Ahsante Sana.....!!! 1. Marafiki wanaokuonya na kukwambia ukweli. 2. Wanaosimama na wewe katika nyakati ngumu...!! (Marafiki adimu Sana) 3. Marafiki wanaokusogeza karibu na Mungu... (Hawa wanatakiwa kuwa wakwanza kabisaaa kuwamaintain) 4. Marafiki wanaovutiwa na ndoto zako..... 💪💪💪 (Wanakuletea hamasaa ya kutimiza malengo) 5. Marafiki mnaounganishwa na kusudi.... Ameeen!!! (Husaidia kukupa network ) Mungu mwema hapa sijakosa rafiki katika angel zote .... So nachotakiwa Ni kutowapoteza tu.....!!! Ahsante Sana kaka Joel
Asante Sana Bro Joel your my life coach thank you Bro, Rafiki ambaye napata changamoto kumpata ni namba moja ambaye anatakiwa kuniweka wazi na kunionya wakati ninapokwenda ninapofanya sivyo imekuwa ngumu Sana kuniweka wazi kuwa hapa umekosea wengi tunajuwa ukimwambia mtu ukweli uaminifu wangu na yeye unapungua na ndo chanzo cha kumpoteza huyu mtu
Nakushukuru sana mwalimu wangu kwahapo nawakosa marafiki 3 1) waku niweka karibu na Mungu 2) rafiki wa mausiano na kusudio la Mimi kuwepo duniani 3) rafiki wa kuwa nami wakati wote Nandoto kubwa sana nahitaji kuitimiza
Thanks a lot, nimejifunza kuwa kuna wakati marafiki wabaya walinifanya niwapoteze marafiki muhimu pale tu wale marafiki wazuri walilpobaini kuwa Nina kundi jingine ambalo si jema
Asante kaka angu jmn cjui nikupe nn kwa kunivumbua akili.....lkn ni namn gan unaeza kutambua marafiki wa aina kama hizi ambao sitakiwi kuwapoteza kwasababu mm cjabahatika kukutan na marafiki wa namna hii marafiki nilionao ciion kam wana sifa hizi lkn naomba unisaidie kwa Hilo👆 jinsi ya kuwatambua
Mawili kati ya marafiki zangu ambao nimewaona baada ya kuangalia video hii first ni Dr franko Muhimbili national hospital huyu ndoto zetu zinafanana japo mwenzangu yeye ni daktar na mimi sio daktar lakn Tunamalengo Tofauti ya nje ya kazi zetu wa pili ni classment wangu Mwalami Amin Huyu Naiman yupo tayar kwa lolote na mimi Hawa nafikiri Nianze kuwatafuta
Rafiki anae niweka karibu na Mungu huyu Sina kabisa,yaan Hawa nyau nilionao Kuna mda hata wakipga simu nakausha tu au nazima marafiki mizigo 😁😁😁 ,sema siku hiz unachelewa Sana kutoa darasa kaka nanauka
my brother Joel nimebarikiwa na somo na nimeandika kabisa hali nipitia kila wakati lakn mm kuna mambo machache ambayo naomba unisaidie kushaur 1nilikuwa na rafik ambaye tulikuwa tushauriana mambo ya kiroho lakn nilikuja kufahamu rafik siyo mwaminifu 2kuna mambo mawili yananichanganya tofauti ya kipaji na kuzudi na kile ninacho penda ambacho watu wangine wanafanya
Mimi sina rafiki wahivyo ilamimi ndio nipobolakwao lakini wao siosana ya nawapa moyo sana nawakemea nawakumbusha habal za Mungu wao wala sasa hapo unanishAuli vip kaka nifanyeje
Kaka nashukuru sana kwa hili somo na nimeinjoy sana but mimi nilipo enda dar nlpokelewa na rafiki yangu moja msambaa tukapendana sana na tukawa tunashauriana mambo ya maisha lkn sehemu moja tu ndo tumeshindwa kuwa pamoja coz kuna fursa niliipata nikamshirikisha baada ya mii kuanza ila hakukubaliana na mawazo yangu,je na huyo nisimuache au nimuache???
