SINTOFAHAMU NYUMBANI KWA SATIVA ALIYETOWEKA RAFIKI YAKE ASIMULIA A TO Z "SIMU ZAKE HAZIKUITA TENA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 06. 2024

Komentáře • 146

  • @pceodhc
    @pceodhc Před 2 dny +18

    Mungu Aliye hai amlinde na kumrudisha salama kwa familia yake Katika jina la Yesu! Amen!

  • @martinamahenge4476
    @martinamahenge4476 Před 2 dny +15

    Huyu ndio rafiki wa kweli ❤😊

  • @LuckyTemu
    @LuckyTemu Před 2 dny +5

    Huyu sativa yupo peace sana❤ na watu nmuonea huruma mam yake😢

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 Před 3 dny +29

    Huyu kk ni rafiki wa kwer❤❤

  • @TiktokTech6
    @TiktokTech6 Před 3 dny +4

    Asante sana Millard kwa kutuongezea nguvu

  • @user-wd2bc7bf5x
    @user-wd2bc7bf5x Před 2 dny +6

    watu wanatekwa na kuuliwa sijui shida ni nini 😢😢😢 binadam hawana huruma

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n Před 3 dny +22

    Huu mtindo umerudi sikuizi watu hatupo salama hata kidogo nchini kwetu km Gaza tu

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před 2 dny +5

    sisi wenye dii mbili tushaelew ila mh

  • @emmanuelmwasyoge2053
    @emmanuelmwasyoge2053 Před 2 dny +2

    Mwenyewezi Mungu amlinde ,arudi akiwa mzima kabisa

  • @HassaniMohamedi-lk7ow
    @HassaniMohamedi-lk7ow Před 2 dny +8

    UMOJA NI NGUVU KIJANA APATIKANE
    KIJANA ASIYEKUWA NA SHIDA NA MTU🙏

  • @user-vz6kk8id2f
    @user-vz6kk8id2f Před 2 dny +3

    Daaah huyu ndorafiki wa kweli

  • @user-it7qs3nh4o
    @user-it7qs3nh4o Před dnem

    Dah J polen sana mwanangu

  • @dafrosamonko8254
    @dafrosamonko8254 Před 3 dny +2

    Big up mtangazaji unahoji maswali muhimu

  • @KitangariGenerations
    @KitangariGenerations Před 2 dny +27

    Inaumiza sana kiukwel, na mimi nimempoteza ndg yangu hapo hapo dar Mbezi Beach, tokea tarehe 31 ya mwezi wa 3, na had leo hatujafanikiwa kumpata, inaumiza sana kiukweli hili swala. Mungu abarik aonekane na tuwapate ndg zetu wote waliopotea.

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl Před 2 dny +2

      Subuhanallah. Pole mtihani sijuiwanawapelekagawapi.

    • @KitangariGenerations
      @KitangariGenerations Před 2 dny +2

      @@HanifaOman-oo4pl yani kupoteza mtu kwenye familia ndio mwanzo wa kuyumba kiuchumi ki familia mzima, maana had sasahivi mambo yalivyo kwenye familia yetu yamekuwa magumu sana kiukwel.

    • @user-fi2bu5pk9l
      @user-fi2bu5pk9l Před 2 dny

      L

    • @user-fi2bu5pk9l
      @user-fi2bu5pk9l Před 2 dny

      ​l@@KitangariGenerations

    • @user-fi2bu5pk9l
      @user-fi2bu5pk9l Před 2 dny

      ​😊 4:00

  • @shabanisalumu4366
    @shabanisalumu4366 Před 2 dny

    #WhereIsSativa mungu amlinde huko alipo 🙏🙏

  • @japhetluhende4901
    @japhetluhende4901 Před 3 dny +3

    hatupo salama wakuu😢

  • @Cryptocurrency_bitcon_Pi_Coin

    Oy wazee mm nina shida na uyoo jamaa anae hojiwa hapo Taivana mc ... Anajulikana vipi kwa social medias

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 2 dny

    Subuhanallah. Mtihani

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha Před 3 dny +5

    Jamani ameenda wp kijana wa watu dah mungu mpe uzima mlinde na maadui mana kupotea kwa vijana imekua kawaida 😢

  • @user-hf1wo3zd2m
    @user-hf1wo3zd2m Před 2 dny +2

    Kikubwa amepatika

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku Před dnem

    Yani inaumiza sana

  • @YakoboDaudi-hp2mt
    @YakoboDaudi-hp2mt Před 2 dny +1

    Miradiayo, nami Nina taarifa hapa naomba mnisaidie kunipazia sauti! Nimetafuta namba zenu nikazikosa, Niko mwanza!

