ANGALIA HII KABLA YA KUANZA KUWEKEZA KWENYE KILIMO CHA MITI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Kilimo cha miti ni fursa nzuri sana ya kuwekeza hapa nchini kwetu. Kuna bidhaa nyingi ambazo zinategemea kilimo cha miti hivyo upatikanaji wa soko sio changamto kubwa. Ni vyema kwa kila mtu ambaye angependa kujikita kwenye biashara hii kupata elimu ya kutosha juu yake ili kujiandaa na changamoto mbali mbali ambazo zinaweza kutokea.
    Video hii inakupa tu maelezo ya awali na experience yangu katika biashara hii. Ni vyema ukaendelea kupata elimu zaidi kupitia taasisi kama Tanzania Forestry Society, Wizara ya Maliasili na Utalii nk.

Komentáře • 43

  • @antonysimba
    @antonysimba Před rokem +4

    Aki umesema vitu mob poa. Amongst them, "lazima mistakes; usipo make mistakes you'll never learn" !
    Asante kwa advice zote.

  • @peteralexis7351
    @peteralexis7351 Před 2 lety +2

    Hongera kaka uxhindile napafam sana pamoja na kitete,ugala na mgororo kwenye mashamba ya miti

  • @francismlelwa5766
    @francismlelwa5766 Před 2 lety +2

    Ahsante kwa Maarifa unayotoa.Be blessed.

  • @eliakanyika8440
    @eliakanyika8440 Před 3 lety +2

    Semin ipo vizuri Kaka Edmund

  • @billyrique
    @billyrique Před 3 lety +3

    Hongera kwa somo zuri sanaa. HApa hujapanda kama mitiki yenye bei kubwa sana. Ni hatari sana.

  • @joniajohn4716
    @joniajohn4716 Před 3 lety +1

    Ahsante brother

  • @petronillajosephat91
    @petronillajosephat91 Před rokem

    Asante Kwa somo zuri.kwa upande wa mtwara miti gan inafaa kupandwa Kwa ukanda huu

  • @salumkhamis7818
    @salumkhamis7818 Před 2 lety +1

    Naomba namba ya simu nahitaji kupanda MITI kwenye shamba langu

  • @mohamedameir9016
    @mohamedameir9016 Před 3 lety +1

    Super

  • @ramadhanikiiza4820
    @ramadhanikiiza4820 Před 2 lety

    Safi sana kk umetupa madini

  • @juliusjohn9453
    @juliusjohn9453 Před 2 lety

    Edmund, kwenye bond unapataje pato zaidi ya mwisho inapoiva

  • @palokuthereza2555
    @palokuthereza2555 Před 3 lety +1

    Congratulations Edmund

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  Před 3 lety

      Thank you Paloku.... 🙏🏿

    • @BENOÎTONETV
      @BENOÎTONETV Před 3 dny

      @@EdmundMunyagiJambo brother kwa majina naitwa Benoit nipo USA 🇺🇸 nimefatilia hihi semina nimehipenda mno Naomba ikikupendeza Naomba namba yako kwamahungezi zaidi

  • @lynalyna3968
    @lynalyna3968 Před 3 lety +1

    Mimi Nina shamba la miti kaka Ed,Sehemu moja inaitwa igeleke

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  Před 3 lety +1

      Ohhh okay. Basi tuwasiliane zaidi. 0755518289

    • @lynalyna3968
      @lynalyna3968 Před 3 lety

      @@EdmundMunyagi poa kaka nachukua no yko nakuchk whatsp

  • @lovenessmushendwa1230
    @lovenessmushendwa1230 Před 2 lety +1

    Nilazma huko??
    Mm nina shamba bagamoyo

  • @georginahokororo847
    @georginahokororo847 Před 3 lety +1

    Samahani naomba kupata mawasiliano ya hao uliosema kuwa wana vitalu vyenye miche mizuri

  • @asmanisaid8271
    @asmanisaid8271 Před 3 lety +1

    👌🤝🤝

  • @maveaimee3111
    @maveaimee3111 Před 3 lety +1

    💪💪💪💪💪

  • @josephmoses2469
    @josephmoses2469 Před rokem

    BROO MM NIPO KWENYE KUPANDA MITI NIMEPENDA HIYO PROJECT NATAKA NIJUE UMBALI WA KUPANDA NI MITA NGAP NZULI KWA UPANDAJI PAINI NA KALATUSI

  • @bigchancesmallchance1958
    @bigchancesmallchance1958 Před 3 lety +4

    Habari yako mkuu?
    naomba namba yako nina maongezi private?

  • @mahijamikael3652
    @mahijamikael3652 Před rokem

    Nashamba la mtiki natafuta mununuz

  • @beatricemrisho8431
    @beatricemrisho8431 Před rokem

    Kaka naomba phone number yako nina mpango wa kufanya hiyo business nahitaji ushauri tu.. Thanks

  • @JamalASaid
    @JamalASaid Před 3 lety +1

    Mie ningependa kujua kama una group lolote la social media....

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  Před 3 lety +1

      Kwa sasa group lililopo limejaa but tutaendelea kujuzana.

    • @alihassansorikushey1414
      @alihassansorikushey1414 Před 2 lety +1

      Mm ningependa hio investment ila nipo kenya ingewezeka hata kuvuka border nipo tayari nimependa somo lako Shukran sanaaaa kaka kuna namba yoyote ya mawasiliano please?

  • @GraceTinda
    @GraceTinda Před rokem +1

    Kaka naomba mawasiliano...