Personal Finance Hub
Personal Finance Hub
  • 17
  • 43 984

Video

Nyerere day I Dodoma
zhlédnutí 19Před 7 hodinami
Personal Finance Hub
Repackaging your personal brand to attract Opportunities with Miriam Kwembe
zhlédnutí 431Před 3 měsíci
Repackaging your personal brand to attract Opportunities with Miriam Kwembe
Understanding Cryptocurrency 101
zhlédnutí 233Před 4 měsíci
Cryptocurrency ni moja ya uwekezaji ambao Waafrika wanaweza kuwa na mitazamo tofauti kuhusu sarafu za kidijitali kama uwekezaji, uwezo wake wa kukuza uingizaji wa kifedha na kuendesha uvumbuzi unabaki usio na shaka. Kupitia utafiti makini, kubaki katika kasi ya mwenendo wa soko, labda unaweza kufikiria kuingiza sarafu za kidijitali katika mizani ya uwekezaji kunaweza kufungua njia za ukuaji na ...
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.
zhlédnutí 23KPřed 4 měsíci
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa. Kabla hujaamuwa kuacha kazi na kujiajiri kuna mambo muhimu ya kuzingatia ndipo ufanye maamuzi.Anthony Luvanda anashare experience yake na vitu vya kuzingatia ili ufanikiwe.
How to create Personal value by Eng Kabenda Balete
zhlédnutí 1,1KPřed 7 měsíci
Tambua jinsi ya kuongeza thamani yako binafsi ili uweze ku attact pesa zikufate.Mtaalam anatuonyesha jinsi gani mtu anaweza kuongeza na kutambua thamani yake. Karibu ushiriki na kuwa member wa Personal Finance hub kupitia Annual Subscription plan na unufaike na Faida kedekede Jisajili hapa rb.gy/vupeei Tufollow kwenye Mtandao wa Kijamii personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &.c...
How to build Family Trust by Salum Awadh
zhlédnutí 1,6KPřed 7 měsíci
Research inaonyesha utajiri wa family (Family owned Business) 30% tu zinasurvive mpaka 2nd Generation,12% zina survive to 3rd generation na 3% zinasurvive to 4th Generation. Karibu ushiriki na kuwa member wa Personal Finance hub kupitia Annual Subscription plan na unufaike na Faida kedekede Jisajili hapa rb.gy/vupeei Follow us kwenye Mtandao wa Kijamii personalfinancehubtz?igsh=NG...
How to earn and grow your income in foreign currency through copywriting job #CopywritingJobs
zhlédnutí 754Před 7 měsíci
Copywriting Skill inaweza ni moja ya skill ambayo ukiweza kuitumia vyema itakuleta manufaa, unaweza kupata wateja wa ndani ya nchi na nje nchi,Victor anashare experience yake jinsi alivyoanza na sasa amweza kuongeza kipato cha pesa ya kigeni na kuweza kuongeza net-worth yake in quadruple.Jifunze hata wewe unaweza. Karibu ushiriki na kuwa member wa Personal Finance hub kupitia Annual Subscriptio...
Mkakati Binafsi wa uwekezaji (Personal InvestmenT Strategy)by Emilian Busara
zhlédnutí 10KPřed 8 měsíci
Kabla ya kuwekeza lazima uwe na mipango maalum ya uwekezaji ili kufikia malemgo yako na kuona matokeo chanya. Karibu ushiriki na kuwa member wa Personal Finance hub kupitia Annual Subscription plan na unufaike na Faida kedekede Jisajili hapa rb.gy/vupeei Tufollow kwenye Mtandao wa Kijamii personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &.com/personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &
Kuweka malengo kwa usahihi- by Emilian Busara -Personal Finance & Investment Masterclass.
zhlédnutí 550Před 8 měsíci
Panga malengo kwa usahihi by Emilian Busara Karibu ushiriki na kuwa member wa Personal Finance hub kupitia Annual Subscription plan na unufaike na Faida kedekede Jisajili hapa rb.gy/vupeei Follow us kwenye Mtandao wa Kijamii personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &.com/personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &
Hisa ni nini?- Imani Muhingo -Personal Finance & Investment Masterclass
zhlédnutí 222Před 8 měsíci
Elewa maana halisi ya Hisa katika soko DSE na vipi inaweza kunufaika na kutengeneza passive income. Karibu ushiriki na kuwa member wa Personal Finance hub kupitia Annual Subscription plan na unufaike na Faida kedekede Jisajili hapa rb.gy/vupeei Tufollow kwenye Mtandao wa Kijamii personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &.com/personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &
Ukweli kuhusu kuwekeza katika Real estate -by Naomi Serbantez
zhlédnutí 303Před 8 měsíci
Reality about real estate investing. Karibu ushiriki na kuwa member wa Personal Finance hub kupitia Annual Subscription plan na unufaike na Faida kedekede Jisajili hapa rb.gy/vupeei Tufollow kwenye Mtandao wa Kijamii personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &.com/personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &
Mtazamo wako pesa ukoje-Jessica Swai -Personal Finance & Investment masterclass
zhlédnutí 248Před 8 měsíci
Hali ya kifedha uliyonayo ni kutokana na mtazamo wako kipesa Angalia full video. Karibu ushiriki na kuwa member wa Personal Finance hub kupitia Annual Subscription plan na unufaike na Faida kedekede Jisajili hapa rb.gy/vupeei Tufollow kwenye Mtandao wa Kijamii personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &.com/personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &
Jinsi ya kuanza Kuwekeza katika soko la Hisa by Iman Muhingo Personal Finance & Investment class
zhlédnutí 3,3KPřed 8 měsíci
Pata maarifa jinsi ya kuwekeza katika soko la hisa la DSE. Karibu ushiriki na kuwa member wa Personal Finance hub kupitia Annual Subscription plan na unufaike na Faida kedekede Jisajili hapa rb.gy/vupeei Tufollow kwenye Mtandao wa Kijamii personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &.com/personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &
How to shift your money Mindset for financial success -Jessica Swai Ep 5
zhlédnutí 1,2KPřed 8 měsíci
How to shift your money Mindset for financial success -Jessica Swai Ep 5
Uwekezaji wa njia ya Halal by Salum Awadhi-Personal Finance & Investment Masterclass Ep 5
zhlédnutí 1,2KPřed 8 měsíci
Uwekezaji wa njia ya Halal by Salum Awadhi-Personal Finance & Investment Masterclass Ep 5