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Před 3 dny +4

    Wasiojulikana hao ndio mtindo wä siku hizi.

  • @RichWise671
    @RichWise671 Před 2 dny +2

    Kapatikana katavi yu Hoi 🙌🙌🙌

  • @Star_one-975
    @Star_one-975 Před 2 dny +2

    Tusaidieni mwanetu apatikane🙏

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před 2 dny +2

    Au Kuna MTU alipigwa mamillion kwenye betting,,,, akasema sikubari

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 Před 3 dny +1

    Dah mtihani

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Před 2 dny +4

    jmn tutaogopa kuwa maarufu

  • @KitangariGenerations
    @KitangariGenerations Před 2 dny +3

    Kuna video imewekwa kwenye akaunt ya samsago inaonyesha kaonekana huyo SATIVA, kaonekana Katavi, ila amepigwa sana, wanaemfaham kwa sana watembelee akaunt ya samsago.

    • @omanmobile5746
      @omanmobile5746 Před dnem

      Ndio kapatikana ila kapigwa vibaya mno sijuk ata aliwakosea nini mpaka wakamteka jmn😢😢😢😢

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před dnem

    Nchi hii daah😢 mambo haya yana rudi sasa 😢

  • @davicekombe4932
    @davicekombe4932 Před 2 dny +1

    Dah hadi chozi limenitoka 🥺

  • @jaymotz7523
    @jaymotz7523 Před 2 dny +3

    Taivina ni rafiki haswaaa

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 Před 2 dny +1

    Kwaiyo Mama nae ameamua atuteke sio.. 🙄🙄

  • @mahambamujengwa8059
    @mahambamujengwa8059 Před 2 dny

    Get well soon broh

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 2 dny +3

    Ukisoma ripoti za haki za binadam kuhusu Tz mmmh sio sehem salama saaana , tena kuna balozi wameanisha maenezo ambayo ni hatari kuishi au kutembelea nyakati za usiku na maeneo ya mbezi , kimara wamejaa watu wa kaskazini kuna matukio ya ujambazi saaana

    • @farajaMezza-qn4be
      @farajaMezza-qn4be Před 2 dny

      Kwamba watu wa kaskazini ndo wanaongoza kwa ujambazi😅😅

    • @julianmsele3880
      @julianmsele3880 Před 2 dny

      sisi wa kaskazini ni wastaarabu sana labd utuchokoze

  • @pumpandnozeltec3019
    @pumpandnozeltec3019 Před 2 dny

    MAMBO YA MATUSI AYO SIO MAZULI JAMANI😂

  • @motiruhega
    @motiruhega Před 2 dny +1

    Tunamshukuru Mungu Amepatkana salama ila amepigwa vbaya sana 😢😢
    Sa iv dar imebadilika imekua ya kutekana kuuwana Kila sku inahuzunisha sana

  • @alfredsaliga1554
    @alfredsaliga1554 Před 2 dny

    Au kaenda kenya kwenye maandamano

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314 Před 2 dny

    Taivina,sativa na sadati,,,hizi AKA kulikoni

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Před 2 dny +12

    sorry, mtangazaji usikunje sana sura jmn kah unakua kama imelda wa global bhn😢

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Před 17 hodinami

    Tanzania na watu wasiojulikana nchi ya mama Samia kwanini Hilo?

  • @wahidamohammed7294
    @wahidamohammed7294 Před dnem

    Hivi hi sehemu anayoishi usiku anarudi vipi?mmmh

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 Před 3 dny +8

    Alikuwa anajihusisha na siasa za upinzani Kwanza?

