Great point with high breed wisdom.naomba baba askofu achaguliwe kuwakilisha TZ kwa bunge LA African union.. We need these great ideas in all African countries tujitoe Kutegemea msaanda kutoka kwa wakoloni🇰🇪
Gwajima, Mungu akulinde, wabunge tunaomba msipige tu makofi tekelezeni tena kwa wakati yanayosemwa kwa kuwa watanzania wanawatambua wabunge wazuri kama Gwajima. Mungu awaongoze.
Anakuwaje balozi wakati ni mbunge wa kuchaguliwa? Au inaruhusiwa mbunge wa jimbo kuteuliwa kuwa balozi? Mbona sioni kama hiyo inawezekana...? Mtu anieleweshe. Lakini kwani hakuna button ambayo anaweza kubonyeza na kukataa uteuzi huo ikiwa kuna hiyo nguvu ya kumteua mbunge wa jimbo? I still think Gwaji can't accept the appointment.
Kaiongea hii point mara ya pili, ni ishara kwamba hakuona dalili ya kufanyiwa kazi hoja yake, for me GWAJIMA kasubutu, kaonyesha mkazo wa kile anachokiamini na kina mashiko ndani yake, rudia hata mara 100 na kuendelea mpaka ifanyiwe kazi. Dira ya Taifa ni maamuzi ya taifa ambayo upende usipende kama kiongozi na unaoongoza wanatakiwa wajue ili msimamo wa taifa uwe mmoja katika kupiga hatua ya kimaendeleo kwenye nyanja zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii. Hasara zinazosabaishwa na ZIMA MOTO ya kila kiongozi anayeingia madarakani kwa kutumia halmashauri ya kichwa chake kuliongoza taifa ni kubwa mno. No way you can asses and evaluate the perfomance of Authority in progress bila ku-link ufanisi wake kwenye dira na mpango wa muda mrefu wa Taifa. Thanks Mh.Gwajima
Hii kauli si ngeni sema watanzania ni wavivu tu na uchama mwingi lema aliiongea hii kipindi wapo bungeni kipindi cha magufuli na hawakusapot hawa sema saivi hawamkubali mama ndo mana wanaongea ivi unafiki 😅
@@TamuzaKale Shida sio kukuta kila kitu kimechorwa ila shida inakuja ni mpango upi umekuja nao kuyatenda hayo yaliyochorwa hapo ndipo kuna tatizo ya viongozi wengi wanaopita hawana vision juu ya nchi bali maslahi yao wenyewe
Kipindi cha kwaresma ma mfungo wa ramadhani. Tuwe wakweli mbele ya Mungu. Hakuna siku Gwajima hajaongea point. Kama ni katiba mbona alichokisema kanukuu na kifungu cha katiba isiyo mpya? Swala sio katiba bali ni uthubutu wa kizarendo kusema na kutenda. Kama Gwaj
you are very right bro, Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy
Kwani hakuna muendelezo? Reli (TGV) imesimama? Nyerere hydropower imesimama? Ujenzi wa barabara na miundombinu mingine na viwanda umesimama? Uboreshaji wa huduma za jamii (maji, umeme, elimu, afya,...) umesimama??? Ni kweli, tunahitaji DIRA YA TAIFA. Lakini sio kwa sababu hakuna muendelezo!
Anachoongea Gwajima ni sahihi kabisa, hata mi ni mkereketwa, i have been to so many countries na nimeona jinsi wanaendesha mipango yao, hata tusiende mbali just our neighbour Rwanda, the country is doing well, sisi tunashindwa hata kuwa na mipango ya kupanda miti, jua linapiga mpaka unachanganyikiwa lkn kungekewa na mipango miji, jiji lingependeza plus maendeleo mengine ya msingi.
