MASWALI MATATU MAGUMU YA KUJIULIZA KILA SIKU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 02. 2021
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 44

  • @helpers92
    @helpers92 Před 3 lety +2

    Amina sana kaka joeli wewe ni njia ya wengi 🔥🔥🔝

  • @felixjoachim9482
    @felixjoachim9482 Před 3 lety +3

    Nimekuelewa sana kaka joel yani mwaka huu m/mungu atujalie malengo yangu najitaidi 2021 yaweze kutimia🙏

  • @shabaninamtema3767
    @shabaninamtema3767 Před 3 lety

    Mungu akupe MAISHA marefu tuzidi kupata maarifa

  • @etocha0596
    @etocha0596 Před 3 lety +2

    Umekua msaada mkubwa Sana kwenye maisha yangu asant na mungu aendelee kukupa nguvu

  • @piusdaniel3222
    @piusdaniel3222 Před 3 lety +2

    I always appreciate your work brother

  • @sharonerick7729
    @sharonerick7729 Před 3 lety

    Asante Kaka umebadilisha maisha yangu sehem kubwa sana asante sana Mungu akupe umri mrefu wenye Aman na furaha Zaid asante kaka

  • @djjojaz254
    @djjojaz254 Před 3 lety +1

    Kweli kaka ,wengingine hatuko tayari kusimama kwenye kusudi letu ,naamini kazi yako ndugu

  • @stellasungusia7182
    @stellasungusia7182 Před 3 lety +2

    My early morning breakfast...God bless you Mr Joel

  • @asternjulius890
    @asternjulius890 Před 3 lety +2

    Asante Sana

  • @abelntobi382
    @abelntobi382 Před 3 lety +4

    Hii ndio ndoto au kusudi langu kweli..??? Hili ndilo swali gumu kuliko yotee mungu atupe wepesi kujua makisudi yetu #ABELNTOBI

  • @goalhall
    @goalhall Před 3 lety

    Ahsante sana my mentor nimejifunza makubwa asubui hii ubarikiwe

  • @kelvinsanga3614
    @kelvinsanga3614 Před 3 lety

    Umenigusa sana katika hizi hoja
    Asanteh sana

  • @shawejimnipera2937
    @shawejimnipera2937 Před 3 lety

    Powerful brother Joel nanauka

  • @194summer
    @194summer Před 3 lety

    Mithal 16:4 Mungu amefanya kila kitu kwa KUSUDI lake,hata wabaya kwa kududi la ubaya,,SIO RAHISI MTU AJUE KUSUDI KABLA HAJAMJUA YESU,,,YER 1:5 kabla sijakuumba ktk tumbo nilikujua nikakuweka uwe nabii wa mataifa,,,Unaona hapo kumbe mtu kuzaliwa alishajulikana ni nani,,ndio maana hata Yesu akiwa tumboni shetani alishtuka kuna kitu kinakuja ndio akaandaa mazingira magumu ya kuzaliwa(hori la ),,,So wito ni tangu tumboni kusudi ni pale mtu anapookoka...huwezi jua Mungu alicho kuitia kihalisi hadi umekuta na Mnazareti na ukapata mafundisho yanayo fanana kama ya bro Joe,,,

  • @ibrahimarzad140
    @ibrahimarzad140 Před 3 lety

    Sawa bro

  • @nanjingasaidi1257
    @nanjingasaidi1257 Před 3 lety

    Thanks broh

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 Před 3 lety +1

    Amina. Ubarikiwe sana kaka

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 Před 3 lety

    Asante bro

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 Před 3 lety

    Kwel kabisa yaani

  • @194summer
    @194summer Před 3 lety +1

    Kutoka 1..Kutoka 12.:12 wana wa izrael walikaa misri miaka 430,siku wanatoka Musa akaambiwa huu ndio mwanzo wa miezi na miaka,,,Hii ina maana kuwa mtu anaeishi nje ya kusudi la Mungu miaka yake haihesabiki hata kama unakula na kunywa hakuna hasara kama hii kuishi nje ya kusudi

