MGOMBEA USPIKA ALIVYOWAKOSHA WABUNGE, ATUNZWA PESA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 31. 01. 2022

Komentáře • 402

  • @paulinepeter412
    @paulinepeter412 Před 2 lety +19

    He is very strategic hakutaka uspika alitaka kutambuliwa and he made it... subirini uteuzi wake soon... proud of him. Tanzania tuna lots of talents,.

  • @happyelias9465
    @happyelias9465 Před 2 lety +40

    Nilichofurahi ni kumuona mch gwajima, Mungu akutunze BABA

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 Před 2 lety +28

    Jamaa katoa pesa kachukua form kakosa uspika hajapata hasara,karudishiwa pesa aliyoitoa nakubwa zaidi kapata faida kubwa kwani amejitangaza nawatu wamemjua naserikali imemjua.Msije shangaa kapewa ukuu fulani...Hongera.Tengeneza mfereji upatapo fursa kama hii.

  • @onlythestrong8659
    @onlythestrong8659 Před 2 lety +28

    Jamaa kasha kuwa maarufu tayari dakika 14 zimebadili maisha yake tayari.👍

  • @deepconcept2020
    @deepconcept2020 Před 2 lety +32

    Dah! Braza. Nimejikuta naweka simu chini napiga makofi, “huku kimeumana kashafaulu”. All the best brother, Mungu atakunyooshea njia mahala pengine, kwa mapenzi yake.

  • @revivalchoir1
    @revivalchoir1 Před 2 lety +41

    Jamaa nimempenda bure..! Yuko vizuri sana sema tu inchi hii imearibika na siasa za ovyo. Watu wa ovyo wanachaguliwa kwasababu ya mambo ya siasa na watu wa wazito wanaachwa kiza sio wa CCM. Pole yetu wa Tanzania

  • @bonawalewale9921
    @bonawalewale9921 Před 2 lety +8

    Amazing Ndonge Said Ndonge wewe ni mkali ubarikiwe sana

  • @rubenijackisoni5679
    @rubenijackisoni5679 Před 2 lety +28

    Mungu wambinguni Akujalie uzima na Afya njema kijana mwenzangu ulimavu wa ngozi sio Akili

  • @hannansdeliciousfood4261
    @hannansdeliciousfood4261 Před 2 lety +6

    Ana confidence ......maashaaAllah Mungu akusinamie....baba Amiin

  • @cyprianoduor870
    @cyprianoduor870 Před 2 lety +13

    Charisma of this man will make parliament active.

  • @dalali_professionalwa_dodo8330

    Dakika 14 zimebadilisha maisha yake. Sema bongo nyoso sana....

  • @Iamraychris
    @Iamraychris Před 2 lety +30

    Askari kweli kweli et “ we ni chaguwe afu uone shuhuli “ 😂✊🏾🙌🏾

    • @maryberege3093
      @maryberege3093 Před 2 lety +2

      Jembe kweli kweli nichague halafu uone shuhuli

  • @RamadhanAli
    @RamadhanAli Před 2 lety +78

    Great guy!!! I believe that disability is not inability, this guy has shown he is capable. Hilariously took the session with great confidence.

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Před 2 lety +10

      Why are you thinking of disability, who said albinism is disability??

    • @RamadhanAli
      @RamadhanAli Před 2 lety +6

      @@BigZhumbe Do you even realise what you are talking about? Kindly enlighten yourself before involving yourself into such a topic.

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe Před 2 lety +2

      @@RamadhanAli I think you should do that coz you see disability in albinism. There is no disability in God's creation you need to think like a human not like white man, the colonizer of your brain.

    • @antoinekatembo8520
      @antoinekatembo8520 Před 2 lety +1

      Very true

    • @RamadhanAli
      @RamadhanAli Před 2 lety +3

      @@BigZhumbe Don't force me to follow your way of thinking, you are talking about me following the White Man's way of thinking yet you're enjoying the benefits of a White Man's efforts and using the White Man's language? So stop the double standard and put yourself into your line. N hayo tu kwa sasa.

