MWANAFUNZI MWENYE MIAKA 20 ALIYEPATA MILLION 80 NA KUFUNGUA KIWANDA CHA MIL 60 TANZANIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 03. 2021
  • Edga Edmund ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 20 na alipata nafasi yakushinda kwenye mashindano ya ubunifu kwa nyakati tofauti nakupata fedha zaidi ya million 80 ambapo alirejea Tanzania kutokea kwenye chuo kilichopo Afrika Kusini na nakufungua kiwanda chake chenye thamani ya shilingi million 60 chakutengeza makochi kwa kutumia takataka za plastiki.

Komentáře • 162

  • @charlesjohn5792
    @charlesjohn5792 Před 3 lety +10

    Hongera Sana kwako Edgar Tanzania inahitaji vijana Kama wewe

  • @davidmagundu2285
    @davidmagundu2285 Před 3 lety +5

    This young man is genius and the industry he entered is gold!

  • @ommymsomi4362
    @ommymsomi4362 Před 3 lety +5

    Congrats brazaa..Mungu akuongozee akujaalie ufike mbele zaidii

  • @wolinet1
    @wolinet1 Před 3 lety +4

    Hongera sanaa , i wishes all the best . napenda xanaa hizo innovation

  • @bakarirajabu3783
    @bakarirajabu3783 Před 3 lety +4

    Hongereni vijana wa Arusha mmejaliwa Sana vipaji kwakweli

  • @kamanda007
    @kamanda007 Před 3 lety +2

    Job well done 👍.. keep it up young man and all the best

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki5667 Před 3 lety +12

    Hii shule ya St. Jude ina kitu cha ziada! Kuna yule kijana mwingine aliyebuni fire alert kwenye nyumba, shule na maeneo mengine.

  • @etsehiwotteklubekele3476
    @etsehiwotteklubekele3476 Před 3 lety +3

    A very bright man!! Keep it up.

  • @edmundjohn6329
    @edmundjohn6329 Před 3 lety +3

    Hongera sana edigar serikal ya tanzania kupitia wizaraya viwanda nabiashara iwekaribunavijana kama edgari kwakuwapa ushauri ilisecta ya viwanda ikue nakuinua uchumi wa nchi yetu pendwa tanzania

  • @ShaibuRAlly
    @ShaibuRAlly Před 3 lety +5

    Hongera kwa wazo hai la kutunza mazingira... Nakushauri uongeze na Kutengeneza mabati ya plastics au vigae..

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 Před 3 lety +8

    Hongera sana. Hiyo mashine ingeletwa Keko Dar . Kule wanatumia mbao ambazo huliwa na wadudu na kuoza haraka. Ubunifu mzuri, awezeshwe.

    • @estherjonas8466
      @estherjonas8466 Před 3 lety

      Wasiliana na mimi kijana kuna eneo dar tufanye biashara.

  • @Yourlocaldrawer1
    @Yourlocaldrawer1 Před 2 lety +3

    Mngeweza kufanya English subtitle Kwa hii ingemsaidia sana huyu kijana na future link zenu zitasikilizwa worldwide. @AyoTV

    • @athanazistraton185
      @athanazistraton185 Před rokem

      Kabisa

    • @saysophyfarm1780
      @saysophyfarm1780 Před 11 měsíci

      You have said it all dear, yaani ingempeleka mbali sana. Halafu hapa Tz hivi hakuna online media ambayo inahoji kwa English?? jamani this should be sent to the world! wenzetu wanatupita hapo kwa kutangaza kazi zao duniani na sio confining only within their locality

  • @johnjohn8112
    @johnjohn8112 Před 3 lety +2

    Great Job Edgar very happy and proud of you

  • @angelalex4198
    @angelalex4198 Před 3 lety +7

    Proud of You Edgar, Keep it Up bro!🔥💪🏻

  • @abelmwakalinga2305
    @abelmwakalinga2305 Před 3 lety +4

    Wewe ni kichwa bro utafika mbali sana.

