#ZaNdaaani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 08. 2023
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Sport

Komentáře • 112

  • @KassimSharif-cc7of
    @KassimSharif-cc7of Před 11 měsíci +11

    Huyu naye kashakua hivi Innalillah Wainna Ilaihi Rajiun halaf ajifanya kutoa hadithi na aya

  • @nurdin.mndeme3447
    @nurdin.mndeme3447 Před 11 měsíci +2

    Mungu akuongoze ndugu yangu ..

  • @MohammadJumah-qk2xc
    @MohammadJumah-qk2xc Před 11 měsíci +16

    Usisuke nywele ndug kifua chako kina mambo meng ya kumjua mungu

    • @emmanuelmalima5939
      @emmanuelmalima5939 Před 11 měsíci

      Umeona ee 😂

    • @salimali1582
      @salimali1582 Před 11 měsíci

      Ten kun kauli alisema sik aliyomuwacha mke nikamkubal san ila now kazinguwa

    • @Zaburi-
      @Zaburi- Před 11 měsíci

      Mungu/MUNGU sio mungu

    • @MohammadJumah-qk2xc
      @MohammadJumah-qk2xc Před 11 měsíci

      @@Zaburi- haya subir mdomo haulipii chochot siku ikifika utakapotaka kunyanyua mdomo unywe maji unashindwa ndo utamjua mungu

    • @thabitisango6068
      @thabitisango6068 Před 11 měsíci

      Wallahi uko sahihi

  • @sirpaza8513
    @sirpaza8513 Před 11 měsíci +4

    Imesajili nyanda wa Brazili

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 Před 11 měsíci +1

    Khaaaaa Momo! Kulikoni tena.

  • @YusuphJilala-it9bo
    @YusuphJilala-it9bo Před 11 měsíci +1

    Wachambuzi wakibongo mafalani wazushi watupuuuuu😢😢😢

  • @YusuphJilala-it9bo
    @YusuphJilala-it9bo Před 11 měsíci

    Achama mboya kikeee!!!!

  • @user-jc3rc6os3i
    @user-jc3rc6os3i Před 11 měsíci

    Mungu atakuokoa uko uendako

  • @user-up4kd4di7h
    @user-up4kd4di7h Před 23 hodinami

    Wewe dini unaijua lakini muonekano hauendani

  • @mhandiselibariki619
    @mhandiselibariki619 Před 11 měsíci

    Makolo bhana

  • @kheirahmad4064
    @kheirahmad4064 Před 11 měsíci

    Umeboa sana. Mwanaume hawi hivo. Unamaanisha nn ww muislam jitambue.

  • @zubeirzanzibar5231
    @zubeirzanzibar5231 Před 11 měsíci +2

    Inallilah huyu sio Ricardo momo au macho yangu mabovu...?😢😢

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 Před 11 měsíci

    Mmh sijui nan kamshawishi asokote manywele hayo

  • @user-up4kd4di7h
    @user-up4kd4di7h Před 23 hodinami

    Hizo nywele na maadini hiviendani nyoa nywere

  • @issapagali1330
    @issapagali1330 Před 11 měsíci

    Sheikh Momo, waharibikia ukubwani Kama "TIKITI MMA".😅😅😅😅😅.

  • @gorettimtungwe9011
    @gorettimtungwe9011 Před 11 měsíci

    Mohamedi Ally uko sahihi unajua utu, na wala usije kusuka waache wao wasiojielewa

  • @singanoabbas669
    @singanoabbas669 Před 11 měsíci +11

    Ushaanza kusuuzwa fala wewe shekh gani na misuko...ushamba hio.. Mbona King hanaambo hayo ya masenge...

