"NINGEKUWA na PISTO SIJUI INGEKUAJE" - MZEE ATISHIA MBELE YA NAIBU WAZIRI, AMUAMRISHA KUBOMOA NYUMBA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 03. 2024
  • "NINGEKUWA na PISTO SIJUI INGEKUAJE" - MZEE ATISHIA MBELE YA NAIBU WAZIRI, AMUAMRISHA KUBOMOA NYUMBA
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 145

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Před 4 měsíci +15

    Unajua mtu unaweza ukamwona kama kachanganyikiwa vile!! Lkn sio hivo!! Hiyo ni jazba, afu siku ukidhulumiwa ww ndo utajua huyu mzee alikuwa akimaanisha nini. Dhuluma ni mbaya sana wapendwa.

  • @goodramamwanyombo6756
    @goodramamwanyombo6756 Před 4 měsíci +7

    hongera my.pinda kwa busara na hekima ulizonazo kwa maamuzi haya

  • @sumayasumaya6455
    @sumayasumaya6455 Před 4 měsíci +13

    Unaweza kuona kama kachanganyikiwa ila Dhulma anajua kama watu wote wanajua anadhulumiwa na wanashindwa kutoa maamuz., ila apunguze jazba kidogo

  • @azizakitele9165
    @azizakitele9165 Před 3 měsíci +1

    Busara na hekima kubwa sana umetumia MH.WAZIRI Allah akulinde na akuongoze.AMIIN.

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Před 4 měsíci +7

    mtu unatafuta haki mpaka unakua kama kichaaa au wananchi waanze kuuwa hawa viongozi ambao sio waadilifu maana inaumiza sana RIP RAMA

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 Před 4 měsíci +5

    Mm namkubali huyu jamaa na kama hujawahi ibiwa kiwanja unaweza usimuelewe na Shakur Mungu kwa hilo

  • @Mwigaa95
    @Mwigaa95 Před 3 měsíci +7

    Ila pinda ana kalama ya uongozi ana stahili maua 🎉 yake 🫡🫡🫡🫡👏🏻👏🏻

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před 3 měsíci

      Mimi nipo nchi gani jamani? Kwani Jery Slaa nae siwaziri kamili wa ardhi? Na huyu pinda nae ni waziri wa nini?

  • @abednegomhamba1471
    @abednegomhamba1471 Před 3 měsíci +4

    Jamani watu wamwogope Mungu

  • @drbendentist8687
    @drbendentist8687 Před 3 měsíci +2

    Aliyesikia sauti ya Mzee Pinda agonge like hapa , daaah kumbe Baba angekuwa Kada na Mimi ningekuwa wizara ya utalii nikale maisha mbele 😅😅😂😂

  • @erickchigome9910
    @erickchigome9910 Před 3 měsíci

    Mh Pinda hongera sana kwa busara nyingi

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107 Před 4 měsíci +1

    Mmmh

  • @Kidotii
    @Kidotii Před 3 měsíci

    Daah

  • @tukuyufm
    @tukuyufm Před 4 měsíci +3

    People are frustrated at all God save this nation.

  • @zephrinekanga4554
    @zephrinekanga4554 Před 4 měsíci +2

    Mh Pinda kweli wewe ni kiongozi na una masikio na Busara kwa sana uko sawa kabisa na Mzee wako, mi nakutabiria utafika mbali sana. Endelea hivyo na Mungu akusimamie

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur Před 4 měsíci +4

    Mkitumaliza sisi baadaye mtamalizana wenyewe hii imeenda

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s Před 4 měsíci +4

    FIDDA HUSSEIN NI MWIZI WA NYUMBA ZAWATU WANYONGE

  • @abuali-cf6cn
    @abuali-cf6cn Před 4 měsíci +3

    Abcheni kauli mbovu someni madini kwa huyu mzee huyu ni mpiganaji hakubali kushindwa ,

  • @saimonisichimata8559
    @saimonisichimata8559 Před 4 měsíci +2

    Mzee kavulugwa kweli

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub Před 4 měsíci +1

    Nawapongeza wizara ya aridhi kwa kazi nzuri

  • @DM_15
    @DM_15 Před 3 měsíci

    Ukidhurumiwa haki uliopambania kwajasho au hakiyako ya urithi. Ndio utamuelewahuyu mzee nikama amechanganyikiwa, subiri likukute

