![Personal Finance Hub](/img/default-banner.jpg)
- 17
- 43 984
Personal Finance Hub
Tanzania
Registrace 17. 08. 2022
Video
Thanks for coming I Personal Finance and Investment Masterclass I 9th Edition
zhlédnutí 46Před 7 hodinami
Personal Finance Hub
Repackaging your personal brand to attract Opportunities with Miriam Kwembe
zhlédnutí 431Před 3 měsíci
Repackaging your personal brand to attract Opportunities with Miriam Kwembe
Understanding Cryptocurrency 101
zhlédnutí 233Před 4 měsíci
Cryptocurrency ni moja ya uwekezaji ambao Waafrika wanaweza kuwa na mitazamo tofauti kuhusu sarafu za kidijitali kama uwekezaji, uwezo wake wa kukuza uingizaji wa kifedha na kuendesha uvumbuzi unabaki usio na shaka. Kupitia utafiti makini, kubaki katika kasi ya mwenendo wa soko, labda unaweza kufikiria kuingiza sarafu za kidijitali katika mizani ya uwekezaji kunaweza kufungua njia za ukuaji na ...
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.
zhlédnutí 23KPřed 4 měsíci
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa. Kabla hujaamuwa kuacha kazi na kujiajiri kuna mambo muhimu ya kuzingatia ndipo ufanye maamuzi.Anthony Luvanda anashare experience yake na vitu vya kuzingatia ili ufanikiwe.
How to create Personal value by Eng Kabenda Balete
zhlédnutí 1,1KPřed 7 měsíci
Tambua jinsi ya kuongeza thamani yako binafsi ili uweze ku attact pesa zikufate.Mtaalam anatuonyesha jinsi gani mtu anaweza kuongeza na kutambua thamani yake. Karibu ushiriki na kuwa member wa Personal Finance hub kupitia Annual Subscription plan na unufaike na Faida kedekede Jisajili hapa rb.gy/vupeei Tufollow kwenye Mtandao wa Kijamii personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &.c...
How to build Family Trust by Salum Awadh
zhlédnutí 1,6KPřed 7 měsíci
Research inaonyesha utajiri wa family (Family owned Business) 30% tu zinasurvive mpaka 2nd Generation,12% zina survive to 3rd generation na 3% zinasurvive to 4th Generation. Karibu ushiriki na kuwa member wa Personal Finance hub kupitia Annual Subscription plan na unufaike na Faida kedekede Jisajili hapa rb.gy/vupeei Follow us kwenye Mtandao wa Kijamii personalfinancehubtz?igsh=NG...
How to earn and grow your income in foreign currency through copywriting job #CopywritingJobs
zhlédnutí 754Před 7 měsíci
Copywriting Skill inaweza ni moja ya skill ambayo ukiweza kuitumia vyema itakuleta manufaa, unaweza kupata wateja wa ndani ya nchi na nje nchi,Victor anashare experience yake jinsi alivyoanza na sasa amweza kuongeza kipato cha pesa ya kigeni na kuweza kuongeza net-worth yake in quadruple.Jifunze hata wewe unaweza. Karibu ushiriki na kuwa member wa Personal Finance hub kupitia Annual Subscriptio...
Mkakati Binafsi wa uwekezaji (Personal InvestmenT Strategy)by Emilian Busara
zhlédnutí 10KPřed 8 měsíci
Kabla ya kuwekeza lazima uwe na mipango maalum ya uwekezaji ili kufikia malemgo yako na kuona matokeo chanya. Karibu ushiriki na kuwa member wa Personal Finance hub kupitia Annual Subscription plan na unufaike na Faida kedekede Jisajili hapa rb.gy/vupeei Tufollow kwenye Mtandao wa Kijamii personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &.com/personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &
Kuweka malengo kwa usahihi- by Emilian Busara -Personal Finance & Investment Masterclass.
