USIKAE OFISINI KAIFANYE KARIAKOO IWE MASAA 24 "RAIS SAMIA AMPA MAKAVU WAZIRI JAFO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024

Komentáře • 28

  • @user-rq4fq4pw4y
    @user-rq4fq4pw4y Před 3 dny +3

    Mama Asante kwa uteuzi wa JAFO, Waziri mzuri sana na atatusaidia sana, TRA ndo shida Tanzania

  • @mswaki_newstz
    @mswaki_newstz Před 3 dny +1

    Big up sana Rais wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania 🇹🇿

  • @imamwaki2566
    @imamwaki2566 Před 3 dny +2

    Asante Raisi, sasa unaanza kueleweka

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před 3 dny +1

    JAFO CHUMA back in business 💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾

  • @allysimu6856
    @allysimu6856 Před 3 dny +5

    Asante Sana mama unazidi kutupa raha watanzania mama chukua mitano Tena kulayangu niyako chukuaa mama chukuaa Tena mama nanikama mama mashaallah

    • @user-yd1pc8uy8x
      @user-yd1pc8uy8x Před 3 dny

      Mama kaenda na wake wameshindwa Sasa jafo ataweza Hongera mama

  • @bugapeasant1827
    @bugapeasant1827 Před 2 dny

    Umengea vzuri sana Mheshomiwa Raisi

  • @AbdallahBabu-jl8ld
    @AbdallahBabu-jl8ld Před 2 dny

    Mama kama kocha wa mpira anajua kupanga timu na anajua mchezaji gani anafaa acheze wapi Nani anafaa akae wapi. Big up mama akili kubwa

  • @imallya6513
    @imallya6513 Před 3 dny +1

    Ni kweli mama!! Lakini swala la wageni kufungua maduka nje ya kariakooo sio sawa

  • @princeisaac2202
    @princeisaac2202 Před 3 dny

    Our President is very Calm, relaxed, composed, Not Talkative though She knows Alot, Mungu endelea kumtunza Rais Wetu, Amen.

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před 3 dny +1

    Mama nipe hiyo kazi mmi kwenye kazi i ni zaidi ya mwanaume

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před 2 dny

    Hapa kwa jafo umeweza. Chalamila yeye anatixhia wafanya biashara. Hongera sana Rais Samia kuwapa makavu hakuna kukaa oficeni tatueni kero za wananchi km Mh Makonda. Chalamila ujumbe huo

  • @RoanCorporation
    @RoanCorporation Před 2 dny

    Mama iko mzuri Sana

  • @azizimohamed9171
    @azizimohamed9171 Před 3 dny +2

    Kweli mama kaamua

  • @shabanjuma4253
    @shabanjuma4253 Před 3 dny

    Mkuu jafo hongera sana kaka

  • @MikaJoseph-h4p
    @MikaJoseph-h4p Před 3 dny +1

    Wakwaza leo kariakoo ime karia kooo

  • @mohamedelmi7435
    @mohamedelmi7435 Před 3 dny +1

    The problem has always been TRA, nothing but Rushwa rushwa rushwa

  • @user-wf8eb6nm4s
    @user-wf8eb6nm4s Před 2 dny

    Tupo pamoja mama unaupiga mwingi

  • @user-mu1hx7yv9b
    @user-mu1hx7yv9b Před 3 dny

    Mama mitano Tena unajua kazi mama

  • @melitajeremia
    @melitajeremia Před 3 dny

    Perfect kabisa

  • @zuberiismail2972
    @zuberiismail2972 Před 3 dny

    Jamani wamachinga waliosajiliwa tunaomba wasibughudhiwe ila kama sio machinga ni mfanyabiashra kaweka meza nje huyo hafai anawaletea shida wamachinga waliosajiliwa na wanachama chao kizuri sana kinaitwa KAWASO hio organization ipo smart sana sema kuna watu wanaleta siasa kariakoo kichunguzwe waache wafanya biashara na wamachinga wafanye kaz kwa ushirikiano pasiwepo na migogoro

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126

    Jaffo yuko vzr saaaaaana

  • @SAMISAI.
    @SAMISAI. Před 3 dny

    Hapa Mama kaupiga mwingi

  • @JacksonChokola-u2i
    @JacksonChokola-u2i Před 2 dny

    Yote Yako saw tuuu

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 Před 3 dny

    Milori ni kero mitaani

  • @allymkamba1054
    @allymkamba1054 Před 3 dny

    Kama ni Jafo yule yule basi natumai makubwa.

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 Před 3 dny +1

    Hakuna jipyaa