UNAPOSAIDIA WATU - JOEL NANAUKA

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 16. 03. 2022
  • đŸ”„đŸ”„đŸ”„ Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co đŸ”„đŸ”„đŸ”„

Komentáƙe • 167

  • @evancepillar3753
    @evancepillar3753 Pƙed 2 lety +13

    Nimekuwa mtoa sana kwa ndugu, jamaa na hata rafiki shida kubwa ninayoipata ni kwamba.. mbali ya huko kujitoa kwangu kote mtu bado anaona ninzo nyingi na nikisubutu kusema sina maneno mabaya nayasikia kwa watu wa karibu kuwa SI MTU WA KUJALI MATATIZO YA WATU ....Nimejifunza kitu hapa

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754 Pƙed rokem +1

    Ni baba watu hawajui kabisa,wanafikiri una pesa tu

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754 Pƙed rokem +1

    Unachosema ni kweli,,naunga mkono

  • @happinessmulundi5821
    @happinessmulundi5821 Pƙed rokem

    Ni kweli kabisa huwa hawajui unapitiakwenye changamoto Gani huwa na ukiwa huna huwa hawaamini.

  • @medlucas5686
    @medlucas5686 Pƙed rokem

    Msaada unanguvu ktka mafanikiao ya mwenyewe kiu ya mafanikiao nimeona ktk kutoa kwn hujui mungu ametuma Nan I'll umtolee sadaka

  • @eliaichitilya5728
    @eliaichitilya5728 Pƙed 2 lety +1

    Thanks saaana bro joel coz nimejifunza meng meng coz napenda kusaidia watu

  • @bonaventurasumaye6290
    @bonaventurasumaye6290 Pƙed 2 lety +1

    Nimejifunza kuwa ukiwa mtu wa kusaidia watu wengine watatumia hiyo chance kukumiza kwakutojali unapitia nn ila wanataka uwasaidie

  • @user-dq3op3gs2d
    @user-dq3op3gs2d Pƙed měsĂ­cem

    Mungu atusaidie

  • @user-by9qr6ov7n
    @user-by9qr6ov7n Pƙed 4 měsĂ­ci

    Hasante sana bro kwaushauri mzuri

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul103 Pƙed rokem

    Mwenyezmungu atupe khatma njema.. đŸ€—

  • @happinessmulundi5821
    @happinessmulundi5821 Pƙed rokem

    Wengine ukimsaidia anakuhukuru Hadi unogopa kumsaidia tena .

  • @fabiansamwel5364
    @fabiansamwel5364 Pƙed rokem

    Ahsant sana bro, uwep wako no WA mhim usinyamanz maan ukinyamanza kunawatu watasimama hawataendeleya mbel maan mungu anakutumia kama chombo Cha usafili wa wengi

  • @issaibrahim8796
    @issaibrahim8796 Pƙed 2 lety +1

    Joel yaan hiyo point ya tatu ya kusaidi kwa kutohitaji malipo Wala shukran bali kutegemea malipo kutoka kwa Mungu yaan umezungumza maneno kutoka ktk quran surah insan au surat dahari mwenyezi Mungu amewataje wale wanao saidia msikini na wafungwa ma mayatima na wala hawahitaji kutoka kwao malipo wala shukran isipokuwa wanafanya hivyo kwa kutaka radhi za Allah

  • @kaburiamosi9557
    @kaburiamosi9557 Pƙed rokem

    Uko vizr saaana

  • @liberatussylvanus5477
    @liberatussylvanus5477 Pƙed 2 lety +1

    Asantesana kaka Joel hukukwetu ukimsaidia mtu akifanikiwa wengi wanakudharau mpaka unaweza kujutia ulichofanya

  • @ahmedomary8331
    @ahmedomary8331 Pƙed 2 lety

    Nikweli kabisa uyasemayo mm nimejifunza nimesaidia bila shukrani ila nimejitutumua nakufelisha mambo ilasasa nimejifunza niko kwenye mabadiliko

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Pƙed 2 lety +2

    Asante kwa mafudisho mazuri,barikiwa Sana toka kwetu kwetu ata sisi unatusaidia kutufundishađŸ™đŸ»đŸ™đŸ»

