JAKAYA KIKWETE HAKUTAKA JOHN MAGUFULI AWE RAIS MWAKA 2015? TAARIFA TATA AMBAYO JK ANAIKANA MPAKA LEO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 03. 2024
  • #CharlesWilliam #Zungu #Day2newsTV

Komentáře • 111

  • @RaymondMsuya-de6tq
    @RaymondMsuya-de6tq Před 2 měsíci +16

    Mwenyezimungu akikuandikia kwaimani lazima iwe,kiukweli Mwanzoni wengi hatukumuelewa Magu but baadae tuliamini nijembe naangetufikisha mahali kama nchi.Apumzike kwaamani Magu.

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 Před 2 měsíci

      Jembe la kuuwa watu

    • @patriciamuganda4498
      @patriciamuganda4498 Před 2 měsíci

      ​@@eliajimmy9511:11

    • @zakariamalembela3974
      @zakariamalembela3974 Před měsícem

      ​@@eliajimmy95wew hujui chochote, kuna sniper la ccm ndiyo linaongoza kwwa kuua watu.

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 Před měsícem

      @@zakariamalembela3974 hilo sniper linalouwa watu ulilijua wewe tu?

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 2 měsíci +14

    Mungu amlaze mahali pema peponi kama hakumpenda alimpenda lakini alifanya kazi nzuri na Watanzania walimkubali na wanaendelea kumuenzi tumshukuru Mungu kwa kila jambo

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 Před 2 měsíci +2

      Alifanya kazi nzuri ya kutoa uhai wa watu

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 2 měsíci

      @@eliajimmy95 Alitoa uhai wa Baba yako na Mama yako thibitisha

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 Před 2 měsíci

      @@margarethpolepole7438 je wewe unauhakika kama alitoa uhai wazazi wangu

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 Před 2 měsíci +1

      @@margarethpolepole7438 Inaonyesha ni kiasi gani unaroho ya kinyama yaani huna ubinadamu, unajali uhai wa wazazi wako tu.

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 2 měsíci

      ​@@eliajimmy95una uthibitisho

  • @jonahmathayo5156
    @jonahmathayo5156 Před 2 měsíci +5

    Akili kubwa Zungu na Charles william

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Před 2 měsíci +7

    Yeye ndio alimbeba kamati kuu jpm alikataliwa jk akatumia kofia yake kulazimisha mnyonge mnyongeni Ila penye haki yake apewe tu

    • @zariadunia6328
      @zariadunia6328 Před 2 měsíci +3

      Ulikuwepo kamati kuu?kaawni kimya tugange yajayo mpumzisheni baba wa watu angekuwa baba yako ungekubali asemwe wakati hawezi kujibu chochote yake ya duniani yameisha tukutane akhera mjini

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před 2 měsíci +8

    ALISHINDWA Nini kumtoa kwenye uwaziri?Hizo zilikuwa ni Hila za kisiasa lakini Kwa akili tu ya kawaida mtu aliyekuwa KIONGOZI wa NCHI,ALISHINDWA Nini kukata jina la magufuli ,kwahiyo Jk ndio alitaka magufuli awe rais japo kila jambo mungu ndio anapanga lkn kila kitu kina sababu zake

    • @samateryusuf4345
      @samateryusuf4345 Před 2 měsíci

      Jpm kapigika hadi raha asante Mungu

    • @zeralucyntazimila6600
      @zeralucyntazimila6600 Před měsícem +1

      ​@@samateryusuf4345wewe hutapigika asante Mungu😊

    • @samateryusuf4345
      @samateryusuf4345 Před měsícem

      @@zeralucyntazimila6600 mm nimeuwa nani ?? Bado nadunda tu lkn baba ako kapigika hadi raha asante Mungu

    • @zeralucyntazimila6600
      @zeralucyntazimila6600 Před měsícem +1

      @samateryusuf4345 ndo maana nimekwambia hutapigika mpaka raha jamani!!! Au hukuelewa😁

