MIRAJI |KOCHA HANA CV ZA BENCHIKA MMH! BALEKE OKRAH TATIZO YANGA |CHOMBO KIPYA MSIMBAZI TISHIO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024

Komentáře • 151

  • @jumamakame3978
    @jumamakame3978 Před 10 dny +19

    Hii sasa safi chagamba utasalimika na makofi ya mabega😂

  • @hassanchiwambo687
    @hassanchiwambo687 Před 10 dny +25

    Subiri ianze ligi muda si mlefu utasikia sababu. Mara yanga wanatuloga, mara GSM anaharibu ligi ila sasa hivi hawatasema. Tukumbuke wakati huo Young kikosi chao kiko palepale na wanazidi kuboresha. Ni tahadhar tu...

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 Před 10 dny +2

      Simba ijayo ni hatari sana yenye vijana wenye nguvu

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Před 10 dny +3

      Vijana ndo mpira ombeni tu waende na matarajio yenu hatutaki malalamiko

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 Před 10 dny

      Hakuna atakayelalamika mpira ni dakika 90' na atakayecheza vizuri kimkakati atashinda. Kila mtu atengeneze team yake halafu dakika 90' ziongee​@@fettiemaganza1484

    • @mnabukulakasaka
      @mnabukulakasaka Před 10 dny +2

      Miraji wachezaji wako 2 bado

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před 10 dny +5

      ​@@amaniomar1755kwani jobe ni mzee ? Fred mzee ? Hussein kazi je ?? Nyie pigenii kalele halaf mlete wanafunzi wa secondary tukifumua nyingi msije mkaanza kulia 😂😂

  • @jumahabibu5772
    @jumahabibu5772 Před 10 dny +5

    Miraji chagamba hongereni Leo nimefurahi sana mpo kwenye muonekano mzuri sana safiiii🔥🔥🔥

  • @B.M-ix4rz
    @B.M-ix4rz Před 10 dny +7

    Hatima mungu kasikia kilio chetu mabega ya chagamba yako salama kwa siku ya leo yamepumzika kipigo

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před 10 dny +7

    miraji Leo mmetisha Kama crown media, kama mpo ofisini 😂😂😂😂SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOOO

  • @victorlyimo896
    @victorlyimo896 Před 10 dny +4

    Hapo sasa unyama sana kama studio yaan...mmeendelea snaa wakuu hongereneiiii🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y Před 10 dny +3

    Simba kocha yupo vizuri je mnataka akaanzie wapi kifundisha ili mjue ni kocha mzoefu acha aanze na Simba ili atengeneze cv simba itapaaa na haitakua na mpinzani

  • @charlesmelkiory4742
    @charlesmelkiory4742 Před 10 dny +4

    Mabega ya chagamba leo yapo salamaa...hongereni sana MGen insurance

  • @LearnBenjamin
    @LearnBenjamin Před 10 dny +9

    Kama namuona miraji 😅😅😅alivyo miss kupiga mabega ya chagmb 😂

  • @zamdajumbe7742
    @zamdajumbe7742 Před 10 dny +5

    Miraji leo mmekaa yaani leo kama mpo ofisini ila safi lazima siku Moja Moja mubadilishe muonekano

  • @amanikwiyima9054
    @amanikwiyima9054 Před 10 dny +4

    Hapo kwenye dua bado Miraji uko nyuma sana,unaanza kujipanga pa kujifichia

  • @sabinaechasa2925
    @sabinaechasa2925 Před 10 dny +7

    Chagamba Leo begalimepumzika muwemnakaa hivyo kwakujinusuru siyokwamikofi yale😂😂😂😂😂😂

    • @mwlhalimoja.ekingunza1819
      @mwlhalimoja.ekingunza1819 Před 10 dny

      😂😂😂😂 ila Leo haitanoga aisee. Yaani Miraji na Chagamba lazima mabega yapate moto😂😂😂

  • @BubuallyMwakipesile-br8dc

    Naomba uwakumbushe viongozi wetu wa Simba chakwanza wawalinde wachezaji kwadua nakilakitu

  • @user-fg8hg9fe1w
    @user-fg8hg9fe1w Před 10 dny +3

    Chagamba huyo miraji inatakiwa ukae naye mbali asikuguse mikofi ya mabegani atakupinda mgongo😂😂😂

