#Zandaaani

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 05. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 93

  • @mathayomalamba7736
    @mathayomalamba7736 Před 19 dny +4

    Wasituuzi wamlete kwamkopo kuuziana siwanataka faida😂😂

  • @user-kk2fz6en9p
    @user-kk2fz6en9p Před 19 dny +3

    Code rahisi ni fei sukari😂😂

  • @michezotanzaniatv
    @michezotanzaniatv Před 2 dny

    Shughuli ishakwisha hakuna cha Bilioni Wala setitano

  • @ReheemaHassan
    @ReheemaHassan Před 19 dny +4

    Simba chezeni mpira acheni i vile jamani

  • @heshimabigete3735
    @heshimabigete3735 Před 7 dny

    Kwanza anakuja kwa mkopo alafu biashara kwisha

  • @michezotanzaniatv
    @michezotanzaniatv Před 2 dny

    Hakuna upuuzi kama huo vipengere hivyo havina nguvu

  • @rajaitv1712
    @rajaitv1712 Před 19 dny +2

    Bilion😮😮

  • @jameswilliamputtergill504

    all my love too everyone and the gangs, putz and one love hi you out there.

  • @alexjuve3837
    @alexjuve3837 Před 19 dny +2

    😂😂 Momo acha kutupeperushia ndege

  • @iddibakari6252
    @iddibakari6252 Před 19 dny +4

    Momo kazi ya utangazaji hapo u need balance Acha kubase kishabiki

  • @hemedbamja3197
    @hemedbamja3197 Před 19 dny +3

    Ingekuwa ni simple hivyo kujiwekea kipengele utakavyo bila kuongozwa na kanuni Figo asingehamia Madrid toka Barcelona. Wanasheria wanasema "quantum merita".hupangi fidia bila framework

    • @mjuaelias3681
      @mjuaelias3681 Před 19 dny

      Wachambuzi njaa,water wa Engeneer

    • @tonyelshabbaz
      @tonyelshabbaz Před 19 dny

      Mkataba wa Figo unafanana na wa Fei? Uliusoma wapi huo Mkataba?

  • @kibundapesamadimba6352
    @kibundapesamadimba6352 Před 19 dny +2

    Wameunganisha nguvu na tumewafyatua msimu unaisha

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před 19 dny +5

    Hii inaonyesha inajidhiilisha kbs yale maneno aliosema DUBE yakweli mtupu kuwa viongozi wa AZAM wana usimba na Yanga mchezaji kama FEI unawauzia Simba unampango mkakati na timu yako mfike mbali kweli?

    • @hamadmohammed311
      @hamadmohammed311 Před 19 dny

      Acha ujinga mpira biashara lazima uuze na ununue Ili timu iwe na maendeleo

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před 19 dny +1

      @@hamadmohammed311 Mjinga wewe fala unaevamia comment za watu wazima kakojoe ulale

  • @suleimankhamis2771
    @suleimankhamis2771 Před 18 dny

    Momo kudadekeeee😂 😂😂😂😂😂 kweli kabisa hanekani sahv

  • @makamelila
    @makamelila Před 17 dny

    Mm niulize jamani hawawatu walibunja mkayaba na hiyu mchezaji sasa haya madai ya nn tena au bikwazo tu kwa mtani

  • @mbwanamwinyi7919
    @mbwanamwinyi7919 Před 19 dny

    Huyo momo anaharibu sana myanga yanga

  • @patrickprotas9184
    @patrickprotas9184 Před 19 dny +2

    Uyoo Feisal

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 Před 19 dny +2

    Ataua kiwango

  • @peterjoseph3875
    @peterjoseph3875 Před 19 dny +2

    0:06

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 dny

    ✌️👍👊.

