MIRAJI |CHAMA ANASAJILIWA YANGA SISI BADO MAZUNGUMZO NAE| BRAND YA CHAMA WATU WAMEMSAHAU MUTALE😢

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 345

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 Před měsícem +27

    Miraji Mimi nakuombea siku moja uje kuwa moja ya viongozi pale Simba, akili kubwa sana mwana unayo 🎉

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před měsícem

      Kuongea na kutenda ni vitu viwili tofauti!! Kwa UZOEFU gani! Kwa historia gani ya uongozi hata wa timu ya mtaa? Kuongea bila kuwa na majukumu is easy! Uongozi sio kitu rahisi!

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 Před měsícem +18

    Hatimae na miraji huyu hapo sasa hapa moyo wangu burudanii mzee saidi nishamsikiliza ❤❤

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 Před měsícem +13

    Miraji kuna muda nakuelewa kuna muda sikuelewi lakini all n all❤❤❤uu

  • @stevensosipita
    @stevensosipita Před měsícem +37

    Milaji taratibu mabega ya chagamba tunamtegea usije kumtengua

    • @godwinkileo7702
      @godwinkileo7702 Před měsícem +1

      😅😅😅😅😅😅

    • @moseskmbusi2149
      @moseskmbusi2149 Před měsícem +1

      Tunamtegemea hasa hasa kwa ajili ya mazungumzo na mzee wetu saidi, bhana

    • @B.M-ix4rz
      @B.M-ix4rz Před měsícem +1

      Tofauti ya miraji na mzee said ni :
      Chagamba akimuhoji mzee said anapata faraja na kucheka
      Miraji xaxa ni kipigo tuuu

    • @moseskmbusi2149
      @moseskmbusi2149 Před měsícem

      @@B.M-ix4rz ni sawa lkn miraji huwa anaficha ukweli ana dili na ushabiki wa timu, lkn mzee side ni mkweli mtupu tena anasema potelea pote tunazaliwa mara moja na tunakufa mara moja na kww kuwa wamezoea kuteka na kutuweka ndan watatuweka ndani mno

    • @stevensosipita
      @stevensosipita Před měsícem +1

      @@B.M-ix4rz dah namuonea huruma sana chagamba si kwa mikofi hiyo ila mwambieni miraji anamuumiza sana chagamba

  • @abunajreenELSESANY
    @abunajreenELSESANY Před měsícem +15

    KIBU DANIS is Fantastic PLAYER
    MAKOCHA wote wakubwa waliopita SIMBA, wamemkubali SIMBA

    • @drallan6879
      @drallan6879 Před měsícem

      kibu Denis sio fantastic goal moja Kwa msimu assist moja huo ufantastic upo wapi?

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi Před měsícem

      Vp kuhusu Chama

    • @abunajreenELSESANY
      @abunajreenELSESANY Před měsícem +1

      @@drallan6879 MPIRA NI ZAID YA GOLI NA ASSIST.
      GOLI NI MCHAKATO, NA ASSIST NI MCHAKATO.
      Watoto wajuZi hawajui MPIRA

    • @abunajreenELSESANY
      @abunajreenELSESANY Před měsícem +1

      @@drallan6879 NGOLO KANTE Ana GOLI ngapi na assist ngapi???

    • @twalibkibiriti8990
      @twalibkibiriti8990 Před měsícem

      Na ilikuwa mnampiga mawe vbaya mnooo

  • @josinatrderss
    @josinatrderss Před měsícem +1

    Miraji ulisema unasubiri thenk you ya chama.leo unalaimu uongozi na unajua ni duka ,inonga na manura yote ni maduka

    • @deonatusdaud4640
      @deonatusdaud4640 Před měsícem

      Uwe unaskiliza kwa makini..anachokikataa milaji n zarau anazoletewa chamq n viongozi..