    • @lebelgross2656
      @lebelgross2656 Před 11 měsíci

      Kusuka na kuweka dye tofauti iwapi hebu tuwe na uangalifu na matamshi 😢

  • @arunamusli504
    @arunamusli504 Před 11 měsíci

    Duh

  • @jumanjoro782
    @jumanjoro782 Před 11 měsíci +1

    😂huu ni msiba kumbe kweli mwanamke alikua ana ku-kontrol umeachana nae sasa unasuka momo

  • @Kingsman2713
    @Kingsman2713 Před 11 měsíci +1

    Kila comment huko chini ni matusi kwa @ricardo momo😅😁

  • @tumainielmremi7912
    @tumainielmremi7912 Před 11 měsíci

    Wewe mwenyewe umeharibika

  • @makutajr
    @makutajr Před 11 měsíci

    Me nashangaa hzi Dred kwanza😂😂😂

  • @YusuphJilala-it9bo
    @YusuphJilala-it9bo Před 11 měsíci +1

    Kamwiga mayeleee !!!!zuzuuuu😢😴

  • @FatumaShabani-mp9vt
    @FatumaShabani-mp9vt Před 11 měsíci

    Limekua bayaaa mbwa uyu jamani adi uluma 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-xs5tw5hc9c
    @user-xs5tw5hc9c Před 11 měsíci

    Achana na hayo mambo waachie wanawake,,, hiyo ni laana,

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 Před 11 měsíci +1

    MTIHANI kweli pata pesa tuone TABIA yako

  • @HamicKauno255
    @HamicKauno255 Před 11 měsíci

    Dah Simba bna

  • @dukeboe6525
    @dukeboe6525 Před 11 měsíci

    One man down

  • @user-kg6tq3rw2r
    @user-kg6tq3rw2r Před 11 měsíci

    Umekua Kama mayele kwa sisi watu wa yanga unatufuta machoz tukikuona tu tunaona kama tumemuona mayele good good baba

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 Před 11 měsíci

    Wewe momo soma coment utaelewa ulichofanyq leo sio sawa na kqmq msikivu basi utarekebisha na hutarejeya

  • @muhammadathman8402
    @muhammadathman8402 Před 11 měsíci +1

    Momo nywele kichwani hazikupendezi

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 Před 11 měsíci

    Wachambuz wa mchongo😂😂wanaendaga na upepo 😂😂

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 Před 11 měsíci +1

    Toa hizo nywele

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 Před 11 měsíci

    Huyo ni Morison aneyezunguuka hapa mjini

  • @hemedsuya2808
    @hemedsuya2808 Před 11 měsíci

    Kwa hyo wamemtoa mwamba Cameroon af wamekuja kumtelekeza hapa 😆😆😆

  • @eddsonjeremiah6669
    @eddsonjeremiah6669 Před 11 měsíci +3

    Makolo mungu anawaona aiseeeee

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před 11 měsíci +1

      Mhhh kwan ni Makolo mdau?mchezaji gan kwani wameniacha njia panda kbs😂😂

    • @eddsonjeremiah6669
      @eddsonjeremiah6669 Před 11 měsíci +1

      @@rogersiddy mchezaji ni mghana kutoka assec mimosah midfielder walimpromise kumsajiri makolo

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před 11 měsíci +1

      @@eddsonjeremiah6669 Aaaaah kumbe na wao matapeli aisee🤣🤣🤣🤣

  • @mikhitaryankombo7350
    @mikhitaryankombo7350 Před 11 měsíci

    Fua nywele baba angalia kwa makini ulivyohifadhi kifuani kwako Yani tunakuzindua

  • @ChidoAidan
    @ChidoAidan Před 11 měsíci

    Umezngua

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tv Před 11 měsíci

    Ila huyo Dem aliye kushauri usuke achana naye.

  • @SaidKipe-zm8wt
    @SaidKipe-zm8wt Před 11 měsíci

    Hao yanga na mkameroun

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 Před 11 měsíci

    Cjui Nani aliyekwambia kamma unapendeza ukiweka HIVYO hizo nywele

  • @jamaljiddawy6636
    @jamaljiddawy6636 Před 11 měsíci

    Hata wizara iingilie kati kwa leta sifa ya nchi.