Marekani wanapiga hatua kwa sera ya taifa lao sisi tunataka kupata maendeleo kwa sera za vyama, inatakiwa kwamba viongozi wachanguliwe kwenye vyama vyao ili waje waitumikie sera ya taifa sio irani za chama mnazihamishia kwenye mipango ya taifa
Mh. Hongera sana kwa maoni na mapendekezo mazuri sana. Kweli tungekuwa na maono ya hivo tungekuwa tumepiga hatua zaidi ya kimaendeleo. Waheshimiwa shaurini serikali yetu ili tuachane na utegemezi wa muda mrefu.
Kwa ukimya huo wa wabunge wenzio, inamana km hawalioni hlo ni la msingi, yani viongozi wetu wapo kimaslahi tupu na cyo kwaajir ya kuwatetea watanzania Big up sn gwaji boe
This is a common sense but I wounder how many people can see in this way a part of "Kuchumia Matumbo yao"You are truly Patriotic,we need such kind of MP not Blaablaaah and everything thing is Yes for them....kazi kupiga meza tuu bushit.
Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy
Even if Tanzania is not going to work on this advice I personally am willing to accept and use this idea in my personal life vision mh Gwajima umeelezea mpaka bas salute sir
At least Gwaji boy anaonyesha sio CHAWA hi nchi tunatakiwa kuwa serious aisee ndio maana Kenya sasa hivi wamekaa kimya hawana wasiwasi wa ku lose nafasi yao kuwa Taifa lenye maendeleo east Africa sasa tumesharudi kwenye ujinga wetu na upigaji
Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy
Sasa tungeweza kuweka siasa pembeni tuendeleze yanayofaa sio lazima tuwe tofauti. Kama maono yanafaa, ni kwa maslahi yetu sote na hakuna anayeweza kumdharau kiongozi anayeendeleza mambo mema ya kizalendo na yenye kujali utu na ustawi wa watu wake. Tatizo tunatanguliza siasa zenye ushindani hasi na matokeo yake ubinafsi na chuki zinapata mwanya. Mungu tunakusihi uwape viongozi wetu unyenyekevu wawatumikie wananchi. Uongozi ni utumishi sio kiti cha starehe... Mungu aendelee kuisimamia nchi.
Gwajima mtu wa Mungu unajisumbua bure kuongea hili swala sio mara ya kwanza kusema bungeni nakumbuka hii ni mara ya pili hii nnchi ya ................na wananchi wao ni ............leo wanakupigia makofi wakati walikufungia hii nnchi ni ya ............
hii hoja umeiongea kwa mara ya pili ...ina mashiko sana kwa taifa ..lakini wenye mamlaka na wanaotarajia kutafuta na kupata mamlaka hawaiihitaji kwani ndiyo itakuwa kipimo chao cha uongozi. .wanataka wafanye watakavyo bila kupimwa na dira ya taifa ... ni sawa na kusoma shule pasiwepo mtihani...hutabaini nani ameweza nani hakuweza...eee.Mwenyezi Mungu tusaidie
Kwa sasa kuna ILANI ya CCM. Wanapimwa kutokana na Ilani ya Chama, sio wanafanya watakavyo bila kupimwa! Lakini sio mbaya kuwa na Dira ya Taifa ya muda mrefu zaidi! Na hili sio jambo geni Afrika, hasa kwa majiirani zetu Rwanda, kulikuwa na dira ya Taifa 2000 - 2020. Kagame ameitekeleza na wamepiga hatua kubwa kimaendeleo. Na leo, wamejiwekea Sera 2020-2040.
Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy
Hakika umeongea ukwe mtupu kabisaa na tunahitaji watu na wazarendo kama ww Gwajima lakini wengi wao nikupigania ilani ya chama2 nasio Nchi. Hongera Sana Sana 🙏🏼 Gwajima ww ni kiongozi sina Mashaka na ww kabisa kwahiki ulicho kisema ni✅
Analogic sana huyu raisi wangu wa 2025 Yaani usipogombea 2025 sipigi kura bora waniue Gwajima ana akili kubwa sana Hii nchi inawatu wenye akili kubwa sema hawana mamlaka wengi wao wenye mamlaka ni hopeless
Huyu jamaa kichwa Sana hii point ni mara ya pili anaizungumzia sasa cjui bunge linafanya nini kwani point kama hizi siyo za kupotezea zinaitajika kufanyiwa kazi
Hoja ya gwajima ni sahihi!! Wa bunge mlizingatie Hilo, Asante gwajima.
