#ZaNdaaaniKabisa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 06. 2022
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 122

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 Před hodinou +1

    UMEONGEA FACTS BRO
    MPIRA WA HAPA TANZANIA MASHABIKI TUMEKUA KAMA OMBAOMBA TU THAMANI YETU NI YAKUITWA KWENDA KUUJAZA UWANJA TU!" NA IKITOKEA TUZO BORA YA MASHABIKI PAPO HAPO NDIO WATAWAONA WAMAANA ILA KINYUME NA HAPO UJINGA MTUPU.

  • @jamesmahatane2723
    @jamesmahatane2723 Před 2 lety +4

    🤣🤣kuna watu wana toa mapovu huku 🤣🤣wali mshangilia sana makoloooooooo

  • @Zuwena-hx8ky
    @Zuwena-hx8ky Před 2 lety +7

    Upumbavu huo mchezaji akisajiliwa hawez kuombwa afunge badala ya yeye kufunga ndo lengo la timu kila mchezaji ajitume afunge

  • @JohnPaul-ch5mw
    @JohnPaul-ch5mw Před 2 lety +7

    MOMO nakubali sana

  • @balozimchomvu7779
    @balozimchomvu7779 Před 2 lety +6

    Hii nchi ina wajinga wengi sana, kwahiyo kila mchezaji kwenye game kubwa aombe bonus yake binafsi inaingia akilini kweli hiyo! Na bado mshahara wake anakula kama kawaida, huyo akwende tu kwakweli

  • @festomatewa3638
    @festomatewa3638 Před 2 lety +2

    nawew chawa Sasa wew umeyatoa wap hayo mmbeya wew

  • @seifsungura6936
    @seifsungura6936 Před 2 lety +3

    Kama ni kweli ndo alitaka hivyo basi hafai.....acha aende huko akeweka masharti...

  • @komboD
    @komboD Před rokem +1

    Ricardo mnyamaaa sana

  • @soccertv293
    @soccertv293 Před 2 lety +2

    Momo nimmbea ulisema simba wanamsajili nabi ukaingia chaka,huna za ndani wala za nje unadanganya watu

  • @yohanakayinga9279
    @yohanakayinga9279 Před 2 lety +1

    Wapumbavu sana Ninyi Koo ukimjengea mchezaj tabia hiyo itakuwaje kwa wengine hatuna mda huo

  • @Hfarahani52
    @Hfarahani52 Před 2 lety +1

    R.Momo Mbona Umetuwacha kwenye Round About

  • @dinhomdulla3320
    @dinhomdulla3320 Před 2 lety

    Wewe msenge sana Tena acha kuongerelea Simba

  • @mogelasaileni4685
    @mogelasaileni4685 Před 2 lety

    Jamani nilikua siamini maneno yaraisiwetu mamasamia sasanimeamini hatasisiwanaume kweli wambeya sana

  • @abdallahrenatus524
    @abdallahrenatus524 Před 2 lety +1

    Wachezaji wa kiafrica n ngumu saana kufanikiwa. Yaan mchezaji ameajiliwa alafu anataka alipwe Ili aisaidie timu maajabu

  • @wilbertsanze285
    @wilbertsanze285 Před 2 lety +1

    Hizi bonasi zitolewe kazi ya mpira imekuwa kama mpiga debe stand

  • @mathayohegwa1792
    @mathayohegwa1792 Před 2 lety

    Hafai kuwa mchezaji professional akacheze ndondo anakojipangia

  • @omarkhamis3909
    @omarkhamis3909 Před 2 lety +2

    Sasa Momo Kama wewe hapo utatoa hiyo bonas ?

  • @santoskato9679
    @santoskato9679 Před 2 lety +1

    Ivi izi za ndani uwa ni za Simba tu tena mbaya mbaya tuu?? Mbona hatusikii za Yanga?? Kuna bias kwenye hicho kipindi

  • @naukichiwinga2374
    @naukichiwinga2374 Před rokem

    Mkuda tu wew

  • @kawezaseleman5794
    @kawezaseleman5794 Před 2 lety

    Wewe mnafiki

  • @masatumgeta196
    @masatumgeta196 Před 2 lety +1

    Punguza miemko umaarufu unakuja tu yani wew umeongea na uyo mweu alafu unatuletea ujinga wa uyo mjinga unapoajiliwa na tim unaajiliwa uli kuisaidia tim sasa tena eti nikiamua gem mnanipa shilingi ngapi utadhania kakodishwa siyo mchezaji kamili wa tim

