EX WA NIFFER AONGEA KWA UCHUNGU, ALIYOFANYIWA HADI KUACHANA NI MAZITO😭, VUNJA BEI ATAJWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 11. 2022
  • EX WA NIFFER AONGEA KWA UCHUNGU, ALIYOFANYIWA HADI KUACHANA NI MAZITO😭, VUNJA BEI ATAJWA
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 304

  • @charlesmasele6327
    @charlesmasele6327 Před rokem +69

    Mwana unajielewa sana chukua hii 👊👊 huwezi shindana na mwanamke. ✅✅

  • @ibrahjr5210
    @ibrahjr5210 Před rokem +73

    Nilichojifunza ni kwamba, ukiachana na mtu hakuna sababu ya kumuongelea vibaya..kwa 7bu mnajuana madhaifu yenu pamoj na Siri zenu zote ,so it's better Kam kuendelea na maisha mengine at the same time mko peace na bado mnaweza suppotiana kweny angle nyingine ya maisha

  • @filbeteromary3153
    @filbeteromary3153 Před rokem +9

    🥺Wangap wamegundua kakaa anajtahid asimzungumzie vbaya ila maumivu yanamzid😥

  • @mishiomarhassan7115
    @mishiomarhassan7115 Před rokem +31

    Gigy 😂😂😂kasema kwely 😂😂😂 sasa nimelewa

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 Před rokem +15

    Akikutana na mwanamke anaendesha nyumba sistuki kanichekwsha sana yaani nimecheka kwanguvu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭paka nimelia 😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂

  • @ahmedkhatibu5387
    @ahmedkhatibu5387 Před rokem +12

    Mtoto anataka hela yule ,,pole sana brother

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4k Před rokem +27

    He is wise man

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 Před rokem +21

    Hapo mwisho kafunga vizuri kipindi🙌💪

  • @latiphamohammed9900
    @latiphamohammed9900 Před rokem +27

    Kaka kaongea pwet sanaaa kunywa peps ya bariiiiiidi nakuja kukulipia nipo njian🥰

  • @salmaathman7634
    @salmaathman7634 Před rokem +6

    Huyu kaka kajitambua mapema yupo sahih wanawake wengne pasua kichwa ila ndio mama zenu mtafanyaje tuvumilien tu😄😄😄😄

  • @hopemusictz9353
    @hopemusictz9353 Před rokem +29

    Huyu mwamba sijui ana degree ya maisha...😂😂😂

    • @hassanstoch7607
      @hassanstoch7607 Před rokem

      😂😂😂

    • @its_khalidy_46
      @its_khalidy_46 Před rokem +2

      Ukikutana na challenge flani katika maisha aidha ya mahusiano au kitu chochote,,,,autamatic utakua na uwezo mkubwa sana wa kufafanua ilo tatizo kuliko unavyozania,,,,

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Před rokem +9

    Usiombee uachwe na Demu alafu akupite kimaendeleo weeeee Chibabaaaa utamia maish yako yooote km huyu mwamba🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️Alafu kwenye interview Niffah aligoma kabisa kumuongelea ukiwa km x...na unamaisha yakoo...Wewe na vunja bei wako woote oya oyaaa...Goooo Niffaah

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Před rokem

      wauza kuma lazima msapotiane hua iko ivo huyo dem malaya mbwa kiba mwenyewe kasha mtomba afu kapita vile unaona tena heka heka kwa kiba? sasaivi itakua kapata danga wasafi nako atombeke ad kuma itoke sugu 😷😷

  • @kimambo_photographer5291
    @kimambo_photographer5291 Před rokem +24

    Leo nimekuwa wa Kwanzaa 😍

  • @paschalmushilu1485
    @paschalmushilu1485 Před rokem +4

    Good interview

  • @JOHNJOHN-pu7wb
    @JOHNJOHN-pu7wb Před rokem +16

    Vijana wanateseka kwa kukosa ela. Fursa hakuna daaah 😢

  • @zafarmohamedy3013
    @zafarmohamedy3013 Před rokem +9

    Huyu jamaa yupo perfect san

  • @Bise270
    @Bise270 Před rokem +1

    Huyu msenge nae qnaelekea bado anamtaka ex wake,mbonq linajiongelesha kwa uchungu hivi alafu mwishoni linajidai nampenda mke wangu,kichefchef😏

