SIKIA..!! Vituko vya Makongoro Nyerere mbele ya RAIS SAMIA | "Nivue barakoa..?"
Vložit
- čas přidán 8. 04. 2022
- #MwlNyerere #Miaka100yaNyerere #RaisSamia #MakongoroNyerere
Mkuu wa mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere aitoa salamu za familia wakati wa Mdahalo wa Kitaifa wa kuadhimisha miaka 100 ya kuzaliwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere leo tarehe 09 Aprili, 2022 Shule ya Uongozi Kibaha, Pwani.
Mwl.Nyerere amerudi mpaka raha .Ana upendo sana makongoro na watu na Tanzania pia .hongera mtoto wa mzee wetu wa taifa.
You deserve high position for sure,you remind us our beloved Father of our Nation Julius Nyerere,Thank you Sir.God bless you
Mwalimu Nyerere ni mwalimu pia kwa wazazi wengi, tujifunze kuishi maisha ambayo watoto wetu hawatatuonea aibu bali watajivunia kuitwa watoto wetu..Mungu azidi kukutunza mhshmw.
M
Ahsante Muheshimiwa Makongoro kwa hotuba nzuri za kumkumbuka Mwalimu Julius Nyerere kwa bidii zake za kazi na mengineyo aloyafanya ya maendeleo.ya nchi yetu Tanzania.
Hongera sana Mzee Makongoro Mungu akujalie Maisha mema na hekima zaidi.
Wonderful, legacy's records are in the register of our creator. In the fullness of time he reveals how his servants worked when they were on earth. Even Nyerere's grand children will bear testimony at 200 years of his remembrance. Great men's works live on for many seasons.
Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki afrika
Nimependa hotuba yake.
Ubinadamu kwanza. Mbwembwe zimenogesha lkn alichokuwa anaongea anakifahamu." Barakoa hoyeee!
Wenye akili wanamuelewa alichokuwa anamaanisha.Alikuwa anafikisha ujumbe.
Makongoro Ana jipya kichwani akuna kitu baba yake alikuwa na uwezo mkubwa sana
Kaka umetisha sana ooyee
Sawakaka nakuheshim sana unajuaa
Sawaaa
Kiswahili chatuzidi sisi wakenya lakini hongera makongoro
Namkubali sana majaliwa na mama samia wanafanya kazi
Huyu mwana wa Marehemu Julius Nyerere, Makongoro Nyerere nimcheshi kweli 😂. Ana hekima na talanta ya kuwa msanii. Usemi wake hapa umenifurahisha sana. Mwenyezi Mungu ayiweke roho ya marehemu Mwalimu Nyerere pahali pema peponi 🙏.
Nampenda Makongoro...sichoki kumsikilizaga,!.. Makongoro Mungu azidi kukuinua😅
A good speaker. God bless him.❤
Sawa ccm oyeee
Hapo sawa
A good teacher
Very nice speech excellent 100 mcheshi sana una roho nyeupe sana Kama baba yako
U
Asante sana
Good speaker hono. Makongoro
😍🥰♥️🔥🔥🔥 Makongoro oyeee
oui je attends bien , et je dit que , dieu benisse Rais nyerere du TZ , ameeni
Congratulations ❤❤❤
Mungu ibariki Tanzaniaaa
Daaa point sana sana
Siku moja mtoto mmoja wapo wa Mwl. Nyerere akiwa Rais itakuwa raha sana. Tutakuwa tunaita Rais Nyerere
Rosemary asingefariki angepanda sana.
Nakukubali sana makongoro
Ongera makongoro, mungu mpunguzie azabuza kabur mwalim nyelele
Makongoro anapenda kufarahi na watu TENA ni mtoto wa mjini sana nasikia lugha zake
Kweli lazima kuena comedy kidogo
Safi sana
Safi
Daah namkubali
Kuna vitu vitatu tu ambavyo mtu huna uwezo au uhuru ea kuchagua. Vitu hivyo ni:-
1. Mungu wako
2. Mzazi wako na
3. Jirani yako.
TAFAKARI
Makongoro ni kichwa sana japo wengi hawamuelewi, amewaponda sana tena kwa kutumia tafisida kali
7:00 vidole oyeeee😂😂😂
Namkubali sanaa best yangu apo vipi Sasa lol!