Komentáře

  • @mwanahawamohammed8540

    Asalaam alaykum warahmatullahi wabarakatu. May I have your number please? Thanks.

  • @anastasianyanzige894
    @anastasianyanzige894 Před 14 dny

    Aisee nimefunguka sana

  • @mrishomkolela4633
    @mrishomkolela4633 Před 18 dny

    Tumia lugha moja tu, iga ata kwa JOEL NANAUKA utajifunza

  • @omeganobert4894
    @omeganobert4894 Před 24 dny

    Hii video ilikua inanijia na naiskip lakin kumbe ilikua ni hatua ya kuvuka hiyo 10 years plan imenibariki..... saf🎉

  • @NgewaCompany
    @NgewaCompany Před 25 dny

    asante nimefunguliwa kutokana na somo lako Mungu akupe maisha marefu uzidi kuliokoa taifa hili kwa mafundisho mazuri

  • @pauljosephtarimo2279
    @pauljosephtarimo2279 Před 26 dny

    Amazingly

  • @user-jh6jf2vr4o
    @user-jh6jf2vr4o Před 28 dny

    Thank you 💕

  • @archchina4705
    @archchina4705 Před 28 dny

    It was a very insightful session. Thanks for sharing your knowledge with the public.

  • @eco-marktechnologylimited4033

    Jamaa anabore sana. Kingereza cha nini sasa. Hajui kama anawakera sema hawana namna. Ni ushamba uliopitiliza kuongea lugha tofauti wakati team nzima inayokusiliza inajua lugha ya asili.

