Mwenyezimungu akikuandikia kwaimani lazima iwe,kiukweli Mwanzoni wengi hatukumuelewa Magu but baadae tuliamini nijembe naangetufikisha mahali kama nchi.Apumzike kwaamani Magu.
Mungu amlaze mahali pema peponi kama hakumpenda alimpenda lakini alifanya kazi nzuri na Watanzania walimkubali na wanaendelea kumuenzi tumshukuru Mungu kwa kila jambo
Ulikuwepo kamati kuu?kaawni kimya tugange yajayo mpumzisheni baba wa watu angekuwa baba yako ungekubali asemwe wakati hawezi kujibu chochote yake ya duniani yameisha tukutane akhera mjini
ALISHINDWA Nini kumtoa kwenye uwaziri?Hizo zilikuwa ni Hila za kisiasa lakini Kwa akili tu ya kawaida mtu aliyekuwa KIONGOZI wa NCHI,ALISHINDWA Nini kukata jina la magufuli ,kwahiyo Jk ndio alitaka magufuli awe rais japo kila jambo mungu ndio anapanga lkn kila kitu kina sababu zake
Ifike wakati Afrika tubadili kabisa mfumo wa vyama vingi wagombea lukuki tafuta mtu mmoja mwenye kuchapa kazi vizuri weka kwenye utawala na fullstop. China, Qatar, Vietnam, Sauda Arabia hakuna hizo mambo lakini mambo yao bam bam.
Watanzania hatuna muda na mijadala kama hii, Hakuwa Maguli ila ni kiumbe kama kiumbe wengine, sote tutakufa lini na saaa hilo ni fumbo la imani,kama kuna mtu anamuabudu Magufuli aendelee tu na kaburi lake haliko mbali liko chato, ila Tanzania ina thamani kuliko Magufuli na kinachoendelea ni kumuudhi Muumba ambae alimpenda zaid na ambae anajua kwanini alimchukua mapema Mpendwa wetu, ila kwasasa Kazi iendeleee, na alieshika kijiti ni mtu sahihi mnooo tena saaaaana. Mungu ibark Tanzania, Mungu bark viongozi wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Siku zote,Marehemu hupewa sifa akiwa mfu. Lakini kwa Magufuli kuwa jembe,ukweli haufichiki. Kazi ameifanya kwa kweli. Na kwa kweli naamini ameenda peponi. Ikiwa kuna kasoro lakini wajibu ameutekeleza.
Tabia ya mchawi ni ya ajabu Sana anakuua kisha analia Sana kuliko hata wafiwa wenyewe. Ogopa mchawi na mnafiki.Ni sawa na kunguni wa kitandani.anakutafuna huku anakuchekea.
Mtu yoyote yule angetatizika katika maamuzi yakumuacha Lowasa kwakua urafiki ni mkubwa lakini na wapinzani nao walimchafua kwa kiwango cha juu sana haswa kwa jambo la ufisadi.Lkn unafiki wawana siasa.Hao hao wapinzani wakaja wakamsafisha Lowasa kiasi cha kuonekana kama vile kumuacha ni kumdhulumu.Kwa magufuli ni mzee kikwete ndio alimuomba achukue fomu.na familia yake ilipoelemea kwa Membe aliwaambia tusije tukanuniana mambo yasipoenda vile mnavyotarajia.kuonyesha kwamba aliangalia zaidi maslahi ya Taifa.Na huyu mzee ukitoa kingunge na mzee sefu sharifu anajua sana siasa.kiasi wazee wajuzi wasiasa za nchi hii pia wanamuogopa sana
Alikua mchapa kazi akiwa waziri kiasi cha kupinga baadhi ya maamuzi ya kupindapinda,lakini alipofika kuchaguliwa badala ya Membe na au Makamba nongwa ikaanzia hapo, Lowasa alijua,na yeye alijua!. Tenda ya barabara zote za lami chini ya tanroad ilikua ya nani vile!
