TAARIFA MPYA NYUMBANI KWA LOWASA,IDADI YA NG’OMBE YAONGEZEKA NAKUFIKIA 210, ”BADO 35”

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 02. 2024

Komentáře • 179

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in Před 5 měsíci +52

    Alieona police akichekelea nyama agonge like hapa😂

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 5 měsíci +5

    Nyama 210 ? Duuu iyo sio powa,,iyo inaitwa kula kujigalagaza,,..wow ..mmejuwa kwer kumheshimisha yani

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 Před 5 měsíci +12

    Mashallah hongera wamasai kwa ubinadam mlio ufanya

  • @user-cg1je3vq1n
    @user-cg1je3vq1n Před 5 měsíci +10

    Msiba wa lowasa ndyo msiba uloongoza kwa kuchinja ng'ombe wengi

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 Před 5 měsíci

      Kabisa , achana na masai kabisa

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 5 měsíci

      Kweli kabisa haijawahi kutokea ni mazishi makubwa sana

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 5 měsíci

      Kutokana na Mila za kwao 😅

  • @EdghaMoses-js8lj
    @EdghaMoses-js8lj Před 5 měsíci +2

    Ongela sana wamasai wote kwa kumuenzi kiongozi wetu kiongozi wenu

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Před 5 měsíci +2

    Duh masha allaah wamasai

  • @husseinidaudi3353
    @husseinidaudi3353 Před 5 měsíci +2

    Dah kweli kazi nimeno tu

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 Před 5 měsíci +2

    Mungu wapokee viongozi wetu bila ya kujali dini zao wanapo kufa kwa kubadilisha maisha ya watanzania walio waongoza kuwa maisha yao ya huko na uzidishe hasira zako kwao

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 Před 5 měsíci +2

    Iyo love cyo poa

  • @sammmau6762
    @sammmau6762 Před 5 měsíci +5

    Wamasai mlo wao bora ni nyama

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před 5 měsíci +2

    Wafigaji wengi wanaasili ya UTOAJI siyo wachoyo , njoo kanda ya KATI UONE WATU WALIVYOWACHOYO , WABAHILI HAWAKARIMU 😅😅😅 HAKIKA UKITOA NA WEWE UNABARIKIWA ZAIDIII

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 5 měsíci +2

    Ashenalle

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Před 5 měsíci +2

    Wameuana uwana kumbe walikua wanamchulia baba lowasa 😢😢😢

  • @user-wp6cg4jl2s
    @user-wp6cg4jl2s Před 5 měsíci +1

    Dah poleni sana

  • @billylovebillybillylovebil580

    Hundo msiba sasa duhuu msiba wama tajiri hushagi mbiyo full nyama kula kujigaragaza nakwambia😋😋😋

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 Před 5 měsíci +1

    Sjawah skia msiba kama huuu Tanzania Nzima Au Africa Mashariki ki unumla

  • @edwinemrod3933
    @edwinemrod3933 Před 5 měsíci +2

    This should be recorded in the GUINNESS WORLD RECORD

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 Před 5 měsíci +1

    Mambo mazuri duwa zetu watu wa kubwa wapumzike kwa amani tupate kula kujigaragaza

  • @king_maik6375
    @king_maik6375 Před 5 měsíci +7

    Kama hujuwi hiyo ndio utamaduni ya ufalme ya kiamsia

  • @DeusMsugulu
    @DeusMsugulu Před 5 měsíci +2

    dar hakuna kama masai hongeren Sana masai

  • @pendaellaizar-nr8ec
    @pendaellaizar-nr8ec Před 4 měsíci

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @rockmart400
    @rockmart400 Před 5 měsíci +2

    Asee wamasai wanaupendo sana

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q Před 5 měsíci +2

    Ma shaallh zote izo utajiri wake

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před 5 měsíci

      Yote sio yake, yapo makundi na familia ya maasai waliojitolea ng'ombe

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 5 měsíci +4

    Jamani hamna kibudu ngombe wana afya yakutosha na wanashukuru lowasa aliwafundisha namna yakuwa tajiri mfugaji. Siyo maskini mfugaji.
    Ngombe 210 ni karibu b inaenda.
    Wamasai matajiri bwana Acha kabisa

  • @zeshsulesh6084
    @zeshsulesh6084 Před 5 měsíci +5

    Si wataharisha baada ya matanga

    • @hemedhamis1652
      @hemedhamis1652 Před 5 měsíci +1

      Wa mjini ndo wanaharisha...wenyej hawanaga shda ndogo ndogo km hzo😂

  • @mussaelisha7672
    @mussaelisha7672 Před 5 měsíci

  • @jackezekia6068
    @jackezekia6068 Před 5 měsíci +2

    ❤❤❤

  • @IsackBukulijoro
    @IsackBukulijoro Před 5 měsíci +1

    Nahitaji ku join kwenye Hilo hirika la pawacap organization ❤

  • @loycealute8283
    @loycealute8283 Před 5 měsíci

    nyama jamanii nyamaa nisiongee maneno mengi napenda nyama....