  • @alvinkulasare148
    @alvinkulasare148 Před 3 měsíci

    Safi sana Mh.Pinda

  • @noeljuvenalmunishi75
    @noeljuvenalmunishi75 Před 3 měsíci

    Ni kweli Mzee huenda kazulumiwa lkn approach aliyotumia ya kijazba ni mbaya. Mh Pinda Yuko na ustahimilivu mkubwa sana. Hongera sana Mh Pinda, lkn ongeza ukali kdg

    • @alvinkulasare148
      @alvinkulasare148 Před 3 měsíci

      Huyu amedhulumia wazi wazi. Wewe uwezi vaa hiko kiatu chake. Kikubwa nikimshukuru Waziri kwa hekima na busara amezitumia vema sana.

    • @gowekogoweko5803
      @gowekogoweko5803 Před 3 měsíci

      Wameshamvuruga ataachaje kuongea kwa jazba Ni haki yake kukasirika na hasira haimtambui mtu ilimradi upo kwenye haki Nani asiejua hiloo

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe Před 3 měsíci

    Ndio maan huwa anashindwa kusaidiwa mara zote .. Nizamu lazima iwepo hata kama umeibiwa vipi.. mzee namuona kama mara yatatu ivi analalamika likin inabidi wajitahid walifanyie kazi apew naye haki yake🎉

  • @user-zr5rg5ul3q
    @user-zr5rg5ul3q Před 3 měsíci

    Huyu Mzee anaakili kama mmi ningekuwa na pisito sijui ingekuwajeeeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 Před 3 měsíci +1

    Kwa wasiomfahamu ........kwa wanaomfahamu.........😂😂😂

  • @abuali-cf6cn
    @abuali-cf6cn Před 3 měsíci

    RF4 ni Rebuild Rrconconstion.Reform Resielience

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 Před 3 měsíci

    Na ni walewale tz hadi tufe woooooooote ianze mpya

  • @omarabubakar191
    @omarabubakar191 Před 3 měsíci

    Wazir Pinda Muungwana sn sn sn Mpk kapitiliza

  • @abuali-cf6cn
    @abuali-cf6cn Před 3 měsíci +1

    Wewe ulielimika mbona umejificha acha unafiki

  • @makungamapalala7982
    @makungamapalala7982 Před 4 měsíci

    Abubakar namkubali sana

  • @mwafrika78
    @mwafrika78 Před 4 měsíci +2

    Anatakiwa apatiwe mtu wa saikolojia

  • @abuali-cf6cn
    @abuali-cf6cn Před 4 měsíci +1

    Anaemtukana huyu mzee hajitambui na roho za ujambazi na kushabikia dhuluma

  • @nehemia397
    @nehemia397 Před 3 měsíci

    duuuhh!!

  • @abuali-cf6cn
    @abuali-cf6cn Před 4 měsíci +1

    Hujui kiswahili mkutano unavurugwaje acha kushabikia dhuluma

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Před 4 měsíci

    Ccm haiwezi kushindwa. Matatizo waliyoyasababisha nchi nzima ni makubwa mno. Watu wamepoteza viungo, maisha nk.
    Watu Wateja wa jazba nchi nzima. Nchi nzima. Mmefunga masikio.
    Mfumo mzima wa serikali umeoza. Si kila mtu anaweza kuja kwako. Mfumo ni mbovu sana. Mamillioni ya watu.

