Lala salama baba, vita ulivipigana😭😭😭😭😭😭 nikikuona machozi yanatililika. Mwenyezi MUNGU akupe makao salama huko uliko. Raha ya milele umpe e bwana, na mwanga wa milele umwangizie apumzike kwa amani Amina. Roho za waamini wapate rehema kwa MUNGU, wapumzike kwa amani, AMINA.
Kuna wakati hua siamini kama rais niliyemkubali nikamchagua hayupo tena duniani,daaah! YAHWEH is great.Pumzika kwa amani JPM hakika me binafsi kwa jitihada zako nakukumbuka
Chuma hicho, najickia faraja sana japo kwa muda wake mfupi impact yake ni kubwa sana, naifananisha na super sub iliyoingia ikapiga hatrick na kuchukua point tatu,
HUWA cwezi kujizuia kabisa MACHOZI yanavyo nimwagika nikisikiliza hotuba ya huyu mwanajeshi kamanda rais aliye jitolea mhanga kwa ajili ya Taifa letu hakika wewe ni SHUJAA japo umelala RIP J P M
this is what I was asking leaving myself with unanswered qns. why were we not talking of natural minerals as OUR MAJOR SOURCES OF INCOME .... WHY WERE WE DEPENDING ON TBL, TCC...? THANX OUR PRESIDENT YOU KEEP ON ,,, WE TZ WER SUPPOSSED TO BE DONORS
hongera sana rais wangu mpendwa .ninakupongeza sana kwa kuwanyoosha hao wanaojiita wajanja . namuomba allah akulinde na akupe umri mlefu wenye mafanikio
Kila ninapo skiza hotuba ya Rais Magufuli , huwa si amini eti hayupo tena nasi , aisee ina uma sana , Sema mambo ya Mungu hayana Makosa , Pumzika kwa amani Rais wetu kipenzi, Mungu akupe pumziko la amani .. RIP
Hakuna atakeye kufikia kwa uadilifu wako na uzalendo na ubingwa wa ufufuaji uchumi bila kuomba omba mikopo.Hata wafanye vipi,tayari uliwaumbua.Tunawaona 0 tu . Haupo kimwili lakini Roho yako ipo na inaona hali ilivyo hii leo.Mungu atalipa hapahapa ktk ardhi na wote watashuhudia
Jembedali wetu JPM ulisema tutakukumbuka kweli tumeanza maana uku Prof Muhongo hataki tena Bwawa la umeme la Rufuji ambalo ilikuwa ndoto ya Mwl Nyerere na ndio ukombozi wetu. Nakumbuka Mzee Mengi aliwai sema prof Muhongo ni Muongo...RIP Mengi. Alafu Ndugai anataka kuwaleta wachina na ule mradi wenye masharti ya ajabu ajabu. Ambapo tayari tunajua Sri Lanka wanatesena na mradi wa namna hii.😭😭😭 Ila hata kama haya yatakwama ss vijana tayari umetuonesha njia siku moja tutakuja kuyafufua kama wewe ulivyo fufua iliyokuwa ndoto ya Mwl Nyerere. RIP NYERERE NA JPM 💪🏿🙏🏿
nakupenda rais wangu 2020 ukishinda badili katiba uongoze mpaka utakopochukuliwa na mwenyezi mungu inauma sana lisu kachukua rushwa ya wazungu anabwatuka ovyoo piga kazi baba
Lala salama baba, vita ulivipigana😭😭😭😭😭😭 nikikuona machozi yanatililika. Mwenyezi MUNGU akupe makao salama huko uliko. Raha ya milele umpe e bwana, na mwanga wa milele umwangizie apumzike kwa amani Amina. Roho za waamini wapate rehema kwa MUNGU, wapumzike kwa amani, AMINA.
Uko Kama Mimi kilip mbili tu machozi yananilega
Kuna wakati hua siamini kama rais niliyemkubali nikamchagua hayupo tena duniani,daaah! YAHWEH is great.Pumzika kwa amani JPM hakika me binafsi kwa jitihada zako nakukumbuka
Upumzike salama namungu akusamehe makosa yako yote nakulilia kwauwazi na uzalendo kwa nchi yetu inaumasana,
Mungu akupe pumziko la milele Raic we2 mpendwa Dr. JPM tutaendelea kulia mpak mwak 20100
Mungu akupe wepesi katika pumziko lako la milele rais wetu wa wanyonge
Chuma hicho, najickia faraja sana japo kwa muda wake mfupi impact yake ni kubwa sana, naifananisha na super sub iliyoingia ikapiga hatrick na kuchukua point tatu,
Kila nisikilizapo hii hotuba, bado naamini kuna siku utarudi tena kuja kuwa hata mshauri tuu. RIP mzalendo wa kweli
Kwa hili kila raia mwenye nia njema na nchi atakuunga mkono.Hongera saana Rais.
