"NINGEKUWA na PISTO SIJUI INGEKUAJE" - MZEE ATISHIA MBELE YA NAIBU WAZIRI, AMUAMRISHA KUBOMOA NYUMBA
Vložit
- čas přidán 10. 03. 2024
- "NINGEKUWA na PISTO SIJUI INGEKUAJE" - MZEE ATISHIA MBELE YA NAIBU WAZIRI, AMUAMRISHA KUBOMOA NYUMBA
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Unajua mtu unaweza ukamwona kama kachanganyikiwa vile!! Lkn sio hivo!! Hiyo ni jazba, afu siku ukidhulumiwa ww ndo utajua huyu mzee alikuwa akimaanisha nini. Dhuluma ni mbaya sana wapendwa.
hongera my.pinda kwa busara na hekima ulizonazo kwa maamuzi haya
Unaweza kuona kama kachanganyikiwa ila Dhulma anajua kama watu wote wanajua anadhulumiwa na wanashindwa kutoa maamuz., ila apunguze jazba kidogo
Busara na hekima kubwa sana umetumia MH.WAZIRI Allah akulinde na akuongoze.AMIIN.
mtu unatafuta haki mpaka unakua kama kichaaa au wananchi waanze kuuwa hawa viongozi ambao sio waadilifu maana inaumiza sana RIP RAMA
Mm namkubali huyu jamaa na kama hujawahi ibiwa kiwanja unaweza usimuelewe na Shakur Mungu kwa hilo
Ila pinda ana kalama ya uongozi ana stahili maua 🎉 yake 🫡🫡🫡🫡👏🏻👏🏻
Mimi nipo nchi gani jamani? Kwani Jery Slaa nae siwaziri kamili wa ardhi? Na huyu pinda nae ni waziri wa nini?
Jamani watu wamwogope Mungu
Aliyesikia sauti ya Mzee Pinda agonge like hapa , daaah kumbe Baba angekuwa Kada na Mimi ningekuwa wizara ya utalii nikale maisha mbele 😅😅😂😂
Mh Pinda hongera sana kwa busara nyingi
Mmmh
Daah
People are frustrated at all God save this nation.
Mh Pinda kweli wewe ni kiongozi na una masikio na Busara kwa sana uko sawa kabisa na Mzee wako, mi nakutabiria utafika mbali sana. Endelea hivyo na Mungu akusimamie
Mkitumaliza sisi baadaye mtamalizana wenyewe hii imeenda
FIDDA HUSSEIN NI MWIZI WA NYUMBA ZAWATU WANYONGE
Abcheni kauli mbovu someni madini kwa huyu mzee huyu ni mpiganaji hakubali kushindwa ,
Ni kweli
Mzee kavulugwa kweli
Nawapongeza wizara ya aridhi kwa kazi nzuri
Mh
Ukidhurumiwa haki uliopambania kwajasho au hakiyako ya urithi. Ndio utamuelewahuyu mzee nikama amechanganyikiwa, subiri likukute
Safi sana Mh.Pinda
Ni kweli Mzee huenda kazulumiwa lkn approach aliyotumia ya kijazba ni mbaya. Mh Pinda Yuko na ustahimilivu mkubwa sana. Hongera sana Mh Pinda, lkn ongeza ukali kdg
Huyu amedhulumia wazi wazi. Wewe uwezi vaa hiko kiatu chake. Kikubwa nikimshukuru Waziri kwa hekima na busara amezitumia vema sana.
Wameshamvuruga ataachaje kuongea kwa jazba Ni haki yake kukasirika na hasira haimtambui mtu ilimradi upo kwenye haki Nani asiejua hiloo
Ndio maan huwa anashindwa kusaidiwa mara zote .. Nizamu lazima iwepo hata kama umeibiwa vipi.. mzee namuona kama mara yatatu ivi analalamika likin inabidi wajitahid walifanyie kazi apew naye haki yake🎉
Huyu Mzee anaakili kama mmi ningekuwa na pisito sijui ingekuwajeeeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwa wasiomfahamu ........kwa wanaomfahamu.........😂😂😂
RF4 ni Rebuild Rrconconstion.Reform Resielience
Na ni walewale tz hadi tufe woooooooote ianze mpya
Wazir Pinda Muungwana sn sn sn Mpk kapitiliza
Wewe ulielimika mbona umejificha acha unafiki
Abubakar namkubali sana
Anatakiwa apatiwe mtu wa saikolojia
Anaemtukana huyu mzee hajitambui na roho za ujambazi na kushabikia dhuluma
duuuhh!!
Hujui kiswahili mkutano unavurugwaje acha kushabikia dhuluma
Ccm haiwezi kushindwa. Matatizo waliyoyasababisha nchi nzima ni makubwa mno. Watu wamepoteza viungo, maisha nk.