    • @SimonSamson-wp5ik
      @SimonSamson-wp5ik Před měsícem

      Wewe chiz subili sasa c ndo msimu imefka toa unayoamin maduka afu tuone kama hata utachukua hata kikombe Cha chai ndo maana munaitwa madunduka 😂

  • @alexsikab6433
    @alexsikab6433 Před měsícem +5

    Siwezi kumzarau chama juu ameyafanya mengi kwa ajili ya Simba nitamuweka moyoni ijapokuwa amehenda utopolo nitamshabikia lakini mm Niko Simba 100%

  • @BADILIJUSTUS-fs3oo
    @BADILIJUSTUS-fs3oo Před měsícem +2

    Miraji miraji chama ameisha usifananishe na kibu Denis mwenyewe huamini kama anaweza cheza dakika 90 apo TU umekiri mwenyewe Sasa wanini na mshahara wake unaujua pia chama mpira ukimshinda anachochea migomo kwa wachezaji wengine kamuharibu phiri na miqsoni kaizoea timu vibaya adi viongozi anawadharau aende apisha wachezaji wa kisasa ww Kaa utulie

  • @Sanjey-vp1fm
    @Sanjey-vp1fm Před měsícem +4

    Cc tunaumia zaidi tukifungwa na mtani na kwenye gem zetu na mtani chama was nothing alikua anatuhujumu kwenye gem izo lkn c kwamba chama kashuka kiwango hapana. Tunampenda sana, katufurahisha sana lkn mechi za mtani kutuhujumu bora aende tu.

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před měsícem

      Una uhakika?

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Před měsícem

      ​@@mohdkhatib223bado dawa haijawaingia ngoja ligi ianze tuwape ingine

    • @chrisantusnditi8670
      @chrisantusnditi8670 Před měsícem

      Kwani uwanjani alikuwa anacheza Chama peke yake?Iweje awe anaihujumu Simba?Ni mara ngapi Simba wamepata matokeo wakati Chama yupo benchi?Kwa misimu miwili ya nyuma kabla huu wa 2024,umeangalia namba za Chama akiwa Simba?Unatambau kwanini namba za Chama mwaka 2023/2024 kwanini zinaonekana zimeshuka?Mambo mengi na muda mchache, subiri matendo kwenye uwanja kwa tripple C,hapo utajifunza kitu

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 Před měsícem

    MIRAJI kwakwel wewe unaujuwa mpira pamoja na management yeyote ya mpira wa miguu..! upo vizuri sana nakukubali.....!

  • @josephsiame5373
    @josephsiame5373 Před měsícem +9

    Hakuna asiyempenda chama ila ndugu kunawakati usiwe mtumwa wa mapenzi utajikuta kubaki hapohapo bila maendeleo

    • @denishaule6314
      @denishaule6314 Před měsícem

      What he has said is its ok for him to leave but simber fc must recognize his contribution to simba…respect kwa chagamba

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi Před měsícem

      Kwahiyo Bora umchukie mtu bila 7bu

    • @trice_yanga
      @trice_yanga Před měsícem

      shida ni baadhi ya mashabiki huwa hatujielewi unakuta unamtukana mchezaji mpira haupo hivo

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před měsícem +1

    Maneno ya maana kama haya ya Miraji huwezi kuyapata kwa Kisugu CHAWA, mzaramo TUMBO wala yule KOFIA la JOKERI...!...Big up Miraji

    • @user-ht5tc5yv5t
      @user-ht5tc5yv5t Před měsícem

      Hahahaaaa kofia la joker😂😂😂 kinaitwa pass million

    • @JacksonFrances
      @JacksonFrances Před měsícem

      😂😅😂😅 Eti Kofia La Jokeli "

  • @user-kw3bq4mb2l
    @user-kw3bq4mb2l Před měsícem +2

    Jamaaa anajua sana soka👏👏

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 Před měsícem +1

    Akili kubwa miraji, hongera broo

  • @AbasiyaKingalu
    @AbasiyaKingalu Před měsícem +2

    Yupo kwa ulaya alikuwa Michael Owen alikuwa Manchester United kaenda Liverpool na akarud ten Manchester United babaaa