  • @ezironvyats433
    @ezironvyats433 Před 3 lety

    Shukuran kwa malifaa

  • @medsonstarlon0805
    @medsonstarlon0805 Před 3 lety

    👏

  • @fabianpallangyo7860
    @fabianpallangyo7860 Před 3 lety

    Good

  • @mulibingejacques9613
    @mulibingejacques9613 Před 3 lety

    Toka primary nilikuwa napenda sana kuwa doctor and now I’m in high school, nimejikuta I don’t like it anymore and I don’t know what should I study about kwakweli nikokwenye wakati mgumu sana

  • @janethjonathan7187
    @janethjonathan7187 Před 3 lety

    I like this kaka Joel ( hivi hii ni ndoto yangu ?) tunakosea sana apa asante kwa hili kaka

  • @hamoudking6219
    @hamoudking6219 Před 3 lety

    J nimekuelewa mkuu j

  • @muutasimrashid135
    @muutasimrashid135 Před 3 lety

    Ahsate

  • @vumiliamkomwa8279
    @vumiliamkomwa8279 Před 3 lety

    Umenisaidia sana kufanya maamuzi kwa maswali magumu niliyokua nayo hasa kwa kile nilichokuwa nakusudia kinaweza kunipa mafanikio nipate ku maxout

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115

    Nauka nakupata Sana ...naomba namba yako ya simu tuwasiliane zaidi

  • @davidmsubi2639
    @davidmsubi2639 Před 3 lety +1

    🤝

  • @daudkwalu3563
    @daudkwalu3563 Před 3 lety

    Alright, kaka mkubwa wewe ni mtu mkubwa sanaaa.. Lazima nikamirishe kusudi langu

  • @ramadhaniyasini9297
    @ramadhaniyasini9297 Před 3 lety

    Brother Joel umeongea ktk moyo Wang kabs naambiwa n some HGL lakini lengo Lang ni kusoma computer science engineering # tayar nimesha amua Niko tayar

    • @hilalikapanda9718
      @hilalikapanda9718 Před 3 lety

      Ushafeli computer science na una miliki smartphone il hali bado wewe ni mwanafunzi

    • @ramadhaniyasini9297
      @ramadhaniyasini9297 Před 3 lety

      @@hilalikapanda9718 Kwan computer science unataka nimiliki Nini labda??? Kwan mwanafunz hawez miliki??? Umesoma nilicho kiandika vzr au unakurupuka brother

    • @hilalikapanda9718
      @hilalikapanda9718 Před 3 lety

      Kazana punguza Matumizi ya simu bahati mbaya mpo kwenye kizazi cha smartphone na kwa uhakika 80% smart phone inawaibia muda wenu wa wa kujisomea..tofauti na zama zetu.

    • @ramadhaniyasini9297
      @ramadhaniyasini9297 Před 3 lety

      @@hilalikapanda9718 huo n mtazamo wako koz japo kua na soma kupitia smartphone tayar nimesha jua rugha/ programming language zaid ya 2 # kumbuka cjafundishwa shule Wal chuo,ama mtu yyte bal n mm na bundle Lang so kila mtu Ana mtazamo wake na hobi yake brother Amin unacho kiamin na mm niamin ninacho kiamin 🙏🙏🙏

    • @hilalikapanda9718
      @hilalikapanda9718 Před 3 lety

      @@ramadhaniyasini9297 poa nimekupata mdogo wangu.
      Apo nakupa Big up kwa kutumia simu positively

  • @194summer
    @194summer Před 3 lety

    Paulo mtume alikua msomi sana na aliamini alikua anafanya kusudi halisi ila siku moja ..Matendo 9 ..alikutana na Yesu akamwachisha kazi ghafla akamuelekeza kwenye kusudi rasmi,,Kusoma tu sio kujua ulicho itiwa au kufanikiwa,,ni kumjua Yesu yeye anajua kusudi la kila mtu,,,

  • @bundukitv1322
    @bundukitv1322 Před 3 lety

    Nilioa mchawi bila kujua (Part 1)👇👇👇
    czcams.com/video/KNViq_1OI0o/video.html