  • @raybby9291
    @raybby9291 Před rokem +46

    Ila kaka unaonekana bado unampenda sana niffa na alikuumiza

    • @Mimy_keys
      @Mimy_keys Před rokem +1

      Weye waapi si kashaowa tayari

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 Před rokem +6

      @@Mimy_keys kuoa sio tatizo.watu wanaoa Sana lkn kumkumbuka mtu ni jambo lingine

    • @masoudmsomal8774
      @masoudmsomal8774 Před rokem +1

      @@Mimy_keys me nimeoa tyr na mpk leo nampenda ex wang

    • @allanothuman2941
      @allanothuman2941 Před rokem

      @@masoudmsomal8774 ttz n kumb kumb zinakuendesh vibay

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Před rokem +41

    I'm learning alot from this dude and what he's talking about is real and painful

    • @sophiamfikwa7340
      @sophiamfikwa7340 Před rokem

      Yeah for sure he have something makes him painful..but hajataka kuelezea

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 Před rokem +20

    Huyo dada yaelekea ana something special,ambayo watu wanamfuatilia sana life yake Em mpeni amani binti wa watu.

    • @edinakyaruzi9226
      @edinakyaruzi9226 Před rokem

      Damu yangu kabisa naniwakawaida kabisa

    • @careeninnocent738
      @careeninnocent738 Před rokem

      Wanamuonea wivu ni mpambanaji

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Před rokem

      kitu gani malaya huyo anajiuza afu anakuja kwa motivet wajinga kama nyie eti nimepambana labdda kwenye godoro ndio aliko pambana

    • @jan6703
      @jan6703 Před rokem +2

      @@careeninnocent738 hivi wewe dada waelewa upambanaji ni kitu gani. Maana naona hata wanaojiuza waziwazi wajiita wapambanaji .

    • @its_khalidy_46
      @its_khalidy_46 Před rokem +2

      @@jan6703 ndo wale wale uyo wanapenda sana kujitetea,,,

  • @joycemenrad9746
    @joycemenrad9746 Před rokem +26

    Gigy money atakua alikua sahihi aka ka niff oo jimetoka mbali kumbe kupanganisha wanaume kama makontenda ya mizigo 😉

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Před rokem +3

      Mwanamke ni wamambo mengi kwa mujibu wa mwanaume anavojieleza mtu wa matukio lkn anajificha gigy yupo sahihi maneno yake .

    • @starpammy6020
      @starpammy6020 Před rokem

      Hahaha 🤣 nyieee

    • @enjoomaliya1399
      @enjoomaliya1399 Před rokem

      Mkomeni mtoto wa mwanamke mwenzenu , semeni uzazi wenu watoto wenu , stupid.

  • @abdallahnassoro2460
    @abdallahnassoro2460 Před rokem +1

    Yani bro bro brooooo mkasa wako Hauna tofauti na wangu umenigusa pabaya Yani usiombe likakukuta sio wote kweli lkn ktk kumi ni mmoja ndo utapta

  • @thomashudson1083
    @thomashudson1083 Před rokem +3

    Huyu mshikaji kwa jinsi anavyoongea anaonekana alipgwa tukio na huyo demu ambalo lilimuachia maumiv makali mpaka kesho.

  • @pamelaouma6400
    @pamelaouma6400 Před rokem +32

    MUNGU amesema ishini na sisi kwa akili Sana.

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Před rokem +4

    Niffer unatuwakilisha vizuri safiiii
    wANAUME WA KIACHWA WANAUMIA
    ILA SISI MBONI KILA LEO MNATUUMIZA KENGE NYIEEE.JAMAA BADO UNAMPENDA.PAMBANA NA MKEO.NIFFER LEVEL YA JUU.tafuta pesa kesho watatuheshmu hawa

  • @sharifaomenda1535
    @sharifaomenda1535 Před rokem +10

    Ndio maisha yalivyo wanawake baadhi yao ndivyo walivyo akipata kipya cha zamani hakina faida. Ila wanasahau kipya hakinyemi