  • @eliaichitilya5728
    @eliaichitilya5728 Pƙed 2 lety +1

    As iko kwenye plan yang ya maisha japo kuwa nasoma bdo but i believ ntaweza kufika mbali

  • @richrichard3322
    @richrichard3322 Pƙed rokem

    Mungu azid kukuweka

  • @janemwita2962
    @janemwita2962 Pƙed rokem

    Amina

  • @jumatawfiq6443
    @jumatawfiq6443 Pƙed 2 lety +1

    Tunajitoa Sana kwa ndugu na watu wa karibu Ila cku tuh mtu au jamaa akuklilia shda ukimwambia huna lawama.hatari Sana ytaka moyo hassa

  • @mariashayo139
    @mariashayo139 Pƙed rokem

    Mungu akubariki sana

  • @salmazwallo5920
    @salmazwallo5920 Pƙed rokem

    Ukweli mm hilii jambo la 4 huwa linanitesaa kweli aisee yaani ataa uwasaidie vp

  • @timothykengere2535
    @timothykengere2535 Pƙed 2 lety +3

    Mawaidha mazuri Ndugu Nanauka Joel 📚📚📚📚 shukran đŸŽ™ïž

  • @mwlrobinson
    @mwlrobinson Pƙed 2 lety +2

    Naaamin pia ukimusaidia mtu Kuna baraka sana

  • @fredgersimbeye5394
    @fredgersimbeye5394 Pƙed rokem

    Amen Amen Amen

  • @reginaldipeter2272
    @reginaldipeter2272 Pƙed 2 lety

    Hii Ni kweli kabisa

  • @shishichocolate140
    @shishichocolate140 Pƙed 2 lety +6

    Jambo lingine ambalo nimejifunza kwa upande wangu ni kuwa unaposaidia watu kuna kundi la watu wengine hawapendi kabisa ufanye ivo,wengine wangependa kuwa kweny nafasi yako,wengine ni chuki tu zisizo na sababu.

  • @bobog9732
    @bobog9732 Pƙed 2 lety +1

    hatakama nimekutana na watu wasiokuwa na shukrani sitaacha kusaidia kipindi musaada wangu unaitajika

  • @perucebuhomaosward8512
    @perucebuhomaosward8512 Pƙed rokem

    Umeongea ukweli kabisa. Yote hayo mimi nayapitia. Nakukubali sana Joel.

  • @CatherineMasanja-bj4rm
    @CatherineMasanja-bj4rm Pƙed rokem

    Kweli tupu mbaya zaidi wengi husahau wema wote waliofanyiwa hasta aliyewasaidia akiishiwa

  • @stanleyandrea5153
    @stanleyandrea5153 Pƙed 10 měsĂ­ci

    Sahihi kaka joe

  • @collinsmercy3971
    @collinsmercy3971 Pƙed 9 měsĂ­ci

    Nakufuatilia sana kutoka Kenya transnzoia county .kwa kweli you are my role model

  • @zainabz2844
    @zainabz2844 Pƙed rokem

    Shukran Kaka kweli Kabisa ujakosea

  • @AnnaSoa-yn9mg
    @AnnaSoa-yn9mg Pƙed rokem

    Amina sana kaka

  • @sarahmarco9912
    @sarahmarco9912 Pƙed 2 lety

    Dah, Utukufu kwa MUNGU, nimebarikiwa sana na nimejifunza kitu Cha tofauti sana ambacho nilijuwa skijui ktk kusaidia watu

  • @sirwophaydom4638
    @sirwophaydom4638 Pƙed rokem

    Real talk abour

  • @barakamshana664
    @barakamshana664 Pƙed rokem

    Perfect brother

  • @vicentndiholeye1067
    @vicentndiholeye1067 Pƙed 2 lety

    umenifunza kaka kwakweli

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 Pƙed 2 lety +1

    Umesahau kugusia swala la kumsaidia mtu na kumsema pembeni ukiwa na watu wengine

  • @musamabwe8651
    @musamabwe8651 Pƙed rokem

    Kweli kaka yangu naomba uhendelee kutufundisha. Nimebarikiwa sana na somo lako

  • @annsteve4457
    @annsteve4457 Pƙed 2 lety

    Mr nanauka kiukweli unamawaidha mzuri kabisa lakini Kuna kitu kimoja kinanitatisa nimekua wakulaumiwa nawatu hakuna kitu naweza fanya ama kusema bila mtu kulamika Hadi liniusunisha sababu najaribu niwezavyo lkini mwisho wasiku lawama , tafadhali ni saindie