HUWA cwezi kujizuia kabisa MACHOZI yanavyo nimwagika nikisikiliza hotuba ya huyu mwanajeshi kamanda rais aliye jitolea mhanga kwa ajili ya Taifa letu hakika wewe ni SHUJAA japo umelala RIP J P M
this is what I was asking leaving myself with unanswered qns. why were we not talking of natural minerals as OUR MAJOR SOURCES OF INCOME .... WHY WERE WE DEPENDING ON TBL, TCC...? THANX OUR PRESIDENT YOU KEEP ON ,,, WE TZ WER SUPPOSSED TO BE DONORS
hongera sana rais wangu mpendwa .ninakupongeza sana kwa kuwanyoosha hao wanaojiita wajanja . namuomba allah akulinde na akupe umri mlefu wenye mafanikio
Amiin
Amiin
That's truth Dad but RIP God bless you for your jobs
Wewe ni rais wangu, siku zote nitakuheshimu, Mungu akutunze daima.
Mungu ana makusudi na watanzania maskini ndo maana akafanya hivyo shukrani kwa yesu kristo
😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tumepoteza mtu muhimu Sana ktk nchi yetu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Allah akulinde na kila shari rais wetu utuongoze kwa ufanisi kam unavyotuongoza insha Allah🤲
Come take your chair father, we miss you already!! ( And, you knew it)
Mungu akupe uhai zaid rais wa Tz uendelee kufanya mema kwetu wa tz
one day they will value your presidency
dulamatelephone
The time is now bro
😭😭😭😭😭😭
Am just realising your comment sir.
R.i.p JPM 😭😭
Tunakukumbuka Baba ! Tumebaki wakiwa Baba wanyang'anyi wanatafuna urithi wa nchi yetu
RIP mwamba wa african
Daah tutakkumbuka mzee aisehe lkn nmemuona proffeser anashangaa kwelikweli aisehe
hatuna la kufanya baba tangu siku umeondoka hadi leo tunaumia,, m/mungu asikuache baba yetu kipenzi
Kila ninapo skiza hotuba ya Rais Magufuli , huwa si amini eti hayupo tena nasi , aisee ina uma sana , Sema mambo ya Mungu hayana Makosa , Pumzika kwa amani Rais wetu kipenzi, Mungu akupe pumziko la amani .. RIP
Yohana E Biby
Rest in paradise chuma tutakukumbuka daima
Mwenyezi Mungu akuruhusu kutoka huko uliko uzidi kulipigania Taifa hili kama ulivyo lipigania ukiwa duniani mimi nitakukumbuka daima
mwishimiwa endelea kuchapakazi safi sana
Rest in Peace our beloved President 🇹🇿❤️
sintamsahau hayati magufuri ktk maisha yangu yote.mungu mpumzishe kwa aman amin.
Hakuna atakeye kufikia kwa uadilifu wako na uzalendo na ubingwa wa ufufuaji uchumi bila kuomba omba mikopo.Hata wafanye vipi,tayari uliwaumbua.Tunawaona 0 tu . Haupo kimwili lakini Roho yako ipo na inaona hali ilivyo hii leo.Mungu atalipa hapahapa ktk ardhi na wote watashuhudia
Akika ulikuwa .nguli wa uongozi, kazi yako ni ilikuwa nzuli sana,
Jembedali wetu JPM ulisema tutakukumbuka kweli tumeanza maana uku Prof Muhongo hataki tena Bwawa la umeme la Rufuji ambalo ilikuwa ndoto ya Mwl Nyerere na ndio ukombozi wetu. Nakumbuka Mzee Mengi aliwai sema prof Muhongo ni Muongo...RIP Mengi.