  • @jescaalfred3410
    @jescaalfred3410 Před rokem +2

    Hakuna Cha kumpenda mke wake..huyu Kaka moyo wake bado upo kwa niffer

  • @bahatiponera7165
    @bahatiponera7165 Před rokem

    Umeliwa sana

  • @hidayakisensi2747
    @hidayakisensi2747 Před rokem +32

    Kwel mafanikio yana siri kubwa, kila mtu anahistoria yake yamafanikio

  • @mpalestinatz8265
    @mpalestinatz8265 Před rokem +6

    Mwana smart talker sana👊

  • @biggievandar254
    @biggievandar254 Před rokem +2

    Nakukubali Sana Kaka umeongea

  • @Pro_Hacker99
    @Pro_Hacker99 Před rokem +25

    Demu akipata sponsor tu wahun tunaachwa😂😂

  • @hasnaybyser1972
    @hasnaybyser1972 Před rokem +5

    kazi kweli kweli

  • @emmanueljuvieh4316
    @emmanueljuvieh4316 Před rokem +26

    Date na muhaya ni wazuri sikatai ila please n please uko in troubles! If you know you know 😞😞😞😞😞😞

  • @abdilahijuma3373
    @abdilahijuma3373 Před rokem +1

    Pole sanaaah mkuuu

  • @hawaneneko4793
    @hawaneneko4793 Před rokem +6

    Big up broo unajielewa mnoo

  • @hagarbills4023
    @hagarbills4023 Před rokem +1

    Bro nimekwelewa sana

  • @johnkyara8655
    @johnkyara8655 Před rokem +1

    Mwanamke ni mtu anabadilika since from bustani ya edeni utamjua mwanamke ni mtu wainagani demu kapata jina town ameshabadilika

  • @mumaheza151
    @mumaheza151 Před rokem +2

    Good sana boY

  • @reneeisaya733
    @reneeisaya733 Před rokem +8

    Huyu kaka mstaarabu sana ila akisema amvue nguo huy dada angeaibika sana ,wanawake tuna fake sana maisha jamani

  • @justerissaya9165
    @justerissaya9165 Před rokem +14

    Nampenda Sana mke wangu !! Uku namuelezea nifeer kwa uchungu!😭😭😭 Pole Sana kaka angu moyo unapendaga mara moja tu

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 Před rokem +2

    KUWA NA MWANAMKE WA "KIHAYA" NI MTIHANI,HAWATOSHEKI.

  • @mrambadiana9678
    @mrambadiana9678 Před rokem +13

    Niffa alkua baya tunaokaa Sinza Madukan tunamjua sjui kwanin anamkana kaka wa watu enzi hizo shilla ananyoa pemben ya Galito restaurant

  • @yusuphmalonja
    @yusuphmalonja Před rokem

    Kabisa brooo

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před rokem

    Duh

  • @idayamataifakey7813
    @idayamataifakey7813 Před rokem +4

    Huyu kaka naona bado ana mpenda

  • @azizamohamed7692
    @azizamohamed7692 Před rokem +6

    Uso wa Nifa ukimwangalia akifanyiwa itavyuu unajuwa tu kama muongo gigy alivyosema wengiwao wanadanga walipaniki wote wadanga

    • @jan6703
      @jan6703 Před rokem

      Kweli Aziza. Inaudhi mwanamke asimama macho makavu na kujidai eti mpambanaji au special kumbe akiuza mwili . Chefu sana hasa msiwape air time waharibu jamii 😠

  • @jonessalum6325
    @jonessalum6325 Před rokem +1

    😀😀😀 et tuishi nao KWA akili noma sana

  • @rosestigeneriksson8387
    @rosestigeneriksson8387 Před rokem +9

    Sio mwanamke tuu hata nyie wanaumme mna mambo ya kishenzi sanaaaaa

  • @ommie_nyzer
    @ommie_nyzer Před rokem +10

    Salute sana bruda👊🏾🏁

    • @nersonjoseph5369
      @nersonjoseph5369 Před rokem +2

      Jamaa kajibu vizuri mno ma ex asa ulio kaa nao zaidi ya miaka 2 kupanda ndo uwa maadui wakubwa

  • @eliachacky7562
    @eliachacky7562 Před rokem +1

    Kweli mwamba unauchungu moyoni, ila wanawake ni viumbe waajabu sn hapa duniani

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 Před rokem +2

    Tatizo watu tunashindwa kutofautisha mwanamke wa kupenda na wa kupiga ukatembea, kuna iana ya wanawke hawaitaki kuwaweka rohni ni kuchapa tu alaf mwisho untafuta kitoto kiziuur kishambashamba unakivuta ndani

