#ZaNdaaani
Vložit
- čas přidán 1. 08. 2023
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Sport
Huyu naye kashakua hivi Innalillah Wainna Ilaihi Rajiun halaf ajifanya kutoa hadithi na aya
Mungu akuongoze ndugu yangu ..
Usisuke nywele ndug kifua chako kina mambo meng ya kumjua mungu
Umeona ee 😂
Ten kun kauli alisema sik aliyomuwacha mke nikamkubal san ila now kazinguwa
Mungu/MUNGU sio mungu
@@Zaburi- haya subir mdomo haulipii chochot siku ikifika utakapotaka kunyanyua mdomo unywe maji unashindwa ndo utamjua mungu
Wallahi uko sahihi
Imesajili nyanda wa Brazili
Khaaaaa Momo! Kulikoni tena.
Wachambuzi wakibongo mafalani wazushi watupuuuuu😢😢😢
Achama mboya kikeee!!!!
Mungu atakuokoa uko uendako
Wewe dini unaijua lakini muonekano hauendani
Makolo bhana
Umeboa sana. Mwanaume hawi hivo. Unamaanisha nn ww muislam jitambue.
Inallilah huyu sio Ricardo momo au macho yangu mabovu...?😢😢
Mmh sijui nan kamshawishi asokote manywele hayo
Hizo nywele na maadini hiviendani nyoa nywere
Sheikh Momo, waharibikia ukubwani Kama "TIKITI MMA".😅😅😅😅😅.
Mohamedi Ally uko sahihi unajua utu, na wala usije kusuka waache wao wasiojielewa
Ushaanza kusuuzwa fala wewe shekh gani na misuko...ushamba hio.. Mbona King hanaambo hayo ya masenge...
Kusuka na kuweka dye tofauti iwapi hebu tuwe na uangalifu na matamshi 😢
Duh
😂huu ni msiba kumbe kweli mwanamke alikua ana ku-kontrol umeachana nae sasa unasuka momo
Kila comment huko chini ni matusi kwa @ricardo momo😅😁
Wewe mwenyewe umeharibika
Me nashangaa hzi Dred kwanza😂😂😂
Kamwiga mayeleee !!!!zuzuuuu😢😴
Limekua bayaaa mbwa uyu jamani adi uluma 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Achana na hayo mambo waachie wanawake,,, hiyo ni laana,
MTIHANI kweli pata pesa tuone TABIA yako
Dah Simba bna
One man down
Umekua Kama mayele kwa sisi watu wa yanga unatufuta machoz tukikuona tu tunaona kama tumemuona mayele good good baba
Wewe momo soma coment utaelewa ulichofanyq leo sio sawa na kqmq msikivu basi utarekebisha na hutarejeya
Momo nywele kichwani hazikupendezi
Wachambuz wa mchongo😂😂wanaendaga na upepo 😂😂
Toa hizo nywele
Huyo ni Morison aneyezunguuka hapa mjini
Kwa hyo wamemtoa mwamba Cameroon af wamekuja kumtelekeza hapa 😆😆😆
Makolo mungu anawaona aiseeeee
Mhhh kwan ni Makolo mdau?mchezaji gan kwani wameniacha njia panda kbs😂😂
@@rogersiddy mchezaji ni mghana kutoka assec mimosah midfielder walimpromise kumsajiri makolo
@@eddsonjeremiah6669 Aaaaah kumbe na wao matapeli aisee🤣🤣🤣🤣
Fua nywele baba angalia kwa makini ulivyohifadhi kifuani kwako Yani tunakuzindua
Umezngua
Ila huyo Dem aliye kushauri usuke achana naye.
Hao yanga na mkameroun
Cjui Nani aliyekwambia kamma unapendeza ukiweka HIVYO hizo nywele
Hata wizara iingilie kati kwa leta sifa ya nchi.
momo umezingua bhana style yako yanywele siyo kabisa
Yanga hao
Yanga wamesajili kipa juzi juzi ???
Unaiwaza Yanga
Makusu
Morison
Ss modo kk mbna unaharibikia ukubwani km mumunya shamban na ww umesoma dini unaijuwa kk, INALILAHI WAINAIRAHII RAJIUN🤦♂️🤦♂️🙆♂️🙆♂️🤔
Molson huyo
Mbona Kaa punga sese
Toa hizo mibuyu kichwani shekhe
Daaaah! Dog kimemkuta Nini Tena kufikia kusukwa!!??
