Sijawahi kujuta kufuatilia vipindi vyako tangu siku ya kwanza kukujua na ulichokiacha kwenye akili yangu. "IT'S NOT ABOUT POSITION BUT VISION."đđđ
Kaka Joel , Hakika wewe ni mtaaramu mungu azidi kukupa akiri Zaid na zadi utuletee mengi mazuri, Asante, meng umenifundisha mpaka nimejikuta hata kwenye maongezi nadhibitisha jambo kwa ushaidi wa elimu unayo itoa
đđđđđnilipitiaga wakati mgumu sana mpaka nikaisi dunia inanieremea lakini tangu niaze maombi na mungu naisi sasa napata majibu mungu akubali kaka kwa mafundisho uzidi kutuelimisha đđđ
Nimependa zaid swala la kujikumbusha malengo yetu kila siku.Kiukwel kila kitu unakifanya kwa kuwa na motivation hata kujikumbusha malengo yako unajipa hamasa wew mwenyew
Asante kaka kwa nondo nzuri... from today naanza kufanyia kazi especially spiritual na map my day, pia ku delegate tasks from my home girls to office...be blessed brother
Broo kiukweli unanibariki sana kwa jinsi unavyotumia karama yako kwa ajili ya watu na vijana ili kupata mwanga ni nn cha kufanya katika kuyaishi malengo na ndoto. Mwenyezi Mungu azidi kukubariki sana Joel
Nashukurusana kutupa mwangaza kwenye maisha haya. Ila mimi nakumbwa na tatizo moja la kushindwa kusimamia ratiba zangu na mambo niliyo panga kuyafanya kwasiku kiasi kwamba nikifika jioni unakuta nimefanya asilimia ndogo sana ya niliyo yahitaji kufanya kwasiku na najikuta nimepoteza muda mwingi sana.
Sijawahi kujuta kufuatilia vipindi vyako tangu siku ya kwanza kukujua na ulichokiacha kwenye akili yangu. "IT'S NOT ABOUT POSITION BUT VISION."đđđ
Hauko mbali na ufalme wa Mungu bro,soma (Yohana 17:3)
Kwakweli bila kutenga muda wa kuzungumza na Mungu utaishi maisha ya kuchanganikiwa sana nguvu ya ndani ni kila kitu Asante kaka
Asnte sana hiki ni zaidi ya chakula ,Mungu akupe maisha marefu ilituweze kuvuna yaliyomema kutoka kwako,devotional
Nimependa hiyo ya kujiconnect na MUNGU, NA kufanya vitu vya msingi, safi sana
"Mwili wa marehemu, marehemu mwenyewe hayupo" nimeipenda hii, asante mentor
Asante sana unanifanya nijione nina thamani sana katika hii dunia mola akupe maisha marefu
Ahsante brother kwa elimu nzuri.. nitafanyia kaz hili. Ubarikiwe sana
Asante sana kka
Namshukul mungu kwakukuleta dunian yaan nakula chakula cha ubongo
1.Spiritual Capital
2.Revise Major Goals
3.Read and feed your mind
4.Choose Long term Goals
5.Delegate tasks
6.Map your day
nimepata chakula cha ubongo asante sana spiritual mind set real.nimependa
đđđđ
Thank you Joel
Asante muorodheshaji
Having you in Tanzania is a blessing in itself
wilharda ndaisaba bless youđđ»
@@joelnanauka very good brother kwa malifa unayo tupatia
Aseee ume nifanya kujiona nim2 muhim sana katika dunia
Asante sana kitu kimenipanione mafanikio n ktk kupanga muda w saambili kipi nitafanua nakuaruhusu vitu vingine kuwapa wengine wafannye
Umenijenga kwa kwel
Shukrani sana Joel.....kuhusu ratiba naona mafanikio makubwa
Kaka Joel , Hakika wewe ni mtaaramu mungu azidi kukupa akiri Zaid na zadi utuletee mengi mazuri, Asante, meng umenifundisha mpaka nimejikuta hata kwenye maongezi nadhibitisha jambo kwa ushaidi wa elimu unayo itoa
đđđđđnilipitiaga wakati mgumu sana mpaka nikaisi dunia inanieremea lakini tangu niaze maombi na mungu naisi sasa napata majibu mungu akubali kaka kwa mafundisho uzidi kutuelimisha đđđ
Asante sana kaka siku zote wewe ndio hamasa yangu
Nimependa zaid swala la kujikumbusha malengo yetu kila siku.Kiukwel kila kitu unakifanya kwa kuwa na motivation hata kujikumbusha malengo yako unajipa hamasa wew mwenyew
asante sana kaka Joel mungu akupe maisha malef sana ili tuweze kuinua taifa letu na dunia kwa ujumla
Asante sana mr joel nanauka
Goood nimejifunza jamboa la msingi saaana
Brother Joel uko vizuri sana
Asante umenip majivuno sana na naiman nitafanikiwa sana
Asante kaka kwa nondo nzuri... from today naanza kufanyia kazi especially spiritual na map my day, pia ku delegate tasks from my home girls to office...be blessed brother
Nikua naitaji kitabu chako kaka
Jo nimependa hili somo maana umeanza kutueleza mambo ya mungu. Asante kaka. Hatuwez fanikiwa bila mungu
My real real real life COACH,,, i always appreciate you worthwhile brother of mine
Asante kaka mungu akubariki sana video zako zinafundisha na kutujenga mungu aendelee kukuinua
ubarikiwe brother
Thaks god bleas u for you are work is better to teach othes in odear to buiding good society
Asante kaka kwa ushauri
Barikiwa mnoo kakaangu
Nzur sanaa mwalimu
Asante mungu azidi kutulinda kila wakati
Asante kaka Joel mungu akubariki kaka
Broo kiukweli unanibariki sana kwa jinsi unavyotumia karama yako kwa ajili ya watu na vijana ili kupata mwanga ni nn cha kufanya katika kuyaishi malengo na ndoto.