  • @jamespetro3014
    @jamespetro3014 Před měsícem

    Hii ndio shida ya watanzania wengi yaani somo unatoa tanzania lughaa ya ulaya pumbavu kbsaa

  • @MarcoMchele-e7b
    @MarcoMchele-e7b Před měsícem

    Masomo mazuri brother

  • @jichofoundationtv6893
    @jichofoundationtv6893 Před měsícem

    Huko nikufeli kuna watu wa la saba wametoa hela kuskiliza hapo wao wanapata nn

  • @jichofoundationtv6893
    @jichofoundationtv6893 Před měsícem

    Vingereza Ving ... Utazan anaongea na wingereza

  • @AliFakimati-dk4mt
    @AliFakimati-dk4mt Před měsícem

    Tumia lugha moja tuhicho unachokifanya sio uhuru.

  • @DanielaSanka-ns4tv
    @DanielaSanka-ns4tv Před měsícem

    ❤❤nimekupenda bure let me subscribe you🎉 nimepata kitu

  • @oseahmbembela-gi4du
    @oseahmbembela-gi4du Před měsícem

    Chagua lugha moja ya kufundishia mkuu wengine hatujui kiingereza

  • @neemalaurent9836
    @neemalaurent9836 Před měsícem

    Ubora wa somo haupo kabisa,lugha ya kingereza kwa watanzania tena waswahili,wapi na wapi sasa🤦

  • @luckylymo7897
    @luckylymo7897 Před měsícem

    Mwenye namba tusaidiane

  • @robertjisandu56
    @robertjisandu56 Před 2 měsíci

    Yes I appreciate. Tunabarikiwa Asante sana.

  • @rosepaul-df9no
    @rosepaul-df9no Před 2 měsíci

    Masomo ni mazurii kwelii unaelekeza vizurii...jaman tutapataje namba zako Kwa mwongozo Mzurii wa uwekezaji? Tusaidie namba zako tafadhali

  • @EvalistoMwakalobo
    @EvalistoMwakalobo Před 2 měsíci

    Mim nipo mwanzon2 kuangalia lakn kingereza sijui nimeona2 niachie njian Kwan kulilua watu hawaelew kiswahili umo Apo ndo umefeli brother jitahid ukiwa na waswahili ongea kiswahili ukiwa na wageni ongea lugha izo Sasa umo wote waswahili nimekwazika kwakwel

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 Před 2 měsíci

    Wuwomba imboimbo nonu hilume

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 Před 2 měsíci

    Upo sawa

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 Před 2 měsíci

    Ugonile juve vahwawe

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 Před 2 měsíci

    Mada nzuri sana leo

  • @HildaOscar
    @HildaOscar Před 2 měsíci

    Tusiojua kizungu hapa tunapata hasara

  • @HildaOscar
    @HildaOscar Před 2 měsíci

    Tunaosikiliza so wote tunaojua lugha za kigeni hapo Uhuru siuoni hapa ninapojufunza

  • @thomasndabulike4735
    @thomasndabulike4735 Před 2 měsíci

    Very nice

  • @joelparmwat6029
    @joelparmwat6029 Před 2 měsíci

    Soma nzuri sana nikweli kabisa

  • @user-vj2mg5ng1v
    @user-vj2mg5ng1v Před 2 měsíci

    Tumia kiswahili jamani

  • @steraswai3251
    @steraswai3251 Před 2 měsíci

    Nipenda hiyo sana nimejifunza kupitia hii asante sana

  • @JulianaMchome
    @JulianaMchome Před 3 měsíci

    Luvanda acha uzungu mwingi zungumza kiswahili chakwetu

  • @masuimunda7000
    @masuimunda7000 Před 3 měsíci

    Napata shida na ndg zangu hawa. Kwa nn tusiamua kuongea lugha moja tukajua moja. Sasa kiswahili neno moja kiingereza neno moja tena kwa maneno ambayo yako moja kwa moja kwa kiswahili. Halafu hadhira yako ni watanzania ambao wanaongea kiswaahili. Pls naomba turekebishe hili ndg zangu.

  • @ngugimundia6306
    @ngugimundia6306 Před 3 měsíci

    Mwalimu uko vizuri ila wengi naona hapa ni waswazi....am from kenya 🇰🇪 and your presentation is so articulate and on point though my brothers and sisters from Tanzanian 🇹🇿 are really struggling to comprehend the concept just use swahili....tumia lugha rahisi ya watanzania ili wanufaike zaidi hamna ubabe kwa kutumia lugha ya wakoloni..salam toka hapa kenya 🇰🇪.

