ANGALIA HII KABLA YA KUANZA KUWEKEZA KWENYE KILIMO CHA MITI
Vložit
- čas přidán 6. 09. 2024
- Kilimo cha miti ni fursa nzuri sana ya kuwekeza hapa nchini kwetu. Kuna bidhaa nyingi ambazo zinategemea kilimo cha miti hivyo upatikanaji wa soko sio changamto kubwa. Ni vyema kwa kila mtu ambaye angependa kujikita kwenye biashara hii kupata elimu ya kutosha juu yake ili kujiandaa na changamoto mbali mbali ambazo zinaweza kutokea.
Video hii inakupa tu maelezo ya awali na experience yangu katika biashara hii. Ni vyema ukaendelea kupata elimu zaidi kupitia taasisi kama Tanzania Forestry Society, Wizara ya Maliasili na Utalii nk.
Aki umesema vitu mob poa. Amongst them, "lazima mistakes; usipo make mistakes you'll never learn" !
Asante kwa advice zote.
Hongera kaka uxhindile napafam sana pamoja na kitete,ugala na mgororo kwenye mashamba ya miti
Ahsante kwa Maarifa unayotoa.Be blessed.
Semin ipo vizuri Kaka Edmund
Nashukuru kusikia hivyo...
Hongera kwa somo zuri sanaa. HApa hujapanda kama mitiki yenye bei kubwa sana. Ni hatari sana.
Kabisa. Wewe umepanda Mitiki?
Asante sana kwa somo zuri ila naomba nisaidie namba ambayo ninaweza kupata miche midogo ili niweze kupanda
0686 361 757
Mitiki Ina pesa Sana naomba nijibu
@@EdmundMunyagi kazi nzuri naomba namba yako
Ahsante brother
Asante Kwa somo zuri.kwa upande wa mtwara miti gan inafaa kupandwa Kwa ukanda huu
Unaweza kupanda miti ya mitiki
Naomba namba ya simu nahitaji kupanda MITI kwenye shamba langu
Super
Super
Safi sana kk umetupa madini
Edmund, kwenye bond unapataje pato zaidi ya mwisho inapoiva
Congratulations Edmund
Thank you Paloku.... 🙏🏿
@@EdmundMunyagiJambo brother kwa majina naitwa Benoit nipo USA 🇺🇸 nimefatilia hihi semina nimehipenda mno Naomba ikikupendeza Naomba namba yako kwamahungezi zaidi
Mimi Nina shamba la miti kaka Ed,Sehemu moja inaitwa igeleke
Ohhh okay. Basi tuwasiliane zaidi. 0755518289
@@EdmundMunyagi poa kaka nachukua no yko nakuchk whatsp
Nilazma huko??
Mm nina shamba bagamoyo
Samahani naomba kupata mawasiliano ya hao uliosema kuwa wana vitalu vyenye miche mizuri
0753 544 044 mpigie huyu anaitwa Gregory.
@@EdmundMunyagi Asante sana kaka
@@EdmundMunyagi Gregory ana pines pekee,naweza pata mwenye mitiki?
👌🤝🤝
💪💪💪💪💪
Happy to see you here..😊
BROO MM NIPO KWENYE KUPANDA MITI NIMEPENDA HIYO PROJECT NATAKA NIJUE UMBALI WA KUPANDA NI MITA NGAP NZULI KWA UPANDAJI PAINI NA KALATUSI
Habari yako mkuu?
naomba namba yako nina maongezi private?
0755518289
Nashamba la mtiki natafuta mununuz
Kaka naomba phone number yako nina mpango wa kufanya hiyo business nahitaji ushauri tu.. Thanks
Mie ningependa kujua kama una group lolote la social media....
Kwa sasa group lililopo limejaa but tutaendelea kujuzana.
Mm ningependa hio investment ila nipo kenya ingewezeka hata kuvuka border nipo tayari nimependa somo lako Shukran sanaaaa kaka kuna namba yoyote ya mawasiliano please?
Kaka naomba mawasiliano...
0755518289