LENGO LA MKUTANO SIMBA!! KUUTOA UONGOZI WA MANGUNGU MADARAKANI!!HAMIS KIGWANGALA ASIMGUSE MO DEWJI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 14

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Před 3 měsíci

    Like Media mko vizuri

  • @ramadhanichubi9139
    @ramadhanichubi9139 Před 3 měsíci

    Uko vizuri GB

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 Před 3 měsíci

    Acha ujinga we ndo umegeuka chawa 😂😂

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Před 3 měsíci

    Huyu lugano ni utopolo lialia. Asante Gb64 kuhimili vishindo vya huyo mamluki. Lakini nawaasa Mashabiki wenzangu tutafute amani na watu wote ndani ya Simba. Tusifarakane. Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Tumweke Mungu mbele.

  • @revocatusmalimi4525
    @revocatusmalimi4525 Před 3 měsíci

    GB 64 uwemakini na huyo mwandishi anaonekana kuwa ni pandikizi la upande wa pili.

  • @bulengwamisiri5630
    @bulengwamisiri5630 Před 3 měsíci

    Gb64 huyoanayekuhoji hajitambui

  • @MohdAli-fl2ef
    @MohdAli-fl2ef Před 3 měsíci

    Duh awa waandishi wa kwetu Vbali wanatolea wapi yan wapo kiuchochezi zaidi

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Před 3 měsíci

    Usigombane na watu pia Acha kutaja majina ya utaishia pabaya huyo kigwangaka ametoa naoni yake km ww so uwe makini huyo kigwangala ipoh cku atakuwa kiongozi mkubwa ndani ya Nchi hii so simba sio ya mama yako na ulishafukuzwa kwenye tawi ooh utaishia jela fala ww

  • @ramadhanichubi9139
    @ramadhanichubi9139 Před 3 měsíci

    Hakuna maadui zaidi ya ninyi waandishi wahabari

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 Před 3 měsíci

    Nani anaandaa mkutano huo? kwa kifungu kipi cha katiba? . Hata hospitali ya Milembe kuna wachambuzi na waandishi wa Habari.

    • @nasseralshaibani6995
      @nasseralshaibani6995 Před 3 měsíci

      Kwani wanachama ni watumwa? Hawana haki ya wao wenyewe kukutana wakashauriana nini cha muelekezo?

    • @revocatusmalimi4525
      @revocatusmalimi4525 Před 3 měsíci

      Wewe unayetukana GB64 huitakii mema simba,anatumia katiba hiyohiyo unayoijua