Uongo wa mchana huko!!! Kazi yenu kuwachonganisha watu! Hakuna kla bu professional itakwenda Kwa mchezaji aliye na mkataba wa zaidi ya miezi SITA,ikaenda Moja Kwa Moja Kwa mchezaji!!!
Awo s washenz tu wote machawa awo wakisema kaz kwisha😃😃😃😃😃😃 semen kama mond na zuchu byby mnaogopa nn mbn kwa wengine mapema 2 na vicheko juu mamaaaamina walay👈👈👈
Hivi nyie media za bongo mbona mnakuwa kama kaxi zenu hamkusomea? Yaani mna vitu vya kuchonganisha,kubahatisha na havina mvuto kabisa. Hakuna tafiti na 97% ya vitu mnavyoongelea havipo navhavita kuwepo. Yaani mmeshindwa kabisa kuwa na taaarifa au habari sahihi ili mpate followers na badala yake mnazuga kama vile vibaka wa stendi ili kuiba mb zetu. Pambafu sana ninyi.
Ricardo momo 😅😅 mwamba wa zandaaniiiiii kabisa wenye kukubali za ndani kabisaaaa njoeni tupige laikisi hapa😅😅😅😅
Code ya leo ilikua nyepesi sanaa 😀😀
Kwa maslahi mapana ya kijana mwenzetu wa kitanzania kama kweli fursa za nje zipo wamwache aende banaa
Kwli mzee baba wew nakukubali sana
Mkandaji
Hahaha , kibu denis😅😅
KIBU MKANDAJI💝🔥
Karibu kibu
Momo ni Story teller mzuri sana
momo mzee wa code ngumu 🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
Uongo wa mchana huko!!! Kazi yenu kuwachonganisha watu! Hakuna kla bu professional itakwenda Kwa mchezaji aliye na mkataba wa zaidi ya miezi SITA,ikaenda Moja Kwa Moja Kwa mchezaji!!!
Kibuu
Kibu di Kibu dee😂😂😂 ni MWANANCHI.
Kib d ni mwananchi
Kibu denis
Hii uwongo sana
Kibu D
Bora umewambiya wanachanganya weka wazi tunaaribu mb kuwaskiliza nyinyi
Kibu
Simba hawana tabia ya kuwabana wachezaji wake ikitokea ofa ya ukweli
Iringa haisikiki kwa muda wa wiki tatu sasa hovyo kabisa jaman mbna hamko makinii
Kibu Denis nn aende tuu kwa aman
Kibu denga 😂
😂😂😂
Hahaaaaa lakini awali kabisa aliwakataaa hao jamaa anakotaka kwenda 😂😂😂sahzi anawakubali a tena
Mwamba aende tu akapeperushe bendera ya 🇹🇿
Acha unafki bubu ww huna ulalolijua
Juma tatu ......
Kibu denis prospa
Fala wewe
kibu d
😂
Za ndaaaaaaaaanii kabisa wow
Za ndaaaani kabisa mond adaiwa na joseph kusaga mbona hamuziongei na manara anadawa milioni 4 na alikiba mwaka 3 sasa huu
Sasa kudaiwa ni mpira?
@@bigjizee4130KAKA huyo choko hajielewi watu wanaongelea mpira yy anasema kudaiana
Jamnipesa ndokilakitu machawa hawawalimsifia skudu sasahv hawamuonglei jamnipesa sabuniyaroho
Nyotox wa Simba
MMEPEWA HONGO HIZI MEDIA MTAWACHOMESHA WATU MAHINDI MITAANI.LETE EVIDENCE WAA'DISHI WA MCHONGO
Hujalazimishwa kuamini kama huamini tulia tajiri
Momo akuletee evidence wewe ni nani???
Mbona habar za babaaenu mond na zuchu hamsemiiiiii?
Hahahaha
Heshima huja ikiwa utaamua ila ukijiona utabugizwa ata kifungo Cha maisha Bure too
Hayo ni ya kawaida sanaaa kwa wapenzi so sio habari!! Habari ndo hiyo isikilize kwa kutulia😅😅😅
Mond na zuchu ni wachezaji wa Simba ama😂😂😂😂
Awo s washenz tu wote machawa awo wakisema kaz kwisha😃😃😃😃😃😃 semen kama mond na zuchu byby mnaogopa nn mbn kwa wengine mapema 2 na vicheko juu mamaaaamina walay👈👈👈
Rekado momo sikuelewi uchambuzi wako atakidogo😂
Mafumbo mwanzo mwisho😂😂😂
Kibu denis
Huwezi kuelewa kama huna D mbili😂
Dimbili zinatumika kuchambua mpira
Hiij ni maajabu 😂🙌
nani huyu aziki, bac, pacome?
Naic itakuwa aziz maana GSM kaweka mzigo mkubwa wa maana 🙌
Kibu
Kib d.. ana ofa Toka Sweden na Azm
Kib de... Ana asili ya congo..
Kibu D😂😂
Hivi nyie media za bongo mbona mnakuwa kama kaxi zenu hamkusomea? Yaani mna vitu vya kuchonganisha,kubahatisha na havina mvuto kabisa. Hakuna tafiti na 97% ya vitu mnavyoongelea havipo navhavita kuwepo. Yaani mmeshindwa kabisa kuwa na taaarifa au habari sahihi ili mpate followers na badala yake mnazuga kama vile vibaka wa stendi ili kuiba mb zetu. Pambafu sana ninyi.
Umbea wa kijinga kwa vijana kama nyinyi hauna mashiko
Kama hutaki unaacha
huyu hata hana anachokijua hatasikuelewagi
Kibu hatumtaki Yanga Hana kiwango Cha kuchezea Klabu kubwa jiulize msimu mzima kapata goli Moja
akifka yang atangaa'a simb wamemchelewrsh Hakupta wat sahih
Mudath ulichukulia alikua anacheza tumu gan
Hivi Unajua mpira Kweli wewe?
Soon mpira wa bongo ntauacha
czcams.com/video/3cvhbahqo6E/video.htmlsi=qbuNno-_ARFYh656 noma sana
Kibu denis
Kibu D