Subiri ianze ligi muda si mlefu utasikia sababu. Mara yanga wanatuloga, mara GSM anaharibu ligi ila sasa hivi hawatasema. Tukumbuke wakati huo Young kikosi chao kiko palepale na wanazidi kuboresha. Ni tahadhar tu...
Hakuna atakayelalamika mpira ni dakika 90' na atakayecheza vizuri kimkakati atashinda. Kila mtu atengeneze team yake halafu dakika 90' ziongee@@fettiemaganza1484
@@amaniomar1755kwani jobe ni mzee ? Fred mzee ? Hussein kazi je ?? Nyie pigenii kalele halaf mlete wanafunzi wa secondary tukifumua nyingi msije mkaanza kulia 😂😂
Simba kocha yupo vizuri je mnataka akaanzie wapi kifundisha ili mjue ni kocha mzoefu acha aanze na Simba ili atengeneze cv simba itapaaa na haitakua na mpinzani
Miraji jaribu kuacha kuongea kwa kumpigapiga mwanahabari tabia hii unakosa mashaki wa mahojiano yako, hutakiwi kupigapiga mtu wa habari acha mbwembwe, acha ligi ianze utalia miraji tupo hapa.
Mlipokuwa mnafungwa mlikuwa mnajifichia kichaka cha Yanga ananunua mechi, GSM a Hiaer amefadhili timu nyingi ligi kuu, kumbe sasa mnaaibishwa kwa kosa la kwenu wenyewe.
Mkiendekeza fikra potofu kuwa mnalowa mjue mtapigwa sana na akina mbangula na wengine wa aina yake. Mara mnalogwa, mara bahasha, mara mangungu, mara manula, mara kocha mbovu, mara wamesajiri akina jobe, eehh huo ni mpira au mazingaombwe.Tulieni, wapeni moyo vijana wenu na msiwasikilize sana machawa malioenea kwenye vilabu vya simba na yanga, wapeni mda wachezaji waingie kwenye mifumo.
Benchika kashinda CAF confederation dhidi ya Yanga Tena kwa SHERIA ya goli la ugenini. Anakuwaje bora namba moja kwa vilabu ashinde CV ya Pitso Mosimame mwenye makombe ya CAF Champions League matatu?! Hata kama ni kwa muni bus wa CAF bado hainishawishiiiiiiiiiimamaeeeeee
We kaka Simba tumesajili weng tunakufata wewe baada yakutupa moyo unatukatisha tamaa kweli kaka uku mm Kila siku tunakufatilia wewe kila siku unamaliza Bado kaka kweli
Viongozi wewe Hala Hala wachezaji wote wasomewe Dua na tupige albadir muhimu sana sababu watu wa upande wapili sio watu wazuri wanatualibia wachezaji wetu tupige Dua hapa bongo nahuko misri ndio kabisa Kuna mashekh wakubwa wasomewe Dua
Hii sasa safi chagamba utasalimika na makofi ya mabega😂
Mbona kama mwendo ni ule ule 😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😅
😂😂😂
Chagamba mabega yangekua meusi kwa makofi ya miraji.. 😂
Subiri ianze ligi muda si mlefu utasikia sababu. Mara yanga wanatuloga, mara GSM anaharibu ligi ila sasa hivi hawatasema. Tukumbuke wakati huo Young kikosi chao kiko palepale na wanazidi kuboresha. Ni tahadhar tu...