    • @samateryusuf4345
      @samateryusuf4345 Před měsícem

      @@zeralucyntazimila6600 samahani sana ndugu

  • @paulnachenga6302
    @paulnachenga6302 Před 2 měsíci +2

    Kwa nini hayo Mungu ndio anajua ukweli kama alimpenda au alimchukia nafsiyake inajua Magu pumzika kwa amani

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před 2 měsíci +6

    Ni kweli hakuta awe rais,,hata yeye atakufa tu

    • @samateryusuf4345
      @samateryusuf4345 Před 2 měsíci +1

      Jpm kapigika hadi raha asante Mungu

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 Před měsícem

      hataa utakufaaa ng'ombee wewe unadhani yatarudii ya enzii ya mwalim jinyongee mapemaa

  • @marthamungure1777
    @marthamungure1777 Před 2 měsíci +2

    Kikwete alimkosea sana Lowassa, hadi akafariki kwa mateso ya moyoomba tu Mungu akusamehe😢

  • @patricknamangoa6468
    @patricknamangoa6468 Před 2 měsíci

    Hongereni kwa kazi yenu nzuri! It's right to say you enlighten the dark side.

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 Před 2 měsíci +2

    Kama hukupenda J.P Magufuli ila Sisi tulimpenda tu ila Ifahamu Dunia tutapita wote Mzee kikwete acha Roho mbaya

  • @suwedwakil4392
    @suwedwakil4392 Před měsícem +2

    Heading inaonesha story teller ni mpuuzi

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 2 měsíci +3

    Magufuli mwenyewe hakuupenda uraisi basi ni mungu tu ndo alimuweka pale

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 Před 2 měsíci +1

    Mungu ndo anajuwa ukweri,Apaduniani tunapita

  • @jumahamis5758
    @jumahamis5758 Před 2 měsíci +1

    safi sana

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před měsícem +1

    Ifike wakati Afrika tubadili kabisa mfumo wa vyama vingi wagombea lukuki tafuta mtu mmoja mwenye kuchapa kazi vizuri weka kwenye utawala na fullstop.
    China, Qatar, Vietnam, Sauda Arabia hakuna hizo mambo lakini mambo yao bam bam.

  • @longinoludovick7909
    @longinoludovick7909 Před měsícem +1

    Alimhofu msimamo wake tangia wakati wa utawala wake alimliganisha akili yake nikama computer.

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 Před 2 měsíci +1

    Mzee hilo Jina la Bernard unavyolitamka hapana aisee!

  • @user-ui1cj5re9k
    @user-ui1cj5re9k Před 2 měsíci

    Zungu ukovizurii hongera

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před měsícem +1

    Watanzania hatuna muda na mijadala kama hii, Hakuwa Maguli ila ni kiumbe kama kiumbe wengine, sote tutakufa lini na saaa hilo ni fumbo la imani,kama kuna mtu anamuabudu Magufuli aendelee tu na kaburi lake haliko mbali liko chato, ila Tanzania ina thamani kuliko Magufuli na kinachoendelea ni kumuudhi Muumba ambae alimpenda zaid na ambae anajua kwanini alimchukua mapema Mpendwa wetu, ila kwasasa Kazi iendeleee, na alieshika kijiti ni mtu sahihi mnooo tena saaaaana. Mungu ibark Tanzania, Mungu bark viongozi wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

  • @stedymwakalile5849
    @stedymwakalile5849 Před 2 měsíci

    Good

  • @user-xc4gb1np7k
    @user-xc4gb1np7k Před 2 měsíci +1

    Huyo magufuli alikuwa mwamba sana tena alipewa jina la tingatinga

  • @clevalupakisyo7460
    @clevalupakisyo7460 Před 2 měsíci +3

    Very interesting 👏👏👏👏

  • @user-dz2lv6en3z
    @user-dz2lv6en3z Před měsícem

    FACT👏🏿👏🏿

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 2 měsíci

    Mmmmmm ama kweli kikulacho kinguoni mwako hakuna kitu kibaya kama unafiki duniani zmung mlaze mahali pema peponi amina

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Před měsícem

    Baada ya magufuli mungu kumsimamia wanafiki ilibidi wampende maana hawkuwa na jinsi

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 Před 2 měsíci +3

    Huyu mzee kikwete alifanya kazi kubwa sana kumwinua magufuli, mungu ampe hekima zaidi. Kikwete ana hekima kama za sulemani.

