Utajiri wa Pastor Tonny Kapola, gari lake zaidi ya Milioni 300, ataja Outfit yake kwenye

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • #dripcheck #kapola

Komentáře • 65

  • @user-qs6ho1nf3t
    @user-qs6ho1nf3t Před 6 měsíci +7

    God is real now watu wanadhani wanaostahili kumiliki vitu vikubwa ni Watu wa wasiomwamini Mungu mambo yamebadilika aise, Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu wenye wivu waendelee kuwa nwa wivu wao na umefika wakati Wana wa Mungu lazima tuwe wa juu

  • @jeraldjensen6504
    @jeraldjensen6504 Před 6 měsíci +4

    Thank you pastor, umetupa challenge nasisis tupambane, tusiishie kwenye vitu vya buku buku , because we are the sons of God

  • @justertilusubya9595
    @justertilusubya9595 Před 6 měsíci +22

    Yani Tanzania ndio mana kuna watu wanakufa maskini alafu kuna mimtu inawivu sija pata kuona yani inawivu hadi na pastor yani mtu yeye kazoea kutumia vitu vya buku buku akiona mwingine anatumia vitu vya dhamani kubwa eti inaumia kwa sisi wafanya biashara tuna jua hakuna kitu chauongo alicho ongea pastor Tonny hapo vyote ni ukweli kabisa.shida watu wakiambiwa ukweli hawataki wanataka uwongo tuu eee basi

    • @veeJesus
      @veeJesus Před 6 měsíci

      Tell themmmm

    • @rosejohn3362
      @rosejohn3362 Před 6 měsíci

      Ni wale ambao hawajui brand za vitu..tunao hua tuna jua hapo ni ukweli mtupu,watu washazoea vitu vya k,koo huwezi muaminisha vitu vzr

    • @jumaamohamed2815
      @jumaamohamed2815 Před 6 měsíci

      Acha upuuzi huo wewe

    • @gerry_macopper3808
      @gerry_macopper3808 Před 6 měsíci +1

      Niko naiwaza hyo jins ya million 3 ni ya ainagan hyo

    • @leopoldmashaka
      @leopoldmashaka Před 5 měsíci

      Mh itakua aichaniki wala haichafuki

  • @evelinelema4563
    @evelinelema4563 Před 4 měsíci +2

    He deserve more than that,tafuteni ufalme wa Mbinguni na mengine mtazidishiwa

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 Před 6 měsíci +11

    Inawezekana watu hawajui kuwa maisha ya mwanadamu yako kwenye matabaka nguo hiyohiyo unayoweza kuinunua kaliakoo kwa elfu hamsin ukienda mlimani city unaweza ukainunua 500,000

  • @Saitabau99
    @Saitabau99 Před 6 měsíci +3

    Kwa wale wanaocheck zaidi mavazi wanasahau kuna jambo la muhimu zaidi from 4:19 apo kuhusu kurithi mali za Mungu

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 Před 5 měsíci +3

    Kwanza nilikuwa sijui kama unaulimbukeni wa kiwango icho ndio maani dini zingine zinaamini wachungaji wa kristo ni wezi

    • @jenalasimbeye9591
      @jenalasimbeye9591 Před 4 měsíci

      Ayo ni matatizo yao Acha na wao wakaibe kama rahisi😂😂😂

  • @damianlyimo1011
    @damianlyimo1011 Před 6 měsíci +4

    Anavaa nguo brand lazima ziwe na gharama

  • @sarahmwasyoge1830
    @sarahmwasyoge1830 Před 4 měsíci

    Ebr 13:7 (SUV)
    Wakumbukeni wale waliokuwa wakiwaongoza, waliowaambia neno la Mungu; tena, kwa kuuchunguza sana mwisho wa mwenendo wao, iigeni imani yao.

  • @MbumiTimoth
    @MbumiTimoth Před 2 měsíci

  • @edo64463
    @edo64463 Před 3 měsíci

    😮

  • @jacksonmichael799
    @jacksonmichael799 Před 6 měsíci +3

    Si vibaya kutaja price lkn kwa nafasi yake kama mchungaji haimpasi kutengeneza ukakasi au maswali yasiyo na ulazima wowote.....Binafsi nashauri next time aseme No comment on price people will search Google themselves.

    • @Manyohu.tv1
      @Manyohu.tv1 Před 5 měsíci

      umeongea vzr mno, tena sana, ukishakuwa mtumishi wa MUngu kuketi vibarazani pa wenye mizaha siyo poa, SEMA BADO NA KIJANA PIA UJANA MAJI YA MOTO.

    • @musamalaba6401
      @musamalaba6401 Před 5 měsíci

      Wisdom

  • @lymsannouncement2321
    @lymsannouncement2321 Před 6 měsíci +4

    Unajua watu hawajui Kuna jeans ya kariakoo bei ndogo na kubwa na Kuna jeans 👖 ya brand na Kila brand Ina bei yake it depends ni wap unaipata
    Jaman kama wewe hujawai kuona t-shirt 👕 au jeans za bei za garama kubwa basi ujatembea dunian 😂😂😂😂

  • @meflorlionel7497
    @meflorlionel7497 Před 3 měsíci

    Uwongo hamna t shrt ya dola 500 kwenye hiyi dunia tumetembe kwenye maduka makubwa

  • @deesouth5887
    @deesouth5887 Před 6 měsíci +2

    Aaaaaah Dunia ni uwongo tuuu.