Simba ijayo ni hatari sana yenye vijana wenye nguvu
Vijana ndo mpira ombeni tu waende na matarajio yenu hatutaki malalamiko
Hakuna atakayelalamika mpira ni dakika 90' na atakayecheza vizuri kimkakati atashinda. Kila mtu atengeneze team yake halafu dakika 90' ziongee@@fettiemaganza1484
Miraji wachezaji wako 2 bado
@@amaniomar1755kwani jobe ni mzee ? Fred mzee ? Hussein kazi je ?? Nyie pigenii kalele halaf mlete wanafunzi wa secondary tukifumua nyingi msije mkaanza kulia 😂😂
Miraji chagamba hongereni Leo nimefurahi sana mpo kwenye muonekano mzuri sana safiiii🔥🔥🔥
Hatima mungu kasikia kilio chetu mabega ya chagamba yako salama kwa siku ya leo yamepumzika kipigo
😂😂🎉
miraji Leo mmetisha Kama crown media, kama mpo ofisini 😂😂😂😂SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOOO
Bega la chagamba Leo limepumua
Hapo sasa unyama sana kama studio yaan...mmeendelea snaa wakuu hongereneiiii🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Simba kocha yupo vizuri je mnataka akaanzie wapi kifundisha ili mjue ni kocha mzoefu acha aanze na Simba ili atengeneze cv simba itapaaa na haitakua na mpinzani
Mabega ya chagamba leo yapo salamaa...hongereni sana MGen insurance
Kama namuona miraji 😅😅😅alivyo miss kupiga mabega ya chagmb 😂
😂😂😂
Miraji leo mmekaa yaani leo kama mpo ofisini ila safi lazima siku Moja Moja mubadilishe muonekano
Leo bega la chagamba litapumzika😂
Hapo kwenye dua bado Miraji uko nyuma sana,unaanza kujipanga pa kujifichia
Chagamba Leo begalimepumzika muwemnakaa hivyo kwakujinusuru siyokwamikofi yale😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 ila Leo haitanoga aisee. Yaani Miraji na Chagamba lazima mabega yapate moto😂😂😂
Naomba uwakumbushe viongozi wetu wa Simba chakwanza wawalinde wachezaji kwadua nakilakitu
Chagamba huyo miraji inatakiwa ukae naye mbali asikuguse mikofi ya mabegani atakupinda mgongo😂😂😂
MIRAJI SAWAAA🎉🎉🎉🎉❤
Duuh tumeshapata office good 👍
Maramoja leo umeongea kishabiki Zaid
Amejitahidi lakini
Simba nguvu moja miraji Mimi nakukubali sana
Leo sehem salama
Ligi ikianza Mangungu tuachie timu yetu
Milaji baba ulikua wapi baba wanasimba tukikusikiliza mwoyo yetu inainjoy omemuona okojephe baba tunakuitaji kesho umzunguzie mungu azidi kukuzidishia afya njema ww pamoja nafamilia yako mzazi
Kikubwa tusiwape plesha wachezaji na walindwe
Chagamba ninaomba T shirt ya MG. Mwili wangu ni kama wa Miraji
Leo chagamba mabega yamepumzika kupigwa,utanenepa chagamba mmekaa vizuri mmependeza sana hongereni sana.
Chagamba kaona isiwe shida. Kakaa mbali na makofi ya miraji
Okojepha tayari tushamsajiri
🦁🦁🦁♥️♥️♥️♥️
Setup ya leo amazing👍
Kwa leo chagamba mikofi inamkosa
Huyu miraji sometimes maneno yake anayatafuna mwenyewe tusubiri tuone..
Leo mmeupiga mwingi mnoo mpaka una mwagika nataman hata mmengeongeza hata mda nimeipenda hyo leo❤❤❤
Miraji mara moja Simba wachezaji wasimba walindeni
Naona chagamba mabega yako yamepumzika hongera sana 😂😂😂😂😂😂😂 but nawakubari sana wote wawili
😂😂😂😂😂 nilitaka nishangae chagamba asipate hata kofi moja kwel nisingeangalia tena sema leo makofi yamepungua 😁🤸🤸
Leo umeongelea kiushabik zaid ukwel miaka mitatu ujao sio leo
Daah! Kwahy Miraji 7bu ya kuvurunda sio tena mangungu na jaribu tena?
Nimekusubiri Sana mirajii unajua afu unajua Tena familia
Chagamba ameona mabega yatang'oka katengeneza sehemu ya kukaa
Miraji tunza maneno ya akiba, leo unatupanga kiushabiki.
chagamba leo.kachukuwa kitu maana Yale makofi ya miraji ni hatari
Ila sauti ya Leo ipo chin Bora uendelee kutumia mike kubwa
Miraji🎉
💥💥💥💥
hapo sawa umemkalisha milaji kwenye sofa maana unge msimamisha mabega ugesoma namba acha apige pige sofa❤❤❤
Umeona eeeh.
Aaah Leo mmekaa chagamba leo hutapigwa mabega😂😂. Ila sijapenda yaani muongee bila kupigwa mabega na miraji!!?
❤
Chagamba anaogopa makofi amekaa mbali leo 😂😂😂😂
Watoto hao2 mtawakataa tu mpila Sasa hivi ni bishara chukua bidha kwa faida ya Leo sio kesho hakuna anaejua kesho yake
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Umesubili hadi mabega yakalibie kutobolewa ndio ukatfta viti
Chagamba ana hamu ya kupigwa leo
Gamba tulete mzee Said Aisee.
Namtamani sana Mzee wangu
Chagamba Leo umekaa mbali na milaji unaepusha mabega
Chagamba leo mabega yatawasha hayo 😂😂
Miraji jaribu kuacha kuongea kwa kumpigapiga mwanahabari tabia hii unakosa mashaki wa mahojiano yako, hutakiwi kupigapiga mtu wa habari acha mbwembwe, acha ligi ianze utalia miraji tupo hapa.
Chagamba leo bega halitauma!!!
