MBWADUKE: OHOOO... KI NINI TENA?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-like na comment...

Komentáře • 23

  • @begumisachristopher4697
    @begumisachristopher4697 Před 15 dny +3

    Mbwaduke ni Dr wa uchambuzi wa michezo. Wengine bisheni

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania Před 15 dny +4

    Simba hawana ata habar nae.

  • @muddywatown
    @muddywatown Před 16 dny +2

    Wanataka wasitoke midomoni mwetu Simba hawana mpango Angekua namiaka 21 au 23 kweli tungeamini ila huyo abaki hukohuko

  • @RamadhanpMwakilasa-di5hc
    @RamadhanpMwakilasa-di5hc Před 16 dny +1

    Bwana eeeh unatuchelewesha lete habr ya Aziz

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Před 15 dny

    Duh zangu zote kwa Azizi ki kuondoka inshallah na iwe hvyo🤲

  • @jamallnyello5743
    @jamallnyello5743 Před 15 dny +1

    Na akiondoka azizi K tujiandae kuishia robo fainal na tunaeza pia tusifike huko

  • @SilmanOfficial-ss6oq
    @SilmanOfficial-ss6oq Před 16 dny +2

    Utopolo tu Wanajitekenya na Kucheka Wenyewe.
    Wanaforce Kutrend kupitia mgongo wa Mnyama Simba hawana lolote.
    Watu wasidanganyike Simba haina wala haikuwa na Mpango na K aziz a.k.a Domo Bakuli😂😂

  • @mskJr1993.
    @mskJr1993. Před 16 dny +1

    Duuuh

  • @bonifassimon7909
    @bonifassimon7909 Před 15 dny

    Kama wanachama na mashabiki wa yanga tumeshindwa kulipia kadi zetu sishangai Azizi kuondoka japo ningetamani wananchi tuchangamke kulipa ili hizi 60%zimbakishe Azizi vinginevyo kila lenye heri kwako uko uendako mwamba

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le Před 15 dny

    Cmba wala hawana mpango huo msi

  • @jamallnyello5743
    @jamallnyello5743 Před 15 dny

    Kwakweli akiondoka azizi K nawaambia ukweli wajuetu usajili wao wote walofanya umeharibika haunamana tena, faida yahuu usajili wa yanga nikubakisha nyota wake, hasa huyo kimataifa

  • @begumisachristopher4697

    Azizi Ki ni mchezaji bora acha tu. Kuongoza hata kwa mashoots Afrika ni hatari

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 Před 15 dny +4

    Yani tunasema yanga nikubwa na tunashikwa na homa na mchezaji mmoja wakati wenzetu wamesajili na wakawacha nyota kibao tu na wazuri kwa hii yanga sio timu kubwa barani africa tunajipa tu ukubwa wa michongo papatupapatu siku zisonge

    • @Jimmymanasseh_Official
      @Jimmymanasseh_Official Před 15 dny

      Uko Sahihi ila Kuna sehem uko na changamoto!!! Tanzania huwa ni ngumu kwa wachezaji muhimu kwenye kikosi kubak hasa wakipanda gharama so kumbakizia mchezaji kama uyo ni kazi nzur sana kabisa ivyo wakihaha kumbakiza na akabaki ni kazi nzuri sana

    • @Prosperkaluta
      @Prosperkaluta Před 15 dny

      Wewe ni mpumbavu na siyo tu mjinga, kichwani mwako una matope sasa.

    • @Prosperkaluta
      @Prosperkaluta Před 15 dny

      Abdallah Akida, hana akili kabisa huyo ni matope yamejaa kichwani mwake.

    • @Jimmymanasseh_Official
      @Jimmymanasseh_Official Před 15 dny

      @@abdallahakida7908 kipindi miksoni wa moto Simba si mlimuuza? Kwa vigezo vip ,kaenda kuharibika amerudi Kawa bonge mkamuuza mbona hatusem

    • @HimilMussa
      @HimilMussa Před 15 dny

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 Před 15 dny

    Mnajua kuna ujinga wakutafuta kiki ili uonekane mbabe azizi ki nimchexaji wa yanga kinachotafutwa nikwamba eng hirsi anatafuta kiki kwa washabiki wao ,ili aonekane amempambania aziz k aje aseme yeye ndio amembakisha huu ni upuzi .hakuna chakuogopa kuficha au kutengeza kiki kwa mchezaji ambae unasema nimali ya yanga hizi kiki ni za nini si tuache huu ujinga wakutubeba mashabiki ufala.

    • @EdwardJeremiah-bd8rl
      @EdwardJeremiah-bd8rl Před 15 dny

      Mchukue mchezaji wako na ww utafute kiki😂😂😂

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t Před 15 dny

      Km nakuelewa Kwa yule Mzee anavyopenda sifa😂😂😂😂

    • @gracemtonga3263
      @gracemtonga3263 Před 15 dny

      Yale Yale!
      Na wewe mbona unatafuta kiki kwenye comment? Acha makasiriko kolobwenzi