  • @filbertalbert3173
    @filbertalbert3173 Před 3 lety +3

    Hongera Sanaa kaka mungu akutanguliee

  • @baswarimohamedi2766
    @baswarimohamedi2766 Před 3 lety +3

    Daaaaah yan mnaangalia miaka Just a number tu Angelia mafanikiooo umbwa wew

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 Před 3 lety +7

    Hongera Sana mungu hamuachimt2 anaejit2ma

  • @samsonlumato6173
    @samsonlumato6173 Před 3 lety +6

    Serikali iangalie sana kwa umakini watu kama hawa na pia itathmini mustakabali wa elimu .......sio kujazana vitini na maneno mengi wakati wabunifu wapo

  • @saysophyfarm1780
    @saysophyfarm1780 Před 11 měsíci

    This is great Ayo Tv to inspire more youth to become creative

  • @yusuphmpenja3288
    @yusuphmpenja3288 Před rokem +2

    Naongezea ndugu edgar plastik inajulikana ikishika moto ni hatali je inawezeka kuondoa changamoto hio

  • @theoriginals3240
    @theoriginals3240 Před 3 lety +5

    Hongera chalii angu

  • @hassanhamudy6639
    @hassanhamudy6639 Před 3 lety +7

    Soon utamuhoji my young brother insha'Allah!!!!!

  • @kwayayamtakatifuscholastic9132

    Hongera sana bro.. natamani unitengenezee sheets za plastic ambazo ni somehow ngumu Kwa ajili ya green house au fish ponds

  • @saysophyfarm1780
    @saysophyfarm1780 Před 11 měsíci

    St. Jude you are doing a brilliant job🎉❤❤

  • @umojatunzwetv
    @umojatunzwetv Před 3 lety +2

    Habari nzuli sana. Naomba namba yake niwasiliyane naye

  • @ashangonyani7989
    @ashangonyani7989 Před 3 lety +4

    Hongera kwa ubunifu

  • @remmymsakusy1875
    @remmymsakusy1875 Před 3 lety +4

    Hongera sana Edgar. Kiwanda kipo wapi na bidhaa zako zipo wapi pia taja namba yako. Eneza hiyo elimu kwa watanzania wengine

  • @hyasintndimbo2998
    @hyasintndimbo2998 Před 3 lety +2

    Makini sanaaaaa💪🤙🙏

  • @sufiansaid2023
    @sufiansaid2023 Před 3 lety +6

    Wabongo tuache wivu usio na maana, kwani hatakama ana miaka 30 kuna tatizo gani? Siajabu ww una miaka 35 ama 40 umefanya project gani hata ya nyumbani kwako tu?

    • @ibnually7648
      @ibnually7648 Před 3 lety +1

      Mimi nadhani imetajwa idadi ya miaka yake ili kuhamasishwa wengine ambao wanadhani kuwa mtu hawezi kufanya kitu cha maendeleo mpaka awe na umri mkubwa

  • @tonyautomated4700
    @tonyautomated4700 Před 3 lety +7

    Kijana alianzia kusikika from Project Inspire. Nazani ni vyema angewapa credit pia. Maana wako wanajitaidi kukuza vipaji vya vijana kama hawa na waconnect na mashirika ya nje.

    • @edgaredmund9194
      @edgaredmund9194 Před 3 lety +4

      Nikweli projekt inspired imekua na mchango mkubwa mpaka hapa nilipofikia

    • @tonyautomated4700
      @tonyautomated4700 Před 3 lety +1

      @@edgaredmund9194 great. On your next interview please give them some credit for the work they are trying to do.

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 3 lety +6

    Wowoowwo 😘😘!!!! 'watu Bn miaka kitu gani sasa' me ' nikitembea na Mdogo wangu na ndo ana miaka 16 Lakini ana onekana ni mkubwa kuliko meme??

  • @angelbiringane5717
    @angelbiringane5717 Před 3 lety +2

    This is BIG ♥️✊🏽

  • @petronillamnyambi7607
    @petronillamnyambi7607 Před 3 lety +6

    Hongera zake akili kibao

  • @SARAHKINYAGA
    @SARAHKINYAGA Před rokem +2

    Naomba niwashauri vijana wote, hata kama leo au kesho umepata mil 100, kamwe usianze biashara kwa kiwango kikubwa cha fedha, anza polepole kidogo kidogo kadri matokeo yanavyokuwa mazuri ndio unawekeza zaidi. Kuweni makini sana na ushauri wangu wa mwisho kwenu kuweni wasiri sana, fanyeni mambo kwa siri kubwa sana wacha mafanikio yajitangaze na sio wewe ujitangaze.