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 Před 5 měsíci +1

    YUPO WAPI KENYONYO AJE ALA NYAMA HADI AJINYEE KWENYE SURUALII🤣🤣🪰🪰

  • @sikudhanishabani-yd5ir
    @sikudhanishabani-yd5ir Před 5 měsíci +2

    Kufa kufaana
    R.I.P Lowassa

  • @user-wu7vm2vc8z
    @user-wu7vm2vc8z Před 5 měsíci

    Naomba muheshimiwa mwingine afe ili tuendelee kula n,gombe

  • @valentinemtei3588
    @valentinemtei3588 Před 5 měsíci +2

    Hakuna wali wala makande

  • @westcijosh
    @westcijosh Před 5 měsíci

    Wanavyo zipika mm ndio inanitia kichefu chefu😢 swez kula kwakweli mtanisamehe

  • @ZINDUKAMUISILAMU30
    @ZINDUKAMUISILAMU30 Před 5 měsíci +1

    Mm naomba utumbo

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Před 5 měsíci +2

    Chuga kama chuga😂😂 kama nawaona vile

  • @maryamadam5622
    @maryamadam5622 Před 5 měsíci

    Sadaqa kwa watu masikini je
    Zimfikie duaa kwake

  • @roseafrael75
    @roseafrael75 Před 5 měsíci +4

    Kweli kufa kufaana

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 5 měsíci

      Sio kufa kufaana ndo Mila zao hasa kwa mtu maarufu kama lowasa yaani ni sehemu ya tamaduni zao 😅😅

  • @ethanethan4437
    @ethanethan4437 Před 5 měsíci +3

    KULIME NYAMA MAISHA MAFUPI HAYA

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 5 měsíci +1

    Hii kiboko

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 Před 5 měsíci

    Jamaniiii eeeee hawa watu wanakula nyama Hatariiii.

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 Před 5 měsíci

    Huuu sio msiba ni sherehe

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Před 5 měsíci +2

    😂😂😂mimi siwezi jyla nyama ya ivi kwa kweli

  • @casablancastudioarusha775
    @casablancastudioarusha775 Před 4 měsíci

    Jambo jema sana Kabila langu

  • @AnthonyVitalis-iy5su
    @AnthonyVitalis-iy5su Před 5 měsíci +1

    Nipeni ng'ombe 10 tu

  • @official_neemamlay180tz
    @official_neemamlay180tz Před 5 měsíci +1

    🙄 daaaah

  • @patisondidas6720
    @patisondidas6720 Před 5 měsíci +5

    Da imagine nipo hapo 😂

  • @naomikisaba5785
    @naomikisaba5785 Před 5 měsíci

    Police amefurahishwa na nyama😅😅😅😅

  • @user-ni4wt6xk3o
    @user-ni4wt6xk3o Před 5 měsíci

    Nimenenepa Kwa kuona tu mamaeee

  • @user-be9zb4eg2l
    @user-be9zb4eg2l Před 5 měsíci +1

    👍👍

  • @user-je7wf9ms5i
    @user-je7wf9ms5i Před 5 měsíci +1

    Kula nyama maisha mafup haya

  • @KhaleedHamad-vl7lz
    @KhaleedHamad-vl7lz Před 5 měsíci

    Kuharisha tu hahaha

  • @yudatadeimdoe9215
    @yudatadeimdoe9215 Před 5 měsíci +2

    Ivi izo ng'ombe zote zinazotajwa ni kweli watu wanamaliza kuzila?