    • @herotv3609
      @herotv3609 Před 3 dny +2

      Kubet

    • @praisesteven7774
      @praisesteven7774 Před 2 dny

      uyu itakua mambo ya siasaaa maan nackia alikua maaarufuu twitter 🌚🌚🌚

    • @jumaamohamed2815
      @jumaamohamed2815 Před 2 dny +1

      Mzee wa kubet huyo muuza Mikeka ya mtandaoni," wanashirikiana na makampuni ya Betting kushawishi watu wajiingize kwenye Betting kwa mikeka Yao ya kueditt'

    • @h169_Jo
      @h169_Jo Před 2 dny

      ​@@jumaamohamed2815mikeka ya ku edit wewe Kuma Kama hujui kitu Kaa kimya mwana tu napiga nae kazi ya betting mimi ni zaidi ya miezi 6 now na tume tengeneza pesa nyingi kupitia betting zake tuna nunua mikeka kwake na ku bet mikeka anayo post mwana anajua kisenge KUNA WEWE🚮

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 Před 2 dny

      ​@@herotv3609biashara za kishetani hizo ndo zinapelekea kudhulumiana mwisho zinaishia hivyo!

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 3 dny +1

    Nyumban huku Masikini nime misss home 😢

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o Před 2 dny

      Mpuuzi kweri wew si uwende yani sis tunahuzuni alafu wew unatuambia umemis kwenu kwenu kwenyew Kuna upotevu wa watu alafu unatulingia

    • @faudhiasalum7279
      @faudhiasalum7279 Před 2 dny

      @@user-sv6zy3hc8o Ahsante sana my dear friend Ubarikiwe ❤️

    • @Rehemamakuka
      @Rehemamakuka Před 2 dny

      ​@@user-sv6zy3hc8oKunywa maji makubwa nakuja kulipa mana umenifurahisha

  • @lelaiddy6856
    @lelaiddy6856 Před 2 dny

    Kina partnership haoo

  • @alivinydeusdedit4958
    @alivinydeusdedit4958 Před 2 dny

    WHERE SATIVA

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Před 2 dny

    Kumbe hii ya kupotea watu kwenda wasikojulikana bdo ipo??duh!!!!!!!nikajua maguful alikufa nayo

  • @emmanuelleonando361
    @emmanuelleonando361 Před 2 dny

    Pray 4 SATIVA

  • @CalvinCosta-rq6ql
    @CalvinCosta-rq6ql Před 2 dny

    Dogo amepatikana leo ila kaumia

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Před 2 dny

    Uenda amegogwa na Gari jamani Mara nyingine inatokeq mtu kagigwa vibaya mpaka ajulikani Mungu

  • @msabatozeson9023
    @msabatozeson9023 Před 2 dny

    TAIVINA I SEE U

  • @Thisisgrace979
    @Thisisgrace979 Před 2 dny +1

    Dar napaogopa sana, na ndio nahamishiwa huko kikazi. Da!

    • @AlfaEnock-st9md
      @AlfaEnock-st9md Před 2 dny

      Pole ukifika nitafute nitakuwekea ulizi pia mwenye wako

    • @nancyenock5601
      @nancyenock5601 Před 2 hodinami

      Ukifika unitafute nikufunze mapambano lmenikuta swala mwaka juz ilikuwa hatari

  • @bintalmasi2393
    @bintalmasi2393 Před 2 dny

    Ni hiyo post ya mwisho

  • @yassinmrishoyassinmrisho6573

    Jamaa kapitikana ila wamempiga sana 😢

  • @MohammedMwinjuma
    @MohammedMwinjuma Před 2 dny

    Mmmhh

  • @apollojarden867
    @apollojarden867 Před 3 dny +2

    #free sativa

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Před 2 dny

      free "angekua lock up ya police kweli"

  • @collinsstanley6126
    @collinsstanley6126 Před 2 dny +1

    Kama Gaza

  • @user-vz6kk8id2f
    @user-vz6kk8id2f Před 2 dny +3

    Amepatikana kapigwa sana Mungu amsaudie apone😢

    • @tumpeernest9690
      @tumpeernest9690 Před 2 dny

      Wee kweli?