    • @BonitatemBonitate
      @BonitatemBonitate Před 2 měsíci

      Umeongea kitu kikubwa sana lakin wachache watakuelewa

    • @ulimbombonaulindi5088
      @ulimbombonaulindi5088 Před 2 měsíci

      Kwahiyo wakipata milioni 100 waanze na kuuza mashati ya milioni moja kwanza siyo? Siyo kilq biashara unaweza kuanzia na mtaji mdogo. Scared money don't make money.

  • @kulishaandry5730
    @kulishaandry5730 Před rokem

    Nice job Mr Edga

  • @nasrafita6909
    @nasrafita6909 Před 3 lety +1

    Mashallah mungu atakujalia utafika mbali

  • @andreamndeme1539
    @andreamndeme1539 Před 3 lety +2

    UMETISHAAA SANA MDOGO WANGU MUNGU AKUPE KUSONGA MBELE ZAIDIIIII

  • @Yerusalemu
    @Yerusalemu Před 3 lety

    Hongera sana man

  • @erickwilliam6610
    @erickwilliam6610 Před 3 lety +2

    Hongera sana Edgar (๑♡⌓♡๑)

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 Před 3 lety +3

    Kama Tanzania anataka mufanya mapinduzi ya kiuchumi lazima iweke mitaji ya kuwekeza kwa watu kama hawa , na kitu hichi ndio kimeifanya marekani kuendelea sio kiuchumi tuu bala hata kiteknologi , Tatizo kubwa tz sio ukosefu wa ubunifu hapana ni mitaji tuu ya uwekezaji

  • @jenipherpeter9490
    @jenipherpeter9490 Před 3 lety +2

    V. good

  • @tunungajilo2214
    @tunungajilo2214 Před 3 lety

    Good work brother

  • @nilansaid2927
    @nilansaid2927 Před 2 lety

    Hongera sana kwa hatua kubwa hiyo ila miaka umedanganya

  • @hansiempire5093
    @hansiempire5093 Před 3 lety +1

    Kiukweli watu WA kaskazin Wana talent Sana ..ndo mana hata wazungu wanawapenda Sana wamasai

  • @athanazistraton185
    @athanazistraton185 Před rokem

    Hongera sana. Ila nimepata wazo la swali. ikitokea ujenzi viwanda vingi vya namna hii. Na serikali kafanikiwa kuthibiti matumizi ya vifaa vya prastic kama vile mifuko ya prastic iliyopigwa marufuku. HUONI KUA UHAI (Sastainability) WA KIWANDA UTAKUA HATARI I?

  • @nooor1120
    @nooor1120 Před 3 lety

    Maa shaa Allah

  • @emmanuelpeter4867
    @emmanuelpeter4867 Před 3 lety

    Ofisi iko wapi Edgar.

  • @mwanaishamkindi7763
    @mwanaishamkindi7763 Před 3 lety

    Hongera kaka

  • @benjamininyambaso5041
    @benjamininyambaso5041 Před 3 lety +3

    Amnaa nimdogoo, sanaaa

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 Před 3 lety

    Hongera sana

  • @emmanuelbonaventura4258

    Hongeraaaaa sanaaaa

  • @naomimugisha694
    @naomimugisha694 Před 2 lety

    Safi safi sana kiwanda chako kikue zaidi

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 Před 3 lety

    Hongera sana kijana

  • @harsonisack3326
    @harsonisack3326 Před 3 lety +2

    Uko vizur kijana

  • @righton19
    @righton19 Před 3 lety +1

    Waaaaaaaw

  • @yunusimakono873
    @yunusimakono873 Před 3 lety +1

    Jamaa anamawazo kama yangu.....big up brooh

    • @dulasleyum7804
      @dulasleyum7804 Před 3 lety

      Ushauri kijans acheze na rangi ili vitu viwe na mvuto

  • @Jameskaguo
    @Jameskaguo Před 3 lety +1

    Shida ni kwamba watu ambao wanaweza fanya kazi na hiki kiwanda yawezekana hawaandalii millardAyo

