The Story Book:Ukweli Wote Kuhusu PEPONI.
Vložit
- čas přidán 3. 11. 2022
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Kama mimi na wewe tutaacha mademu tukatenda mema, tukamsema vizuri Mwenyezi Mungu na kumsujudu kwa ile kweli na subira. Pigeni likes 20 zitatosha kubadili maisha yetu hapa duniani🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Si kweli Ila mbinguni watakaoingia ni watakatifu tu,wenye haki walioishi Maisha ya kutokutenda uovu
Sema mimi kimoja tuu! kinacho nisumbua ni kuacha mademu🤔🤔🤔🤔
Mungu aliumba mademu kwa ajili yetu bro, tuache mademu halafu inakuaje?😅
@@derickshady5590 Hahaa bonge la point Mzee tuwaache afu tuishije sasa afu Mwamba anahisi like ndoo zitatufanya Mungu atuhurumie 😅
May God bless u abudantly Msitafa proffeser Jamali big up.
From Kenya,tunakubali sana Jamal,huyu ni legend,kama unakubali nipe like..
Jamal ni bazuu
He is lied
czcams.com/video/xYrqkerpoOQ/video.html
Amina
@@Whiteshow_kee😊wr we
KAMA UNAAMINI WEWE UTAKUA NI MMOJA WAPO KATI YA WATU AMBAO WATAINGIA PEPONI EMBU GONGA LIKE APAA
Kuna mapepo yawili ya wasilamu na wakristo ni ipi una Gongea Like?
Utaishi dunian labda miaka 50 lakini akhera utaishi milele na milele.tufanye mema kwaajili ya kupata maisha mazur
Yohana 3:16
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
@@endtimes9850 mmungu hana mtoto ana mana bee ndugu fatilia mmungu hazaa wala kuzaliwa
Jaman mung Hana mtoto muwe na adabu kidogo
@@TharsilaAthanas-iu2qfsisi tunaamini biblia ,,usitake wote tuamn yenu sio sawa.
Hakika
Gharama ya maisha imepanda huku Kenya tuombeeni😥 ila lazima tuone the story book . Wakenya pigeni likes hapa.
True 😥😥
🙏🙏🙏🙏🙏
Pole sana
Ukristo sio dini....
Amen 😊
Jamani nime chelewa kidg bwana ndiye mchungaji wangu sita pungukiwa na kitu😭 plz like hata 50
😂😂
Tuishi kwa hofu ya Mungu , duniani tunapita 😔 pia hatuna maisha marefu kabisa , km umewai kusikia ule msemo fainal uzeen bac uzeen ndo uko
Simulizi mix sikitiko
Hakuna kipindi kingine nachokiangalia wasafi zaid ya hiki, tujuane kwa like
Kwa kweli huyu jamaa anatisha amefanya tafiti za kweli mashaa llahu
Unasemaje
Kinakuwaga mda gan na siku gan
Tunaomkubali sana professor jamal
Gonga like twende sawa
Maneno yana tia moyo kwa sisi ambao tuna hofu ya Mungu , baba Mungu Wetu kwa huruma yako tusaleye zambi na utupe mwisho mzuri ❤️🙏🏿
hata uwe na ofu vp rakini Ile ya kitamani mdiyo itakayo kuchinja😀😀😀😀
Maskn
Amin
Hakuna bba mungu.... ni Allah
Peponi wataingia waisilamu tu walio muamini Allah na mtume wake
Ni ngumu Sana mtu kuacha pesa Kwa sababu ya kitu anachokipenda lakini ni rahisi Sana mtu kuacha kitu anachokipenda Kwa sababu ya pesa Kwa maana hiyo fedha imechukua nafasi kubwa katika maisha yetu na ndio chanzo Cha uchafu wote tulionao maishani mwetu muhimu Sana kujitathmini na kutafakari muda wa uhai wako🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭
Allah akutunze Jamal Mustafa akufanyie wepesi Kwa kila jambo lililo mbele yako the story book
Huyu jama Djamali ni very creative kabisa, nipe likes kama unakubaliana na mimi👍
Sana uyu jaama anatisha
Allah atujaalie tuwe miongoni mwa watu wa peponi. Aaamin.
