Mungu wapokee viongozi wetu bila ya kujali dini zao wanapo kufa kwa kubadilisha maisha ya watanzania walio waongoza kuwa maisha yao ya huko na uzidishe hasira zako kwao
Wafigaji wengi wanaasili ya UTOAJI siyo wachoyo , njoo kanda ya KATI UONE WATU WALIVYOWACHOYO , WABAHILI HAWAKARIMU 😅😅😅 HAKIKA UKITOA NA WEWE UNABARIKIWA ZAIDIII
Jamani hamna kibudu ngombe wana afya yakutosha na wanashukuru lowasa aliwafundisha namna yakuwa tajiri mfugaji. Siyo maskini mfugaji. Ngombe 210 ni karibu b inaenda. Wamasai matajiri bwana Acha kabisa
Ni jamnii ya wafugaji hii ng'ombe si kitu ya kuuliza, naina onyesha wanaushirikiano sanaa kuwa familia kadhaa walijitolea kutoa hzo ng'ombe ili watu waweze kupata chakula
Pesa IPO sana hapo maana alitumika Serikalini Muda mrefu sana, Kwahiyo kujilimbikizia Mali nyingi mnooo, ukizingatia Pesa inafika kiwango ambacho,haisikii Matumizi, yaani kwa ng'ombe hao hawapunguzi chochote ktk Pesa ya Richmond
@@lazarosoja6522 Mjomba vp,kwani umeilewaje comment yangu?Kaa utulie Mjomba,huyo Jamaa alihusika na kashfa ya Mabilioni ya Richmond,au wewe nawe ulihongwa kwenye mgao?Wala Mimi sikua na suala la Wivu, yaani niache kumuonea Wivu alie hai nimuonee Wivu Maiti,? Wewe pumba kweli na Ukafiri WAKO Mbwa wewe
Wew mbona hivyo? Hawa wamasai nyama ndo chakula Chao kikubwa na hasa mtu maarufu kama lowasa ndo wamechinja ng'ombe wenye wakiashiria alikuwa shujaa kwao... Sasa unawaita wapumbavu 😊😊
Ni kawaida kwa Lowassa kwenye sherehe hata akija lazima ng'ombe kadhaa zianguke halafu ng'ombe sio issue kwa Maasai, Maasai mmoja kuwa na ng'ombe elfu 5 ni kitu cha kawaida sana
Yaan hapo mungu ndipo anatufundisha ni jinsi gani tuishi ,una amali nyingi sana harafu unashindwa kuwasaidia yatima unashindwa kujenga za ibada unashindwa kuwasaidia wenye uhitaji maskini wa mungu harafu unapokufa amali yako inaliwa na watu hata ambao hawatosema hata asante ukawaona,tunakufuru mungu alituficha lkn ukweli ndo huu ,unagombana na watu ajiri ya pesa unaua kisa pesa unadhurumu kisa pesa hebu tujiulize ameenda na nini mwenzetu? Inna lilahi wainnailah lajiun😭😭😭
yaani huko huko arusha zipo familia hazipati hata kila hizi ngombe wangewasaidia huyo lowasa angeweza hata pata amal njema huko kaburini kulko ujinga kama huu
Wewe nenda ukafanye hayo...Lowassa ameamua kulisha jamii yake nyama siku ya mazishi yake.. kuna watu wanajifanya ndo mabalozi wa Mungu...hakuna amjuaye Mungu, usitupangie
Huyu masai ni msomi aisee maana ameongea kihekima sana kwasabu nilitarajia angesema ukinywa hiyo dawa utaharisha sana Kasema leo ni siku kubwa sana hatujaweka hiyo dawa kwasababu utakuwa unaenda uwani kila saa
Alieona police akichekelea nyama agonge like hapa😂
😂😂😂😂
Oya sio poa
Yupo kazini good job
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Nyama 210 ? Duuu iyo sio powa,,iyo inaitwa kula kujigalagaza,,..wow ..mmejuwa kwer kumheshimisha yani
