DC MAGOTI AANZA NA MOTO “SIPENDI UONGO, MIMI NI ZAIDI YA X RAY NINAONA HUNIDANGANYI KWENYE MRADI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 06. 2024

Komentáře • 70

  • @veronicalaiser7869
    @veronicalaiser7869 Před 2 dny +8

    Hongera sana Mkuu wa Wilaya. Mwenyezi Mungu aendelee kukutunza na kukupa hekima zaidi na zaidi.

  • @user-rw7ww2yd7i
    @user-rw7ww2yd7i Před 5 dny +10

    Bonge Moja la kiongozi hongera sana mhe magoti

  • @ainessfoya4463
    @ainessfoya4463 Před 5 dny +5

    Hongera mnooo..you deserve..kwa roho safi..mungu akutunze..

  • @johnmtumishi8554
    @johnmtumishi8554 Před 2 hodinami

    4:02 Hongera mheshimiwa DC Dr Magoti nakuelewa good speech be blessed My God protect you in the name of Jesus christ amen

  • @paulsibu5770
    @paulsibu5770 Před 4 dny +2

    Hongera Kaka Mungu akuinue zaidi katika utumishi huo

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Před dnem +1

    Asante mheshimiwa, Mungu azidi kukuinua...
    Namuona Makonda mwingine😂👏👏👏

  • @user-ry8xf1no2s
    @user-ry8xf1no2s Před 5 dny +5

    Mueshimiwa laisi wangu nashukulu Kwa upendo wako auna ubaguzi
    Kila mtanzania mwenye uwezo una
    Mteua , Alha atakulipa kilalaeli inshallah

  • @isaacktweve3773
    @isaacktweve3773 Před 5 dny +4

    Barikiwa,na kazi iendelee...

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před 5 dny +5

    mchechi huyu hamaaa mungu amjalie pamoja Na jinsi alivo lakini mchangamfu mno

  • @Enjoy-ge5cy
    @Enjoy-ge5cy Před 5 dny +4

    Najivunia Tanzania yangu huu ndio usawa sasa piga kazi mh magoti

  • @johnluis35
    @johnluis35 Před 5 dny +3

    Jembe chapa kazi Dr magoti, kazi kazi

  • @DevotaIjumba
    @DevotaIjumba Před dnem

    Ongera sana kiongozi Magoti.big up

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 5 dny +2

    Piga kazi Magoti❤❤❤

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 Před 4 hodinami

    MWAMBA umetiisha...very smart dc

  • @salimanathan1073
    @salimanathan1073 Před 5 dny +2

    Mungu akubariki sana

  • @ShadrackNkulangwa
    @ShadrackNkulangwa Před 5 dny +4

    Magoti hizi ndizo akili kubwa za akiba zilizo achwa na jembe jpm leo mama anaviendeleza

  • @boscokikoti
    @boscokikoti Před 5 dny +2

    Mungu akubariki

  • @user-wl7kl3qw3t
    @user-wl7kl3qw3t Před dnem

    Hongera sana mh.Dc.

  • @Keyjop
    @Keyjop Před 5 dny +1

    Mh...Magoti ❤❤❤🔥

  • @doiabel3793
    @doiabel3793 Před 5 dny +2

    Nimekuelewa zaidi tena sanaaaa

  • @Banzok700
    @Banzok700 Před 5 dny +1

    Bila shaka mheshimiwa Rais hajakose kukuteua Mheshimiwa Magoti. Congratulations. Unaongea vzr na busara unayo . Mwenyeezimung akusimamie

  • @luqmaneme9105
    @luqmaneme9105 Před 5 dny +6

    Piga kaz kiongozi

  • @patrickongele196
    @patrickongele196 Před 2 dny

    Ndugu yangu Dc Magoti kwa mwendo huo huo bila kupokea za pembeni imani yako itakufikisha ndoto njema za wanakisarawe pazuri ongeraaaaaaaa muno mwana wetu

  • @user-mf2ll7nz5g
    @user-mf2ll7nz5g Před 5 dny +2

    Safi sana

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před 5 dny +3

    Fika KIJIJI CHA VIISEGESE KUNA HUJUMA. VISEGESE NI ENEO.LA MKAKATI KUNA ENEO LA VIWANDA. WAWEKEZAJI WAMESHINDWA KUJA SABABU HAKUNA MAJI

  • @boscoafikile4737
    @boscoafikile4737 Před 5 dny +1

    Nampongeza mheshimiwa Rais kwa kukuchagua mheshimiwa Magoti, nimefurahi sana.