Allahummah Aamyiin Yarabi
Allahuma amiin
Allahumma amiiin
Amiin❤️🥺
Amiin
Respect professor Jamal
Ewe mola ulieniweka kwenye tumbo la mamangu, ukanichagua niwe binadam na ukanipa uhai Leo, nakusihi nipe nguvu ya kuzishinda tamaa za Dunia, na unipe moyo safi ili siku nikichora pumz yangu ya mwsho, niione Ile nchi nzur ulioniandalia,. Tamaa isinishinde mm😭
Mola akujaalie Kila la kher
kuwa muislamu kwanza ndo utaiona pepo
Amina
Namuomba mungu atujaalie tuwe miongoni mwa watu wa peponi, amiin.
Akhii Jamal namuomba Mungu akupe hii pepo yake Jannatul firdaous Allahumma Amiin ya Mujib 🤲🏼🤍 Shukran sana kwa kutuelimisha vyema kila story book 📖📚🙌🏽
Amin
Mashallah Allah Atujaalie tuwe miongon mwa waja wa pepon❤🙏
Nataka kuingia peponi, ebu mnipe likes 500 nawapenda sana ndio tujitayarishe kuingia peponi pamoja❤❤❤❤
Mungu ni mmoja tuu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Allah nijalie mwesho mwema, pamoja na wake zangu, Amiiina.
😊 😊. 😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊 😅😊😊 😊😊😅 😊 😊 😊😊 😊 😊 😊😊😊. 😊 😊 😊😊. 😊 ?. 😊 😊😊 😊😊
Amin
Katika the story book zooote..basi hii ni Top 1😍😍, hii ni namba 1 👌kwa uzuri, hadi inagonga nyoyo yan🫀
True top 🔝 one history book 📙
Ime ni ingia panapo histaili
Hakika Jamaal professional wewe ni kwenda pepo moja kwa moja kwa sababu hubagui dini wala kabila una pita inavyo histaili risperct for your my brother's endelea kutuletea madini yenye thamani kubwa kwetu sisi wasikilizaji wako sote tuna tegemeana maana pasipo ww hatu ezi elewa na pasipo sisi huwezi pata sport yetu 💪💪💪
Yohana 3:16
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
Yaaa ALLAH tupe mwisho mwema na Utuzawadiye Pepo yako
Allahuma Amiin 🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻
Allah atujaliye mimi nawewe tuwe miongoni mwa watu wa Peponi🤲🏻🤲🏻
🙏
Amiin 🙏
Mwanangu unapomtaja Mtume Muhammad basi tafadhali usisahau kumswalia
Jamal, unapokuwa unamtaja mtume muhammad( s.a.w)ni vizuri zaid ukamswifu kwa kumwita mtume muhammad (s.a.w)
Nime aza kuisikiya kwasasa kaka sitaki like nataka funzo tu mim🇿🇦🇿🇦
Assalam alaekum proffers Jamal gonga nondo kaka uko vizuri sana Mungu akuzidishie kipaji hicho
Yohana 3:16
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.
Ee Mwenyezi Mungu nipe Subrah,hekima yako😭🤲🏾..Ee Mola wetu Tusamehe maovu yetu PEPO yako nafsi zetu ziingie😭🤲🏾🙏🏾.
Allah atujaalie pepo ya firdaus🤲
🙏
Dah Allah atujaalie tuingie firdaus....amin
Qur an inasema katika Surat Al muuminuun... Katika Aya ya Kwanza .. (Wamefaulu waumini) maneno hayo ilitamka pepo baada ya kuumbwa yaan jinsi ilivyokuwa nzuri mbaka pepo yenyewe ilijitamani na kusema Qad afrah almuminuun yaan Wamefaulu waumin... SASA kama pepo ilisema Wamefaulu waumini kwa jinsi ilivyokuwa nzuri wewe Nani usitamani kuingia peponi... Tumuombe Mola wetu ili na sisi tuwe miongoni mwa watakaoipata pepo take tukufu Amiin
ALLAH atujaalie mwisho mwema na tuwe miongoni mwa waja zake watakaoingia peponi inshaaalahh
Amin
Amin
To God be the Glory 🙏🙏
Brother uko very nice kwenye story
Huyu Jamal nimempenda kwa sababu amefanya nikajua vitu ambabvyo sikua najua zina exist🤗pongezi sana Jamal na Mwenyezi Mungu awe nawe kwenye safari yako.
