SABABU KWANINI WATU WENGI WANAKUPUUZIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 02. 2021
  • Nafahamu kila mwanadamu ana kiu, hamu na shauku ya kupendwa, kusikilizwa na kushirikishwa katika yote ambayo wengine wanafanya. Sasa lazima utajisikia vibaya kama hayo yote yatakuwa kinyume kwako, na huenda usijue sababu ni nini haswa.
    .
    Sasa kama hili linakutokea wewe au mtu unayemfahamu, basi somo hili linaweza tiba bora kabisa ya tatizo hilo kwa litakueleza nini unatakiwa kufanya na nini si cha kufanya ili wengine wasikupuuze.
    .
    Usisahau tabia ya kujisomea ni jambo bora sana linaloweza kukupa maarifa ya kuwa bora katika maeneo mbalimbali kwenye maisha. Karibu ununue vitabu vitakavyokuongezea thamani katika maisha yako:
    .
    1. Elimu ya msingi ya fedha
    2. Elimu ya msingi ya biashara
    3. Biashara ndani ya ajira
    4. Una nguvu ya kutenda miujiza
    .
    Kila kitabu gharama yake ni 20,000 TZS.
    Tuma ujumbe wenye jina la kitabu kwenda
    namba: 0759191076
    .
    Kujiunga na group la SPN BOOKS CLUB
    Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076
    .
    Channel yangu yenye video fupifupi ( EZDEN SHOT CLIPS)
    Click hapa: / channel
    .
    Usiache ku SUBSCRIBE na kuacha mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE pia kwa wengine.
    .
    TUFUATE INSTAGRAM:
    SPN CHANNEL: / successpath_network
    EZDEN JUMANNE: / ezdenjumanne
    .
    BIASHARA, MATANGAZO NA VITABU:
    EMAIL: successpathnetwork@gmail.com
    WHATSAPP : (+255)759191076
    .
    TAZAMA ZAIDI KUTOKA KWETU:
    ⚫️ EZDEN JUMANNE: • EZDEN JUMANNE
    ⚫️ VITABU: • JE, TEKNOLOJIA INADUMA...
    ⚫️ VICTOR MWAMBENE: • TUMIA WATU KWA NJIA HI...
    ⚫️ HAMASA YA LEO: • SOMO LA MAISHA | Hamas...
    ⚫️ NDOA: • JIFUNZE MAMBO MANNE (4...
    ⚫️ AFYA: • Njia Salama za Kutoa S...
    #kwanini #watu #wanakupuuza

Komentáře • 199

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork  Před 3 lety +16

    Karibu ununue vitabu vitakavyokuongezea thamani katika maisha yako:
    .
    1. Elimu ya msingi ya fedha
    2. Elimu ya msingi ya biashara
    3. Biashara ndani ya ajira
    4. Una nguvu ya kutenda miujiza
    .
    Kila kitabu gharama yake ni 20,000 TZS.
    Tuma ujumbe wenye jina la kitabu kwenda
    namba: 0759191076
    .
    Kujiunga na group la SPN BOOKS CLUB
    Tuma whatsapp text : SPN BOOKS CLUB kwenda 0759191076

    • @abdlhaleem8380
      @abdlhaleem8380 Před 3 lety +1

      SPN BOOKS CLUB MBONA KIMYA..

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 3 lety +1

      @@abdlhaleem8380 ukimya upi, fafanua? Darasa linaendelea

    • @pizzoyoungpaul1324
      @pizzoyoungpaul1324 Před 3 lety

      Tatzo sms whatsap hautoi majibu

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 3 lety +1

      @@pizzoyoungpaul1324 nitumie sasa hivi. usilalamike kabla hujafanya plan B. usipojibiwa jaribu kupiga simu wakati mwingine.

    • @chw2075
      @chw2075 Před 2 lety

      Una concept nzuri J

  • @prudotz157
    @prudotz157 Před 3 lety +33

    Alopelekwa darassani kama mimi gusa like apo

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 Před 3 lety +11

    Allah akulipe Maake hiyo Ni pointi pia ktk msingi wa dini ya uislam kuomba omba Ni haijuzu kabisa.
    Allah akulipe akhi azden.