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před 2 měsíci

      Uko sawa akilini mwako? Unashauri mtu aongee kiswahili tu kwasababu naneno mengine anachanganya kingereza na nikweli ni lugha ya kikololono ila ni lugha ya kibiashara pia halipingiki hilo, je wewe mbona umwchanganya hapo kuongea kiswahili na kingereza kwa wakati mmoja? Je Kenya kuongea kingereza wao ni wazungu? Au bado ni watumwa? Maana wanatumia lugha ya mzungu

    • @ngugimundia6306
      @ngugimundia6306 Před 2 měsíci

      @@nassercurtis9579 elewa kingereza nilichokitumia si kwaajili ya mtu wakijijini...kama wewe hapa ni nazungumza na msomi mwenzangu.. sasa wewe tatizo elimu tu..naomba ujiongeze babu...sasa hata kiswahili chenyewe kina kupa tabu...angalia unavyo endeleza maneno vibaya..makosa mengi ya sarufi....nini maana ya kikololono....unamwchanganya....rudi shule ujue kuandika kisha utumie mitandao ya kijamii..

  • @2cash259
    @2cash259 Před 3 měsíci

    Madini 🔥

  • @alextzatv
    @alextzatv Před 3 měsíci

    Hii ni Moja mada nzuri sijapata Kuiona huku mjini CZcams

  • @pascalnsengiyumva4836
    @pascalnsengiyumva4836 Před 3 měsíci

    Nimejengeka sana. Naomba weka hiyo iliyopita kuhusu BUDGET

  • @georgedalali3852
    @georgedalali3852 Před 3 měsíci

    Thanks a lot Sir.

  • @KessiaHarerimana
    @KessiaHarerimana Před 3 měsíci

    Jambo mweshimiwa samaani huku congo tunakufuwata vizuri hila ukishanganya kingereza hatuhelewi

  • @helenamwema744
    @helenamwema744 Před 3 měsíci

    Tatizo kingereza Luvanda ila unafundisha vizuri sana jitahidi Kiswahili kiwe kingi

  • @gilbaleticia
    @gilbaleticia Před 3 měsíci

    Iman uko vizuri.🎉🎉🎉🎉

  • @njungedennis8227
    @njungedennis8227 Před 4 měsíci

    Good communicator..The English is on top

    • @ngugimundia6306
      @ngugimundia6306 Před 3 měsíci

      But why use English and your target audience only understand swahili this in kenya 🇰🇪 we count it as backwardness and insensitivity...

  • @rajabkahindi3389
    @rajabkahindi3389 Před 4 měsíci

    Tunashukuru mnazidi kututoa ujinga

  • @user-dk9nc7gh3e
    @user-dk9nc7gh3e Před 4 měsíci

    Mwenye Namba ya huyu baba anisaidie

  • @Kanyawela
    @Kanyawela Před 4 měsíci

    Ili somo ni zuri kwa wanaojua rugha zote ila kwa wengine tu kiswahili hawaelewi badiri mfumo wa kufundisha

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ Před 4 měsíci

    Nakupata vilivyo MC Luvanda

  • @josephmigila267
    @josephmigila267 Před 4 měsíci

    Big time information

  • @evaristosanga471
    @evaristosanga471 Před 4 měsíci

    Tumia lugha moja kwa ufasaha.Kama ni kiingereza basi tumia kwa ufasaha.Kama ni Kiwahili basi kwa ufasaha.Chagua kwa kuzingatia aina ya watu unaowafundisha.

    • @HaniyaKisingo
      @HaniyaKisingo Před 4 měsíci

      Afadhali umesema

    • @ngugimundia6306
      @ngugimundia6306 Před 3 měsíci

      Mimi ni mwalimu wa lugha tokea kenya na hapa nakuunga mkono asilimia mia...uwasilishaji unahitaji matumizi ya lugha moja...hapa anazengua tu kuwachachawiza watanzania mmuogope kwa kingereza chake...hapa kenya 🇰🇪 tunacheka tu!

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 Před 4 měsíci

    Asant kaka Antony Luvanda

  • @user-xw1ty7pb8h
    @user-xw1ty7pb8h Před 4 měsíci

    Antony upo vizuri lakini punguza kingereza maana tupo ambao hatukijui na tunahitaji kujifunza