SABABU KWANINI WATU WENGI WANAKUPUUZIA
Vložit
- čas přidán 5. 02. 2021
- Nafahamu kila mwanadamu ana kiu, hamu na shauku ya kupendwa, kusikilizwa na kushirikishwa katika yote ambayo wengine wanafanya. Sasa lazima utajisikia vibaya kama hayo yote yatakuwa kinyume kwako, na huenda usijue sababu ni nini haswa.
.
Sasa kama hili linakutokea wewe au mtu unayemfahamu, basi somo hili linaweza tiba bora kabisa ya tatizo hilo kwa litakueleza nini unatakiwa kufanya na nini si cha kufanya ili wengine wasikupuuze.
.
Usisahau tabia ya kujisomea ni jambo bora sana linaloweza kukupa maarifa ya kuwa bora katika maeneo mbalimbali kwenye maisha. Karibu ununue vitabu vitakavyokuongezea thamani katika maisha yako:
.
1. Elimu ya msingi ya fedha
2. Elimu ya msingi ya biashara
3. Biashara ndani ya ajira
4. Una nguvu ya kutenda miujiza
.
Kila kitabu gharama yake ni 20,000 TZS.
Tuma ujumbe wenye jina la kitabu kwenda
namba: 0759191076
.
Kujiunga na group la SPN BOOKS CLUB
Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076
.
Channel yangu yenye video fupifupi ( EZDEN SHOT CLIPS)
Click hapa: / channel
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuacha mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE pia kwa wengine.
.
TUFUATE INSTAGRAM:
SPN CHANNEL: / successpath_network
EZDEN JUMANNE: / ezdenjumanne
.
BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
WHATSAPP : (+255)759191076
.
TAZAMA ZAIDI KUTOKA KWETU:
⚫️ EZDEN JUMANNE: • EZDEN JUMANNE
⚫️ VITABU: • JE, TEKNOLOJIA INADUMA...
⚫️ VICTOR MWAMBENE: • TUMIA WATU KWA NJIA HI...
⚫️ HAMASA YA LEO: • SOMO LA MAISHA | Hamas...
⚫️ NDOA: • JIFUNZE MAMBO MANNE (4...
⚫️ AFYA: • Njia Salama za Kutoa S...
#kwanini #watu #wanakupuuza
Karibu ununue vitabu vitakavyokuongezea thamani katika maisha yako:
.
1. Elimu ya msingi ya fedha
2. Elimu ya msingi ya biashara
3. Biashara ndani ya ajira
4. Una nguvu ya kutenda miujiza
.
Kila kitabu gharama yake ni 20,000 TZS.
Tuma ujumbe wenye jina la kitabu kwenda
namba: 0759191076
.
Kujiunga na group la SPN BOOKS CLUB
Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076
SPN BOOKS CLUB MBONA KIMYA..
@@abdlhaleem8380 ukimya upi, fafanua? Darasa linaendelea
Tatzo sms whatsap hautoi majibu
@@pizzoyoungpaul1324 nitumie sasa hivi. usilalamike kabla hujafanya plan B. usipojibiwa jaribu kupiga simu wakati mwingine.
Una concept nzuri J
Alopelekwa darassani kama mimi gusa like apo
Allah akulipe Maake hiyo Ni pointi pia ktk msingi wa dini ya uislam kuomba omba Ni haijuzu kabisa.
Allah akulipe akhi azden.
Umenifunza vizuri Sana nnazo izo tabia zooote kuanzia leo sasa ivi najirekebisha duh umenielewesha wewe Allah akulinde
Nashukuru sana Safia. Karibu
Ndugu shukurani kwa ujumbe mzuri, mungu azidi kukujalia uzima
Video zipo vizr kikubwa ujumbe unaotoa upo vzr mungu akubariki aibariki kaz za mikono yako 🙏🙏
Ahxante sana bro kwa somo zurii lenye kutupa mwanga mpyaaa!!!
Tangu nianze kuskiliza video zako zimebadilisha maisha yangu pakubwa keep it up brother watching from Iraq Baghdad
Sound clarity is Dope
Brother nakuelewa sana na your session is very profitable.. Thanks..
Amina, somo Zuri sana mwalimu. Daima unatoa vitu sahihi sana vinavyotujenga, binafsi nimejifunza jambo hapo hata kwa utumishi wangu,, hii ipo kwa kila eneo nimeona watu wengi ikiwafanya kupoteza thamani zao kupitia hizi tabia. ASANTE
Brow upo vzrii sana hua nakufatlia sanaa Nakuombea maisha marefuu👍👍👍
aamiin
Unaelezea point Moja kwa mda mrefu sana
Uko vizuri bro endelea kutuelimiasha
Thank you for your advice 🙏
Kwaupande wangu nashukuru kwaelimu hii mungu akuzidishie maarifa
Asante kaka kwa kuniongezea madini🙏🙏🙏
Thanks God Blessing.
Asante bro nashukulu najuwa ujawahi kulabu ❤❤❤tufundishe na tufike mafanikio bro more blessed 🙏🙏
Shukrani broo nimekuelewa
Ok.Thenk you brother
Asante kwa somo hili kaka Ezden, mungu akupe umuri mrefu.Usichoke kutuelimisha....Unatuokoa wengi
Shukrani kaka tangu nianze kuku sikiliza nipo vizuri sana allah akulinde
Shukran kwa somo zuri barikiwa
allah akupe shfa in sha allah
Fact kk nimeipendaa hii
Kwl kabisa hongela san kwa somo zuli good bleess you
Sawa Kaka nimekuelewa sana
I like your stories
I real appreciate you
Ujumbe mzuri kaka ahsante kwa chakula hiki
Shukran kaka kwa somo khakika nimejifunza kupitia hili somo🙏
we jamaa nafatilia sanaa post zako biguppp very talent!!