  • @safiasaleh669
    @safiasaleh669 Před 3 lety +4

    Umenifunza vizuri Sana nnazo izo tabia zooote kuanzia leo sasa ivi najirekebisha duh umenielewesha wewe Allah akulinde

  • @hdjirungakashililika7538
    @hdjirungakashililika7538 Před 3 lety +10

    Ndugu shukurani kwa ujumbe mzuri, mungu azidi kukujalia uzima

  • @eagleeyes1006
    @eagleeyes1006 Před 3 lety +6

    Video zipo vizr kikubwa ujumbe unaotoa upo vzr mungu akubariki aibariki kaz za mikono yako 🙏🙏

  • @merykabogo7636
    @merykabogo7636 Před 3 lety +7

    Ahxante sana bro kwa somo zurii lenye kutupa mwanga mpyaaa!!!

  • @akinyisusan8049
    @akinyisusan8049 Před 3 lety +5

    Tangu nianze kuskiliza video zako zimebadilisha maisha yangu pakubwa keep it up brother watching from Iraq Baghdad

  • @ummies4349
    @ummies4349 Před 3 lety +6

    Sound clarity is Dope

  • @munzilvuai3587
    @munzilvuai3587 Před 3 lety +6

    Brother nakuelewa sana na your session is very profitable.. Thanks..

  • @yohanamahundi4230
    @yohanamahundi4230 Před 9 měsíci +1

    Amina, somo Zuri sana mwalimu. Daima unatoa vitu sahihi sana vinavyotujenga, binafsi nimejifunza jambo hapo hata kwa utumishi wangu,, hii ipo kwa kila eneo nimeona watu wengi ikiwafanya kupoteza thamani zao kupitia hizi tabia. ASANTE

  • @user-bj9qj2ib2g
    @user-bj9qj2ib2g Před 4 měsíci +1

    Brow upo vzrii sana hua nakufatlia sanaa Nakuombea maisha marefuu👍👍👍

  • @happnesstupuyo155
    @happnesstupuyo155 Před 2 lety +1

    Unaelezea point Moja kwa mda mrefu sana

  • @enockaward7346
    @enockaward7346 Před 3 lety +2

    Uko vizuri bro endelea kutuelimiasha

  • @rukaiyakihemba6111
    @rukaiyakihemba6111 Před 3 lety +3

    Thank you for your advice 🙏

  • @zaynabhussein6825
    @zaynabhussein6825 Před 3 lety +2

    Kwaupande wangu nashukuru kwaelimu hii mungu akuzidishie maarifa

  • @herybwanga507
    @herybwanga507 Před 3 lety +4

    Asante kaka kwa kuniongezea madini🙏🙏🙏

  • @frenkcoster3069
    @frenkcoster3069 Před 2 lety

    Thanks God Blessing.

  • @user-ig1ld4dv8o
    @user-ig1ld4dv8o Před rokem

    Asante bro nashukulu najuwa ujawahi kulabu ❤❤❤tufundishe na tufike mafanikio bro more blessed 🙏🙏

  • @isihakhabakiri4473
    @isihakhabakiri4473 Před 3 lety +5

    Shukrani broo nimekuelewa

  • @ziadachewa2043
    @ziadachewa2043 Před 3 lety +2

    Ok.Thenk you brother

  • @Mbukuzicom
    @Mbukuzicom Před rokem

    Asante kwa somo hili kaka Ezden, mungu akupe umuri mrefu.Usichoke kutuelimisha....Unatuokoa wengi