  • @Godisable4281
    @Godisable4281 Před 4 měsíci +1

    Kama hujawahi kutapeliwa unaweza kuona kuwa kavurugwa, kuitafuta haki iliyoporwa ni changamoto

  • @akidajulius1581
    @akidajulius1581 Před 4 měsíci +12

    HUYU mzee ukimchumbia bint yake alafu kama hukumalizia mahali ya bint yake, ni bola utafute nchi ya kuishi

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 Před 4 měsíci

    Eti Angekua na pisto

  • @EdgarKimutai
    @EdgarKimutai Před 3 měsíci

    Ata hapa kenya wizara ya ardhi ni wezi

  • @user-mm6fe9vz2p
    @user-mm6fe9vz2p Před 4 měsíci

    Kuweni making nihaohao wezi wa rasilimali zataifa hili kwani madai kwenye majukwaa yakisiasa haki ni mahakani hizo ni polojo

  • @abuali-cf6cn
    @abuali-cf6cn Před 3 měsíci

    Sasa mtu mwenye Baba ana hadhi je wewe ulie zaliwa Baa Baba utamjua kweli

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Před 3 měsíci

    Changamoto kubwa sana

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os Před 3 měsíci

    Kwani si Makonda alipita nchi nzima kumaliza matatizo? Mbona hili hakulitatua?. CCM jifunzeni kuwa nchi hii ina hali mbaya. Tatueni sasa matatizo. Wawekeni magerezani na ikibidi wanyongeni hawa maofisa wanaochezea hii nchi. Tungeni sheria kali waohope hawa waovu.

  • @saimonisichimata8559
    @saimonisichimata8559 Před 4 měsíci

    😂😂😂aise😅😅

  • @abuali-cf6cn
    @abuali-cf6cn Před 3 měsíci

    Kutoa maoni kujieleza kutetea haki zako ni haki kisheria watu hata kujitetea kujua haki zao hawajui

  • @abuali-cf6cn
    @abuali-cf6cn Před 3 měsíci

    Huyu ajielewi kujieleza ni haki ya Raia na umbile la binadamu uwezi kulibadili concentrate madini anayotoa

  • @petersynto2043
    @petersynto2043 Před 3 měsíci

    Nilikuwa siamini Kama bado tuna viongozi wavumilivu Kama wewe mh Pinda aisee unabusara sana hakika mheshimiwa rais hakukosea kukupa uwaziri nikili wazi huo uvumilivu hata Mimi sina wewe ipo siku utakuwa kiongozi mkubwa katika taifa hili uko vzr

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 4 měsíci +3

    Huyu dish lilichezaga longtime

    • @simonwenceslaus3745
      @simonwenceslaus3745 Před 4 měsíci +1

      Yupo vzr Sema haaamini km haki ake ataipata na watu walio enda shule kidogo wakizrumiwa huwa wanapgawa

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j Před 4 měsíci +1

    Huyu baba apewe mauwa yake,anawafukugua akili waliowengi

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 Před 3 měsíci

    Katika kipindi nchi tangu uhuru kupindi hichi imepitia kipindi kigumu sana

  • @allyomary2271
    @allyomary2271 Před 4 měsíci +1

    Huyu mzee huenda anakitu kinamsumbua maana simuelewi kila kiongozi akifika hapo anazungumza hilo hilo jambo inamaana serikali haioni au mzee analalama kwa mihemko?

  • @TwalibuKimaro-th5mv
    @TwalibuKimaro-th5mv Před 4 měsíci

    Vizuri kama chega tutajua

  • @benny4345
    @benny4345 Před 4 měsíci

    Four R nne ndo vitu gani

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 Před 3 měsíci

    Pinda kawa kijana jmn heeee

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před 3 měsíci

    Ukimwona mwananchi anahangaika, kuna..... nukuu

  • @ChristerShao
    @ChristerShao Před 4 měsíci

    Hiyo kampeni au?

  • @abuahmed5734
    @abuahmed5734 Před 2 měsíci

    Shida ya huyu kelele nyingi

  • @user-nn6zq1ok7i
    @user-nn6zq1ok7i Před 3 měsíci

    HATA SISI WAFANYAKAZI BOT TUMESHINDA ILA TUMEDHULUMIWA HAKI YA AJIRA WATU 560 1993

  • @user-mk1qz1mn7w
    @user-mk1qz1mn7w Před 4 měsíci

    Punguza jaziba mzee upate haki yako

  • @hamzalema1051
    @hamzalema1051 Před 3 měsíci

    Pinda hii wizara ngumu kwako.