Ahsante sanabroo
Kwamifano tu uko vizuri Mr Ezden ahsantesana
Asante sana kwa somo hili limenipa NGUVU sana, upo sahihi sana
Good massage 😘
Watu watakudharau vile vile kama wewe ni mtu wa kufuata wake au binti za watu. Watu hawatataka wewe kuwa karibu nao au kukutolea utambulisho. Wataku-block facebook na ma-group mengine.
Nakukubari san tena sana broo
Yani uko vizuri umenifundisha kuweka akiba, kujakufika mwakani nitakuwa mtufulani asante...
Asante sana Ndelya Kitenge kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Kazi nzur mungu hakupe Uwezo mkubwa Uendelee kutusaidia
Nimependa somo laleo
Shukran Sana kaka nimepata kitu
Nmependa sana
Somo lipo good Sana ezden
I don't understand how a person can dislike such valuable content
Hahahaha life is amazing full of things you can't define. Ndio maisha, na hayo yasikuondoe kwenye kufanya mema
Uko sawa kabisaaaaaaaaaa kaka yangu endelea
Glory to God!!
Asant sana kak
Brother Ezdin mm nakuelewa sana Mungu akubarik sana uendelee kuelewesha Jamii
Nakuelewaga sana mzazi👍👍
Asante sana Brother kwa ukumbusho
Asante sana Mussa reonard Aloyce kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Brother uko vzr kwely I like its
Thanks bro unajua sn nakubal 👊
Mashallah unaupiga mwingi brother
Good kaka Mungu akuzidishie upeo
Ninaangalia video Zako Kutoka Msumbiji Niassa
Meu Muito Obrigado eu agraco Bastante do coracao
Shukrani sana kaka Ezden,,, barikiwa sana sana,, darasa huru ,,, najifunza mengi sana kupitia channel hii
Ahsante kaka Ezden
Kweli kabisa kaka shukran
Safi sana Mungu akubariki
Muito grato pela informação
Nimekuelewa sana brother. Nakupata kupitia Mozambique 🇲🇿
Uko vizuri
Ujumbe mzuri
Nakushukulu sana kaka kwaelimu nimejigunza asntesana
Somo zuri sana
Upo vizur Saaan kak
Shukrani sana
Kweli kabisaa broo
Nakubarii
Nimeipenda iyo
Very true bro
Brother nimekuelewa sana hiyo tabia ya kulalamika inantesa unakuta mm nafanya wajibu wangu watu hawafanyi wajibu wao ss mm inaniuma ndo maana na blame ila sio Kwa kupenda
Kweli
Good 👍
Safi sana
Nakupata bro
Nikweli kbs bro.
Nakubali xana kaka
Video zako ni nzuli Sana,na zinanitoa mahali na kunipeleka mahali hasa kifikra
Bro hili SoMo laleo linanihusu sana ten sana broo daaaaa kwel nimejiona mjinga Sanaa
Hapana usijione mjinga. Siku ya kujifunza ni siku muhimu sana katika maisha yetu.... Ni siku ya kuwa makini sababu huenda hapa ndio chanzo cha mabadiliko yako basi usijichukulie vibaya kama ulivyosema ila tambua imekujia katika wakati sahihi na kwa sababu maalum....fanyia kazi ulichojifunza ili kesho iwe siku nyingine
Point ya mwisho nimejifunza kitu brother, Hakika umenisongeza bele toko 30% Hadi 55% Ahsante.
Ujumbe mzuri sana Kaka, but Ushauri wangu punguza kuelezea sana point, maelezo mengi hadi point ya Kwanza mtu hakumbuki
Ezden unasonekaga vema Sana
Uko vzr
Nikama umeniongelea mimi hayo yote Niko nayo na hayo ya pili yamenizunguka kama ulimi kwa meno, na hata kama nataka kujinasuwa nimekwisha kuchelewa kulingana na umri mrefu nilio nao, jee nifanye nini au nianzie wapi mwanangu? 🙏🏻🙏🏻🙏🏻⚘
Nakukubari mkuu
Asee nakubal sana
Vizuri sana
Umenifundisha Sana kaka
Sikumoja InshaAllah tuwekeye jinsi ya ku kukabiliana na boss mnafiki.sometimes unaweza kuajiriwa management yako inakuonesha Huyu ndiyo supervisor wako atakuwa Anakuonesha jinsi ya kifanya kazi but huyo huyo supervisor wako anaweza kukufanyia chuki ukafukuzwa kazi anaweza kukuandikiya report akaweka kwenye record yako ya kazi ili tu upnekane ww hauko mfanya kazi mzuri unajikuta unafukuzwa hivyo.
Pamoja from Burundi
Ukweli mtupu ndugu
Nimependa somo ili sana
THANKS BROO
Asante sana yassir mohammed kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Hahahaha aisee hii content ipo makin sanàaaaaa
Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!
Show kali brother
Asante sana Athuman Lwakahama kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Kweli kabisaaa
Kaka shukurani sana kunakatabia ambacho mm ninacho umekitaja hapo Mungu akuongoze
Allah akuzidishie elim kaka ezden kwakweli tunafaidika alhamdulillah