Joel Nanauka:Aina 5 Za Marafiki Hautakiwi Kuwapoteza Katika Maisha Yako

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 08. 2020
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 135

  • @luhanyamipawantobi6888
    @luhanyamipawantobi6888 Před 4 lety +4

    Hapa nilipo nasoma kitabu Cha ISHI NDOTO YAKO.....nikitamu balaaa!!!! Pongez KWAKO nanauka👏👏👏👏👏👏

  • @judithabdallah4594
    @judithabdallah4594 Před 2 lety +1

    Mungu amenibariki na wote, niongeze bidii kujifunza kwao

  • @leahdaudi9104
    @leahdaudi9104 Před 4 lety +7

    Ahsante Sana.....!!!
    1. Marafiki wanaokuonya na kukwambia ukweli.
    2. Wanaosimama na wewe katika nyakati ngumu...!! (Marafiki adimu Sana)
    3. Marafiki wanaokusogeza karibu na Mungu... (Hawa wanatakiwa kuwa wakwanza kabisaaa kuwamaintain)
    4. Marafiki wanaovutiwa na ndoto zako..... 💪💪💪 (Wanakuletea hamasaa ya kutimiza malengo)
    5. Marafiki mnaounganishwa na kusudi.... Ameeen!!! (Husaidia kukupa network )
    Mungu mwema hapa sijakosa rafiki katika angel zote .... So nachotakiwa Ni kutowapoteza tu.....!!!
    Ahsante Sana kaka Joel

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 Před 4 lety +3

    Shukran sana coach kwa Nanauka Elimu mzuri sana kwa sisi tulio na maono ya mbali

  • @UpendoMassawe-dl5xc
    @UpendoMassawe-dl5xc Před 7 měsíci

    Asante sana Kwa ushauri wako umenifunza vitu ambavyo nimepitia na marafiki ambao wananitenga sana nifanyeje

  • @ramadhanalmashamza3458

    Rafiki nilie makosa ni ambae tuna kusudi moja nitamtafuta na kushirikiana naye asante sana kaka Joel ubarikiwe sana

  • @hellenakabakama-nz1cw
    @hellenakabakama-nz1cw Před rokem +1

    Uko vizuri mungu akubariki

  • @afamatv4848
    @afamatv4848 Před 3 lety +2

    Thanks so much.... appreciate you brother

  • @ammarmtanzania2447
    @ammarmtanzania2447 Před 4 lety +1

    Thanks god bless you brother

  • @charlesfaida1515
    @charlesfaida1515 Před 4 lety +1

    Asante Sana Bro Joel your my life coach thank you Bro, Rafiki ambaye napata changamoto kumpata ni namba moja ambaye anatakiwa kuniweka wazi na kunionya wakati ninapokwenda ninapofanya sivyo imekuwa ngumu Sana kuniweka wazi kuwa hapa umekosea wengi tunajuwa ukimwambia mtu ukweli uaminifu wangu na yeye unapungua na ndo chanzo cha kumpoteza huyu mtu

  • @mwidadiabdalla3564
    @mwidadiabdalla3564 Před 4 lety +5

    Hapo rafiki niliye naye na wa kidini tu, wengine sina wengi wakipata uonyesha unafiki wao. Anyway I always stand alone.

  • @gwamakamwailunga3039
    @gwamakamwailunga3039 Před 4 lety

    Ahsante kwa somo zuri mimi nimegundua nina marafiki ambao wengi wananipiga katika maono yangu,naendelea kujifunza

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Před 2 lety

    Umenitoa mbali sana my brother from another mother

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 Před 3 lety

    Shukran sana

  • @josephmwinuka6664
    @josephmwinuka6664 Před 4 lety +1

    Asante sana kaka unanifungua mengi sana

  • @ramadhanimkilaha9486
    @ramadhanimkilaha9486 Před 4 lety

    Asante kwa somo nzuri hakika unatufundisha mengi mungu akujalie na akuongezee zaidi.mimi na mkosa rafiki wakunikosoa

