Bila uoga Askofu Gwajima 'ajilipua' bungeni "Tutapata rais wa ajabu na Tutaangukia pua..."

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 04. 2022
  • Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Komentáře • 687

  • @bensonbenezeth
    @bensonbenezeth Před 2 lety +89

    Hoja ya gwajima ni sahihi!! Wa bunge mlizingatie Hilo, Asante gwajima.

  • @itiamekimbui722
    @itiamekimbui722 Před 2 lety +68

    Great point with high breed wisdom.naomba baba askofu achaguliwe kuwakilisha TZ kwa bunge LA African union.. We need these great ideas in all African countries tujitoe Kutegemea msaanda kutoka kwa wakoloni🇰🇪

    • @mbarakamwande4071
      @mbarakamwande4071 Před 2 lety +1

      Hapana sema hivi mtazamo wake ufanyiwe kazi kwa manufaa ya nchi, hii ndio sifa ya kuomba nafasi ya ubunge

  • @ponsianamataka4607
    @ponsianamataka4607 Před 2 lety +48

    Gwajima, Mungu akulinde, wabunge tunaomba msipige tu makofi tekelezeni tena kwa wakati yanayosemwa kwa kuwa watanzania wanawatambua wabunge wazuri kama Gwajima. Mungu awaongoze.

  • @fahdihasnuu9034
    @fahdihasnuu9034 Před 2 lety +20

    Siku nyingi nimewahi kusema kuwa gwajima ni very unique and genius guy na sasa ivi naendelea kujiridhisha zaidi

  • @ludigobishota461
    @ludigobishota461 Před 2 lety +15

    UMETUWAKILISHA vyema. Hongera kwa kazi nzuri!

  • @orestonjalika632
    @orestonjalika632 Před 2 lety +28

    Ubalozi unakuhusu wewe gwajina. Good ideology toward development of Tanzania. Congats mh.Gwajima.

    • @eliasantemhonjwa6256
      @eliasantemhonjwa6256 Před 2 lety

      Asante mjomba

    • @mptv661
      @mptv661 Před 2 lety +5

      ubalozi tutapoteza jembe letu aendelee awe raisi wetu

    • @abelg2488
      @abelg2488 Před 2 lety

      Anakuwaje balozi wakati ni mbunge wa kuchaguliwa? Au inaruhusiwa mbunge wa jimbo kuteuliwa kuwa balozi? Mbona sioni kama hiyo inawezekana...? Mtu anieleweshe.
      Lakini kwani hakuna button ambayo anaweza kubonyeza na kukataa uteuzi huo ikiwa kuna hiyo nguvu ya kumteua mbunge wa jimbo? I still think Gwaji can't accept the appointment.

  • @erickluge7838
    @erickluge7838 Před 2 lety +109

    Kaiongea hii point mara ya pili, ni ishara kwamba hakuona dalili ya kufanyiwa kazi hoja yake, for me GWAJIMA kasubutu, kaonyesha mkazo wa kile anachokiamini na kina mashiko ndani yake, rudia hata mara 100 na kuendelea mpaka ifanyiwe kazi. Dira ya Taifa ni maamuzi ya taifa ambayo upende usipende kama kiongozi na unaoongoza wanatakiwa wajue ili msimamo wa taifa uwe mmoja katika kupiga hatua ya kimaendeleo kwenye nyanja zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii. Hasara zinazosabaishwa na ZIMA MOTO ya kila kiongozi anayeingia madarakani kwa kutumia halmashauri ya kichwa chake kuliongoza taifa ni kubwa mno. No way you can asses and evaluate the perfomance of Authority in progress bila ku-link ufanisi wake kwenye dira na mpango wa muda mrefu wa Taifa. Thanks Mh.Gwajima

    • @Chrisblaze-beats
      @Chrisblaze-beats Před 2 lety

      Hoja ya chadema wapo nayo muda sana shida viongozi wanakaza vichwa

    • @missangela6720
      @missangela6720 Před 2 lety

      Tamu sana hii

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Mbatia alilizungumzia sana hili jambo... Gwaj sio wa kwanza wala wa pili... Lakini yy amewazidi wengine kufanya "show"!