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před 2 lety +13

    HUYO LAZIMA AINGIE FAINALI KOMBE UWANJANI👍👍👍👍

  • @dubabaxakatv2993
    @dubabaxakatv2993 Před 2 lety +24

    Kama mkenya🇰🇪 nimependa anavyoongea maze wish him all the best

  • @bibilaginanani8259
    @bibilaginanani8259 Před 2 lety +17

    Hongera sana kiongozi unaweza

  • @selinamashoko2490
    @selinamashoko2490 Před 2 lety +14

    Hongera sana mh.Said Ndonge..mama atakutafutia nafasi yenye tija kwenye Taifa hili,,ili hayo mawazo na uwezo wako wa akili uutumie kuijenga na kuinufaisha jamii yetu ya Kitanzania!

  • @abdullahipharah3677
    @abdullahipharah3677 Před 2 lety +2

    Mimi mzaliwa kenya, na kwa ukweli nimefurahi kuona vile mnatafuta Umoja wa wanainchi 🙌🏾🙌🏾👍🙌🏾 HONGERA!!

  • @samweliandrea7802
    @samweliandrea7802 Před 2 lety +34

    Hiii ndio Tanzania tunayo itaka mm napenda sana nikiona watu wanafurahi hivo mungu awasaidie sana viongozi wetu muwe na amani hiyohiyo

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 Před 2 lety +18

    Nimependa maongezi yake mungu mpatie nafasi nzuri ya kazi nyengine yenye kheri na yeye

  • @mkato5831
    @mkato5831 Před 2 lety +21

    Ndonge anatufaa sana .mama tunaomba umpe kitengo HUYU mwamba ana kitu kwetu

  • @zolongOne
    @zolongOne Před 2 lety +5

    Wamempa hela halafu hakuna aliyempigia kura 🤣🤣🤣

  • @sumahtanzania4991
    @sumahtanzania4991 Před 2 lety +19

    Mashalah anafaa sana ana confidence

  • @lmashua
    @lmashua Před 2 lety +11

    Love love him, Nitchague kwanza kisha uone shughuli.

  • @dallorday
    @dallorday Před 2 lety +21

    Mungu amekuchagua kwa wakati wake sahihi

  • @believeboy2150
    @believeboy2150 Před 2 lety +13

    Jamani kama mmehesabu kama Mimi naomba like zangu🤗🤗

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca Před 2 lety +25

    @MillardAyo “Mwomba Ridhaa” sio Mgombea🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hiquest7273
    @hiquest7273 Před 2 lety +2

    I truly love the orderliness with the tanzanians in such openess. Kenya Bunge, learn

  • @johnrimoy1613
    @johnrimoy1613 Před 2 lety +11

    Anauwezo wa kushawishi.
    Safi sana.

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 Před 2 lety +29

    🤣🤣🤣🤣anaongea kwa cofides Sana akikosa uspika mama samia suruh Hasan amfikirie kwa nafasi nyingine 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rosemarymshana3939
    @rosemarymshana3939 Před 2 lety +6

    He's the greatest confidence man✊❣️🙏

  • @pascalpolepole1209
    @pascalpolepole1209 Před 2 lety +4

    Ana Akili timamu kabisa! Respect !👌👌👌🔥🔥🔥

  • @arkamsaid7600
    @arkamsaid7600 Před 2 lety +12

    We KWANZA nichague alfu uone shuguli😂😂😂

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 Před 2 lety +12

    Ndugu Ndonge Saidi Ndonge uko vizuri baba nyota inang'aa😂😂😂

  • @makameali136
    @makameali136 Před 2 lety +25

    NDOGE mama yetu fanya utupe mwamba huu nafasi yoyote atumikie nchi yetu

  • @ramadhanishaha6884
    @ramadhanishaha6884 Před 2 lety +12

    Mh Ndonge s Ndonge Tunashukuru kwa kuutambua mchango mkubwa wa Mh Rais ktk madarasa hata ktk kata yako ya Bungu Ni wanufaika wakubwa wa hayo sisi na maji tumeongezewa ktk shule yako uliosoma msafiri

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 Před 2 lety +6

    Mwomba ridhaa na sio mgombea. Ugombea ni ugomvi. Sisi hatutaki ugomvi. Kwa madarasa Mama kupiga sanaa. Bado chakula cha mchana. Mnyonge mnyongeni lakini Mama kupiga madarasa 15,000. Kaweka historia ya aina yake. Mwomba ridhaa uko juu kwa siasa za mdomoni.

