Mithal 16:4 Mungu amefanya kila kitu kwa KUSUDI lake,hata wabaya kwa kududi la ubaya,,SIO RAHISI MTU AJUE KUSUDI KABLA HAJAMJUA YESU,,,YER 1:5 kabla sijakuumba ktk tumbo nilikujua nikakuweka uwe nabii wa mataifa,,,Unaona hapo kumbe mtu kuzaliwa alishajulikana ni nani,,ndio maana hata Yesu akiwa tumboni shetani alishtuka kuna kitu kinakuja ndio akaandaa mazingira magumu ya kuzaliwa(hori la ),,,So wito ni tangu tumboni kusudi ni pale mtu anapookoka...huwezi jua Mungu alicho kuitia kihalisi hadi umekuta na Mnazareti na ukapata mafundisho yanayo fanana kama ya bro Joe,,,
Kutoka 1..Kutoka 12.:12 wana wa izrael walikaa misri miaka 430,siku wanatoka Musa akaambiwa huu ndio mwanzo wa miezi na miaka,,,Hii ina maana kuwa mtu anaeishi nje ya kusudi la Mungu miaka yake haihesabiki hata kama unakula na kunywa hakuna hasara kama hii kuishi nje ya kusudi
Toka primary nilikuwa napenda sana kuwa doctor and now I’m in high school, nimejikuta I don’t like it anymore and I don’t know what should I study about kwakweli nikokwenye wakati mgumu sana
Kazana punguza Matumizi ya simu bahati mbaya mpo kwenye kizazi cha smartphone na kwa uhakika 80% smart phone inawaibia muda wenu wa wa kujisomea..tofauti na zama zetu.
@@hilalikapanda9718 huo n mtazamo wako koz japo kua na soma kupitia smartphone tayar nimesha jua rugha/ programming language zaid ya 2 # kumbuka cjafundishwa shule Wal chuo,ama mtu yyte bal n mm na bundle Lang so kila mtu Ana mtazamo wake na hobi yake brother Amin unacho kiamin na mm niamin ninacho kiamin 🙏🙏🙏
Paulo mtume alikua msomi sana na aliamini alikua anafanya kusudi halisi ila siku moja ..Matendo 9 ..alikutana na Yesu akamwachisha kazi ghafla akamuelekeza kwenye kusudi rasmi,,Kusoma tu sio kujua ulicho itiwa au kufanikiwa,,ni kumjua Yesu yeye anajua kusudi la kila mtu,,,
Amina sana kaka joeli wewe ni njia ya wengi 🔥🔥🔝
Nimekuelewa sana kaka joel yani mwaka huu m/mungu atujalie malengo yangu najitaidi 2021 yaweze kutimia🙏
Mungu akupe MAISHA marefu tuzidi kupata maarifa
Umekua msaada mkubwa Sana kwenye maisha yangu asant na mungu aendelee kukupa nguvu
Kweli
I always appreciate your work brother
Asante Kaka umebadilisha maisha yangu sehem kubwa sana asante sana Mungu akupe umri mrefu wenye Aman na furaha Zaid asante kaka
Kweli kaka ,wengingine hatuko tayari kusimama kwenye kusudi letu ,naamini kazi yako ndugu
My early morning breakfast...God bless you Mr Joel
Asante Sana
Hii ndio ndoto au kusudi langu kweli..??? Hili ndilo swali gumu kuliko yotee mungu atupe wepesi kujua makisudi yetu #ABELNTOBI
Ahsante sana my mentor nimejifunza makubwa asubui hii ubarikiwe
Umenigusa sana katika hizi hoja
Asanteh sana
Powerful brother Joel nanauka
Mithal 16:4 Mungu amefanya kila kitu kwa KUSUDI lake,hata wabaya kwa kududi la ubaya,,SIO RAHISI MTU AJUE KUSUDI KABLA HAJAMJUA YESU,,,YER 1:5 kabla sijakuumba ktk tumbo nilikujua nikakuweka uwe nabii wa mataifa,,,Unaona hapo kumbe mtu kuzaliwa alishajulikana ni nani,,ndio maana hata Yesu akiwa tumboni shetani alishtuka kuna kitu kinakuja ndio akaandaa mazingira magumu ya kuzaliwa(hori la ),,,So wito ni tangu tumboni kusudi ni pale mtu anapookoka...huwezi jua Mungu alicho kuitia kihalisi hadi umekuta na Mnazareti na ukapata mafundisho yanayo fanana kama ya bro Joe,,,
Sawa bro
Thanks broh
Amina. Ubarikiwe sana kaka
Judth uko pande zp
Asante bro
Kwel kabisa yaani
Kutoka 1..Kutoka 12.:12 wana wa izrael walikaa misri miaka 430,siku wanatoka Musa akaambiwa huu ndio mwanzo wa miezi na miaka,,,Hii ina maana kuwa mtu anaeishi nje ya kusudi la Mungu miaka yake haihesabiki hata kama unakula na kunywa hakuna hasara kama hii kuishi nje ya kusudi
Shukuran kwa malifaa
👏
Good
Toka primary nilikuwa napenda sana kuwa doctor and now I’m in high school, nimejikuta I don’t like it anymore and I don’t know what should I study about kwakweli nikokwenye wakati mgumu sana
I like this kaka Joel ( hivi hii ni ndoto yangu ?) tunakosea sana apa asante kwa hili kaka
J nimekuelewa mkuu j
Ahsate
Umenisaidia sana kufanya maamuzi kwa maswali magumu niliyokua nayo hasa kwa kile nilichokuwa nakusudia kinaweza kunipa mafanikio nipate ku maxout
Nauka nakupata Sana ...naomba namba yako ya simu tuwasiliane zaidi
🤝
Pongezi kwa juhudi zako kwa hakika umenisaidia barikiwa
Alright, kaka mkubwa wewe ni mtu mkubwa sanaaa.. Lazima nikamirishe kusudi langu
Brother Joel umeongea ktk moyo Wang kabs naambiwa n some HGL lakini lengo Lang ni kusoma computer science engineering # tayar nimesha amua Niko tayar
Ushafeli computer science na una miliki smartphone il hali bado wewe ni mwanafunzi
@@hilalikapanda9718 Kwan computer science unataka nimiliki Nini labda??? Kwan mwanafunz hawez miliki??? Umesoma nilicho kiandika vzr au unakurupuka brother
Kazana punguza Matumizi ya simu bahati mbaya mpo kwenye kizazi cha smartphone na kwa uhakika 80% smart phone inawaibia muda wenu wa wa kujisomea..tofauti na zama zetu.
@@hilalikapanda9718 huo n mtazamo wako koz japo kua na soma kupitia smartphone tayar nimesha jua rugha/ programming language zaid ya 2 # kumbuka cjafundishwa shule Wal chuo,ama mtu yyte bal n mm na bundle Lang so kila mtu Ana mtazamo wake na hobi yake brother Amin unacho kiamin na mm niamin ninacho kiamin 🙏🙏🙏
@@ramadhaniyasini9297 poa nimekupata mdogo wangu.
Apo nakupa Big up kwa kutumia simu positively
Paulo mtume alikua msomi sana na aliamini alikua anafanya kusudi halisi ila siku moja ..Matendo 9 ..alikutana na Yesu akamwachisha kazi ghafla akamuelekeza kwenye kusudi rasmi,,Kusoma tu sio kujua ulicho itiwa au kufanikiwa,,ni kumjua Yesu yeye anajua kusudi la kila mtu,,,
Nilioa mchawi bila kujua (Part 1)👇👇👇
czcams.com/video/KNViq_1OI0o/video.html