Padre Dkt Kamugisha : Unachokitoa unakimiliki/ Mungu anafuatilia baraka zake/ "Wale 9 wapo wapi?"
Vložit
- čas přidán 2. 11. 2023
- Ni mafundisho katika mkesha wa hija wa Nyakijooga, mafundisho yaliyotolewa na Padre Dkt Faustine Kamugisha Paroko wa Parokia ya Minziro Jimbo Katoliki la Bukoba.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja - Hry
Padre KAMUGISHA shukrani.
Naku fwatana saana omba uje kutembeleya parokia yetu Burundi bujumbura Mtakatifu Augustino Buyenzi KARIBU SANA...
Amina
🤗🤗
Mimi ni muchritu wa kawaida tu... Nanita omba saana mpaka Mungu aku tume kutembeleya parokia yetu tushote baraka za mafunzo yako...