Mm ninakosa marafiki wakuwa nao na wakunishauri nikiwa na rafiki leo baada ya muda akijua mafanikio yangu ananijeuka nifanyeje nisiwe na rafiki kabisa au nifanye nn
Kweny hao marafiki wote Nawez sema wapo lkn kuna mmoja hapo yeye analeta na Mambo kimapenzi 😔😔 Licha ya kwamba ni Rafik mzuri 🤔na hapo ipoje hii kiongoz 🙏🙏🙏
Mim nakosa marafiki wanaonishauri kuhusu mafanikio ili hali Mimi nawashauri watu wengi ninaowaelezea mipango Yangu nawaona kama watazamaji hata my wife
Mimi sina rafiki kwasababu nilie muamini ni rafiki alibadilika kisa pesa nilimjali kwa kila hali hatamaongezi ya imani zetu kuhusu mwenyezimungu maisha lakini alibadilika sikuamini
Ili kuwapata brother lazima kidogo wewe mwenyew uanze kubadilika taratibu utaona waanza kujitokeza ,but ata wale uliona nao pia unaweza kuwageuza Wakawa miongon mwa hawa
Hapa nilipo nasoma kitabu Cha ISHI NDOTO YAKO.....nikitamu balaaa!!!! Pongez KWAKO nanauka👏👏👏👏👏👏
Mungu amenibariki na wote, niongeze bidii kujifunza kwao
Ahsante Sana.....!!!
1. Marafiki wanaokuonya na kukwambia ukweli.
2. Wanaosimama na wewe katika nyakati ngumu...!! (Marafiki adimu Sana)
3. Marafiki wanaokusogeza karibu na Mungu... (Hawa wanatakiwa kuwa wakwanza kabisaaa kuwamaintain)
4. Marafiki wanaovutiwa na ndoto zako..... 💪💪💪 (Wanakuletea hamasaa ya kutimiza malengo)
5. Marafiki mnaounganishwa na kusudi.... Ameeen!!! (Husaidia kukupa network )
Mungu mwema hapa sijakosa rafiki katika angel zote .... So nachotakiwa Ni kutowapoteza tu.....!!!
Ahsante Sana kaka Joel
Shukran sana coach kwa Nanauka Elimu mzuri sana kwa sisi tulio na maono ya mbali
Asante sana Kwa ushauri wako umenifunza vitu ambavyo nimepitia na marafiki ambao wananitenga sana nifanyeje
Rafiki nilie makosa ni ambae tuna kusudi moja nitamtafuta na kushirikiana naye asante sana kaka Joel ubarikiwe sana
Uko vizuri mungu akubariki
Thanks so much.... appreciate you brother
Thanks god bless you brother
Asante Sana Bro Joel your my life coach thank you Bro, Rafiki ambaye napata changamoto kumpata ni namba moja ambaye anatakiwa kuniweka wazi na kunionya wakati ninapokwenda ninapofanya sivyo imekuwa ngumu Sana kuniweka wazi kuwa hapa umekosea wengi tunajuwa ukimwambia mtu ukweli uaminifu wangu na yeye unapungua na ndo chanzo cha kumpoteza huyu mtu
Hapo rafiki niliye naye na wa kidini tu, wengine sina wengi wakipata uonyesha unafiki wao. Anyway I always stand alone.
Ahsante kwa somo zuri mimi nimegundua nina marafiki ambao wengi wananipiga katika maono yangu,naendelea kujifunza
Umenitoa mbali sana my brother from another mother
Shukran sana
Asante sana kaka unanifungua mengi sana
Asante kwa somo nzuri hakika unatufundisha mengi mungu akujalie na akuongezee zaidi.mimi na mkosa rafiki wakunikosoa
Ubarikiwe kwa ujumbe wako unao rusha kwenye mtandao unatusaidia sana
Asante brother kwa somo zuri
Asante mm nina wawili hapo
Asante sana kwakutijuza tumeelawa mengi asante
Asante kaka mm rafiki niliemkosa ni yule wakunisogeza kalibu na mungu
Asante sana Joel unayofundisha ni kweli isiyopingika. .Rafiki wa ukweli na kukukosoa hawa ni adimu.
Asante kweli barikuwa sana
Umerudanyia kipindi kizuri. Asante.
Asante kwa somo zuri la kufahamu marafiki wa muhimu katika maisha yetu
Asante sana nahitaji rafiki wakwanza, kijana wako kutoka Burundi 🇧🇮
Duh! Wakati wa shida hamna rafiki brother!
