MWANAFUNZI MTANZANIA ANAYELIPWA LAKI 2 KWA SIKU SOUTH AFRIKA,KAJENGA NYUMBA YA MILLION 40

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 02. 2021
  • Erick Laizer ni mwanafunzi mtanzania anayesoma chuo cha African Leadership Academy kilichopo South Africa na alipata nafasi hiyo baada yakugundua mtambo wakumsaidia mtu kujilinda na majanga mbalimbali ikiwemo moto,wizi na hitilafu za umeme ambapo aliibuka nakushika nafasi ya kwanza kwenye mashindano ya kisayansi Tanzania
    Erick anasema kwenye chuo anachosoma cha African Leadership Academy analipwa zaidi ya laki mbili kwa siku kwa kutengeneza simu laptop ukiachia mbali fedha nyingine anazolipwa na wanafunzi kwa kuwatengenezea vifaa mbalimbali na amewajengea wazazi wake nyumba ya shilingi millioni 40

Komentáře • 552

  • @rachelmlingwa8880
    @rachelmlingwa8880 Před 3 lety +13

    Hongera sana mtoto wa mwanamke mwenzangu namuomba Mungu namimi mtoto wangu awe mfano kama wewe

  • @ndinagweandendekisye3722
    @ndinagweandendekisye3722 Před 3 lety +68

    Hongera mwanangu kwa kuwakumbuka wazazi, stay blessed son

    • @sadickmtoi2990
      @sadickmtoi2990 Před 3 lety +1

      Hi

    • @irenemagetamarwa4677
      @irenemagetamarwa4677 Před 3 lety

      Hongera brother

    • @danieldaniel5848
      @danieldaniel5848 Před 3 lety +1

      Habari ndugu zangu, ninawapenda sana naomba msapoti channel yangu ya neno Elimu TV kwa kubonueza alama nyekundu kama Utaipenda, ninankupenda sana❤

  • @jrochuboy5802
    @jrochuboy5802 Před 3 lety +25

    Safi sana bro umenifurahisha sana kwa kuwakumbuka wazazi kwanza mungu akuongoze 🇹🇿🙏🏼🇹🇿❤️🙏🏼🙏🏼

  • @Jameskaguo
    @Jameskaguo Před 3 lety +28

    in Life, a Mentor is very important variable

  • @marcondokeji8982
    @marcondokeji8982 Před 3 lety +49

    Mtangazaji uko vizuri unampatia kijana muda wa kutosha na kazi yako iko makini, hongera kijana Tanzania tunajivunia kuwa na wewe.

    • @godfreymillardayoripota3002
      @godfreymillardayoripota3002 Před 3 lety +2

      Shukrani sana ndugu yangu

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 Před 3 lety

      Jmn mbona sie tusojua English tunakosa mazur uwiiii natamn kupata nafas huko na mie nijitafutoe maisha walah jmn naombe njia passport ninayo ila sasa English ndio mgongano otakuwaje na mm natak kujuja?

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 Před 3 lety

      @@munaahmed8499 unavyomuona huyo ameenda kwa vigezo vya English?

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 Před 3 lety

      @@onesmojustice2348 hilo si jibu kwa hiyo kam huwez nijibu vzr ni kher ujae mimya maan ukioita sitokufata nikakuuliza ok pls

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 Před 3 lety

      @@munaahmed8499 sio ugomvi😀

  • @editatairo9667
    @editatairo9667 Před 3 lety +63

    Utazidi kufanikiwa kwa sababu hukuwasahau wazazi. Mungu akubariki Genius

  • @annachales9623
    @annachales9623 Před 3 lety +36

    Mungu alikupa ubongo mdogo wangu hongera sana

  • @VictoriaCharlesMwanziva
    @VictoriaCharlesMwanziva Před 3 lety +4

    Brilliant, M/Mungu aendelee kumsimamia katika hatua zake; Tunajivunia yeye 🇹🇿

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Před 3 lety +19

    Angalia sana hayo makampuni makubwa yasikupe mikataba mibovu ukapoteza haki kwenye vitu unavyovitengeneza ama unavyovigunduwa.

  • @geturdablatch9706
    @geturdablatch9706 Před 3 lety +18

    Yaani mie ndio maana napenda hii Ayo jamani. Mtangazaji anampa muda mtu anaeleza kila jambo hamkatishi. Na wanatuletea vitu vya maana. Hongera sana Laizer nitatafuta hiyo kidude

  • @hassanhamudy6639
    @hassanhamudy6639 Před 3 lety +15

    So excited hearing all dat mamen from Smith compas USA river...... Fighting poverty through education!!!!!!