Hana Lolote labda Unafiki atamfikia Wapi Nabii Suleiman Mtume wa Allah Wakati ni Madhambi matupu Kwa Dhuluma Wizi na uuwaji huwezi kumfananisha Nabii waliyesafika na Madhambi ukamfafananisha Na Mtu mwenye dhambi kibao
Watanzania tumekuzoma kama kuna watu walio uzika na kifo sha mpendwa watu mkoponzi wa Taifa letu jpm ni wewe kikwete na samia Ata kwa mziba mwrnye kulia sana Nakutangaza history ya marehemu ni muaji
Kikwete japo na swaga zake zoote hakuwahi mchukia magufuli. Na magufuli pamoja na ukali wake woote hakuwahi mwingilia jk. Mambo ya jk yalienda smooth hata wakati wa magufuli isipokuwa wapambe wa jk ndio walikuwa wanamchongea magifili kwa jk.
Hujui kitu au ilikupita ile ya makontena ya mkewe Kikwete kuzuiliwa bandarini nakutakiwa walipe kodi ile hali walikuwa wamezoea kupitisha Tu mizigo kinyemela,iliperekea kupishana pakubwa mno biashara zake zilitakiwa zilipiwe kodi kama unavyotakiwa kulipia wewe
Mawazo umeona hawakuwa na ugomvi kbsaa nashangaa watu ndio wanasema mambo ambayo hawana ushahidi nayo.Jpm alisafiri na jk kwenda south Mara kwa Mara wakitembeleana watanzania tuache upuuzi.Jk angeweza kumzuia jpm asiwe raisi tangu huko kumbuka huyooo ni raisi Ana nguvu zote.Watanzania tuwache ujinga
Acheni majungu. JK asingemtaka JPM jina lisingekuwepo, kama aliweza kumpiga chini Lowassa, angeshindwa nini kwa JPM? Tumieni akili tusitumie chuki kwenye kutafakali jambo
@@kilimanjaro695 kwanza atuambie domo la jz Nila Nani liliibuka kwa kasi 2014 karibu kabisa na utawala wa jpm? Watajua wenyewe upendo wa mtu kwa mwingine unaonekana kwa macho na mwendo na ROHO viambatane mtu kashakufa sasa useme nampenda kwani atakusikia? Mungu ni wa milele shetani atatusitiri kwa Muda membe jpm luwassa wameshapita ww na mm je unaendeleaje kujistiri kwenye ujanja wa Dunia?
YULE NDIE ALIKUWA RAIC NA KAZI NZURI TULIIONA NDANI YA MIAKA 5 MARAIC 4 HAKUNA ALIEFANYA KAMA YEYE C BINADAMU HATUNA SHUKRANI.MUNGU AMLIPE KWA KUTUTOA TONGO...TONGO KUMBE TULIKUWA TUNAWEZA
Lowasa alikuwa bepari Kila ukipita unaambiwa hii Mali ni ya lowasa, tulisikia Vodacom lowasa yupo, kambi ya zamani ya jeshi sakina Arusha tulisikia Sana lile eneo ni la lowasa. Kila mahali ni lowasa kule Richmond yeye, Sasa kwa hayo hafai kuwa raisi. JPM alikuwa chaguo la Mungu. Aliwasema hadharani hata CCM yake, alikuwa mwamba kweli kweli
Mwenyezimungu akikuandikia kwaimani lazima iwe,kiukweli Mwanzoni wengi hatukumuelewa Magu but baadae tuliamini nijembe naangetufikisha mahali kama nchi.Apumzike kwaamani Magu.
Jembe la kuuwa watu
@@eliajimmy9511:11
@@eliajimmy95wew hujui chochote, kuna sniper la ccm ndiyo linaongoza kwwa kuua watu.
@@zakariamalembela3974 hilo sniper linalouwa watu ulilijua wewe tu?
Mungu amlaze mahali pema peponi kama hakumpenda alimpenda lakini alifanya kazi nzuri na Watanzania walimkubali na wanaendelea kumuenzi tumshukuru Mungu kwa kila jambo
Alifanya kazi nzuri ya kutoa uhai wa watu
@@eliajimmy95 Alitoa uhai wa Baba yako na Mama yako thibitisha
@@margarethpolepole7438 je wewe unauhakika kama alitoa uhai wazazi wangu
@@margarethpolepole7438 Inaonyesha ni kiasi gani unaroho ya kinyama yaani huna ubinadamu, unajali uhai wa wazazi wako tu.