    • @eunicekissanga2060
      @eunicekissanga2060 Před 6 měsíci +2

      Umaskini wako ndio unakuponza kudhani watu ni waongo . Tafuta ela wewe tena na Mungu

    • @veeJesus
      @veeJesus Před 6 měsíci +1

      Tafta helaaa

    • @eunicekissanga2060
      @eunicekissanga2060 Před 6 měsíci

      @@veeJesus ela zipo watu waache kumsema pastor

    • @leopoldmashaka
      @leopoldmashaka Před 5 měsíci

      Msiongelee na kuamini moja kwa 1 wew yasikie pita kule et kisa mchungaji bas unaweka imani yote kwake oya hamjui nyinyi et

    • @veeJesus
      @veeJesus Před 5 měsíci +2

      @@leopoldmashaka Tumemwona Mungu kupitia Yeye kwa nini tusimwanini

  • @arrfamush3285
    @arrfamush3285 Před 6 měsíci +2

    Mungu yupo jamani

  • @alextarimo4972
    @alextarimo4972 Před 6 měsíci +1

    Repoter fanya research mpaka grenader unaita mercedes

  • @mkambaselemani-ej7np
    @mkambaselemani-ej7np Před 4 měsíci

    Siuongee kiswahili unaboa past

  • @DidasPeter-uv3mi
    @DidasPeter-uv3mi Před 5 měsíci

    Walton wengi hatujui kiingeleza

  • @Kelvinchristopher072
    @Kelvinchristopher072 Před 4 měsíci

    Mmh mwili ni hekalu la MUNGU sijui ni nguo......

  • @yalhafoundationafrica9961
    @yalhafoundationafrica9961 Před 6 měsíci

    Hata mimi nilinunua hiyo bei

  • @aristidessaristarck3494
    @aristidessaristarck3494 Před 6 měsíci +2

    Huyu pastor kanisa lake liko wap

  • @DidasPeter-uv3mi
    @DidasPeter-uv3mi Před 5 měsíci

    Mbona pasta anapenda kuongea kiingeleza sana hadi kero yani

  • @LambeDon_
    @LambeDon_ Před 6 měsíci +1

    😂😂😂 mpaka ma pastor ni waongo?

  • @PortNovember-wk2cw
    @PortNovember-wk2cw Před 4 měsíci

    😂

  • @user-mu8mh1xd2x
    @user-mu8mh1xd2x Před 6 měsíci

    Hiyo ni mishahara ya watu

  • @kari_ahmad06
    @kari_ahmad06 Před 6 měsíci +3

    Ww nimuongo mbwa tena dah! Sema nmecheka sana

    • @user-dr6sd6bb2f
      @user-dr6sd6bb2f Před 6 měsíci

      Tafuta hela ww pastor sio muongo

    • @jumaamohamed2815
      @jumaamohamed2815 Před 6 měsíci

      ​@user-dr6sd6bb2f muongo huyo pastor fake

    • @hildamasonda6528
      @hildamasonda6528 Před 5 měsíci

      ​@@jumaamohamed2815fake ni wewe kijana tafuta helaaa

    • @neemamgowole5227
      @neemamgowole5227 Před 4 měsíci

      Kuwa mwangalifu usije bidi kumtafuta uombe sory he is something else

    • @jumaamohamed2815
      @jumaamohamed2815 Před 4 měsíci

      @@neemamgowole5227 Hamna kitu Hao madalali tu kama madalali wengine, Sema ukishawaamini sana unakuwa dizain kama yako unahisi Wana Power sana kumbe si tunawaonaga kama Comedian tu"

  • @AlvanEdwine-ih4vy
    @AlvanEdwine-ih4vy Před 6 měsíci

    Kijana hujaokoka.

  • @barakamashimbe9457
    @barakamashimbe9457 Před 6 měsíci +1

    Hvyo vyote ni uongo hlf hamna t shrt au surual ya milion 3 labda iwe suit

    • @kimongapro
      @kimongapro Před 6 měsíci +1

      Tafuta hela mzee

    • @tokomezavidondasugu4122
      @tokomezavidondasugu4122 Před 6 měsíci

      😂

    • @damianlyimo1011
      @damianlyimo1011 Před 6 měsíci

      Umeniwahi

    • @eunicekissanga2060
      @eunicekissanga2060 Před 6 měsíci +3

      Zipo tishrt hadi za milion 6. Ela zipo kijana tafuta na jifunze zaidi kwa this man of God ufunguke ata ayo macho

    • @barakamashimbe9457
      @barakamashimbe9457 Před 6 měsíci

      @@eunicekissanga2060 m n moja kat ya watu mwenye experience na hvy vtu nitajie kampuni ya hayo mavaz na material yake cz zote nazjua

  • @bustabruce480
    @bustabruce480 Před 6 měsíci

    🤣🤣🤣

  • @bustabruce480
    @bustabruce480 Před 6 měsíci

    🤣🤣🤣