KUSHINDA ROHO YA KUKATALIWA NA KUKOSA KIBALI || PASTOR GEORGE MUKABWA || 04/01/2024
Vložit
- čas přidán 3. 01. 2024
- Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
Unaweza Tuma Sadaka yako MPESA number +255 753 333 008
#jrcchurch #pastorgeorgemukabwa #tanzania #jrctz
Gospel Teachings for soul winning Purpose. - Krátké a kreslené filmy
MUNGU naomba nipate kibali nikubalike kwenye biashara yangu na familia yangu ipate kibali katika kazi zao kwa damu ya YESU Ameeen
Naenda kazini kila siku na sipati kulipwa na watu wengi wamenizulumu pesa zangu kilasiku naanza maish mapya 😢😢 Mungu naomba kibali
😭😭😭😭😭the same me
We we ni mimi jamani, Ee Mungu nope kibali machoni pa watu wako, nipe kibali Cha kazi yangu ikubalike, nipe kibali Biashara yangu itambulike kimataifa,
Mungu atusaidie
Ww 2 book@@saumusulaiman4742
Pokea kibali Cha kazi nakulipwa madeni Yako yote kwa jina la YESU KRISTO,kuanzia Leo hiyo Roho yakadhulumiwa naikemea juu yako kwa mamlaka ya JINA la YESU,utainuka tangu Leo nasiku zote zamaisha Yako hutorudi nyuma Tena.
Naomba mungu anibariki siku moja watu uku nje waache kunidharau i need respect one one day,,,,Amen God is with me in Jesus name
Pastor may God continue blessing you always 🙏❤️👍💪,,,aki tangu nikujue kupitia mitadao ukiubiri neno la mungu ,,,nimejifuza mengi katka hii safari ya ki Imani 👏👏👏👏,,,
Mungu nipe kibali cha kukubalika Nipe Neema ya kipekee itokayo kwako! Mungu niongezee kibali Mungu wangu!
Hallelujah Hallelujah Hallelujah Mungu wewe ni Mungu wa kweli! Zidi kunipa kibali chako kila wakati! Nipe kibali kitokacho kwako shusha malaika wako kwangu eeeeh! Mungu wangu
Ahsante yesu naomba Tina na rehema mbele zako nisamehe Kwa kuwa mtovu WA nidhamu Kwa habari ya kutokuwa mtiifu na mwaminifu nisamehe,,naomba roho mtakatifu usiniache niambatanishe na wewe nikasimame Kwa shauri lako na kuwa mwaminifu
Ahsante sana Mtumishi wa Mungu umefungua njia zangu haki nimejua nilipopotelea ! Kupitia huu ujumbe njia zangu zimefunguka
Mungu nipe kibali nimekua wakudharauliwa na kudhumiwa muda mrefu Yani wewe mungu ulie hai unikumbuke😢
Mungu nipe kibali machoni pa wazazi wangu na familiya zima sina kibali tangu utoto wangu
Mtumishi umbarikiwe sana nimejifunza mengi kutoka kwako Mungu azidndi kukuongoza
Amen,nimepokea kibali kuanzia leo kwa jina la Yesu 🙏🏿
Nakushuru Mungu kwasomo hili,kwani nimelipata kwa majira sahihi,ya uhitaji wangu,Mungu amenifunulia nakataliwa nandugu zangu Mimi nawatoto wangu,then nakutana nahili SoMo,haya nimajira sahihi yakushughulikia hii roho
Ameen napokea kibali kwa Jina la Yesu
Napokea kibali kwa jina la yesu.
Asante Mungukwa ujumbe mpya wa kunitia nguvu kupitia mtumishi Pastor Mkabwa.
Baba nisaindie nikubarike bwana Yesu Kristo wanasareti
Nashukuru Mungu kwajili yako yote uliyofundisha ni mm kbsa kila neno ulilosema ni mm kaabsa
Amen 🙏 ubarikiwe pastor
Mimi Niko Saudi na ninapitia halii hii ngumu sana pastor,ninabadilishiwa manyumba Hadi nimechoka,nahitaji maombi sana
Amen Amen mjungaji mafuzo yako yanabadirisha maisha my GOD bless you and your family growly to JESUS
Kuna mtu alinidulumu pesa nyingi sana so naomba mungu unipe kibali
Nimejifunza sana mengi katika masomo yako pastor George
Mungu naomba kibali mimi na familia yangu hatuna mtu wakutusaidia katika shida
Yupo Yesu aliye hai atakushindia
Mchungaji namka Saa Tisa usiku na ninalala Saa Tano usiku na biashara yangu hainisaidii inaisha tu😢😢😢
Ni somo zuri. Sana ndio muda ninaopitia lakini naamini kuanzia muda huu nitakubarika Amen
Mwenyezi Mungu azidi kukutumia ili ss tuokolewe nimejifunz meng ukungu akubariki
Eee
Mungu naomb Kibari nikubalike kila napokanyaga na kila nifanyacho Kipate kubali mble zako🙏
Napokea kibali cha kukubaliwa kwajina la YESU.Amen
Naomba kibali Mungu wangu
Ameen and Ameen Our God is powerful
Mungu akubariki sana Baba ninakuelewa sana wewe hunilea kiroho sana Mungu akutunze
Amen Amen 🙏
Mungu nipe kibali, pesa yangu iwache kupotea potea. Amen.