Sawa!
Ubarikiwe.sanaaaaaa
Very wise
Makongoro oyeeeh,, lakini mzee wasila akawepo yupo
Speach za makongoro zinahitaji akili kubwa Sana kuzielewa
Namuelewa saana
Hayo ndo mnayoweza
Aijirudii bwana enzi mungu amlazemahali pema
Kumbe kwenye Chawa umo.
Baba wa Taifa hakuwa mnyonyaji wala hakuwa fisadi.
Mwalimu alikuwa mzalendo.
Mwalimu aliwachukia wanyonyaji na hasa wakoloni Mamboleo.
Natamani sana niingie Tanzania
Karibu
Uje kufanyaje kaa hukohuko
Ok
As philosopher as the father
Makongoro my friend ulisaliwa kweli
Like father Like son
Barakoa hoyeeee😂😂😂
Wenye akili nyingi tumekuelewa 🤣😆😆💪💪
Anabahatisha
Why no one will mention how he is a spitting resemblance of Mwalimu Julius Nyerere
Kama utani vile lkn Msg inafika vizuri kama ilivyokusudiwa
Ok mh makongoro mungu akubariki sana!
Sionagi umuhim wa vituko kwake, labda umsifie kuwa anachapa kaz, vituko na vichekesho vinasaidia nn ktk jamii za sasa?
Nimemuona manara
Mimi ni mmoja wa wale waliokuwa na wasi wasi kuwa baada ya Mwal. kung'atuka nchi hii itakuwaje? Juu ya umoja wetu, uwadilifu wa viongozi na mengine mengi. Namshukuru Sana Mungu wasi wasi wangu ulikuwa sahihi kabisa tangu Mwal. ang'atuke TUNASHUHUDIA UFISADI MTUPU awamu kwa awamu!!! Na sasa umoja wetu u mashakani, sote TUNASHUHUDIA MKATABA WA DP WORLD ULIVYO uibua UDINI NA UMETUGAWA AAJABU!!! WATU wameacha kujibu HOJA WANACHOMEKEA UDINI!!! Kama hawajui madhara MAKUBWA yanayosababishwa na UDINI. WAISLAMU NA WAKRISTO TUMEISHI KAMA NDUGU MIAKA YOTE YA MWAL. UFISADI HAUKUSHUHUDIWA, KAMA NIMESAHAU NIKUMBUSHE!!! UFISADI BAADA YA MWAL. NITAKUKUMBUSHA KWA UFUPI: LOLIONDO, UFISADI HUU ULIONDOKA NA UHAI WA MWANDISHI WA HABARI NDG YETU KATABARO, EPA, ITPL, MEREMETA NA RICHIMOND N.K. MWALIMU ALIWAHI KUSEMA KUWA : SIKUWA NAAPA KWA KUTANIA MUNGU SI MTAANI WANGU, HUYO NDIYE MWALIMU J. K. NYERERE. NANI KAMA NYERERE MIONGONI MWAO?
Duh
Makongoro mmpe uongozi tu kwa vile ni mtoto wa hayati nyerere lakini ni mtu wa comedian sana kwa kuongeza jiji la arusha ni bomu kabisa mlevi sana
Jiji la Arusha haiko Manyara we MTU. Huijui hata nchi Yako unathubutuje KUCOMMENT?
@@whimsymaverick3057 😅😅 mwambie afatilie hata hutuba za Mwl Nyerere zilikuwa na ucheshi ndani yake
Makongoro bana anachekesha sana aisee
Dah huyu jamaa anaongea kama Nyerere!!
Yani katika wanasiasa sichoki kuwasikiliza ni huyu ,lisu,msigwa,mbowe,na lema
uko sahihi Makobgoro huchoki kumsikiliza
Mmmh huyu simuelewaginhuyu jamaa.
Waliomwelewa alichozungumza jmn
Aibu.
Lijenje yuko wapi mbona linapotezewa?