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 Před 10 dny +4

    MIRAJI SAWAAA🎉🎉🎉🎉❤

  • @AbassiBaro-jc3il
    @AbassiBaro-jc3il Před 10 dny +4

    Duuh tumeshapata office good 👍

  • @idrisahamimuhasani5717
    @idrisahamimuhasani5717 Před 10 dny +3

    Maramoja leo umeongea kishabiki Zaid

  • @BubuallyMwakipesile-br8dc

    Simba nguvu moja miraji Mimi nakukubali sana

  • @user-cw8yt9pr8j
    @user-cw8yt9pr8j Před 10 dny

    Leo sehem salama

  • @odilomwakamela4889
    @odilomwakamela4889 Před 10 dny +3

    Ligi ikianza Mangungu tuachie timu yetu

  • @mwasunga
    @mwasunga Před 10 dny +1

    Milaji baba ulikua wapi baba wanasimba tukikusikiliza mwoyo yetu inainjoy omemuona okojephe baba tunakuitaji kesho umzunguzie mungu azidi kukuzidishia afya njema ww pamoja nafamilia yako mzazi

  • @BahatiomaryMwambela
    @BahatiomaryMwambela Před 10 dny +2

    Kikubwa tusiwape plesha wachezaji na walindwe

  • @WestonMbuba-ff4jk
    @WestonMbuba-ff4jk Před 10 dny +1

    Chagamba ninaomba T shirt ya MG. Mwili wangu ni kama wa Miraji

  • @user-sz9om9ly4y
    @user-sz9om9ly4y Před 10 dny

    Leo chagamba mabega yamepumzika kupigwa,utanenepa chagamba mmekaa vizuri mmependeza sana hongereni sana.

  • @SospeterMasanja-r6b
    @SospeterMasanja-r6b Před 10 dny +1

    Chagamba kaona isiwe shida. Kakaa mbali na makofi ya miraji

  • @monifrank347
    @monifrank347 Před 10 dny +2

    Okojepha tayari tushamsajiri

  • @SamsonSaruni-s3g
    @SamsonSaruni-s3g Před 10 dny +2

    🦁🦁🦁♥️♥️♥️♥️

  • @SuleimanJuma-dv8gt
    @SuleimanJuma-dv8gt Před 10 dny

    Setup ya leo amazing👍

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 Před 10 dny +2

    Kwa leo chagamba mikofi inamkosa

  • @abduldihomba1632
    @abduldihomba1632 Před 10 dny

    Huyu miraji sometimes maneno yake anayatafuna mwenyewe tusubiri tuone..

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 Před 10 dny +2

    Leo mmeupiga mwingi mnoo mpaka una mwagika nataman hata mmengeongeza hata mda nimeipenda hyo leo❤❤❤

  • @AbbasyMdabwa
    @AbbasyMdabwa Před 10 dny

    Miraji mara moja Simba wachezaji wasimba walindeni

  • @sittandaki2135
    @sittandaki2135 Před 9 dny

    Naona chagamba mabega yako yamepumzika hongera sana 😂😂😂😂😂😂😂 but nawakubari sana wote wawili

  • @shebbylove9463
    @shebbylove9463 Před 7 dny

    😂😂😂😂😂 nilitaka nishangae chagamba asipate hata kofi moja kwel nisingeangalia tena sema leo makofi yamepungua 😁🤸🤸

  • @FabianiNguvumali
    @FabianiNguvumali Před 9 dny

    Leo umeongelea kiushabik zaid ukwel miaka mitatu ujao sio leo

  • @user-me3dy9zk7e
    @user-me3dy9zk7e Před 10 dny

    Daah! Kwahy Miraji 7bu ya kuvurunda sio tena mangungu na jaribu tena?

  • @mhehejrtv9637
    @mhehejrtv9637 Před 10 dny +2

    Nimekusubiri Sana mirajii unajua afu unajua Tena familia

  • @user-er9xv9yz7b
    @user-er9xv9yz7b Před 10 dny

    Chagamba ameona mabega yatang'oka katengeneza sehemu ya kukaa

  • @kihilenahimana8821
    @kihilenahimana8821 Před 10 dny

    Miraji tunza maneno ya akiba, leo unatupanga kiushabiki.

  • @Charlesmagita
    @Charlesmagita Před 7 dny

    chagamba leo.kachukuwa kitu maana Yale makofi ya miraji ni hatari

  • @tumainimano9953
    @tumainimano9953 Před 10 dny

    Ila sauti ya Leo ipo chin Bora uendelee kutumia mike kubwa

  • @dicksonmapunda7836
    @dicksonmapunda7836 Před 10 dny +3

    Miraji🎉

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Před 10 dny +2

    💥💥💥💥

  • @FredyPeter-rq8hj
    @FredyPeter-rq8hj Před 10 dny

    hapo sawa umemkalisha milaji kwenye sofa maana unge msimamisha mabega ugesoma namba acha apige pige sofa❤❤❤

  • @mwlhalimoja.ekingunza1819

    Aaah Leo mmekaa chagamba leo hutapigwa mabega😂😂. Ila sijapenda yaani muongee bila kupigwa mabega na miraji!!?

