#ZaNdaaani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Sport

Komentáře • 235

  • @user-wh2mm1eq2x
    @user-wh2mm1eq2x Před 16 dny +23

    Za ndaaaaani😂😂😂
    Momo bwana, eti Mo Sarah. Momo sema Mo dewj siyo Mo Sarah

  • @saadomar2480
    @saadomar2480 Před 16 dny +10

    Kama NIKWELI, MOO SHKAMOO KAKA WATAIFA😂😂❤❤❤❤❤😅😊

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 Před 16 dny +8

    Halafu mnataka kusema tx dullah ndio mwenye comedian talent pekee msiache jina la Momo tafadhali 😂

  • @daruweshshifaaonlinetv6958

    Wa mwisho naomba like zangu ila naushauri acheni kupenda wachezaji pendeni timu zenu😂😂😂😂😂❤

  • @basiaarsh3835
    @basiaarsh3835 Před 16 dny +11

    Huyu jamaa yupo vzuri saaana

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 Před 16 dny +9

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyu kaka hahaha anajua kunivunja mbavu

  • @mcray0609
    @mcray0609 Před 15 dny +2

    Eng. Hersi shikamoo.. Unajua kuyumbusha watu ad momo anadanganya umma

  • @user-sy3mj5gh5g
    @user-sy3mj5gh5g Před 16 dny +6

    Zaa ndani nakutukana kwa furaha kudadadekiii zako

  • @amosmemba9926
    @amosmemba9926 Před 16 dny +21

    Aziz Ki huyooooo

  • @StephanoFrance
    @StephanoFrance Před 16 dny +6

    Aaah ila leo mzee wa za ndani umetupa laha sana wa lunyasi

  • @victorvenance1009
    @victorvenance1009 Před 16 dny +5

    Hakuna timu ya kufanya usajili wa Bilion 3 kwa mwaka mmoja kwenye ligi ya Tanzania.

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Před 16 dny +3

    Momo kwa mikwala cheki alivyomuigiza tajiri alivyoshika sigara 😂😂😂

  • @jamesngindo4583
    @jamesngindo4583 Před 15 dny +1

    Mnahangaika tu Aziz alishasaini yanga kitambo, sema engineer mjanja ameaachia tu media zihangaike kwa muda huu

  • @daruweshshifaaonlinetv6958

    Momo acha uongo unaapia mpka jina la mola wako ufai bara wala pwani

  • @IdrisuMabuda
    @IdrisuMabuda Před 16 dny +1

    Yess

  • @user-iv1it9yy3c
    @user-iv1it9yy3c Před 16 dny +20

    Shajua kama injinia aje simba hata leta mgogoro mkubwa bora auzwe huko kaizer sio makolo nae shuka thamani timu ashirk klabu bingwa

  • @azizymachadeson3577
    @azizymachadeson3577 Před 15 dny +1

    Azizi Ally labda hhahaaaaaaa Azizi ki Jangwani yupo sana sajilini kina Debora tuleteeni na Mwajuma 😂😂

  • @allytv1714
    @allytv1714 Před 16 dny +6

    Huyo ni aziz funguo utoo wanamganda na awana pesa ya wanataka aishi kama family ndo maana mayele alisepa alikataa mfumo wa ww family

    • @reonardchatanda6371
      @reonardchatanda6371 Před 16 dny

      Poleni sana

    • @Munyama675
      @Munyama675 Před 15 dny

      Yaan Aziz aache Yanga aende SIMBA?

    • @allytv1714
      @allytv1714 Před 15 dny

      @@Munyama675 mpira ni biashara kama timu inamwaga pesa zaidi ya yanga anaenda siyo kwao pale mayele alisema yy anaangalia pesa anatafuta pesa kama cristiano Ronaldo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 15 dny

      ​@@reonardchatanda6371POLE MATAKO AU 😂😂😂😂😂😂 UTOPOLO MACHOGO FC WEWE 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 15 dny

      ​@@Munyama675UTOPOLO MACHOGO FC NJAA NYIE

  • @georgesheto4542
    @georgesheto4542 Před 16 dny +41

    Azizi k to simba like za kutosha apa

    • @Veni584
      @Veni584 Před 16 dny +4

      Akacheze shirikisho

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt Před 16 dny

      ​@@Veni584mjomba watu wanaangalia pesa hilo shirikisho halimpunguzii wala halimungezei kitu

    • @bone102
      @bone102 Před 16 dny

      ​​@@Veni584kama Ahly timu ya 1 Africa ilicheza shirikisho mwaka 2014 kuna kitu gan cha ajabu zaid Simba ambaye ni ya 5 Africa kucheza shirikisho wachezaji wanaangalia timu gani ina muendelezo na sio timu ndo inajifunza kwenye club bingwa mara ya 2 na hamna uhakika mtaingia group stage

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA Před 16 dny

      JE YA KWELI HAYO ?