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Před měsícem +5

    Kocha aliyepo haitaji kutengeneza mifumo kumzunguka Chama swali ni kwanini siku za hivi karibun makocha wengi walioingia Simba hawakuwa wakimuelewa

    • @BADILIJUSTUS-fs3oo
      @BADILIJUSTUS-fs3oo Před měsícem

      Amechoka tumejivua mzigo mkubwa kabisa chama alikuwa ashachoka hawezi ata kukimbia huku nahuku timu inacheza kumzunguka yeye mbona mwanzo alikuwa anazunguka Kila sehemu kiungo kiungo et ndio tatizo kubwa Simba kwanini wakati chama yupo kwani hakuwaga namba nane mwanzo amechoka atafia yanga huko

  • @majaliwaandulile8379
    @majaliwaandulile8379 Před měsícem +3

    Hapo miraji ndiyo napokukubali ukweli wako tu

  • @user-cv4yi5hz9b
    @user-cv4yi5hz9b Před měsícem +3

    Tunapiga kweny mshono 7:01 🔜🤲🏻🤲🏻🏆💚💚 yanga bingwa 🏆🏆😊😊😊

  • @PauloNorbert
    @PauloNorbert Před měsícem

    Sana miraji

  • @davidjohn540
    @davidjohn540 Před měsícem

    Hapo Miraji unazingua, kwahiyo mchezaji haiangaliwi kwenye Namba zake tu. Na huwezi kumpa Chama heshima kubwa hivyo kuliko Club, bro haipo hiyo kwanza utambue mchezaji wako alishakuwa na mahusiano na maadui kitambo na alishaonesha utovu wa nidhamu kitambo.
    Kuhusu THANK YOU haikubaki yake tu zipo nyingi zinakuja

  • @omarysauti7450
    @omarysauti7450 Před měsícem +2

    Chama kaenda sawa ❤tunaomba mtuletee wazur zaid maana mtatuuwa

    • @dicksonfondo3078
      @dicksonfondo3078 Před měsícem

      😂😂😂😂😂hamtakufa bn ila chamoto mtakiona

  • @AllyMagige
    @AllyMagige Před měsícem +5

    Miraji bigap

  • @IbraMwakipesile
    @IbraMwakipesile Před měsícem +1

    Mimi nakubali maneno Yako miraji napenda ukweli Bado usajili Mimi sielewi kabisaaaa

  • @adamchihungi
    @adamchihungi Před měsícem +1

    Sasa milaji Chama angepewa thank you mapema wakati mkataba wake ulikuwa unaishia mwezi wa Sita mwishoni

    • @nkoydavid9658
      @nkoydavid9658 Před měsícem

      Labda angemlipa yeye kuvunja mkataba 😂

  • @mzongekibwana838
    @mzongekibwana838 Před měsícem

    😂😂😂chagamba ilo bango la BIMA miraji atalitoboa😅😅😅

  • @raphaeltanzania
    @raphaeltanzania Před měsícem

    miraji umeongea vema kabisa na chama alistahili thank you mapema mno ili kutuliza mioyo yetu hapa wanatugawa na kutusambalatisha vilivyo viongozi wetu

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 Před měsícem

    Miraji acha kumlilia Chama unaendelea kubrand mchezaji ambaye sio wa timu Yako ni faida kwa timu yao maana unapeleka presha kwa viongozi wa timu yako just in case waoaletwa wakichelewa kidogo kuleta matarajio utulivu unaondoka better kuwa kimya kuhusu huyo aliyeondoka kama hauna Cha kusema kuhusu waliokuja

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 Před měsícem +1

    Kweli kaka miraji pale msemaji Mimi Kila siku namwambia msemaji asipende kumsifia wachezaji wanarogwa kabra hata awaingia uwanjani,mfani ukuta wa yeriko onana Fredi fungafunga babakari Sali tuliambiwa alimkaba ronado sasa yakowapi niwengi mno