@@eliajimmy95una uthibitisho
Akili kubwa Zungu na Charles william
Yeye ndio alimbeba kamati kuu jpm alikataliwa jk akatumia kofia yake kulazimisha mnyonge mnyongeni Ila penye haki yake apewe tu
Ulikuwepo kamati kuu?kaawni kimya tugange yajayo mpumzisheni baba wa watu angekuwa baba yako ungekubali asemwe wakati hawezi kujibu chochote yake ya duniani yameisha tukutane akhera mjini
ALISHINDWA Nini kumtoa kwenye uwaziri?Hizo zilikuwa ni Hila za kisiasa lakini Kwa akili tu ya kawaida mtu aliyekuwa KIONGOZI wa NCHI,ALISHINDWA Nini kukata jina la magufuli ,kwahiyo Jk ndio alitaka magufuli awe rais japo kila jambo mungu ndio anapanga lkn kila kitu kina sababu zake
Jpm kapigika hadi raha asante Mungu
@@samateryusuf4345wewe hutapigika asante Mungu😊
@@zeralucyntazimila6600 mm nimeuwa nani ?? Bado nadunda tu lkn baba ako kapigika hadi raha asante Mungu
@samateryusuf4345 ndo maana nimekwambia hutapigika mpaka raha jamani!!! Au hukuelewa😁
@@zeralucyntazimila6600 samahani sana ndugu
Kwa nini hayo Mungu ndio anajua ukweli kama alimpenda au alimchukia nafsiyake inajua Magu pumzika kwa amani
Ni kweli hakuta awe rais,,hata yeye atakufa tu
Jpm kapigika hadi raha asante Mungu
hataa utakufaaa ng'ombee wewe unadhani yatarudii ya enzii ya mwalim jinyongee mapemaa
Kikwete alimkosea sana Lowassa, hadi akafariki kwa mateso ya moyoomba tu Mungu akusamehe😢
😅😅😅
Hongereni kwa kazi yenu nzuri! It's right to say you enlighten the dark side.
Kama hukupenda J.P Magufuli ila Sisi tulimpenda tu ila Ifahamu Dunia tutapita wote Mzee kikwete acha Roho mbaya
Heading inaonesha story teller ni mpuuzi
Magufuli mwenyewe hakuupenda uraisi basi ni mungu tu ndo alimuweka pale
Alikamatiwa bastola agombanie uraisi au alitaka mwenyewe?. Acheni kutupumbaza nyie wajinga
Kweli kabisa
Mmmh ahaaaa
Mungu ndo anajuwa ukweri,Apaduniani tunapita
safi sana
Ifike wakati Afrika tubadili kabisa mfumo wa vyama vingi wagombea lukuki tafuta mtu mmoja mwenye kuchapa kazi vizuri weka kwenye utawala na fullstop.
China, Qatar, Vietnam, Sauda Arabia hakuna hizo mambo lakini mambo yao bam bam.
Alimhofu msimamo wake tangia wakati wa utawala wake alimliganisha akili yake nikama computer.
Mzee hilo Jina la Bernard unavyolitamka hapana aisee!
Zungu ukovizurii hongera
Watanzania hatuna muda na mijadala kama hii, Hakuwa Maguli ila ni kiumbe kama kiumbe wengine, sote tutakufa lini na saaa hilo ni fumbo la imani,kama kuna mtu anamuabudu Magufuli aendelee tu na kaburi lake haliko mbali liko chato, ila Tanzania ina thamani kuliko Magufuli na kinachoendelea ni kumuudhi Muumba ambae alimpenda zaid na ambae anajua kwanini alimchukua mapema Mpendwa wetu, ila kwasasa Kazi iendeleee, na alieshika kijiti ni mtu sahihi mnooo tena saaaaana. Mungu ibark Tanzania, Mungu bark viongozi wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Good
Huyo magufuli alikuwa mwamba sana tena alipewa jina la tingatinga
Very interesting 👏👏👏👏
FACT👏🏿👏🏿
Mmmmmm ama kweli kikulacho kinguoni mwako hakuna kitu kibaya kama unafiki duniani zmung mlaze mahali pema peponi amina
Baada ya magufuli mungu kumsimamia wanafiki ilibidi wampende maana hawkuwa na jinsi
Huyu mzee kikwete alifanya kazi kubwa sana kumwinua magufuli, mungu ampe hekima zaidi. Kikwete ana hekima kama za sulemani.