  • @fredytz6347
    @fredytz6347 Před 11 měsíci

    momo umezingua bhana style yako yanywele siyo kabisa

  • @arafamkuchika7172
    @arafamkuchika7172 Před 11 měsíci +1

    Yanga hao

  • @BoniVeture
    @BoniVeture Před měsícem

    Makusu

  • @mwinyisarai-rm5oo
    @mwinyisarai-rm5oo Před 11 měsíci

    Morison

  • @hamiduomar1316
    @hamiduomar1316 Před 11 měsíci

    Ss modo kk mbna unaharibikia ukubwani km mumunya shamban na ww umesoma dini unaijuwa kk, INALILAHI WAINAIRAHII RAJIUN🤦‍♂️🤦‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🤔

  • @moodykassim4029
    @moodykassim4029 Před 11 měsíci

    Molson huyo

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow Před 11 měsíci

    Mbona Kaa punga sese

  • @abdalahmjomba471
    @abdalahmjomba471 Před 11 měsíci

    Toa hizo mibuyu kichwani shekhe

  • @jumamngazija4321
    @jumamngazija4321 Před 11 měsíci +3

    Daaaah! Dog kimemkuta Nini Tena kufikia kusukwa!!??

  • @blackblue9729
    @blackblue9729 Před 11 měsíci

    Huyo nae kaweka nini kichwa dah

  • @mwinyimohamed3116
    @mwinyimohamed3116 Před 11 měsíci +2

    Rudi kama zamani umri hauukuruhusu

  • @kisimachatungokitu6261
    @kisimachatungokitu6261 Před 11 měsíci +1

    huyu jamaa si kwa muonekano huu!....au naye katoka UTURUKI ?

  • @ramadhanishabani6017
    @ramadhanishabani6017 Před 11 měsíci

    Hivi wakudere kalogwa au akili yake dah kidadeki mimi cjapenda kwakweli alivyosuka

  • @charleschao9809
    @charleschao9809 Před 11 měsíci

    Simba hao

  • @kassimualli1755
    @kassimualli1755 Před 11 měsíci

    Huyu huwa anaongea pumba ila ndo vile tena mambo ya undugu na Mondi ndo vina mbeba

  • @AbuubakarLinus-sr5ox
    @AbuubakarLinus-sr5ox Před 11 měsíci

    Huyu jamaa kaanza kusuka nywele hii ni shida sikutegemea kabisa jamani sisi wanaume hili wimbi la kusuka limekuwa kubwa sana dada zetu nao wasuke sasa tutafanana kifatacho ITV ni halafu anajiita mzee wa passwad hicho ilichofanya ni nini

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er Před 11 měsíci +2

    Sasa huo ujinga uliweka kichwani umekua mwanamziki?

  • @msafingasa7434
    @msafingasa7434 Před 11 měsíci

    Mbonakama bigilimanauyo?

  • @mshamuabdallaah6142
    @mshamuabdallaah6142 Před 11 měsíci

    Kinachoniuma ni kutumia aka ya maallim Zingzi kwa sisi tunaomfahamu marhuum alikuwa mpenz wa mtumi hassaaa na kaacha athari nyingi nzuuri bc momo hili la maallim Zingzi uliwache tu kk

  • @patricktegea1430
    @patricktegea1430 Před 11 měsíci

    Unamuiga James tulupatu tulupatu Kwa ustaa Gani sasa Hadi usuke jmn cjapenda

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 Před 11 měsíci +1

    Momo Kama mayele

  • @DM_15
    @DM_15 Před 11 měsíci

    Nani manzoki au

  • @iampantah9284
    @iampantah9284 Před 11 měsíci +3

    Nani uyu?😂😂

  • @NeproMedia
    @NeproMedia Před 11 měsíci

    Mnamtukana kwa nini hayo ni maisha yake na hapo yupo kweny Sanaa acheni ushamba wakutukana hvyo co vzr

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 Před 11 měsíci

      Sanaa iliyo machukizo kwa Mungu hiyo siyo sanaa bali laana, usijiungamanishe nayo hujui kiini chake

  • @Official83640
    @Official83640 Před 11 měsíci

    Khe huyu kashakuwa hivi Astaghafilullah jaman Malaika apewe maua yake tu kumbe mume alikuwa anamuongopea Mungu tu kupitia kivuli cha dini