Mungu nipee kibali nafanya kazi ngumu pesa hainisadii kil😢😢🙏
Naomba leo mungu anikubalie maombi yangu
MUNGU kupitia nenola mtumishi wako nipate kibali mbele zako MUNGU wangu
Naomba kibali Mungu ndoa irejeshwe na isimame
Amen 😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Mungu naomba unipee Kibali
Mungu.nipe.kibali.nikubalike.kila.mahali.nitakapopita.amina
Baba mimi nimepoteza kibali changu mimi mwenyewe.Mungu anisamehe sana anirudishiye tena hicho kibali.
Amina ubarikiwe sana 🙏 siku nikija mwanza natamani nikione nikuletee na zawadi nabarikiwa sana mahubiri yako
Asante paster unaniponya
Ameen pastor niombee nipate kibali
Mungu wa George napokea kabari na kukubalika kila mahari niendapo ktk jina la YESU 🙏
Mungu hakik unaishi ninaamini upon na uta
Amen Pastor.
Amen Amen, Bwana naomba kibali chako kimaisha,na hata Huduma yangu nami nitakutukuza Bwana
Be blessed more pastor God may use you for more and more and you have a good message to on each reson
Ameen mtu wa Mungu kwa mafundisho hawa umeongea maisha ninayopitia naomba Mungu anipe kibali hii roho inanisumbua Mtumishi niombee
Mungu naomba unipe kibali kwenye biashara yangu niweze kutoka maana ninachangamoto.nipo chalinze naombee mnsaidie jaman
Pole sana
Ameen pastor
Amina napokea Kibali ktk maisha yangu
Napokea kibali leo kutoka kwa mungu amen 🙏 🙌
Naomba mungu kibari kwenye ndoa yangu
Umenitia moyo mtumishi wa mungu anipe kibali Kwa jina la yesu
It's my prayer God will make me a walking testimony after listening to this sermon in Jesus name.🙏
Amen Amen
Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen pstr barikiwa sana mutumishi wa mungu ❤❤❤❤
Mungu naomba kibali kubali mbele ya matifa mbele ya watu mbele ya makabila Bwana nisaindie nibe kibali hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah 😢😢😢😢
Mungu naomba unipe kibali nikubalike barua nilizoandika ipate kibali nipate kazi Amen
Mahubiri mazuri sanaa huku mbele sauti imekata natamani kulia somo zuri na nimejipata hapa tusaidie fundibmitambo hakuna sauti
Aminaa
Asante yesu kwa neno hili baba ubalikiwe
Amen napokea ktk jina la yesu aliye hai
Very very true , 😢
Ndio Yesu
Ameni ameni ❤
Amen pastor.Napokea kibali cha Mungu.
Ameen
Napokea kibali cha kukubaliwa kwa jina la yesu ameeeeen
Poster niombe sana nimekataliwa na marafiki baka kwa ndoa
Pastor may God bless you for the powerful word.. nmengangana muda mwingi bila mafanikio bt now I have known the truth.
Amen
Amina pastor ubarikiwe sana kwa kufanya nimefingukaa na kujua Niko ktk kiwango gani mie 🙏🙏🙏
Hamujambo bandung u mimi ninataka Mungu anipe kazi nzuri isiyo na matatizo nakukaamuda.mrefu na kuombeya watoto wangu 😅❤❤❤🎉
Naomba bariki kazi za mikono yangu
Asante pastor kwa hili somo barikiwa sana Hallelujah
Amen mchungaji naguswa kwa neno hili Mungu anipe kibali ili nikubalike mbere za Mungu na watu piana kwakibali
Mchungaji unasema kweli kabisa
Mungu nipe kibali chakukubaliwa na kila mtu pia nikubariki siku zote
Amina
MUNGU nipe kibali katika maisha yanayo endelea hapa duniani na familia yangu
Mungu nipe Kibali maombi yangu napo omba yakubaliwe n napo omba maudui wanatoroka
Sijui kibali changu kiliibiwa wapi,lkn Asante Sana kwa somo mimi napitia wakati mgumu Sana sasa napokea kwa jina la YESU KRISTO
Naomba anikumbuke nikumbalike
Naomba mungu nikubalike katika jina la yesu
Ameen... ubarikiwe mtumishi..baba naomba kibali chako🙏
Ameen napokea kibali katika jina la Yesu🙏
mwenzi mungu nipe kibali nikubalike kwenye maisha yangu
Napokea KWA jina la Yesu.
Amen Amen ubarikiwe Pastor George
Ee mungu wa mbinguni naomba kibali
Mungu nipatie kibali niweze kupata kazi nzuri
Naomba mungu anipe kibali chakukubalika kila sehemu
Naomba nipokee kibali kwanzia sas
Amen nimezidishiwa na mungu
Ubarikiwe mtumishi nimebakiwa sana.
Naomba muniombeye mume wangu apate kazi