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 Před 4 měsíci

    Pinda Jr

  • @rofacoltanzania589
    @rofacoltanzania589 Před 3 měsíci

    Huyu ni Pinda mazima hata usoni

  • @frankremishoy5778
    @frankremishoy5778 Před 4 měsíci +1

    Huyu jamaa anaeneza propaganda simuamini this is typically game.nilimuona kwenye mkutano wa makonda like comedy ivyi

    • @zanzibamjimpya17
      @zanzibamjimpya17 Před 3 měsíci

      ukiona hivyo ujue kila akilalamika hapati haki yake hapa kuna mawili huyo aliyemdhulum ni kiongozi selikarini au anapesa anasumbua wezake

  • @user-zr5rg5ul3q
    @user-zr5rg5ul3q Před 3 měsíci

    Mzee Yuko full documents alichokosa ni pisito tuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂awamwageee ubongoooooo😂😂😂😂😂

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Před 4 měsíci +1

    Huyu kila mkutano yupo

    • @CharlesSomeke-ml7ju
      @CharlesSomeke-ml7ju Před 4 měsíci +1

      Sasa kama bado hajapata haki yake kwanini apumzike lazima adai chake

  • @Ambeniwatano
    @Ambeniwatano Před 4 měsíci +1

    Nchi ina watu dhuruma sana

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 Před 3 měsíci +1

    Hakuna kitu chochote cha maana nchi imefanya tuko busy ni ihefu

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před 4 měsíci +1

    Huyu mzee kavurugwa na anajaziba aise.mh.pinda apewe ulinzi.

  • @abuali-cf6cn
    @abuali-cf6cn Před 3 měsíci

    Shule ndogo mdomo mchafu mkutano unavurugwa wapi, matapeli na yenyewe eti yanatoa hoja

  • @abuali-cf6cn
    @abuali-cf6cn Před 3 měsíci

    Acha kushabikia majizi mnakula nao

  • @eliadaniel216
    @eliadaniel216 Před 3 měsíci

    Huyu mzee c ndo yule alipeleka malalamiko kwa makonda wamsaidie aisee

  • @MizeKombeSuleiman-id1rp
    @MizeKombeSuleiman-id1rp Před 4 měsíci +3

    Uyu mzee huenda akawa ana haki lkn jazba litamuaribia

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před 4 měsíci

    Nikaida ya wateule wa ccm kuzarau amri ya mahakama

  • @bakarially253
    @bakarially253 Před 2 měsíci

    Kama msomi kama huyu anasumbuliwa je yule mama wa kazuramimba ambaye hana shule?

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Před 4 měsíci

    Mbona huyu mzee hana adabu. Hata heshima kwa mamlaka hana. Kwanza kikazi hatuitani kwa majina. Pinda ni Waziri yeye anamwita kwa jina. Tena si kwamba anaongea bali anafoka. Huyu mzee ana matatizo. Anataka kutumia mabavu kujipatia haki.
    Waziri usitishwe na kelele za huyu mzee wewe fuata sheria tu.

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl Před 4 měsíci +1

      Wewe hueleweki......Mheshimiwa Waziri yuko hapo na hajachukia,wewe unatoa Tuhuma ukiwa wapi?

    • @abuali-cf6cn
      @abuali-cf6cn Před 3 měsíci

      Wewe ndie una Adabu maana uelewi kinachozungumzwa, acheni ukuadi kwa matapeli wa Ardhi tafuteni jasho

  • @josephatmathiasgalagalabuh786
    @josephatmathiasgalagalabuh786 Před 4 měsíci +4

    HUYU SIO YULE WA MWANZA KWELI?

  • @abuali-cf6cn
    @abuali-cf6cn Před 3 měsíci

    Kutaja Baba ni heshima sasa wewe mtoto wa Baa utamtaja nani

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 Před 3 měsíci

    R four nne😂

  • @abuali-cf6cn
    @abuali-cf6cn Před 3 měsíci

    Mbona mnasema approach ulishaona wapi msiba uko usoni keako halafu wewe unacheka, huzuni lazima hutokea

  • @rofacoltanzania589
    @rofacoltanzania589 Před 3 měsíci

    Huyu Mzee amevurugwa na maisha, sasa hv amekuwa kichaa

    • @mzarendo.com9624
      @mzarendo.com9624 Před 3 měsíci

      😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅

    • @abuali-cf6cn
      @abuali-cf6cn Před 3 měsíci

      Je ulishawahi kusikia amekopa Buku kwako basi kiherere ni wewe kihadi

    • @abuali-cf6cn
      @abuali-cf6cn Před 3 měsíci

      Kuadi siku zote ana Aibu

  • @petrojacob6070
    @petrojacob6070 Před 4 měsíci +1

    Huyu ni mtoto wa Mizengo Pinda?

