MWANAFUNZI ALIEACHA CHUO, NA KUTUMIA ADA YA WAZAZI KUUZA VIATU BILA WAO KUJUA HADI SIKU YA MAHAFALI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 02. 2021
  • Suzan British mwenye umri (24) binti alieamua kuacha Chuo akiwa mwaka wa pili akisomea Ufamasia bila ya Wazazi wake kufahamu na kuendelea kumlipia ada, na yeye kuitumia ada ya Wazazi wake kuanza biashara ya kuuza viatu huku Wazazi wake wakiamini mtoto wao anaendelea na masomo hadi hapo walipohudhurua mahafali yake 2020

Komentáře • 493

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 Před 3 lety +12

    Kujiamini, nidhamu katika pesa na kuheshimu watu...
    Keep on living with that spirit...
    It will take you up to your highest destination.
    Hongera sanaaa Suzy
    👏👏👏

  • @musamargwe5948
    @musamargwe5948 Před 3 lety +16

    Safi sana huyu Dada amenifundisha kujiamini na sku zote kwenye maisha hakuna kufeli Amini unachokifanya,,,,big up dah ungeweka number basi tungekuunganisha hata kutoka mikoani biashara yako ikue mama

  • @bablojakitalambo504
    @bablojakitalambo504 Před 3 lety +43

    Ula ula aina kufilimba kusoma sio kutoboa bali tunaondoa ujing 2 ""Find money""big up sister

  • @calossantos486
    @calossantos486 Před 3 lety +33

    "kuliko kupoteza muda ni bora ukajiamini kwamba uko sehemu fulani." 💪

  • @youngsimbawcb1814
    @youngsimbawcb1814 Před 3 lety +5

    Daaah!!!!! Ukifanya kitu cha Mana kupitia PESA zao...... Japo watalalamika ila baadae wataona ni kitu cha Mana ukianza kuwasaidia....... Jambo zuri dada........
    Mungu ni mwema nimejifunza kitu,,,,, kwamba Kuna kitu kiñaitwa kuheshimu pesa na nidhamu ya pesa na watu.....

  • @molaizer992
    @molaizer992 Před 3 lety +39

    Ushauri
    "Don't learn from successful people stories, learn from failure people stories"

  • @ikulunimahalipatakatifu7642

    Intelligent is not about books it is about passion and do want Make sense to you and bring value to your life.. congrats sister

  • @winniemwasenga
    @winniemwasenga Před 3 lety +49

    Yani ningekuwa mimi ndo nimekusanya hizo ada 😂😂 i can't imagine vile mom angekufa presha

    • @geesmile..9599
      @geesmile..9599 Před 3 lety +1

      Ahhhhhhh

    • @naimanuran2663
      @naimanuran2663 Před 3 lety

      😂😂😆

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Před 3 lety +1

      Kwa mama yangu mm unachezea mbata ile mbaya

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Před 3 lety

      Nakumbuka nilichezea mbata nikiwa chuo mwaka wa kwanza hahahaha kwa mambo ayo ayo ya pesa dah.

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Před 3 lety

      Nakumbuka nilichezea mbata nikiwa chuo mwaka wa kwanza hahahaha kwa mambo ayo ayo ya pesa dah.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 3 lety +45

    "Siwezi sema nime jutia nasema nime Jifunza "

  • @helenalwambano-pj4rp
    @helenalwambano-pj4rp Před měsícem

    Dadaa shikamoo🎉🎉 MUNGU aendelee kuibariki kazi yako😊😊

  • @mkonongo_og
    @mkonongo_og Před 3 lety +4

    Brilliance congratulations to you!! Lkn piah hata matajiri wakubwa ukiwauliza watasema walianza kwa kuuza 'karanga'
    Hivyo ni vyema kuona na kujifunza, cyo lazima uwe na elim ndy upate pesa Lkn piah ni lazima uwe na elimu ili upate pesa.
    Hapa tunasema bampa tu bampa, ukipata pa kuchomokea Bc ndy Hapo Hapo shikilia...
    #.BongoLand

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 Před 3 lety +37

    Kila mtu anamaisha yake unaweza ukaiga mbinu ya huyu dada ukaharibikiwa maisha!!!