    • @vanessajames2192
      @vanessajames2192 Před 2 měsíci +1

      Wewe Mkapa ndo alishikilia jina la JPM na kumbuka Mkapa alikua mtu aliekua mtu mwenye misimamo sio kama Hayati Mwinyi yeye alikua mpore

    • @gracemtonga3263
      @gracemtonga3263 Před 2 měsíci

      ​@@vanessajames2192uko sahihi, mkapa ndo alikuwa final say, magufuli akawa mgombea aliyepitishwa, lkn waovu walikuwa wapi na mikakati yao! Yaliyotokea ndo kama ilivyokuwa tumebaki tunawakumbuka tuuu! 😢😢😢😢😢

  • @AndreaHango
    @AndreaHango Před 2 měsíci

    Mungu yeye ndiye anayejua yote yaliyomo ndani ya mioyo ya watu.Nani kwani anabisha hilo?

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn Před 2 měsíci +2

    Ndiyo hakutaja jpm awe rais

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 Před 2 měsíci

      Sio kweli, yeye alikua mwenyekiti enzi hizo, kwahiyo alikuwa ana uwezo wa kumminya tu, kwa sababu magufuli hakuwa maarifu.

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Před 2 měsíci +1

    Kinachokuponza ndugu yetu JK ni uswahiba wako na yusuph Makamba hilo tu

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 Před 2 měsíci +2

    Huyo ndie aliratibu mpango wa kifo chake

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 Před 2 měsíci

      Kama na yeye alivyoratibu vifo vya wenzie

    • @kichenjekichenje2072
      @kichenjekichenje2072 Před 2 měsíci

      @@eliajimmy95 bila shaka ww ni mgogo,sura yko tu inaonyesha jinc ulivyokuwa zuzu.Cwezi kukulaumu

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 Před 2 měsíci

      @@kichenjekichenje2072 weka profile picture yako tuone kama sio wale wenye sura kama tako

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 Před 2 měsíci

    Jk Asante rip Magu

  • @edithkovary3654
    @edithkovary3654 Před 2 měsíci

    Siku zote,Marehemu hupewa sifa akiwa mfu. Lakini kwa Magufuli kuwa jembe,ukweli haufichiki. Kazi ameifanya kwa kweli. Na kwa kweli naamini ameenda peponi. Ikiwa kuna kasoro lakini wajibu ameutekeleza.

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 Před měsícem

    Tabia ya mchawi ni ya ajabu Sana anakuua kisha analia Sana kuliko hata wafiwa wenyewe. Ogopa mchawi na mnafiki.Ni sawa na kunguni wa kitandani.anakutafuna huku anakuchekea.

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Před měsícem

    Huo ndoo ukweli

  • @meryevance6744
    @meryevance6744 Před měsícem

    Walimkomesha na January atakuja kuwa Rais kamwe

  • @ValencyKyando
    @ValencyKyando Před měsícem

    Ukisikia Vita vya panzi , furaha kwa Kunguru ndo hii sasa😅

  • @AllyMwazoa
    @AllyMwazoa Před 2 měsíci

    Mtu yoyote yule angetatizika katika maamuzi yakumuacha Lowasa kwakua urafiki ni mkubwa lakini na wapinzani nao walimchafua kwa kiwango cha juu sana haswa kwa jambo la ufisadi.Lkn unafiki wawana siasa.Hao hao wapinzani wakaja wakamsafisha Lowasa kiasi cha kuonekana kama vile kumuacha ni kumdhulumu.Kwa magufuli ni mzee kikwete ndio alimuomba achukue fomu.na familia yake ilipoelemea kwa Membe aliwaambia tusije tukanuniana mambo yasipoenda vile mnavyotarajia.kuonyesha kwamba aliangalia zaidi maslahi ya Taifa.Na huyu mzee ukitoa kingunge na mzee sefu sharifu anajua sana siasa.kiasi wazee wajuzi wasiasa za nchi hii pia wanamuogopa sana