    • @Bushman000
      @Bushman000 Před 5 měsíci

      Huenda zilikua chache maana nasikia walioenda ni watu wengi, alikua mtu wa watu Lowasa

  • @PatrickJoseph-vw2tn
    @PatrickJoseph-vw2tn Před 5 měsíci

    Nyama kwa Ruwssa

  • @MohamediMohamedi-oj2fr
    @MohamediMohamedi-oj2fr Před 5 měsíci

    sasa hpo kuna msiba tena watu wanafurha hivyoo

  • @Elishaalais
    @Elishaalais Před 4 měsíci

    Elisha alais

  • @user-lu3vm5hs8i
    @user-lu3vm5hs8i Před 5 měsíci +1

    Daa hatar kwel 245 kuishia tumbon

  • @beniardajuna2580
    @beniardajuna2580 Před 5 měsíci +1

    Sasa hao askari wamefaidi msiba kuja kuisha wako kazini wanakula nyama watahitimisha matanga watasimulia uzeeni wajukuu

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 5 měsíci

      Kweli kabisa hii ni historia haijawahi kutokea kabisa

  • @user-ve7ho5wi7q
    @user-ve7ho5wi7q Před 5 měsíci

    Asee nyie wamasahii niwaugwana sana

  • @KIM-xl6zs
    @KIM-xl6zs Před 5 měsíci

    Sitawai kosa mazishi ya masaai

  • @naomikisaba5785
    @naomikisaba5785 Před 5 měsíci

    Tofaut ya msiba na kilio

  • @PaulNdungu-vn9rx
    @PaulNdungu-vn9rx Před 5 měsíci

    Kuani ni sherehe hiyo ni maombolezi

  • @user-rj4cd7oc4x
    @user-rj4cd7oc4x Před 5 měsíci +1

    Police wachana najikoni bwana😂😂😂😂

    • @lovedavie9621
      @lovedavie9621 Před 5 měsíci +1

      Lazima wawepo
      Kazi ya police ni kuangalia usalama

  • @user-ml3fj1fq7n
    @user-ml3fj1fq7n Před 5 měsíci

    Sasa ng'ombe wamewakosea nini??😂😂

  • @dayanamsuya6516
    @dayanamsuya6516 Před 5 měsíci

    Kikowapi polisi kampiga baba wa watu alijua chakula kidogo angalia Sasa hadi meno ayawezi kutafuna

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 Před 5 měsíci

      Hahaha😂😂😂😂😂😂😂 duuuh yaan watu mnafikilia mbali sana

  • @user-fh3np5yk9g
    @user-fh3np5yk9g Před 5 měsíci +1

    Hivy hizi nyam zinaiva kwel

    • @shadrackdeogratius6760
      @shadrackdeogratius6760 Před 5 měsíci

      Wamasai hawapendi nyama iive sana,ikikauka kidogo TU baas

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 Před 5 měsíci +1

      Haitakiwi kuiva sana wewe wa wapi? Njoo kaskazini tukifundishe

    • @lazarosoja6522
      @lazarosoja6522 Před 5 měsíci

      Ndio huwa zinachomwa kwa magroup hivyo unaweza kuta group kumi na saba zinachoma au kila group ng'ombe wawili zinachomwa hadi kuiva

  • @issashekh4726
    @issashekh4726 Před 5 měsíci

    Ashe nalle

  • @user-iz8pn2vi8b
    @user-iz8pn2vi8b Před 5 měsíci

    Wamasai Sisi noma

  • @KhamisOmar-kt4kz
    @KhamisOmar-kt4kz Před 5 měsíci +2

    Msiba umekuwa fursa

  • @florahmushi748
    @florahmushi748 Před 5 měsíci

    Sasa huyo wa utumbo si aachane nao

  • @user-bm5ov6kx3c
    @user-bm5ov6kx3c Před 5 měsíci

    Duuu amakweli imechinjwa

  • @JoyceMasaki
    @JoyceMasaki Před 5 měsíci

    Shikamoni wamasai

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před 5 měsíci +1

    basi sherehe sio msiba

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Před 5 měsíci +1

    Jumla ng'ombe 245 dahhhh kuna watu matajiri hadi inashangaza kwelikweli!! 🎉🎉🎉🎉🎉

    • @hamadyhashimu9784
      @hamadyhashimu9784 Před 5 měsíci

      Unasema ng'ombe 200 kuna watu Wanao zaid ya elf2 acha masihara basi ndugu yangu

    • @mcback4384
      @mcback4384 Před 5 měsíci

      Maasai mmoja kuwa na ng'ombe elfu 5 ni kitu cha kawaida

  • @ombenkallenge1924
    @ombenkallenge1924 Před 5 měsíci

    Wazanzibar hawezi kula Ng'ombe namna hii coz wanawachapa wamaasai wooi😂😂😂😂

  • @eliannko
    @eliannko Před 5 měsíci +1

    Walaku sanaaaaa

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před 5 měsíci +1

    hakujibu swali kuwa hawa ngombe wanatoka wapi?