From kenya, jamal baba lao, kama unakubaliana nami, nipe like..
Watu wa peponi watapewa mpaka wataridhika, Allaah nijaalie kua miongoni mwa watu wa Peponi na uniepushe na adhabu yako ya moto.
Aamiin 🤲
اللهم آمين يارب العالمين 🤲🤲
Iko pw
🤲🏾
Ameee👏
Aamina Yaa Rabby🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Moja kati ya Elimu muhimu hapa ni kua Yesu ni Nabii na sio Mungu kama wengine wanavyodhani 🙏🙏
Yesu ni Mungu ndio ukweli huo
This guy is a legend. I love you Jamal keep winning and entertaining us. More love from 🇰🇪. You are a superstar ✨️ 💖 Rabana akujalie miaka mingi yenye heri duniani. Hugs 🫂
the story book usually teach us many important things God bless you jamal
Je hao wahudumu ambao wanatuhudumia tukiwa huko peponi wao hawataki kula raha
Maashaala tabaraka lah Allah nimkubwa namwomba mungu atukutanishe jannatul fartowsa, shukran kwa vile Ume tafsiriya tunamshukuru Allah ametufanya muislamu,
Mashaallah unajuwa kueleza Allah akuweke na atujalie mwisho
Na pepo njema
Wallah umenifanya nisisimke na umeniongeza kitu Moyoni mwangu niiongeze Imani yangu na Toba zaidi na Ibada zaidi kiukweli Umeniathili Sana story hii
Jaman nikifikiri maisha ya badae mwili wangu unaishiwa nguvu kabisa
😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂jipange tu, hakuna jinsi.
The great professor of all time,
Live from west virginia, usa/
Jamal ukitoa story natamani uzimalize mtavyopenda 👏🇹🇿🇬🇷⚓
God bless you Professor 🙏🙏
Acha uwongo bro lugha zote zimeletwa na mungu acha kupotosha watu
Allah nijalie pepo njema
Hongera kutoka Kenya 🇰🇪
Mwenyez mungu atujalie sote binadam tuache maovu
Jamal hakika nakupenda kwa ajili ya Allah ,ushauri wangu naomba tujitahid kumcha Allah kwan jamal unaelim nyingj masha Allah hivyo kufanya dhambi unayo ijua ni mtihan kwakwel
I can't wait to be in heaven...the most merciful GOD forgive me all my sins please
Ya Allah, make everyone, literally everyone who is here watching, guide Him, and make them among the people of paradise
Thuma..Amiin..
Ubarikiwe. unazidi kunijenga ki imani na kujibu maswali yagu. Na ubarikiwe na mungu kuwafuguwa watu akili kupitia yeye
Daah! Wewe utaenda peponi kwa kutoa mafundisho mazuri kama haya kwetu❤
amen
Mmungu ajuae
Thanks Jamal April you have give me something in my Head
Yaa Allah tuondoshee tamaa za dunia na tupe imani tufate kitabu chako na mitume yako
Hii story imenifanya kuwa na hof ya Mungu, hakuna asiyetaman Pepo wallah, Isha Allah sote tutaiona Pepo tukirudi kwake Allah
The story book 📖 Leo hap tujuane 😍
Mungu ni mwema siku zote kwetu na mwenye huruma sana....Tumsikilize yeye na tuyatimize Amri zake
Pls unapo mtaja mtume wa Mungu mtakie rehma naamani
Mano por aqui já rend ë melhor d todos assante kaka🙏🕋 from mozambique 🇲🇿 nipen likes family🙏
Nakubali Prof Jamal "unajua kuelezea na kufafanua mambo ya hadithi mbalimbali" big up xana Prof ✌️✌️
Dahhh….wee unajua bhnaaa mi sina comment kabisa!!!!!amaizing story @@@yaani umenifany nizidi kumuamudu Mungu…Allah azidi kukupa umri mrefu Jamal bin April@theStoryBook$
Umenifanya nishike Biblia bwan jamal
Vifungu unavyotaja bc naenda n wew sambamba🥳🥳
May God have mercy on us, May God forgive us our sins, May God receive and welcome us to heaven 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Wasanii music aramu peponi kuzuri
Always you are up there !!!