Jembe la nguvu hili✓
Mungu akujalie maisha marefu mchungaji gwajima.
Great point with high breed wisdom.naomba baba askofu achaguliwe kuwakilisha TZ kwa bunge LA African union.. We need these great ideas in all African countries tujitoe Kutegemea msaanda kutoka kwa wakoloni🇰🇪
Hapana sema hivi mtazamo wake ufanyiwe kazi kwa manufaa ya nchi, hii ndio sifa ya kuomba nafasi ya ubunge
Gwajima, Mungu akulinde, wabunge tunaomba msipige tu makofi tekelezeni tena kwa wakati yanayosemwa kwa kuwa watanzania wanawatambua wabunge wazuri kama Gwajima. Mungu awaongoze.
Siku nyingi nimewahi kusema kuwa gwajima ni very unique and genius guy na sasa ivi naendelea kujiridhisha zaidi
Huyu jamaa maneno yanaumba one day anachukua Nchi maombi yangu kwa Mungu
" Nileteeni Gwajima"
UMETUWAKILISHA vyema. Hongera kwa kazi nzuri!
Ubalozi unakuhusu wewe gwajina. Good ideology toward development of Tanzania. Congats mh.Gwajima.
Asante mjomba
ubalozi tutapoteza jembe letu aendelee awe raisi wetu
Anakuwaje balozi wakati ni mbunge wa kuchaguliwa? Au inaruhusiwa mbunge wa jimbo kuteuliwa kuwa balozi? Mbona sioni kama hiyo inawezekana...? Mtu anieleweshe.
Lakini kwani hakuna button ambayo anaweza kubonyeza na kukataa uteuzi huo ikiwa kuna hiyo nguvu ya kumteua mbunge wa jimbo? I still think Gwaji can't accept the appointment.
Kaiongea hii point mara ya pili, ni ishara kwamba hakuona dalili ya kufanyiwa kazi hoja yake, for me GWAJIMA kasubutu, kaonyesha mkazo wa kile anachokiamini na kina mashiko ndani yake, rudia hata mara 100 na kuendelea mpaka ifanyiwe kazi. Dira ya Taifa ni maamuzi ya taifa ambayo upende usipende kama kiongozi na unaoongoza wanatakiwa wajue ili msimamo wa taifa uwe mmoja katika kupiga hatua ya kimaendeleo kwenye nyanja zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii. Hasara zinazosabaishwa na ZIMA MOTO ya kila kiongozi anayeingia madarakani kwa kutumia halmashauri ya kichwa chake kuliongoza taifa ni kubwa mno. No way you can asses and evaluate the perfomance of Authority in progress bila ku-link ufanisi wake kwenye dira na mpango wa muda mrefu wa Taifa. Thanks Mh.Gwajima
Hoja ya chadema wapo nayo muda sana shida viongozi wanakaza vichwa
Tamu sana hii
Mbatia alilizungumzia sana hili jambo... Gwaj sio wa kwanza wala wa pili... Lakini yy amewazidi wengine kufanya "show"!
Hii kauli si ngeni sema watanzania ni wavivu tu na uchama mwingi lema aliiongea hii kipindi wapo bungeni kipindi cha magufuli na hawakusapot hawa sema saivi hawamkubali mama ndo mana wanaongea ivi unafiki 😅
Ukosahihi kabisa shida hilo wakilikubal teal mamboyao hataenda ndio ukwel ndiomana nnchi za Aflika zote zinafanana kwai wazugu hawatak tuwekamawao
Askofu nimekuelewa sana mungu akupe uzima mwingi
Tatzo ukiongea mambo ya msingi hayachukuliwi na kuwekwa kwenye system ya nchi! Sasa tunahitaji mtu kama magufuli kabisaaa la sivyo hakuna kitu
You're a men
Magu alikuwa akiangalia miaka 200 ijayo
Zimo?
