Huyu lugano ni utopolo lialia. Asante Gb64 kuhimili vishindo vya huyo mamluki. Lakini nawaasa Mashabiki wenzangu tutafute amani na watu wote ndani ya Simba. Tusifarakane. Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Tumweke Mungu mbele.
Usigombane na watu pia Acha kutaja majina ya utaishia pabaya huyo kigwangaka ametoa naoni yake km ww so uwe makini huyo kigwangala ipoh cku atakuwa kiongozi mkubwa ndani ya Nchi hii so simba sio ya mama yako na ulishafukuzwa kwenye tawi ooh utaishia jela fala ww
Like Media mko vizuri
Uko vizuri GB
Acha ujinga we ndo umegeuka chawa 😂😂
Huyu lugano ni utopolo lialia. Asante Gb64 kuhimili vishindo vya huyo mamluki. Lakini nawaasa Mashabiki wenzangu tutafute amani na watu wote ndani ya Simba. Tusifarakane. Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Tumweke Mungu mbele.
GB 64 uwemakini na huyo mwandishi anaonekana kuwa ni pandikizi la upande wa pili.
Gb64 huyoanayekuhoji hajitambui
Duh awa waandishi wa kwetu Vbali wanatolea wapi yan wapo kiuchochezi zaidi
Usigombane na watu pia Acha kutaja majina ya utaishia pabaya huyo kigwangaka ametoa naoni yake km ww so uwe makini huyo kigwangala ipoh cku atakuwa kiongozi mkubwa ndani ya Nchi hii so simba sio ya mama yako na ulishafukuzwa kwenye tawi ooh utaishia jela fala ww
Wewe ndio fala tena k kubwa
Hakuna maadui zaidi ya ninyi waandishi wahabari
Nani anaandaa mkutano huo? kwa kifungu kipi cha katiba? . Hata hospitali ya Milembe kuna wachambuzi na waandishi wa Habari.
Kwani wanachama ni watumwa? Hawana haki ya wao wenyewe kukutana wakashauriana nini cha muelekezo?
Wewe unayetukana GB64 huitakii mema simba,anatumia katiba hiyohiyo unayoijua