    • @alfonceanton2273
      @alfonceanton2273 Před 16 dny +1

      ​@@Veni584Kwani wakati anakuja nyuma mwiko mlikuwa mnashiriki mashindano gani?

  • @evdsam7286
    @evdsam7286 Před 15 dny +1

    Huyu jamaa anatabia za kikekike sana, anavyodanganya mpaka sura inaonesha ukike ndani yake

  • @hamidabdallah5841
    @hamidabdallah5841 Před 16 dny +3

    Dah siamin

  • @phidolineprivatus9078
    @phidolineprivatus9078 Před 16 dny +3

    We msenge leo umejua kunichekesha😂

  • @harounzuberi8179
    @harounzuberi8179 Před 16 dny +2

    Sospiter Bajuna huyo😅😅😅😅

  • @francismomo7067
    @francismomo7067 Před 16 dny +2

    Safi sana wajina

  • @user-sy3mj5gh5g
    @user-sy3mj5gh5g Před 16 dny +4

    Umeeeapa kwa Dini nakuamini

  • @shaiburajabumrope8113
    @shaiburajabumrope8113 Před 16 dny +3

    Nakukbal sana likado momo

  • @hendrixmarvel7387
    @hendrixmarvel7387 Před 16 dny +15

    Naombeni likes jaman😅

  • @LowasaSanare
    @LowasaSanare Před 16 dny +1

    Hahahahaha 😅😅😅😅 we jamaa unajuaa kuigizia umbea akii 😂😂😂 nmecheka

  • @user-sy3mj5gh5g
    @user-sy3mj5gh5g Před 16 dny +4

    Wewee ucitutie tamaaa

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 Před 16 dny +2

    Leo momo kanichekesha sana

  • @user-bj8hk9td9f
    @user-bj8hk9td9f Před 16 dny +1

    Ina maan wasafi muko vizr kwel munauliza ripoti imendikwa na nani timu haikua na kocha

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford3572 Před 16 dny +2

    😂😂😂😂ameshindwa kumbakisha chama kwa mshahara wa ml 40 utaweza kwa ki kakojoe ukalale nawewe saizi hauna za ndani wala nini

    • @user-mo6be6gz3t
      @user-mo6be6gz3t Před 15 dny +1

      Million 40 kwa umri ule kaka miaka 33 ni uongo kaka hata ww usingetoa

    • @jamesngindo4583
      @jamesngindo4583 Před 15 dny

      @@user-mo6be6gz3t Chama hajaisha mpira wangembakisha tu kwa mwaka mmoja, sasa tusubiri tumuangalie akiwa yanga tujiridhishe

  • @josafko2259
    @josafko2259 Před 15 dny +1

    Timu gan ya kutoa 3b hapa bongo😂😂😂

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před 16 dny +3

    MNYAMA MKALI

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 Před 16 dny +1

    Anatumika kukikisha propaganda ya Yanga na Ki sema hii ya tajiri lilivyovuta sigar kuwasha na kuvuta ni kali😂😂😂😂

  • @user-ww4so9ks9c
    @user-ww4so9ks9c Před 16 dny +1

    Mlikuwa wapi kabla eris hajàsema azizi hajasain we muongo bhana

  • @user-yk9ll1cd9b
    @user-yk9ll1cd9b Před 16 dny +1

    Momo hivyo viwili unavyonyosha juu unatupa mashaka ya ww kuwa mmasonia

  • @RESPECTFOOTBALL2024
    @RESPECTFOOTBALL2024 Před 16 dny +3

    HACHOMOI HUYO

  • @chrissantkaunda9958
    @chrissantkaunda9958 Před 16 dny +2

    Daaaah aziz ki tumemkosa

  • @georgekyando885
    @georgekyando885 Před 16 dny +2

    Siku zote mkuki ni mtamu kwa ………… na kwa ni……..

  • @user-lj7pu9js1d
    @user-lj7pu9js1d Před 16 dny +1

    Sikujuaga kama unaongeaga uongo leo ndio nimeamini wewe sio mkweli

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před 16 dny +1

    Wapike keki wao si wanapika keki!!!