  • @Elias13083
    @Elias13083 Před 10 dny +1

  • @RajabuSelemani-rj9hy
    @RajabuSelemani-rj9hy Před 10 dny

    Chagamba anaogopa makofi amekaa mbali leo 😂😂😂😂

  • @abasikusaga6132
    @abasikusaga6132 Před 9 dny

    Watoto hao2 mtawakataa tu mpila Sasa hivi ni bishara chukua bidha kwa faida ya Leo sio kesho hakuna anaejua kesho yake

  • @frankmisana1133
    @frankmisana1133 Před 10 dny

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @LwessoKisekaJuma-wb1zu

    Umesubili hadi mabega yakalibie kutobolewa ndio ukatfta viti

  • @hawachitale
    @hawachitale Před 10 dny

    Chagamba ana hamu ya kupigwa leo

  • @deogratiaspmwolo1942
    @deogratiaspmwolo1942 Před 10 dny +1

    Gamba tulete mzee Said Aisee.

  • @mwafyelatv1436
    @mwafyelatv1436 Před 10 dny

    Chagamba Leo umekaa mbali na milaji unaepusha mabega

  • @omarkipotwile9052
    @omarkipotwile9052 Před 10 dny

    Chagamba leo mabega yatawasha hayo 😂😂

  • @AidaniKungi
    @AidaniKungi Před 9 dny

    Miraji jaribu kuacha kuongea kwa kumpigapiga mwanahabari tabia hii unakosa mashaki wa mahojiano yako, hutakiwi kupigapiga mtu wa habari acha mbwembwe, acha ligi ianze utalia miraji tupo hapa.

  • @user-vc8yc5oj6y
    @user-vc8yc5oj6y Před 10 dny

    Chagamba leo bega halitauma!!!

  • @JANE-jv4eq
    @JANE-jv4eq Před 10 dny

    Milaji wewe fundi 💪💪

  • @AliAliahmada-ht4ri
    @AliAliahmada-ht4ri Před 10 dny

    Mlipokuwa mnafungwa mlikuwa mnajifichia kichaka cha Yanga ananunua mechi, GSM a Hiaer amefadhili timu nyingi ligi kuu, kumbe sasa mnaaibishwa kwa kosa la kwenu wenyewe.

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Před 10 dny +1

    Aaaa gambaaaa

  • @muhsinkimaro4283
    @muhsinkimaro4283 Před 10 dny

    Chagamba siku unafany kipind na mzee said mlete naye akae hapo apigwe na uyoyozi, ila angalizo anaweza akakataa kuondoka

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před 9 dny

    Mkiendekeza fikra potofu kuwa mnalowa mjue mtapigwa sana na akina mbangula na wengine wa aina yake. Mara mnalogwa, mara bahasha, mara mangungu, mara manula, mara kocha mbovu, mara wamesajiri akina jobe, eehh huo ni mpira au mazingaombwe.Tulieni, wapeni moyo vijana wenu na msiwasikilize sana machawa malioenea kwenye vilabu vya simba na yanga, wapeni mda wachezaji waingie kwenye mifumo.

  • @user-zk6sy4rn9n
    @user-zk6sy4rn9n Před 10 dny

    Miraji bora usiname,ukikaa hainogi.unakuwa hauna ma points kama Ungekuwa umeaimama

  • @user-mj3lt1ef7j
    @user-mj3lt1ef7j Před 10 dny

    Leo mabega yamepumuwa

  • @derimkongwa5965
    @derimkongwa5965 Před 10 dny

    Hakuna timu inayojengwa duniani bila kuwa na wazoefu

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 Před 10 dny

    Malamoja wakumbushe wachezaji walindwe usisahau baba

  • @chng1990
    @chng1990 Před 10 dny +1

    Josee morinho anakuja na falsafa zake na anakupatia matokeo

  • @KaujuMwakajumba
    @KaujuMwakajumba Před 10 dny

    Asante kwa kupata pa kukaa.... maana Miraji alikuwa alikuwa anakuumiza sana mabega chagamba,😂😂😂

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 Před 9 dny

    Chagamba unachekesha unasema mtu anafinywa giza kimya kimya nawakubali nawafatilia kutoka dubai

  • @kibwanakizulege4632
    @kibwanakizulege4632 Před 10 dny

    Kwa staili ya Leo tunakosa radha Ile ya Miraji KUMPIGA Chagamba BEGA. BEGA la Chagamba lipo salama leo😂😂😂

  • @RaphaelRapha-vz2sh
    @RaphaelRapha-vz2sh Před 10 dny

    Ase uyo mchezaji umempatia kinyama

  • @mimiraia2531
    @mimiraia2531 Před 10 dny

    Benchika kashinda CAF confederation dhidi ya Yanga Tena kwa SHERIA ya goli la ugenini. Anakuwaje bora namba moja kwa vilabu ashinde CV ya Pitso Mosimame mwenye makombe ya CAF Champions League matatu?! Hata kama ni kwa muni bus wa CAF bado hainishawishiiiiiiiiiimamaeeeeee

  • @alexshambutu5927
    @alexshambutu5927 Před 10 dny +1

    Chagamba kaona mabega yake yapumue😅

  • @abdallayunnus3475
    @abdallayunnus3475 Před 10 dny

    Nkubali chagamba na miraji

  • @kihilenahimana8821
    @kihilenahimana8821 Před 10 dny

    Bado mnaamini ktk ushirikina.