  • @salatielnyagiliva6447
    @salatielnyagiliva6447 Před 2 lety

    Ubarikiwe kwa ujumbe wako unao rusha kwenye mtandao unatusaidia sana

  • @computerstdm3690
    @computerstdm3690 Před 3 lety

    Asante brother kwa somo zuri

  • @mundesmokesen9314
    @mundesmokesen9314 Před 3 lety +1

    Asante mm nina wawili hapo

  • @jumamwambughi9277
    @jumamwambughi9277 Před 3 lety

    Asante sana kwakutijuza tumeelawa mengi asante

  • @AmhinaAlfanimhina
    @AmhinaAlfanimhina Před 3 lety

    Asante kaka mm rafiki niliemkosa ni yule wakunisogeza kalibu na mungu

  • @justawinston8232
    @justawinston8232 Před 3 lety

    Asante sana Joel unayofundisha ni kweli isiyopingika. .Rafiki wa ukweli na kukukosoa hawa ni adimu.

  • @muvurwanezaanitha742
    @muvurwanezaanitha742 Před 2 lety

    Asante kweli barikuwa sana

  • @abelsanga4935
    @abelsanga4935 Před 3 lety

    Umerudanyia kipindi kizuri. Asante.

  • @rebecamwambwalo8580
    @rebecamwambwalo8580 Před 2 lety

    Asante kwa somo zuri la kufahamu marafiki wa muhimu katika maisha yetu

  • @Africa.Athuman
    @Africa.Athuman Před 4 lety

    Asante sana nahitaji rafiki wakwanza, kijana wako kutoka Burundi 🇧🇮

  • @ndelelehamis6448
    @ndelelehamis6448 Před 3 lety +1

    Duh! Wakati wa shida hamna rafiki brother!

  • @abubakardevelopument2418
    @abubakardevelopument2418 Před 3 lety +1

    Nimeipenda Sana na mungu akubariki

  • @linussiwitilisitv4830
    @linussiwitilisitv4830 Před 4 lety

    Shukrani Kocha

  • @melishanutrition3579
    @melishanutrition3579 Před 3 lety

    Nakushukuru sana mwalimu wangu kwahapo nawakosa marafiki 3
    1) waku niweka karibu na Mungu
    2) rafiki wa mausiano na kusudio la Mimi kuwepo duniani
    3) rafiki wa kuwa nami wakati wote
    Nandoto kubwa sana nahitaji kuitimiza

  • @obadiamtawa1279
    @obadiamtawa1279 Před 3 lety

    Hongera brother mungu akupe maisha marefu nimefunguka

  • @damianallex8722
    @damianallex8722 Před 9 měsíci

    Asante sana

  • @habakukihabakkuk7568
    @habakukihabakkuk7568 Před 4 lety +1

    Duuu! Good ideas

  • @abrakagabo1237
    @abrakagabo1237 Před 3 lety

    From U S A nakushukulu saana kwa Elimu yako

  • @fredrickbuteye7153
    @fredrickbuteye7153 Před 4 lety

    Ubarikiwe mtumish

  • @greadyhebron3469
    @greadyhebron3469 Před 4 lety +1

    Kaka nashukuru sana kwa somo lako zuri, mimi rafiki niliekosa ni yule ambae ndoto yangu na yake zinaendana

  • @frankmtei3017
    @frankmtei3017 Před 4 lety +1

    Ubarikiwe mno

  • @eletinamzumbwe8048
    @eletinamzumbwe8048 Před 3 lety

    Barikiwa Sana unatujenga sana

  • @stellamgaya2988
    @stellamgaya2988 Před rokem

    Unanijenga Sana Kaka ubarikiwe sana

  • @paschalsimion3726
    @paschalsimion3726 Před 3 lety

    Thanks a lot, nimejifunza kuwa kuna wakati marafiki wabaya walinifanya niwapoteze marafiki muhimu pale tu wale marafiki wazuri walilpobaini kuwa Nina kundi jingine ambalo si jema

  • @aminatundondege9384
    @aminatundondege9384 Před 4 lety +1

    asante.