Nakukubari saana kaka na wish siku moja nipate nafasi ya kuzungumza na wewe ana kwa ana braza Jamaar.
Professor jamal umeua hongera tunakukubali sana kwa kutupa mambo ya msingi katika maisha yetu
Watakao ingia Mbinguni nwatakatifu pekeyake kwa kua Mungu wetu ni mtakatifu ukijua anaelimu ya kuruhusiwa kuoa zaidi ya mke mmoja jua sehemu yako ni jehanamu usidanganywe na mapokeo ya wanadamu chukua hatua mapema umuulize Mungu nifanyeje ili niurithi uzima wa milele yye ni mwaminifu atakuelekeza njia ya kufata nafasi badoiko mda karibuni unaisha usitegemee sala ya wafu ukaona itakupeleka mbinguni...chaukwali usipo mkir Yesu na kuishi maisha ya utakatifu jipenge kua kuni ya jehanamu
Waebrania 9:28
kadhalika Kristo naye, akiisha kutolewa sadaka mara moja azichukue dhambi za watu wengi; atatokea mara ya pili, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu.
Yohana 14:6
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Maa Shaa Allah,,,Ukiskiliza kw makini utakuta sehemu kubwa ya story hii imesheheni maneno Qur'an tukufu kw sababu ndo imefafanua zaid habar za peponi na motoni kuliko vitabu vingine,,, Alhamdulillah tunaomba mwisho mwema yaa Allah
Allahumma Amiin
acha ubaguzi weee
Wallahi nimelia kusikia hi leo, jamal april Mwenyezi Mungu hakutangulie leo katika zte nimepata message vizuri Mwenyezi Mungu hatujalie tuwe watu wako Ameen.
Ameeen
Ameen
Sema ukifatilia sana DINI unaweza kuchanganyikiwa🙌
Hujui kitu
Sio hajui kitu huo ndo ukweli
Kweli kabisa
Hasa uislam eti pepom tutakuwa tunaongea kiarabu duuh
🤣🤣🤣
Only God knows God is for all of us
God bless you Jamal 🙏 ❤
Praise the most high God.....
Kutokea south Afrika musliman A musliman ninamkubali jamal Abdul
Natamani kuwa kama wewe jamal mi Mwanahabari
🙌🔥🔥 Professor Jamal
Mimi sijawahi kuchoka kusikiliza story zako kaka jamal,hakika wewe ni proffesa.Mungu akupe umri mrefu utufundishe mengi ya kumpendeza allah wetu
Congratulations brother, may God give you strength every day, you have been giving interpretations of many things and unparalleled teachings, very good work brother
Wewe kijana tunakukubali Sana kutoka Congo DRC
Ee MWENYEZI MUNGU nakuomba unipe maisha marefu na mwisho mwema ktk hii dunia
Thanks for you great video atleast it’s make to be focus in my life for another day nimefurahi kuwa nawez fika pepone unatufunza san na God aendelee kukubless Jamal
Salute sana kaka Jamar nakubar sana simulizi zako unajitahidi kufanya utafiti kabla ya kusimulia
Pepo ya waislamu nimeipenda buree Mungu wa kweli na haki anijaalie pepo aliyo fundisha ibni abdillah
Kwa hy ya wngine ni ya kufala. Na dini lenu la kisengesenge
Pepo ya waislam vituko kwel had pombe zpo
@@revocatuspaulo6716 nyie nendeni mkaimbe mapambio mbinguni lakin msisahau MZIKI N AJIRA
@@revocatuspaulo6716 ni lazima utukane? Ndo dini yako inavyo kufunza???
