Video není dostupné.
Omlouváme se.

TULIYOYAPITIA KATIKA GEREZA LA KIFO MSUMBIJI TUKANUSURIKA KUNYONGWA KWAAJILI YA UISLAMU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 08. 2024
  • LEO USTADHI SHAFII AMETUBARIKI NA MOJA YA HISTORIA NGUMU KWENYE MAISHA YAKE ALIYOPITIA ALIPOENDA KUFANYA MHADHARA KATIKA NCHI YA MSUMBIJI

Komentáře • 64

  • @muznazahra455
    @muznazahra455 Před měsícem +11

    Uchafu wote wameubandikiza UISLAM,JAMANI TUTAFUTENI ELIMU KWA WATU WENYE LENGO LA ALLAH WALA SIYO KWA MASLAHI YA MTU MWENYEWE....MAUSTADH WENYE ELIMU NA IKHLASWI...

  • @issarashid7707
    @issarashid7707 Před měsícem +4

    MaashaAllah Allah atupe mwisho mwema

  • @user-li2el5vb8w
    @user-li2el5vb8w Před měsícem +4

    Mash Allah' Shekh' SHAFII' ALLAH Akujaalie Afya naakupe mwisho mzuli ufe ukiwa umetoa shahada.

  • @muznazahra455
    @muznazahra455 Před měsícem +4

    Umeengea vizuri sana Shekh wetu ,bikhusus ulovyoelezea jihadi ....Mashallah...Ahsantum....

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928 Před měsícem +4

    safi sana sheikh shafi usikatetama kupiganiya dini ya Allah ❤

  • @SafiaOmar
    @SafiaOmar Před měsícem +2

    Allah akujaalie mwisho mwema. Na akujaalie pepo ya Firdausi sheikh Shafi

  • @immtm4930
    @immtm4930 Před 28 dny

    Allah awalipe kila la kheri duniani na akhera.. poleni sana walimu wetu .. bidhaa za M.Munhgu ni ghali sana,.. hakika bidhaa ya M.Mungu ni pepo! Bishara Njema!

  • @OHAAOHAA
    @OHAAOHAA Před měsícem +1

    MaashaAllah ALLAH atakulipa kheri Mimi nataka namba za ustadhi shafi

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Před měsícem +2

    Maa Shaa ALLAH 💚

  • @muznazahra455
    @muznazahra455 Před měsícem +1

    Allah kuwanusuru..poleni sana Allah awape ajri ya yale yote mlosubiri....ni mtihani khaswa.😢

  • @IddyMbarak
    @IddyMbarak Před měsícem +7

    Alla awafahamishe hao maqafili

  • @muznazahra455
    @muznazahra455 Před měsícem +6

    NAKUOMBEA MWISHO MWEMA SHEKH WETU...

  • @abdululiza392
    @abdululiza392 Před měsícem +1

    Assalamualaikum umeongea vizuri sana sheikh ila nawaomba wahadhiri msigombane

  • @sukumaganga2613
    @sukumaganga2613 Před měsícem +1

    Pole Sana kaka kwa mtihani

  • @SwahibuAthuman-yv2mn
    @SwahibuAthuman-yv2mn Před měsícem +1

    Pole sana sheikhee

  • @saidimdoe5246
    @saidimdoe5246 Před měsícem +1

    Upo sawa shekhe

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s Před měsícem +1

    Polen sana ndugu zetu wa islamu

  • @muznazahra455
    @muznazahra455 Před měsícem +3

    Umeamsha wengi na wengi wasiokua hata waislam wamezinduka....

