WAZIRI SILAA ALILIWA NA MBUNGE MTEMVU |MGOGORO WA ARDHI WANANCHI 214 NA KAMPUNI YA TRANSCONTINENTAL

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 07. 2024
  • MBUNGE MTEMVU AIANGUKIA WIZARA YA ARDHI.
    Mbunge wa jimbo la Kibamba ambaye ni mwekezaji mdogo Issa Mtemvu katika shamba linalodaiwa ni la Kampuni ya Transcontinental eneo la Kikongo ,Kibaha vijijini ,mkoani Pwani amemuangukia Waziri wa ardhi Jerry Silaa atende haki katika kutatua mgogoro huo.
    Mgogoro huo ni wa muda mrefu ambapo unahusisha wananchi 214 pamoja na kampuni ya Transcontinental.
    Kwa upande wa Silaa alipokea taarifa za pande zote mbili za wenye mgogoro na kusitisha shughuli zote katika eneo hilo hadi hapo atakapoangalia namna ya kulipatia ufumbuzi suala hilo.
    Silaa amesema mgogoro ni mkubwa unahitaji kupata ufafanuzi na uhakiki zaidi hivyo pande zote zivute subira.
  • Zábava

Komentáře • 1

  • @khalidmwakabuta5045
    @khalidmwakabuta5045 Před 7 dny +1

    Mh waziri wa Ardhi tafadhali tunaomba msaada bado huku Singida mjini tunaendelea kuteswa na wadhulumati wa ardhi mkoani hapa ,tunaomba msaada wako Mh Waziri , wazazi wetu wananyanyaswa na wale waliopewa mamlaka ya kusimamia haki zetu bila kujali rangi wala kipato