@@missangela6720 Actually alikuta kila kitu kimechorwa! Unadhani mradi gani hakuukuuta? Utaje!
@@TamuzaKale Shida sio kukuta kila kitu kimechorwa ila shida inakuja ni mpango upi umekuja nao kuyatenda hayo yaliyochorwa hapo ndipo kuna tatizo ya viongozi wengi wanaopita hawana vision juu ya nchi bali maslahi yao wenyewe
Kipindi cha kwaresma ma mfungo wa ramadhani. Tuwe wakweli mbele ya Mungu. Hakuna siku Gwajima hajaongea point. Kama ni katiba mbona alichokisema kanukuu na kifungu cha katiba isiyo mpya? Swala sio katiba bali ni uthubutu wa kizarendo kusema na kutenda. Kama Gwaj
you are very right bro,
Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy
Kaka kama nimekuelewa hiviiii
Swala siyo katoba. Nchi inaongozwa na waroho wa madaraka na wakujilimbikizia mali
Kwel mtumishi wa mungu unajuwa
Hata mimi huwa nashangaaga Sana kwakwel! Yan Tz muendelezo hakuna kila rais anafanya yake upuuz mtupu
Sio upuzi voo hapo kila moja ataka kuonekana chake alicho kifanya kwasabb akiendeleza bado ataonekana hajafanya kitu
@@ahmedalkiyum7592 No. Ni kwamba kuna leaders wazalendo na wenye meno ya maono, na wahuni, wenye maneno matupu
Kwani hakuna muendelezo? Reli (TGV) imesimama? Nyerere hydropower imesimama? Ujenzi wa barabara na miundombinu mingine na viwanda umesimama? Uboreshaji wa huduma za jamii (maji, umeme, elimu, afya,...) umesimama??? Ni kweli, tunahitaji DIRA YA TAIFA. Lakini sio kwa sababu hakuna muendelezo!
Ngoja niandike maneno yako yote maana naamini yanatumika kwenye maisha ya mtu binafsi ili kupata mafanikio yake na kizaz kijacho.
exactly
Point salute to him the truth shall set you free!!! 🔥
The kind of leader I've been looking for
That's Gwajima I know. Wengine wanafiki speak the truth always kwa maslahi ya vizazi vijavyo kama ni kufa wote tutakufa tuuu....
Kubwa sana hii mzee
ipo siku gwajima utajichanganya uchukue form walah tutakupa nchi,
Ha haaaaaaaa,🤣🤣🤣🤣🤣
Kama unapiga kura peke yako
Kabisaa aisee na tutampaa, kwa uwezo aliokuwa nao anastahili kabisa kuwa kiongozi wa nchi sio mbunge tu
😂😂😂😂😂😂umenifanya nicheke tu et akijichanganya😂😂😂😂aki hata mm nitampa
Huyu akijichanganya tu!! Hana bahati !! Kwa Nia aliyo nayo nchi atapewa peupeee!!!....
Hii PhD ni ya uhakika, sina mashaka nayo kwa Sasa,
😅
Anachoongea Gwajima ni sahihi kabisa, hata mi ni mkereketwa, i have been to so many countries na nimeona jinsi wanaendesha mipango yao, hata tusiende mbali just our neighbour Rwanda, the country is doing well, sisi tunashindwa hata kuwa na mipango ya kupanda miti, jua linapiga mpaka unachanganyikiwa lkn kungekewa na mipango miji, jiji lingependeza plus maendeleo mengine ya msingi.
