwezi kumridhisha Kila mmoja
Natamani kuonana na wewe Mimi nimzaliwa wambeya kwa Sasa Niko sumbawanga Mimi nifundi welding Kuna Mambo mhimu ambayo ninge penda tu shilikishane ya uso kwa uso tafadhali.
Sina cha ziada kwa mafunzo yako bali % mungu akubariki".
Ahsante sana ndugu jeol Nanauka kwa ushauri ubarikiwe na bwana
Be blessed
Kweli Kaka Joel Mimi ni binti ambae najitoa Sana kwenye kusaidia watu ijapokuwa Sina pesa za kutosha lakin nakumbuka niliwai kumsaidia dada yangu Mara nyingi Mara ya mwisho nilimpa mtaji lakin baada ya kufanya mauzo akampa Ela zote mume wake alafu akazitumia đđnawakati Mimi nilijitoa kumpa mtaji ili asinisumbue Tena kuniomba omba Ela lakin chakushangaza kala mtaji na mume wake still bado anaendelea kuniomba Ela yaani kweli watu awasaidiki Bali wanarudisha maendeleo ya watu nyuma kwakweliđ„șđ„șSafari hii atanichukia we ngoja
Mkaushie huyo
Anakutumia vibaya huyo! Ndio tatizo la watu, ukimsaidia anadhani wewe unazo nyingi!!! đ
wataona cha moto
Hapana wewe ulimpa hela bila kumshauri elimu ya pesa ,mfundishe na aangalie video za elimu ya pesa kwa video za Joel
Kama wewe ni mtu wa Yesu wala usimhukumu Bali unapaswa kumpenda zaidi Kama wewe ulivyopendwa na Yesu. Msamehe tena na tena na kisha msaidie ushauri na kumwongoza vema. Huyo ni ndugu yako na Yesu anasema asiye wapenda wa kwao ni mbaya kuliko mpagani. Endelea kumsaidia tena na tena
Ahsante sana ndugu jeol Nanauka kwa Elimu yako kwa kweli umenifundisha mengi na umeniepusha vingi sana mungu Akubariki sana upate maisha marefu đ€đ€
Thanks teacher
Ubarikiwe sana kk Joel
Ubarikiwe sana Joel
i agree đŻđ with you
I appreciate kazi yako kaka Joel, unatu-inspire vijana
Natumia mda wangu mwingi kujifumza kutoka kwako naona mabadiliko
Kaka Joel Asante Sana kwa SoMo lako God bless you uzidi kutufungua kk
Amen
Ahsante kaka Joel nimekuelewa vyema đ
Elimu unayo tupatia nimsaada tosha kuliko hata ela
Nimejifunza barikiwa Sana Joel nanauka đ
Asante sana kaka kwa masomo yako
Nawezaje kupataje vitabu vyako hasa hiki cha utunzaji wa fedha na matumizi yake
Fact..đ
Superficial
Nimejifunza kuwa na furaha zaid nikimsaidia mtu
Ubarikiwe sana nimejifunza kitu kikubwa
Nakushukuru sana Brother
Kwa Elimu yako Amboyo Haina Mipaka
That's true brother ubarikiwe unaelimisha Sana Niko hivyo
Ubarikiwe Sana Mtumish wa Mungu kwa somo zuri
Ni kwel kaka kuw tunatakiw kusaidia watu but changamot ni kuw unawezaj kujuw kuw aliyekuj kukuomb msaad ana uhitaj huo kwel maan wengin huja kwa lengo la kukurudish nyum kimaendeleo
nita jifunza zaid kupitia mugu atakacho niandikia nawapenda wot
Amen
Amen
Amen
Well and relevant issues đ
May God bless you abundantly đđ
Somo zuri sana Kwan linaboresha maisha
Well said yan kuna watu hawana shukurani hata uwape kila kitu ulichonacho
Kaka unajuwasana mungu akubaliki
sure
Mm nikisaidia huwa najifurahisha yaani nainjoi vibaya sana na napata nguvu yakuona kumbe naweza kua sababu ya mtu kufurahi najiona wathamani ile mbayaa.
Wow, God bless you đđŒ đ that's truly I can't help every one and I am making myself poor
Yes Teacher,,,that's powerful
Hayo yote hata mimi nimeyapitia katika maisha ya kupenda kusaidia watu. Ahsante kwa kunikumbusha
Asante đ
Nina omba usaidizi kwaku télécharger viduo za nanauka
Love â€ïž from MALAWI đČđŒ thanks
Hili somo nimelipenda saaana
Maisha yetu ni kama filamu ambayo mwisho wake huwaga una mambo mengi sana, Ahsante Mwalimu kwa somo zuri moja katika mada hizi tano nazani ni halisi kabisa maisha tunaoishi wengine mpaka sasa.
Nisaidie namimi jamanii
Mtafute Mtu anaitwa Mwalimu Huruma Gadi yupo Dar. Namba Yake ni
Asantee