HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI ALIYOTOA KWA WAKURUGENZI WA HAMASHAURI,JULY 12,2016 IKULU DSM mp4
Vložit
- čas přidán 11. 07. 2016
- Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli aliyoitoa wakati wa hafla ya kila kiapo kwa Wakurugenzi wa Halmashauri,Majiji na Miji-Ikulu Jijini Dar es Salaam 12 July 2016
Ni hotuba inayoonyesha nia ya dhati ya kuwatumikia wananchi, hasa wale wa hali ya chini. Asante sana Rais wetu!
fanya kazi na mungu akubariki Sana
Mungu akuongoze mpaka mwisho
Jomba magu umezungumza maneno mazito kushindamarais wote walopita upo juuu itakuwa kwa mara ya kwanza kukupigia kura
Hotuba imejitosheleza wakurugenzi pigen kazi kama mh rais alivyowaamini
::::::::::::::::::::%%%%%%100¥¥¥™™™anafanya kazi bila upndeleo wowotee Bba upo active and serious
lazma mjue kuwa nikweli mungu ndo kamtuma ajhe afanye kaziiii kiukwelii
innocent vicent dogo ni shida lini Mungu amefanya hvyo
Rais nakukumbali tena mno
hakika
big result now serekali ya awamu ya tano nikazi tuu
Mbele hiyo ilikuwa ni wizi tu🤣😂woi!
Hapa kazi 2
Mzee uko wap jitokeze hata kwa wiki 1 tu utoe hata neno moja tu heshima yako hakuna wa kkufikia
Jomba magu sijawahi kupiga kura ya aina yyt kwani ulikuwa ukifanyika kwa viongo nimajanga ya taifa
Tutakukumbuka daima magu