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 Před 2 lety +1

    Duh.mkanikumbusha mbali. Niliacha chuo pia nikatumia mtaji kwa baishara...nikaja kusoma baadae na sijutii hadi leo. Ingawa biashara niliacha baadae ila nilijifunza sana maisha na kujitegemea katika muda ule

  • @shabanalfan9705
    @shabanalfan9705 Před 3 lety +17

    Hio biashara ni mpaka uwe umefanikiwa usipofanikiwa utaelewa.....
    Wa kwanza apa naomben like zangu

  • @felixmathias6362
    @felixmathias6362 Před 3 lety +3

    Hii interview nadhani haifai. Haifundishi jamii. Itasababisha vijana waige huu ujinga. Vijana watadanganya sana wazazi.

    • @chax255
      @chax255 Před 3 lety

      Inafundisha pakubwa sana. The end matters more than the beginning

  • @geofreyjackson9292
    @geofreyjackson9292 Před 3 lety +21

    sometime it good so good sababu unapata mtu anamaliza en still yupo mtaan almost mwaka au ata zaidi ya miaka anasubil ajira, au mtaj at least afanye chochote lakn nothing. so that is something to learn 🤔.." maisha n kuchagua" so ur in to the right track. Big up dear

  • @nicelemoTripleFive
    @nicelemoTripleFive Před 3 lety +6

    Superwoman huyu dada namuona mbali sana siku zijazo. Congratulations sister

  • @jescamoshi3821
    @jescamoshi3821 Před 3 lety +5

    Jamn suz hongera sanaaaa😄😄😄😄nmekukumbuka enzi zile mk

  • @NEWMOVIES-ln3gg
    @NEWMOVIES-ln3gg Před 3 lety +16

    Huyo ni mimi kabisaa hapaaa nimeachaa zangu chuo mwaka wa pili huu nimeajiriwa mahali mshaharaa mzuri to nna tegemea Hadi mwez wa sita inshaallah nifungue duka la nguo pamoja na boda boda mojaa nieze miliki,,,,

    • @anjelawillison4971
      @anjelawillison4971 Před 3 lety +3

      Me too nimeacha Chuo and am running my Bussiness hear in mwanza Am turning twenty 23 this year ntarudig tuu Chuo anyway😝😝😝 sijui lini

    • @NEWMOVIES-ln3gg
      @NEWMOVIES-ln3gg Před 3 lety

      Oooh

    • @raphaelnkwabi9676
      @raphaelnkwabi9676 Před 2 lety

      😂😂😂😂😂

  • @gtv3409
    @gtv3409 Před rokem +1

    Bora uliamua Classmate Wangu Congratulations nying kwako Dadaangu.💪🏽🙄

  • @silenceneverson8648
    @silenceneverson8648 Před 2 lety

    I get a big leason from you my ccter congratulations keep it up from 🇲🇼

  • @ibrahimnyanga9778
    @ibrahimnyanga9778 Před 3 lety +24

    Entrepreneur is risk taker , innovators

  • @justinebaada9079
    @justinebaada9079 Před 3 lety

    Congrats sana dada you look so inspired

  • @wilsonsaghy4171
    @wilsonsaghy4171 Před 3 lety +1

    Big up....life is all about ideas

  • @danielkembo2177
    @danielkembo2177 Před 3 lety +23

    Mmmh.. Ulidisco ila ndio hivo ulijiongeza sema fresh pambana

  • @onlinemateustv1925
    @onlinemateustv1925 Před 3 lety +10

    Akili - toa kila kitu ulichojifunza darasani =Akili
    Angefuata vya darasani ingemkata maana sometimes Elimu ya darasani inalengo la kukufanya uwe mtumwa vile but ni mtazamo tu

  • @nickypezzooo7792
    @nickypezzooo7792 Před 3 lety

    Suzie my neighbour in Gwitiryo village Big up sana suzie

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 Před 3 lety +6

    Nicee Madame.