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 Před 5 dny +3

    Kuwa makini wabongo noma,unaweza tunzwa na milion 700 utatulia

  • @cngeze
    @cngeze Před 4 dny +1

    Angalia migogoro ya ardhi kaa na watendaji na viongozi wengine watatatue migogoro ni mingi mno

  • @LamarOmary
    @LamarOmary Před 4 dny +1

    Barikiwasana mkuu

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Před 7 hodinami

    BONGE MOJA LA KIONGOZI❤❤❤

  • @amosedward8523
    @amosedward8523 Před dnem

    ase Mh.Dc magoti maneno yako inabidi uendele

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture5482 Před 5 dny +1

    Viongozi wanasifia rais tuu 😢😢

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před 5 dny +7

    Hamumjui huyo, ohooo mnoko huyo, nyie mchukulieni poa

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před 5 dny

      Unoko wake katika haki au ubaya kama kwenye haki awe tu mnoko

    • @isaacktweve3773
      @isaacktweve3773 Před 5 dny

      Mpenda haki siku zote hilo jina ni la kawaida tu,wewe usie mnoko tunasubiri taarifa zako umelitendea nini hili taifa?

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před 5 dny

      @@isaacktweve3773 tz watu wavivu na kupenda vya haraka akitokea mkweli anakua adui

    • @gabrielmushi2813
      @gabrielmushi2813 Před 5 dny

      😂😂😂😂 Nyie Mnavituko

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Před 5 dny

      @@FahadAbubakari ..kwenye kazi na ufuatiliaji , ni mtendaji hasa

  • @onlythestrong8659
    @onlythestrong8659 Před 5 dny +8

    Ongea yake kama Magu vile.

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Před 5 dny +3

    Aroo unajuwa Mimi ni muhaya au nimsukuma piga kazi kaka tusione maneno

  • @aimborannko4048
    @aimborannko4048 Před 4 dny +1

    ❤❤❤

  • @rweumbizalugaimukamu4905

    Upo vizuri sana Magoti

  • @Kanyawela
    @Kanyawela Před 5 dny +2

    Yuko anaongea ya maana ila wanaangalia kama hawaelewi ndo ivi anapiga kazi

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 Před 5 dny +1

    🔥

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před 3 dny +1

    Huyu jamaa ananyayo za makonda

  • @masungajp1
    @masungajp1 Před 4 dny +1

    Mimi Nina umoja na huyu

  • @patrickmfundiri8669

    Safi mh magoti

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz Před 5 dny +2

    Tunakuombea dua ira kisarawe ujitahidi maana mie nipo kijiji cha kisangile nimehama nchi yangu nipo Oman miaka mie mwanamke tunataka hajira ya wanawake ira umeme tokea rais kufa mpaka reo umeme hakuna ajira kukata mkaa miti imeisha ira ira ipo siku tunataka makonda aje kijijini kwetu

  • @KassimJabu
    @KassimJabu Před 5 dny +1

    Uwe,mkweli,lakini wanapiga nchi

  • @deokibona2835
    @deokibona2835 Před 5 dny +2

    Ukishindwa kuweka lami ktk barabara ya kiluvya madukani - kisarawe. Utakuwa huna jipya.

    • @miryamkissawike3946
      @miryamkissawike3946 Před 4 dny

      kwani yeye hela ni zake ama muundo wa budget wananchi mnatakiwa muelewe muundo wa bugdet na vipaumbele vya kamati ya maendeleo yenu ndio kwanza

    • @KelvinConorard
      @KelvinConorard Před 4 dny

      Yeye kama yeye au

    • @user-mu1uf2rl4x
      @user-mu1uf2rl4x Před dnem

      Na ujaribu kuelewa huyu ni mkuu wa usalama ktk wilaya na sio mfatiliaji bajeti kuhusu miradi kuna watendaji,madiwani na wabunge na yy ndo mfatiliaji endapo kama miradi imepitishiwa sjui umeelewa kwa hapa

    • @deokibona2835
      @deokibona2835 Před dnem

      ​@@user-mu1uf2rl4x nimeelewa, ila yeye ndio kajitwisha mzigo. Maneno mengi Sana. Yeye ndio kajiita rais wa wilaya.

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Před 5 dny +1

    Anauza Nchi

  • @MaryShayo-tg4vq
    @MaryShayo-tg4vq Před 2 dny

    🎉

  • @stn4873
    @stn4873 Před 4 dny +1

    FILIDI KAMA FILIDI

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Před 5 dny +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kwakwer awa mjui toka enzi za magufuli awa jui tu apo ana cheka tuu ngoja muone kazi yake talia mbona 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kissysimbaa2350
    @kissysimbaa2350 Před 3 dny

    Tis uyo yaaan Sio Mtu wa upinde upinde

  • @ejtjr2647
    @ejtjr2647 Před 5 dny +3

    Kwamba ana WACHOMBEZI wanaitika EEBANAEEE.....Senge hili, unalipwa na Raisi, hela zote ni zake? Kumanina zako.

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 Před dnem

    Maneno yako yakaishi

  • @collinndabi1914
    @collinndabi1914 Před 5 dny +1

    😂😂😂😂😂😂😂