  • @user-nm2pr1xz6u
    @user-nm2pr1xz6u Před měsícem

    Pole sana Sheikh wetu

  • @allyway999
    @allyway999 Před měsícem +1

    Allah akujaalie sana shekhe shafi

    • @muznazahra455
      @muznazahra455 Před měsícem

      Wanatuhumu sana watu na Mashekh wanaojua kuunganisha watu na uislam ,na MAGAIDI WA KWELI HAONEKANI NA HAWATAJWI ILA WANAWATUMIA WATU WENGINE WASIOJUA HATA NINI DINI ? NA NINI UBINADAMU....MLIKUA MWAWINDWA BILA KUJUA...KWA KTUMIA DOCUMENTS ALLAH AWAHIFADHI MUBALIGHIN WA KWELI NA WALA SIO ....ALLAH NDIYE MWENYE KUJUA NA NDIYE MWENYE KUHIFADHI...

    • @muznazahra455
      @muznazahra455 Před měsícem

      Wanaojificha katika DINI YA UISLAM WANASABABISHA KUHATARISHA MAOSHA YA MAULAMAA WENGI NA KUUCHAFUA UISLAM...😢😢

  • @mwanaidikellner7653
    @mwanaidikellner7653 Před měsícem

    Napenda masimulizi ya huyu Baba❤

  • @amoschacha2885
    @amoschacha2885 Před měsícem +3

    Simuluzi Mimi nawafuatilia sana toka mbogo alivyoongea na Shafy , mbogo wakati anaongea kaongea vizur sana na yeye kasema alikuwa kiongoz na shafiy hapa anasema alikuwa kiongoz hebu mtafute Hamidu nae atueleze ukweli wake hapa naona kila mtu. Anavuta kwake

    • @SIMULIZIZONE
      @SIMULIZIZONE  Před měsícem

      @@amoschacha2885 sawa

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 Před měsícem

      @@amoschacha2885 kaka nafikiri wewe mwenyewe unaweza kuona mhadhiri na anaemsaidia kusoma nani ni rahisi kua kiongozi, mfano ktk debate nyingi utaona labda dr. Sule na Ndacha afu Hamidu anakua msomaji

  • @muznazahra455
    @muznazahra455 Před měsícem +2

    Wamechafua Dini na kuwadanganya wengi wasojua ,ahsantum kuna kitu wengi hawakijui ....jamani wafundishwe watu wajue huo siyo Uislamu ,maana hata kafiri hafai kuuawa ,...

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 Před 11 dny

    Utanunua gari ukiwa peponi sawa 😅😅

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u Před měsícem +1

    Huku kwetu uisilamu nikuwa kwingi ndio kuingia peponi , aisee hii dini ni hatari maqlishababu

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 Před 18 dny

    Msumbiji imeharibiwa na Uislamu, sasa mnakwenda kufanya nini huko, hiyo dini ya muarabu imekua kero dunia hii.

    • @hamzaswaibu9470
      @hamzaswaibu9470 Před 15 dny

      @@lawmaina78 Acha chuki za kijings

    • @hamzaswaibu9470
      @hamzaswaibu9470 Před 15 dny

      Acha chuki za kijinga

    • @lawmaina78
      @lawmaina78 Před 15 dny

      @@hamzaswaibu9470 sio chuki, mumeharibu nchi ya watu na bado mnataka kuendelea kuwasumbua.

  • @maestro9618
    @maestro9618 Před měsícem

    Ila imam shafii😂😂dah kun mda lazima akuchekesheee 😢😢😢ila maashallah

  • @muznazahra455
    @muznazahra455 Před měsícem +1

    Kiongozi mwenye busara ndiyo misk ya nafsi za watu....

  • @andrewnyamwaro5174
    @andrewnyamwaro5174 Před 2 dny

    Takhiya....Bwana wewe, mwongo....Al shabaab si Uislamu kamili?

  • @lucaswanyonyi4037
    @lucaswanyonyi4037 Před 27 dny

    Ila tu.s hekhe hujui.niko kenya

  • @edwinismail9401
    @edwinismail9401 Před měsícem

    vita ya albadri mtume alifukia visima, vita ya mtaro mtume aliamrisha wayahudi wote wakiume wauawe wawe watoto au lah.