  • @vero57
    @vero57 Před 3 lety +1

    Hogera sana dada , elimu hainamwisho, kazi nzuri

  • @shadrackmgeni5458
    @shadrackmgeni5458 Před 3 lety +42

    Anaweza kua mtanzania wa Kwanza kumuunga mkono mbunge wa kahama na msukuma

  • @bigbossmanbossman6946
    @bigbossmanbossman6946 Před 3 lety +5

    She took a very tough decision hiyo risk ni kubwa sana anyway tunaomba biashara yake ikuwe mzuri much love from Nairobi

  • @khalidtv6200
    @khalidtv6200 Před 3 lety +6

    Umetisha sana sister Suzzy

  • @SGL_tz
    @SGL_tz Před 3 lety +2

    Now thats real hustle there, Bcoz others might use fees for luxury but her she made it a capital.... not all get such chances. but Hongera Kwake.

  • @ckosmah21
    @ckosmah21 Před 3 lety +25

    akili ni nywele elimu ya sahv ni kujiongeza hongeraa😂

  • @sebastiandianne822
    @sebastiandianne822 Před 3 lety +3

    Big Up Sis🔥

  • @peterlujuo1640
    @peterlujuo1640 Před 3 lety +1

    Smartest woman I ever saw

  • @pabloescober6709
    @pabloescober6709 Před 3 lety

    hii sio nzuri kwan itafanya watoto wetu waige kuacha chuo nakuiba ada sijaipenda mm bnafsiii

  • @daisy-lome3736
    @daisy-lome3736 Před 2 lety +2

    Hii historia yngu kbsa jmn

  • @an6808
    @an6808 Před 3 lety +8

    Wazazi wanoko akija kwenye graduation anataka Graduants book, nilifoji kila kitu, na wala sijutii, saizi hamna kitu nina maisha kuliko wanaomiliki vyeti

    • @damxon3013
      @damxon3013 Před 3 lety

      Ko had leo wazaz wako hawajui kuwa uliacha

  • @ericklaura7511
    @ericklaura7511 Před 3 lety

    Better to listern to your heart and decide, bravo to her 🙏👏 wanasema kupanga sio kuchagua

  • @rahmakawtharylupande6972
    @rahmakawtharylupande6972 Před 3 lety +5

    Wanaoacha wakaingia mtaani na maisha yakashindkana hawaonekani kwenye media, hivyo kila mmoja na funguo yake ya maisha. Akili ya kuambiwa changanya na yako.

  • @ibrahimkanuto3514
    @ibrahimkanuto3514 Před 3 lety +40

    Onyo usijaribu kuiga ikibuma huna wakumlilia na utaonekana kama kinyesi

  • @edsonbalige3702
    @edsonbalige3702 Před 3 lety +2

    Safi Sana Dada yetu, unajiamini na kukiamini ulichonacho tayari nimependa

  • @isacklugalila8732
    @isacklugalila8732 Před rokem

    Big up sana,wanasema ameupiga mwingi 💯💯💯💯

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 Před 3 lety +9

    Huyu dada yuko so trick na mjanja mjanja sana. Ila ujanja umemsaidia.

  • @sabitintaganda9115
    @sabitintaganda9115 Před rokem +1

    Huyu Dada anaroho ngumu siyo rahisi sana kuwa namaamzi kam haya ,Wengi wanavyuoni wanapenda kufanya kitu kam hicho ,But nafsi zinawafyonza kwanguvu nakuogopa chozi lamzazi ,Lakini yote na yote ukiamua kitu kam hichi inakubidi uungame mbele zamwenyezi mungu then umtangulize katka maamzi yako yakiwa na displine yahali yajuu mfano namna yakutumia fedha,Tofauti nahapo utajutia kufanya kitu kam hicho najamii itakuona kam msaliti ,kam siyo mweu.

  • @corlyneman966
    @corlyneman966 Před 3 lety

    Home girl amazing one blood

  • @linahshirima2159
    @linahshirima2159 Před 3 lety +2

    Hongera Sana mamy❤️❤️❤️❤️🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @harunikiongozi3831
    @harunikiongozi3831 Před 3 lety +5

    Hongera sana nimeipenda

  • @marrykaranga2808
    @marrykaranga2808 Před 3 lety +6

    Hongera Suzi

  • @peacekatembo6944
    @peacekatembo6944 Před 3 lety +15

    Una akili Dada!....kuna watu wanakata tamaa na kuingia kwny kuolewaaa na kuzaa

  • @irenesisamo2184
    @irenesisamo2184 Před 3 lety

    Big up girl Mungu akutangulie

  • @emmanueljohn8970
    @emmanueljohn8970 Před 3 lety

    Asee namuonaga huyu Dada Duh yupo Frem karibu Na Omela hahaha Hongera sana.
    Nimejifunza kitu ila na mi ningetumia Ada kwenye Biashara Mzee wangu sijui..........angenifanyaje hahahaa sijui
    Angenipongeza