Watu Wateja wa jazba nchi nzima. Nchi nzima. Mmefunga masikio.
Mfumo mzima wa serikali umeoza. Si kila mtu anaweza kuja kwako. Mfumo ni mbovu sana. Mamillioni ya watu.
Kama hujawahi kutapeliwa unaweza kuona kuwa kavurugwa, kuitafuta haki iliyoporwa ni changamoto
Yes
HUYU mzee ukimchumbia bint yake alafu kama hukumalizia mahali ya bint yake, ni bola utafute nchi ya kuishi
😂😂😂
Hahahahaah
😂😂😂😅😅😅
Mhhhh?. "Mahali" ni kitu gani? "Bola" ni nini?😊
Eti Angekua na pisto
Ata hapa kenya wizara ya ardhi ni wezi
Kuweni making nihaohao wezi wa rasilimali zataifa hili kwani madai kwenye majukwaa yakisiasa haki ni mahakani hizo ni polojo
Sasa mtu mwenye Baba ana hadhi je wewe ulie zaliwa Baa Baba utamjua kweli
Changamoto kubwa sana
Kwani si Makonda alipita nchi nzima kumaliza matatizo? Mbona hili hakulitatua?. CCM jifunzeni kuwa nchi hii ina hali mbaya. Tatueni sasa matatizo. Wawekeni magerezani na ikibidi wanyongeni hawa maofisa wanaochezea hii nchi. Tungeni sheria kali waohope hawa waovu.
😂😂😂aise😅😅
Kutoa maoni kujieleza kutetea haki zako ni haki kisheria watu hata kujitetea kujua haki zao hawajui
Huyu ajielewi kujieleza ni haki ya Raia na umbile la binadamu uwezi kulibadili concentrate madini anayotoa
Nilikuwa siamini Kama bado tuna viongozi wavumilivu Kama wewe mh Pinda aisee unabusara sana hakika mheshimiwa rais hakukosea kukupa uwaziri nikili wazi huo uvumilivu hata Mimi sina wewe ipo siku utakuwa kiongozi mkubwa katika taifa hili uko vzr
Huyu dish lilichezaga longtime
Yupo vzr Sema haaamini km haki ake ataipata na watu walio enda shule kidogo wakizrumiwa huwa wanapgawa
Huyu baba apewe mauwa yake,anawafukugua akili waliowengi
Katika kipindi nchi tangu uhuru kupindi hichi imepitia kipindi kigumu sana
Huyu mzee huenda anakitu kinamsumbua maana simuelewi kila kiongozi akifika hapo anazungumza hilo hilo jambo inamaana serikali haioni au mzee analalama kwa mihemko?
Vizuri kama chega tutajua
Four R nne ndo vitu gani
Pinda kawa kijana jmn heeee
Ukimwona mwananchi anahangaika, kuna..... nukuu
Hiyo kampeni au?
Shida ya huyu kelele nyingi
HATA SISI WAFANYAKAZI BOT TUMESHINDA ILA TUMEDHULUMIWA HAKI YA AJIRA WATU 560 1993
Punguza jaziba mzee upate haki yako
Dhuluma mbaya saana
Pinda hii wizara ngumu kwako.
Pinda Jr
Huyu ni Pinda mazima hata usoni
Huyu jamaa anaeneza propaganda simuamini this is typically game.nilimuona kwenye mkutano wa makonda like comedy ivyi
ukiona hivyo ujue kila akilalamika hapati haki yake hapa kuna mawili huyo aliyemdhulum ni kiongozi selikarini au anapesa anasumbua wezake
Mzee Yuko full documents alichokosa ni pisito tuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂awamwageee ubongoooooo😂😂😂😂😂
Oyaaa😂😂
@@josephkasainey2903 oyaaa
Huyu kila mkutano yupo
Sasa kama bado hajapata haki yake kwanini apumzike lazima adai chake
Nchi ina watu dhuruma sana
Saana
Hakuna kitu chochote cha maana nchi imefanya tuko busy ni ihefu
Huyu mzee kavurugwa na anajaziba aise.mh.pinda apewe ulinzi.
Shule ndogo mdomo mchafu mkutano unavurugwa wapi, matapeli na yenyewe eti yanatoa hoja
Acha kushabikia majizi mnakula nao
Huyu mzee c ndo yule alipeleka malalamiko kwa makonda wamsaidie aisee
Uyu mzee huenda akawa ana haki lkn jazba litamuaribia
kudhulumiwa mali lazima uchizi kabisa
Nikaida ya wateule wa ccm kuzarau amri ya mahakama
uko sawa kabisa
Kama msomi kama huyu anasumbuliwa je yule mama wa kazuramimba ambaye hana shule?