zhlédnutí 550Před 8 měsíci
Panga malengo kwa usahihi by Emilian Busara Karibu ushiriki na kuwa member wa Personal Finance hub kupitia Annual Subscription plan na unufaike na Faida kedekede Jisajili hapa rb.gy/vupeei Follow us kwenye Mtandao wa Kijamii personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &.com/personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &
Hisa ni nini?- Imani Muhingo -Personal Finance & Investment Masterclass
zhlédnutí 222Před 8 měsíci
Elewa maana halisi ya Hisa katika soko DSE na vipi inaweza kunufaika na kutengeneza passive income. Karibu ushiriki na kuwa member wa Personal Finance hub kupitia Annual Subscription plan na unufaike na Faida kedekede Jisajili hapa rb.gy/vupeei Tufollow kwenye Mtandao wa Kijamii personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &.com/personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &
Ukweli kuhusu kuwekeza katika Real estate -by Naomi Serbantez
zhlédnutí 303Před 8 měsíci
Reality about real estate investing. Karibu ushiriki na kuwa member wa Personal Finance hub kupitia Annual Subscription plan na unufaike na Faida kedekede Jisajili hapa rb.gy/vupeei Tufollow kwenye Mtandao wa Kijamii personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &.com/personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &
Mtazamo wako pesa ukoje-Jessica Swai -Personal Finance & Investment masterclass
zhlédnutí 248Před 8 měsíci
Hali ya kifedha uliyonayo ni kutokana na mtazamo wako kipesa Angalia full video. Karibu ushiriki na kuwa member wa Personal Finance hub kupitia Annual Subscription plan na unufaike na Faida kedekede Jisajili hapa rb.gy/vupeei Tufollow kwenye Mtandao wa Kijamii personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &.com/personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &
Jinsi ya kuanza Kuwekeza katika soko la Hisa by Iman Muhingo Personal Finance & Investment class
zhlédnutí 3,3KPřed 8 měsíci
Pata maarifa jinsi ya kuwekeza katika soko la hisa la DSE. Karibu ushiriki na kuwa member wa Personal Finance hub kupitia Annual Subscription plan na unufaike na Faida kedekede Jisajili hapa rb.gy/vupeei Tufollow kwenye Mtandao wa Kijamii personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &.com/personalfinancehubtz?igsh=NGVhN2U2NjQ0Yg &
How to shift your money Mindset for financial success -Jessica Swai Ep 5
zhlédnutí 1,2KPřed 8 měsíci
How to shift your money Mindset for financial success -Jessica Swai Ep 5
Uwekezaji wa njia ya Halal by Salum Awadhi-Personal Finance & Investment Masterclass Ep 5
zhlédnutí 1,2KPřed 8 měsíci
Uwekezaji wa njia ya Halal by Salum Awadhi-Personal Finance & Investment Masterclass Ep 5
Asalaam alaykum warahmatullahi wabarakatu. May I have your number please? Thanks.
Aisee nimefunguka sana
Tumia lugha moja tu, iga ata kwa JOEL NANAUKA utajifunza
Hii video ilikua inanijia na naiskip lakin kumbe ilikua ni hatua ya kuvuka hiyo 10 years plan imenibariki..... saf🎉
asante nimefunguliwa kutokana na somo lako Mungu akupe maisha marefu uzidi kuliokoa taifa hili kwa mafundisho mazuri
Amazingly
Thank you 💕
It was a very insightful session. Thanks for sharing your knowledge with the public.
Jamaa anabore sana. Kingereza cha nini sasa. Hajui kama anawakera sema hawana namna. Ni ushamba uliopitiliza kuongea lugha tofauti wakati team nzima inayokusiliza inajua lugha ya asili.
Mi namwelewa sana,kiingereza ni muhimu kwenye dunia ya sasa.Jitahidi ujifunze ndugu
Elewa maada na sio lugha boss
Hii ndio shida ya watanzania wengi yaani somo unatoa tanzania lughaa ya ulaya pumbavu kbsaa
Masomo mazuri brother
Huko nikufeli kuna watu wa la saba wametoa hela kuskiliza hapo wao wanapata nn
Vingereza Ving ... Utazan anaongea na wingereza
Tumia lugha moja tuhicho unachokifanya sio uhuru.
❤❤nimekupenda bure let me subscribe you🎉 nimepata kitu
Chagua lugha moja ya kufundishia mkuu wengine hatujui kiingereza
Ubora wa somo haupo kabisa,lugha ya kingereza kwa watanzania tena waswahili,wapi na wapi sasa🤦
Mwenye namba tusaidiane
Yes I appreciate. Tunabarikiwa Asante sana.
