Ndugu yangu Dc Magoti kwa mwendo huo huo bila kupokea za pembeni imani yako itakufikisha ndoto njema za wanakisarawe pazuri ongeraaaaaaaa muno mwana wetu
Tunakuombea dua ira kisarawe ujitahidi maana mie nipo kijiji cha kisangile nimehama nchi yangu nipo Oman miaka mie mwanamke tunataka hajira ya wanawake ira umeme tokea rais kufa mpaka reo umeme hakuna ajira kukata mkaa miti imeisha ira ira ipo siku tunataka makonda aje kijijini kwetu
Na ujaribu kuelewa huyu ni mkuu wa usalama ktk wilaya na sio mfatiliaji bajeti kuhusu miradi kuna watendaji,madiwani na wabunge na yy ndo mfatiliaji endapo kama miradi imepitishiwa sjui umeelewa kwa hapa
Hongera sana Mkuu wa Wilaya. Mwenyezi Mungu aendelee kukutunza na kukupa hekima zaidi na zaidi.
Bonge Moja la kiongozi hongera sana mhe magoti
Hongera mnooo..you deserve..kwa roho safi..mungu akutunze..
4:02 Hongera mheshimiwa DC Dr Magoti nakuelewa good speech be blessed My God protect you in the name of Jesus christ amen
Hongera Kaka Mungu akuinue zaidi katika utumishi huo
Asante mheshimiwa, Mungu azidi kukuinua...
Namuona Makonda mwingine😂👏👏👏
Mueshimiwa laisi wangu nashukulu Kwa upendo wako auna ubaguzi
Kila mtanzania mwenye uwezo una
Mteua , Alha atakulipa kilalaeli inshallah
Huu uandishi duh
Barikiwa,na kazi iendelee...
mchechi huyu hamaaa mungu amjalie pamoja Na jinsi alivo lakini mchangamfu mno
Najivunia Tanzania yangu huu ndio usawa sasa piga kazi mh magoti
Jembe chapa kazi Dr magoti, kazi kazi
Ongera sana kiongozi Magoti.big up
Piga kazi Magoti❤❤❤
MWAMBA umetiisha...very smart dc
Mungu akubariki sana
Magoti hizi ndizo akili kubwa za akiba zilizo achwa na jembe jpm leo mama anaviendeleza
Mungu akubariki
Hongera sana mh.Dc.
Mh...Magoti ❤❤❤🔥
Nimekuelewa zaidi tena sanaaaa
Bila shaka mheshimiwa Rais hajakose kukuteua Mheshimiwa Magoti. Congratulations. Unaongea vzr na busara unayo . Mwenyeezimung akusimamie
Piga kaz kiongozi
Ndugu yangu Dc Magoti kwa mwendo huo huo bila kupokea za pembeni imani yako itakufikisha ndoto njema za wanakisarawe pazuri ongeraaaaaaaa muno mwana wetu
Safi sana
Fika KIJIJI CHA VIISEGESE KUNA HUJUMA. VISEGESE NI ENEO.LA MKAKATI KUNA ENEO LA VIWANDA. WAWEKEZAJI WAMESHINDWA KUJA SABABU HAKUNA MAJI
Nampongeza mheshimiwa Rais kwa kukuchagua mheshimiwa Magoti, nimefurahi sana.
Kuwa makini wabongo noma,unaweza tunzwa na milion 700 utatulia
Angalia migogoro ya ardhi kaa na watendaji na viongozi wengine watatatue migogoro ni mingi mno
Barikiwasana mkuu
BONGE MOJA LA KIONGOZI❤❤❤
ase Mh.Dc magoti maneno yako inabidi uendele
Viongozi wanasifia rais tuu 😢😢
Hamumjui huyo, ohooo mnoko huyo, nyie mchukulieni poa
Unoko wake katika haki au ubaya kama kwenye haki awe tu mnoko
Mpenda haki siku zote hilo jina ni la kawaida tu,wewe usie mnoko tunasubiri taarifa zako umelitendea nini hili taifa?
@@isaacktweve3773 tz watu wavivu na kupenda vya haraka akitokea mkweli anakua adui
😂😂😂😂 Nyie Mnavituko
@@FahadAbubakari ..kwenye kazi na ufuatiliaji , ni mtendaji hasa
Ongea yake kama Magu vile.
Aroo unajuwa Mimi ni muhaya au nimsukuma piga kazi kaka tusione maneno
Magoti ni Mara, sio Kagera.
❤❤❤
Upo vizuri sana Magoti
Yuko anaongea ya maana ila wanaangalia kama hawaelewi ndo ivi anapiga kazi
🔥
Huyu jamaa ananyayo za makonda
Mimi Nina umoja na huyu
Safi mh magoti
Tunakuombea dua ira kisarawe ujitahidi maana mie nipo kijiji cha kisangile nimehama nchi yangu nipo Oman miaka mie mwanamke tunataka hajira ya wanawake ira umeme tokea rais kufa mpaka reo umeme hakuna ajira kukata mkaa miti imeisha ira ira ipo siku tunataka makonda aje kijijini kwetu
Mbona sehem nyingi umeme upo
Uwe,mkweli,lakini wanapiga nchi
Ukishindwa kuweka lami ktk barabara ya kiluvya madukani - kisarawe. Utakuwa huna jipya.
kwani yeye hela ni zake ama muundo wa budget wananchi mnatakiwa muelewe muundo wa bugdet na vipaumbele vya kamati ya maendeleo yenu ndio kwanza
Yeye kama yeye au
Na ujaribu kuelewa huyu ni mkuu wa usalama ktk wilaya na sio mfatiliaji bajeti kuhusu miradi kuna watendaji,madiwani na wabunge na yy ndo mfatiliaji endapo kama miradi imepitishiwa sjui umeelewa kwa hapa
@@user-mu1uf2rl4x nimeelewa, ila yeye ndio kajitwisha mzigo. Maneno mengi Sana. Yeye ndio kajiita rais wa wilaya.
Anauza Nchi
🎉
FILIDI KAMA FILIDI
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kwakwer awa mjui toka enzi za magufuli awa jui tu apo ana cheka tuu ngoja muone kazi yake talia mbona 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tis uyo yaaan Sio Mtu wa upinde upinde
Kwamba ana WACHOMBEZI wanaitika EEBANAEEE.....Senge hili, unalipwa na Raisi, hela zote ni zake? Kumanina zako.
😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka sana
Mmmmh
Maneno yako yakaishi
😂😂😂😂😂😂😂