Big up saba mh. Gwajima umeongea kitu kikubwa mno Mungu akubariki sna yatimie hayo na yasimamiwe
Marekani wanapiga hatua kwa sera ya taifa lao sisi tunataka kupata maendeleo kwa sera za vyama, inatakiwa kwamba viongozi wachanguliwe kwenye vyama vyao ili waje waitumikie sera ya taifa sio irani za chama mnazihamishia kwenye mipango ya taifa
SAHIHI SANA KAKA UNA AKILI
Ilani sio Irani=ni nchi
Gwajima for presidency
OVER
Mh. Hongera sana kwa maoni na mapendekezo mazuri sana. Kweli tungekuwa na maono ya hivo tungekuwa tumepiga hatua zaidi ya kimaendeleo. Waheshimiwa shaurini serikali yetu ili tuachane na utegemezi wa muda mrefu.
Shida matumboo nakujuana mzeee
Wapigaji hawajamwelewa kabisa nilitegemea makofi mengi
Gwaji boy through this ,I trust you
Sage speak Gwajima..!!! bravo
Mungu bariki this point in Jesus name 🙏
Amen
Bishop Afrika ni Afrika tu... Hongera kusema hayo...your so bright bishop....kwenda mbele kidogo kurudi nyuma sanaas
Kwa ukimya huo wa wabunge wenzio, inamana km hawalioni hlo ni la msingi, yani viongozi wetu wapo kimaslahi tupu na cyo kwaajir ya kuwatetea watanzania Big up sn gwaji boe
Au wanaliona lakini hawaoni kuwa linawapa vibe lile wanalotaka au waliwazalo. Au basi bana
Wanamwaogopa kinana atawaita kwenye kamati
@@abelg2488 ùo8oòòyoy
May Almighty God bless you PM Bishop Gwajima
You are so smart and visionary thank you and tell them!
Nchi kutegemea kichwa kimoja kwa kweli kuangukia pua kunakuja!
This is a common sense but I wounder how many people can see in this way a part of "Kuchumia Matumbo yao"You are truly Patriotic,we need such kind of MP not Blaablaaah and everything thing is Yes for them....kazi kupiga meza tuu bushit.
Good. At least wangefika 25% Bright MPs tusingekuwa tulivyo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 da kizhungu plus kiswaz kimenoga sn congr
Anaongea ukweli, nchi haiwezi kusonga mbele ikiwa hakuna maoni ya kitaifa.
Gwajima inabidi achukue form tumpe nchi, This man is ideology talented leader we need him to lead our country
True kabsaa
This guy is intelligent!
Huyu jamaa anauwezo mkubwa sana wakufikiri lakini ajabu viongozi wenzake wengi wanashindwa kumuelewa sababu tu hawajafikia kiwango chake.
Daaah umeongea point knouma bro
Kabisa
Asante mungu walinde wazalendo kamahawa ijapokuwa wanabezwa kwa wachache wanaosifiana sifiana tu huku wengi tunateketea,
Ujumbe umetumwa kisomi. Safi Sana Gwaji Boy. Maono ya nchi Ni utashi wa genge la mafisadi tu.
Yeye leo katuma massage nzuri kwa taifa. Juzi Makongolo alituma bonge la massage tunawashukulu Sana.
Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy
Huyu jamaa ni kiongozi wa maana sana Tanzania.
I real respect this men,
Asante sana mtu wa Mungu Gwajima mambo yako safiiiiiiiiiiiii Jasus la Mbinguni!
Mniletee Geajimaaa
Nashukuru kwa mara ya kwanza nimesikia hoja ya msingi ikijadiwa bungeni
Ashaongeaga hili...hii mara ya pili..ila wanaelewa sasa
Lakini sio wote wanaikubali maana wanalinda ugali wao
Even if Tanzania is not going to work on this advice I personally am willing to accept and use this idea in my personal life vision mh Gwajima umeelezea mpaka bas salute sir
At least Gwaji boy anaonyesha sio CHAWA hi nchi tunatakiwa kuwa serious aisee ndio maana Kenya sasa hivi wamekaa kimya hawana wasiwasi wa ku lose nafasi yao kuwa Taifa lenye maendeleo east Africa sasa tumesharudi kwenye ujinga wetu na upigaji
Na bado tutazidi kuendelea!! Usijali. Lakini tunawapenda!