  • @sundaymsomi6284
    @sundaymsomi6284 Před 16 dny +1

    Hapa hakuna taarifa ya ukweli kuweni watulivu

  • @SobiTz
    @SobiTz Před 16 dny +4

    2:22 Hakuna ki2 kama icho et dollar laki 5,hv unajua ni shingap iyo,alaf kwa mkataba wa mwaka mmoja,Makolo tokeni Usingizini 😂😂😂 Billion na ushehe uko kwa mkataba wa mwaka mmoja 🤣

    • @athumanimtajih
      @athumanimtajih Před 16 dny +1

      Pesa kama huna ni wewe,Acha umaskin jeur

    • @allytv1714
      @allytv1714 Před 16 dny +1

      Kwako ni nyingi ila Kuna watu ela ya chaii ela ndogo sana kwao ww mtu anamiliki kampuni kubwaa unajua mtaji wake

    • @SobiTz
      @SobiTz Před 16 dny +1

      @@athumanimtajih Kwamb ww unazo 😏

    • @FrankChalula-hz6dn
      @FrankChalula-hz6dn Před 16 dny

      Sisi maskini tukiskia one billion tunapata mchecheto wakati kwa wengine ni kama million Moja ambayo Leo wewe hata kiwanja haitoshi DSM

    • @user-jh9yv1zp1l
      @user-jh9yv1zp1l Před 16 dny

      We huna ndomn unaon nyingi

  • @biggy_aziz255
    @biggy_aziz255 Před 16 dny +8

    Kama unatamani kumuona Aziz Ki SIMBA like hapa 👍

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg

    Amchukue lakini mfumo ndo shida kolo. Muulize Mayele mfumo umemkataa asingizia majini.

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy Před 16 dny +1

    Msenge akikutana na shoga bora nani jamani hapo ndio radio hao wachambuzi mmoja msenge na mwingine ni shoga

    • @rogersdavis3058
      @rogersdavis3058 Před 15 dny

      Tatizo la ushabiki wa kipuuzi unatukana kisa nini

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 Před 16 dny +2

    Huyu kama msenge kwenye media analeta story za kama amekula mirungi au mlevi .hawa ndio waharibifu wa kazi za watu .yani kafanya hapa kwa media kama mgahawa wa kahawa ndio maana kaachwa na mke wake sababu ni muongo

    • @luqmanomary3558
      @luqmanomary3558 Před 16 dny

      Usitutus wala kirungi au pombe chagua starehe yako na wew😂😂😂😂😂

    • @charlestobby6031
      @charlestobby6031 Před 16 dny

      Mwanzo mlifurahi mwisho wa stori mkanuna mtasubiri sana kudadeki😂😂

    • @BADAWY575
      @BADAWY575 Před 16 dny

      Jamaa muongo maendeleo ya ki afya ya akili mwanzo ni mtu awe haongei uongo bongo linakua safi .alafu ukizingatia yuko kwenye media kaa sio mlevi ni nani huyo chizi basi au ndio media ya mdogo wake anakaa akidanganya watu .huo wakati wa kutunga naongezi sisi yanga tumeshawacha muda mwingi ata maongezi ya kurogana kitambo tumesahau kuyatamka sisi wana yanga sababu .uchawi wa mpira ni zoezi na pesa management nzuri yenye uwelidi na kuwatizama wachezaji kwa furaha .nyie simba omba omba wa babujiiiii muhindi anawahujumu simba wote wanafiki sasahv yenyewe inashangilia usajili.kweli wachezaji wao ukiwatizama sio uhakika upo .nimependa napenda mpizani awe na timu pia lakini kimaendeleo simba ni ndondo club huo ndio ukweli

  • @richymello14
    @richymello14 Před 16 dny +1

    Fiston Kalala Mayele 🛫

  • @Economically-Growth-Musicians

    From #EconomicallyGrowthMusicians 😂😂😂😂😂

  • @mwitafabian9403
    @mwitafabian9403 Před 13 dny

    Jamaa mpaka kaapa, kweli Dunia ina mambo

  • @georgekyando885
    @georgekyando885 Před 16 dny +1

    6:21 siku zote mkuki ni mtamu kwa ……. Na kwa ….