  • @gilbertndikuriyo8264
    @gilbertndikuriyo8264 Pƙed rokem

    Asante umeongea ukweri

  • @bonaventurasumaye6290
    @bonaventurasumaye6290 Pƙed 2 lety +1

    Asantee brother umenifungua nimekuwa mtu wa kuwasaidia watu lakin wengine hawana shukran

  • @nuruhassan5476
    @nuruhassan5476 Pƙed 2 lety

    Nakuelewa sana kaka now muda wote nahitaji kupata mawadha yako🙏🙏

  • @mussalulenga9939
    @mussalulenga9939 Pƙed 2 lety +1

    Hata mie napofanya hivo huenjoy sana

  • @shishichocolate140
    @shishichocolate140 Pƙed 2 lety +1

    ni sahihi kabisa kaka Joe mengi nimeyapitia pia karika kuwasaidia watu

  • @lizzybahati3739
    @lizzybahati3739 Pƙed rokem

    Amen kakaangu sana MUNGU akubariki sana kwa Elimu hii 🙏

  • @hamiduhamisi2457
    @hamiduhamisi2457 Pƙed 2 lety

    Kaka Joel naomba Mungu akuepushe na mabaya

  • @fatumaabdalla2580
    @fatumaabdalla2580 Pƙed rokem

    Kweli ukisaidia watu usisubir shukran kutoka kwao🙏🙏

  • @eliethaudax9360
    @eliethaudax9360 Pƙed rokem

    Mimi binafsi Mungu ndio anayenilipaga na kunibarik maana wengi niliotoa kidogo tugawane hawanashukran na wengiwao hawapend ata mafanikio yangu na ndo hao hao unaonijitoa kwa moyo kwao. Watu wanakatisha sana tamaa ataumsaidie Mara 9 ukishindwa kumsaidia mala moja basi chuki inainuka

  • @amaaissa9713
    @amaaissa9713 Pƙed 2 lety

    Kabisa kaka joel ukwel sitaweza kuwasaidia watu wote lkn nitajitahid kuwasaidia watu wengi kwenye maisha yangu

  • @abdullyissa2082
    @abdullyissa2082 Pƙed 2 lety +1

    Mimi ni mmoja wa uliowasaidia katika masomo pale mtwara kaka

  • @masterkeymwakalanje536
    @masterkeymwakalanje536 Pƙed rokem

    yes sir

  • @emanuelbrysonshauritv.1638

    Nimejifunza usitegemee chochote kwa unaye msaidia isipokuwa ameguswa yeye mwenyewe kurudisha fadhila. Ila ukimsaidia mtu fanya kama utumishi kwa Mungu utalipwa na Mungu mwenyewe

  • @kiotastar1791
    @kiotastar1791 Pƙed 2 lety +1

    Nakukubali Sana nipo apa Arusha karibu sana

  • @emmanuelpesambili6661
    @emmanuelpesambili6661 Pƙed 2 lety

    Ni kwel ayo Ni hakika uwezi kumridhisha Kila mmoja

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 Pƙed rokem

    Natamani kuonana na wewe Mimi nimzaliwa wambeya kwa Sasa Niko sumbawanga Mimi nifundi welding Kuna Mambo mhimu ambayo ninge penda tu shilikishane ya uso kwa uso tafadhali.

  • @fallyde1267
    @fallyde1267 Pƙed 2 lety

    Sina cha ziada kwa mafunzo yako bali % mungu akubariki".