  • @allybulula9104
    @allybulula9104 Před 11 měsíci

    Ukwel upo hivii kila ktk taasisi zote kubwa lazima awe shoga hapo fuatilien mtanielewa kwahiyo na huyu anahamasisha usenge hapa nchin

    • @nyaganyaga3876
      @nyaganyaga3876 Před 11 měsíci +1

      Unajua unachokiongea lakini ? Taasisi kubwa unazifahamu Vizuri? Na kwanini umuseme mtu kwa mwonekano tu wa nje? Hii si vizuri tuwe na kiasi Cha maneno binafsi sijapenda mwonekano wake wa Sasa hasa kitendo Cha kusuka ila siwezi mwita majina ya ovyo

  • @moodykassim4029
    @moodykassim4029 Před 11 měsíci

    Bm3 huyo

  • @josephmphela8270
    @josephmphela8270 Před 11 měsíci +1

    Mchezaji gani huyo??? Na club gani hiyo jamani???

  • @jamaljiddawy6636
    @jamaljiddawy6636 Před 11 měsíci

    TFF wapo wapi. Kwanini hawaei wakali katika mambo haya.

  • @mathewmponejas3536
    @mathewmponejas3536 Před 11 měsíci

    Emmanuel mahop huyo kapigwa chini alitaka mpunga mwingi wakamshitukia

    • @josephmphela8270
      @josephmphela8270 Před 11 měsíci

      Kama mahop ni Yanga ila code zinasema hiyo team imesajili kipa juzi juzi tu si hatuna usajili wa kipa mpya juzi juzi so sio mahop

    • @rehemaabdullah7606
      @rehemaabdullah7606 Před 11 měsíci

      ​@@josephmphela8270Wanajitekenya wenyewe😅

  • @ayubukedimundi3221
    @ayubukedimundi3221 Před 11 měsíci +1

    Waliosajili nyanda ni simba Hao

  • @JumaSaidi-xq7ui
    @JumaSaidi-xq7ui Před 10 měsíci

    😂😂😂😂😂

  • @yl_sports_af1994
    @yl_sports_af1994 Před 11 měsíci

    Morison na singida

  • @buchomillion4743
    @buchomillion4743 Před 11 měsíci

    Toa Rasta nyoa nywele zako kama mwanzo.siyo kila kitu ni kinaigwa

  • @venancemwanya4212
    @venancemwanya4212 Před 11 měsíci

    Dogo kaanza kuharibika

  • @user-ks8oy9lt7z
    @user-ks8oy9lt7z Před 11 měsíci

    Mbona shehe umeanza kua kama punga vile achana na mambo ya kuiga brother muonekano wako wa asili ndio hadhi yako usiige itakugharimu sana

  • @paulpius998
    @paulpius998 Před 11 měsíci

    Soma comments za watu utaelew kuwa hapo kweny fuvu hapo, umezingua mkuu

  • @linuskyando4155
    @linuskyando4155 Před 11 měsíci

    KUMBE MAYELE kabaki

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 Před 11 měsíci

    Punga

  • @tumainielmremi7912
    @tumainielmremi7912 Před 11 měsíci

    Ukisuka nywele unakuwa na maneno mengi kama mwanamke. Stupid

  • @asiliyetuonlinetv5063
    @asiliyetuonlinetv5063 Před 11 měsíci

    Nimetoka huko 👇👇wote wanatoa negative comments kuhusu momo kusuka ni vyema sasa momo ukanyoa tu kistaarabu make kuna watu walikuchukulia kama role model wao sasa usi wadisapoint wafuasi wako. Au na wewe umemuiga trupa trupa wa cloudsfm?

  • @charzclassic3579
    @charzclassic3579 Před 11 měsíci

    Tatizo lipo kwa wachezaji wenyewe, hawajielewi. Shida inaanza mchezaji anakuja akiwa na mkataba huru, mwisho anaanza starehe wakat bado mkataba haujakamilika, waache ujinga

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před 11 měsíci

    Acha kusuka mkuu haziyako itashuka waachie wavuta bangi hiyo stayli