Dah! Braza. Nimejikuta naweka simu chini napiga makofi, “huku kimeumana kashafaulu”. All the best brother, Mungu atakunyooshea njia mahala pengine, kwa mapenzi yake.
Jamaa nimempenda bure..! Yuko vizuri sana sema tu inchi hii imearibika na siasa za ovyo. Watu wa ovyo wanachaguliwa kwasababu ya mambo ya siasa na watu wa wazito wanaachwa kiza sio wa CCM. Pole yetu wa Tanzania
@@RamadhanAli I think you should do that coz you see disability in albinism. There is no disability in God's creation you need to think like a human not like white man, the colonizer of your brain.
@@BigZhumbe Don't force me to follow your way of thinking, you are talking about me following the White Man's way of thinking yet you're enjoying the benefits of a White Man's efforts and using the White Man's language? So stop the double standard and put yourself into your line. N hayo tu kwa sasa.
Hongera sana mh.Said Ndonge..mama atakutafutia nafasi yenye tija kwenye Taifa hili,,ili hayo mawazo na uwezo wako wa akili uutumie kuijenga na kuinufaisha jamii yetu ya Kitanzania!
Mh Ndonge s Ndonge Tunashukuru kwa kuutambua mchango mkubwa wa Mh Rais ktk madarasa hata ktk kata yako ya Bungu Ni wanufaika wakubwa wa hayo sisi na maji tumeongezewa ktk shule yako uliosoma msafiri
Mwomba ridhaa na sio mgombea. Ugombea ni ugomvi. Sisi hatutaki ugomvi. Kwa madarasa Mama kupiga sanaa. Bado chakula cha mchana. Mnyonge mnyongeni lakini Mama kupiga madarasa 15,000. Kaweka historia ya aina yake. Mwomba ridhaa uko juu kwa siasa za mdomoni.
Mhe. Lukuvi anafaa sana kuwa Speak wa Bunge hili mana ana msimamo na anajua anafanya nini. Kwa upande wangu mgombea hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kusifia tu ila nampongeza kwa ujasiri wake.
Hebu bunge limfikirie mgombea kwenye nafasi zingine za uteuzi.Mgombea ana kibali kwa wananchi na bunge.Hata mm nampenda awe kiongozi.Ongela sana Ngoge Said Ndoge.
icho kiti cha uspika anagombea yeyote ata huyu japo sio mmbunge Ata ww unaweza kikubwa kusoma na kuandika namambo mengine kama mwijaku alivoenda kuchukua fom
Nampongeza mama kwa ujenzi wa madarasa kuipa heshima nchi.Pia umewapa heshima walimu kufundishia kwenye madarasa ya kiwango,nashukuru pia kwa kuwamini walimu kuwa wasimamizi wa ujenzi wa madarasa kazi imeoneka.Mama nakuombea kwa Mungu aendelee kukupa hekima,busara na maarifa kutuongoza Watanzania.Mpaka sasa naona 2025 huna mpinzani ndani ya Ccm na nje ya ccm.Ongela sana mama.
EJAMAAEEEEEH!!,,,, HIVI HAMJUI NI KWA NAMNA GANI NGOMA ZANGU NI KALI SANA,,, UNYAMA MWINGI,,, AAAAAH😂😂😂😂😂MTAKUWA MNAZINGUA NA MASIHARA MENGI... NJOOO KWENYE PAGE YANGU SIKILIZA UNYAMA AFU KUNIFOLLOW UTAAMUA WEW UKISHAONA UNYAMAAAA👏👏👏👏
Sasa huyu Dk. Kasheku Musukuma anatoa taarifa, hasemi taarifa yake hiyo inatokana na kanuni ipi au Namba ngapi au kifungu kipi as per Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.. ana-refer mikutano ya vijiji. Kaaaazi kweli kweli.
He is very strategic hakutaka uspika alitaka kutambuliwa and he made it... subirini uteuzi wake soon... proud of him. Tanzania tuna lots of talents,.