  • @GETRUDEGODWIN
    @GETRUDEGODWIN Před 16 dny +1

    Chama uyo jamani sio azizi k

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel1861 Před 15 dny

    Mnapaish JMN

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 Před 16 dny +1

    Msijixime data alisema hataondoka kwa ajili ya pesa mpaka atakapomalizana na boss wake anaemheshimu sana waambie wakalilie chooni

    • @user-xm5xg1tt6d
      @user-xm5xg1tt6d Před 16 dny

      Mbona povu

    • @brownmoses9543
      @brownmoses9543 Před 16 dny

      Heshima haipo palipo na pes😅

    • @bone102
      @bone102 Před 16 dny

      Kwan Mayele alisemaje na tangazo la jezi mpya alivaa kaka wachezaji wanaangalia wap watapata pesa mzee

    • @bone102
      @bone102 Před 16 dny

      Kwan Mayele ilikuwaje na hadi jezi mpya za msimi alivaa na mkasema Mayele haondoki😂

  • @user-ce1ps5hy4f
    @user-ce1ps5hy4f Před 16 dny +2

    Huyu ndo alitwambia fei karudi yanga kapewa mshahara wa m 12 baada ya siku fei huyo azam hili waga niliongo 😂

    • @LucasMagukuru-hc9kr
      @LucasMagukuru-hc9kr Před 16 dny

      Huyo anatoa tetesi, ww znaweza kuw kwel au sio kweli, ndo mana kaxem za ndan inasemekana

    • @BADAWY575
      @BADAWY575 Před 16 dny

      @@user-ce1ps5hy4f muongo sana nashangaa lenyewe linapayukwa na kigugumizi chake waka cha uongo kwanza hana sifa za kuwa mtangazaji sababu anakigugumizi kisha anabadilishwa maneno anayosema .ebwanae hapa naona kama mwenyewe napoteza mmda .jamaa zombi hajui anachosema hajui alipo hajui kama anapeleka ripoti kwa umma yani chizi tu zombi

    • @nicholousmtemi3902
      @nicholousmtemi3902 Před 16 dny

      @@LucasMagukuru-hc9kr ulikua hufatilii basi Huyu ndo alianza wa kwanza kabsa kusema fei anaondoka yanga

  • @geralddeus1434
    @geralddeus1434 Před 16 dny +1

    Momo jau sana daah🤣🤣

  • @jumanneshego3308
    @jumanneshego3308 Před 14 dny

    sasaivi momo umekuwa muongo sikuwamini tena mpaka unaapa Kwa mungu

  • @robertkisasa1346
    @robertkisasa1346 Před 15 dny

    😂😂😂😂😂😂dah tajiri katisha…momo hadi umesimuliwa tajir kavuta ciger😂😂

  • @MalakEnock
    @MalakEnock Před 15 dny

    Mnazinguwaa huuu mwezii sasa sisikii redio yenu morogoro raha kama hii naipatia wap acheni usengee

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 Před 15 dny

    RICARDO MOMO🐸🐸🐸 watazimia😅😅😅#SIMBA nguvu moja

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 Před 16 dny +1

    Yani kweli kuna mashabiki wanae mshabikia huyu .mimi ndio mara yangu ya kwanza kumsikiza nasitatokea tena kusikiza uongo kama huu kama anaongea na watoto wadogo

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt Před 16 dny

      😂ni kweli sio uongo sema kwakuwa wee unaonekana jeuri kataa hivyo hivyo!na sio moo aliye fanya hivyo kuna jamaa anaitwa saraha lafiki yake mwana FA

    • @BADAWY575
      @BADAWY575 Před 16 dny

      @@IbniAbbas-yz3kt mimi ni yanga damu damu na mpira naujua ni biashara Aziz akienda bado nina furaha kuwa timu yangu Young African iko na muongozo wa kisasa na tunavuna mipesa na itatufanya tuzidi kuwa strong.nyie Simba sasa Mo muhindi kawaida yake pre -season mwenye timu yake anasafiri na jitimu lake anafanya market ata pesa anayowapa nyie omba omba baada ya preseason marketing aliyofanya yeye kwa biashara yake na kutumia nembo ya Simba ni yake anakua amerudisha trillion cz Mo ni bilionia .marketing yake ni ndefu sijui umenifahamu .anawahujumu hawajengei ata Simba complex nyumba za wachezaji yani muna jina kubwa tu lakini hamuna kitu munamuomba muhindi yani munatawaliwa .nyerere alishatugomboa amkeni