Milaji wewe fundi 💪💪
Mlipokuwa mnafungwa mlikuwa mnajifichia kichaka cha Yanga ananunua mechi, GSM a Hiaer amefadhili timu nyingi ligi kuu, kumbe sasa mnaaibishwa kwa kosa la kwenu wenyewe.
Aaaa gambaaaa
Chagamba siku unafany kipind na mzee said mlete naye akae hapo apigwe na uyoyozi, ila angalizo anaweza akakataa kuondoka
Mkiendekeza fikra potofu kuwa mnalowa mjue mtapigwa sana na akina mbangula na wengine wa aina yake. Mara mnalogwa, mara bahasha, mara mangungu, mara manula, mara kocha mbovu, mara wamesajiri akina jobe, eehh huo ni mpira au mazingaombwe.Tulieni, wapeni moyo vijana wenu na msiwasikilize sana machawa malioenea kwenye vilabu vya simba na yanga, wapeni mda wachezaji waingie kwenye mifumo.
Miraji bora usiname,ukikaa hainogi.unakuwa hauna ma points kama Ungekuwa umeaimama
Leo mabega yamepumuwa
Hakuna timu inayojengwa duniani bila kuwa na wazoefu
Malamoja wakumbushe wachezaji walindwe usisahau baba
Josee morinho anakuja na falsafa zake na anakupatia matokeo
Asante kwa kupata pa kukaa.... maana Miraji alikuwa alikuwa anakuumiza sana mabega chagamba,😂😂😂
Chagamba unachekesha unasema mtu anafinywa giza kimya kimya nawakubali nawafatilia kutoka dubai
Kwa staili ya Leo tunakosa radha Ile ya Miraji KUMPIGA Chagamba BEGA. BEGA la Chagamba lipo salama leo😂😂😂
Ase uyo mchezaji umempatia kinyama
Benchika kashinda CAF confederation dhidi ya Yanga Tena kwa SHERIA ya goli la ugenini. Anakuwaje bora namba moja kwa vilabu ashinde CV ya Pitso Mosimame mwenye makombe ya CAF Champions League matatu?! Hata kama ni kwa muni bus wa CAF bado hainishawishiiiiiiiiiimamaeeeeee
Chagamba kaona mabega yake yapumue😅
Nkubali chagamba na miraji
Bado mnaamini ktk ushirikina.
Jamaa ana akili sana
Bora leo chagamba ulivo kaa mbali maana miraji atakutoa mabega kwa makofi
Chagamba,hao ndio WATU wa kukufikisha mbali yaani wanamadini ya boli na MZEE Said a Sio MASATU
Week and ya mabega leo😂😂😂
Safi iiiiiiooooooo saa mbovu
Intavew yaleo haijapendeza miraji amebanea
Baleke mzuri sana
Bado mjasema msim ujao mtasemaaa😂😂😂
Ehee hapo sas chagamba mmetishaa kama hofsin yani waaaah ! Namabega yako yatapumua gamba 🤣🤣🤣
wakwanza mimi leo
Miraji leo unaumwa
Kumbe pamoja na ofisi mapigo ya mabega yako palepale!!!!😂😂😂😂
Leo mko pambe sanaaaaa
❤❤❤❤
Mmesahau kama yanga anaandaa ligi kuchukua ninyi mnaongea sana na sasa mnasema mmesajili vizuri ila mkishaanza ligi yanga akishinda mnaongea
Hatutaki makochavwakubwa Tena maana hawajatusaidia kitu
We kaka Simba tumesajili weng tunakufata wewe baada yakutupa moyo unatukatisha tamaa kweli kaka uku mm Kila siku tunakufatilia wewe kila siku unamaliza Bado kaka kweli
Xavi mtupu
Heee afadhali Leo bega halijaguswa😅😅😅
🙏🤝🤲
acheni ujinga muwalinde kivipi acheni imani za kichawi leo mnavaa nakupendeza lakini vichwani mwenu mweusi kwani bilaya uchawi uwezi kufanikiwa
Chagamba leo bega umepoa mana maramoja anahatari
habari ya mjini ni simba tu
Hujakosea ndugu yangu na hivyo ndio wananchi tunataka
Yaani mshabiki yeyote wa simba anakuwa na asili ya uongo uongo Sana na propaganda za kutosha na vipo kwenye damu
Gamba leo makofi ya bega umepumzika😅😅😅
Leo hakuna makofi ya mabega
Viongozi wewe Hala Hala wachezaji wote wasomewe Dua na tupige albadir muhimu sana sababu watu wa upande wapili sio watu wazuri wanatualibia wachezaji wetu tupige Dua hapa bongo nahuko misri ndio kabisa Kuna mashekh wakubwa wasomewe Dua