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před měsícem

    Ndiyo maana kifo chake JPM ni utata, RIP JPM

  • @user-wh7gj9ug9s
    @user-wh7gj9ug9s Před měsícem

    Wampende,wasimpende sisi tulimpenda

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Před měsícem

    Hata yeye hawezi ishi mirere

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před 2 měsíci

    Alikua mchapa kazi akiwa waziri kiasi cha kupinga baadhi ya maamuzi ya kupindapinda,lakini alipofika kuchaguliwa badala ya Membe na au Makamba nongwa ikaanzia hapo, Lowasa alijua,na yeye alijua!. Tenda ya barabara zote za lami chini ya tanroad ilikua ya nani vile!

  • @majaliwacosmas3322
    @majaliwacosmas3322 Před 2 měsíci

    Aliemuua ni nani?

  • @wizwaynetz
    @wizwaynetz Před měsícem

    Kikwete nimzee mpole sana anachuki na mtu Acheni uchochezi

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv Před 2 měsíci

    Hana Lolote labda Unafiki atamfikia Wapi Nabii Suleiman Mtume wa Allah Wakati ni Madhambi matupu Kwa Dhuluma Wizi na uuwaji huwezi kumfananisha Nabii waliyesafika na Madhambi ukamfafananisha Na Mtu mwenye dhambi kibao

  • @laiserkuyan6075
    @laiserkuyan6075 Před 2 měsíci

    Watanzania tumekuzoma kama kuna watu walio uzika na kifo sha mpendwa watu mkoponzi wa Taifa letu jpm ni wewe kikwete na samia Ata kwa mziba mwrnye kulia sana Nakutangaza history ya marehemu ni muaji

  • @alphanlukombe3774
    @alphanlukombe3774 Před 2 měsíci +2

    Lowassa alikuwa na kila sababu ya kuchukua uraisi sema fitina ndy zilimuangusha rest in paradise Lowassa

  • @bakarimahmoud8120
    @bakarimahmoud8120 Před 2 měsíci +1

    Fuatilieni hotuba ya JK Diamond jubilee.

  • @khalfanjembe2668
    @khalfanjembe2668 Před 2 měsíci +1

    K laanatullah

  • @marthadominick2212
    @marthadominick2212 Před 2 měsíci

    Mungu ndio anajua sio binadamu

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani Před 2 měsíci

    Kikwete japo na swaga zake zoote hakuwahi mchukia magufuli.
    Na magufuli pamoja na ukali wake woote hakuwahi mwingilia jk.
    Mambo ya jk yalienda smooth hata wakati wa magufuli isipokuwa wapambe wa jk ndio walikuwa wanamchongea magifili kwa jk.

    • @breymbasa3451
      @breymbasa3451 Před 2 měsíci

      Hujui kitu au ilikupita ile ya makontena ya mkewe Kikwete kuzuiliwa bandarini nakutakiwa walipe kodi ile hali walikuwa wamezoea kupitisha Tu mizigo kinyemela,iliperekea kupishana pakubwa mno biashara zake zilitakiwa zilipiwe kodi kama unavyotakiwa kulipia wewe

    • @mawazoaliselemani
      @mawazoaliselemani Před 2 měsíci

      @@breymbasa3451 .ushasema mkewe tumia Akili Kila kitu anachofanya mkeo inamaanisha umemtuma?

    • @MrA24G
      @MrA24G Před 2 měsíci

      Mawazo umeona hawakuwa na ugomvi kbsaa nashangaa watu ndio wanasema mambo ambayo hawana ushahidi nayo.Jpm alisafiri na jk kwenda south Mara kwa Mara wakitembeleana watanzania tuache upuuzi.Jk angeweza kumzuia jpm asiwe raisi tangu huko kumbuka huyooo ni raisi Ana nguvu zote.Watanzania tuwache ujinga

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před 2 měsíci +1

    Tuhuma za kutomtaka jpm zitamuandama tu Sawa Sawa na kiwango cha dhambi hiyo inauzito gani