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford3572 Před 16 dny +1

    😂😂😂wakati leo wadanganye ao makolo wenzio

  • @answarihamza6814
    @answarihamza6814 Před 15 dny

    Za ndani zako hazijawahi kuwa za kweli shibe ndo inakufanya uongee utumbo

  • @NNONGWA
    @NNONGWA Před 16 dny

    Kuanzia leo sintakusikilizaaa tenaaa ,Mzushiiiiii mkubwaaaaaaaaa

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Před 15 dny

    MO KWA AZIZI KI DUUUH AISEEE HATARI SN NDUGU YANGU

  • @killerwizzyofficial2157

    Daaaaahh brother 😂😂😂😂😂

  • @ClassicUsed-jg6ri
    @ClassicUsed-jg6ri Před 16 dny +1

    Huyo ni Jonas mkude

  • @kahamashinyanga
    @kahamashinyanga Před 16 dny +1

    Uyu jamaa ni mchambuzi au nani ata simwelewi anaongea km yuko genge la wahuni

  • @chidoxtv.7394
    @chidoxtv.7394 Před 15 dny

    Chidox company limited karibuni

  • @stevenemwakasimba-pt8er

    Huo usijari wa kagoma wala msihangaike sio Aziz k😂😂😂😂

  • @why-ir8zl
    @why-ir8zl Před 15 dny

    Inatumika siku hizi... injinia kashafanya yake kwako!

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 Před 15 dny

    We muongo Sana Aya mbona atumuoni kwenye timu ya Simba

  • @user-xf3lv5xp1i
    @user-xf3lv5xp1i Před 16 dny +2

    Aziz K huyo

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 Před 16 dny +3

    Kumbe kashaanguka wino 😂😂😂😂 mimi msenge sana

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri Před 15 dny

    😂😂😂😂Hivi huyu anapataga wapi habar

  • @jameszephania3143
    @jameszephania3143 Před 15 dny

    feisal

  • @geraldchawala9506
    @geraldchawala9506 Před 14 dny

    aka kajamaa kaongo sana.😂😅😂😂😅

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania Před 16 dny +1

    Uyu momo eti wakola waitu mmmh Acha tuone.

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d Před 16 dny +1

    Mo wakomeshe hao wasenge mamae

  • @jafethleonard5821
    @jafethleonard5821 Před 16 dny +1

    Mbona mafumbo mengi

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g Před 16 dny +1

    Huyu naye sometimes kama anakula ngada vile

  • @user-ye3rb9jd6z
    @user-ye3rb9jd6z Před 15 dny

    😂😂😂😂😂😂😂 Momo we muongo akavuta sigara

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng Před 15 dny

    Umenichekesha sana

  • @chidyothman5285
    @chidyothman5285 Před 15 dny

    Kula chuma ikoooo yule avc Town

  • @AbdulysuleimanShemashilu
    @AbdulysuleimanShemashilu Před 16 dny +3

    Mo tutoe unyonge mchukue Aziz ki ili wajue sisi ndo wakongwe wa bor hapa tanzania

  • @stn4873
    @stn4873 Před 16 dny +1

    Et Mo Salah😂😂😂😂😂😂😂
    MAALIM ZINGIZIIIII

  • @johnsonwilliam6092
    @johnsonwilliam6092 Před 16 dny +1

    Momo ni mbwa 😂😂😂😂

  • @MagahGeoffrey-md5wb
    @MagahGeoffrey-md5wb Před 16 dny

    Huyo Ni guede Joseph

  • @nasrakambimton9522
    @nasrakambimton9522 Před 14 dny

    Sas jaman wenzen wanaongerea mpira ww unaweka matus

  • @festofeisag392
    @festofeisag392 Před 15 dny

    Azizi ki😢😢😢😢😢😢

  • @user-ws2ub7px4t
    @user-ws2ub7px4t Před 16 dny +1

    Uyu nimuongo

  • @IdrisuMabuda
    @IdrisuMabuda Před 16 dny +2

    Mafumbo sana 😅

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng Před 15 dny

    Nimecheka sana😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @mcray0609
    @mcray0609 Před 15 dny

    Unajua comedy bro

  • @mamrashdon3632
    @mamrashdon3632 Před 15 dny

    😂😂😂 Nmechekeaaaa

  • @LovelyForestHills-eh4zs

    Jaman mnajua anaezungumziwa kiiiiiiiiiiii az

  • @Adrext
    @Adrext Před 15 dny

    😂😂momo bhana

  • @davidkabungo1192
    @davidkabungo1192 Před 16 dny

    Punguzeni huo muzic tafadhali.

  • @IMANWILLIAM-bl2ui
    @IMANWILLIAM-bl2ui Před 16 dny +1

    Aziz hawez cheza ndondo bana

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před 16 dny

      Hao wanakuja kutafuta hela sio nyie mnaona timu kama dini uyo popote kwenye maslahi anaenda