  • @paschaziaalobati9946
    @paschaziaalobati9946 Před měsícem

    Nakukubali kabisa

  • @user-ic2cb9gm2j
    @user-ic2cb9gm2j Před měsícem +1

    Miraji akilii yko ni level nyengine lkini wengine ni mavuvuzelaa

  • @user-qi3wv8sf5j
    @user-qi3wv8sf5j Před měsícem +3

    Yes,akitoa MZEE SAID anafuata MIRAJI Mahojiano bora sana this moment CHAGAMBA

  • @HakimBakar
    @HakimBakar Před měsícem +9

    CR7

  • @user-uf6rp7pp2l
    @user-uf6rp7pp2l Před měsícem

    Miraj always namuelewa ila leo naona kuna sehemu tumetofautiana kimawazo na kiuelewa!
    Binafsi ishu ya chama kuondok lazima ingeleta tuu mgawanyiko kwa mashabik na hili wala sio ttzo la viongozi coz huwez control hisia za watu.
    Lkn pia Chama amekuwa legend wa simba soo kitendo cha yeye kwenda kusign kwa wapinzani wakubwa wa simba lazima wangetokea watu kum-crush.
    Mfano ikitokea leo mchezaj kipenzi wa Al-ahli akaenda zamalek jua kuna mashabik wengi watam-crush kwa sabb hyo.
    Soo nafikir issue ya chama wala viongozi hawajatugombanisha bali ni hisia tuu za baadhi ya mashabiki baada ya yy kuhamia kwa wapinzani.

  • @mikidadymanga1346
    @mikidadymanga1346 Před měsícem

    Appreciate you ankor l@miraj

  • @emmanuellongon3136
    @emmanuellongon3136 Před měsícem +1

    Chama hakimbiii ,hauwezi kuwa na mchezaji ambaye amekuwa mkubwa kuliko timu

  • @jumamgeni6403
    @jumamgeni6403 Před měsícem +7

    Mimi niyanga rakini milaji unakuwaga mkwer xan tatizo mpira we2 unaendeshwa kisiasa

  • @yanshuking
    @yanshuking Před měsícem

    Ahmed ally ni msenge sana abaporojo nying mno wanamtumia vby mno

  • @user-vr6wt5rr5v
    @user-vr6wt5rr5v Před měsícem +1

    Nakubali sana wanaa 😂😂ila chama tumesha mubeba imeisha iyooo 💛💚💛💚😂😂

  • @Shadia544
    @Shadia544 Před měsícem +3

    😂😂😂Miraji na chagamba jamaniii nilikuwa namsubili miraji na chagamba wangu 😂😂😂CHAGAMBA LEO BEGA HUNA 😂😂😂😂😂

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 Před měsícem +2

    Viongozi wawe watulivu kiakili kumudu mambo kukaa kwenye mstali mnyoofu🎉

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 Před měsícem

    Miraji unakuwaga na mihemko sana .. siyo siku ile tumepigwa tano ulisema kuna wachezaji wametupigisha shoti? Siku ile Chama wamegomabana fitness coach hukusema Chama ni tatizo? Leo unalalamika nn Chama kuachwa?

  • @ReginadAloyce
    @ReginadAloyce Před měsícem +2

    Gambaaa chagambaaaaaa 🎉🎉gambaaa baba

  • @muhsinkimaro4283
    @muhsinkimaro4283 Před měsícem

    Miraji nakuelewa sana, tutakuja kuaibika halaf tutatafuta majib ya nn kimetokea

  • @bernardkabakama
    @bernardkabakama Před měsícem

    Miraji kumbuka chama toka aingie tz hajawai kupaform mechi ya yanga tukubali alikuwa mamluki

    • @jumayusuf1694
      @jumayusuf1694 Před měsícem

      We nae kiaz kweli? kwan ligi unacheza na Yanga tu? Haya Fredy kawafunga Yanga tuseme ndo bora