  • @daniellepari4525
    @daniellepari4525 Pƙed 2 lety

    Ahsante sana ndugu jeol Nanauka kwa ushauri ubarikiwe na bwana

  • @lukandaguillaume4175
    @lukandaguillaume4175 Pƙed rokem

    Be blessed

  • @annastaziarenatus9880
    @annastaziarenatus9880 Pƙed 2 lety +13

    Kweli Kaka Joel Mimi ni binti ambae najitoa Sana kwenye kusaidia watu ijapokuwa Sina pesa za kutosha lakin nakumbuka niliwai kumsaidia dada yangu Mara nyingi Mara ya mwisho nilimpa mtaji lakin baada ya kufanya mauzo akampa Ela zote mume wake alafu akazitumia 😭😭nawakati Mimi nilijitoa kumpa mtaji ili asinisumbue Tena kuniomba omba Ela lakin chakushangaza kala mtaji na mume wake still bado anaendelea kuniomba Ela yaani kweli watu awasaidiki Bali wanarudisha maendeleo ya watu nyuma kwakweliđŸ„șđŸ„șSafari hii atanichukia we ngoja

    • @zainayolamu6486
      @zainayolamu6486 Pƙed 2 lety

      Mkaushie huyo

    • @catherinemzurikwao3265
      @catherinemzurikwao3265 Pƙed 2 lety

      Anakutumia vibaya huyo! Ndio tatizo la watu, ukimsaidia anadhani wewe unazo nyingi!!! 💔

    • @bobog9732
      @bobog9732 Pƙed 2 lety +1

      wataona cha moto

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Pƙed 2 lety

      Hapana wewe ulimpa hela bila kumshauri elimu ya pesa ,mfundishe na aangalie video za elimu ya pesa kwa video za Joel

    • @mwlekartiesmwankenja3602
      @mwlekartiesmwankenja3602 Pƙed rokem

      Kama wewe ni mtu wa Yesu wala usimhukumu Bali unapaswa kumpenda zaidi Kama wewe ulivyopendwa na Yesu. Msamehe tena na tena na kisha msaidie ushauri na kumwongoza vema. Huyo ni ndugu yako na Yesu anasema asiye wapenda wa kwao ni mbaya kuliko mpagani. Endelea kumsaidia tena na tena

  • @daniellepari4525
    @daniellepari4525 Pƙed 2 lety

    Ahsante sana ndugu jeol Nanauka kwa Elimu yako kwa kweli umenifundisha mengi na umeniepusha vingi sana mungu Akubariki sana upate maisha marefu đŸ€žđŸ€ž

  • @user-my9fj8jv3q
    @user-my9fj8jv3q Pƙed 2 měsĂ­ci

    Thanks teacher

  • @danimsingi7869
    @danimsingi7869 Pƙed 2 lety +1

    Ubarikiwe sana kk Joel

  • @bukelebengelela
    @bukelebengelela Pƙed 2 lety +1

    Ubarikiwe sana Joel

  • @martinbarasa3200
    @martinbarasa3200 Pƙed rokem

    i agree 💯👍 with you

  • @user-ff6jb5mf5z
    @user-ff6jb5mf5z Pƙed 11 měsĂ­ci

    I appreciate kazi yako kaka Joel, unatu-inspire vijana

  • @zinhotz5366
    @zinhotz5366 Pƙed 2 lety

    Natumia mda wangu mwingi kujifumza kutoka kwako naona mabadiliko

  • @funnyclip5052
    @funnyclip5052 Pƙed 2 lety

    Kaka Joel Asante Sana kwa SoMo lako God bless you uzidi kutufungua kk

  • @elizabethemanuel2122
    @elizabethemanuel2122 Pƙed 2 lety

    Amen

  • @dr.bonye1
    @dr.bonye1 Pƙed 2 lety +1

    Ahsante kaka Joel nimekuelewa vyema 🙏

  • @mchuchumatz403
    @mchuchumatz403 Pƙed 2 lety

    Elimu unayo tupatia nimsaada tosha kuliko hata ela

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 Pƙed rokem

    Nimejifunza barikiwa Sana Joel nanauka 💝

  • @gaudenciuspeter6544
    @gaudenciuspeter6544 Pƙed rokem

    Asante sana kaka kwa masomo yako
    Nawezaje kupataje vitabu vyako hasa hiki cha utunzaji wa fedha na matumizi yake