  • @hafsa118ll
    @hafsa118ll Před 10 měsíci +1

    Shukrani kaka tangu nianze kuku sikiliza nipo vizuri sana allah akulinde

  • @simulizizakiswahili
    @simulizizakiswahili Před 3 lety

    Shukran kwa somo zuri barikiwa

  • @kitauromohamad9802
    @kitauromohamad9802 Před rokem

    allah akupe shfa in sha allah

  • @godfreylyimo1224
    @godfreylyimo1224 Před 3 lety +2

    Fact kk nimeipendaa hii

  • @deniskalingo7327
    @deniskalingo7327 Před 3 lety

    Kwl kabisa hongela san kwa somo zuli good bleess you

  • @chimmaneno4455
    @chimmaneno4455 Před 3 lety +2

    Sawa Kaka nimekuelewa sana

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 Před 3 lety +2

    I like your stories

  • @zakhiryhassan4615
    @zakhiryhassan4615 Před 2 lety

    I real appreciate you

  • @gideonyudamwagala5135
    @gideonyudamwagala5135 Před 3 lety +2

    Ujumbe mzuri kaka ahsante kwa chakula hiki

  • @dottnatt7110
    @dottnatt7110 Před 3 lety +1

    Shukran kaka kwa somo khakika nimejifunza kupitia hili somo🙏

  • @mathewmathesela1989
    @mathewmathesela1989 Před 3 lety +1

    we jamaa nafatilia sanaa post zako biguppp very talent!!

  • @MjataHashimu
    @MjataHashimu Před rokem

    Ahsante sanabroo

  • @edisonjoseph4087
    @edisonjoseph4087 Před 3 lety +2

    Kwamifano tu uko vizuri Mr Ezden ahsantesana

  • @citymaxbookshoptanzania2924

    Asante sana kwa somo hili limenipa NGUVU sana, upo sahihi sana

  • @mohdsamatta7852
    @mohdsamatta7852 Před 3 lety

    Good massage 😘

  • @freddokuckelmann8502
    @freddokuckelmann8502 Před 3 lety +8

    Watu watakudharau vile vile kama wewe ni mtu wa kufuata wake au binti za watu. Watu hawatataka wewe kuwa karibu nao au kukutolea utambulisho. Wataku-block facebook na ma-group mengine.

  • @bufarosoldier5127
    @bufarosoldier5127 Před 3 lety +2

    Nakukubari san tena sana broo

  • @ndelyakitenge1673
    @ndelyakitenge1673 Před 3 lety +2

    Yani uko vizuri umenifundisha kuweka akiba, kujakufika mwakani nitakuwa mtufulani asante...

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 3 lety +1

      Asante sana Ndelya Kitenge kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
      Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
      kwenda namba 0759191076.
      .
      Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076

  • @geofreymboyelwa614
    @geofreymboyelwa614 Před 2 lety

    Kazi nzur mungu hakupe Uwezo mkubwa Uendelee kutusaidia

  • @fredymasima6712
    @fredymasima6712 Před 3 lety +2

    Nimependa somo laleo

  • @SkillsLearningNetworkTZ

    Shukran Sana kaka nimepata kitu

  • @franciskennethngwale5195

    Nmependa sana

  • @latifuhlucass3866
    @latifuhlucass3866 Před rokem

    Somo lipo good Sana ezden

  • @abdoulsalamally6652
    @abdoulsalamally6652 Před 3 lety +2

    I don't understand how a person can dislike such valuable content

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety

      Hahahaha life is amazing full of things you can't define. Ndio maisha, na hayo yasikuondoe kwenye kufanya mema

  • @DottoNtemi-kt5jc
    @DottoNtemi-kt5jc Před 5 měsíci

    Uko sawa kabisaaaaaaaaaa kaka yangu endelea

  • @adamsnessbrizzy8954
    @adamsnessbrizzy8954 Před 3 lety +1

    Glory to God!!