  • @spsaguti8461
    @spsaguti8461 Před 3 lety +4

    Hongera sana kijana hiyo nineema uliyonayo,Allah akuepushe na macho ya husda ,umefanya ihsani nzur kwa wazazi wako hongera sana kijana.

  • @michaelmauki6690
    @michaelmauki6690 Před 3 lety +4

    Hongera sana kijana. Mungu akujalie umri mrefu uweze kuwagusa vijana wengi na kuipaisha bendera ya Tanzania

  • @manjaugodwin7834
    @manjaugodwin7834 Před 3 lety +29

    Umefanya mazur kwa wazazi Mungu atakulipa safi sana kijana angekuwa mwingine yeye na maden viwanja starehe lkn kwako Mungu akupe haja ya moyo wako.

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Před rokem +1

    Hongera Sana kijana kweli wazazi umewapa heshima🙏🙏 na baraka utazidi kuzivuna ktk maisha yako yote.

  • @HamiduChamboko
    @HamiduChamboko Před 3 lety +3

    Masai ni bright hatariii. @respect mdogo wangu. Mtaani Kuna PHD azijagundua hata kirahinishi

  • @arnoldrwekaza2265
    @arnoldrwekaza2265 Před 3 lety +17

    Serikali fanya chap, chukua kijana uyo jenga kiwanda cha kutengeneza iyo mitambo.... Uchumi wa kati

  • @fatumagodfey8838
    @fatumagodfey8838 Před 3 lety +36

    Huyu mtangazaj noma sana anaibua habar Kali sana Milady nyie Ni namba moja dunian

  • @najma3268
    @najma3268 Před 3 lety +24

    Hongera sana ,20 years umefanya makubwa hivyo ,Allah aendelee kukupa maarifa inshaallah

    • @utaani1
      @utaani1 Před 3 lety

      Naomba namba yako tafadhali

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 Před 3 lety +76

    Yaani umenifurahisha uliposema umejenga Kwa Mil 40...wangekua jamaa zetu wangesema Mil 700...keep it up..!

  • @justinkalika589
    @justinkalika589 Před 3 lety +9

    Bro Umeongea maneno machache Yenye Tija na Yenye kufundisha . Kuna watu wanataman kufanya unachoFanya hivyo usikate tamaa utawaangusha keep on fighting in case ya William its Good he is A friend with benefit keep on Man

  • @LoferOnline
    @LoferOnline Před 3 lety +13

    Babumtakeover the real king of interviews 254 wadau wapi likes za 254 1k the first person to comment

  • @sakinakaikai3511
    @sakinakaikai3511 Před 3 lety +2

    Hongera sana dogo, Mwenyezi Mungu akujaalie umri mrefu ili uweze kusaidia jamii ya kwetu n ulimwenguni, Mungu akulinde na hasada za sina yoyote, endeleakuwa mzalendo wa nyumbani Tanzania

  • @IVAVOX
    @IVAVOX Před 3 lety +8

    umetisha safi sana Mungu awe nawe daima

  • @KA-yz2ld
    @KA-yz2ld Před 3 lety +23

    Well done to the young man, M/Mungu azidi kukuongoza.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 3 lety +41

    Aisee huyu dogo ame onesha ile wanasema "FROM ZERO TO HERO"

    • @sulemohd4812
      @sulemohd4812 Před 3 lety

      Jicho lahasad lisimpate huyu kijana yarabbi

  • @gaby06099
    @gaby06099 Před 3 lety +1

    Vijana wa Tz, haya ndio Mambo ya kuiga., Lkn sio lazima ni maamuzi binafsi. Wasanii wanadanganya sana mkiendelea kuwaiga hamna mtakacho pata.
    Mungu ambariki kila kijana mwene mlengo na matumaini ya kujituma Kwa kadri ya uwezo wake.

  • @Donrugi
    @Donrugi Před 3 lety +13

    Be blessed bro, Tanzania is so proud of you boy 🙌🏽🙏🏽💪🏽

  • @vero57
    @vero57 Před 3 lety +6

    Wangekua watu wengine wangekua wanastarehe na wanawake kwa wingi tuu, HONGERA SANA kijana

  • @justinebaada9079
    @justinebaada9079 Před 3 lety +1

    Big up sana asee nimependa kuona kwamba hata sisi watanzania tunaweza kufanya vitu vikubwa san

  • @catherinekasoyaga9523
    @catherinekasoyaga9523 Před 3 lety +3

    Powerful & Inspiring! Kila kitu kinawezekan, ni kujiamini, kuthubutu na kupambana. Hongera sana na Mungu azidi kukuongoza. The fact that umekumbuka wazazi, utaendelea kubarikiwa sana!