  • @williamsngassa8313
    @williamsngassa8313 Před 3 lety

    Safi sana Kaka

  • @mwasimichael4903
    @mwasimichael4903 Před 3 lety +1

    Asante nimejifunza kitu

  • @barakamwaki253
    @barakamwaki253 Před 4 lety +1

    Bro ubarikiwe sana unatufunza mengi

  • @hilarygodfrey5862
    @hilarygodfrey5862 Před 4 lety +1

    Assnte sana mwalimu

  • @amelinajohn1098
    @amelinajohn1098 Před 3 lety

    Asante kaka angu jmn cjui nikupe nn kwa kunivumbua akili.....lkn ni namn gan unaeza kutambua marafiki wa aina kama hizi ambao sitakiwi kuwapoteza kwasababu mm cjabahatika kukutan na marafiki wa namna hii marafiki nilionao ciion kam wana sifa hizi lkn naomba unisaidie kwa Hilo👆 jinsi ya kuwatambua

  • @mtindimagogera2525
    @mtindimagogera2525 Před 3 lety +1

    Shukulan kak Kwa som zur

  • @vumiliajulias6625
    @vumiliajulias6625 Před 2 lety

    Asante

  • @eliminachristopher2662

    Hello Mr.Joel.mimi nina tatizo kubwa sana la kisqikolojia na maogopa kisijebreak.naomba kukuona

  • @tabiakikunga1078
    @tabiakikunga1078 Před 4 lety +1

    All the best broh #andreajr

  • @winifridakasibu2900
    @winifridakasibu2900 Před 3 lety

    Somo zuri sana

  • @kingluwumba5664
    @kingluwumba5664 Před 3 lety

    Namwihitaj friend mshauli

  • @emanuelkinyamagoha7185

    Nice

  • @HassanHassan-qo2yu
    @HassanHassan-qo2yu Před 3 lety +1

    Hello bro... nakuaminia kazi nzur rafik nnaemkubali ataesimama na mm kipind kigumu na kunifahamisha Mema ama mazuri

  • @marrynyallu5355
    @marrynyallu5355 Před 2 lety

    Aina ya rafiki ambaye ninamkosa ni yule ambaye tunaunganishwa na kusudi tulilonalo maishani mfano mm cnarafiki mwenye ndoto ya kuwa daktari km mm.

  • @gervasriziki3456
    @gervasriziki3456 Před 4 lety +1

    Asante bro!!! Namkosa rafiki namba mbili ma tatu

  • @buruhanimtonya1621
    @buruhanimtonya1621 Před 4 lety +2

    Kwa upande wangu ww ndio bext Wang

  • @gabrieltembo3854
    @gabrieltembo3854 Před 4 lety +1

    Uwa una nifanya nakua happy bro nakujiamin

  • @yuathmtenzi2114
    @yuathmtenzi2114 Před 3 lety

    Ameni

  • @fatmaali4794
    @fatmaali4794 Před 3 lety +2

    Katika hao wote mim sina hata 1. 😭😭😭

  • @issahally3217
    @issahally3217 Před 3 lety

    Mawili kati ya marafiki zangu ambao nimewaona baada ya kuangalia video hii first ni Dr franko Muhimbili national hospital huyu ndoto zetu zinafanana japo mwenzangu yeye ni daktar na mimi sio daktar lakn Tunamalengo Tofauti ya nje ya kazi zetu wa pili ni classment wangu Mwalami Amin Huyu Naiman yupo tayar kwa lolote na mimi Hawa nafikiri Nianze kuwatafuta

  • @piuspuka5071
    @piuspuka5071 Před 4 lety +1

    Kaka hapo kwenye marafiki wanakuambia ukweli Ni hadimu Sanaa kwa asili ya wanadamu

  • @bennysmasher6095
    @bennysmasher6095 Před 4 lety

    Rafiki anayenikosoa bado sijampata. Na hata hivyo weng katika urafiki wamejenga Imani ya kila mtu ana maisha yake hivyo ni ngumu kumkosoa mtu

