#zandaaani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 10. 2022
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 52

  • @thomasnaibala6171
    @thomasnaibala6171 Před rokem +9

    Mm naamini mgunda hata apimwe na timu ngumu aje huyu mwamba anashinda

  • @mohamediidd1964
    @mohamediidd1964 Před rokem +2

    Sio kweli

  • @abdallahomaryabdallah
    @abdallahomaryabdallah Před měsícem

    Viongozi.wanaleta.wachezaji.sio.Benchika.hana.tatizo.uongozi.ndio.sio

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Před rokem

    Kipindi cha kibwege sana. Na mtangazaji wa kibwege

  • @kelvinkapinga4781
    @kelvinkapinga4781 Před rokem +1

    Looh! Kama Ni Friji, lishaanza kugeuka oven! Lakini kwa Mapenzi ya Mungu Pep anatoboa na kujitwisha mkataba...

  • @thomaskitemi3283
    @thomaskitemi3283 Před rokem +3

    Aliowakuta was8mpoyoshe kuweka watu wao juzi hatukutemea nyoni kuingia na kuna mtu kama kapama

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 Před rokem +2

    Mbona kilasiku simba simba tu

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem +3

    Wachambuz mbn mnachambua kimipashomipasho

  • @privamushi2512
    @privamushi2512 Před rokem

    Zandaaaani kabisa

  • @elishabisangwa958
    @elishabisangwa958 Před rokem

    Unajua nyee wasafi mnatumika vibaya halafu mnashusha Brandi yenu

  • @josephmongo91
    @josephmongo91 Před rokem +3

    Sema Hii Session Ya Ushindi Sanaa.! 😂

  • @robertnoel5232
    @robertnoel5232 Před rokem +2

    Simba , timu iliyofika robo fainali CAF mara 3

  • @khatibaliy4738
    @khatibaliy4738 Před rokem +1

    Moto simbaa

  • @vicentmakoro9162
    @vicentmakoro9162 Před rokem

    Zandaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaani kabisa sijawah kukichukia hiki kipind 😂

  • @lucaseli5465
    @lucaseli5465 Před rokem

    Mashabiki wote wa Simba tupo nyuma ya mgundaa na tunawaambia ivi viongozi wa Simba mgunda hatoki yatatokea maandamano mpaka wakome

  • @marwawilliam3648
    @marwawilliam3648 Před rokem +1

    Hamna hata cha maana.. kelele tupu

  • @eliyanorobeth8567
    @eliyanorobeth8567 Před rokem +1

    Wamezingua aiseee wangemwamini tu.

    • @saidsalum4602
      @saidsalum4602 Před rokem

      Viongozi wanacheza na psychological za wachezaji watapambana hadi tone la mwisho ili kulinda heshima ya kocha imeonekana wanampenda sana

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 Před rokem +1

    Mbona mna porojo sana???hayo si maamuzi uongozi? mnatakaje?

  • @boazmvellah6286
    @boazmvellah6286 Před rokem +1

    Wachezaji wamempenda Coach hvo wanapambana kwa jasho na damu

  • @habarikiswahili
    @habarikiswahili Před rokem +1

    Hahahahahaha 🤣🤣🤣 mwishoni limekutoka

  • @justingodfrey8282
    @justingodfrey8282 Před rokem

    His za ndan za uongo mbona

  • @jumakillo3280
    @jumakillo3280 Před rokem

    Embu tuachieni timu yetu

  • @Karromiatz
    @Karromiatz Před rokem +1

    Mchawi aliyekamatwa kanisani afunguka 👉👉
    czcams.com/video/Iz7WPJfuyIU/video.html. czcams.com/video/Iz7WPJfuyIU/video.html

  • @official_farajiasangoda7071

    Ety akufukuzae akuambii toka uyu jamaa muongo sana asa mgunda afukuzwe kwamakosa yapi??

    • @leomess1029
      @leomess1029 Před rokem

      Kichwa kigumu yaan sikiliza vzr

    • @arsenalic23
      @arsenalic23 Před rokem

      Uelewa wako kwenye hili ni mdogo ama uko polepole sana. Tazama tena

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před rokem +4

    Akiwafunga De Agosto mechi ya Home and Away na kuwachakaza Utopolo Yanga. Apewe mkataba wa Simba Spots Club mnyama

    • @jaymandy8136
      @jaymandy8136 Před rokem +2

      Kuwafunga Yanga ni ngumu

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 Před rokem

      Thubutuuuuu

    • @thomasnaibala6171
      @thomasnaibala6171 Před rokem

      Kwani yanga wanaugumu Gani

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 Před rokem

      @@thomasnaibala6171 ukitaka kujua angalia ngao ya jamii, na nusu fainali ya azam comfedration cup,

    • @thomasnaibala6171
      @thomasnaibala6171 Před rokem

      @@Kabeya410 kwahiyo hizo mechi ndio zinakudanganya ujue umewafunga simba kama hawakuwa na wanaelewana makocha ndio walizingua kwanza mechi ya ngao ya jamii kama sio kocha kafanya sabu za ujinga hiyo hamngechomoa

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 Před rokem +1

    We jamaa wewe Huwa umekaa kaa kama khanithi. Nadhani una cheche za ushoga wewe.. unapenda sana kufatilia mambo ya wanaume wenzako.. na kuzusha sana mambo.. wanakubanduwa msenge nyoro wewe

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 Před rokem +2

      Matusi yanini nyie ndo wale timu ikifungwa ooo matola Sasa choko Nani kama siyo nyie pumbavu zako

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 Před rokem

      @@Kabeya410 hapo we mwenyewe umeshatukana.. wale wale tu.. pumbavu shenzi bwabwa wewe

    • @geofreyukason
      @geofreyukason Před rokem

      Kwan ww umeambiwa ufatilie? Mbon unakua msenge msenge

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 Před rokem

      @@geofreyukason kwani na ww pia umeambiwa ufatilie au ucoment.. mbona unakuwa una washwa washwa nyoro kama bwabwa

    • @geofreyukason
      @geofreyukason Před rokem

      Wewe ndo unaleta mambo ya kisenge, ka shoga yan, ww unafahamu nini, kazi kukosoa tu mambo msoyajua.. Kuma we au unawekwa

  • @godfreymasele8853
    @godfreymasele8853 Před rokem +3

    Uongo mtupu mpumbavu huyu. Juma mgunda anamkataba wa mwaka mmoja na Simba. Hayo yakwako mburura wewe