DALILI ZA KUKUJULISHA KAMA UNAOMBA SAHIHI || DAY 3 || 10/1/2024
Vložit
- čas přidán 9. 01. 2024
- #jrctz #pastorgeorgemukabwa #jrcchurch
Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
Unaweza Tuma Sadaka yako MPESA number +255 753 333 008
#jrcchurch #pastorgeorgemukabwa #tanzania #jrctz
Gospel Teachings for soul winning Purpose. - Krátké a kreslené filmy
Ubarikiwe sana mtumishi. Umenisaidia sanaaaa
Very true pastor May God bless you, napenda utaratibu wako jinsi unavyo fundisha Mungu akuzidishe hekima zaidi
Barikiwa sanaa mtumichi 🙏🙏🙏
God bless you pastor! Mafundisho yako yananisaidia sana.
Wonderful preaching that is building my spirit to grow through fasting am from kenya nahitaji huyo mungu
Namshukuru Mungu kunisaidia kukufahamu Pastor mafundisho yako yamenifungua macho ya rohoni zaidi namna yakumtafuta Mungu endelea kuwasaidia watu wa Mungu 🙏🏻🙏🏻
😢Na jaribu kuomba na kosa nguvu nisaidiye baba
Following from Kenya Nairobi,, Asante kwa maombi,,I'm blessed
Glory to God Kwa kufuatisha ur teaching very true🙌🙌nilitumia mbinu Yako kwa Kijana wangu na Mungu akabadilisha kbsa matokeo yake kielimu na kifamilia naona movement ya amani ambapo haikua rahisi b blcd mtumishi 🙏
Ahsante pasta kwa mafundisho sahihi Ubarikiwe sana.
Amen Amen navushwa hapa na mafundisho yako mtumishi wa Mungu.Barikiwa sana.Mna heri nyinyi mliompata baba mzuri wa kiroho.mna heri sana.
17:35 17:37 17:37 17:37
Asante Sanaa papa na mahubiri Niko Ku drc Mu hôpital na mume wangu anagonjwa sukari. Yeye ni jeshi.
Amen
Ameen barikiwa sana pastor 🙏 🎉
Imetendaka kwa jina la Yesu
Amen, Amen Ee Bwana nitumie Mimi na familia yangu kuwa Baraka Kwa wengine.
Mungu wa mbinguni akuriki Pastor kwa elimu hii ya kimungu unayotufunza.
Mungu nsamehee ntajirekebisha 🙏🙏🙏
Mchungaji naomba unifafanulie kati ya nguvu za mungu na nguvu za universe....je n vitu viwil tofaut ama n is the same, plz nielezeeni
Hiki ndo nilitakiwa kusikia huu mwaka asante Mungu kwa kumpa haya maono huyu mtumishi wako
Amen amen 🙏🙏🙏🙏
Mtu wa Mungu we ni wa baraka kwa watu wengi,,,,,nakushukuru sana kwa mafundisho yako,,,kweli Mungu aninguze na anijaze na Roho ya msamaha na moyo wa unyenyekefu,,moto wa maombi ,, Amen & be blessed
Amina
Aminaaa
Baba Ninna barikiwa mno na mfundisho yako MUNGU akubariki
Baba nitumie mwaka huu.Sitaruhusu adui atumie pesa zangu,afya Yangu haitatumika na shetani in Jesus name amen
Nimebadilika kiroho na kimwili toka nimeanza kumfatilia huyu baba Mungu amtunze kwa ajili yangu😊
Umenibariki sana sana mambo makubwa yametendeka hallelujah utukufu Kwa Bwana wetu Yesu christo
Amen namushukuru Mungu Kwa hayo maombi,,kwakweli,,sijatoa sadaka lakini anaona Roho Yangu, maombi hayo,yanikomboe Kwa jina la Yesu kristu,
Amen amen
Ee Mungu Baba weka uharibibali , uovu, magonjwa weka mbali na Mimi FUTA aibu zaote Ee Bwana.