    • @HappyMwaigwisya
      @HappyMwaigwisya Před 2 dny +1

      Kapatikana wapi jamani. Sababu ya kupigwa je. Mungu msaidie jamani kaka wa watu

    • @fraitmgala5966
      @fraitmgala5966 Před 2 dny

      ​@@HappyMwaigwisyaamepatikana hifadhi ya katavi national park

    • @immaculatepeter3229
      @immaculatepeter3229 Před 2 dny +1

      Amepotea dar es salaam kapatikana kativi mkoa wa rukwa huko ameumizwa vibaya

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 Před dnem

      ​@@fraitmgala5966Mungu wangu😢

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314 Před 2 dny

    Post yake ya mwisho imemponza

  • @husseinlatifa1443
    @husseinlatifa1443 Před 2 dny

    Kwanini mtangazaji anamuhoji mtu uku anaangalia pembeni? Naona ni kama dharau hivi!

    • @andrewkilave3532
      @andrewkilave3532 Před 2 dny

      Siyo dharau bwana wengi wao huwa wanaogopa camera 📸 kukaa mbele ya camera sio mchezo

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y Před 2 dny

    Jeshi la polisi na vyombo vyote vya usalama linajificha hamnazo kila siku watu wanapotea tu

  • @messiasulleydidy2585
    @messiasulleydidy2585 Před 3 dny +6

    Sativa au Santiva?

  • @georgebrown7391
    @georgebrown7391 Před 2 dny +1

    Two years back nilikuwa nafanya nae mazoezi mkwajuni
    But Leo hii inauma sana kusikia tarifaa hii😢
    Allah amfanyie uwepesi

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Před 2 dny

    Huyo rafiki pia si wa kumuamini wambane tu siri itajulikana. Siku hizi hakuna ndugu wala rafiki wa ukweli ni tamaa kwenda mbele!

    • @user-hq5fg1zj5n
      @user-hq5fg1zj5n Před 2 dny

      It's okay ila usipende sana kuwa in negative thoughts most time,basi utakuwa huna mtu karibu maisha yako yote ama hutakuwa na mtu wa kushirikiana nae..it's okay urafiki umekuwa mtihani ila haimaanishi kuwa ndio hutakuwa na mtu wa karibu wa kushirikiana nae ktk mambo madogo madogo

    • @Rehemamakuka
      @Rehemamakuka Před 2 dny

      Huoni Kuna watu wamefia ndani kwa miaka miwili kwa kukosa kuwa karibu na watu mpaka miaka miwili watu ndo wanajua kafia ndani toa hoja zako za upuuzi

  • @AloyceTz762
    @AloyceTz762 Před 2 dny

    𝗠𝗶𝗺𝗶 𝗽𝗶𝗮 𝗻𝗶𝗺𝗲𝗺𝗽𝗼𝘁𝗲𝘇𝗮 𝗷𝗮𝗺𝗮𝗮 𝗬𝗮𝗻𝗴𝘂 𝘆𝗮𝗮𝗻 𝗔𝗺𝗲𝘁𝗼𝗸𝗮 𝗮𝗻𝗮𝗲𝗹𝗲𝗸𝗲𝗮 𝗸𝗮𝘇𝗶𝗻𝗶 𝗔𝗺𝗲𝗮𝗴𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗺𝗸𝗲 𝘄𝗮𝗸𝗲 𝘃𝗶𝘇𝘂𝗿𝗶 𝗷𝗶𝗼𝗻 𝗠𝗱𝗮 𝘄𝗮 𝗸𝘂𝘁𝗼𝗸𝗮 𝗸𝗮𝘇𝗶𝗻𝗶 𝗝𝗮𝗺𝗮𝗮 𝗵𝗮𝗸𝘂𝗼𝗻𝗲𝗸𝗮𝗻𝗮 𝗠𝗮𝘇𝗶𝗺𝗮 𝗮𝗱𝗶 𝗟𝗲𝗼 𝗺𝗶𝗮𝗸𝗮 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶 𝘆𝗮 𝗠𝗶𝗻𝗻𝗲

  • @mambas264
    @mambas264 Před 3 dny +6