    • @kilimanjaro695
      @kilimanjaro695 Před 2 měsíci

      Acheni majungu. JK asingemtaka JPM jina lisingekuwepo, kama aliweza kumpiga chini Lowassa, angeshindwa nini kwa JPM? Tumieni akili tusitumie chuki kwenye kutafakali jambo

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 Před 2 měsíci

      Nyie ndio wenye chuki na mze jk

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Před 2 měsíci

      @@martinisadru9899 kwa yy anatupenda

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Před 2 měsíci

      @@kilimanjaro695 kwanza atuambie domo la jz Nila Nani liliibuka kwa kasi 2014 karibu kabisa na utawala wa jpm? Watajua wenyewe upendo wa mtu kwa mwingine unaonekana kwa macho na mwendo na ROHO viambatane mtu kashakufa sasa useme nampenda kwani atakusikia? Mungu ni wa milele shetani atatusitiri kwa Muda membe jpm luwassa wameshapita ww na mm je unaendeleaje kujistiri kwenye ujanja wa Dunia?

    • @kilimanjaro695
      @kilimanjaro695 Před 2 měsíci

      Common sense is not common sense anymore

  • @AwadhiKanyawana-ve2cp
    @AwadhiKanyawana-ve2cp Před měsícem +1

    JK ndio Raisi mwenye kifua zege zaid mno kuwah kutokea Tz sijawah kuwa na hofu na maamuz yke

  • @user-xd2tg8eq1h
    @user-xd2tg8eq1h Před 2 měsíci

    Lowosa

  • @evaristernest4969
    @evaristernest4969 Před měsícem

    Ni sahihi sana maelezo ya Mh Kikwete,mengine ni mitazamo tu ya watu.

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy95 Před 2 měsíci +2

    Ikawa kichaa kakabidhiwa rungu, kwa miaka 5 chamoto tulikiona

    • @user-hd5bg8qw1b
      @user-hd5bg8qw1b Před 2 měsíci

      YULE NDIE ALIKUWA RAIC NA KAZI NZURI TULIIONA NDANI YA MIAKA 5 MARAIC 4 HAKUNA ALIEFANYA KAMA YEYE C BINADAMU HATUNA SHUKRANI.MUNGU AMLIPE KWA KUTUTOA TONGO...TONGO KUMBE TULIKUWA TUNAWEZA

    • @Athuman-is2vu
      @Athuman-is2vu Před měsícem

      kama ulikuwa fisadi mtu wa zurma lazima chamoto ukione

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 Před měsícem

      @@Athuman-is2vu kwani Wapinzani akina Tundu Lissu, Mbowe, heche na wengine,walifanya ufisadi gani

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 Před měsícem

      @@user-hd5bg8qw1b kwani wapinzani waliokuwa wananyanyaswa walikosa nini

  • @user-pj7ng8il4t
    @user-pj7ng8il4t Před 2 měsíci +2

    Lowasa alikuwa bepari Kila ukipita unaambiwa hii Mali ni ya lowasa, tulisikia Vodacom lowasa yupo, kambi ya zamani ya jeshi sakina Arusha tulisikia Sana lile eneo ni la lowasa. Kila mahali ni lowasa kule Richmond yeye, Sasa kwa hayo hafai kuwa raisi. JPM alikuwa chaguo la Mungu. Aliwasema hadharani hata CCM yake, alikuwa mwamba kweli kweli

    • @samateryusuf4345
      @samateryusuf4345 Před 2 měsíci

      Chaguo la Mungu limepigika hadi raha asante Mungu

    • @user-pj7ng8il4t
      @user-pj7ng8il4t Před 2 měsíci +1

      Sit down and think twice before you suggest anything. Don't be like others whose narrow minded

  • @OmarMgeni-vt5tg
    @OmarMgeni-vt5tg Před 2 měsíci

    KIKWETE NDIO MSEMA KWELI

  • @DrFatmaKhanPanAfrikan
    @DrFatmaKhanPanAfrikan Před měsícem

    😢RIP JPM❤❤❤❤❤