    • @mwalimumlanzi8106
      @mwalimumlanzi8106 Před rokem

      Yaani mchezaji umsajili umlipe halafu akupangie leo ili nicheze kweli nipewe bonus zaidi.duh halafu mwenyewe anaona muhuni yupo sahihi.je waajiri nao waseme hatukulipi kule huruhusiwi.jamaa anakataa ukweli kwamba yy mbea. Halafu hajui km za ndani zipo kotekote ila wadau tunazijua za huku na huku yy anajimwaga na upande huu akiongelea moja upande wa pili lzm aichanganye na upande A na moja kwa saba. Raha yake inafahamika hatuna waandishi na wachambuzi wa michezo

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 Před 2 lety

    Kwa hyo alisajiliwa Ili afanye kazi gani ikiwa kutumiza wajibu wake Hadi apewe Hela tena ?

  • @edisonbenard226
    @edisonbenard226 Před 2 lety

    Huyu jamaa mjinga sana mshahara wa mchezanji unakazi bonasi ni kujickia

  • @Adeen.1
    @Adeen.1 Před 2 lety

    Hiyo mikataba ya ndondo ndo waweza omba uongezewe ukiisaidia team...fala huyo mtoto.

  • @hezronmwambije8043
    @hezronmwambije8043 Před 2 lety +1

    Mzeeee wa kuderee yupo kuchomoa betriii

  • @ibrahimuhincha1457
    @ibrahimuhincha1457 Před rokem

    Kazi umbea tu mkeo wanamgonga nigeria

  • @naukichiwinga2374
    @naukichiwinga2374 Před rokem

    Kuza midia kwa kuongea unachojiskia.Laik kama wazaz wako wangejua mdomo wako uo ulivo Sidhan ata kama wangekuruhusu kutumia vijiko hom

  • @meshackmwalongo1753
    @meshackmwalongo1753 Před 2 lety

    Midia zingine mnajidhalilisha tu.

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 Před 2 lety +2

    Momo simuelew sema tu ndo ndugu wa diamond😃😃😃 biashara nying africa zinakufa sababu ya kumchukua ndugu kisa tu ndugu hata kama hana uwezo

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim Před 2 lety +1

    Kenge jinga sana huyu

  • @ndaganoanastazia2658
    @ndaganoanastazia2658 Před 2 lety +3

    J Lo tenaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @godwinananias5358
      @godwinananias5358 Před 2 lety

      Alafu anakwambia ni JUMA LOKALE ndo JR dah momo bhan 😜😜

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před měsícem

    Huyu muongo huyu hata haogopi dhambi

  • @ofreyking5975
    @ofreyking5975 Před 2 lety

    Hela za nn wakat ni kazi yake analipwa mshahala kwa kazi hiyo

  • @kilonzomichael2328
    @kilonzomichael2328 Před rokem

    Simba inanipa mawazo mno nitim yangu ila Simba Tim yangu mh!

  • @juma6253
    @juma6253 Před 2 lety +2

    Momo boya kweli eti goli moya

  • @rahimmarions5712
    @rahimmarions5712 Před 2 lety

    Hapo na ww unachanganya..aamue game yeye kama nani..je hapo alipokuwa alikuwa kama nani..si mtumishi..why aseme apewe bonus

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 Před 2 lety

    Wewe ni kiazi tu.
    Hakuna wa kiume wa aina yako

  • @Aidansimwanza
    @Aidansimwanza Před 2 lety +6

    Wenye akili watakuelewa wapumbavu ningumu sana

  • @bigshangazi2945
    @bigshangazi2945 Před 2 lety

    🙆🙆🙆

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Před 2 lety

    Ili kuheshimiana inabidi tuanze kushitakiana. Ili tuheshimiane

  • @vitalesmgenge5068
    @vitalesmgenge5068 Před 2 lety

    Kama ndivyo bac naendee mana huo niujinga😅😅😅😅

  • @salimmtanga8230
    @salimmtanga8230 Před 2 lety

    Mzee
    Wa zandani hizo unazo tuletea ni uwongo yy anaweza kumaliza mechi uwanjani yuko pekeyake haingii akilin

  • @ammytheboy3098
    @ammytheboy3098 Před rokem

    Huu ni uongo wa waz akuna mchezaj kama uyo duniani mnaharibu kipindi kwa kusema yasiyokuwepo