  • @betrosychangula5581
    @betrosychangula5581 Před měsícem

    Miraj hapo unafel cham hadharauliw ila watu wanataka kumwondoa mioyon mwao tunapaxwa kuwafikilia wanao kuja kuitumikia ximba xio chama tena tumwache aende alafu unalazimixha thank you y cham ilitakiwa mapema kixhelia ulitak ximba wamlipe kw xabab mkatab wake ulikuwa hauja ixha n ndio maan hata yanga wamexbir mbak amalize mkatab wak ndio wamtangaze

  • @mrajani786
    @mrajani786 Před měsícem

    Huyu ansema mtego maana yake nini
    Wewe haufamu chama gari model ya zamani lifetime yake ni Mwaka moja tuu na chama alikuwa anataka dola milloni moja mkataba mpya hata mo alikuwa full stop

  • @FredyPeter-rq8hj
    @FredyPeter-rq8hj Před měsícem

    mabega hayo unapo kuwa unamuhoji milaji unatakiwa uwe nagad yatakuja kung'oka ❤❤

  • @user-jo5ts1se2i
    @user-jo5ts1se2i Před měsícem +5

    Simba

  • @user-xz2vl8up5e
    @user-xz2vl8up5e Před měsícem

    miraji acha jaziba hakuna anae ubeza ukubwa wa chama au uwezo wa chama miraji tukubali mabadiliko tunaitaji kzazi kpya Tim ilisha poteza muelekeo tunaitaji kuijenga Simba mpya bila chama

  • @user-wm4nq2vk2e
    @user-wm4nq2vk2e Před měsícem

    Wewe ndo una matatizo ya kumganda mchezaji mmoja😊

  • @MusaDadi-pd3jd
    @MusaDadi-pd3jd Před měsícem +7

    Miraji kama kuna mtu imemuuma sana chama kwenda huko utopoloni amfuate huko aliko Atuachie simba yetu

  • @JamesKatabazi-sf3pf
    @JamesKatabazi-sf3pf Před měsícem +1

    Mabega hyo miraji utatuulia ch@gamba wetu

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Před měsícem +1

    chukua maua yako we na mzee said mnaongea fact kwanini miraji usifanye interview mbele ya kisugu masatu na wakina aggy simba doctor mo chagamba akawafundisha kitu mm yanga ila utabaki kua mmoja wawale wachambuzi ninao wakubali hapa tz

    • @SuhuurFarxaan
      @SuhuurFarxaan Před měsícem

      We ndo unajua mpira Ata mm ni yang ila uyu mwamba namuelewa

  • @josephshishira6301
    @josephshishira6301 Před měsícem

    Chama hakupewa thank u mapema kwa sababu mkataba wake ulikuwa unaisha trh 30 Juni

  • @bauchahamad5333
    @bauchahamad5333 Před měsícem

    Chagamba Huna mpango wowote basi nenda yanga ujinga tu nenda kwa mzee mwenzako

  • @user-ib2ew9ec3d
    @user-ib2ew9ec3d Před měsícem

    Acha ushamba Broo chama ninani achaufala aendetu nimaamuzi yake

  • @user-ms8nt6ql9k
    @user-ms8nt6ql9k Před měsícem

    Yani miraji bwnaa

  • @azizimaketa2060
    @azizimaketa2060 Před měsícem +1

    Hatuwezi kuathirika kila jambo lina muda wake. Hakuna mtego hapo Hata Kibu mm simkubali angeondoka tuu nae

  • @SuleimanIbrahim-lp7qs
    @SuleimanIbrahim-lp7qs Před měsícem

    Kaka miraji umengea vibaya sana asante

  • @user-mx4vz3jt2n
    @user-mx4vz3jt2n Před měsícem

    Kaka akuna dharau alizo fachiwa chama. Kaachwa kwann tusikubali mi naamini atuuingii shimoni

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před měsícem +2

    wewe ulitaka akae mpaka mpira uishe???acha aende zake uko utopolo fc ,SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOO

  • @chricjoseph1340
    @chricjoseph1340 Před měsícem +3

    Miraji kaumia chama kuondoka bn Hana lolote😂😂😂😂

  • @user-xz2vl8up5e
    @user-xz2vl8up5e Před měsícem

    umefika mda Simba tuishi bila chama kweli alafanya makubwa sana .natuta mukumbuka kwa mazuri ila tunaitaji Simba Mpya ya kizazi kpya ili kwenda kwenye nchi ya ahadi tuche mzozo wa chama miraji Leo unaongea kwa jaziba kwa sababu ww nikipezi Cha chama ilo ndo tatizo hakuna mashabiki wa Simba anae u

  • @EdsonMdagachule
    @EdsonMdagachule Před měsícem

    Kaka Miraji yupo sahihi kabisa

  • @kigura_jr
    @kigura_jr Před měsícem

    Hivi chagamba unawezaje kuhimili makofi makubwamakubwa hvo kutoka kwa miraji 😂😂😂

  • @aloycebina8968
    @aloycebina8968 Před měsícem

    Watu atujachukia chama kuondoka watu wanamchukia chama kwenda yanga labda ujaelewa

  • @user-fq5lh1uu6d
    @user-fq5lh1uu6d Před měsícem

    Miraji cku atakuja kumuwamba makofi chagamba bila kutaraji 😂😂😂 au kumvunja mabega kabsa😂😂😂

  • @innocentjoseph805
    @innocentjoseph805 Před měsícem

    we miraji ni mpumbavu sijwahi kuona ata siku moja, uizungumzie simba vizuri kila siku nikuitoa kasoro hakuna ata siku moja ukaiongelea kwa uzuri.

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 Před měsícem

    Wewe hamia naye yanga kwani kama mkiwaambia tu walete wachezaji zaidi unatatizo gani , kwanini tumsifie mke wa jirani ? Usitake kutuingiza kwenye biashara za watu wewe au huoni kuendelea kumpamba chama ni kuipamba yanga, hata kama akienda akirudi tutampokea ila kwa sasa tunatamba na timu yetu

  • @KibibiHemed
    @KibibiHemed Před měsícem

    Bega la chagamba baadaa ya interview lazima ukandwe😂😂😂

  • @betrosychangula5581
    @betrosychangula5581 Před měsícem

    Ukimpa thank you mapema unakuwa umevunja mkatab viongoz walikuw xahh kuxubil mkatab uixhe

    • @barakamwafwalo4680
      @barakamwafwalo4680 Před měsícem

      Na mbona mkataba umeisha hawajatoa official Thank you?? Lini umeona Simba imepost kuwa imeachana na chama hata badala ya mkataba kuisha?

  • @abdulahabdi480
    @abdulahabdi480 Před měsícem

    Miraji utamumiza huyo chagamba 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 Před měsícem +4

    Hekima ya Neno hili limenijenga zaidi "Kunawakati lazima upoteze unachokipenda ili kikujenge kuwa imara zaidi, lakini kama haujajitambua kinaweza kikakupoteza au kukuharibu zaidi🎉🎉

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp Před měsícem

    Sasa nani kagawanyika sisi mashabiki tume mupa kilalaheli kwenye timu yake mupya kwani chama ni mwana chama wa simba tambuwa wachezaji Wana pita

  • @user-zr9jl3hn6c
    @user-zr9jl3hn6c Před měsícem

    Miraji upo sahihi kabisa, chama sio tatizo la Simba kushuka

  • @ngwilunyiga2447
    @ngwilunyiga2447 Před měsícem

    Mambo bado san simba inatisha sijuwi itawaje

  • @roberttagaya9098
    @roberttagaya9098 Před měsícem

    Huyu nae ni mnafiki sana. Juzi tu yeye ndie aliyekuwa anaongoza kutaka Chama aachwe kisa tu alishiriki kuhujumu mechi ya goli 5 Simba ilipo fungwa na utopolo.