Nimeipenda Sana na mungu akubariki
Shukrani Kocha
Nakushukuru sana mwalimu wangu kwahapo nawakosa marafiki 3
1) waku niweka karibu na Mungu
2) rafiki wa mausiano na kusudio la Mimi kuwepo duniani
3) rafiki wa kuwa nami wakati wote
Nandoto kubwa sana nahitaji kuitimiza
Hongera brother mungu akupe maisha marefu nimefunguka
Asante sana
Duuu! Good ideas
From U S A nakushukulu saana kwa Elimu yako
Ubarikiwe mtumish
Kaka nashukuru sana kwa somo lako zuri, mimi rafiki niliekosa ni yule ambae ndoto yangu na yake zinaendana
Ubarikiwe mno
Barikiwa Sana unatujenga sana
Unanijenga Sana Kaka ubarikiwe sana
Thanks a lot, nimejifunza kuwa kuna wakati marafiki wabaya walinifanya niwapoteze marafiki muhimu pale tu wale marafiki wazuri walilpobaini kuwa Nina kundi jingine ambalo si jema
asante.
Safi sana Kaka
Asante nimejifunza kitu
Bro ubarikiwe sana unatufunza mengi
Assnte sana mwalimu
Asante kaka angu jmn cjui nikupe nn kwa kunivumbua akili.....lkn ni namn gan unaeza kutambua marafiki wa aina kama hizi ambao sitakiwi kuwapoteza kwasababu mm cjabahatika kukutan na marafiki wa namna hii marafiki nilionao ciion kam wana sifa hizi lkn naomba unisaidie kwa Hilo👆 jinsi ya kuwatambua
Shukulan kak Kwa som zur
Asante
Hello Mr.Joel.mimi nina tatizo kubwa sana la kisqikolojia na maogopa kisijebreak.naomba kukuona
All the best broh #andreajr
Somo zuri sana
Namwihitaj friend mshauli
Nice
Hello bro... nakuaminia kazi nzur rafik nnaemkubali ataesimama na mm kipind kigumu na kunifahamisha Mema ama mazuri
Aina ya rafiki ambaye ninamkosa ni yule ambaye tunaunganishwa na kusudi tulilonalo maishani mfano mm cnarafiki mwenye ndoto ya kuwa daktari km mm.
Asante bro!!! Namkosa rafiki namba mbili ma tatu
Kwa upande wangu ww ndio bext Wang
Uwa una nifanya nakua happy bro nakujiamin
Ameni
Katika hao wote mim sina hata 1. 😭😭😭
Naomb urafik
Mawili kati ya marafiki zangu ambao nimewaona baada ya kuangalia video hii first ni Dr franko Muhimbili national hospital huyu ndoto zetu zinafanana japo mwenzangu yeye ni daktar na mimi sio daktar lakn Tunamalengo Tofauti ya nje ya kazi zetu wa pili ni classment wangu Mwalami Amin Huyu Naiman yupo tayar kwa lolote na mimi Hawa nafikiri Nianze kuwatafuta
Kaka hapo kwenye marafiki wanakuambia ukweli Ni hadimu Sanaa kwa asili ya wanadamu
Rafiki anayenikosoa bado sijampata. Na hata hivyo weng katika urafiki wamejenga Imani ya kila mtu ana maisha yake hivyo ni ngumu kumkosoa mtu
Rafiki anae niweka karibu na Mungu huyu Sina kabisa,yaan Hawa nyau nilionao Kuna mda hata wakipga simu nakausha tu au nazima marafiki mizigo 😁😁😁 ,sema siku hiz unachelewa Sana kutoa darasa kaka nanauka
Swali langu nitawarudishaje marafiki wangu wazuri
Namba 5
Naitaji weweuwe rafiki yangu ili uwemuhamasijaji wangu
Nimekuelewa mkuu
Rafiki namba 4
Sina rafiki wa kuniunganisha kwenye kusudi langu
my brother Joel nimebarikiwa na somo na nimeandika kabisa hali nipitia kila wakati lakn mm kuna mambo machache ambayo naomba unisaidie kushaur 1nilikuwa na rafik ambaye tulikuwa tushauriana mambo ya kiroho lakn nilikuja kufahamu rafik siyo mwaminifu 2kuna mambo mawili yananichanganya tofauti ya kipaji na kuzudi na kile ninacho penda ambacho watu wangine wanafanya
Blessings Sana
Mtumishi naomba namba zako nitakutafuta , namba zangu Ni 0755 975048
Wanaovutiwa na ndoto yangu na ambao tunaunganishwa na kusudi sina hao kabisa
2 no tatizo always
mimi asilimia kubwa ya marafiki zangu ni wabaya manafiki wanbea wasîotaka kuona maendeleo yangu wala maisha yangu ya kifamilia
Cna hata mmoja mwenye hizi sifa
Shalom Mtumishi! Mimi nawaitaji Aina zote za marafiki ulizozungumzia. Nifanyeje niwapate?