    • @frankgikaro5159
      @frankgikaro5159 Před 3 lety +1

      Ukiwaheshimu wazazi unakuwa na siku nyingi za kuishi nami ni imani yangu ya kwamba hakika utajenga hiyo nyumba ya ndoto yako kwani tayari umejipatia siku za kukufanya utimize ndoto pale ulipoamua kuwapa wazazi wako ile faida ya awali. Sasa hv wanajivunia zile gharama walizotumia miaka yote jinsi zimerudi kwa pamoja kama vile mvua za ukame mrefu zikinyesha kwa mafuriko. Ahsante Mungu kwa ajili ya huyu kijana, nakuomba uendelee kumtunza na kumpa kibali na maarifa zaidi.

  • @f.a6043
    @f.a6043 Před 3 lety +37

    Dogo you are among of the BRIGHT SHINNING START SCIENTISTS of TZ if not Africa or in the world

    • @animusstudio3302
      @animusstudio3302 Před 3 lety +1

      Venyee unamuita dogo as if umejenga nyumba ya milion 40😆😆

    • @f.a6043
      @f.a6043 Před 3 lety

      @@animusstudio3302 wewe venyee ndio mdudu gani maana hata kiswahili hujui ubamebaki tu venyee 😆 huna hata ndururu 😅
      Dogo yuko vizuri
      Tena ww ni mkenya njoo huku TZ usifikiri tunashida kama nyinyi njoo uone watu wanamiliki mashamba siwe umebaki kusema venyee
      Njooo TZ tukufundishe

  • @Waytozanzibar
    @Waytozanzibar Před 3 lety +8

    Kuwa makini huko South Africa, siipendi Sana hio nchi. Wana maugomvi sn.

  • @marympango9247
    @marympango9247 Před 3 lety +5

    Hongera sana mdogoangu.....daaah.....mungu akulinde sana...jmn.....!

  • @samwelbeatz
    @samwelbeatz Před 3 lety +4

    Hongera sana producer, keep it up!!!

  • @moshimgaza5642
    @moshimgaza5642 Před 3 lety +2

    Ongera sana,m.mungu akujaalie na kazi yko.m.mungu akuzidishie zaidi ya hapo.mungu awajalie wazazi wako.kukulea vizuri

  • @tabumpate9762
    @tabumpate9762 Před 3 lety +4

    Mashallah.M/MUNGU akuzidishie kila jema kwa wakati katika maisha yako

  • @abdujr_tiktrends
    @abdujr_tiktrends Před 3 lety +10

    Masha allah, Mungu akusimamie brother.

  • @franklyimony7497
    @franklyimony7497 Před 3 lety

    Pamoja.African boy.Africa will reach where we want to be."Pongezi sana Young African Scientist "

  • @kanyewest1850
    @kanyewest1850 Před 3 lety +21

    Hongera sanaa kijanaa 🔥🔥

  • @aiyaavibes7610
    @aiyaavibes7610 Před 3 lety +5

    Am inspired...Keep it up

  • @beatricesaru1624
    @beatricesaru1624 Před 3 lety +1

    Wow, go boy go, the sky is the limit. Hongera kwa kuwakumbuka wazazi.

  • @mjunimwombeki6664
    @mjunimwombeki6664 Před 3 lety +16

    We can do better all
    Big up bro!

  • @RobbyDejan1234
    @RobbyDejan1234 Před 3 lety +6

    Congrats brother....🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 one.

  • @owdenisaga4361
    @owdenisaga4361 Před 3 lety +1

    Hongera ziende kwake....
    Tuendelee kuona that tatizo sio raia wa Tanzania but ni system....Police watapata taarifa within 5seconds ila mda ambao wao watatumia kufika eneo la tukio ndo hatari....