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 Před 3 lety

    Safi sana

  • @muhammehusna3384
    @muhammehusna3384 Před 2 lety

    Mmmh,, jaaman nimekupenda adga naomba ndoa na ww

  • @ashwramashallah7242
    @ashwramashallah7242 Před 3 lety

    Mashaallah.allah azidi kukupigania .

  • @amirikoshuma3039
    @amirikoshuma3039 Před 3 lety +2

    Mdogo wangu mungu akubariki sana

  • @blackwarrior-animations593

    genius

  • @hassanhamudy6639
    @hassanhamudy6639 Před 3 lety +7

    Edgar usisahau kuzungumzia hali ya shule yako kwa xx unapokutana na wahusika haswa vyombo vya habari kama ivi coz kama sio ile shule usingekua apo ulipo plz plz plz!!!!!!

    • @davidmagundu2285
      @davidmagundu2285 Před 3 lety +1

      Vp, kwan shule yake aliosoma inatatizo gan?

    • @rtlusungu
      @rtlusungu Před 3 lety

      @@davidmagundu2285 imefungwa

    • @agnesslaizer5560
      @agnesslaizer5560 Před 3 lety

      Ilishafunguliwa

    • @hassanhamudy6639
      @hassanhamudy6639 Před 3 lety

      @@agnesslaizer5560 ndio ilisha funguliwa Ila nikutilia mkazo serekali ifaamu zaidi kwa mifano hai kupitia hawa ambao wamesha fanikiwa na wameonyesha matokeo chanya kwenye jamii🙏🙏🙏

    • @hassanhamudy6639
      @hassanhamudy6639 Před 3 lety

      @@davidmagundu2285 shule aliosoma inaitwa st jude imepitia kwenye changamoto na serekali kuusu mambo ya Kodi ukizingatia ni shule inayosomesha watoto wanaotoka kwenye familia masikini lakini wanavipaji vya hali ya juu Ila still TRA walikua wanataka Kodi kutoka kwenye hio shule na ilifukia Hadi kufugwa mwaka jana na inawatoto zaidi ya 1500 wanasoma buree adi chuo kikuu

  • @audaceleroi1370
    @audaceleroi1370 Před 3 lety

    big up

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 3 lety +1

    Hata Mimi nafanya project hizi ubunifu wote upo youtube you just kopi na kupaste. Taka plastic ni kama gundi au cement. Taka plastic unaweza zalisha gesi, petrol, dizeli, vigae vya chini na vya kuezeka, nguzo, mbao za kujengea, kupaua, fenicha, kutengenezea lami zipo lami za plastic, mizinga ya nyuki.

    • @MZIZE
      @MZIZE Před 3 lety

      Bro nikuchek? Mawasiliano tafadhali

  • @remmymsakusy1875
    @remmymsakusy1875 Před 3 lety +1

    Jibu nimeshapata Kupitia maelezo.

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 3 lety +4

    Mawazo yote ya ubunifu yapo youtube yapo google, hata jinsi ya kupata internet bila bando, kupata umeme wa sumaku nk

  • @jicholafursa7058
    @jicholafursa7058 Před 3 lety

    Safi kijana

  • @mwanaishamkindi7763
    @mwanaishamkindi7763 Před 3 lety +1

    ana miaka 20 sema wobongo bhn mm mbn nilimaliza Form 4 na miaka 15

    • @kabobamchiz2795
      @kabobamchiz2795 Před 3 lety

      Kwa hyo

    • @BonitatemBonitate
      @BonitatemBonitate Před 2 měsíci

      Tatizo wamezoea kuanza shule wakiwa na miaka 10 mtu ndo anaanza lakwanza ndomaana wanaona ajabu, mimi mtoto angu ana miaka 10 na anamaliza la7 mwaka huu

  • @saudambinga3832
    @saudambinga3832 Před 2 lety

    Aina za vitu vya ndani anavyotengeneza ni aina gn🇴🇲

  • @johnshayo1664
    @johnshayo1664 Před 3 lety

    Go Edgar 💪💪💪

  • @godblessnzalika6116
    @godblessnzalika6116 Před 3 lety

    👍👍👍👍👍👍.....