Rafiki wa kushauriana nae kihusu biaahara ni wachache sana ,wengi negative mind tu belief utajiri ni for special people
Sina hata mmoja.
Mimi sina rafiki wahivyo ilamimi ndio nipobolakwao lakini wao siosana ya nawapa moyo sana nawakemea nawakumbusha habal za Mungu wao wala sasa hapo unanishAuli vip kaka nifanyeje
Kaka nashukuru sana kwa hili somo na nimeinjoy sana but mimi nilipo enda dar nlpokelewa na rafiki yangu moja msambaa tukapendana sana na tukawa tunashauriana mambo ya maisha lkn sehemu moja tu ndo tumeshindwa kuwa pamoja coz kuna fursa niliipata nikamshirikisha baada ya mii kuanza ila hakukubaliana na mawazo yangu,je na huyo nisimuache au nimuache???
Pr Joel! Yesu apewe sifa Sana, Nilikua Naomba Msaada wako nimeandika kitabu ila Kuna vitu ntaomba unishauri, Ubarikiwe Sana, 0742139713 Naomba msaada wako
Nilikuwa najihesabu mwenyewe kama ninahizo sifa kwa rafiki zangu...
Rafiki niliyemkosa ni no 5
Nimekosa rafiki no 5
Mm ninakosa marafiki wakuwa nao na wakunishauri nikiwa na rafiki leo baada ya muda akijua mafanikio yangu ananijeuka nifanyeje nisiwe na rafiki kabisa au nifanye nn
Me cna Rafki mweny Abia izo zote 5 unakua anatabia 1 tu na mwingine ivo ivo ila zenye kutofautia....apo inakaajee??....*
Wote
Jinsi ya kupambana na changamoto za elimu
Dah Katika Maisha yangu sijawapata hao marafiki 😔
Kua rafiki yangu
@@immaculatejohn9906 Upo wapi my friend?
Kweny hao marafiki wote
Nawez sema wapo lkn kuna mmoja hapo yeye analeta na Mambo kimapenzi 😔😔
Licha ya kwamba ni Rafik mzuri 🤔na hapo ipoje hii kiongoz 🙏🙏🙏
Rafiki wa kunihamasisha ktk malengo yang
Mim nakosa marafiki wanaonishauri kuhusu mafanikio ili hali Mimi nawashauri watu wengi ninaowaelezea mipango Yangu nawaona kama watazamaji hata my wife
Mie nimemkosa anaeendana na ndoto zangu
Rafiki mwenye uwezo wa kuonya
Mimi sina rafiki kwasababu nilie muamini ni rafiki alibadilika kisa pesa nilimjali kwa kila hali hatamaongezi ya imani zetu kuhusu mwenyezimungu maisha lakini alibadilika sikuamini
Najiona mpweke tu
Kati ya no zote sina hata moja nisaidie ndg bahat toka busolwa
Anae nisogeza na Mungu huyo lafiki sina
Nimempoteza rafki kwa kumueza ukweri .na arikua wa mhimu kwangu nifaje? kumrudisha.
Achana nae angekua rafiki wa ukweri mngeshea idea moja
Natamani kupata Ila kumjua mtu sahihi ndyo mtihan
Mimi bro hapa namkosa rafiki ambae anaweza nipa channel za kuwez kufanikiwa kipaji changu cha acting (commedies)
Ahsante Sana Mwl
Me kwa upande wangu bado sina lafiki ata mmoja kati ya hawo uliowataja sjui nitumie njia gani kuwapata marafiki hawa
Duuu!!!
Ili kuwapata brother lazima kidogo wewe mwenyew uanze kubadilika taratibu utaona waanza kujitokeza ,but ata wale uliona nao pia unaweza kuwageuza Wakawa miongon mwa hawa