  • @hassanmohamedi7585
    @hassanmohamedi7585 Před 2 lety +4

    Hadi rahaaa mama amuangalie vizurii huyu anaweza kutufaaa ata kua mkuu wa wilaya

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 Před 2 lety +21

    Nimefurahia confidence yake🤣

    • @mgasa_tz5527
      @mgasa_tz5527 Před 2 lety

      Anazingua, coz anaongea Joking kwenye jambo serious

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před 2 lety +5

    Huyu jamaa alistahili kuwa spika kabisa. Angefanya jambo ktk bunge ili tufikie malengo jamani. Hivi Tulia si wale wale au?

  • @evanccast6228
    @evanccast6228 Před 2 lety +2

    Muomba rithaa Ndonge Said ndonge yuko vizuriii sanaaa 👏👏👏👏👏

  • @arqammasoud6858
    @arqammasoud6858 Před 2 lety +12

    Mama mtu voo mungu azidi kumlinda 🙏

  • @amanlenatus9067
    @amanlenatus9067 Před 2 lety +14

    Duh jamaa apewe yeye tu huyo akson aende uko

  • @to-chisesoboy7336
    @to-chisesoboy7336 Před 2 lety +4

    Hapo pembeni ya mheshimiwa Msukuma namwona msanii wa bongo fleva KEISHA

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před 2 lety +2

    Kweli umetisha sana kamanda

  • @agripinaaudax168
    @agripinaaudax168 Před 2 lety +17

    Mnapotezea watu muda afu mshaandaa watu wenu mnaboa sana ccm asee bs tu

  • @simonjnrmabula3785
    @simonjnrmabula3785 Před 2 lety +25

    Mhe. Lukuvi anafaa sana kuwa Speak wa Bunge hili mana ana msimamo na anajua anafanya nini. Kwa upande wangu mgombea hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kusifia tu ila nampongeza kwa ujasiri wake.

    • @jaharaoman6478
      @jaharaoman6478 Před 2 lety +2

      Lukuvi yupo vzr sana👏🏻👏🏻👏🏻

    • @zuenajohn8325
      @zuenajohn8325 Před 2 lety +2

      Naungana na mhe. Simon Mabula . Lukuvi anafaa nafasi ya uspika.

    • @loishiyesamwel1374
      @loishiyesamwel1374 Před 2 lety +2

      Kutunzwa kwa fedha ni kwamba anafaa au kamsemea Mama vizuri? Naona giza hapa

    • @zuenajohn8325
      @zuenajohn8325 Před 2 lety +1

      @@loishiyesamwel1374 kamsifia mama na wampendae mama wakamuunga mkono.

    • @binrashid8671
      @binrashid8671 Před 2 lety +4

      Anafaaa sana kama asingegubikwa na UDINI...

  • @angeljustine2493
    @angeljustine2493 Před 2 lety +3

    Hebu bunge limfikirie mgombea kwenye nafasi zingine za uteuzi.Mgombea ana kibali kwa wananchi na bunge.Hata mm nampenda awe kiongozi.Ongela sana Ngoge Said Ndoge.

  • @hamisikisoma2742
    @hamisikisoma2742 Před 2 lety +3

    Safi sanaa Mr.Ndonge umeupiga mwingi muomba ridhaaaaaaa

  • @sharcksharckhassan5786
    @sharcksharckhassan5786 Před 2 lety +4

    Wewe kwanza nichague kisha uone kazi yangu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 Před 2 lety +18

    Umeongea kwa uwezo mkubwa sana

  • @samomnanka2779
    @samomnanka2779 Před 2 lety +9

    AAFC ndio chama gani au ndio sarakasi za CCM

    • @umojamedia4167
      @umojamedia4167 Před 2 lety +1

      icho kiti cha uspika anagombea yeyote
      ata huyu japo sio mmbunge
      Ata ww unaweza kikubwa kusoma na kuandika namambo mengine kama mwijaku alivoenda kuchukua fom

  • @janethjustin5256
    @janethjustin5256 Před 2 lety +3

    He is great man 👏👏

  • @angeljustine2493
    @angeljustine2493 Před 2 lety +3

    Nampongeza mama kwa ujenzi wa madarasa kuipa heshima nchi.Pia umewapa heshima walimu kufundishia kwenye madarasa ya kiwango,nashukuru pia kwa kuwamini walimu kuwa wasimamizi wa ujenzi wa madarasa kazi imeoneka.Mama nakuombea kwa Mungu aendelee kukupa hekima,busara na maarifa kutuongoza Watanzania.Mpaka sasa naona 2025 huna mpinzani ndani ya Ccm na nje ya ccm.Ongela sana mama.