Mashallah hongera wamasai kwa ubinadam mlio ufanya
Wanafanyaga Kwa Masai mwenzao tu
Msiba wa lowasa ndyo msiba uloongoza kwa kuchinja ng'ombe wengi
Kabisa , achana na masai kabisa
Kweli kabisa haijawahi kutokea ni mazishi makubwa sana
Kutokana na Mila za kwao 😅
Ongela sana wamasai wote kwa kumuenzi kiongozi wetu kiongozi wenu
Duh masha allaah wamasai
Dah kweli kazi nimeno tu
Mungu wapokee viongozi wetu bila ya kujali dini zao wanapo kufa kwa kubadilisha maisha ya watanzania walio waongoza kuwa maisha yao ya huko na uzidishe hasira zako kwao
Mhhh
Asante ukweli usemwe
Amin
Iyo love cyo poa
Wamasai mlo wao bora ni nyama
Wafigaji wengi wanaasili ya UTOAJI siyo wachoyo , njoo kanda ya KATI UONE WATU WALIVYOWACHOYO , WABAHILI HAWAKARIMU 😅😅😅 HAKIKA UKITOA NA WEWE UNABARIKIWA ZAIDIII
Ashenalle
Wameuana uwana kumbe walikua wanamchulia baba lowasa 😢😢😢
Dah poleni sana
Hundo msiba sasa duhuu msiba wama tajiri hushagi mbiyo full nyama kula kujigaragaza nakwambia😋😋😋
Sjawah skia msiba kama huuu Tanzania Nzima Au Africa Mashariki ki unumla
This should be recorded in the GUINNESS WORLD RECORD
Sure 100%
Mambo mazuri duwa zetu watu wa kubwa wapumzike kwa amani tupate kula kujigaragaza
Kama hujuwi hiyo ndio utamaduni ya ufalme ya kiamsia
Kwani lowasa ni mmasai
ndio ni mmasai wa monduli
dar hakuna kama masai hongeren Sana masai
🎉🎉🎉🎉🎉
Asee wamasai wanaupendo sana
Ma shaallh zote izo utajiri wake
Yote sio yake, yapo makundi na familia ya maasai waliojitolea ng'ombe
Jamani hamna kibudu ngombe wana afya yakutosha na wanashukuru lowasa aliwafundisha namna yakuwa tajiri mfugaji. Siyo maskini mfugaji.
Ngombe 210 ni karibu b inaenda.
Wamasai matajiri bwana Acha kabisa
Si wataharisha baada ya matanga
Wa mjini ndo wanaharisha...wenyej hawanaga shda ndogo ndogo km hzo😂
❤
❤❤❤
❤❤❤❤
Nahitaji ku join kwenye Hilo hirika la pawacap organization ❤
nyama jamanii nyamaa nisiongee maneno mengi napenda nyama....
YUPO WAPI KENYONYO AJE ALA NYAMA HADI AJINYEE KWENYE SURUALII🤣🤣🪰🪰
Kufa kufaana
R.I.P Lowassa
Naomba muheshimiwa mwingine afe ili tuendelee kula n,gombe
Hakuna wali wala makande
Wanavyo zipika mm ndio inanitia kichefu chefu😢 swez kula kwakweli mtanisamehe
Mm naomba utumbo
Chuga kama chuga😂😂 kama nawaona vile
Sadaqa kwa watu masikini je
Zimfikie duaa kwake
Kweli kufa kufaana
Sio kufa kufaana ndo Mila zao hasa kwa mtu maarufu kama lowasa yaani ni sehemu ya tamaduni zao 😅😅
KULIME NYAMA MAISHA MAFUPI HAYA
Hii kiboko
Jamaniiii eeeee hawa watu wanakula nyama Hatariiii.
Huuu sio msiba ni sherehe
😂😂😂mimi siwezi jyla nyama ya ivi kwa kweli
kwa nini😂
Jambo jema sana Kabila langu
Nipeni ng'ombe 10 tu
🙄 daaaah
Da imagine nipo hapo 😂
Yaan nom mzee
Police amefurahishwa na nyama😅😅😅😅
Nimenenepa Kwa kuona tu mamaeee
👍👍
Kula nyama maisha mafup haya
Kuharisha tu hahaha
Ivi izo ng'ombe zote zinazotajwa ni kweli watu wanamaliza kuzila?
