Dr. Chris Mauki: Mambo 5 ya kuepuka katika mahusiano na ndoa
Vložit
- čas přidán 20. 12. 2020
- Je unajua kuna baadhi ya makosa yasisiyo na athari kubwa sana kwenye mahusiano na ndoa wakati makosa mengine yanaweza kuonekana madogo lakini yakawatenganisha kabisa? Unajua ni yapi unapaswa kuyaepuka kabisa? Karibu kwenye somo hili nikupe mambo 5 unayopaswa kuyaepuka kabisa kwenye mahusiano na ndoa yako.
Mambo 5 muhimu sana kuyashika : • Dr. Chris Mauki: Mambo...
Nimekusoma asante kaka I have to start,
Asante sana doctor ninaingia kwa ndoa Soon nikiyafuata mafundizo yako nitafaulu
Asante sana dr mauki
kiukweli Mungu akubariki sana maana mimi ndo nimengia hu mwska nimeoa kabisa mke wangu anapenda ku linganisha sana na watu wengine mzee wangu sijuwi itakuaji kama niwe na mpings mpaka akome sijwi😔😔jmni sijuwi atachakufanya🙏🙏
Nikweli kabisa sema tupone
Pamoja docta
Kaka umeongea kweli kbsaa ubongo hufunga kbsa kbsa.Mafunzo mazuri sanaaa.Kumbe Mungu ametutofautisha sana.Unatujenga sana
Asante sana
Aisee you are the best Dr. Ubarikiwe
Asante sana
Mungu aendlee kukuweka na kukupa maarifa zaidi upate kutupatia sante snaaa
AMEN
Ni mejifunza asate
asante kwa Masomo manzuri...God bless u
Asante sana
Barikiwa sana kaka, nimejifunza sana
Asante sana ndugu
Kaka mm nilikuwa na Toka na mume wa mtu tukadeti ikafika mda mm nikawa simuelewi nikamuucha tukakaa mienzi minne lkn alikuwa nanitafuta lkn na mpuuza lkn sasa hivi amenifata naanataka tuwe wote amasema ameshidwa kukaambali na mm naomba ushauli
Dr Chris....mume wangu alikuwa anapenda sana kunilinganisha na X -girlfriends kwamba mimi sifayi nami ikafika namujibu mabaya...I'm already divorced.I wish you were my marriage counselor
Bora we mie ni mke wa pili akikerwa kwa mkubwa kelele kwangu nikinyamaza na dharau ukimjibu nina mdomo. Inafika mahali anasema wote mko sawa kule kelele uku kelewa nikipata mwanamke atake nibembeleza nakuachaa
@@fridalaswai1000 Pole sana dada...nimepitia mengi pia
Ok ok ok
Sasa ,Dr.kama mwanamke hajali hisia zako utamfanyaje? ila ningenda wathsapp kuliko hapa kujibu swali langu.
Asnt san naomb namb zako dr
Mambo matano ya kuepuka katika mahusiano/ndoa yako:
1.Kuepuka kulalamikiana/shutuma
2.Kulinganishana. Mfano kulinganisha mpnz wako na ex wako
3.kufanya jambo au mambo ili kumridhisha mpnz wako...Bali Fanya kwasababu unapenda na unafurahi
4.Kusubiri pasipo kujaribu....ukikosea usiseme ndo umezoeaa inatakiwa ujaribu kubadilika.
5. Kuhairisha mambo. Mnapanga mambo mengi lakini mnahairisha au mwenzio anatabia au wewe jaribu kusaidiana au kujibadilisha.
Thank you Dr.
👍👍👍👍
Kaka mm nilikuwa na Toka na mume wa mtu tukadeti ikafika mda mm nikawa simuelewi nikamuucha tukakaa mienzi minne lkn alikuwa nanitafuta lkn na mpuuza lkn sasa hivi amenifata naanataka tuwe wote amasema ameshidwa kukaambali na mm naomba ushauli
Kaka mm nilikuwa na Toka na mume wa mtu tukadeti ikafika mda mm nikawa simuelewi nikamuucha tukakaa mienzi minne lkn alikuwa nanitafuta lkn na mpuuza lkn sasa hivi amenifata naanataka tuwe wote amasema ameshidwa kukaambali na mm naomba ushauli