    • @evansokemwa6587
      @evansokemwa6587 Před 5 měsíci

      wamasaai wako na ng'ombe 😅

    • @Bushman000
      @Bushman000 Před 5 měsíci

      Ni jamnii ya wafugaji hii ng'ombe si kitu ya kuuliza, naina onyesha wanaushirikiano sanaa kuwa familia kadhaa walijitolea kutoa hzo ng'ombe ili watu waweze kupata chakula

  • @swahibually8349
    @swahibually8349 Před 5 měsíci +2

    Pesa IPO sana hapo maana alitumika Serikalini Muda mrefu sana, Kwahiyo kujilimbikizia Mali nyingi mnooo, ukizingatia Pesa inafika kiwango ambacho,haisikii Matumizi, yaani kwa ng'ombe hao hawapunguzi chochote ktk Pesa ya Richmond

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 5 měsíci +3

      Hapo Kuna mchango wa wamasai pia , Kuna waliotoa ng'ombe mpaka 3 mtu mmoja wengine 2 na ukijumlisha na nyumbani kwake.. hao wanaumoja sana 😅

    • @lazarosoja6522
      @lazarosoja6522 Před 5 měsíci

      Acha upuuzi NA hila na wewe kachume kama unaweza tatizo lako wivu tu na utakufa maskini

    • @swahibually8349
      @swahibually8349 Před 5 měsíci

      @@lazarosoja6522 Mjomba vp,kwani umeilewaje comment yangu?Kaa utulie Mjomba,huyo Jamaa alihusika na kashfa ya Mabilioni ya Richmond,au wewe nawe ulihongwa kwenye mgao?Wala Mimi sikua na suala la Wivu, yaani niache kumuonea Wivu alie hai nimuonee Wivu Maiti,? Wewe pumba kweli na Ukafiri WAKO Mbwa wewe

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 Před 5 měsíci

    Wapumbavu tu

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 5 měsíci

      Wew mbona hivyo? Hawa wamasai nyama ndo chakula Chao kikubwa na hasa mtu maarufu kama lowasa ndo wamechinja ng'ombe wenye wakiashiria alikuwa shujaa kwao... Sasa unawaita wapumbavu 😊😊

  • @godikombe1319
    @godikombe1319 Před 5 měsíci

    Eti wewe umekula kiasi gani ni swali gani sasa hilo

  • @user-ei7tw1nd7d
    @user-ei7tw1nd7d Před 5 měsíci

    uroho tu.

  • @valentinemtei3588
    @valentinemtei3588 Před 5 měsíci +1

    Watetezi wa haki za wanyama,mnasemaje?

    • @priscarkasitu8101
      @priscarkasitu8101 Před 5 měsíci

      Kwa kweli hawajawatendea haki wanyama.

    • @user-bm5ov6kx3c
      @user-bm5ov6kx3c Před 5 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂tutawakamata wamasai

    • @mohammadoman8963
      @mohammadoman8963 Před 5 měsíci

      Allah mwenyewe ameamrisha kuchinja wanyama walio halali kuliwa ss hao haki za wanyama ndio nani

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp Před 5 měsíci +1

    Muna furaha kubwa bas kwakufa lowasssa

  • @nordinebaraca4635
    @nordinebaraca4635 Před 5 měsíci

    Ndiyo nini sasa?

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 5 měsíci

      Mila na desturi zao hasa kwa mtu maarufu 😊😊

  • @user-up8os9jp1f
    @user-up8os9jp1f Před 5 měsíci +1

    Mngefanya hv enzi wa uhai wake😢

    • @Ibrahim-ne3in
      @Ibrahim-ne3in Před 5 měsíci

      Ili iwaje wamekwambia ndio utamadun wao

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 Před 5 měsíci

      Walikuwa wanafanya hujawasikia hapo?

    • @mcback4384
      @mcback4384 Před 5 měsíci +1

      Ni kawaida kwa Lowassa kwenye sherehe hata akija lazima ng'ombe kadhaa zianguke halafu ng'ombe sio issue kwa Maasai, Maasai mmoja kuwa na ng'ombe elfu 5 ni kitu cha kawaida sana

    • @user-up8os9jp1f
      @user-up8os9jp1f Před 5 měsíci

      @@Ibrahim-ne3in km ndo tamaduni zao sawa

    • @user-up8os9jp1f
      @user-up8os9jp1f Před 5 měsíci

      @@judyngowi391 ok

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Před 5 měsíci +1

    Wanachinjwa kisheria au ndo mwendo wa vibudu.