Pole
@@revocatuspaulo6716 Hivi Wenzetu Upande Wa Pili Wakina Petrol,peter Huwa Mnafundishwa Matusi?Maana Kila Kitu Ni dhihaka
Kama sisi wa jamii wa oman 🇴🇲 Tumemkubali jamal the book story keep going 🫡
Mwenyezi Mungu akujaalie ww unaesoma comments uwe mmoja kati ya watakaokua peponi na tutakutana huko... kwa kuacha maasi na kutembea katika njia ya muumba
Tuseme amiiin
For us Sabbath means rest ( kupumzika na uhitaji wote wa mwili ( fleashly desires) . Ukisoma kiundani biblia ndo utaelewa maana ya sabato, ambayo Mungu aliwaonyesha wanadamu kama ishara na waifanye huko mwanzo ( kupumzika siku Moja ya wiki bila kazi yoyote) na atakayopewa wanadamu baada ya kufa ( Peponi). Ndio maana Yesu aliwaambia wayahudi, kuwa sabato ipo kwa ajili ya mwanadamu, na sio mwanadamu kwa ajili ya sabato ( yaani kuitumikia). Mambo mengi ya agano la mwanzo ( la kale) ni ishara mambo yatakayokuja, ingawa yalifunuliwa kama ya mwilini, ila ni kivuli ya mambo mema ya baadae, na ndio maana Yesu alishindana na wayahudi kwakua hawakumwelewa. Mungu alivyosema alipoumba ulimwengu Siku ya Saba akapumzika, maana yake KAZI yake yote ya uumbaji ilikamilika na hakuhitaji kuumba tena, na akatupa kazi sisi tuzae na kuongezeka na kuijaza dunia. Kwetu sabato ya wanadamu tuliyoahidiwa, ni ukamilifu, na kuwa huru au kuwa mbali na madhaifu yote ya mwanadamu ( mfano dhambi, chakula, magonjwa, kiu, nyege, kuzaa, uchovu, chuki n. K). Na ndio maana Yesu alisema " Njooni kwangu ninyi nyote mtesekao na mizigo nami nitawapumzisha." Ndio maana ukimpata Yesu utakapokufa utakua unaishi, maana utaingia peponi na kuwa huru na mahitaji na tamaa zote za mwanadamu. Utakua kama malaika kama alivyosema Yesu ktk Mathayo 22:30. Njooni kwa Yesu mpate pumziko, msihangaishwe na uongo wa mwanadamu wa jangwani Mwarabu aliyezaliwa miaka zaidi ya 600 baada ya Yesu kuondoka duniani.
Waambie wote wasioamini na kumjua YESU, Kwamba
1 Yohana 4;
2, Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu.
3, Na kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani.
Chris acha ushenzi, usitusi wasio kutusi, nawe watakutusi, bwege we.
kwa akili yako unavyofikiri Yesu na Muhammad wanatofautiana au wanapingana? kwa taarifa yako hawa wote ni damu moja wote uzao wa Abraham yani wametoka mgongoni mwa ibrahimu, ni wajukuu wake wa damu. kasome maandiko mpumbavu we.
@@rayisadesigns2646 ukileta ushahidi hata mmoja Muhammad ni uzao wa Ibrahim kupitia Ishmael, nitasilimu na kusema shahada kama allah alivyosema shahada. Ila ukifelli kunipa ushahidi wa maandiko au Aya ya Quran, basi utakua umehitimu chetu Cha Ujinga.
@@Chris-in1vc ushahidi upo Mkuu,ila mambo ya dini ni mambo sensitive sana maana unazaliwa na unaritbishwa dini kutoka kwa waliokuzaa au waliokulea..mfano leo hii mtu akikuita jina lisilo lako hauta feel kama ni wew maana ubongo wako na faham zako hazija sarenda kwa huo wito ila ukiitwa jina lako utajukuta unaitika na unaamini ni wew ndo mlengwa wa wito huo..masuala ya dini ni elimu Pana kuliko elimu tunazosoma darasani..mtu ukitaka kujua ukweli kuhusu masuala ya dini unahitaji kuwa tayari kuupata ukweli na kwa watu sahihi..tatizo kubwa watu hupata elimu ya dini kwa watu sio sahihi regardless kwa waislam au wakristo..watu hupenyeza agenda zao binafsi katika mambo ya dini..siku hizi dini ndo imekua kivuli cha chuki,ugomvi,majigambo,ukatili,uchonganishi maana mtu akijua kusoma na kuchambua bible au Quran kidogo tayari yupo kutengeneza followers utasema yeye ni Muhammad au Yesu(Issa ibn Maryam)
Ukitaka ukweli juu ya Muhammad ni nan? Amekuja kwa watu gani? Majukumu yake ni yapi? Na kwanini aliletwa kama mjumbe wa mwisho? Uhusiano wake yeye na Yesu (Issa ibn Maryam? Uhusiano wake Muhammad na Nabii Ibrahim,Ismael na Is-haqah(Isaac)? ..ukweli huo ukiutaka tafuta watu na uwaulize maswali hayo ukiwa tayari kujifunza na sio kwa ubishani! Mungu akubariki upate akupe elimu na uweze kufurahia ukweli na njia ya haqqi..
