MIRAJI |KI ASHAMALIZANA NA YANGA |KAGOMA KALETA NOUMA ZAKE MSIMBAZI | BOKA NI BEKI MTU KAZI KITAWAKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024

Komentáře • 83

  • @zuhuranasoro8923
    @zuhuranasoro8923 Před 15 dny +6

    Wote wenye kumuulizia mzee saidi, chagamba yuko saba saba na mzee saidi yuko kwenye mishe mishe zake❤

  • @FatumaSwaleh-it4qq
    @FatumaSwaleh-it4qq Před 15 dny +4

    Chagamba mzee saidi hatujamuona muda sana

  • @dullamuso6955
    @dullamuso6955 Před 15 dny +1

    Chagamba umechoka kupigwa makofi 😂😂😂😂😂 umeona isiwe tabu ukatafuta kijiwe kizuri nice bro

  • @jamesgeorge8279
    @jamesgeorge8279 Před 15 dny +6

    Aisees nimesachi sana mzee saidi bila mafanikio chagamba vpeeee yupo wp huyo mzee bhana kwa usajiri huu wa mnyama sijamsikia

  • @CharlesKatuli
    @CharlesKatuli Před 15 dny +2

    Interview mlikuwa mnafanyia ukutani saizi ni sehemu moja hivi imejaa matangazo balaa ,hongera chagamba na miraji kwa kudaka madili

  • @stevenobure8241
    @stevenobure8241 Před 15 dny +1

    Mimi nimekuwa mwana finest online kwa sababu Mzee Saidi na Miraji ila hasa hasa Mzee Saidi

  • @user-zd3wy8dd6w
    @user-zd3wy8dd6w Před 16 dny +15

    chagamb iko kijiwe cio iko tuxhazewe mukicimama na miraji uk hakikupiga makofi kwenywe mabega, ndo inakuwa frexh2

    • @Sebastianrichard253
      @Sebastianrichard253 Před 16 dny +1

      Haha dah sema chagamba kama mabega hujayakatia bima itakula kwako maan anapiga mabega na nguvu zote

    • @jamesmaneno2281
      @jamesmaneno2281 Před 15 dny

      Nimecheka kinoma et unavo mpiga piga

    • @malietamaliet
      @malietamaliet Před 15 dny

      😂😂😂acha apumzike bhn Saba Saba ikiisha mabega yatakua yashatulia kidogo na ligi ianze ata pigwa sana

    • @saltechnologiesco.ltd.2377
      @saltechnologiesco.ltd.2377 Před 15 dny

      Mjifunze kusoma na kuandika kabla ya kutoa maoni

    • @user-uh2em3og8w
      @user-uh2em3og8w Před 14 dny

      We ukiwa unawasikilizagaa unakaa ama unasimama

  • @mathiasdaud7842
    @mathiasdaud7842 Před 14 dny +1

    Umejua jinc ya kuyakimbia makof ya mraji Ni kumutafutia kit😂😂😂😂😂😂😂

  • @FatumaSwaleh-it4qq
    @FatumaSwaleh-it4qq Před 15 dny +2

    Chagamba tupeleke kwa mzee saidi maana hatujamuona siku nyingi sana😅😅😅

  • @user-wc2gs5xs1r
    @user-wc2gs5xs1r Před 13 dny

    Miraji wewe unafaa kuwa mchambuzi huna ushabiki panapo takiwa kuongea ukwel unasema tofauti nawoo sijui bahasha ndio zinawafanya wasiwe wakwel Sana mwamba SIMBA nguvu Moja my brother

  • @moiseszacariasmoisesmoises

    miraji uchambuzi kasomea wapi? Kwasababu ana pwent sai😊

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 Před 15 dny +2

    Pamoja Sana familia hamjawahi kuniangusha

  • @mansoursaid8
    @mansoursaid8 Před 15 dny +2

    Mimi naweka ndani ya begi maneno yako ayo saa mbovu 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ngwilunyiga2447
    @ngwilunyiga2447 Před 14 dny

    Simba nguvu moja💥🔥🔥

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Před 15 dny +3

    Nakuelewa sana miraji unaongelea mpira na sio ushabiki jmn ndugu zangu tukamfollow kwa wingi

