@@Munyama675 mpira ni biashara kama timu inamwaga pesa zaidi ya yanga anaenda siyo kwao pale mayele alisema yy anaangalia pesa anatafuta pesa kama cristiano Ronaldo
@@Veni584kama Ahly timu ya 1 Africa ilicheza shirikisho mwaka 2014 kuna kitu gan cha ajabu zaid Simba ambaye ni ya 5 Africa kucheza shirikisho wachezaji wanaangalia timu gani ina muendelezo na sio timu ndo inajifunza kwenye club bingwa mara ya 2 na hamna uhakika mtaingia group stage
2:22 Hakuna ki2 kama icho et dollar laki 5,hv unajua ni shingap iyo,alaf kwa mkataba wa mwaka mmoja,Makolo tokeni Usingizini 😂😂😂 Billion na ushehe uko kwa mkataba wa mwaka mmoja 🤣
Huyu kama msenge kwenye media analeta story za kama amekula mirungi au mlevi .hawa ndio waharibifu wa kazi za watu .yani kafanya hapa kwa media kama mgahawa wa kahawa ndio maana kaachwa na mke wake sababu ni muongo
Jamaa muongo maendeleo ya ki afya ya akili mwanzo ni mtu awe haongei uongo bongo linakua safi .alafu ukizingatia yuko kwenye media kaa sio mlevi ni nani huyo chizi basi au ndio media ya mdogo wake anakaa akidanganya watu .huo wakati wa kutunga naongezi sisi yanga tumeshawacha muda mwingi ata maongezi ya kurogana kitambo tumesahau kuyatamka sisi wana yanga sababu .uchawi wa mpira ni zoezi na pesa management nzuri yenye uwelidi na kuwatizama wachezaji kwa furaha .nyie simba omba omba wa babujiiiii muhindi anawahujumu simba wote wanafiki sasahv yenyewe inashangilia usajili.kweli wachezaji wao ukiwatizama sio uhakika upo .nimependa napenda mpizani awe na timu pia lakini kimaendeleo simba ni ndondo club huo ndio ukweli
@@user-ce1ps5hy4f muongo sana nashangaa lenyewe linapayukwa na kigugumizi chake waka cha uongo kwanza hana sifa za kuwa mtangazaji sababu anakigugumizi kisha anabadilishwa maneno anayosema .ebwanae hapa naona kama mwenyewe napoteza mmda .jamaa zombi hajui anachosema hajui alipo hajui kama anapeleka ripoti kwa umma yani chizi tu zombi
Yani kweli kuna mashabiki wanae mshabikia huyu .mimi ndio mara yangu ya kwanza kumsikiza nasitatokea tena kusikiza uongo kama huu kama anaongea na watoto wadogo
@@IbniAbbas-yz3kt mimi ni yanga damu damu na mpira naujua ni biashara Aziz akienda bado nina furaha kuwa timu yangu Young African iko na muongozo wa kisasa na tunavuna mipesa na itatufanya tuzidi kuwa strong.nyie Simba sasa Mo muhindi kawaida yake pre -season mwenye timu yake anasafiri na jitimu lake anafanya market ata pesa anayowapa nyie omba omba baada ya preseason marketing aliyofanya yeye kwa biashara yake na kutumia nembo ya Simba ni yake anakua amerudisha trillion cz Mo ni bilionia .marketing yake ni ndefu sijui umenifahamu .anawahujumu hawajengei ata Simba complex nyumba za wachezaji yani muna jina kubwa tu lakini hamuna kitu munamuomba muhindi yani munatawaliwa .nyerere alishatugomboa amkeni
Za ndaaaaani😂😂😂
Momo bwana, eti Mo Sarah. Momo sema Mo dewj siyo Mo Sarah
Kama NIKWELI, MOO SHKAMOO KAKA WATAIFA😂😂❤❤❤❤❤😅😊
Halafu mnataka kusema tx dullah ndio mwenye comedian talent pekee msiache jina la Momo tafadhali 😂
Wa mwisho naomba like zangu ila naushauri acheni kupenda wachezaji pendeni timu zenu😂😂😂😂😂❤
Huyu jamaa yupo vzuri saaana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyu kaka hahaha anajua kunivunja mbavu
Eng. Hersi shikamoo.. Unajua kuyumbusha watu ad momo anadanganya umma
Zaa ndani nakutukana kwa furaha kudadadekiii zako
Aziz Ki huyooooo
Aaah ila leo mzee wa za ndani umetupa laha sana wa lunyasi
Hakuna timu ya kufanya usajili wa Bilion 3 kwa mwaka mmoja kwenye ligi ya Tanzania.
