MWALIMU YANGA ATEMA NYONGO/ MO AMEPOTEZA SIFA ZA UWEKEZAJI/ AMCHOMOA MANGUNGU KWENYE MSALA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • Shabiki na mwanachama wa klabu wa Yanga Sc maarufu kama mwalimu yanga amefunguka leo kwenye sakata linaloendelea kwenye klabu ya simba ambao wanamvutano kwa sasa unaoleta sitofahamu
    #singidafountaingate #harmonize #middlesimba #azamfc #yangatv #zuchu #simbanation #footballclub #kondegang #news #simbanation #zuchu #yangatv #yangatv #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate #azamfc #zuchu #simbanation #footballclub #kondegang #kondegang #simbanation #zuchu #azamfc #middlesimba #middlesimba #harmonize #singidafountaingate

Komentáře • 21

  • @emmanuelsimpamba80
    @emmanuelsimpamba80 Před 2 měsíci +2

    Nimekukubali mwalimu

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 Před 2 měsíci

    Tatizo wana simba wanaogopa kuanza upya,...ila ukweli ni mo ni mnyonyaji simba😢

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před 2 měsíci +2

    Mwalimu uko sahihi, transmission haitakiwi uruke kipengere na isainiwe na serekali.

  • @nuhu-sanda
    @nuhu-sanda Před 2 měsíci

    Mwalim tunakudhamini Sana Hua unatufundisha

  • @andersonshimbi1378
    @andersonshimbi1378 Před 2 měsíci

    Mwalimu yuko vizuri kabisa

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r Před 2 měsíci +1

    Kubali mkosolewe achaushabiki msikilize mwalim kuwamakini utaelewa.

  • @emmanuelsimpamba80
    @emmanuelsimpamba80 Před 2 měsíci +2

    Mimi SIMBA ila unatudsaidia

  • @andrew-mv4pc
    @andrew-mv4pc Před 2 měsíci +1

    Naomba mawasiliano na mwalimu , maana mi Mtanzania Niko Comoro na ninataka nimiriki Kadi ya uanachama.

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p Před 2 měsíci

    Huyo anatuchefua sisi walimu wenye maadili .

  • @shyneafya2468
    @shyneafya2468 Před 2 měsíci +1

    Yan ukisema wameiga umekosea kila mtu ana mchakato wake usijifanye unajua kisa nyie mmetulia yan kama nikuiga na nyie mmeiga mambo mengi ikiwemo Simba Day na mambo kibao simba ndio imewapa changamoto ndio maana nanyie mnafanya vizur

    • @amanimwamahusi6107
      @amanimwamahusi6107 Před 2 měsíci

      Hahaha kakumiza kweli kweli

    • @shyneafya2468
      @shyneafya2468 Před 2 měsíci

      @@amanimwamahusi6107 jaman kazingua bhana anaongea utafikiri wao ndio wa kwanza Kwa kila kitu wakat sis kufanya vizur ndio kumewapa nguvu na wao kufanya vizur

    • @issahoza2236
      @issahoza2236 Před 2 měsíci

      Simba kutoka hapo mlipo inahitajika nguvu kubwa ,ok tameiga lakini simba dei na siku yamwanainchi ipi inanoga ?

    • @shyneafya2468
      @shyneafya2468 Před 2 měsíci

      @@issahoza2236 Mtani tutaongea mengi sana ila tizi hizi mbili kazi yao n kuigana tu hakuna zaid Kwa sababu ndio furaha ya mashabiki
      Mfano kama ingekuwa timu nyingine imeshika nafas ya tatu ingeambiwa imejitahid lakini Simba mpaka inasemwa et itashuka daraja kisa nafas ya tatu
      Inshort kuhusu kunoga mwenyewe unajibu Simba inajaza na Ina ubunifu mwing kuliko hata nyie mfano Simba wamepeleka kibegi Kilimanjaro nyie mmepeleka kombe but idea n Simba so ninacho maanisha n kwamba kuigana sio sio kosa kila mwenziie hapa anacopy Kwa mwenzie so hakuna kidume wa kusema et wameiga mara watakuja kujifunza et kisa anafanya vizur ni maneno ya Ushabiki tu yasio na maana
      Yan Jamaa kaongea kishabiki as if Yanga imezaliwa Jana wakat ya kitambo ila ilidumaa Kwa miaka 4 iliyopta sawa na Simba Kwa sasa

    • @samsonkingdom-xc8cg
      @samsonkingdom-xc8cg Před 2 měsíci

      Walikurupuka mudy akawaingiza Chaka chezea kanjibhahi wewe

  • @salehekisebengo8554
    @salehekisebengo8554 Před 2 měsíci

    Usidanganye watu fala ww,caf gan wametoa ranking za vilabu ninyi yanga mkawa wa 3,hakka ww n zero brain

    • @EzlaFumbo
      @EzlaFumbo Před 2 měsíci

      Wametoa rank ya vilabu vilivyofanya vizur msimu Kwan current performance Nan yupo vzur