Amen Pastor napenda unavyorichambua neno Mungu
For those few days I have received something great .My God bless you
Baba ubarikiwe napata maarifa mengi kupitia wewe.i am lazaro nsuto.from ddm town
Mungu ani vushe iki kipindi kizito niko ndani na magonjwa pamoja
Nauliza swali tafathali . Niliachana na mme wangu kwasababu yakunipiga hadi nikiwa mjamzito hadi mtoto akiwa chini ya miezi miwili.tumeseparate 4 two
Amina sana asante Mungu barikiwa zaidi Mtumishi nimeuona mkono wa bwana
Asante Leo nmepata neno jipya asifiwe Yesu
Navuka Kwa jina Kristo Alie hai. Vikwazi, maneno yaliyosemwa juu yangu navuka
Amen 🙏 barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Powerful message to all Christians May God bless you pastor
Amen pastor ubarikiwe nataman na mm Bwana anitumie kama ww Pastor
Najiunganisha na maombi haya kwa jina la Yesu kristo
Barikwa mtumishi kwenye tv yanapatika haya mafundisho
Baba niko apa naomba moto wa roho mtakatifu nanguvu zaki roho na maombi ju ya nyumba yangu na tumbo langu niko congo
ASANTE Mtumishi wa MUNGU Ubarikiwe
Amina katika jina la YESU
Nsombe niwe.muambaji God give me power
Amen barikiwa mtumishi wa mungu
Naamini nitakuwa na ma adiliko amen
Mungu akubariki sana Mt wa Mungu alie hai
Hakika hakuna asiyetaka kujufahamu njia sahihi. Ila mafundisho hayapo. Nabarikiwa sana.
Amen Amen Baba nabarikiwa sana
Ameen and Ameen Our God is powerful
Pastor Bwana yesu asifiwe naomba kuuliza kwanini ninakosa Amani kila baada ya mda
Asant nmepokea kwa jina la yesu
Baba nifanyike baraka kwa wengine
Ameeeeeeen Barikiwa Baba
Ubarikiwe na mungu
Amen 🙏 Mungu nitumie sasa niko tayari
Amina baruwa sana mtumishi
Ameen ujumbe mzuri mtumishiii
Imetendeka kwa jina la Yesu. Navuka
Amina ubarikiwe sana mchungaji hakika ni ukweli
Am following you and am blessed with your words I am from Lusaka Zambia
Right now niko Saudi Arabia,,to be honest nimekua nikifatilia more pastors online but finally niliposkiza huyu pastor i just feel blessed and i heard to subscribe,,,be blessed Man of God May god Guide u always
Amina barikiwa nikiwa Mbeya Tukuyu
Amen Mtumishi wa Mungu
Man of God,,,I've been following you and your have become a blessed to me,,,,,,,,,,,,,, ,,,,, man of God your massages are powerful,,,,,,,, , I'm Josephine from Kenya, please man of if its possible say a word to me,,,,just say something to me, let your God be my God,,,,,,,,,,,, Amen
Asahnte kwa ufafanuzi kweli pasta❤
Amen naomba kivushwa
Amen Amen barikiwa sana pastor 🙏
Bwana yesu asifiwe pst kw kwle tok niligundua hay mafundish yk youtebu kusema kwli naona nikiwa nimeend kiwango kingine mm n mkenya ila kw sasa nik saudia n hii mafundisho yamenifany niwe n ibada kil ijumaa
Amen Amen
Barikiwa Pastor
Mungu akubariki na kukuinuwa zahidi
Amina Amina
Ameen
AminaAmina
Nikweli kabisa baba mtume wa mungu
Ameen nabarikiwa sana pastà
Nisamehe BABA kwa hay mafundisho hakikaa nitajitekebisha
Asante nabarikiwa sana
Amina Amina so touching
MUNGU naomba unisaidie
I'm blessed with your teachings.. more Grace pastor.from Kenya Nakuru
Amen amen 🙏
Ameeeeeen nabalikiwa tu sana
Oooooh hallelujah 🙏🙏🙏
Barikiwa sana
Amen 🙏 Amen 🙏
Aminaa mtumoshi
I love the teachings of this man of God,more grace
AMINAAA
Amen🙏
Amen 🙏 I'm blessed pastor
AMENI
Ameeeeeen
Years now,swali nimurudie au niache labda hakuwa wa maisha yangu? Advise me please.
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Niko Kenya naitaji namba ya kutuma sadaka Kwa utukufu wa Bwana wetu Yesu christo
Ameni🙏🙏🙏🙏🙏