Wewe Mkapa ndo alishikilia jina la JPM na kumbuka Mkapa alikua mtu aliekua mtu mwenye misimamo sio kama Hayati Mwinyi yeye alikua mpore
@@vanessajames2192uko sahihi, mkapa ndo alikuwa final say, magufuli akawa mgombea aliyepitishwa, lkn waovu walikuwa wapi na mikakati yao! Yaliyotokea ndo kama ilivyokuwa tumebaki tunawakumbuka tuuu! 😢😢😢😢😢
Mungu yeye ndiye anayejua yote yaliyomo ndani ya mioyo ya watu.Nani kwani anabisha hilo?
Ndiyo hakutaja jpm awe rais
Sio kweli, yeye alikua mwenyekiti enzi hizo, kwahiyo alikuwa ana uwezo wa kumminya tu, kwa sababu magufuli hakuwa maarifu.
Kinachokuponza ndugu yetu JK ni uswahiba wako na yusuph Makamba hilo tu
Huyo ndie aliratibu mpango wa kifo chake
Kama na yeye alivyoratibu vifo vya wenzie
@@eliajimmy95 bila shaka ww ni mgogo,sura yko tu inaonyesha jinc ulivyokuwa zuzu.Cwezi kukulaumu
@@kichenjekichenje2072 weka profile picture yako tuone kama sio wale wenye sura kama tako
Jk Asante rip Magu
Siku zote,Marehemu hupewa sifa akiwa mfu. Lakini kwa Magufuli kuwa jembe,ukweli haufichiki. Kazi ameifanya kwa kweli. Na kwa kweli naamini ameenda peponi. Ikiwa kuna kasoro lakini wajibu ameutekeleza.
Tabia ya mchawi ni ya ajabu Sana anakuua kisha analia Sana kuliko hata wafiwa wenyewe. Ogopa mchawi na mnafiki.Ni sawa na kunguni wa kitandani.anakutafuna huku anakuchekea.
Huo ndoo ukweli
Walimkomesha na January atakuja kuwa Rais kamwe
Ukisikia Vita vya panzi , furaha kwa Kunguru ndo hii sasa😅
Mtu yoyote yule angetatizika katika maamuzi yakumuacha Lowasa kwakua urafiki ni mkubwa lakini na wapinzani nao walimchafua kwa kiwango cha juu sana haswa kwa jambo la ufisadi.Lkn unafiki wawana siasa.Hao hao wapinzani wakaja wakamsafisha Lowasa kiasi cha kuonekana kama vile kumuacha ni kumdhulumu.Kwa magufuli ni mzee kikwete ndio alimuomba achukue fomu.na familia yake ilipoelemea kwa Membe aliwaambia tusije tukanuniana mambo yasipoenda vile mnavyotarajia.kuonyesha kwamba aliangalia zaidi maslahi ya Taifa.Na huyu mzee ukitoa kingunge na mzee sefu sharifu anajua sana siasa.kiasi wazee wajuzi wasiasa za nchi hii pia wanamuogopa sana
Ndiyo maana kifo chake JPM ni utata, RIP JPM
Wampende,wasimpende sisi tulimpenda
Hata yeye hawezi ishi mirere
Alikua mchapa kazi akiwa waziri kiasi cha kupinga baadhi ya maamuzi ya kupindapinda,lakini alipofika kuchaguliwa badala ya Membe na au Makamba nongwa ikaanzia hapo, Lowasa alijua,na yeye alijua!. Tenda ya barabara zote za lami chini ya tanroad ilikua ya nani vile!
Aliemuua ni nani?
Kikwete nimzee mpole sana anachuki na mtu Acheni uchochezi
Hana Lolote labda Unafiki atamfikia Wapi Nabii Suleiman Mtume wa Allah Wakati ni Madhambi matupu Kwa Dhuluma Wizi na uuwaji huwezi kumfananisha Nabii waliyesafika na Madhambi ukamfafananisha Na Mtu mwenye dhambi kibao
Watanzania tumekuzoma kama kuna watu walio uzika na kifo sha mpendwa watu mkoponzi wa Taifa letu jpm ni wewe kikwete na samia Ata kwa mziba mwrnye kulia sana Nakutangaza history ya marehemu ni muaji
Lowassa alikuwa na kila sababu ya kuchukua uraisi sema fitina ndy zilimuangusha rest in paradise Lowassa
Kabisa
Fuatilieni hotuba ya JK Diamond jubilee.