  • @abdujr_tiktrends
    @abdujr_tiktrends Před 3 lety +12

    Big Up Brother🥰🥰❤❤💯💯

  • @allymanyika3502
    @allymanyika3502 Před 3 lety +6

    Mwenyeenzi mungu akujaalie nawe uwe bilionea kama wenzako akina Laizer

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 Před 3 lety +7

    Masha Allah ❤❤❤ kazi nzuri sana 💪

  • @prosperlupenza6359
    @prosperlupenza6359 Před 3 lety +4

    This boy is so organized than my life

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 Před 3 lety +13

    Kichwa sana huyu mtu😙😙😙😍

  • @naimamuturi3475
    @naimamuturi3475 Před 3 lety +1

    MashaAllah, big up bro!!! Hongera sana we need young people like u to change our society.,am so excited to see that keeo it up. May Allah bless u

  • @melkezedeckamos1148
    @melkezedeckamos1148 Před 3 lety

    Hongera sana qaqa ang....may the lord be with you always na uendeleee na moyo huooo💪✊

  • @Its_mongina
    @Its_mongina Před 3 lety

    Congratulations young Man..God bless you

  • @shadowmedia7644
    @shadowmedia7644 Před 3 lety +1

    Sana nakubaliiii appreciate for what you do congratulation Sana

  • @tinongolo2242
    @tinongolo2242 Před 3 lety +1

    Safi sana,thats very inspiring......

  • @kibaopipa3474
    @kibaopipa3474 Před 3 lety

    WOOUW BLESS UP YOUNG PULL UP GOD BLESS AND GIVE YOU LONG LIFE AND GOOD HEALTH 👊🏽

  • @saidmatikti2783
    @saidmatikti2783 Před 3 lety

    Nmependa Sana huyu kijana alivyowafanyia wazazi wake, m. Mungu atujaalie kizazi Chenye manufaaa kwetu na Jamii kwa ujumla

  • @dapinitiative2451
    @dapinitiative2451 Před 3 lety +3

    Millard Ayo uko Vizuri aiseee! Alafu huyu mtangazaji ni namba 1 because he is creative!! Kuna na yule jamaa anayetumiaga gharama kibao kwenda China... Yuko vizuri Sana aiseee, ni mpole na anauliza maswali ya mantiki kinomanoma!

  • @julysusa5998
    @julysusa5998 Před 3 lety +1

    Hongera sana Simon, Mungu ni Mwema. I'm happy for all that.

  • @frankisaac3558
    @frankisaac3558 Před 3 lety +1

    I love ue bro 🙌🙌 ume ni inspire sana

  • @raytorrosy4402
    @raytorrosy4402 Před 3 lety +2

    Hongera Sana dogo na uckate tamaa kamwe

  • @pendopeter1790
    @pendopeter1790 Před 3 lety

    Mungu wewe ni Mkuu na sifa zako ni za juu....Hongera sana mdogo angu kwa hekima Mungu akuongezee zaidi na hakika utabarikiwa.

  • @imanilaizer9994
    @imanilaizer9994 Před 3 lety

    Wow nice sana laizer fanya kazi nchini kwako mwya usiibiwe na wajanja ika nice sana big up ginious wetu wa kimasae

  • @jamesmalika1244
    @jamesmalika1244 Před 3 lety

    Wooow...this is very inspiring

  • @liliangabriel3953
    @liliangabriel3953 Před 3 lety +1

    May God be with yuh on all step dat yuh a stepping.

  • @nyambirotrueinformation7500

    Nakuona mtangazaji umemsalut Dogo Hongera Young boy

  • @jklymollel5992
    @jklymollel5992 Před 3 lety +2

    Hongera sana ....Mungu akupe haja ya moyo wako

  • @suzanpatrick9380
    @suzanpatrick9380 Před 3 lety +2

    Your Born with Talent 😍

  • @farajhassan1775
    @farajhassan1775 Před 3 lety +12

    Hongera sana kwa ujuzi ulionao bro 💕👏👏👏🙏

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 Před 3 lety +1

    Hongera sana kijana kuwa makini usioneshe kipaji chako nje ya nchi hususan Afrika ya kusini wazungu wanawivu sana hawataki kuona waafrika wanakipaji kama Iran wszungu wanawauwa wa Iran wataalam wa nyuklia

  • @josephinekicheleri860
    @josephinekicheleri860 Před 3 lety

    Kijana MUNGU akubariki sanaa...HAYA SASA KILA MTANZANIA AKIENDELEA HUWA WANAMWAMBIA FREEMOSORY ..kwa kweli tuache ujinga huu WATANZANIA WANAUWEZO MKUBWA SAN NA KAMA WANAPATA FURSA WANAKUWA MABILIONEAA..nchi yetu watu wetu tunaakili sana sana na nchi yetu ni tajili sana ila TUMEJIKANDAMIZA WENYEWE.MUNGU IBALIKI TANZANIA NA WATU WOTE