Mbona huyu mzee hana adabu. Hata heshima kwa mamlaka hana. Kwanza kikazi hatuitani kwa majina. Pinda ni Waziri yeye anamwita kwa jina. Tena si kwamba anaongea bali anafoka. Huyu mzee ana matatizo. Anataka kutumia mabavu kujipatia haki.
Waziri usitishwe na kelele za huyu mzee wewe fuata sheria tu.
Wewe hueleweki......Mheshimiwa Waziri yuko hapo na hajachukia,wewe unatoa Tuhuma ukiwa wapi?
Wewe ndie una Adabu maana uelewi kinachozungumzwa, acheni ukuadi kwa matapeli wa Ardhi tafuteni jasho
HUYU SIO YULE WA MWANZA KWELI?
Lukuvi alimpuuza namkumbuka
Aliwahi shindana na Lukuvi.Ni.msumnbufu na mjuaji ni rahisi sana kupoteza vya maana
@@RenaldaZeramula Yeha.Jamaa limwambia eti anafahamiana na JPM atamweleza.Lukuvi akamjibu kamwambie
Huyumzee siyo anaeneza propaganda kweli
Kutaja Baba ni heshima sasa wewe mtoto wa Baa utamtaja nani
R four nne😂
Mbona mnasema approach ulishaona wapi msiba uko usoni keako halafu wewe unacheka, huzuni lazima hutokea
Huyu Mzee amevurugwa na maisha, sasa hv amekuwa kichaa
😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅
Je ulishawahi kusikia amekopa Buku kwako basi kiherere ni wewe kihadi
Kuadi siku zote ana Aibu
Huyu ni mtoto wa Mizengo Pinda?
Ndio ni mtoto wake Mzee pindaa
Wamefanana hadi voice
Ni mdogo wake
sio mtoto wake ni mdogo wake
Mdogo wake ni mbunge wetu wa Jimbo la kavuu katavi
Kwani ni dhambi kuheshimu mali za baba yako, mali zinapoachea na wazee wetu tuzitupe ziwani kweli ukiacha watoto bila maadili hudharau wazazi wao, mdharau mzazi ni mtu mwenye laana
BANGI MBAYA😅😅😅😅
Whatever statement you state, he will never turn to bow to to seek for even a penny, but judge yourself are you really one the famous con man in our country
sasa najiuliza hizi kliniki zina nguvu zaid ya mahakama?kama ndio hivo basi tumekwisha,badala ya viongozi kupambana ili kuzinyoosha mahakama,wao wanapambana kuzidhalilisha.
Huyu mzee nilimuona bar kabla hajaja hapo kwaiyo msishangae kabusti akili😅😅
itakuwa nawewe umegenga kwenye kiwanja chake
@@user-jc8el6je5e 🤣🤣
Acha ujinga huyo mzee azimio kirevi
Unasema kwa sababu wewe ni mwizi wanakupa mhao
Utapeli unamwisho
Mtu mzima kutoa hoja za husuda ebu jitafakari
Kadata kimtindo
😂😂😂😅😅😅
Jambazi tapeli hawezi kukuelewa
Huyu mzee hajielewi inaonekana yeye ndo tatizo mwenye kutambua huna kosa huwa mtulivu kwa kujiamini kuwa sina wasi wasi juu ya hili ila uyo mzee mhh hapana
Huwezi kumiliki maumbile ya kila mtu hata vidole havilingani
Nchi hii mtu unatafuta haki unakuwa kama kichaa
Vaa kiatu chake,ndio utaelewa
Mwisho unakata tamaa unajipiga chuma
Yaani unaenda kwa Baba mbinguni
baba baba babangu kwanini usijisimamie mwenyewe miaka 40 baada ya baba yako kufa bado unataja jina la baba kujenga hoja zako shame on you ndio maana unasafa
This man is not mentaly okay.
He might have some issues with the Municipality but He missed the good way of presenting it to the authorities.
He is mannerless
He is arrogant
He is indisciplined
He is a shame at His age
Kubwa zima linataja mali za baba badara ya kutafuta mali zake fala kweli
Kwahiyo aache mali ya baba yake ipoteee yani sisi wabongo
Atakuwa mmoja ya wapigaji huyu😂😂😂😂Eti mali za baba yake ulitaka akuachie uzimiliki wewe.Kwani wewe ni zako?
Yote haya ni matapeli hayajui hata Baba yake mtoto wa Baa akiingia mjini tegemea majibu haya
Huyu mzee anavuruga mkutano wa Naibu Waziri. Hakuna askari hapo wamtimue?
USIOMBE YAKUKUTE, WATU WANADHURUMIWA NJE NJE NA MSAADA HAKUNA🥹🙌🏻
AAACHWE AONGEE WATU WEMA WASIKIE LABDA ATASAIDIWA📌
Huyu Mzee hakuwahi elimika.