  • @shamzone388
    @shamzone388 Před 3 lety

    Ungekuja gulf ungeendelea sana maana chupa za maji na juice za plstic ni nyingi sana zinatupwa tu

  • @mbutomustapha9364
    @mbutomustapha9364 Před 3 lety +3

    Mbona wote Arusha? Au ni Connection?
    Mbona wabunifu tupo wengi kitaa ila hatuna msada wowote,,
    Daaa ila sawa tu , maana Mungu anampa amtakaye
    Lakini hongereni sana vijana wa Arusha kwakuiwakilisha TANZANIA nje ya Inchi

    • @khadijaomari9344
      @khadijaomari9344 Před 3 lety +1

      kweli conection

    • @gracekaniki789
      @gracekaniki789 Před 3 lety

      Sasa wewe wasiliana na hyu Edger, then muulize united wapi ili nawe utimize malengo yako.

    • @ommymsomi4362
      @ommymsomi4362 Před 3 lety

      Ts nat about wat u know...its about who you know...tafuta connection brazaaa

    • @mbutomustapha9364
      @mbutomustapha9364 Před 3 lety

      @@ommymsomi4362
      Kweli kaka watu tuna vitu mobu
      Ila shida waku tunyanyua

    • @mbutomustapha9364
      @mbutomustapha9364 Před 3 lety

      @@khadijaomari9344
      Yaani Dada yangu huu ni mwaka wa nane nakomaa na Ubunifu lakini sioni Dalili ya KUTOBOA
      Najiuliza sijui kwa nn?

  • @andreamndeme1539
    @andreamndeme1539 Před 3 lety +1

    CHUGA KUNA VIPAJI VYA UBUNIFU HATARIIIII

  • @ramadhanikasim7485
    @ramadhanikasim7485 Před 3 lety +2

    Kwenye miaka 20 apo nakataa

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před 3 lety +2

    Basi huwe unakwenda na mikoa mingine

  • @user-wu9cv5ff3m
    @user-wu9cv5ff3m Před 2 měsíci

    Acheni kutudanganya nyinyi. Hilo jamaa Lina miaka 20 Eti. Hahahaaaaa😅😅😅😅

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 Před 3 lety

    HUYU dogo hata fika mbali sana ushauri kwa vijana wenziwetu mlio pata bahati ya kusomeshwa kazeni cc wenziwenu nyumbani ndio baba nyumbani ndio mama

    • @yeshuasweapon4384
      @yeshuasweapon4384 Před 2 lety +1

      Kaka sikiliza vzuri..Huyu anaenda mbali zaidi ya hiyo elim

    • @wazirihamisi6484
      @wazirihamisi6484 Před 2 lety

      @@yeshuasweapon4384 unajua cc tusio soma inatakiwa mtupeleke mdogo mdogo na mkiona makosa inatakiwa mrekebishe nimemaanisha yani atafika mbali yani atapiga hatua sio kua atofika mbali hapana kama ujanielewa uchache wangu wa kutoelewa vema kiswahili shukran ndg

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 Před 3 lety +2

    "👀👂👀👂"

  • @jihalethegreat8807
    @jihalethegreat8807 Před 3 lety +8

    huyu jamaa umri kaongopa

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 Před 3 lety +4

      Mbona una kataa ni mwili tuu we kama kimbaumbau shaur yako

    • @hermanndongolo1550
      @hermanndongolo1550 Před 3 lety

      Ila kweli umri nawasiwasi

    • @maribaisack8389
      @maribaisack8389 Před 3 lety

      Huyu atakuwa ni 25

    • @ubuntubantu2404
      @ubuntubantu2404 Před 3 lety +8

      Yaani kwenye vyote umeona umri tu..inakusaidia nini? Mtz kwa wivu balaaa..umetafuta sehemu umkosoe ili roho yako iridhike tu