Huenda zilikua chache maana nasikia walioenda ni watu wengi, alikua mtu wa watu Lowasa
Nyama kwa Ruwssa
sasa hpo kuna msiba tena watu wanafurha hivyoo
Elisha alais
Daa hatar kwel 245 kuishia tumbon
😂😂😂
Sasa hao askari wamefaidi msiba kuja kuisha wako kazini wanakula nyama watahitimisha matanga watasimulia uzeeni wajukuu
Kweli kabisa hii ni historia haijawahi kutokea kabisa
Asee nyie wamasahii niwaugwana sana
Sitawai kosa mazishi ya masaai
Tofaut ya msiba na kilio
Kuani ni sherehe hiyo ni maombolezi
Police wachana najikoni bwana😂😂😂😂
Lazima wawepo
Kazi ya police ni kuangalia usalama
Sasa ng'ombe wamewakosea nini??😂😂
Kikowapi polisi kampiga baba wa watu alijua chakula kidogo angalia Sasa hadi meno ayawezi kutafuna
Hahaha😂😂😂😂😂😂😂 duuuh yaan watu mnafikilia mbali sana
Hivy hizi nyam zinaiva kwel
Wamasai hawapendi nyama iive sana,ikikauka kidogo TU baas
Haitakiwi kuiva sana wewe wa wapi? Njoo kaskazini tukifundishe
Ndio huwa zinachomwa kwa magroup hivyo unaweza kuta group kumi na saba zinachoma au kila group ng'ombe wawili zinachomwa hadi kuiva
Ashe nalle
Wamasai Sisi noma
Hongereni sana na Mungu awabariki
Msiba umekuwa fursa
Fursa ya nini? Kula nyama nayo ni fursa
Hio desturi kwao sio fursa
Sasa huyo wa utumbo si aachane nao
Duuu amakweli imechinjwa
Shikamoni wamasai
basi sherehe sio msiba
Ndio tunasherekea maisha yake
Jumla ng'ombe 245 dahhhh kuna watu matajiri hadi inashangaza kwelikweli!! 🎉🎉🎉🎉🎉
Unasema ng'ombe 200 kuna watu Wanao zaid ya elf2 acha masihara basi ndugu yangu
Maasai mmoja kuwa na ng'ombe elfu 5 ni kitu cha kawaida
Wazanzibar hawezi kula Ng'ombe namna hii coz wanawachapa wamaasai wooi😂😂😂😂
Walaku sanaaaaa
hakujibu swali kuwa hawa ngombe wanatoka wapi?
wamasaai wako na ng'ombe 😅
Ni jamnii ya wafugaji hii ng'ombe si kitu ya kuuliza, naina onyesha wanaushirikiano sanaa kuwa familia kadhaa walijitolea kutoa hzo ng'ombe ili watu waweze kupata chakula
Pesa IPO sana hapo maana alitumika Serikalini Muda mrefu sana, Kwahiyo kujilimbikizia Mali nyingi mnooo, ukizingatia Pesa inafika kiwango ambacho,haisikii Matumizi, yaani kwa ng'ombe hao hawapunguzi chochote ktk Pesa ya Richmond
Hapo Kuna mchango wa wamasai pia , Kuna waliotoa ng'ombe mpaka 3 mtu mmoja wengine 2 na ukijumlisha na nyumbani kwake.. hao wanaumoja sana 😅
Acha upuuzi NA hila na wewe kachume kama unaweza tatizo lako wivu tu na utakufa maskini
@@lazarosoja6522 Mjomba vp,kwani umeilewaje comment yangu?Kaa utulie Mjomba,huyo Jamaa alihusika na kashfa ya Mabilioni ya Richmond,au wewe nawe ulihongwa kwenye mgao?Wala Mimi sikua na suala la Wivu, yaani niache kumuonea Wivu alie hai nimuonee Wivu Maiti,? Wewe pumba kweli na Ukafiri WAKO Mbwa wewe
Wapumbavu tu
Wew mbona hivyo? Hawa wamasai nyama ndo chakula Chao kikubwa na hasa mtu maarufu kama lowasa ndo wamechinja ng'ombe wenye wakiashiria alikuwa shujaa kwao... Sasa unawaita wapumbavu 😊😊
Eti wewe umekula kiasi gani ni swali gani sasa hilo
uroho tu.