  • @hamadyhashimu9784
    @hamadyhashimu9784 Před 5 měsíci +5

    Yaan hapo mungu ndipo anatufundisha ni jinsi gani tuishi ,una amali nyingi sana harafu unashindwa kuwasaidia yatima unashindwa kujenga za ibada unashindwa kuwasaidia wenye uhitaji maskini wa mungu harafu unapokufa amali yako inaliwa na watu hata ambao hawatosema hata asante ukawaona,tunakufuru mungu alituficha lkn ukweli ndo huu ,unagombana na watu ajiri ya pesa unaua kisa pesa unadhurumu kisa pesa hebu tujiulize ameenda na nini mwenzetu? Inna lilahi wainnailah lajiun😭😭😭

    • @zubedarichard2311
      @zubedarichard2311 Před 5 měsíci +1

      Punguza mdomo 🙌😮huku Arusha lowassa alkuwa anatugaia Nyama deilee

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 Před 5 měsíci

      yaani huko huko arusha zipo familia hazipati hata kila hizi ngombe wangewasaidia huyo lowasa angeweza hata pata amal njema huko kaburini kulko ujinga kama huu

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před 5 měsíci +1

      Wewe nenda ukafanye hayo...Lowassa ameamua kulisha jamii yake nyama siku ya mazishi yake.. kuna watu wanajifanya ndo mabalozi wa Mungu...hakuna amjuaye Mungu, usitupangie

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 Před 5 měsíci

      @@josephlorri431 kwani nani kakupangi wewe qaafir sie tunajadili mada iliyopostiwa kama hupendi kuona watu wana tunachangia hoja si utoke you tube

    • @moneyfollowme737
      @moneyfollowme737 Před 5 měsíci

      Masikini huwa mna mawazo ya kijinga sana

  • @user-rw5gx7cd2h
    @user-rw5gx7cd2h Před 5 měsíci +1

    Nyama zenyewe mbona mbichi

    • @lazarosoja6522
      @lazarosoja6522 Před 5 měsíci

      Wewe umeona wapi utakuwa unatokea kanda za uchoyo

  • @abdullahmanalex2306
    @abdullahmanalex2306 Před 5 měsíci

    Mnamaanisha wote hao mnanyonga hamchinji????😂😂😂😂😂

    • @jonasdaniel1025
      @jonasdaniel1025 Před 5 měsíci +1

      Kwendaaaaa,, unajua maana ya kuchinja wewe?

  • @florahmushi748
    @florahmushi748 Před 5 měsíci

    Huyu masai ni msomi aisee maana ameongea kihekima sana kwasabu nilitarajia angesema ukinywa hiyo dawa utaharisha sana
    Kasema leo ni siku kubwa sana hatujaweka hiyo dawa kwasababu utakuwa unaenda uwani kila saa

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před 5 měsíci +1

    Sasa wanaochinja waislam au wamasai

    • @chariedecute8200
      @chariedecute8200 Před 5 měsíci

      Kwan alikuwa muislam s mkristo kkt wamasai ndio wamechinjaa

    • @thomaschristian769
      @thomaschristian769 Před 5 měsíci

      Kwani nguruwe anachinjwa na muislam??

    • @mcback4384
      @mcback4384 Před 5 měsíci +2

      Sheria za Muislamu inamuhusu nini kwenye misiba ya wakristo?

    • @AnethMungure
      @AnethMungure Před 5 měsíci

      ​@@thomaschristian769😂😂😂😂😂😂😂

    • @rahuiyaswalehe2202
      @rahuiyaswalehe2202 Před 5 měsíci

      Kwani kuuliza ujinga jamani tunajuwa wakristo hawachinji ndiyo maana kauliza

  • @januaryyotham5514
    @januaryyotham5514 Před 5 měsíci

    Mbona hamkumchinjia akiwahai??? Hizo ngombe mngezipeleka kwa watoto yatima siingekuwa baraka kwenu...?

    • @madukaj.j.6999
      @madukaj.j.6999 Před 5 měsíci

      Nani kakwambia kuwa baraka mpk umpe yatima pekee?