    • @sinanindola93
      @sinanindola93 Před 2 lety

      Hii kauli si ngeni sema watanzania ni wavivu tu na uchama mwingi lema aliiongea hii kipindi wapo bungeni kipindi cha magufuli na hawakusapot hawa sema saivi hawamkubali mama ndo mana wanaongea ivi unafiki 😅

    • @majaliwawilson9372
      @majaliwawilson9372 Před 2 lety

      Ukosahihi kabisa shida hilo wakilikubal teal mamboyao hataenda ndio ukwel ndiomana nnchi za Aflika zote zinafanana kwai wazugu hawatak tuwekamawao

  • @babawawiltegamaso4367
    @babawawiltegamaso4367 Před 2 lety +27

    Askofu nimekuelewa sana mungu akupe uzima mwingi

  • @maxmilianpetro968
    @maxmilianpetro968 Před 2 lety +55

    Tatzo ukiongea mambo ya msingi hayachukuliwi na kuwekwa kwenye system ya nchi! Sasa tunahitaji mtu kama magufuli kabisaaa la sivyo hakuna kitu

    • @gervassn1468
      @gervassn1468 Před 2 lety

      You're a men

    • @missangela6720
      @missangela6720 Před 2 lety +2

      Magu alikuwa akiangalia miaka 200 ijayo

    • @musaraha1742
      @musaraha1742 Před 2 lety

      Zimo?

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale Před 2 lety

      @@missangela6720 Actually alikuta kila kitu kimechorwa! Unadhani mradi gani hakuukuuta? Utaje!

    • @donjb3178
      @donjb3178 Před 2 lety +2

      @@TamuzaKale Shida sio kukuta kila kitu kimechorwa ila shida inakuja ni mpango upi umekuja nao kuyatenda hayo yaliyochorwa hapo ndipo kuna tatizo ya viongozi wengi wanaopita hawana vision juu ya nchi bali maslahi yao wenyewe

  • @damianichayo895
    @damianichayo895 Před 2 lety +60

    Kipindi cha kwaresma ma mfungo wa ramadhani. Tuwe wakweli mbele ya Mungu. Hakuna siku Gwajima hajaongea point. Kama ni katiba mbona alichokisema kanukuu na kifungu cha katiba isiyo mpya? Swala sio katiba bali ni uthubutu wa kizarendo kusema na kutenda. Kama Gwaj

    • @juliansowani1176
      @juliansowani1176 Před 2 lety +1

      you are very right bro,
      Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy

    • @abelg2488
      @abelg2488 Před 2 lety +1

      Kaka kama nimekuelewa hiviiii

    • @alanusrespicius1796
      @alanusrespicius1796 Před 2 lety +3

      Swala siyo katoba. Nchi inaongozwa na waroho wa madaraka na wakujilimbikizia mali

    • @mwinjumakhalifa9505
      @mwinjumakhalifa9505 Před 2 lety

      Kwel mtumishi wa mungu unajuwa

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 Před 2 lety +39

    Hata mimi huwa nashangaaga Sana kwakwel! Yan Tz muendelezo hakuna kila rais anafanya yake upuuz mtupu

    • @ahmedalkiyum7592
      @ahmedalkiyum7592 Před 2 lety +1

      Sio upuzi voo hapo kila moja ataka kuonekana chake alicho kifanya kwasabb akiendeleza bado ataonekana hajafanya kitu

    • @missangela6720
      @missangela6720 Před 2 lety +1

      @@ahmedalkiyum7592 No. Ni kwamba kuna leaders wazalendo na wenye meno ya maono, na wahuni, wenye maneno matupu

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Kwani hakuna muendelezo? Reli (TGV) imesimama? Nyerere hydropower imesimama? Ujenzi wa barabara na miundombinu mingine na viwanda umesimama? Uboreshaji wa huduma za jamii (maji, umeme, elimu, afya,...) umesimama??? Ni kweli, tunahitaji DIRA YA TAIFA. Lakini sio kwa sababu hakuna muendelezo!