  • @abuali-cf6cn
    @abuali-cf6cn Před 3 měsíci

    Kwani ni dhambi kuheshimu mali za baba yako, mali zinapoachea na wazee wetu tuzitupe ziwani kweli ukiacha watoto bila maadili hudharau wazazi wao, mdharau mzazi ni mtu mwenye laana

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 4 měsíci +1

    BANGI MBAYA😅😅😅😅

  • @abuali-cf6cn
    @abuali-cf6cn Před 3 měsíci

    Whatever statement you state, he will never turn to bow to to seek for even a penny, but judge yourself are you really one the famous con man in our country

  • @samsonkatigiri2344
    @samsonkatigiri2344 Před 4 měsíci

    sasa najiuliza hizi kliniki zina nguvu zaid ya mahakama?kama ndio hivo basi tumekwisha,badala ya viongozi kupambana ili kuzinyoosha mahakama,wao wanapambana kuzidhalilisha.

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 Před 4 měsíci

    Huyu mzee nilimuona bar kabla hajaja hapo kwaiyo msishangae kabusti akili😅😅

  • @abuali-cf6cn
    @abuali-cf6cn Před 3 měsíci

    Mtu mzima kutoa hoja za husuda ebu jitafakari

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 Před 3 měsíci

    Kadata kimtindo

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před 4 měsíci +2

    Huyu mzee hajielewi inaonekana yeye ndo tatizo mwenye kutambua huna kosa huwa mtulivu kwa kujiamini kuwa sina wasi wasi juu ya hili ila uyo mzee mhh hapana

  • @abuali-cf6cn
    @abuali-cf6cn Před 4 měsíci

    Huwezi kumiliki maumbile ya kila mtu hata vidole havilingani

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před 4 měsíci

    Nchi hii mtu unatafuta haki unakuwa kama kichaa

  • @user-fr7jj1bo7y
    @user-fr7jj1bo7y Před 4 měsíci +1

    baba baba babangu kwanini usijisimamie mwenyewe miaka 40 baada ya baba yako kufa bado unataja jina la baba kujenga hoja zako shame on you ndio maana unasafa

  • @samwelnaal7952
    @samwelnaal7952 Před 4 měsíci

    This man is not mentaly okay.
    He might have some issues with the Municipality but He missed the good way of presenting it to the authorities.
    He is mannerless
    He is arrogant
    He is indisciplined
    He is a shame at His age

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 Před 4 měsíci

    Kubwa zima linataja mali za baba badara ya kutafuta mali zake fala kweli

    • @abdirizakibrahim1975
      @abdirizakibrahim1975 Před 4 měsíci

      Kwahiyo aache mali ya baba yake ipoteee yani sisi wabongo

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 Před 3 měsíci

      Atakuwa mmoja ya wapigaji huyu😂😂😂😂Eti mali za baba yake ulitaka akuachie uzimiliki wewe.Kwani wewe ni zako?

    • @abuali-cf6cn
      @abuali-cf6cn Před 3 měsíci

      Yote haya ni matapeli hayajui hata Baba yake mtoto wa Baa akiingia mjini tegemea majibu haya

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 Před 4 měsíci

    Huyu mzee anavuruga mkutano wa Naibu Waziri. Hakuna askari hapo wamtimue?

  • @akimmbwego797
    @akimmbwego797 Před 3 měsíci

    USIOMBE YAKUKUTE, WATU WANADHURUMIWA NJE NJE NA MSAADA HAKUNA🥹🙌🏻
    AAACHWE AONGEE WATU WEMA WASIKIE LABDA ATASAIDIWA📌

  • @ishengomanelson
    @ishengomanelson Před 4 měsíci

    Huyu Mzee hakuwahi elimika.