Duuh kweli Duniani, HAKUNA MWENYEJI tuishi kwa kumuongopa MUNGU.
Tunamuomba Allah atujaalie pepo inshallah
👍 Naipenda xna story book,mashallah Mungu akuzidishie 🤲
Mashallah mashallah mashallah mashallah
Da Allah Ninyoshee Mkono wako safi nami Niwe Msafi Niyatende yaliyomema Ili Niione Pepo Yako
Allah akuongozee kaka professor Jamaal @professorjamaal
Hongera sana kwa kazi yako nzuri
Yesu alitoka mbinguni na karudi mbinguni lakini akuambia watu mbinguni tutaongea lugha gani
YOHANA 3
13 Wala hakuna mtu aliyepaa mbinguni,ila yeye aliyeshuka kutoka mbinguni, yaani Mwana wa adamu.
Mbinguni hakuna kuowa wala kuolewa
LUKA 20
34 Yesu akawaambia, wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa
35 Lakini, wale wahesabiwao kuwa wamestahili kuupata ulimwengu ule, na kule kufufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewi.
ifahamu Kweli nayo Kweli itakuweka huru Kweli Kweli
Kindly Christians and Muslims let's love each other. We won't go separate ways after we die due to having different beliefs. We're all humans and we have the same destiny. I stand to be corrected though.
The problem is with christians ,they refuse the prophecy of Muhammad(s.a.w) by saying he was not sent by God and that Jesus is the only sent , incarnated and behave as both the only begotten son of God and as one self among the three selves of God that work together as God, the point which is blasphemy and not correct(because God is almighty and able who doesn't need and will never need any assistance or help). The correct point is that Jesus is Not God incarnated but is among the prophets to whom God sent them to the targeted group and every group was given a prophecy for warning them about the mercy and blessing to believers and punishment to those who go astray!. But in Islam Muhammad was the one whom Jesus was predicting his coming after him and that he(muhammad) is the last prophet of God and (as in book of isaiah) will come to reveal the warning and punishment to non beleivers and reward to those who believe and unify God only as their creator, provider, forgiver and the only one who deserves being worshiped in righteousness and no one else in accompany with! So if it's just matter of love we love each other because we can't judge ourselves but in front of God there is no balance instead there must be two people, a righteous one who deserves paradise and another one who deserves hell only, no balance no intermediate person in front of judgement day. So it is either you search for a correct way or you refuse it by comforting yourself with a lie.
@@josephignas3988 Thank you brother for this clarification
@@josephignas3988 can a prophet raise mankind on last day? Can a prophet Judge mankind on last day? Can a prophet be the Alpha and Omega? Simply Christianity and Islam is in total contradictory. What Jesus taught and Muhammad taught is totally different. Allah is Tawheed and Jehovah is Tri Un(Trinity), Allah is not a Father for he has no son, Jehovah has Sons and daughters.
Alot to say about this. But simply is God of Islam and God Christianity is different completely, so is Islam and Christianity
Mungu akubaliki sana
This is man is actually the best.. I love him 🙏🙏
#Jamal April, akitajwa mtume au unapomtaja usiache kufatanisha na kumswalia.Mwenyewe amesema asiemswalia yy ni Bakhili.
So ukisema Mtume Muhammad unafatisha na maneno yasemayo (SWALLALLAAHU ALAYHI WASALLAM).
Safii broo,,,asante kwa kutukumbusha tuliojisahau kama mimi,,God bless you