  • @user-fq5lh1uu6d
    @user-fq5lh1uu6d Před měsícem

    Eeh miraji taratibu vidole na macho ta chagamba 😂😂😂 tunamtegemea bado

  • @user-sy4wf5ll4o
    @user-sy4wf5ll4o Před měsícem

    Ahamed Ali muambieni aache kuwasifia wachezaji sana anawapaka mafta mno hiz nisimba na yanga babu

  • @mussaandrew2083
    @mussaandrew2083 Před měsícem

    Naam Chama ni mkubwa

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Před měsícem

    Ronald kwend Madrid kurud United au sio dabi

  • @WILLIAMBONIFACE-zh9hv
    @WILLIAMBONIFACE-zh9hv Před měsícem

    ❤❤namkubalisana milaji bigap

  • @abunajreenELSESANY
    @abunajreenELSESANY Před měsícem +1

    MPIRA ni zaid ya ASSIST & GOAL.
    Wachezaji huwa kiwanjani wako 11 ila ni vigumu kumaliza mechi na goli 11.
    NGOLO KANTE amebeba uchezaji bora wa mechi 3 mfululizo na hana ASSIST na wala HANA GOLI.
    Mchezaji anapimwa kwa:
    1. Kujituma uwanjani
    2. Speed
    3. Kubalance shape ya team
    4. Kutibua mipango ya team pinzani.
    Huyo ndio Mchezaji anavyopimwa. Ukitumia MAGOLI na ASSIST, kupima wachezaji, basi FABIO CANNAVARO, PAULO MALDINI, GENARO GATTUSO, EDGA DAVIDS, CLARENCE SEEDORF wasingekua Wachezaji BOR.

    • @Shijajohn5084
      @Shijajohn5084 Před měsícem

      Haha Messi na ronaldo walikua wana kaba sana? Na hao ndo wachezaji bora duniani kwa sasa. Aziz ki wala sio mkabaji sana lkn yanga kila mtu anafanya kazi yake ya kwanza kwa ufasaha kama Aucho yeye n kukaba tu na pasi namba 6 mabeki kuzuia lkn viungo washambuliaji wote wamechangia magoli, huwezi pata ubingwa kwa winga anamalza na goli moja? Hebu taja team bora ambayo mawinga wake walkua wanamakza na goli 3 au mbili afu wanakua mabingwa? Chama hana shida kabisa tusimsingizie kwa chochote, hebu toa msaada wa magoli ya chama ligi na club bingwa afu uone team ilikuaje. Kaenda tuanze upya lkn alichokifanya n kikubwa mda wote.

    • @abunajreenELSESANY
      @abunajreenELSESANY Před měsícem

      @@Shijajohn5084 JESUS NAVAS, wa MAN CITY.
      MARK ALBRIGHTON wa LEICESTER anabeba ubingwa EPL 2015/2016.
      ANTONIO VALENCIA wa Manchester United anabeba ubingwa

    • @abunajreenELSESANY
      @abunajreenELSESANY Před měsícem

      @@Shijajohn5084 una angalia goli alizochangia,
      TECHNICAL unajua kachsngia SIMBA kufungwa goli ngapi ?? Kwa makosa yake ya kutokukaba, na kuwa OUT of position CHAMA amechangia SIMBA kufungwa goli NYINGI tuu,
      Ukichukua madhaifu yake - huo mchango wake ni bora AONDOKE

    • @abunajreenELSESANY
      @abunajreenELSESANY Před měsícem

      @@Shijajohn5084 MESSI na RONALDO ni watoto wa juzi
      Wameanza kuchez juzi miaka ya 200.
      Mpira unachezwa toka miaka ya 1890 hukoo.
      Na haina maaana MESSI na RONALDO ndio MPIRA au ndio KIOO cha MIPIRA, hao ni WATOTO tuu.
      RONALDO anatamba MAN UNITED alikua na akkina PAUL SCHOLES, NEMANJA VIDIC, RYAN GIGS, JUAN VERON.
      hao ndio walikua WANAMPA JEURI. shida ya wafanyabiashara wa TAKWIMU, wamekuja kuharibu MPIRA,
      WAO WANAJUA MPIRA NI GOLI NA ASSIT.