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 Před 2 lety +17

    Sasa nimepata JAWABU ni wapi MANARA alipochukua ENGLISH COURSE 😁😁😁😁😀😀😀 Nawahakikishia huyu lazima atakua " MNYAMA "tu

    • @rossmaryphases8509
      @rossmaryphases8509 Před 2 lety

      Hna akir wewe wngne wanajb yakuhsiana na tkio we unajb mambo ya mpira ama kwel akir ni nywele

    • @minskbelarus7255
      @minskbelarus7255 Před 2 lety

      Dada ROSEMARY hivi unamaanisha "AKILI au AKIR?" Na kama ni AKILI basi nipunguzie wewe mwenye NYWELE nyingi......

  • @francismagari4373
    @francismagari4373 Před 2 lety +3

    Ahsante kwa kuizungumzia Katiba mpya

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Před 2 lety +4

    Kweli wenye mengi ya kusema hawana nafasi ya kusema na wenye nafasi ya kusema hawana la kusema...dongo kwa wabunge walio wengi hilo kawapiga kiaina

  • @schosay_
    @schosay_ Před 2 lety +1

    I am happy to see my fav former minister Sir Mwalukuvi,

  • @edm0ndk
    @edm0ndk Před 2 lety +2

    7:34 Ndonge kaupiga mwingi hapa 🙌🏾😂🤣

  • @olobikoomollel3898
    @olobikoomollel3898 Před 2 lety +5

    Jamani mliomchangia pia mpeni na kura muomba ridhaa ....mungu awabariki wote watanzania mlioguswa na bwana ndunge

  • @JAYCLASSICMEDIA
    @JAYCLASSICMEDIA Před 2 lety +3

    EJAMAAEEEEEH!!,,,, HIVI HAMJUI NI KWA NAMNA GANI NGOMA ZANGU NI KALI SANA,,, UNYAMA MWINGI,,, AAAAAH😂😂😂😂😂MTAKUWA MNAZINGUA NA MASIHARA MENGI... NJOOO KWENYE PAGE YANGU SIKILIZA UNYAMA AFU KUNIFOLLOW UTAAMUA WEW UKISHAONA UNYAMAAAA👏👏👏👏

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 Před 2 lety +8

    Ila lukuvi anafaa kuwa spika hataki ujinga na unafiki maswali ya kipuuzi anayacheua

  • @hellenbochere4982
    @hellenbochere4982 Před 2 lety +4

    Kweli Kawa speaker

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 Před 2 lety +7

    Hahahaha
    Nimecheka mnooo.

  • @fralex_1276
    @fralex_1276 Před 2 lety +1

    I love this guy

  • @asiaokelay8421
    @asiaokelay8421 Před 2 lety +1

    Masha Allah

  • @youngbilioners4631
    @youngbilioners4631 Před 2 lety +5

    Uyo anae rusha mikono ametanguria mbere ukute nyumbani mke wake akisema nipe mwiko uwo utakuta anagoma oya KAZI zakike izo apo anapo pigamapigo

  • @baselinoelimwasi3763
    @baselinoelimwasi3763 Před 2 lety +7

    Hivi vyama kweli Ni vya CCM

  • @mosesmahinya9654
    @mosesmahinya9654 Před 2 lety +6

    Huyu jamaa ni nouma sana

  • @nicksonnewton1540
    @nicksonnewton1540 Před 2 lety +8

    Wamakonde mpo hea mnatak nchi kilazima

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 2 lety

      Hakuna makonde ambaye anataka nchi kilazima acha kuleta mambo ya ukabila

  • @mariammohamedy3586
    @mariammohamedy3586 Před 2 lety

    Asante umeongea vzr sana

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 Před 2 lety +1

    MASHAALLAH

  • @saidabdallah2649
    @saidabdallah2649 Před 2 lety

    Dah huyu anafaaa sana yaani yuko vizuri labda akose busara 👍👍👍😂😂

  • @salimkatana6721
    @salimkatana6721 Před 2 lety +5

    Umeambiwa ujieleze ww unasifu mtu,,interview za wabongo bana.uchawa tu!

