Dr. Chris Mauki: Mambo 5 ya kuepuka katika mahusiano na ndoa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 12. 2020
  • Je unajua kuna baadhi ya makosa yasisiyo na athari kubwa sana kwenye mahusiano na ndoa wakati makosa mengine yanaweza kuonekana madogo lakini yakawatenganisha kabisa? Unajua ni yapi unapaswa kuyaepuka kabisa? Karibu kwenye somo hili nikupe mambo 5 unayopaswa kuyaepuka kabisa kwenye mahusiano na ndoa yako.
    Mambo 5 muhimu sana kuyashika : • Dr. Chris Mauki: Mambo...

Komentáře • 28

  • @leahjohnsimba4088
    @leahjohnsimba4088 Před 2 lety

    Nimekusoma asante kaka I have to start,

  • @kemuntojackline2267
    @kemuntojackline2267 Před 3 lety

    Asante sana doctor ninaingia kwa ndoa Soon nikiyafuata mafundizo yako nitafaulu

  • @onesmosanga8408
    @onesmosanga8408 Před 3 lety

    Asante sana dr mauki

  • @vicentgazirebby6249
    @vicentgazirebby6249 Před 3 lety

    kiukweli Mungu akubariki sana maana mimi ndo nimengia hu mwska nimeoa kabisa mke wangu anapenda ku linganisha sana na watu wengine mzee wangu sijuwi itakuaji kama niwe na mpings mpaka akome sijwi😔😔jmni sijuwi atachakufanya🙏🙏

  • @neemamunene8041
    @neemamunene8041 Před 2 lety

    Nikweli kabisa sema tupone

  • @halimahalima1984
    @halimahalima1984 Před 3 lety

    Pamoja docta

  • @happinessmtui8571
    @happinessmtui8571 Před 3 lety

    Kaka umeongea kweli kbsaa ubongo hufunga kbsa kbsa.Mafunzo mazuri sanaaa.Kumbe Mungu ametutofautisha sana.Unatujenga sana

  • @winfridamwigilwa2107
    @winfridamwigilwa2107 Před 3 lety +1

    Aisee you are the best Dr. Ubarikiwe

  • @makulaikuku6909
    @makulaikuku6909 Před 3 lety

    Mungu aendlee kukuweka na kukupa maarifa zaidi upate kutupatia sante snaaa

  • @hussenalisa7211
    @hussenalisa7211 Před 2 lety

    Ni mejifunza asate

  • @janekemunto2347
    @janekemunto2347 Před 3 lety

    asante kwa Masomo manzuri...God bless u

  • @veronicawoisso5332
    @veronicawoisso5332 Před 3 lety

    Barikiwa sana kaka, nimejifunza sana

  • @beatricesamweli8247
    @beatricesamweli8247 Před 4 měsíci

    Kaka mm nilikuwa na Toka na mume wa mtu tukadeti ikafika mda mm nikawa simuelewi nikamuucha tukakaa mienzi minne lkn alikuwa nanitafuta lkn na mpuuza lkn sasa hivi amenifata naanataka tuwe wote amasema ameshidwa kukaambali na mm naomba ushauli

  • @janenkhwazi2457
    @janenkhwazi2457 Před 3 lety +2

    Dr Chris....mume wangu alikuwa anapenda sana kunilinganisha na X -girlfriends kwamba mimi sifayi nami ikafika namujibu mabaya...I'm already divorced.I wish you were my marriage counselor

    • @fridalaswai1000
      @fridalaswai1000 Před 3 lety

      Bora we mie ni mke wa pili akikerwa kwa mkubwa kelele kwangu nikinyamaza na dharau ukimjibu nina mdomo. Inafika mahali anasema wote mko sawa kule kelele uku kelewa nikipata mwanamke atake nibembeleza nakuachaa

    • @janenkhwazi2457
      @janenkhwazi2457 Před 3 lety

      @@fridalaswai1000 Pole sana dada...nimepitia mengi pia

  • @joxeesety9895
    @joxeesety9895 Před 3 lety

    Ok ok ok

  • @petrojohn.8156
    @petrojohn.8156 Před 2 lety

    Sasa ,Dr.kama mwanamke hajali hisia zako utamfanyaje? ila ningenda wathsapp kuliko hapa kujibu swali langu.

  • @murependo163
    @murependo163 Před 3 lety

    Asnt san naomb namb zako dr

  • @twillahbenaiah2879
    @twillahbenaiah2879 Před 2 lety +1

    Mambo matano ya kuepuka katika mahusiano/ndoa yako:
    1.Kuepuka kulalamikiana/shutuma
    2.Kulinganishana. Mfano kulinganisha mpnz wako na ex wako
    3.kufanya jambo au mambo ili kumridhisha mpnz wako...Bali Fanya kwasababu unapenda na unafurahi
    4.Kusubiri pasipo kujaribu....ukikosea usiseme ndo umezoeaa inatakiwa ujaribu kubadilika.
    5. Kuhairisha mambo. Mnapanga mambo mengi lakini mnahairisha au mwenzio anatabia au wewe jaribu kusaidiana au kujibadilisha.
    Thank you Dr.

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu3538 Před 3 lety

    👍👍👍👍

  • @beatricesamweli8247
    @beatricesamweli8247 Před 4 měsíci

    Kaka mm nilikuwa na Toka na mume wa mtu tukadeti ikafika mda mm nikawa simuelewi nikamuucha tukakaa mienzi minne lkn alikuwa nanitafuta lkn na mpuuza lkn sasa hivi amenifata naanataka tuwe wote amasema ameshidwa kukaambali na mm naomba ushauli

  • @beatricesamweli8247
    @beatricesamweli8247 Před 4 měsíci

    Kaka mm nilikuwa na Toka na mume wa mtu tukadeti ikafika mda mm nikawa simuelewi nikamuucha tukakaa mienzi minne lkn alikuwa nanitafuta lkn na mpuuza lkn sasa hivi amenifata naanataka tuwe wote amasema ameshidwa kukaambali na mm naomba ushauli