  • @pascalmsuyajr.7980
    @pascalmsuyajr.7980 Před 3 lety +1

    Asant sana kak

  • @dosaahlulbayt7864
    @dosaahlulbayt7864 Před 3 lety

    Brother Ezdin mm nakuelewa sana Mungu akubarik sana uendelee kuelewesha Jamii

  • @tonymalando9872
    @tonymalando9872 Před 3 lety +2

    Nakuelewaga sana mzazi👍👍

  • @mussareonardaloyce5959
    @mussareonardaloyce5959 Před 3 lety +1

    Asante sana Brother kwa ukumbusho

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 3 lety

      Asante sana Mussa reonard Aloyce kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
      Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
      kwenda namba 0759191076.
      .
      Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076

  • @sultanabdillah1799
    @sultanabdillah1799 Před 3 lety

    Brother uko vzr kwely I like its

  • @chuggabad1604
    @chuggabad1604 Před 2 lety

    Thanks bro unajua sn nakubal 👊

  • @AbdallahFahm
    @AbdallahFahm Před 3 měsíci

    Mashallah unaupiga mwingi brother

  • @Tonnie_Dee
    @Tonnie_Dee Před 3 lety

    Good kaka Mungu akuzidishie upeo

  • @krtgsmtechnology5732
    @krtgsmtechnology5732 Před 2 lety

    Ninaangalia video Zako Kutoka Msumbiji Niassa
    Meu Muito Obrigado eu agraco Bastante do coracao

  • @medsonstarlon0805
    @medsonstarlon0805 Před 2 lety

    Shukrani sana kaka Ezden,,, barikiwa sana sana,, darasa huru ,,, najifunza mengi sana kupitia channel hii

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 Před 3 lety +3

    Ahsante kaka Ezden

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 Před 3 lety

    Kweli kabisa kaka shukran

  • @henrymlowe2548
    @henrymlowe2548 Před 2 lety

    Safi sana Mungu akubariki

  • @GilvistaLucasSimone-nj1kw
    @GilvistaLucasSimone-nj1kw Před 8 měsíci

    Muito grato pela informação

  • @paidenasra4548
    @paidenasra4548 Před 3 lety +1

    Nimekuelewa sana brother. Nakupata kupitia Mozambique 🇲🇿

  • @ibrahimndorobo2740
    @ibrahimndorobo2740 Před 2 lety

    Uko vizuri

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 Před 3 lety +2

    Ujumbe mzuri

  • @vicentndiholeye1067
    @vicentndiholeye1067 Před rokem

    Nakushukulu sana kaka kwaelimu nimejigunza asntesana

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 Před 2 lety

    Somo zuri sana

  • @user-ng2ok3eg1i
    @user-ng2ok3eg1i Před 10 měsíci +1

    Upo vizur Saaan kak

  • @michaelsafari
    @michaelsafari Před 10 měsíci +1

    Kweli kabisaa broo

  • @sixbetusumewashaa5677
    @sixbetusumewashaa5677 Před 3 lety +2

    Nakubarii

  • @devothalupenza4269
    @devothalupenza4269 Před 3 lety

    Nimeipenda iyo

  • @joackimkazoba
    @joackimkazoba Před rokem

    Very true bro

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 Před rokem +1

    Brother nimekuelewa sana hiyo tabia ya kulalamika inantesa unakuta mm nafanya wajibu wangu watu hawafanyi wajibu wao ss mm inaniuma ndo maana na blame ila sio Kwa kupenda

  • @manmaster536
    @manmaster536 Před rokem +1

    Kweli

  • @ally7741
    @ally7741 Před 3 lety

    Good 👍

  • @mbaloplatnumz646
    @mbaloplatnumz646 Před 2 lety

    Safi sana

  • @stevenbigho1443
    @stevenbigho1443 Před 3 lety

    Nakupata bro

  • @rashidisabina5356
    @rashidisabina5356 Před 3 lety +1

    Nikweli kbs bro.