  • @mwajabukaseke8710
    @mwajabukaseke8710 Před rokem +1

    Yan mnapendaa wadada wenye makalio sasa ndo matokeo yake hayooooo😆😁

  • @sawasuleimanmwambungo9706

    Ukiumiza mwenzio jua nawe utkja umizwa maisha ni mzunguuko

  • @mspwjjjso6261
    @mspwjjjso6261 Před rokem +12

    Nifa hana akili kumbe kaacha mwanaume anaejielewa

  • @sipriandonko3848
    @sipriandonko3848 Před rokem +13

    mzee wa minyoosho mikali🔥🔥🔥🔥

  • @angelalyimo2862
    @angelalyimo2862 Před rokem

    Imeishaa hiyo

  • @johasaeed391
    @johasaeed391 Před rokem +1

    Hata wanaume kaka wanadam wamebadirika sana japo siyo wote

  • @khalidngwembele9075
    @khalidngwembele9075 Před rokem +4

    Jamaa anajielewa kifala yan,, Nakubal✊

  • @fahmitumu8620
    @fahmitumu8620 Před rokem +2

    km mtu hatk kufunguka wanini kufanya nae interview kupotez muda tu

  • @mariamselemani1366
    @mariamselemani1366 Před rokem +2

    Kaumbuka duu pole kaka

  • @Gody360
    @Gody360 Před rokem

    Ndio life

  • @mariamphilipo5789
    @mariamphilipo5789 Před rokem +1

    Huyo Kaka anaongea kwauchungu Sana jamani Wana wake tubadilike ukipata akupendae nawewe mpende hivi vitu nivyo kupita tu jamni

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 Před rokem +3

    Maskini jama bado ana mpenda

  • @kelvinp.mbwelwa7982
    @kelvinp.mbwelwa7982 Před rokem +1

    I like bro nikwel kabisaaaaaa

  • @al_hashamneymah1340
    @al_hashamneymah1340 Před rokem

    Duh mwamba anakwmbia ht akimkuta mwanamke anaendesha nyumba hawez kushangaa

  • @ismahanymahamoud9721
    @ismahanymahamoud9721 Před rokem +6

    Huyu Mkaka Bado Anampenda Sana Niffer

  • @mdzainb3722
    @mdzainb3722 Před rokem +10

    Kaka kaa mbali na Muhaya 😂😂😂😂🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️

  • @markonline1812
    @markonline1812 Před rokem

    Umeongea really bro

  • @wardaridhwankassim4774
    @wardaridhwankassim4774 Před rokem +5

    😂😂😂 kuna mwanamke mwenzetu kashatuwakilisha vzur huk..! @niffer unazawad ako..!

    • @givenjackson5449
      @givenjackson5449 Před rokem +2

      Yaan warda upo kama mm yaan m mwanaume akiumizwa nasikia Raha jaman🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 asante sana niffer

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 Před rokem

      Hahhahah

    • @calvinpaul2171
      @calvinpaul2171 Před rokem

      @@givenjackson5449
      Ndotabiaa yenu

    • @madawamchuwa8253
      @madawamchuwa8253 Před rokem

      Wakituacha wao inakuwa poa ila wakiachwa wao sasa 🙌😂😂

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 Před rokem +2

    Hivi mtu mshaachana unakuja mediq kujitangaza kuwa wewe ni ex wake. Unataka pension au???ukuachwa move on na acha kumuongelea ex wako kabisa

  • @ramanyamawi1568
    @ramanyamawi1568 Před rokem +2

    Mchanga hii interview n ngumu sahii akili kichwani

  • @josephjohnmagesa8256
    @josephjohnmagesa8256 Před rokem +1

    Kwani uyo niffer ndo nani Mbona mnampa kiki🤣

  • @laurencemassawe9100
    @laurencemassawe9100 Před rokem +2

    Mwamba nimekuelewa hawa viumbe nikuishi nao kwa akili

  • @ashrafmbonde8716
    @ashrafmbonde8716 Před rokem +1

    Usishindane na mwanamke.... Fact

  • @user-xm2rm7wn6h
    @user-xm2rm7wn6h Před 7 měsíci

    Ety ana endesha nyumba😂😂😂😂

  • @zena6203
    @zena6203 Před rokem

    Oya tembea kwamwendo wako ukiachwa achika unabwabwaja nini kwani unataka awenamwanaume umoja umekuwa babayake ao