Hiki alichokisema Gwajima kina nia ya mabadiliko ya kweli na maendeleo ya nchi yetu.
Mm nitashukru sana mweshimiwa gwajima kama watakuunga mkono maono yako katika bunge hili Ahsante sana
Kweli Pasipo MAONO taifa huangamia. Wahuni wana maono ya kuchumia tumbo tu, habari za Watanzania sio kitu kwao. Hongera Bishop. Gwajima
Kuna vision 2025... Labda huyo Mbunge amesahau!
😂😂😂😂
Daa!Pointi Sanaa Sana,Shida Ni kuukubari huwo ushauriii.
muhimu awe anakiamini anachokisema
Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy
Sasa tungeweza kuweka siasa pembeni tuendeleze yanayofaa sio lazima tuwe tofauti. Kama maono yanafaa, ni kwa maslahi yetu sote na hakuna anayeweza kumdharau kiongozi anayeendeleza mambo mema ya kizalendo na yenye kujali utu na ustawi wa watu wake. Tatizo tunatanguliza siasa zenye ushindani hasi na matokeo yake ubinafsi na chuki zinapata mwanya. Mungu tunakusihi uwape viongozi wetu unyenyekevu wawatumikie wananchi. Uongozi ni utumishi sio kiti cha starehe... Mungu aendelee kuisimamia nchi.
Hongera sana Mh Gwajima umetoa point utekelezaji sasa ndo ishu
Ishi miaka mingi baba unajua kazi Yako ongoa na viziwi wanaosikia hongea na vipofu wanao ona ongea na walaji washika vipofu mkono 💯
Gwajima mtu wa Mungu unajisumbua bure kuongea hili swala sio mara ya kwanza kusema bungeni nakumbuka hii ni mara ya pili hii nnchi ya ................na wananchi wao ni ............leo wanakupigia makofi wakati walikufungia hii nnchi ni ya ............
😂😂😂
Kisenge
Hakunaa kitu apoo....ujuwe yy hajuwi kama chama chake kinaongozwa na ILANI ya chama na sio ilani ya TAIFA aliongea kwa JPM mbona alitupa kwa dasbini
Kweliiiii mkuu aminia sanaaaaaaaa100%
hii hoja umeiongea kwa mara ya pili ...ina mashiko sana kwa taifa ..lakini wenye mamlaka na wanaotarajia kutafuta na kupata mamlaka hawaiihitaji kwani ndiyo itakuwa kipimo chao cha uongozi. .wanataka wafanye watakavyo bila kupimwa na dira ya taifa ... ni sawa na kusoma shule pasiwepo mtihani...hutabaini nani ameweza nani hakuweza...eee.Mwenyezi Mungu tusaidie
Kwa sasa kuna ILANI ya CCM. Wanapimwa kutokana na Ilani ya Chama, sio wanafanya watakavyo bila kupimwa! Lakini sio mbaya kuwa na Dira ya Taifa ya muda mrefu zaidi! Na hili sio jambo geni Afrika, hasa kwa majiirani zetu Rwanda, kulikuwa na dira ya Taifa 2000 - 2020. Kagame ameitekeleza na wamepiga hatua kubwa kimaendeleo. Na leo, wamejiwekea Sera 2020-2040.
Gwajima ni mtu tunayemuhitaji hapa Tanzania
Ilibidi kwanza kumshukuru Mungu,halafu ndio ushukuru wengine.😎
CCM na ilaaniwe. Yaan wao ni rais kwanza af ndo Mungu,
Point sana
Well sayed Mh. Gwajima Mungu akulinde
Tatizo CCM wajeuri hawamsikilizi huu ndo ukweli ulivyo
Hata makofi hawampi
A politician thinks of the next election; a statesman, of the next generation.