  • @EmmanuelZenda-ji5gc
    @EmmanuelZenda-ji5gc Před 10 dny

    Jamaa ana akili sana

  • @DullaBallack-mw9zd
    @DullaBallack-mw9zd Před 10 dny

    Bora leo chagamba ulivo kaa mbali maana miraji atakutoa mabega kwa makofi

  • @user-qi3wv8sf5j
    @user-qi3wv8sf5j Před 10 dny

    Chagamba,hao ndio WATU wa kukufikisha mbali yaani wanamadini ya boli na MZEE Said a Sio MASATU

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Před 10 dny

    Week and ya mabega leo😂😂😂

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 Před 10 dny

    Safi iiiiiiooooooo saa mbovu

  • @hassanmohamed9488
    @hassanmohamed9488 Před 10 dny

    Intavew yaleo haijapendeza miraji amebanea

  • @carrenbenson2111
    @carrenbenson2111 Před 10 dny

    Baleke mzuri sana

  • @mrrockboy9508
    @mrrockboy9508 Před 10 dny

    Bado mjasema msim ujao mtasemaaa😂😂😂

  • @user-zx1vk9pr1w
    @user-zx1vk9pr1w Před 10 dny

    Ehee hapo sas chagamba mmetishaa kama hofsin yani waaaah ! Namabega yako yatapumua gamba 🤣🤣🤣

  • @jifunze0042
    @jifunze0042 Před 10 dny +1

    wakwanza mimi leo

  • @maimunaathumani9121
    @maimunaathumani9121 Před 10 dny

    Miraji leo unaumwa

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Před 10 dny

    Kumbe pamoja na ofisi mapigo ya mabega yako palepale!!!!😂😂😂😂

  • @user-gb2pl3ln9m
    @user-gb2pl3ln9m Před 10 dny

    Leo mko pambe sanaaaaa

  • @killingmleke1810
    @killingmleke1810 Před 10 dny

    Mmesahau kama yanga anaandaa ligi kuchukua ninyi mnaongea sana na sasa mnasema mmesajili vizuri ila mkishaanza ligi yanga akishinda mnaongea

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d Před 10 dny

    Hatutaki makochavwakubwa Tena maana hawajatusaidia kitu

  • @jamesmaneno2281
    @jamesmaneno2281 Před 10 dny

    We kaka Simba tumesajili weng tunakufata wewe baada yakutupa moyo unatukatisha tamaa kweli kaka uku mm Kila siku tunakufatilia wewe kila siku unamaliza Bado kaka kweli

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Před 10 dny +1

    Xavi mtupu

  • @BennBenn-es5fi
    @BennBenn-es5fi Před 10 dny

    Heee afadhali Leo bega halijaguswa😅😅😅

  • @deonatusdaud4640
    @deonatusdaud4640 Před 10 dny

    🙏🤝🤲

  • @user-sn9nm1wu9j
    @user-sn9nm1wu9j Před 10 dny

    acheni ujinga muwalinde kivipi acheni imani za kichawi leo mnavaa nakupendeza lakini vichwani mwenu mweusi kwani bilaya uchawi uwezi kufanikiwa

  • @brunomtweve8073
    @brunomtweve8073 Před 10 dny

    Chagamba leo bega umepoa mana maramoja anahatari

  • @brighters4897
    @brighters4897 Před 10 dny +1

    habari ya mjini ni simba tu

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 Před 10 dny

      Hujakosea ndugu yangu na hivyo ndio wananchi tunataka

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza Před 9 dny

    Yaani mshabiki yeyote wa simba anakuwa na asili ya uongo uongo Sana na propaganda za kutosha na vipo kwenye damu

  • @PASCHALPETER-gp8ek
    @PASCHALPETER-gp8ek Před 10 dny

    Gamba leo makofi ya bega umepumzika😅😅😅

  • @user-lz1lj9qg8e
    @user-lz1lj9qg8e Před 10 dny

    Leo hakuna makofi ya mabega

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u Před 10 dny

    Viongozi wewe Hala Hala wachezaji wote wasomewe Dua na tupige albadir muhimu sana sababu watu wa upande wapili sio watu wazuri wanatualibia wachezaji wetu tupige Dua hapa bongo nahuko misri ndio kabisa Kuna mashekh wakubwa wasomewe Dua