Wakati tukisoma Tabora,alikuwa anapiga bendi ya Tabora Boys alikuwa mpigaja mzuri wa bass guitar, watu walikuwa wanachanganyikiwa.mtu wa watu kama baba wa Taifa
Vizurisana inaletaupendo kwa wazalendo wa Tanzania tumkumbuke mwalimu
tumelewa 😂😂😂😂
Hapa utadhani VITUKO kumbe kwa hapo hapo utakuta hujagundua NONDO za hali ya juu zilizojaa MANTIKI ,baadaye saana ndo utakuja kugundua analenga kitu . Ndivyo alivokuwa babake MWL J.K.NYERERE .
aslm mumu plz anzishabishara yakwakoo itwe jina hiloo nimekutabiriya jina zuri kabisaa ukishindwa kufanya bisharas ni weww
👏🏽👏🏽👏🏽🙏🏾🙏🏾🙏🏾✔️✔️✔️
Makamu mpya wa Zamani tangu uhuru
Bwana ni mwema san
Ulikuwa una mwita Mwalimu au Baba?
Jemeni my Kiswahili siyo fasihi. But naskia Makongolo Nyerere akisema "Wanapenda Kiki", Jemeni nini maana ya KIKI? Salam's kutoka Toronto Canada
Yani hata mbele ya raisi yeye anaendelea na vituko😅
Makongoro hoooye
R.I.P JKNyerere🙏
Sport
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Makongoro oyeeeèeeeeeeeeeeeeeeeee!
Ndugu zetu mna wengi wa kuwafaa-mpokeeni huyo!
Baki nae tu,huku hatuna kibanda Cha kumuweka
Kama siyo mtu smart kumwelewa makongoro itakuwa ngumu sana
Kweli kabisa
Kutoa kofia kutoa kofia kutoa kofia
waaaaa !😁😁😁😁😁
Huyo atakuwa amelewa huyo
Hata baba yake alikua mcheshi sana
Makongoro ni comedian sana jmn cheka tu wangemchukua jmn
Mako anaongea kAma babake the late J.Nyerere.......Sauti ni Ya J.Nyerere
Nawapenda nyie ndugu watanzania.
Mola kawapa kisichopatikana duniani.
Ccm hamuoni aibu kukusanyana dhambi zimewajaa Kwa kunyanyasa watu na unafiki mwingi? Pindi magufuli yupo hai mlikuwa hamumwambii akikosea alipokufa mnaanza kusema kakosea je yakwenu ambayo mpo sahihi ni yapi? Mungu anawaona Tubuni ,Tunataka katiba mpya,tume huru ya uchaguzi
Ukiona walikuwa hawamuambii ni kwasababu alikuwa dikteta
@@charlesngwembele4541 huo ni unafiki na wala siyo udikiteta ni ujinga kumsema mtu aliyelala
@@zeralucyntazimila6600 fact
Nampenda Nyerere hajawafanya watoto wake wawe marais wadogo kama Uganda, Burundi mtoto wa rais anapimewa heshima kama vile nae kapigiwa kura.
Mwingine ni Magufuli katika shuguli zake watoto wake hawajawahi kuonekana ila nenda pengine du, baba akisafiri basi navitoto vyote
Naona hata aibu kuendelea kutizama na kusikiliza
Mako hoooye!
Makongoro nyerere ni Mwamba sana
kaka shikamio kiki long distance Orr short kiki
Mwalimu nyerere ametuachia picha halisi
M23
Siasa ni nzuli kwa mwana siasa aliye iva kisiasa,siyo kama wale wanao piga siasa kama wanagombana nawa tu,mala kutukana mala kukejeli mala kupiga siasa za kuzalaulina mala kusimanga viongozi walio tangulia mbele za haki,siasa iliyo nzuli niile yenye usitalabu kama vile makongoro anavo ipiga kama kinanda cha kanisa ni safisana
Nina amini
Bro i guess is possessed with Nyerere spirit
Exactly 💯
Iskadafaaauuu haa
Makomgoro hoyeee
Sun of first late julias kambarege first president repablic of tanzanian regional commissioner of ngorongoro but leader stroke comedian following late julias kambarege Nyerere jokes during his life time on his leadership can crush late people get angry at the beginning of meetings but at the end laphing sun also on seem truck creat lmotion of angry at the end laphing sun of late julias kambarege Nyerere makongoro Nyerere short briefing under full gavment official
Kawaponda kwenye kustaafu,nadhani wengine awakumhelewa kama wakina Kinana nawengineo mambumbumbu.
Asante thamk you
Mabarakoa ya Nini?