MAN DOJO AONYESHA STORE YAKE YA KUUZA VIATU / WASANII HAWA WANAKUJA KUNIUNGISHA / WANAKOPA SANA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 44

  • @user-kp6lz7zs1w
    @user-kp6lz7zs1w Před 10 dny +1

    Jmn namjua uyu kaka kumbe Alikuwa mwanamuziki yn nilikuwa namuonaga cn k koo kiutokujua tuu jmn roho inaniuma cn kiukweli mungu Akulaze maali pema peponi Amina man dogo

  • @eliachacky7562
    @eliachacky7562 Před 21 dnem +4

    Huyu bro alikuwa mtu muhim sn kwenye jamii, MUNGU wa elia tunakuomba umlaze maha pema peponi amina🙏🏻

  • @user-kp6lz7zs1w
    @user-kp6lz7zs1w Před 10 dny +1

    Jmn uyu kaka mungu Akurehemu kiukweli daaah Amakweli duniani yunapita

  • @vincej9275
    @vincej9275 Před 24 dny +4

    Alikua mtu mwenye furaha na bidii walifanya kosa sana kumuua. He was very smart and a lively person R.I.P.

  • @renatakanani7084
    @renatakanani7084 Před 23 dny +4

    Unaweza kuona, hakuwa mwizi bali mpambanaji. RIP bro.

  • @FintanFelix-z6c
    @FintanFelix-z6c Před 25 dny +4

    Mungu akuweke mahari pema

  • @franksalawa
    @franksalawa Před 21 dnem +3

    daaaaah, mwamba alikuwa fresh ata kiuchumi, ila tuliaminishwa na mitandao kuwa ni rofa mpaka kuwa mwizi,,, mitandao sio yakuamin sana

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před 20 dny +3

    Wametuumiza sana kumuua huyu mwanamuziki.

  • @diegomontenego5158
    @diegomontenego5158 Před 19 dny +1

    Kaka yani Hii sauti nikiskia Namuona dogolako Seba Asee mungu akupumzishee sanaa asee Wakati niposhule nadogoseeba Tulikuwa tunasemana utani mwingi asee. Mungu atunze rohoyako

  • @OmaryLupange-yd3cw
    @OmaryLupange-yd3cw Před 20 dny +2

    Moyo wangu tulia. ❤. R I. P broo

  • @diegomontenego5158
    @diegomontenego5158 Před 19 dny +1

    Daaaah dogo seba nimemuona hapo kwa hii vidio asee najuanhaimbi ila Yupokwa broo asee kazi kaijua ampe sapoti shemeji yetuu asee dah nomaaa

  • @pendojemsi7036
    @pendojemsi7036 Před 16 dny +1

    Kijana wetu mpambanaji kaondoka hivihivi😢😢😢

  • @Rehemamakuka
    @Rehemamakuka Před 19 dny +2

    Yani mtu ana biashara kubwa tukama hivi alafu wanasema mwizi ety kaiba sanam ya yesu na kengele au viti vya cello mpaka leo najiuliza

  • @user-nn9ds7uf2r
    @user-nn9ds7uf2r Před 14 dny +1

    Ina pain sn hii dunia kuna watu wabaya sana

  • @infodigtechforcommunityemp4103

    Huyo ndio mwizi walio muua sheria ifuate mkondo wake

  • @mussaagrey5679
    @mussaagrey5679 Před 23 dny +4

    Waliomuhua kiukweli walaniwe kabisa, wapewe rahana ya milele, hivi kwanini mijitu iko na roho mbaya kiasi icho, unauwa tu, unamjima haki yake mtu ya uhai

  • @mikarospius8084
    @mikarospius8084 Před 4 lety +3

    Mandojo yuko fuluu sana

  • @neemaabdu1091
    @neemaabdu1091 Před 22 dny +2

    Dah no comment

  • @alvinmalle9624
    @alvinmalle9624 Před 20 dny +2

    Eeeh babaa..so sad😔

  • @aronkabuka1717
    @aronkabuka1717 Před 26 dny +2

    R.I.P Dojo.... ulikuwa ni kioo cha jamii

  • @yusuphjosephat8756
    @yusuphjosephat8756 Před 20 dny +2

    Daah!

  • @julianusjameskimodoi4186
    @julianusjameskimodoi4186 Před 22 dny +2

    Duuuu ,nimeumia

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA Před 23 dny +3

    R.I.P MWAMBA WAMEKATISHA MAISHA YAKO

  • @adamramadhani5229
    @adamramadhani5229 Před 4 lety +1

    Sisi wa2 wa arusha niwatu wakubana sana goood bro

  • @nellyjuju5325
    @nellyjuju5325 Před 26 dny +3

    Duuuuh jamani wamekatisha ndoto ya kaka wa watu

  • @fabianjulius5274
    @fabianjulius5274 Před 17 dny +1

    Dahh

  • @infodigtechforcommunityemp4103

    Kaka mpambanaji

  • @user-um9zc8gl5c
    @user-um9zc8gl5c Před 22 dny +2

    Naumia kinoma

  • @ramadhanseif4564
    @ramadhanseif4564 Před 22 dny +2

    Rip

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před 12 dny +1

    Dojo mpaka anauwawa vile hizi biashara zake zilienda wapi?

    • @salaita2829
      @salaita2829 Před 11 dny

      Duka lake lipo na alitokea arusha akiwa na domo kaya ila yeye alishuka dodoma kusalimia mke na watoto ndio mauti ikamkumba.

    • @malkavoice2570
      @malkavoice2570 Před 11 dny

      @@salaita2829 Inawezekana ni mke alikuwa na mchepuko au ni nini mbona hatujapewa mkasa wake vzr kilitokea kitu gani na kwanini hadi auwawe?!

  • @jacksonmbonea7411
    @jacksonmbonea7411 Před 23 dny +2

    Walikosea sana kumuua huyu jamaa nafkir wanajuta sana

  • @zubeiramlanzi2480
    @zubeiramlanzi2480 Před 22 dny +2

    Huyu ndo mliambiwa mwizi?

  • @FintanFelix-z6c
    @FintanFelix-z6c Před 25 dny +3

    Maisha kwakwer

  • @user-hn8un5fz2n
    @user-hn8un5fz2n Před 24 dny +4

    R.I.P Brother tutakukumbuka daima 💔🕊️

  • @user-nn7vp7yu2g
    @user-nn7vp7yu2g Před 18 dny +1

    Alafu alikuwa mkwersana

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf

    Uyu kaka alikua hajiskii Ata kidog

  • @issacksaimon-oy5sv
    @issacksaimon-oy5sv Před 18 dny

    Yan wabongo bwana Yani jambo la huyu lime kua dogo kuliko la yule Alie bakwa jaman mtu kafa

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 14 dny +1

      Yule wabakaji walijionyesha wakimfira Yule dada, sasa kama Una video ya wauwaji wakimuua huyu bwana tuletee halafu uone kama tutakaa kimya

  • @mabubakitambi6599
    @mabubakitambi6599 Před 4 lety +1

    Naqubally blood