Mh Gwajima kwa maono hayo, you are a statesman
Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy
Salute kwako gwajima unauthubutu Mungu akubariki usiwe miongoni mwa wanafiq
Gwajima nakupatia zawadi kazome Ufunuo 21:8 waoga wataenda motoni.
Ongea baba tuko nyuma yako
Barikiwa sana Gwajima sikujuw. Kuwa ww ni jembe kumbe wewe ni jembe tunakuandaa,ngoja tukupike baadae utatufaa kuwa Rais wetu
Never spoken facts before this lad
👏👏 Gwaji Boy
Gwaji Boy is very smart
God bless you Gwajima, i like your statements always. wish you many years.
Fact
Nice point ✍️ mh gwajima God blessed you for everything 😘 😘 😘 🥰
Maono na dira ya serikali ya ccm nikuona vyama vyaupinzani vinakufa baada ya miaka sitini ijayo.
😄😄😄😄
Umeupiga mwingi
Tatizo ni hicho chama... yanaingia huku yanatoka kule.
Leo Gwajima ndio umeongea point Safi sana, ongea baba usikike
Mbona siku zote anaongea,hata hili analo ongea ni mara ya pili
Gwajima ana point sana mungu akuongoze kiongozi wetu
Hata magufuli alisema Nileteeni gwajimaa rais wa maono aliona
Well said jembe .....
Big up brother 👍🏿 well said.
YESU AKUTUNZE SANA BISHOP GWAJIMA.
Huyu ndie kiongozi is smart in massaging
Hii ni sahihi sana
Mungu akuzindishie upon vzr kimawazo barikiwa sana
The truth .. point salute gwaji boy ... We leave for a government to be considered about that.
Undeni kamati ya kuandaa maono ya Miaka 100 ya Tanzania ijayo na mheshimiwa Gwajima awe mwenyekiti
Uko sahihi kabisa
Exactly MR Gwajima,unafaa kuwa mshauri wa rais,,,Hongera kwa kuwa mbeba maono wa Taifa.Mungu ibariki Tanzania na viongozi wake Amen.
Ata uyu mama tulienae niwaajabu tu
Kuliko yule Jomba au vipi ?! 😆😆
Tena sana haijawahi kutokea
Big point 💪🔥ni kweli kbsa
Unaakili sana gwaji boy
True. Ila kajiondoa kwenye ubunge😅😅 Make ilo dongo
Lets keep this guy .....gwajima anaupeo
Gwajima anaakiri nyingi Sana.
I swear! Gwajima is very curious.
Big up mh. Askofu
Hakika umeongea ukwe mtupu kabisaa na tunahitaji watu na wazarendo kama ww Gwajima lakini wengi wao nikupigania ilani ya chama2 nasio Nchi.
Hongera Sana Sana 🙏🏼
Gwajima ww ni kiongozi sina Mashaka na ww kabisa kwahiki ulicho kisema ni✅
Ilikuwa Nipite Ila Kama Ananikosha hojayake konk ✔️
Hii hoja ya chadema kila siku wanaipigania.Ila vizuri umeileta bungeni
Gd point ndo nchi yetu lazma iwe na VISSION!!
Analogic sana huyu raisi wangu wa 2025
Yaani usipogombea 2025 sipigi kura bora waniue
Gwajima ana akili kubwa sana
Hii nchi inawatu wenye akili kubwa sema hawana mamlaka wengi wao wenye mamlaka ni hopeless
Huyu jamaa kichwa Sana hii point ni mara ya pili anaizungumzia sasa cjui bunge linafanya nini kwani point kama hizi siyo za kupotezea zinaitajika kufanyiwa kazi
Mungu akubariki mtumishi
Point Asante Gwajima 👏👏👏👏👏
Daaaahhhhh hongera sanaaaa mh.
Umeongea point Sana Yani kila raise anayekuja anaongoza kwa akili yake inavyomtuma
Kwani huyo Jiwe hakukiuka hata Katiba ya Nchi?!
leo Gwaji boy umenifurahisha! umetisha!
Mhe. Gwajima anajua