kaa hvo hvoo sas
Dora laki tano sawa na 1.3b
Momo kwa mikwala cheki alivyomuigiza tajiri alivyoshika sigara 😂😂😂
Mnahangaika tu Aziz alishasaini yanga kitambo, sema engineer mjanja ameaachia tu media zihangaike kwa muda huu
Acha uongo
Momo acha uongo unaapia mpka jina la mola wako ufai bara wala pwani
Yess
Shajua kama injinia aje simba hata leta mgogoro mkubwa bora auzwe huko kaizer sio makolo nae shuka thamani timu ashirk klabu bingwa
wew amka aziz ki yuko huru sasa mtamuuzaje chura wew😂😂
Lilisikika pumbavu likiongea 😢😢😢😢
Wivu tu
Ujui kuandika nenda shule choko wewe
Yanga hana mamlaka ya kumuuza Aziz k.Aziz ki yuko hurt hana mkataba na timu yoyote.
Azizi Ally labda hhahaaaaaaa Azizi ki Jangwani yupo sana sajilini kina Debora tuleteeni na Mwajuma 😂😂
Vp kuhus joyce
Huyo ni aziz funguo utoo wanamganda na awana pesa ya wanataka aishi kama family ndo maana mayele alisepa alikataa mfumo wa ww family
Poleni sana
Yaan Aziz aache Yanga aende SIMBA?
@@Munyama675 mpira ni biashara kama timu inamwaga pesa zaidi ya yanga anaenda siyo kwao pale mayele alisema yy anaangalia pesa anatafuta pesa kama cristiano Ronaldo
@@reonardchatanda6371POLE MATAKO AU 😂😂😂😂😂😂 UTOPOLO MACHOGO FC WEWE 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
@@Munyama675UTOPOLO MACHOGO FC NJAA NYIE
Azizi k to simba like za kutosha apa
Akacheze shirikisho
@@Veni584mjomba watu wanaangalia pesa hilo shirikisho halimpunguzii wala halimungezei kitu
@@Veni584kama Ahly timu ya 1 Africa ilicheza shirikisho mwaka 2014 kuna kitu gan cha ajabu zaid Simba ambaye ni ya 5 Africa kucheza shirikisho wachezaji wanaangalia timu gani ina muendelezo na sio timu ndo inajifunza kwenye club bingwa mara ya 2 na hamna uhakika mtaingia group stage
JE YA KWELI HAYO ?
@@Veni584Kwani wakati anakuja nyuma mwiko mlikuwa mnashiriki mashindano gani?
Huyu jamaa anatabia za kikekike sana, anavyodanganya mpaka sura inaonesha ukike ndani yake
Dah siamin
We msenge leo umejua kunichekesha😂
Sospiter Bajuna huyo😅😅😅😅
Safi sana wajina
Umeeeapa kwa Dini nakuamini
Nakukbal sana likado momo
Naombeni likes jaman😅
Omba nduguzako mshamba wewe
🤣🤣🤣🤣@@samirshabani-yu4xu
Hahahahaha 😅😅😅😅 we jamaa unajuaa kuigizia umbea akii 😂😂😂 nmecheka
Wewee ucitutie tamaaa
Leo momo kanichekesha sana
Ina maan wasafi muko vizr kwel munauliza ripoti imendikwa na nani timu haikua na kocha
😂😂😂😂ameshindwa kumbakisha chama kwa mshahara wa ml 40 utaweza kwa ki kakojoe ukalale nawewe saizi hauna za ndani wala nini
Million 40 kwa umri ule kaka miaka 33 ni uongo kaka hata ww usingetoa
@@user-mo6be6gz3t Chama hajaisha mpira wangembakisha tu kwa mwaka mmoja, sasa tusubiri tumuangalie akiwa yanga tujiridhishe
Timu gan ya kutoa 3b hapa bongo😂😂😂
MNYAMA MKALI
Anatumika kukikisha propaganda ya Yanga na Ki sema hii ya tajiri lilivyovuta sigar kuwasha na kuvuta ni kali😂😂😂😂
Mlikuwa wapi kabla eris hajàsema azizi hajasain we muongo bhana
Momo hivyo viwili unavyonyosha juu unatupa mashaka ya ww kuwa mmasonia
HACHOMOI HUYO
Daaaah aziz ki tumemkosa
Kuwa na amani
Siku zote mkuki ni mtamu kwa ………… na kwa ni……..