  • @f2abooksuppliers122
    @f2abooksuppliers122 Před 2 lety +16

    Ngoja niandike maneno yako yote maana naamini yanatumika kwenye maisha ya mtu binafsi ili kupata mafanikio yake na kizaz kijacho.

  • @christinakayombo266
    @christinakayombo266 Před 2 lety +34

    Point salute to him the truth shall set you free!!! 🔥

  • @CHITUS
    @CHITUS Před 2 lety +25

    The kind of leader I've been looking for

  • @alfredkalaba1614
    @alfredkalaba1614 Před 2 lety +24

    That's Gwajima I know. Wengine wanafiki speak the truth always kwa maslahi ya vizazi vijavyo kama ni kufa wote tutakufa tuuu....

  • @evcloudjuma9790
    @evcloudjuma9790 Před 2 lety +25

    ipo siku gwajima utajichanganya uchukue form walah tutakupa nchi,

    • @marympango9247
      @marympango9247 Před 2 lety +2

      Ha haaaaaaaa,🤣🤣🤣🤣🤣

    • @allymusira2153
      @allymusira2153 Před 2 lety +1

      Kama unapiga kura peke yako

    • @morganizemeshack6643
      @morganizemeshack6643 Před 2 lety +4

      Kabisaa aisee na tutampaa, kwa uwezo aliokuwa nao anastahili kabisa kuwa kiongozi wa nchi sio mbunge tu

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 Před 2 lety +5

      😂😂😂😂😂😂umenifanya nicheke tu et akijichanganya😂😂😂😂aki hata mm nitampa

    • @mestonianatori7254
      @mestonianatori7254 Před 2 lety +2

      Huyu akijichanganya tu!! Hana bahati !! Kwa Nia aliyo nayo nchi atapewa peupeee!!!....

  • @mugapro
    @mugapro Před 2 lety +15

    Hii PhD ni ya uhakika, sina mashaka nayo kwa Sasa,

  • @holykim2713
    @holykim2713 Před 2 lety +26

    Anachoongea Gwajima ni sahihi kabisa, hata mi ni mkereketwa, i have been to so many countries na nimeona jinsi wanaendesha mipango yao, hata tusiende mbali just our neighbour Rwanda, the country is doing well, sisi tunashindwa hata kuwa na mipango ya kupanda miti, jua linapiga mpaka unachanganyikiwa lkn kungekewa na mipango miji, jiji lingependeza plus maendeleo mengine ya msingi.

  • @sifamwakaniemba443
    @sifamwakaniemba443 Před 2 lety +4

    Big up saba mh. Gwajima umeongea kitu kikubwa mno Mungu akubariki sna yatimie hayo na yasimamiwe

  • @lutusigaza2148
    @lutusigaza2148 Před 2 lety +19

    Marekani wanapiga hatua kwa sera ya taifa lao sisi tunataka kupata maendeleo kwa sera za vyama, inatakiwa kwamba viongozi wachanguliwe kwenye vyama vyao ili waje waitumikie sera ya taifa sio irani za chama mnazihamishia kwenye mipango ya taifa

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 Před 2 lety +27

    Gwajima for presidency

  • @modestshikilana4610
    @modestshikilana4610 Před 2 lety +21

    Mh. Hongera sana kwa maoni na mapendekezo mazuri sana. Kweli tungekuwa na maono ya hivo tungekuwa tumepiga hatua zaidi ya kimaendeleo. Waheshimiwa shaurini serikali yetu ili tuachane na utegemezi wa muda mrefu.

  • @chigaboy1332
    @chigaboy1332 Před 2 lety +29

    Gwaji boy through this ,I trust you

  • @lovenessdiva3370
    @lovenessdiva3370 Před 2 lety +8

    Mungu bariki this point in Jesus name 🙏

  • @foundationforcommunityhope7327

    Bishop Afrika ni Afrika tu... Hongera kusema hayo...your so bright bishop....kwenda mbele kidogo kurudi nyuma sanaas

  • @yudamfinanga2246
    @yudamfinanga2246 Před 2 lety +19

    Kwa ukimya huo wa wabunge wenzio, inamana km hawalioni hlo ni la msingi, yani viongozi wetu wapo kimaslahi tupu na cyo kwaajir ya kuwatetea watanzania Big up sn gwaji boe