  • @ChristianeMahendekaJr-mo6ze

    Aaaha wapi Mzee Said??? Yule anajua anajua sana

  • @wilemajani
    @wilemajani Před 16 dny +4

    Namkubali sana mwamba uyo udambuzi wake

  • @athumanhusen6008
    @athumanhusen6008 Před 15 dny

    Matola mbna amumzungumzii

  • @elizabethywinnie1090
    @elizabethywinnie1090 Před 16 dny +4

    Mzee Said yuko wapi jamn😢

  • @kaizermgawa
    @kaizermgawa Před 15 dny +2

    anaitwa nouma sio hakuna noma😂😂😂

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf Před 14 dny

    Ww chagamba tupe Mzee saidi bana

  • @leonardmabula9472
    @leonardmabula9472 Před 13 dny

    Mwananchi

  • @huseinbusaba5064
    @huseinbusaba5064 Před 15 dny

    Yani miraji bana et "hakuna noma" Umenichekesha sana 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @samsonlusheleja8809
    @samsonlusheleja8809 Před 16 dny +4

    Kikubwa zifanyike Dua tu Kwa wachezaji Hawa waliosajiriwa Hakka Kuna vitu vikubwa vinakujaaaa

  • @hoseadyson4474
    @hoseadyson4474 Před 15 dny

    Miraji na chagamba ila mnanipaga raha sana ila miraji hua unachambua mpila vizuri sana huna makandokando bg up sana mwamba

  • @mr.lawimagupa3914
    @mr.lawimagupa3914 Před 14 dny

    UYO MIRAJI ANAMUITAJE HAKUNA NOMA WAKA KIJANA NDO NOMA YENYEWE, KAMA HAKUNA NOMA SI MANAKE HAKUNA MAKALI YOYOTE

  • @msongeomary6195
    @msongeomary6195 Před 15 dny

    Changamba umeamua kukaa ili upumuwe kidogo Yale makofi eti 😂😂😂 ila mzee wangu said Bado changamba atupe rahaaa

  • @mosesnjenga-jc2to
    @mosesnjenga-jc2to Před 15 dny

    Namba ya miraji ama chagamba tafadhali

  • @jamesmarumbo6820
    @jamesmarumbo6820 Před 15 dny +1

    Mzee said yupo wapi chagamba

  • @MzeeMzee-lv7sv
    @MzeeMzee-lv7sv Před 15 dny

    Shabalala asije kumroga mwenzake

  • @BinbbasBinbbas
    @BinbbasBinbbas Před 15 dny +1

    Chagamba unazingua nenda kwa mzee said

  • @JANE-jv4eq
    @JANE-jv4eq Před 15 dny

    Sipati picha awepo Mzee Said, Milaji mala moja, na Chagamba 😂😂😂 sijui itakuahe sikuiyo. Milaji mala moja nawapata kwa udhuli nikiwa kongo koroweizi

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p Před 15 dny

    Chagamba kaa ukijua MOI hawarudishii mabega yaani total shoulder replacement. Sasa pole pole huyo Bwana anavyokugonga kwa nguvu mabegani aaah shauri yako.

  • @JeniphaRobert
    @JeniphaRobert Před 16 dny +1

    Mzee saidi yuko wapi chagamba😭

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 Před 15 dny

    Kramo yupo jamani

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 Před 15 dny +1

    Si tusiokuwa maarufu tunasubiri liggi ianze tuone

  • @MchanaLive
    @MchanaLive Před 16 dny

    milaj nakukubari sana

  • @Shadia544
    @Shadia544 Před 15 dny

    Chagamba mlete mzee saidi sasa ili tucheke jamaniii maana azizi ki yupo Kwa makolo 😢 😂

  • @josephmandala2225
    @josephmandala2225 Před 15 dny

    Chagamba watu tumetoka Shinyanga au Kigoma huko tunatafuta banda hata tuwasalimie hata simu hupokei . Sisi ndio familia ujue sio poa