Masomo ni mazurii kwelii unaelekeza vizurii...jaman tutapataje namba zako Kwa mwongozo Mzurii wa uwekezaji? Tusaidie namba zako tafadhali
Mim nipo mwanzon2 kuangalia lakn kingereza sijui nimeona2 niachie njian Kwan kulilua watu hawaelew kiswahili umo Apo ndo umefeli brother jitahid ukiwa na waswahili ongea kiswahili ukiwa na wageni ongea lugha izo Sasa umo wote waswahili nimekwazika kwakwel
Wuwomba imboimbo nonu hilume
Upo sawa
Ugonile juve vahwawe
Mada nzuri sana leo
Tusiojua kizungu hapa tunapata hasara
Tunaosikiliza so wote tunaojua lugha za kigeni hapo Uhuru siuoni hapa ninapojufunza
Very nice
Soma nzuri sana nikweli kabisa
Tumia kiswahili jamani
Nipenda hiyo sana nimejifunza kupitia hii asante sana
Luvanda acha uzungu mwingi zungumza kiswahili chakwetu
Napata shida na ndg zangu hawa. Kwa nn tusiamua kuongea lugha moja tukajua moja. Sasa kiswahili neno moja kiingereza neno moja tena kwa maneno ambayo yako moja kwa moja kwa kiswahili. Halafu hadhira yako ni watanzania ambao wanaongea kiswaahili. Pls naomba turekebishe hili ndg zangu.
Mwalimu uko vizuri ila wengi naona hapa ni waswazi....am from kenya 🇰🇪 and your presentation is so articulate and on point though my brothers and sisters from Tanzanian 🇹🇿 are really struggling to comprehend the concept just use swahili....tumia lugha rahisi ya watanzania ili wanufaike zaidi hamna ubabe kwa kutumia lugha ya wakoloni..salam toka hapa kenya 🇰🇪.
Uko sawa akilini mwako? Unashauri mtu aongee kiswahili tu kwasababu naneno mengine anachanganya kingereza na nikweli ni lugha ya kikololono ila ni lugha ya kibiashara pia halipingiki hilo, je wewe mbona umwchanganya hapo kuongea kiswahili na kingereza kwa wakati mmoja? Je Kenya kuongea kingereza wao ni wazungu? Au bado ni watumwa? Maana wanatumia lugha ya mzungu
@@nassercurtis9579 elewa kingereza nilichokitumia si kwaajili ya mtu wakijijini...kama wewe hapa ni nazungumza na msomi mwenzangu.. sasa wewe tatizo elimu tu..naomba ujiongeze babu...sasa hata kiswahili chenyewe kina kupa tabu...angalia unavyo endeleza maneno vibaya..makosa mengi ya sarufi....nini maana ya kikololono....unamwchanganya....rudi shule ujue kuandika kisha utumie mitandao ya kijamii..
Madini 🔥
Hii ni Moja mada nzuri sijapata Kuiona huku mjini CZcams
Nimejengeka sana. Naomba weka hiyo iliyopita kuhusu BUDGET
Thanks a lot Sir.
Jambo mweshimiwa samaani huku congo tunakufuwata vizuri hila ukishanganya kingereza hatuhelewi
Tatizo kingereza Luvanda ila unafundisha vizuri sana jitahidi Kiswahili kiwe kingi
Iman uko vizuri.🎉🎉🎉🎉
Good communicator..The English is on top
But why use English and your target audience only understand swahili this in kenya 🇰🇪 we count it as backwardness and insensitivity...
Tunashukuru mnazidi kututoa ujinga
Mwenye Namba ya huyu baba anisaidie
Ili somo ni zuri kwa wanaojua rugha zote ila kwa wengine tu kiswahili hawaelewi badiri mfumo wa kufundisha
Nakupata vilivyo MC Luvanda
Big time information
Tumia lugha moja kwa ufasaha.Kama ni kiingereza basi tumia kwa ufasaha.Kama ni Kiwahili basi kwa ufasaha.Chagua kwa kuzingatia aina ya watu unaowafundisha.
Afadhali umesema
Mimi ni mwalimu wa lugha tokea kenya na hapa nakuunga mkono asilimia mia...uwasilishaji unahitaji matumizi ya lugha moja...hapa anazengua tu kuwachachawiza watanzania mmuogope kwa kingereza chake...hapa kenya 🇰🇪 tunacheka tu!
Asant kaka Antony Luvanda
Antony upo vizuri lakini punguza kingereza maana tupo ambao hatukijui na tunahitaji kujifunza