    • @abelg2488
      @abelg2488 Před 2 lety +1

      Au wanaliona lakini hawaoni kuwa linawapa vibe lile wanalotaka au waliwazalo. Au basi bana

    • @evelinemsaki2057
      @evelinemsaki2057 Před 2 lety

      Wanamwaogopa kinana atawaita kwenye kamati

    • @adamzuberi940
      @adamzuberi940 Před 2 lety

      @@abelg2488 ùo8oòòyoy

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina5381 Před 2 lety +11

    May Almighty God bless you PM Bishop Gwajima

  • @abhambomihambo6754
    @abhambomihambo6754 Před 2 lety +41

    You are so smart and visionary thank you and tell them!

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 Před 2 lety +12

    Nchi kutegemea kichwa kimoja kwa kweli kuangukia pua kunakuja!

  • @abhambomihambo6754
    @abhambomihambo6754 Před 2 lety +33

    This is a common sense but I wounder how many people can see in this way a part of "Kuchumia Matumbo yao"You are truly Patriotic,we need such kind of MP not Blaablaaah and everything thing is Yes for them....kazi kupiga meza tuu bushit.

    • @sadockchengula5542
      @sadockchengula5542 Před 2 lety +1

      Good. At least wangefika 25% Bright MPs tusingekuwa tulivyo.

    • @yahayakingochi9554
      @yahayakingochi9554 Před 2 lety +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣 da kizhungu plus kiswaz kimenoga sn congr

  • @diomedenshemezimana4920
    @diomedenshemezimana4920 Před 2 lety +23

    Anaongea ukweli, nchi haiwezi kusonga mbele ikiwa hakuna maoni ya kitaifa.

  • @roqerz
    @roqerz Před 2 lety +6

    Gwajima inabidi achukue form tumpe nchi, This man is ideology talented leader we need him to lead our country

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Před 2 lety +32

    This guy is intelligent!

  • @Jamie-zp7bb
    @Jamie-zp7bb Před 2 lety +8

    Huyu jamaa anauwezo mkubwa sana wakufikiri lakini ajabu viongozi wenzake wengi wanashindwa kumuelewa sababu tu hawajafikia kiwango chake.

  • @abbymkombozi4382
    @abbymkombozi4382 Před 2 lety +4

    Asante mungu walinde wazalendo kamahawa ijapokuwa wanabezwa kwa wachache wanaosifiana sifiana tu huku wengi tunateketea,

  • @thomaskwibonelwa9240
    @thomaskwibonelwa9240 Před 2 lety +12

    Ujumbe umetumwa kisomi. Safi Sana Gwaji Boy. Maono ya nchi Ni utashi wa genge la mafisadi tu.

    • @elizabethpetro1258
      @elizabethpetro1258 Před 2 lety +1

      Yeye leo katuma massage nzuri kwa taifa. Juzi Makongolo alituma bonge la massage tunawashukulu Sana.

    • @juliansowani1176
      @juliansowani1176 Před 2 lety +1

      Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy

  • @bonifacekisina
    @bonifacekisina Před 2 lety +12

    Huyu jamaa ni kiongozi wa maana sana Tanzania.

  • @Donrugi
    @Donrugi Před 2 lety +9

    I real respect this men,

  • @helenarhobi1250
    @helenarhobi1250 Před 2 lety +5

    Asante sana mtu wa Mungu Gwajima mambo yako safiiiiiiiiiiiii Jasus la Mbinguni!

  • @josephatkiliko2546
    @josephatkiliko2546 Před 2 lety +11

    Mniletee Geajimaaa

  • @mbondelotv8380
    @mbondelotv8380 Před 2 lety +15

    Nashukuru kwa mara ya kwanza nimesikia hoja ya msingi ikijadiwa bungeni

    • @neponova8988
      @neponova8988 Před 2 lety +1

      Ashaongeaga hili...hii mara ya pili..ila wanaelewa sasa

    • @yaelijoseph8742
      @yaelijoseph8742 Před 2 lety +1

      Lakini sio wote wanaikubali maana wanalinda ugali wao

  • @jorampetro10
    @jorampetro10 Před 2 lety +2

    Even if Tanzania is not going to work on this advice I personally am willing to accept and use this idea in my personal life vision mh Gwajima umeelezea mpaka bas salute sir