  • @annamhagama6512
    @annamhagama6512 Před 2 lety +1

    Iv nyie wasaf iv mchambiz ni uyu tu kwanza anacho ongea ni upumbavu tu kila siku kumpost yeye au ndo kisa ndugu wachambuz halis amuwaweki mnaboa sana

  • @venasitkisigavenasitkisiga6837

    Mbona pcha ya dhamani

  • @aminimaimu358
    @aminimaimu358 Před 2 lety

    Chukua iyo

  • @salumkhamis83
    @salumkhamis83 Před 2 lety

    Huna ishu kama mtu umsainiwa unapatana nn nakazi yake kucheza

  • @cornerylulangara2280
    @cornerylulangara2280 Před rokem

    Wewe siyo mtu wa mpira, kaa kimya

  • @dr.rimack8484
    @dr.rimack8484 Před rokem

    Duuuuuh 😲😲😲😲😲

  • @allyhamisi6394
    @allyhamisi6394 Před 2 lety

    sasa mbona Morissette Kate katemwa na simba

  • @nashon7737
    @nashon7737 Před 2 lety

    Sas mchezaj anaombaje Hela mnamshabkia wakat ND Kaz yake,,?

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Před 2 lety

    Yeye kazi yake na analipwa mshahara kwajili ya kumaliza mchezo aendee tu simba tushapita huko kugombana na wachezaji hakuna mchezaji ndani ya kikosi simba wakamtaka wakashindwa kumzuia ukiona wamemuachia ujue simba hawakua na mipango nae morison

  • @jokharisuleiman4689
    @jokharisuleiman4689 Před 2 lety

    Aaah issue za kifala

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 Před 2 lety

    Wewe wacha uwongo kwani anacheza pekeake hata aamua

  • @masumbyomaxmillian5078

    Unatumwa na nani?

  • @mymbaralitv2968
    @mymbaralitv2968 Před 2 lety +1

    JLo 😃😃😃😃😃😃😃

  • @songomary908
    @songomary908 Před 2 lety

    Kwenye hili mimi ni mpumbavu

  • @cantonaiddy6042
    @cantonaiddy6042 Před rokem

    Ww muongo acha kutunga tunga co ya kweli

  • @hussseinmasangya7130
    @hussseinmasangya7130 Před 2 lety +3

    Moyaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @gervaskisinza1227
    @gervaskisinza1227 Před 2 lety

    Nyie waongo tu sababu ni watangazaji wa udaku hamna lolote

  • @nassrahemed9564
    @nassrahemed9564 Před 2 lety +1

    Hahahahaaaa Juma lokole lako ilooooo

  • @mwitahassan1934
    @mwitahassan1934 Před 2 lety

    Bora umsikilize juma lokole kuliko huyu jamaa kwani umo uwanjani anacheza peke yake wewe na morison nyote mnapakuliwa

  • @sniper93999
    @sniper93999 Před 2 lety

    Wenye mind tutakuelewa wengn wataendelea kucomment matusi

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 Před 2 lety

    Yani we mpumbavu sana uamue gemu kwa goli moja alafu unajikuta unaongeeeea boya

  • @emmanuelnono8080
    @emmanuelnono8080 Před 2 lety +1

    Pumbavu sana

  • @mogelasaileni4685
    @mogelasaileni4685 Před 2 lety

    Wewe muongo mchezaji awezi kusemaivyo wakatiyeyenimchezaji achakupotoshauma

  • @juliethygerald1150
    @juliethygerald1150 Před 2 lety

    Sijawah ona wala kusikia pumba kama hizi

  • @salumkhamis83
    @salumkhamis83 Před 2 lety

    Huna lolote iyo siyo point

  • @abdulrazaqallyshemmela2769

    Mpuuzi Hugo na umbea wake

  • @slimmtani8236
    @slimmtani8236 Před 2 lety

    Kwa hiyo mshahara anaolipwa kazi yake?

  • @abdulrazaqallyshemmela2769

    Ubwehge huo unaoueleza

  • @patrickmelody4548
    @patrickmelody4548 Před 2 lety

    Ongea tu ili uongeze viewers bwana

  • @MaindaSeketo
    @MaindaSeketo Před 17 dny

    Vp

  • @paulolmabu7161
    @paulolmabu7161 Před 2 lety

    Huyu naye ni mjinga tu

  • @habibyabeidy8946
    @habibyabeidy8946 Před 2 lety

    Acha ufala na ww mchezaji apewe mechi hio hio moja apewe bonus na wenzake then apewe bonus yake peke ake haingiii akilin au ana kulamba matako nini ndo Mana umekuja kuongea utumboooo

  • @letasmatema5907
    @letasmatema5907 Před 2 lety

    We msenge unatumalizia MB zetu fara wewe

  • @allyakida3781
    @allyakida3781 Před rokem

    Kwahiyo kacheza pekee yake

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Před 2 lety

    Huyo mbeya ingawa anasema sio, story za mtaani au kijiwe.