  • @user-eh6wn9qf4b
    @user-eh6wn9qf4b Před 15 dny

    Mzeeee said wapiii mbn hatumuoni 😢😢😢😢

  • @josinatrderss
    @josinatrderss Před 15 dny

    Chagamba mkisimama ndiyo maongezi yanakuwa na mzuka! Ukipigwa pigwa kidogo

  • @ManjaHisani
    @ManjaHisani Před 15 dny

    Chagamba miraji haipendezi tunataka msimame maana kunavitu tunavikosa juu yenu ukipigwa pigwa makofi sisi huku tunafurahi kweli

  • @idybwoytz8485
    @idybwoytz8485 Před 15 dny

    Mirajiii bhn kumbe mutuuu 😂😂😂😂😂😂

  • @mikidadymanga1346
    @mikidadymanga1346 Před 15 dny +1

    Nkubal @miraji

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 Před 15 dny

    Chagamba please tuletee mzee saidi nawafatilia nikiwa dubai

  • @user-od4hl3rp3p
    @user-od4hl3rp3p Před 15 dny

    Familia mzee said yup wap talifa za ki amezipokeaje

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g Před 15 dny

    Kabisa

  • @francisnyeriga
    @francisnyeriga Před 15 dny

    Leo chagamba makofi hajapigwa sijapenda kabisa😂

  • @Fundirichie
    @Fundirichie Před 15 dny

  • @user-lm4bu9ys1r
    @user-lm4bu9ys1r Před 15 dny

    Miraji uiisema kuna wachezaji wakiachwa utafurai mbona kimya

  • @pascalemmanuel2557
    @pascalemmanuel2557 Před 15 dny

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @jamesmakaranga1170
    @jamesmakaranga1170 Před 15 dny

    Chagamba tunamuomba mzee said

  • @BarakaJoseph-ij2hc
    @BarakaJoseph-ij2hc Před 15 dny

    Chagamba tume miss kuona unapigwa mabega

  • @birundula
    @birundula Před 16 dny

    Leo memkaa pazuri😂😂😂😂😂

  • @patrickimran2645
    @patrickimran2645 Před 15 dny

    Watalaumiwa wachezaji sawa mmkome mangungu wa watu

  • @hekimarizik6599
    @hekimarizik6599 Před 15 dny

    Chagamba nakubali wananguu

  • @jamesgeorge8279
    @jamesgeorge8279 Před 15 dny

    Pia viongozi we2 wawalinde bas wachezaji we2 isije yakatoke ya yule kramo

  • @williamjames5267
    @williamjames5267 Před 15 dny

    Chagamba tuna muomba na mzee wetu mzee saidi umfate alipo maana alipo tupo

  • @maimunaathumani9121
    @maimunaathumani9121 Před 15 dny

    Chagamba mtafute mzee said na masatu

  • @selemanadamu7596
    @selemanadamu7596 Před 15 dny

    Tunawapataje wekeni namba za sim

  • @williamissaya8091
    @williamissaya8091 Před 14 dny

    Ninyi wawili naomba niwaulize swali hivi!?huyu jamaa anayeitwa mchome anajifanya kama ni Simba ni Simba kweli huyu jamaa!?

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Před 15 dny

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @elishagregory1595
    @elishagregory1595 Před 15 dny

    Eth yanga ya kipindi cha bakari

  • @mnabukulakasaka
    @mnabukulakasaka Před 16 dny +2

    Naomba kuungwa kwenye group la simba changamb

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Před 16 dny

    Xavi mtupu

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f Před 16 dny

    Kwani wewe Chagamba ni Kolo au mwananchi

  • @user-ql2hc7zt6b
    @user-ql2hc7zt6b Před 15 dny

    Nakubal

  • @leonardmabula9472
    @leonardmabula9472 Před 13 dny

    Niunge kundin

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před 15 dny

    MUNGU IBARKI CHAMA LANGU SIMBA SPORT CLUB ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 Před 16 dny +1

    Huyu sio boka muite boyka

  • @selemanadamu7596
    @selemanadamu7596 Před 15 dny

    Wwkeni namba ya sim jinsi ya kuwatumia chochote

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 Před 15 dny +3

    Vi Mzee saidi jamani wiki sasa hatujamuona