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Před 3 lety +6

    Ila miongoni mwa course nzuri kwa Sasa ni pharmacy. Cheti chake ukiwa nacho na ukasimamia duka la dawa Yale ya jumla kinalipa 1.2m Hadi 1.5m. ukifanya na supply chain ukafanya kwa miradi inakulipa zaidi labda aseme hakupa mshauri Mzuri
    Ambaye ana exposure ya mambo hayo. Ok by the way ni maamuzi yake Ila mi niliangalia hiyo biashara na cheti Cha pharmacy duh kapoteza. Angesoma akawekeza kwa biashara angekuwa mbali zaidi

    • @chax255
      @chax255 Před 3 lety +3

      Biashara yyt lazma uichoree ramani kichwani mwako na ujue utapenyaje kila sehemu hyo ramani kichwani mwake haikwepo alifanya biashara ambayo ramani yake anaielewa kirahisi.

    • @dapinitiative2451
      @dapinitiative2451 Před 3 lety +1

      Kila mmoja Kuna anachokiamini....hata hivyo Elimu haina Mwisho

    • @godfreymsafiri3380
      @godfreymsafiri3380 Před 3 lety +2

      Hzo statistics zako ndugu! Mambo kwa ground yapo tofauti Sana 😂🤣

    • @bojopa7
      @bojopa7 Před 3 lety +1

      Kumbuka alifeli mara mbili sasa hiyo cheti angepateje

    • @giftgodson5603
      @giftgodson5603 Před 3 lety +1

      Nakusupport mwenyewe naiwazia kusoma hata diploma yake tuu nijiajiri

  • @samsungj7pro64gb5
    @samsungj7pro64gb5 Před 3 lety +4

    MashaAllah 💕

  • @emmanuelsaiko5716
    @emmanuelsaiko5716 Před 2 lety +2

    💯 big up

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před 3 lety +4

    Nimependa rasta zake. .... Safiii ... Cheusi mangala

  • @henrypeter6874
    @henrypeter6874 Před 3 lety +10

    A brave woman alive in tz..

  • @yothamclement6469
    @yothamclement6469 Před 3 lety +1

    Good planner,,,, kupata Elimu nikitu kizur Ila Kazi nikuibadili hiyo Elimu uliyoipata kuwa pesa.

  • @hemedymturi756
    @hemedymturi756 Před 3 lety +6

    Daah!, mchele unachenga ila huyu dada kapiga chenga nyingi zaidi ya mes

  • @exaverykapiry1811
    @exaverykapiry1811 Před 3 lety +3

    Sster we noooooma Tanzania tungepata watu Kama nyie tungefika mbali Mungu akutangulie katika maisha yako