  • @seifzongo320
    @seifzongo320 Před 4 lety

    Rafiki anae niweka karibu na Mungu huyu Sina kabisa,yaan Hawa nyau nilionao Kuna mda hata wakipga simu nakausha tu au nazima marafiki mizigo 😁😁😁 ,sema siku hiz unachelewa Sana kutoa darasa kaka nanauka

  • @paschalsimion3726
    @paschalsimion3726 Před 3 lety

    Swali langu nitawarudishaje marafiki wangu wazuri

  • @TinaKisomba-jt6yr
    @TinaKisomba-jt6yr Před 7 měsíci

    Namba 5

  • @safarijean-pierre4918
    @safarijean-pierre4918 Před 3 lety +1

    Naitaji weweuwe rafiki yangu ili uwemuhamasijaji wangu

  • @christophermwengemeke6207

    Nimekuelewa mkuu

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 Před 4 lety +1

    Rafiki namba 4

  • @chungwasingers
    @chungwasingers Před 3 lety +1

    Sina rafiki wa kuniunganisha kwenye kusudi langu

  • @emmanuelgidion2653
    @emmanuelgidion2653 Před 4 lety

    my brother Joel nimebarikiwa na somo na nimeandika kabisa hali nipitia kila wakati lakn mm kuna mambo machache ambayo naomba unisaidie kushaur 1nilikuwa na rafik ambaye tulikuwa tushauriana mambo ya kiroho lakn nilikuja kufahamu rafik siyo mwaminifu 2kuna mambo mawili yananichanganya tofauti ya kipaji na kuzudi na kile ninacho penda ambacho watu wangine wanafanya

  • @beatricemwita3451
    @beatricemwita3451 Před 4 lety

    Wanaovutiwa na ndoto yangu na ambao tunaunganishwa na kusudi sina hao kabisa

  • @franknachimbinya7688
    @franknachimbinya7688 Před 3 lety +1

    2 no tatizo always

  • @humphreysteven602
    @humphreysteven602 Před 3 lety

    mimi asilimia kubwa ya marafiki zangu ni wabaya manafiki wanbea wasîotaka kuona maendeleo yangu wala maisha yangu ya kifamilia

  • @maasnyinyigwa9330
    @maasnyinyigwa9330 Před 3 lety +1

    Cna hata mmoja mwenye hizi sifa

  • @revstephenmursaotv.3198

    Shalom Mtumishi! Mimi nawaitaji Aina zote za marafiki ulizozungumzia. Nifanyeje niwapate?

  • @michaelpeter3054
    @michaelpeter3054 Před 3 lety

    Rafiki wa kushauriana nae kihusu biaahara ni wachache sana ,wengi negative mind tu belief utajiri ni for special people

  • @josephmeratah9230
    @josephmeratah9230 Před 3 lety

    Sina hata mmoja.

  • @herychavdy9169
    @herychavdy9169 Před 4 lety

    Mimi sina rafiki wahivyo ilamimi ndio nipobolakwao lakini wao siosana ya nawapa moyo sana nawakemea nawakumbusha habal za Mungu wao wala sasa hapo unanishAuli vip kaka nifanyeje

  • @shamsudinimussarashidi7659

    Kaka nashukuru sana kwa hili somo na nimeinjoy sana but mimi nilipo enda dar nlpokelewa na rafiki yangu moja msambaa tukapendana sana na tukawa tunashauriana mambo ya maisha lkn sehemu moja tu ndo tumeshindwa kuwa pamoja coz kuna fursa niliipata nikamshirikisha baada ya mii kuanza ila hakukubaliana na mawazo yangu,je na huyo nisimuache au nimuache???