  • @jafarisaidi4988
    @jafarisaidi4988 Před 19 dny +1

    😂😂 Momo mjinga Sana 🙌🙌

  • @kamazimamuganyizi6932
    @kamazimamuganyizi6932 Před 17 dny

    Hicho mnachikizungumza sidhani huo utaratibu km upo

  • @bone102
    @bone102 Před 19 dny +1

    FEISALIIII

  • @danielkomba5202
    @danielkomba5202 Před 19 dny +1

    toa jero nitoe jero😂😂😂😂

  • @SaidiKaswaka
    @SaidiKaswaka Před 13 dny

    Watamtoa kwa mkopo kesi inaisha

  • @magesaboniphace4045
    @magesaboniphace4045 Před 19 dny +1

    Mbona suala dogo tu unauza timu ya nje then unafanya biashara na hiyo timu unamrudisha mtu ndan

  • @saidseleman2973
    @saidseleman2973 Před 19 dny +2

    Tangazeni mambo ya kishelia amuyawezi

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 Před 19 dny

    Yanga inapambana azam na simba, haya simba toeni bilioni kwa yanga mumchukue feisal

  • @gilbertngemela6752
    @gilbertngemela6752 Před 19 dny +2

    Ikitokea mchezaji akavunja mkataba je au mnaangalia katika upande mmoja wa kuuzwa tu

  • @saidseleman2973
    @saidseleman2973 Před 19 dny +1

    Dube anaenda kiutalatibu yanga

  • @Foncetzmovies
    @Foncetzmovies Před 18 dny

    O:60

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 16 dny

    Yanga wamuache Fei na maisha yake

  • @why-ir8zl
    @why-ir8zl Před 19 dny

    Atakuja kwa mkopo mpende msimpende

  • @user-mq4yq6rw1w
    @user-mq4yq6rw1w Před 19 dny

    Momo unachekesha mno,tetesi tumeijua ni feisal

  • @user-mo7iq2fd8g
    @user-mo7iq2fd8g Před 19 dny +1

    totoooooooooo😂😂

  • @CalistEvance
    @CalistEvance Před 15 dny

    Mkopo kwishei

  • @stanleymwaselela1849
    @stanleymwaselela1849 Před 17 dny

    Code Feitoto

  • @goodluckmchaki3256
    @goodluckmchaki3256 Před 19 dny +1

    Wanafiki2

  • @SaidiKaswaka
    @SaidiKaswaka Před 13 dny

    Watamtoa kwa mkopo

  • @suitbertmaro5792
    @suitbertmaro5792 Před 16 dny

    Dawa ni kuvunja mkataba

  • @user-yu2hh7kh8o
    @user-yu2hh7kh8o Před 17 dny

    kitu icho hakuna fei mcmu ujao yupo simba

  • @Frolianagabito3000
    @Frolianagabito3000 Před 16 dny

    Uyo anakuja kwa mkopo

  • @noelkingu7524
    @noelkingu7524 Před 17 dny

    Aje kwa mkopooo tu

  • @johnalagwa3585
    @johnalagwa3585 Před 19 dny +2

    Fei huyooo

  • @jafarisaidi4988
    @jafarisaidi4988 Před 19 dny +3

    Yanga ndo anapambana na Simba & Azam

  • @praygodmmari5850
    @praygodmmari5850 Před 19 dny +3

    Daaah, ila momo so poa , kwahyo yanga anapambana na azam and simba

  • @YahayaBakari-hf5yk
    @YahayaBakari-hf5yk Před 18 dny

    Momo huna jipya

  • @saedsoud9181
    @saedsoud9181 Před 19 dny +1

    hakuna sheria kama hizo kwenye football

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi Před 19 dny +1

      Zipo na zitakuwepo na kama hazipo asingeenda azam

  • @Donrugi
    @Donrugi Před 19 dny +4

    Kwanini wasimuache tu Feisal akaendelea na maisha yake.