Very true imendeze mama tu
Nilichofurahi ni kumuona mch gwajima, Mungu akutunze BABA
Jitu la MBINGUNI
Mm pia
Jamaa katoa pesa kachukua form kakosa uspika hajapata hasara,karudishiwa pesa aliyoitoa nakubwa zaidi kapata faida kubwa kwani amejitangaza nawatu wamemjua naserikali imemjua.Msije shangaa kapewa ukuu fulani...Hongera.Tengeneza mfereji upatapo fursa kama hii.
Jamaa kasha kuwa maarufu tayari dakika 14 zimebadili maisha yake tayari.👍
Dah! Braza. Nimejikuta naweka simu chini napiga makofi, “huku kimeumana kashafaulu”. All the best brother, Mungu atakunyooshea njia mahala pengine, kwa mapenzi yake.
Amina
Jamaa nimempenda bure..! Yuko vizuri sana sema tu inchi hii imearibika na siasa za ovyo. Watu wa ovyo wanachaguliwa kwasababu ya mambo ya siasa na watu wa wazito wanaachwa kiza sio wa CCM. Pole yetu wa Tanzania
Amazing Ndonge Said Ndonge wewe ni mkali ubarikiwe sana
Mungu wambinguni Akujalie uzima na Afya njema kijana mwenzangu ulimavu wa ngozi sio Akili
Ameen
Ana confidence ......maashaaAllah Mungu akusinamie....baba Amiin
Charisma of this man will make parliament active.
Dakika 14 zimebadilisha maisha yake. Sema bongo nyoso sana....
Askari kweli kweli et “ we ni chaguwe afu uone shuhuli “ 😂✊🏾🙌🏾
Jembe kweli kweli nichague halafu uone shuhuli
Great guy!!! I believe that disability is not inability, this guy has shown he is capable. Hilariously took the session with great confidence.
Why are you thinking of disability, who said albinism is disability??
@@BigZhumbe Do you even realise what you are talking about? Kindly enlighten yourself before involving yourself into such a topic.
@@RamadhanAli I think you should do that coz you see disability in albinism. There is no disability in God's creation you need to think like a human not like white man, the colonizer of your brain.
Very true
@@BigZhumbe Don't force me to follow your way of thinking, you are talking about me following the White Man's way of thinking yet you're enjoying the benefits of a White Man's efforts and using the White Man's language? So stop the double standard and put yourself into your line. N hayo tu kwa sasa.
HUYO LAZIMA AINGIE FAINALI KOMBE UWANJANI👍👍👍👍
Kama mkenya🇰🇪 nimependa anavyoongea maze wish him all the best
Hongera sana kiongozi unaweza
Hongera sana mh.Said Ndonge..mama atakutafutia nafasi yenye tija kwenye Taifa hili,,ili hayo mawazo na uwezo wako wa akili uutumie kuijenga na kuinufaisha jamii yetu ya Kitanzania!
Mimi mzaliwa kenya, na kwa ukweli nimefurahi kuona vile mnatafuta Umoja wa wanainchi 🙌🏾🙌🏾👍🙌🏾 HONGERA!!
Hiii ndio Tanzania tunayo itaka mm napenda sana nikiona watu wanafurahi hivo mungu awasaidie sana viongozi wetu muwe na amani hiyohiyo
Nice
Nimependa maongezi yake mungu mpatie nafasi nzuri ya kazi nyengine yenye kheri na yeye
Allahumma Amiin
Ndonge anatufaa sana .mama tunaomba umpe kitengo HUYU mwamba ana kitu kwetu
Wamempa hela halafu hakuna aliyempigia kura 🤣🤣🤣
Mashalah anafaa sana ana confidence
Love love him, Nitchague kwanza kisha uone shughuli.
Hahaaa
Mungu amekuchagua kwa wakati wake sahihi
Jamani kama mmehesabu kama Mimi naomba like zangu🤗🤗
@MillardAyo “Mwomba Ridhaa” sio Mgombea🤣🤣🤣🤣🤣
I truly love the orderliness with the tanzanians in such openess. Kenya Bunge, learn
Anauwezo wa kushawishi.
Safi sana.
🤣🤣🤣🤣anaongea kwa cofides Sana akikosa uspika mama samia suruh Hasan amfikirie kwa nafasi nyingine 🤣🤣🤣🤣🤣
I'm Thrilled, This Is Love.