  • @habilielickana4035
    @habilielickana4035 Před 2 lety

    Nakubali xana kaka

  • @annamyinga9503
    @annamyinga9503 Před 2 lety +1

    Video zako ni nzuli Sana,na zinanitoa mahali na kunipeleka mahali hasa kifikra

  • @user-bk6kc9yp1j
    @user-bk6kc9yp1j Před 8 měsíci +1

    Bro hili SoMo laleo linanihusu sana ten sana broo daaaaa kwel nimejiona mjinga Sanaa

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 8 měsíci

      Hapana usijione mjinga. Siku ya kujifunza ni siku muhimu sana katika maisha yetu.... Ni siku ya kuwa makini sababu huenda hapa ndio chanzo cha mabadiliko yako basi usijichukulie vibaya kama ulivyosema ila tambua imekujia katika wakati sahihi na kwa sababu maalum....fanyia kazi ulichojifunza ili kesho iwe siku nyingine

  • @chazboy8630
    @chazboy8630 Před 3 lety

    Point ya mwisho nimejifunza kitu brother, Hakika umenisongeza bele toko 30% Hadi 55% Ahsante.

  • @ngwavi2886
    @ngwavi2886 Před 3 lety +1

    Ujumbe mzuri sana Kaka, but Ushauri wangu punguza kuelezea sana point, maelezo mengi hadi point ya Kwanza mtu hakumbuki

  • @mroceanpatro6147
    @mroceanpatro6147 Před 3 lety +2

    Ezden unasonekaga vema Sana

  • @sylviacornely4688
    @sylviacornely4688 Před rokem

    Uko vzr

  • @chozilasamaki5473
    @chozilasamaki5473 Před 2 lety

    Nikama umeniongelea mimi hayo yote Niko nayo na hayo ya pili yamenizunguka kama ulimi kwa meno, na hata kama nataka kujinasuwa nimekwisha kuchelewa kulingana na umri mrefu nilio nao, jee nifanye nini au nianzie wapi mwanangu? 🙏🏻🙏🏻🙏🏻⚘

  • @enockaward7346
    @enockaward7346 Před 3 lety

    Nakukubari mkuu

  • @hamoudking6219
    @hamoudking6219 Před 3 lety

    Asee nakubal sana

  • @ammybonny16
    @ammybonny16 Před 2 lety +1

    Vizuri sana

  • @abasiamili4504
    @abasiamili4504 Před 3 lety

    Umenifundisha Sana kaka

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 Před 2 lety +1

    Sikumoja InshaAllah tuwekeye jinsi ya ku kukabiliana na boss mnafiki.sometimes unaweza kuajiriwa management yako inakuonesha Huyu ndiyo supervisor wako atakuwa Anakuonesha jinsi ya kifanya kazi but huyo huyo supervisor wako anaweza kukufanyia chuki ukafukuzwa kazi anaweza kukuandikiya report akaweka kwenye record yako ya kazi ili tu upnekane ww hauko mfanya kazi mzuri unajikuta unafukuzwa hivyo.

  • @habibismael4937
    @habibismael4937 Před 3 lety +3

    Pamoja from Burundi

  • @abdallaathumani2064
    @abdallaathumani2064 Před 3 lety +2

    Ukweli mtupu ndugu

  • @kelvinally7384
    @kelvinally7384 Před 3 lety +1

    Nimependa somo ili sana

  • @yassirmohammed5067
    @yassirmohammed5067 Před 3 lety +1

    THANKS BROO

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 3 lety

      Asante sana yassir mohammed kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
      Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
      kwenda namba 0759191076.
      .
      Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076

  • @omarysaleh9723
    @omarysaleh9723 Před 2 lety +1

    Hahahaha aisee hii content ipo makin sanàaaaaa

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety

      Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!

  • @athumanlwakahama4310
    @athumanlwakahama4310 Před 3 lety +1

    Show kali brother

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 3 lety

      Asante sana Athuman Lwakahama kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
      Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
      kwenda namba 0759191076.
      .
      Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076

  • @user-lu5xn5hq9u
    @user-lu5xn5hq9u Před 4 měsíci

    Kweli kabisaaa

  • @mbagalaonlinetv2652
    @mbagalaonlinetv2652 Před 3 lety

    Kaka shukurani sana kunakatabia ambacho mm ninacho umekitaja hapo Mungu akuongoze

  • @freddyngabonziza5864
    @freddyngabonziza5864 Před 3 lety +2

    Allah akuzidishie elim kaka ezden kwakweli tunafaidika alhamdulillah