Asili hiyoooo😁😁😁
Acha wivu wewe!
Umasikini unakusumbua ww
PEPO LA UMASIKINI LINAKUTAFUNA
Utafikiri ng'ombe wako
Watetezi wa haki za wanyama,mnasemaje?
Kwa kweli hawajawatendea haki wanyama.
😂😂😂😂😂😂😂tutawakamata wamasai
Allah mwenyewe ameamrisha kuchinja wanyama walio halali kuliwa ss hao haki za wanyama ndio nani
Muna furaha kubwa bas kwakufa lowasssa
Ndiyo nini sasa?
Mila na desturi zao hasa kwa mtu maarufu 😊😊
Mngefanya hv enzi wa uhai wake😢
Ili iwaje wamekwambia ndio utamadun wao
Walikuwa wanafanya hujawasikia hapo?
Ni kawaida kwa Lowassa kwenye sherehe hata akija lazima ng'ombe kadhaa zianguke halafu ng'ombe sio issue kwa Maasai, Maasai mmoja kuwa na ng'ombe elfu 5 ni kitu cha kawaida sana
@@Ibrahim-ne3in km ndo tamaduni zao sawa
@@judyngowi391 ok
Wanachinjwa kisheria au ndo mwendo wa vibudu.
Sheria zipi?
Kwani kunasheria yauchinjaji acheni ushamba viumbe vyote vimeamrishwa kuwaliwa namwanaxdam
Sheria ipi hiyo!
Mtumwa wa waarabu ww
Wananyonga makufari hao
Yaan hapo mungu ndipo anatufundisha ni jinsi gani tuishi ,una amali nyingi sana harafu unashindwa kuwasaidia yatima unashindwa kujenga za ibada unashindwa kuwasaidia wenye uhitaji maskini wa mungu harafu unapokufa amali yako inaliwa na watu hata ambao hawatosema hata asante ukawaona,tunakufuru mungu alituficha lkn ukweli ndo huu ,unagombana na watu ajiri ya pesa unaua kisa pesa unadhurumu kisa pesa hebu tujiulize ameenda na nini mwenzetu? Inna lilahi wainnailah lajiun😭😭😭
Punguza mdomo 🙌😮huku Arusha lowassa alkuwa anatugaia Nyama deilee
yaani huko huko arusha zipo familia hazipati hata kila hizi ngombe wangewasaidia huyo lowasa angeweza hata pata amal njema huko kaburini kulko ujinga kama huu
Wewe nenda ukafanye hayo...Lowassa ameamua kulisha jamii yake nyama siku ya mazishi yake.. kuna watu wanajifanya ndo mabalozi wa Mungu...hakuna amjuaye Mungu, usitupangie
@@josephlorri431 kwani nani kakupangi wewe qaafir sie tunajadili mada iliyopostiwa kama hupendi kuona watu wana tunachangia hoja si utoke you tube
Masikini huwa mna mawazo ya kijinga sana
Nyama zenyewe mbona mbichi
Wewe umeona wapi utakuwa unatokea kanda za uchoyo
Mnamaanisha wote hao mnanyonga hamchinji????😂😂😂😂😂
Kwendaaaaa,, unajua maana ya kuchinja wewe?
Huyu masai ni msomi aisee maana ameongea kihekima sana kwasabu nilitarajia angesema ukinywa hiyo dawa utaharisha sana
Kasema leo ni siku kubwa sana hatujaweka hiyo dawa kwasababu utakuwa unaenda uwani kila saa
Sasa wanaochinja waislam au wamasai
Kwan alikuwa muislam s mkristo kkt wamasai ndio wamechinjaa
Kwani nguruwe anachinjwa na muislam??
Sheria za Muislamu inamuhusu nini kwenye misiba ya wakristo?
@@thomaschristian769😂😂😂😂😂😂😂
Kwani kuuliza ujinga jamani tunajuwa wakristo hawachinji ndiyo maana kauliza
Mbona hamkumchinjia akiwahai??? Hizo ngombe mngezipeleka kwa watoto yatima siingekuwa baraka kwenu...?
Nani kakwambia kuwa baraka mpk umpe yatima pekee?