He's the greatest confidence man✊❣️🙏
Ana Akili timamu kabisa! Respect !👌👌👌🔥🔥🔥
We KWANZA nichague alfu uone shuguli😂😂😂
Ndugu Ndonge Saidi Ndonge uko vizuri baba nyota inang'aa😂😂😂
NDOGE mama yetu fanya utupe mwamba huu nafasi yoyote atumikie nchi yetu
Mh Ndonge s Ndonge Tunashukuru kwa kuutambua mchango mkubwa wa Mh Rais ktk madarasa hata ktk kata yako ya Bungu Ni wanufaika wakubwa wa hayo sisi na maji tumeongezewa ktk shule yako uliosoma msafiri
Mwomba ridhaa na sio mgombea. Ugombea ni ugomvi. Sisi hatutaki ugomvi. Kwa madarasa Mama kupiga sanaa. Bado chakula cha mchana. Mnyonge mnyongeni lakini Mama kupiga madarasa 15,000. Kaweka historia ya aina yake. Mwomba ridhaa uko juu kwa siasa za mdomoni.
Hadi rahaaa mama amuangalie vizurii huyu anaweza kutufaaa ata kua mkuu wa wilaya
Nimefurahia confidence yake🤣
Anazingua, coz anaongea Joking kwenye jambo serious
Huyu jamaa alistahili kuwa spika kabisa. Angefanya jambo ktk bunge ili tufikie malengo jamani. Hivi Tulia si wale wale au?
Muomba rithaa Ndonge Said ndonge yuko vizuriii sanaaa 👏👏👏👏👏
Mama mtu voo mungu azidi kumlinda 🙏
Duh jamaa apewe yeye tu huyo akson aende uko
Hapo pembeni ya mheshimiwa Msukuma namwona msanii wa bongo fleva KEISHA
Kweli umetisha sana kamanda
Mnapotezea watu muda afu mshaandaa watu wenu mnaboa sana ccm asee bs tu
Inasikitisha Sana yaani. Shida ndiyo hiyo, tunawekewa matikiti maji😓😥
Nchi ya kishamba sana
Mhe. Lukuvi anafaa sana kuwa Speak wa Bunge hili mana ana msimamo na anajua anafanya nini. Kwa upande wangu mgombea hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kusifia tu ila nampongeza kwa ujasiri wake.
Lukuvi yupo vzr sana👏🏻👏🏻👏🏻
Naungana na mhe. Simon Mabula . Lukuvi anafaa nafasi ya uspika.
Kutunzwa kwa fedha ni kwamba anafaa au kamsemea Mama vizuri? Naona giza hapa
@@loishiyesamwel1374 kamsifia mama na wampendae mama wakamuunga mkono.
Anafaaa sana kama asingegubikwa na UDINI...
Hebu bunge limfikirie mgombea kwenye nafasi zingine za uteuzi.Mgombea ana kibali kwa wananchi na bunge.Hata mm nampenda awe kiongozi.Ongela sana Ngoge Said Ndoge.
Safi sanaa Mr.Ndonge umeupiga mwingi muomba ridhaaaaaaa
Wewe kwanza nichague kisha uone kazi yangu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umeongea kwa uwezo mkubwa sana
AAFC ndio chama gani au ndio sarakasi za CCM
icho kiti cha uspika anagombea yeyote
ata huyu japo sio mmbunge
Ata ww unaweza kikubwa kusoma na kuandika namambo mengine kama mwijaku alivoenda kuchukua fom
He is great man 👏👏
Nampongeza mama kwa ujenzi wa madarasa kuipa heshima nchi.Pia umewapa heshima walimu kufundishia kwenye madarasa ya kiwango,nashukuru pia kwa kuwamini walimu kuwa wasimamizi wa ujenzi wa madarasa kazi imeoneka.Mama nakuombea kwa Mungu aendelee kukupa hekima,busara na maarifa kutuongoza Watanzania.Mpaka sasa naona 2025 huna mpinzani ndani ya Ccm na nje ya ccm.Ongela sana mama.