  • @josiahjoas8526
    @josiahjoas8526 Před 4 lety

    Pr Joel! Yesu apewe sifa Sana, Nilikua Naomba Msaada wako nimeandika kitabu ila Kuna vitu ntaomba unishauri, Ubarikiwe Sana, 0742139713 Naomba msaada wako

  • @azizakwileka1686
    @azizakwileka1686 Před 4 lety +1

    Nilikuwa najihesabu mwenyewe kama ninahizo sifa kwa rafiki zangu...
    Rafiki niliyemkosa ni no 5

  • @hellenmwegoha2877
    @hellenmwegoha2877 Před 3 lety

    Nimekosa rafiki no 5

  • @hajiomar3853
    @hajiomar3853 Před 3 lety

    Mm ninakosa marafiki wakuwa nao na wakunishauri nikiwa na rafiki leo baada ya muda akijua mafanikio yangu ananijeuka nifanyeje nisiwe na rafiki kabisa au nifanye nn

  • @fredrickmwanyika5159
    @fredrickmwanyika5159 Před 4 lety

    Me cna Rafki mweny Abia izo zote 5 unakua anatabia 1 tu na mwingine ivo ivo ila zenye kutofautia....apo inakaajee??....*

  • @josephinembuligwe909
    @josephinembuligwe909 Před 3 lety

    Wote

  • @gradnessmagge6041
    @gradnessmagge6041 Před 3 lety

    Jinsi ya kupambana na changamoto za elimu

  • @qareemtz1237
    @qareemtz1237 Před 3 lety +2

    Dah Katika Maisha yangu sijawapata hao marafiki 😔

  • @hopenassoro5647
    @hopenassoro5647 Před 3 lety

    Kweny hao marafiki wote
    Nawez sema wapo lkn kuna mmoja hapo yeye analeta na Mambo kimapenzi 😔😔
    Licha ya kwamba ni Rafik mzuri 🤔na hapo ipoje hii kiongoz 🙏🙏🙏

  • @asnaabububu2297
    @asnaabububu2297 Před 3 lety +1

    Rafiki wa kunihamasisha ktk malengo yang

  • @y-nyasingochannel1862
    @y-nyasingochannel1862 Před 4 lety

    Mim nakosa marafiki wanaonishauri kuhusu mafanikio ili hali Mimi nawashauri watu wengi ninaowaelezea mipango Yangu nawaona kama watazamaji hata my wife

  • @princessleonard6415
    @princessleonard6415 Před 2 lety

    Mie nimemkosa anaeendana na ndoto zangu

  • @johnkwela7326
    @johnkwela7326 Před 3 lety

    Rafiki mwenye uwezo wa kuonya

  • @yassinkimolo2943
    @yassinkimolo2943 Před 3 lety

    Mimi sina rafiki kwasababu nilie muamini ni rafiki alibadilika kisa pesa nilimjali kwa kila hali hatamaongezi ya imani zetu kuhusu mwenyezimungu maisha lakini alibadilika sikuamini

  • @cheyowilliam1387
    @cheyowilliam1387 Před 4 lety

    Kati ya no zote sina hata moja nisaidie ndg bahat toka busolwa

  • @geophelia337
    @geophelia337 Před 3 lety

    Anae nisogeza na Mungu huyo lafiki sina

  • @charechaz9202
    @charechaz9202 Před 3 lety +1

    Nimempoteza rafki kwa kumueza ukweri .na arikua wa mhimu kwangu nifaje? kumrudisha.

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 Před rokem

    Natamani kupata Ila kumjua mtu sahihi ndyo mtihan

  • @wa-mbeyaTv4725
    @wa-mbeyaTv4725 Před 3 lety

    Mimi bro hapa namkosa rafiki ambae anaweza nipa channel za kuwez kufanikiwa kipaji changu cha acting (commedies)

  • @onesmosanga8408
    @onesmosanga8408 Před 4 lety

    Me kwa upande wangu bado sina lafiki ata mmoja kati ya hawo uliowataja sjui nitumie njia gani kuwapata marafiki hawa

    • @fremwamedia1976
      @fremwamedia1976 Před 4 lety

      Duuu!!!

    • @amoscatering3527
      @amoscatering3527 Před 4 lety

      Ili kuwapata brother lazima kidogo wewe mwenyew uanze kubadilika taratibu utaona waanza kujitokeza ,but ata wale uliona nao pia unaweza kuwageuza Wakawa miongon mwa hawa