Mwenyezi Mungu azidi kukubariki sana Joel
Asante sna sana...darasa huru hili
Nashukurusana kutupa mwangaza kwenye maisha haya. Ila mimi nakumbwa na tatizo moja la kushindwa kusimamia ratiba zangu na mambo niliyo panga kuyafanya kwasiku kiasi kwamba nikifika jioni unakuta nimefanya asilimia ndogo sana ya niliyo yahitaji kufanya kwasiku na najikuta nimepoteza muda mwingi sana.
I do morning devotion for couple days and then I would stop. It's a on and off thing for me. I desire to be consistent if I could!
BARIKIWA, MUNGU Akuinue zaidi
Asante sana!
Ayubu 7:14-16,33:14-16,38:12-13 Kutoka 23:20-27, Zaburi 118:1-29,23:1-6 & Ufunuo 12:7-16.EMMANUEL , EL-SHADDAI, JEHOVA JIRE, EL-OHIM, EL-ROI, EL-GIBBOR, LION OF YUDAH.JOEL NAKUPENDA SANA Zawadi yako Ni (WAFILIPI 4:1-23, ISAYA 45:1-25.Halleluyah
Asante sana kwa kunifunza hayo mambo niko tayari kwenye mazowezi
Nmeipenda sana hatua ya revise your major goal and feed your mind hiyoo itan saidia sana kutambua fursa Asante kaka joel kwa darasa lako
Barkiwa sana rafk
Ahsante sana brother kwa kuendelea kutupa njia za kupambna kufikia malengo ,Mungu akubariki
Asante Sana kaka Kwa somo lako zuri
Ameen jn umenipa somo zuri sana God bless you Joel
Asante Sana kaka Joel kwa mafundisho
Kaka J tarent uriyo nayo đ
Hii video ni ya miaka minne iliyopita lakini inaishi kama vile ndiyo kwanza imetolewa leo hii asubuhi ya tarehe 03 April 2023.đâ€
Ahsante sana brother Joel mm nashindwa ku-map my day
BARIKIWA MR.JOEL
Nataman kusikia unaongelea DAY ROAD MAP inconection with PRIORITY and Its Logic on arrangement.
Kaka mi nakuelewa Sana mungu azidi kukuongoza na kukubariki utufundishe zaidi
Maarifa yaliyoandaliwa kwenye sauti zuri tu. !
Waking up to this,thank you my brother.#seeyouatthetop
Kujiunganisha na mungu
Sawasawa thanks
Always you Make Me more Better, Be Blessed Brother
Umeidanya akili yangu kuwa mpya thanks
Asante kaka ubarikiwe sana somo zuri mno
Asante saana
Asante kaka joel
Asante sana aisée.
ubarikiwe sana mwalimu bora
kaka Joel elimu yako inabadil maisha ya watanzania.
Alhamdulillah đ
Ubarikiwe xaaaaaan my braza
Asante kaka.Mungu akujalie
mungu aku baliki sana my brother.
Asante kaka, umenikumbusha kweli.
Ahsante Sana Mtu wa Mungu
Shukran sana kaka tangia nimeanza kukusikiliza kweli naenjoy sana akili yangu inaingia madini mengi
Nimebarikiwa sana leo, somo lipo simple ila lina ujenzi wa kutosha katika ubongo hakika hiki ni chakula cha ubongo chakwanza nishafanya kusali
Matatu kati ya hayo huwa nafanya uneniongezea 3, thanx a lot
Nashukuru sana umenifungua kabisa
Asanteni
Asante kaka.kwanza ntaanza na Mungu
I love yöu And l aprishate u
Leo ntk kuanza kuandika kila nilichokipata kwako na kukifanyia kazi shukran
Asante sana brother
The Miracle Morning â€
Be blessed brother
Nzur hii
Nakukubali broo
Asante kwa motivation
Asante saana kaka
May GOD bless u
real munch interesting inasaidia sana Chief. God bless you and give more power and strength in educating people.
Asante sana kaka Joel Mungu akuongezee maarifa
Thaxs brother
hongera nakufuatilia na kufanyia kazi ushauri wako
Asante sana kwa mafundisho mazuri sana. Mungu akubariki sana kaka Joel.
Upo vzr sana kaka,big up Sana,najuta kutokukujua mapema maana nngejuw mbali sana an
nice broooo
Kaka ww ni đ„đ„đ„
Nimekupata vizuri mkuu somo zuri sana,Ubarikiwe
Like so much your your advise
Nakuelew bro
Asantee kwa ujumbe mzur Joel