K laanatullah
❤
Mungu ndio anajua sio binadamu
Kikwete japo na swaga zake zoote hakuwahi mchukia magufuli.
Na magufuli pamoja na ukali wake woote hakuwahi mwingilia jk.
Mambo ya jk yalienda smooth hata wakati wa magufuli isipokuwa wapambe wa jk ndio walikuwa wanamchongea magifili kwa jk.
Hujui kitu au ilikupita ile ya makontena ya mkewe Kikwete kuzuiliwa bandarini nakutakiwa walipe kodi ile hali walikuwa wamezoea kupitisha Tu mizigo kinyemela,iliperekea kupishana pakubwa mno biashara zake zilitakiwa zilipiwe kodi kama unavyotakiwa kulipia wewe
@@breymbasa3451 .ushasema mkewe tumia Akili Kila kitu anachofanya mkeo inamaanisha umemtuma?
Mawazo umeona hawakuwa na ugomvi kbsaa nashangaa watu ndio wanasema mambo ambayo hawana ushahidi nayo.Jpm alisafiri na jk kwenda south Mara kwa Mara wakitembeleana watanzania tuache upuuzi.Jk angeweza kumzuia jpm asiwe raisi tangu huko kumbuka huyooo ni raisi Ana nguvu zote.Watanzania tuwache ujinga
Tuhuma za kutomtaka jpm zitamuandama tu Sawa Sawa na kiwango cha dhambi hiyo inauzito gani
Acheni majungu. JK asingemtaka JPM jina lisingekuwepo, kama aliweza kumpiga chini Lowassa, angeshindwa nini kwa JPM? Tumieni akili tusitumie chuki kwenye kutafakali jambo
Nyie ndio wenye chuki na mze jk
@@martinisadru9899 kwa yy anatupenda
@@kilimanjaro695 kwanza atuambie domo la jz Nila Nani liliibuka kwa kasi 2014 karibu kabisa na utawala wa jpm? Watajua wenyewe upendo wa mtu kwa mwingine unaonekana kwa macho na mwendo na ROHO viambatane mtu kashakufa sasa useme nampenda kwani atakusikia? Mungu ni wa milele shetani atatusitiri kwa Muda membe jpm luwassa wameshapita ww na mm je unaendeleaje kujistiri kwenye ujanja wa Dunia?
Common sense is not common sense anymore
JK ndio Raisi mwenye kifua zege zaid mno kuwah kutokea Tz sijawah kuwa na hofu na maamuz yke
Lowosa
Ni sahihi sana maelezo ya Mh Kikwete,mengine ni mitazamo tu ya watu.
Ikawa kichaa kakabidhiwa rungu, kwa miaka 5 chamoto tulikiona
YULE NDIE ALIKUWA RAIC NA KAZI NZURI TULIIONA NDANI YA MIAKA 5 MARAIC 4 HAKUNA ALIEFANYA KAMA YEYE C BINADAMU HATUNA SHUKRANI.MUNGU AMLIPE KWA KUTUTOA TONGO...TONGO KUMBE TULIKUWA TUNAWEZA
kama ulikuwa fisadi mtu wa zurma lazima chamoto ukione
@@Athuman-is2vu kwani Wapinzani akina Tundu Lissu, Mbowe, heche na wengine,walifanya ufisadi gani
@@user-hd5bg8qw1b kwani wapinzani waliokuwa wananyanyaswa walikosa nini
Lowasa alikuwa bepari Kila ukipita unaambiwa hii Mali ni ya lowasa, tulisikia Vodacom lowasa yupo, kambi ya zamani ya jeshi sakina Arusha tulisikia Sana lile eneo ni la lowasa. Kila mahali ni lowasa kule Richmond yeye, Sasa kwa hayo hafai kuwa raisi. JPM alikuwa chaguo la Mungu. Aliwasema hadharani hata CCM yake, alikuwa mwamba kweli kweli
Chaguo la Mungu limepigika hadi raha asante Mungu
Sit down and think twice before you suggest anything. Don't be like others whose narrow minded
KIKWETE NDIO MSEMA KWELI
😢RIP JPM❤❤❤❤❤