Poleni
Sikujuaga kama unaongeaga uongo leo ndio nimeamini wewe sio mkweli
Wapike keki wao si wanapika keki!!!
Hapa hakuna taarifa ya ukweli kuweni watulivu
2:22 Hakuna ki2 kama icho et dollar laki 5,hv unajua ni shingap iyo,alaf kwa mkataba wa mwaka mmoja,Makolo tokeni Usingizini 😂😂😂 Billion na ushehe uko kwa mkataba wa mwaka mmoja 🤣
Pesa kama huna ni wewe,Acha umaskin jeur
Kwako ni nyingi ila Kuna watu ela ya chaii ela ndogo sana kwao ww mtu anamiliki kampuni kubwaa unajua mtaji wake
@@athumanimtajih Kwamb ww unazo 😏
Sisi maskini tukiskia one billion tunapata mchecheto wakati kwa wengine ni kama million Moja ambayo Leo wewe hata kiwanja haitoshi DSM
We huna ndomn unaon nyingi
Kama unatamani kumuona Aziz Ki SIMBA like hapa 👍
Amchukue lakini mfumo ndo shida kolo. Muulize Mayele mfumo umemkataa asingizia majini.
Mfumo wakufnya nn
Mfumo wa kukutombaaa au
@@SurprisedFullMoon-gg9vu😂😂😂umelijibu vzur hilo punga
@@personpeter2221 haya ma utokwinyoo masengee kwel
Mayele umemkataa mfumo wakt anaongoza kwa magoli ligi ya Misri na ana assist 5 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂be
Msenge akikutana na shoga bora nani jamani hapo ndio radio hao wachambuzi mmoja msenge na mwingine ni shoga
Tatizo la ushabiki wa kipuuzi unatukana kisa nini
Huyu kama msenge kwenye media analeta story za kama amekula mirungi au mlevi .hawa ndio waharibifu wa kazi za watu .yani kafanya hapa kwa media kama mgahawa wa kahawa ndio maana kaachwa na mke wake sababu ni muongo
Usitutus wala kirungi au pombe chagua starehe yako na wew😂😂😂😂😂
Mwanzo mlifurahi mwisho wa stori mkanuna mtasubiri sana kudadeki😂😂
Jamaa muongo maendeleo ya ki afya ya akili mwanzo ni mtu awe haongei uongo bongo linakua safi .alafu ukizingatia yuko kwenye media kaa sio mlevi ni nani huyo chizi basi au ndio media ya mdogo wake anakaa akidanganya watu .huo wakati wa kutunga naongezi sisi yanga tumeshawacha muda mwingi ata maongezi ya kurogana kitambo tumesahau kuyatamka sisi wana yanga sababu .uchawi wa mpira ni zoezi na pesa management nzuri yenye uwelidi na kuwatizama wachezaji kwa furaha .nyie simba omba omba wa babujiiiii muhindi anawahujumu simba wote wanafiki sasahv yenyewe inashangilia usajili.kweli wachezaji wao ukiwatizama sio uhakika upo .nimependa napenda mpizani awe na timu pia lakini kimaendeleo simba ni ndondo club huo ndio ukweli
Fiston Kalala Mayele 🛫
From #EconomicallyGrowthMusicians 😂😂😂😂😂
Jamaa mpaka kaapa, kweli Dunia ina mambo
6:21 siku zote mkuki ni mtamu kwa ……. Na kwa ….