  • @godkundy1582
    @godkundy1582 Pƙed rokem

    Fact..🙏

  • @BUCHOSAONLINETV
    @BUCHOSAONLINETV Pƙed 2 lety

    Superficial

  • @saidyshoka1872
    @saidyshoka1872 Pƙed 2 lety

    Nimejifunza kuwa na furaha zaid nikimsaidia mtu

  • @gaudencemwakibibi8225
    @gaudencemwakibibi8225 Pƙed rokem

    Ubarikiwe sana nimejifunza kitu kikubwa

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Pƙed 2 lety

    Nakushukuru sana Brother
    Kwa Elimu yako Amboyo Haina Mipaka

  • @evancymassawekenya7521
    @evancymassawekenya7521 Pƙed 2 lety

    That's true brother ubarikiwe unaelimisha Sana Niko hivyo

  • @enocknnko4141
    @enocknnko4141 Pƙed 2 lety

    Ubarikiwe Sana Mtumish wa Mungu kwa somo zuri

  • @user-mc7if8vy3j
    @user-mc7if8vy3j Pƙed měsĂ­cem

    Ni kwel kaka kuw tunatakiw kusaidia watu but changamot ni kuw unawezaj kujuw kuw aliyekuj kukuomb msaad ana uhitaj huo kwel maan wengin huja kwa lengo la kukurudish nyum kimaendeleo

  • @user-ky5tv2hu4u
    @user-ky5tv2hu4u Pƙed 10 měsĂ­ci

    nita jifunza zaid kupitia mugu atakacho niandikia nawapenda wot

  • @nehemiahelisha6947
    @nehemiahelisha6947 Pƙed 2 lety +1

    Amen
    Amen
    Amen
    Well and relevant issues 👏
    May God bless you abundantly 🙏👋

  • @silaserasto78
    @silaserasto78 Pƙed 2 lety

    Somo zuri sana Kwan linaboresha maisha

  • @suziefaustine546
    @suziefaustine546 Pƙed 2 lety

    Well said yan kuna watu hawana shukurani hata uwape kila kitu ulichonacho

  • @tiffarqueen2712
    @tiffarqueen2712 Pƙed 2 lety

    Kaka unajuwasana mungu akubaliki

  • @mwanetu
    @mwanetu Pƙed rokem

    sure

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 Pƙed 2 lety +1

    Mm nikisaidia huwa najifurahisha yaani nainjoi vibaya sana na napata nguvu yakuona kumbe naweza kua sababu ya mtu kufurahi najiona wathamani ile mbayaa.

  • @rhinakiza
    @rhinakiza Pƙed 2 lety

    Wow, God bless you đŸ™đŸŒ 🙌 that's truly I can't help every one and I am making myself poor

  • @mariagerald6763
    @mariagerald6763 Pƙed 2 lety

    Yes Teacher,,,that's powerful

  • @catherinemzurikwao3265
    @catherinemzurikwao3265 Pƙed 2 lety

    Hayo yote hata mimi nimeyapitia katika maisha ya kupenda kusaidia watu. Ahsante kwa kunikumbusha

  • @yoshuasaiba4652
    @yoshuasaiba4652 Pƙed rokem

    Asante 🙏

  • @patrickmupika5158
    @patrickmupika5158 Pƙed 2 lety

    Nina omba usaidizi kwaku télécharger viduo za nanauka

  • @frankub8107
    @frankub8107 Pƙed 2 lety

    Love ❀ from MALAWI đŸ‡ČđŸ‡Œ thanks

  • @kasimuthabiti6907
    @kasimuthabiti6907 Pƙed 2 lety

    Hili somo nimelipenda saaana

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark6398 Pƙed 2 lety

    Maisha yetu ni kama filamu ambayo mwisho wake huwaga una mambo mengi sana, Ahsante Mwalimu kwa somo zuri moja katika mada hizi tano nazani ni halisi kabisa maisha tunaoishi wengine mpaka sasa.

  • @sylvestersylvester8613
    @sylvestersylvester8613 Pƙed 2 lety

    Nisaidie namimi jamanii

    • @mariagabba8401
      @mariagabba8401 Pƙed 2 lety

      Mtafute Mtu anaitwa Mwalimu Huruma Gadi yupo Dar. Namba Yake ni

  • @AuleliaEbino-wl7px
    @AuleliaEbino-wl7px Pƙed rokem

    Asantee