    • @user-ww4so9ks9c
      @user-ww4so9ks9c Před měsícem

      Duuh mifano imekuwa mingi🤔

  • @JosephLamau-yq1lx
    @JosephLamau-yq1lx Před měsícem

    Sawa miraji Mimi mpenzi clip zako zote kwa hili😮😢😢unakosra Acha Aende

    • @user-vy8uf3ih4h
      @user-vy8uf3ih4h Před měsícem

      Kwani ye kasema abaki simba mbona hujaelew katoa mifano mingi mpaka kamtaja shabalala lkn bado hujaelew rudia rudia utaelew😢😊😊

  • @user-yy8sd9ib5b
    @user-yy8sd9ib5b Před měsícem +1

    Nimekusoma mzee baba

  • @deogratiouswipson8448
    @deogratiouswipson8448 Před měsícem

    Miraji wew ni skudu wa mashabiki wa Simba😂😂😂😂 yan maneno yako et kama show za man fongo😁😁😁

  • @winfridapeter9455
    @winfridapeter9455 Před měsícem

    Panadol umekunywa chagamba😅😅😅

  • @paschalcleophace9628
    @paschalcleophace9628 Před měsícem

    Miraji utamuumiza mabega chagamba 😂😂😂

  • @muhidiniwadhifa3600
    @muhidiniwadhifa3600 Před měsícem

    Kila kitu kinamwisho wake wacheni mambo yenu hayo aachwe waje wengine, unamkumbuka madaraka sleiman , Nteze John , Suleiman Matola

  • @hamiduomar1316
    @hamiduomar1316 Před měsícem

    Ttzo wenzako roho zinawauma hao wachambuz koko c makolo wenzako hawakutaka awe mwananch na bdo watazidi kuumia wachambuzi wenyewe hawajacheza mpira hao

  • @user-rn2dl1rg8b
    @user-rn2dl1rg8b Před měsícem

    Wwwww kaka milaji mbna uyo jamaaa atamaliza kukuoji asha umia ety

  • @HKapesa-p3p
    @HKapesa-p3p Před měsícem

    ila miraji umeshindikana eti skudu alisajiliwa kama Charlie Chaplin kuwa chekesha kina Aziz wakiwa na hasira

  • @NajimaAbduli
    @NajimaAbduli Před měsícem +1

    Hata boss wetu ni msenge mtu hana maamuzi ya haraka

  • @NathanChilwa
    @NathanChilwa Před měsícem

    chagamba we mvumilivu sana Kwa hayo makofi ya miraji

  • @hassanramadhani2816
    @hassanramadhani2816 Před měsícem

    Uko vizuri miraji

  • @CareenJulias-iu7tf
    @CareenJulias-iu7tf Před měsícem

    Wewe Miraji saa nyingine huwa hatukuelewi kabisa jifunze kubadilika, wewe Ni mmoja wapo wa wale waliompa Chama kiburi, Hivi Wewe unadhani Chama ndiye kazaliwa tu kuja kucheza simba? Sisi tunasema Chama ameigharimu timu YETU bado wewe hujitambui tu? Wewe Kama unamhitaji basi kamsajili wewe awe anacheza nyumbani kwako sisi tumechoka naye Ana kiburi Sanaa. Wewe Miraji una asili ya uchonganishi.

  • @kessykadema180
    @kessykadema180 Před měsícem

    Hivi viongozi wetu au huyu ahmedy ally wa namuona huyu jamaa na hizi fact za huyu jamaa wakazifanyia kazi

  • @albertmagiri6306
    @albertmagiri6306 Před měsícem

    Chama duka ILO kaka miraji mwache aende utafurai tu mbona tulikuwa nae lakini tuko namba 3 3:54

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor8528 Před měsícem

    Rivaldo borba Ferreira mtu na chenchi 😂😂😂

  • @moricemwamba4034
    @moricemwamba4034 Před měsícem

    Mabega sasa 😅😅