  • @flova7022
    @flova7022 Před rokem

    Huyu mwamba anaijua dini safi

  • @aminahassan4214
    @aminahassan4214 Před rokem +2

    Huyo niffer mwenyewe anaongelewa yuastiriwa na hyo make up bila make up ni balaa mana hilo sura

    • @madawamchuwa8253
      @madawamchuwa8253 Před rokem

      Nishaenda dukani kwake mtoto wwtu wala sio mbaya Masha'Allah

  • @jacklinewilliam3547
    @jacklinewilliam3547 Před rokem

    Brother umeoa acha yapite

  • @rachelpeter7032
    @rachelpeter7032 Před rokem

    Jamaa anaongea kwa uchungu

  • @monahmussamonah6229
    @monahmussamonah6229 Před rokem +4

    He is humble jmn.

    • @jackngitu1477
      @jackngitu1477 Před rokem +1

      Sema watangazaji wa online wanapenda kugaombanisha watu kama watu wameachana kwnn mnafukunyua mambo jiulizen nyny wenyewe mna mambo yenu machafu,hapo niffer ana maisha yake na huyu kaka pia.Jifunzeni kutofuatilia mambo ya binafs ya watu

    • @queen.christelle1
      @queen.christelle1 Před rokem

      @@jackngitu1477 kabisa

  • @wardamunguakuzidishew9399

    Uyu kaka anajielewa sana niffa kamuacha mwanaume kafuata maigizo ngoja kitamkuta kitu

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 Před rokem +2

    tafta pesa acha makasiriko

  • @Torono_95
    @Torono_95 Před rokem +5

    Bado anampenda uyo dem uyu jamaa

  • @zubedarichard2311
    @zubedarichard2311 Před rokem +1

    Huyu kaka bado anampenda niffer Sana woi ongea yake tu inaonyesha jmn

    • @shabanimbugi8372
      @shabanimbugi8372 Před rokem

      Ila kademu kazuri broo una haki ya kulalamika

    • @bahatmushi9571
      @bahatmushi9571 Před rokem

      Huyu kaka ana kigugumiz alaf watu Kama hawa wanakuaga na hasira ila itakua niffer alimtenda

  • @fatumajeremiha6349
    @fatumajeremiha6349 Před rokem +4

    Huyu kaka namjuwa na nifa namjuwa kipindi huyu kaka alikuwa ananyoa ndy kipidi hicho huyu nifa alikuwa kawaida huyu kaka anasema ukweri halafu nifa alikuwa kama tom boy saluni ya huyu kaka ilikuwa sinza madukani 2019

  • @ednagodson7540
    @ednagodson7540 Před rokem +3

    Mwanamke wa huyu kaka ana kaziii ameoa kupunguza stress🤣🤣🤣niffer duka limekuachanisha n mpenz

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi9341 Před rokem +8

    Wanawake wabaya lkn tumewazaa

  • @hassanhancha1413
    @hassanhancha1413 Před rokem +12

    kwani huyu jamaa anashida gani kulalama kwingi mzee

  • @Amobizzy_OG
    @Amobizzy_OG Před rokem +1

    Kwan..uyo niffef ana utamu...gani..🤪

  • @hawaneneko4793
    @hawaneneko4793 Před rokem +1

    Na anauchungu mnoo

  • @ruu6592
    @ruu6592 Před rokem +1

    Kukataliwa kubaya kaka anauchungu

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein4311 Před rokem +14

    Sasa siumeachwa na umeowa endelea na kazi zako kamanda

  • @mariasanga5817
    @mariasanga5817 Před rokem

    Jamaa anaonekan aliumizwa san na niffer dah na anaonekan bdo anampend

  • @malleytopmusic3051
    @malleytopmusic3051 Před rokem +3

    Wanawake tuishi nao kwa akili lakin anampenda sana mke wake🤣🤣🤣

  • @filbeteromary3153
    @filbeteromary3153 Před rokem

    Nafeel maumiv yake de way anaongea

  • @gorethkalembo8177
    @gorethkalembo8177 Před rokem

    Mkaka anaongea kwa hisia saana
    Mpk hurumaa

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi9341 Před rokem +1

    Eti unamtaka, eeh unampenda!!!! Basi mtongoze 🙄,

  • @josephswai2374
    @josephswai2374 Před rokem

    Ungepga kimyaaa tuu