    • @isdorycosmasi9979
      @isdorycosmasi9979 Před 3 lety

      @@ubuntubantu2404 😀😀😀

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd9146 Před 3 lety

    Why kina Salalaizer au Why arusha

  • @ND-bp7sp
    @ND-bp7sp Před 3 lety +1

    Any one know he Ig name plz I need

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Před 3 lety

    🤝💪💪

  • @mudriqahmed3666
    @mudriqahmed3666 Před 3 lety

    Mm nahitaji bizaa zake

  • @imanijohn6069
    @imanijohn6069 Před 3 lety +4

    Wa kishua huyo, ila hongera kwa akili ya kujiongea ukiwa kama mtoto wa kishua

  • @upendotarimo9324
    @upendotarimo9324 Před 3 lety

    Ila st Judy inatoaga majembe

  • @hitlerpardon9308
    @hitlerpardon9308 Před 3 lety +2

    et miaka 20 mmmmmmh yani

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 Před 3 lety +3

      Mbona una kataa ni mwili tuu we kama ume konda shaur yako

    • @upendotarimo9324
      @upendotarimo9324 Před 3 lety

      Ndiyo ni miaka 20 au ulitaka adumae mbona yuko sawa tu

    • @magynzioka1122
      @magynzioka1122 Před 3 lety

      Umuoni kama amekoma na mazoezi mwili wake

  • @Mastermind25491
    @Mastermind25491 Před 3 lety

    Ungemwbia aisee dogo vip mkuu!?😄😄 au umeogopa hela zake #jokin

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 3 lety +2

    Vigae vya plastic ukiezekea vinakaa miaka 600 bila kuharibika au kuoza, nguzo za plastic haziozi majini hivyo ni nzuri kwa fence. Ukitaka business plan kuhusu takataka za plastic na utengenezaji wa mbao, nguzo, vigae, pavers, matofali,madawati, viti, meza, Milango , nk. Ukitaka mashine za kusaga, kuyeyusha plastic, kutoa Mchele wa plastic, chochote kuhusu biashara ya taka plastic mfano masoko chenga au Mchele wa plastic nk tuwasaliane.

    • @MZIZE
      @MZIZE Před 3 lety

      Kuna Gharama yyte?
      Afu Mbona ujaweka mawasiliano?

  • @hakunamatata8065
    @hakunamatata8065 Před 3 lety +1

    Wachaga akili kubwazii sana

  • @centralboytz4240
    @centralboytz4240 Před 2 lety

    Huyu jamaa kwann serikal yetu isimtumie jaman au tunakwama wap🤔

  • @tithoemmanuel9859
    @tithoemmanuel9859 Před 3 lety

    25 mk

  • @agaowajouniar6614
    @agaowajouniar6614 Před 3 lety +1

    Huyu c mkubwa bali mwili wake ni mbegu kuza yaan anatak kuwa bonge la bwana mnene halafu ni tolu

  • @johnbm4490
    @johnbm4490 Před 3 lety

    Nouma asee

  • @shaulykhamisi7697
    @shaulykhamisi7697 Před 3 lety +3

    Kwa miaka 20 mi nakataa

    • @kabobamchiz2795
      @kabobamchiz2795 Před 3 lety

      Ss Cha ajabu nn hapo

    • @kawangajumaa7741
      @kawangajumaa7741 Před 2 lety

      Shida nn sasa

    • @kawangajumaa7741
      @kawangajumaa7741 Před 2 lety

      Mtafute mdogo angu Instagram anatumia Lore brand au Ally Kawanga ana 20 yrs alafu nisearch me Jumaa Kawanga angalia maumbo yetu me 26

  • @davidmagundu2285
    @davidmagundu2285 Před 3 lety

    Very soon utanitafuta unihoji 😂

  • @AmerdaKavishe-pu3cf
    @AmerdaKavishe-pu3cf Před 2 měsíci

    Yani wewe kiboko

  • @youngrappertz1754
    @youngrappertz1754 Před 3 lety

    Kwahuo umri tumedanganywa