  • @user-wh2mm1eq2x
    @user-wh2mm1eq2x Před 19 dny +3

    Za ndaaaaaaaani❤

  • @dullywa9973
    @dullywa9973 Před 19 dny +1

    fusaliiii

  • @user-mq4yq6rw1w
    @user-mq4yq6rw1w Před 19 dny +1

    Yanga na simba ,yanga hatuwawezi

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 Před 19 dny +1

    Fei haondoki azam

  • @user-yi1qp6qu4n
    @user-yi1qp6qu4n Před 19 dny +1

    Eti toa jero na we toa jero😂😂😂😂😂😂

  • @KhamisHassan-ql5ut
    @KhamisHassan-ql5ut Před 19 dny +1

    SIMBA WASENGE KWELI

  • @Mumlion2624
    @Mumlion2624 Před 19 dny +1

    Fei karibu msimbazi mwaya

  • @hasheembaadae4478
    @hasheembaadae4478 Před 19 dny +2

    Fei

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Před 19 dny

    Yanga wasenge kweli

  • @mansoursaid8
    @mansoursaid8 Před 15 dny

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 Před 19 dny

    Haya mlisema Simba anafungwa ninyi watangazaji wajinga sana tu akili zenu hazifanyi kazi mm nampongeza ambangine peke yake ndo Hana Kaz mbovu walio bakia wote ninyi wasenge tu

  • @manuchochannel5538
    @manuchochannel5538 Před 19 dny +2

    Wadanganyeni wajinga,wanaoishi kwa kusikia.hakuna kanuni za FIFA zenye muongozo wa namna hii

    • @reubenchegere2230
      @reubenchegere2230 Před 19 dny

      Nitajie mchezaji wa barserona au real ambae kacheza timu zote mbili kati ya mwaka 2000 had Sasa afu ndo ujijibu kuwa haiwezekan kuwepo hicho kipengere

    • @gilbertngemela6752
      @gilbertngemela6752 Před 19 dny

      Luis figo...unamjua kafuatilie kacheza wapi na wapi..inawezekana kwani mchezaji akitaka kuvunja mkataba aje 😊

  • @almasiahmed547
    @almasiahmed547 Před 19 dny +1

    HAPA NDO UTAMJUA HERSI NA MANAGEMENT YAKE WAKO VP KM WANAWEZA KUPEANA KISHBIKI KWA KUWA BOSS WAO NI SIMBA PURE ALETE HIYO B MOJA MAMAE NAVTUTAPAMBANA NAO MPAKA WAKOME.

  • @mjanthony4864
    @mjanthony4864 Před 19 dny +3

    Momo ni mtopolo mpaka amezidiii..

  • @hassanmustapher624
    @hassanmustapher624 Před 18 dny

    Feitoto

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 Před 19 dny +8

    Kwani ktk miaka hiyo mitatu mkataba uliokuwa wa yanga na Feisal utakuwa haujaisha? Kipengere hicho si cha kiuanamichezo na FIFA hawatakubaliana na hilo. Simba watafanya biashara na Azam tu na mambo yaishe. Hilo deni la utopolo kama lina ukweli watalipana FIFA baada ya kuchambua sheria za mpira duniani.

    • @salehwaziri5062
      @salehwaziri5062 Před 19 dny +1

      Hakiliyako sioshelia

    • @agnesnombo9481
      @agnesnombo9481 Před 19 dny +1

      yaani wewe kolo na udunduka unakusumbua sana hujui unachokiandika mbwaa wewe

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi Před 19 dny +1

      Sawa Nguruwe

    • @onetechnology-ix3tu
      @onetechnology-ix3tu Před 19 dny +1

      Hizi timu zinawanasheria wanajua wanachofanya, sio mimi na wewe mwenzangu . Unaukumbuka mkataba wa Mbwana Samata kati ya mazembe na simba

    • @FaustineTz
      @FaustineTz Před 19 dny +1

      Kaka samata alipouzwa kwenda Genk walilipwa au umesahau

  • @HD700.
    @HD700. Před 6 dny

    czcams.com/video/lN3_5YtOqKw/video.htmlsi=vcQCmu5utBQnURcI Azizi Ki Ataka billion 1.295

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc Před 19 dny +2

    Fei huyooo