  • @josephdaimajuma8282
    @josephdaimajuma8282 Před 3 lety +1

    Suzy umetisha Sana kwa huo ujasiri

  • @hopefelex4409
    @hopefelex4409 Před 3 lety +3

    Kikubwa maisha tu make money ######kaz kaz mama la mama

  • @gabrieladam1065
    @gabrieladam1065 Před 3 lety +3

    Safi sana vyeti havina mchongo hapa mjini

  • @SalimSalim-vk6ux
    @SalimSalim-vk6ux Před 3 lety

    Hongera sana ni mfano wa kujivunia sana

  • @godfreynyaki6319
    @godfreynyaki6319 Před 3 lety +14

    Dada amenifunzaa kitu kikubwaa sanaaaaa....big up my sister

  • @josephmatonyi1802
    @josephmatonyi1802 Před 3 lety

    👏👏saf Sana suzzy

  • @msevenkeya9394
    @msevenkeya9394 Před 3 lety +3

    Kikubwa uzima suzy ,mungu yu pamoja na wewe

  • @maryglady2901
    @maryglady2901 Před 3 lety +6

    Suzy wetu,,Hebu Pambana mwaya

  • @sir.godwindavid.8425
    @sir.godwindavid.8425 Před 3 lety +1

    Big up suzy

  • @monicakalinga8258
    @monicakalinga8258 Před 3 lety

    Namfikiiiriiaa mamaa angu angepokeaaajee

  • @sittandaki2135
    @sittandaki2135 Před 2 lety

    Dahhhhhhh umenikumbusha mbali sana dada

  • @marwawilliam3648
    @marwawilliam3648 Před 3 lety

    Hongera Sussan Brt

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Před 3 lety

    Congrats gal

  • @kassimmpasuko3618
    @kassimmpasuko3618 Před 2 lety

    Big up cc

  • @madirishasimon9692
    @madirishasimon9692 Před 2 lety +1

    Upo vizur mtoto wa mwanza ❤️❤️❤️

  • @thomasnchama1892
    @thomasnchama1892 Před 3 lety

    Hongera sana suzy

  • @kephasjonas594
    @kephasjonas594 Před 3 lety +28

    Yuko sawa tu tunasoma ili tupate pesa

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Před 2 lety

    Mtangazaji umekosea sana. Hukumuuliza binti reation ya Mama ilikuwaje. Hii imeshusha sana hadhi ya kipindi chako hicho.

  • @michaeljanuarykibera6418

    schoool mate

  • @jeremytimothy4791
    @jeremytimothy4791 Před 3 lety

    Ehhh bhn salute sana unatumia jina gn IG

  • @owlbig
    @owlbig Před 3 lety +3

    I like her 😄❤️🇧🇮

  • @mussajijim574
    @mussajijim574 Před rokem

    Big up my sister

  • @clevermngao7565
    @clevermngao7565 Před rokem

    Wee jamaa huna mtiririko mzuri wa kuhoji!
    Mi nilifikiri ungeweza kupata information Zaidi kuhoji pale mama alipofika dukani!

  • @kingofx2161
    @kingofx2161 Před 3 lety +28

    Hii ndio màana ya "Risk taker"

  • @philiposilas2626
    @philiposilas2626 Před 3 lety +1

    Nothing bad you have done nay God help you to achieve your goal

  • @cipladapretty8617
    @cipladapretty8617 Před 3 lety +3

    Mkurya wa sirar kabsa huyu dah hongera sana Mungu akutangulie

  • @arkadiesgroup6083
    @arkadiesgroup6083 Před 3 lety +1

    Hongera sana

  • @mahelamponda9246
    @mahelamponda9246 Před 3 lety

    Big up sana

  • @andrewjosephhezron23
    @andrewjosephhezron23 Před 3 lety

    Skilled people

  • @zeliamnyoge7340
    @zeliamnyoge7340 Před 3 lety +4

    Hard to start but is better to do

  • @hajimramba3788
    @hajimramba3788 Před 3 lety +1

    Suzy wewe mpambanaji hongera, hakuna kitu kibaya kama kukaa na mavyeti yako ndani alafu Ajira hakuna wafwaa na presha. Hongera but all in all piga evining course upate hata diploma au degree ubalance na muda wa biashara maana inawezekana but vzr ziwe course za art.

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 Před 3 lety

    Honger

  • @azizatanzania4042
    @azizatanzania4042 Před 3 lety +1

    Big up

  • @paulfrancis5701
    @paulfrancis5701 Před 3 lety +1

    Brima nimekubali

  • @bonniemanga519
    @bonniemanga519 Před 3 lety

    Good Sana dada

  • @estherdaudi9853
    @estherdaudi9853 Před 3 lety

    Hongera mdogo angu

  • @jeseayubu1839
    @jeseayubu1839 Před 3 lety

    Hongera sana dada

  • @noelyumbya7285
    @noelyumbya7285 Před 3 lety +2

    Nzurr hiii

  • @fficialjabu400
    @fficialjabu400 Před 3 lety +5

    Tunasoma ili tuajiliwe so ni vyema tyuu kujiajili mwenyewe maana Mafanikio /Ni Taaluma ambayo ata Asie kua na elm Anaweza kufanikiwa tyuuu Yote sawa ila hongera yake Ishi KWA MATUMAINI tyuuu Ongeza juhudi so iki tyuuu Fanya zaidi ya iko Usidhike