  • @abdizozizu8098
    @abdizozizu8098 Před 2 lety

    AWESOME 👌

  • @rich_wasparner9233
    @rich_wasparner9233 Před 2 lety +1

    Hongera Sana muomba ridhaa

  • @moshiomarymnyeda8907
    @moshiomarymnyeda8907 Před 2 lety +1

    Wangempa Lukuvi tu
    Yupo makini sana aisee

  • @pachaonline
    @pachaonline Před 2 lety

    Ndoge umetisha

  • @tkmastertkmaster4000
    @tkmastertkmaster4000 Před 2 lety

    Bwana ndonge chama kimemponza 🙌🙌🙌

  • @suleimanbakar3429
    @suleimanbakar3429 Před 2 lety +1

    banging kweli cab mboga msukuma anavuta bang hasa

  • @HamixBreshiBane
    @HamixBreshiBane Před 2 lety +12

    Jamaa kwa jinsi alivyo na alivyoongea watampatia kitengo

  • @kinaboavelini8238
    @kinaboavelini8238 Před 2 lety

    😁 yupo vizuri sana, naimani ataonwa zaidi

  • @dismashaule1631
    @dismashaule1631 Před 2 lety

    Nimefarijika sna kumuona Mch.Gwajma akiwa bungen,Mungu yu mwema
    Ila Ndonge kapiga pesa sna kwa dakika 10

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu5243 Před 2 lety +5

    Sasa huyu Dk. Kasheku Musukuma anatoa taarifa, hasemi taarifa yake hiyo inatokana na kanuni ipi au Namba ngapi au kifungu kipi as per Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.. ana-refer mikutano ya vijiji. Kaaaazi kweli kweli.

  • @fayeezomar9353
    @fayeezomar9353 Před 2 lety +1

    MashaAllah

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Před 2 lety +5

    Huyu Lazma Apate Nafas Katika Serikal Hii

  • @nuuringoogle4104
    @nuuringoogle4104 Před 2 lety

    His good guy 👍👍👍🙏🏽🙏🏽🙏🏽😘😘

  • @sundaymapunda4199
    @sundaymapunda4199 Před 2 lety

    Umetisha Kaka hiyo ni lugha

  • @jacquelinesemu1347
    @jacquelinesemu1347 Před 2 lety +6

    Nimefurahi kumsikiliza

  • @justinemaganga7734
    @justinemaganga7734 Před 2 lety +12

    Huyu anafaa sana

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před 2 lety +3

    Huyu mama sio mchawi kweli alouliza swali la kwanza kwa muheshimiwa?!

  • @dazzoofficial469
    @dazzoofficial469 Před 2 lety +7

    Hana maajabu wala hoja za msingi Mama maamaa mama nini bn Ongea vitu nya msingi

  • @chazy7ya216
    @chazy7ya216 Před 2 lety

    Jamaa yupo vizuri sanaa

  • @hamismagangger7542
    @hamismagangger7542 Před 2 lety +2

    Ana comfidence sana lakini kaaambiwa ajielezeee anatoka nje ya mada 😁🥛

  • @ChiefMkwetu
    @ChiefMkwetu Před 2 lety +3

    Amepata fulsa ila ameshindwa kuitumia !!!😳😳

  • @omarymohammed9396
    @omarymohammed9396 Před 2 lety +2

    Ndonge ana madini kichwani anafaa kuwa mkuu wa mkoa

  • @lumumbasankara6388
    @lumumbasankara6388 Před 2 lety +4

    Hahahahaaaaa maisha kucheka tu

  • @hassanomar1041
    @hassanomar1041 Před 2 lety +2

    Ndonge amemaliza kila kitu mimi ni mkenya ila nimempitisha ✌

  • @bakarimohamedi5814
    @bakarimohamedi5814 Před 2 lety +3

    Issue serious mtu anapiga porojo tu hamna kitu hapa

  • @eliyahango4278
    @eliyahango4278 Před 2 lety

    Huyu anaomba ridhaa au anaomba budhaa🤣🤣🤣🤣🤣