Chama uyo jamani sio azizi k
Mnapaish JMN
Msijixime data alisema hataondoka kwa ajili ya pesa mpaka atakapomalizana na boss wake anaemheshimu sana waambie wakalilie chooni
Mbona povu
Heshima haipo palipo na pes😅
Kwan Mayele alisemaje na tangazo la jezi mpya alivaa kaka wachezaji wanaangalia wap watapata pesa mzee
Kwan Mayele ilikuwaje na hadi jezi mpya za msimi alivaa na mkasema Mayele haondoki😂
Huyu ndo alitwambia fei karudi yanga kapewa mshahara wa m 12 baada ya siku fei huyo azam hili waga niliongo 😂
Huyo anatoa tetesi, ww znaweza kuw kwel au sio kweli, ndo mana kaxem za ndan inasemekana
@@user-ce1ps5hy4f muongo sana nashangaa lenyewe linapayukwa na kigugumizi chake waka cha uongo kwanza hana sifa za kuwa mtangazaji sababu anakigugumizi kisha anabadilishwa maneno anayosema .ebwanae hapa naona kama mwenyewe napoteza mmda .jamaa zombi hajui anachosema hajui alipo hajui kama anapeleka ripoti kwa umma yani chizi tu zombi
@@LucasMagukuru-hc9kr ulikua hufatilii basi Huyu ndo alianza wa kwanza kabsa kusema fei anaondoka yanga
Momo jau sana daah🤣🤣
sasaivi momo umekuwa muongo sikuwamini tena mpaka unaapa Kwa mungu
😂😂😂😂😂😂dah tajiri katisha…momo hadi umesimuliwa tajir kavuta ciger😂😂
Mnazinguwaa huuu mwezii sasa sisikii redio yenu morogoro raha kama hii naipatia wap acheni usengee
RICARDO MOMO🐸🐸🐸 watazimia😅😅😅#SIMBA nguvu moja
Yani kweli kuna mashabiki wanae mshabikia huyu .mimi ndio mara yangu ya kwanza kumsikiza nasitatokea tena kusikiza uongo kama huu kama anaongea na watoto wadogo
😂ni kweli sio uongo sema kwakuwa wee unaonekana jeuri kataa hivyo hivyo!na sio moo aliye fanya hivyo kuna jamaa anaitwa saraha lafiki yake mwana FA
@@IbniAbbas-yz3kt mimi ni yanga damu damu na mpira naujua ni biashara Aziz akienda bado nina furaha kuwa timu yangu Young African iko na muongozo wa kisasa na tunavuna mipesa na itatufanya tuzidi kuwa strong.nyie Simba sasa Mo muhindi kawaida yake pre -season mwenye timu yake anasafiri na jitimu lake anafanya market ata pesa anayowapa nyie omba omba baada ya preseason marketing aliyofanya yeye kwa biashara yake na kutumia nembo ya Simba ni yake anakua amerudisha trillion cz Mo ni bilionia .marketing yake ni ndefu sijui umenifahamu .anawahujumu hawajengei ata Simba complex nyumba za wachezaji yani muna jina kubwa tu lakini hamuna kitu munamuomba muhindi yani munatawaliwa .nyerere alishatugomboa amkeni
😂😂😂wakati leo wadanganye ao makolo wenzio
Tulia shindano iingieee
Za ndani zako hazijawahi kuwa za kweli shibe ndo inakufanya uongee utumbo
Huyu jamaa ni mwongomwongo sana
Kuanzia leo sintakusikilizaaa tenaaa ,Mzushiiiiii mkubwaaaaaaaaa
MO KWA AZIZI KI DUUUH AISEEE HATARI SN NDUGU YANGU
Daaaaahh brother 😂😂😂😂😂
Huyo ni Jonas mkude
Uyu jamaa ni mchambuzi au nani ata simwelewi anaongea km yuko genge la wahuni
Chidox company limited karibuni
Huo usijari wa kagoma wala msihangaike sio Aziz k😂😂😂😂
Inatumika siku hizi... injinia kashafanya yake kwako!
We muongo Sana Aya mbona atumuoni kwenye timu ya Simba
Aziz K huyo
Kumbe kashaanguka wino 😂😂😂😂 mimi msenge sana
😂😂😂😂Hivi huyu anapataga wapi habar
feisal
aka kajamaa kaongo sana.😂😅😂😂😅
Uyu momo eti wakola waitu mmmh Acha tuone.
Mo wakomeshe hao wasenge mamae
Ma Debora mbona matusi ya nn mama tuliza Nyoro hiyo
Mbona mafumbo mengi
Huyu naye sometimes kama anakula ngada vile
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂 Momo we muongo akavuta sigara
Umenichekesha sana
Kula chuma ikoooo yule avc Town
Mo tutoe unyonge mchukue Aziz ki ili wajue sisi ndo wakongwe wa bor hapa tanzania
Et Mo Salah😂😂😂😂😂😂😂
MAALIM ZINGIZIIIII
Momo ni mbwa 😂😂😂😂
Huyo Ni guede Joseph
Sas jaman wenzen wanaongerea mpira ww unaweka matus
Azizi ki😢😢😢😢😢😢
Uyu nimuongo
Mafumbo sana 😅
Nimecheka sana😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Unajua comedy bro
😂😂😂 Nmechekeaaaa
Jaman mnajua anaezungumziwa kiiiiiiiiiiii az
😂😂momo bhana
Punguzeni huo muzic tafadhali.
Aziz hawez cheza ndondo bana
Hao wanakuja kutafuta hela sio nyie mnaona timu kama dini uyo popote kwenye maslahi anaenda