Sasa nimepata JAWABU ni wapi MANARA alipochukua ENGLISH COURSE 😁😁😁😁😀😀😀 Nawahakikishia huyu lazima atakua " MNYAMA "tu
Hna akir wewe wngne wanajb yakuhsiana na tkio we unajb mambo ya mpira ama kwel akir ni nywele
Dada ROSEMARY hivi unamaanisha "AKILI au AKIR?" Na kama ni AKILI basi nipunguzie wewe mwenye NYWELE nyingi......
Ahsante kwa kuizungumzia Katiba mpya
Kweli wenye mengi ya kusema hawana nafasi ya kusema na wenye nafasi ya kusema hawana la kusema...dongo kwa wabunge walio wengi hilo kawapiga kiaina
I am happy to see my fav former minister Sir Mwalukuvi,
7:34 Ndonge kaupiga mwingi hapa 🙌🏾😂🤣
Jamani mliomchangia pia mpeni na kura muomba ridhaa ....mungu awabariki wote watanzania mlioguswa na bwana ndunge
EJAMAAEEEEEH!!,,,, HIVI HAMJUI NI KWA NAMNA GANI NGOMA ZANGU NI KALI SANA,,, UNYAMA MWINGI,,, AAAAAH😂😂😂😂😂MTAKUWA MNAZINGUA NA MASIHARA MENGI... NJOOO KWENYE PAGE YANGU SIKILIZA UNYAMA AFU KUNIFOLLOW UTAAMUA WEW UKISHAONA UNYAMAAAA👏👏👏👏
Ila lukuvi anafaa kuwa spika hataki ujinga na unafiki maswali ya kipuuzi anayacheua
Kweli Kawa speaker
Hahahaha
Nimecheka mnooo.
I love this guy
Masha Allah
Uyo anae rusha mikono ametanguria mbere ukute nyumbani mke wake akisema nipe mwiko uwo utakuta anagoma oya KAZI zakike izo apo anapo pigamapigo
Hivi vyama kweli Ni vya CCM
Huyu jamaa ni nouma sana
Wamakonde mpo hea mnatak nchi kilazima
Hakuna makonde ambaye anataka nchi kilazima acha kuleta mambo ya ukabila
Asante umeongea vzr sana
MASHAALLAH
Dah huyu anafaaa sana yaani yuko vizuri labda akose busara 👍👍👍😂😂
Umeambiwa ujieleze ww unasifu mtu,,interview za wabongo bana.uchawa tu!
AWESOME 👌
Hongera Sana muomba ridhaa
Wangempa Lukuvi tu
Yupo makini sana aisee
Ndoge umetisha
Bwana ndonge chama kimemponza 🙌🙌🙌
banging kweli cab mboga msukuma anavuta bang hasa
Jamaa kwa jinsi alivyo na alivyoongea watampatia kitengo
😁 yupo vizuri sana, naimani ataonwa zaidi
Nimefarijika sna kumuona Mch.Gwajma akiwa bungen,Mungu yu mwema
Ila Ndonge kapiga pesa sna kwa dakika 10
Sasa huyu Dk. Kasheku Musukuma anatoa taarifa, hasemi taarifa yake hiyo inatokana na kanuni ipi au Namba ngapi au kifungu kipi as per Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.. ana-refer mikutano ya vijiji. Kaaaazi kweli kweli.
MashaAllah
Huyu Lazma Apate Nafas Katika Serikal Hii
His good guy 👍👍👍🙏🏽🙏🏽🙏🏽😘😘
Umetisha Kaka hiyo ni lugha
Nimefurahi kumsikiliza
Huyu anafaa sana
Huyu mama sio mchawi kweli alouliza swali la kwanza kwa muheshimiwa?!
Hana maajabu wala hoja za msingi Mama maamaa mama nini bn Ongea vitu nya msingi
Jamaa yupo vizuri sanaa
Ana comfidence sana lakini kaaambiwa ajielezeee anatoka nje ya mada 😁🥛
Amepata fulsa ila ameshindwa kuitumia !!!😳😳
Ndonge ana madini kichwani anafaa kuwa mkuu wa mkoa
Hahahahaaaaa maisha kucheka tu
Ndonge amemaliza kila kitu mimi ni mkenya ila nimempitisha ✌
Issue serious mtu anapiga porojo tu hamna kitu hapa
Huyu anaomba ridhaa au anaomba budhaa🤣🤣🤣🤣🤣