  • @jemmyrose2442
    @jemmyrose2442 Před 3 lety

    Congratulations to him keep doing good job Mungu akubariki sana 🙏

  • @greenbirdschools1222
    @greenbirdschools1222 Před 3 lety +11

    Brilliant

  • @deboramudogo9934
    @deboramudogo9934 Před 3 lety

    Hongera sana mwenyezi mungu azidi kukuneemesha na kukuongezea ufahamu wa kujua mambo makubwa zaidi

  • @ericklaura7511
    @ericklaura7511 Před 3 lety +1

    Keep it up son, stay blessed

  • @ezramabala5810
    @ezramabala5810 Před 3 lety +9

    Daaah tunaosubiri ajira tuspite bila kulike

  • @inocentlema5574
    @inocentlema5574 Před 2 lety

    Hongera sn bro, that’s is talent,

  • @janetndeanasiambene3975
    @janetndeanasiambene3975 Před 3 lety +1

    Usimsahau Mungu aliyekuwezesha hayo maono! Uzidi kubarikiwa. Wasaidie vijana wenzio wanaoshinda vijiweni kulalamika na kumlaumu kila mtu!

  • @irenemaacha1016
    @irenemaacha1016 Před 3 lety +4

    Our very own ! Big up Erick !

  • @hildaeliapenda3938
    @hildaeliapenda3938 Před 3 lety

    Hongera Sana mwanangu mungu akujalie zaidi na zaidi na ajalie pia wenetu insha'Allah

  • @aurrylassy5078
    @aurrylassy5078 Před 3 lety

    Hongera sana kijana kwa kazi nzuri. Kaza buti.

  • @julianajohn1392
    @julianajohn1392 Před 3 lety +7

    Congratulations my billionaire keep going I know u can do it and one day u will b in billboards

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 Před 3 lety +10

    Mashallah nimependa saana

    • @hildaamsi8737
      @hildaamsi8737 Před 3 lety +1

      Waheshimu baba na mama upate miaka mingi na.heri duniani mengine utaongezewa

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před 3 lety +32

    Hongera wengn wangekula bata tuu

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 Před 3 lety +3

    Hongera San mungu akulinde

  • @mussashamis2793
    @mussashamis2793 Před 3 lety

    Well done @Erick 👏👏👏

  • @saraenock7600
    @saraenock7600 Před 3 lety

    Daaah hongera kwakutumia ujuzi wako kwa manufaa ya wengine!! Sio kungojea kuajiriwa ila kujiongeza.

  • @khayraatsaidi3801
    @khayraatsaidi3801 Před 3 lety

    Maa Shaa Allah
    Hongera sana Kijana
    Mungu Akubariki

  • @innocentndowo2258
    @innocentndowo2258 Před 3 lety

    Bigup young bro..tunahitaji vijana creative kama wewe

  • @bisengobubasha
    @bisengobubasha Před 3 lety +1

    Ongera sana, Mungu akutangulie

  • @hidayaisimairy1553
    @hidayaisimairy1553 Před 3 lety +6

    Big up broo,Tanzania kuna vipaji vingi xana, sijui nini kinatukumbaga TZ but one day yes

  • @mtundimtundi5153
    @mtundimtundi5153 Před 3 lety

    Hongereni,kichwa cha habari kinasanifu content nmependa chanel,mtangazaji na aliyekuwa akihojiwa coz ni uhalisia mtupu

  • @vannesseramadamalick3038

    Majina ya akina Laizer....yamebalikiwa.....anyway bigup hongera sana

  • @jewajua589
    @jewajua589 Před 3 lety +6

    Shule ya St Jude Arusha ndio imemtoa huyu dogo, hizi zingine zote mbwembwe tu.

    • @mussashamis2793
      @mussashamis2793 Před 3 lety

      inaweza kuwa chanzo lakini Young Scientist.. ndio imemfungulia Milango

  • @jamilasaid1764
    @jamilasaid1764 Před 3 lety +6

    Very nice

  • @ommymsomi4362
    @ommymsomi4362 Před 3 lety +1

    Keep pushin brooooo

  • @bjchamba6452
    @bjchamba6452 Před 3 lety +1

    Be blessed more and more

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Před 3 lety +8

    Salaam za pongezi kwako.

  • @ngoninamollel1873
    @ngoninamollel1873 Před 3 lety

    We proud of you bro official ericklaizer

  • @erastokimaro8954
    @erastokimaro8954 Před 3 lety

    Hongera Sana mdogo wangu, mungu akubariki mno.