Alafu Ndugai anataka kuwaleta wachina na ule mradi wenye masharti ya ajabu ajabu. Ambapo tayari tunajua Sri Lanka wanatesena na mradi wa namna hii.😭😭😭
Ila hata kama haya yatakwama ss vijana tayari umetuonesha njia siku moja tutakuja kuyafufua kama wewe ulivyo fufua iliyokuwa ndoto ya Mwl Nyerere.
RIP NYERERE NA JPM 💪🏿🙏🏿
Upumzike kwa amani kaka yetu
Hii hotuba Ni ya kulikomboa taifa kwa vizazi vyote....tupate wapi Rais Kama JPM Tena.. éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
😭😭😭
MWENYEZI MUNGU AKULINDE
Daaa ulale salama aisee kaz yake mola haina makosa
Ewe mngu tunakuomba umuweke mahala pema peponi rais wetu mpendwa natunakuomba uturudishiye rais ajae awe mkweli kama mpendwa wetu magufuli
Maisha Ndivyo Yalivyo!Kazi iendelee!
Hii is miss you Dr jonh
Jamen
nakupenda rais wangu 2020 ukishinda badili katiba uongoze mpaka utakopochukuliwa na mwenyezi mungu inauma sana lisu kachukua rushwa ya wazungu anabwatuka ovyoo piga kazi baba
😢
Nimemis Hii sauti kiukweli...!
We ndo rais sasa tunayemtaka watanzania walobaki woteni .....Watajua wenyewe wapo kundi gan siwapendi sijui kwanini!
😭😭😭😭😭
Mpl
Natamani siku zirudi nyuma ufufuke ungetawala milele... Wengi washakuelewa lakin ndo ivo too late
Mm
lema uko wapi? mbona husemi?
Tundu Lisu tayari ashaongea ujinga kama kawaida yake
Kwa kweli utaendelea kuishi mioyoni mwetu, na akili zetu bado zinakuenzi!
Tutakukumbuka daima
Hivi huyu jamaa alikuwa na kasoro gani jamani katika Nchi hii lkn!!?? 😭 Tutakukumbuka baba
Alikuwa mkweli na ukiwa mkweli jua maisha yako mafupi
Ata saaulika alikuwa kichwa cha taifa
sna la kusema kizuri hakidumu
Kimenuka Shamba la Bibi
RIP
In
Og
Mzee uko sawa Tanzania tuna watu wa ajabu sana, uwatunawafikiria hatupati majibu,
JPM utakumbukwa daima,kwa mazuri mengi uloyafanya kwa watanzania wengi!
Mzalendo wetu, leo tunaubiriwa neno uzalendo, najiuliza sipati jibu, Magufuli uko wapi? Kama nchi inaitaji wazaleno!!
Sawa bac ninaumia sana nikifikiri
daaah
Jeembehiro bwana pumzika salama
Kwanin samia suluhu afanyi hivi
The president and his TUME have walked the walk after the talk. Viva President Magufuli. Viva Tanzania
Tutakuenzi baba lala kwa hamn
Mbabe kaenda na ubabe wake haaaaaa
The life time president
Pumzika kwa aman baba
Shujaa hutasahao lika milele lala salama
😭😭😭😭😭 kwel tulipoteza
We missed you today Mwamba
😭😭😭😭😭Inauma jamn
Jpm rest in peace
Ikulu haina hizi video kweli ? including mkataba wa bandarui ya bwagamoyo ?
Pumzika kwa amani bd tunakukumbuka baba
Mahubiri,ya,moses,Maghembe,t,ag
Itv
This guy was a legend
Was.
Jembe toka chato?
JPM
Pumuzika xalamal rais
nchii ina wajinga wengi kazi yao kupiga kelele bungeni
Dodoma
je hicho chombo kina uzwa bei gani?
Ramadhan Ndemeye I love this man true Patriot...... Tanzanians are cursed how can we be so stupid and dumb
bado unadumu ata hujafa baba wa pili wa taifa
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😅😅😅😅😊😊😊😊😅😊😅😅😊😊😅😊😊😊😅😅😅😅😅😅😊😊😊😅😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😅😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😅😊😅😊😊
😊😊😊😊😅
😊😊😊😊
😊😊😊😊😊😊
😊
😊 17:04 😊😊😊
Kwa nchi za kiafrica hata hawakuelewi hata Kama ni wasomi watakuona unawabana tu maana wenyewe wanasema hili bara la wajinga
Ila upo sahihi mzee
Yohana E Biby
Tuta kukumbuka baba