  • @user-ip4ie7pt6i
    @user-ip4ie7pt6i Před měsícem

    Ule upande wa moenda kuna maeneo kuna migodi ndicho wanacho gombea na nyuma yake kuna mtu mweupe akiwemo na mportugues

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel Před 28 dny

    Nje mnasema hivi ndani mnasemq ukiuwa mkristo unaenda peponi

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl Před 28 dny

      @@Pelegrinoemanuelww mjinga nanikasema ukiuwa mkiristo unaenda peponi wwmnafki sana ucha ubwege waislam hatupohivyo hatufanyihivyo

  • @armindodamiao3201
    @armindodamiao3201 Před měsícem

    Docta sulle alinshitua majini yake

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel Před 28 dny

    Kwahiyo kuuwa bila holela kunauhusiwa? Dini ya shetani hiii .Mungu anasema usiuwe halafu nyie eti muue yaan nyie wote ni finally jehanam

    • @saidisudi6129
      @saidisudi6129 Před 20 dny

      @@Pelegrinoemanuel jitathmini akili yako Haina afya

  • @mbalilax162
    @mbalilax162 Před měsícem

    nice story....sema waislam ni makatili huo ndio ukweli.

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 Před měsícem +1

      Tatizo hujui maana ya neneo islam

    • @mbalilax162
      @mbalilax162 Před měsícem

      @@sultansallah8772 nimeenda kuangalia maana yake....nimegundua ata wewe unaweza kujilipua alafu useme ni "submission to the will of God"

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl Před 28 dny

      Uzima umakichwani kwahiyo siokosalako kusemahivyo polesana

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl Před 28 dny

      Uzima umakichwani kwahiyo siokosalako kusemahivyo polesana

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před měsícem

    ulimchapa sule vikali...leo unakuja kuonyesha jinsi gani unamkubali...na kumbe alikichukulia kama mdogo wake katika daawa😊

    • @nubianqueen6700
      @nubianqueen6700 Před měsícem +1

      Mwenye dini ni Allah, kwa hiyo mtu yeyote anayekosea katika dini atakosolewa hata na ndugu yake, Hai maanishi watu wamekua maadui.

    • @AbasMabuli
      @AbasMabuli Před měsícem

      Tumia akili basi, Hapo anaelezea story na mchakato ulivyokua, We unaleta ushabiki maandazi apa, Kwahiyo Sulle alikosea aachwe kwa sababu dini ni mali yake au!

    • @user-hi8le2vb7z
      @user-hi8le2vb7z Před měsícem

      @@AbasMabuli imebidi nicheke 😄😄🙃

    • @ramahassan5515
      @ramahassan5515 Před měsícem

      Kunakitu hujaelewa kwakua alimuita mdogo wake akikosea lazima arekebishwe hata kama Kawa mkubwa

  • @maase2023
    @maase2023 Před měsícem

    Huyu jamaa fix sana

  • @user13375
    @user13375 Před měsícem

    Kulipiza nako ni ushetani tu😮😮

    • @mashakamwinula3797
      @mashakamwinula3797 Před měsícem

      Haayo nimaneno yako hatufuati mtu bali kitabu

    • @user13375
      @user13375 Před měsícem

      @@mashakamwinula3797 msikilize shehk anavosema jihadi ni kulipiza kisasi🤔🤔🤔

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 Před měsícem +1

      Qur’an ni tofauti na Biblia..
      Ninyi mnafundishwa "akupigae shavuot la kulia, mgeuzie na la kushoto".. (maumbile yanakataa) ... sisi sio punda.
      Sisi Waislamu, "Jino kwa Jino" ... 🎉 ..

    • @abdulnaseermrisho4342
      @abdulnaseermrisho4342 Před měsícem

      Dini yetu haitaki unyonge,ni jino kwa jino,kisu kwa kisu,upanga kwa upanga,yaani hakuna kukaa kizembe