  • @fra_nyuki
    @fra_nyuki Před 2 lety +1

    Makofi ya nyani eeeeeeh

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha6755 Před 2 lety

    Momo,,,

  • @azizakiswili9063
    @azizakiswili9063 Před 2 lety

    Afadhali hata ya juma lokole kuliko wewe,acha ushubwada

  • @dotogiving9293
    @dotogiving9293 Před 2 lety

    Kaka uyu kiongea hajui kabisa ,umekuja kufanya nn interview

  • @eddyrich.3312
    @eddyrich.3312 Před 2 lety

    Wasafi nanyi mnapotea kwa kumrusha mtu mmbea kama huyu.

  • @siwonikewiliam5104
    @siwonikewiliam5104 Před 2 lety

    Huyu mnafiki TU ajui lolote

  • @user-xv8dm8gy5u
    @user-xv8dm8gy5u Před 18 dny

    Benadi molisoni huyò

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 Před 2 lety

    Hahahaha et zandaaani

  • @hamzaomary287
    @hamzaomary287 Před rokem

    Okwa

    • @DaudSiprian
      @DaudSiprian Před 12 dny

      Ww hayo nimenine2 tunataka vitendo

  • @malakigerald8586
    @malakigerald8586 Před 2 lety

    Muongo mkubwa wewe,na naanza kuona hii radio kama kijiwe cha wauza kahawa.
    Hicho unachosema ni uongo mweupe.mnaharibu tasinia ya habari kwa kusema uongo kwa jamii.

  • @senenembeya.9753
    @senenembeya.9753 Před 2 lety

    Uo umbea mwongo wewe...kwani yy ndo alikuwa mganga wa timu, na ndo kitu ambacho simba haitaki kama ni bonus ni kwa wachezaji wote, basi angecheza mwenyewe.

  • @AlexAlex-eo7hj
    @AlexAlex-eo7hj Před 2 lety +1

    Mfyuu

    • @daillyathuman4941
      @daillyathuman4941 Před 2 lety

      Momo mchezaji ameajiliwa ili iweje? Kama Ni hivyo Simba wako sawa kabisa

  • @frankzominister1473
    @frankzominister1473 Před 2 lety

    Mashoga wa Mond wapo kazini uwongo mwingi kuliko ukweli...😂😂😂

  • @hamzarumela1784
    @hamzarumela1784 Před 2 lety

    yaani mwanaidi dawa yako ni kupeleka posa kwenu tu wallah maana hamna namna

    • @stn4873
      @stn4873 Před 2 lety

      Inabidi ufanye hvyo.

  • @Zuwena-hx8ky
    @Zuwena-hx8ky Před 2 lety

    Huo ni Ushamba unaongea kama mtoto wa chekechea

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Před 2 lety

    Mpira wa Tanzania ni upumbavu mtupu

  • @nizarmanji5343
    @nizarmanji5343 Před rokem +1

    Upumbavu mtupu

  • @santinoplacid7571
    @santinoplacid7571 Před 2 lety

    nimesoma comments zote humu nikagundua kabisa mashabiki wa simba mwaka huu walio wengi wana matatizo ya akili na saikolojia maana sio kwa matusi haya dah ila poleni sana wana msimbazi 😂😂😉

  • @hdmsasa3355
    @hdmsasa3355 Před 2 lety

    Gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomkalisha MBOSO KHAN czcams.com/video/Cdyxj5ymOR4/video.html

  • @paschalpeter4540
    @paschalpeter4540 Před rokem

    Uongo mtupu

  • @thobiasandrew8375
    @thobiasandrew8375 Před rokem

    tazama uwezo wa OKRAH uwanjani 👇👇👇
    czcams.com/video/mYQWklT6Dqg/video.html

  • @ernestgamba3732
    @ernestgamba3732 Před 2 lety +1

    Uzushi na upuuzi tu huo,Simba haina mtu special kiasi cha kutengewa special bonus eti kawahakikishia ushindi...very stupid information ever🚽🚮