Huyo nae kaweka nini kichwa dah
Rudi kama zamani umri hauukuruhusu
Kabisa angeacha tu kusuka
huyu jamaa si kwa muonekano huu!....au naye katoka UTURUKI ?
Hivi wakudere kalogwa au akili yake dah kidadeki mimi cjapenda kwakweli alivyosuka
Simba hao
Huyu huwa anaongea pumba ila ndo vile tena mambo ya undugu na Mondi ndo vina mbeba
Huyu jamaa kaanza kusuka nywele hii ni shida sikutegemea kabisa jamani sisi wanaume hili wimbi la kusuka limekuwa kubwa sana dada zetu nao wasuke sasa tutafanana kifatacho ITV ni halafu anajiita mzee wa passwad hicho ilichofanya ni nini
Sasa huo ujinga uliweka kichwani umekua mwanamziki?
Kwahiyo una maanisha mayele ni mwanamziki🤷
Mbonakama bigilimanauyo?
Kinachoniuma ni kutumia aka ya maallim Zingzi kwa sisi tunaomfahamu marhuum alikuwa mpenz wa mtumi hassaaa na kaacha athari nyingi nzuuri bc momo hili la maallim Zingzi uliwache tu kk
Unamuiga James tulupatu tulupatu Kwa ustaa Gani sasa Hadi usuke jmn cjapenda
Momo Kama mayele
Nani manzoki au
Nani uyu?😂😂
Mnamtukana kwa nini hayo ni maisha yake na hapo yupo kweny Sanaa acheni ushamba wakutukana hvyo co vzr
Sanaa iliyo machukizo kwa Mungu hiyo siyo sanaa bali laana, usijiungamanishe nayo hujui kiini chake
Khe huyu kashakuwa hivi Astaghafilullah jaman Malaika apewe maua yake tu kumbe mume alikuwa anamuongopea Mungu tu kupitia kivuli cha dini
Ukwel upo hivii kila ktk taasisi zote kubwa lazima awe shoga hapo fuatilien mtanielewa kwahiyo na huyu anahamasisha usenge hapa nchin
Unajua unachokiongea lakini ? Taasisi kubwa unazifahamu Vizuri? Na kwanini umuseme mtu kwa mwonekano tu wa nje? Hii si vizuri tuwe na kiasi Cha maneno binafsi sijapenda mwonekano wake wa Sasa hasa kitendo Cha kusuka ila siwezi mwita majina ya ovyo
Bm3 huyo
Mchezaji gani huyo??? Na club gani hiyo jamani???
TFF wapo wapi. Kwanini hawaei wakali katika mambo haya.
Emmanuel mahop huyo kapigwa chini alitaka mpunga mwingi wakamshitukia
Kama mahop ni Yanga ila code zinasema hiyo team imesajili kipa juzi juzi tu si hatuna usajili wa kipa mpya juzi juzi so sio mahop
@@josephmphela8270Wanajitekenya wenyewe😅
Waliosajili nyanda ni simba Hao
Tabora United
😂😂😂😂😂
Morison na singida
Morison mgana
Toa Rasta nyoa nywele zako kama mwanzo.siyo kila kitu ni kinaigwa
Mcameron huyo wa yanga
Dogo kaanza kuharibika
Mbona shehe umeanza kua kama punga vile achana na mambo ya kuiga brother muonekano wako wa asili ndio hadhi yako usiige itakugharimu sana
Soma comments za watu utaelew kuwa hapo kweny fuvu hapo, umezingua mkuu
😂😂😂😂
KUMBE MAYELE kabaki
Punga
Ukisuka nywele unakuwa na maneno mengi kama mwanamke. Stupid
Nimetoka huko 👇👇wote wanatoa negative comments kuhusu momo kusuka ni vyema sasa momo ukanyoa tu kistaarabu make kuna watu walikuchukulia kama role model wao sasa usi wadisapoint wafuasi wako. Au na wewe umemuiga trupa trupa wa cloudsfm?
Tatizo lipo kwa wachezaji wenyewe, hawajielewi. Shida inaanza mchezaji anakuja akiwa na mkataba huru, mwisho anaanza starehe wakat bado mkataba haujakamilika, waache ujinga
Acha kusuka mkuu haziyako itashuka waachie wavuta bangi hiyo stayli