  • @puyaka1849
    @puyaka1849 Před 2 lety +4

    At least Gwaji boy anaonyesha sio CHAWA hi nchi tunatakiwa kuwa serious aisee ndio maana Kenya sasa hivi wamekaa kimya hawana wasiwasi wa ku lose nafasi yao kuwa Taifa lenye maendeleo east Africa sasa tumesharudi kwenye ujinga wetu na upigaji

    • @kimsi682
      @kimsi682 Před 2 lety +1

      Na bado tutazidi kuendelea!! Usijali. Lakini tunawapenda!

  • @fulloflife7
    @fulloflife7 Před 2 lety +8

    Hiki alichokisema Gwajima kina nia ya mabadiliko ya kweli na maendeleo ya nchi yetu.

  • @jaffuramadhani8254
    @jaffuramadhani8254 Před 2 lety +1

    Mm nitashukru sana mweshimiwa gwajima kama watakuunga mkono maono yako katika bunge hili Ahsante sana

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Před 2 lety +13

    Kweli Pasipo MAONO taifa huangamia. Wahuni wana maono ya kuchumia tumbo tu, habari za Watanzania sio kitu kwao. Hongera Bishop. Gwajima

  • @pascarmwatosya6815
    @pascarmwatosya6815 Před 2 lety +6

    Daa!Pointi Sanaa Sana,Shida Ni kuukubari huwo ushauriii.

    • @aliahmada9178
      @aliahmada9178 Před 2 lety

      muhimu awe anakiamini anachokisema

    • @juliansowani1176
      @juliansowani1176 Před 2 lety

      Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy

  • @milkamusa5837
    @milkamusa5837 Před 2 lety +8

    Sasa tungeweza kuweka siasa pembeni tuendeleze yanayofaa sio lazima tuwe tofauti. Kama maono yanafaa, ni kwa maslahi yetu sote na hakuna anayeweza kumdharau kiongozi anayeendeleza mambo mema ya kizalendo na yenye kujali utu na ustawi wa watu wake. Tatizo tunatanguliza siasa zenye ushindani hasi na matokeo yake ubinafsi na chuki zinapata mwanya. Mungu tunakusihi uwape viongozi wetu unyenyekevu wawatumikie wananchi. Uongozi ni utumishi sio kiti cha starehe... Mungu aendelee kuisimamia nchi.

  • @leonardlukongola9013
    @leonardlukongola9013 Před 2 lety +3

    Hongera sana Mh Gwajima umetoa point utekelezaji sasa ndo ishu

  • @godfreykihowogos2954
    @godfreykihowogos2954 Před 2 lety +1

    Ishi miaka mingi baba unajua kazi Yako ongoa na viziwi wanaosikia hongea na vipofu wanao ona ongea na walaji washika vipofu mkono 💯

  • @watotochaneltv2481
    @watotochaneltv2481 Před 2 lety +14

    Gwajima mtu wa Mungu unajisumbua bure kuongea hili swala sio mara ya kwanza kusema bungeni nakumbuka hii ni mara ya pili hii nnchi ya ................na wananchi wao ni ............leo wanakupigia makofi wakati walikufungia hii nnchi ni ya ............

    • @missangela6720
      @missangela6720 Před 2 lety

      😂😂😂

    • @tittoskeysproject1967
      @tittoskeysproject1967 Před 2 lety

      Kisenge

    • @allymasuke1543
      @allymasuke1543 Před 2 lety

      Hakunaa kitu apoo....ujuwe yy hajuwi kama chama chake kinaongozwa na ILANI ya chama na sio ilani ya TAIFA aliongea kwa JPM mbona alitupa kwa dasbini

  • @sagaryajonas739
    @sagaryajonas739 Před 2 lety +4

    Kweliiiii mkuu aminia sanaaaaaaaa100%

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před 2 lety +11

    hii hoja umeiongea kwa mara ya pili ...ina mashiko sana kwa taifa ..lakini wenye mamlaka na wanaotarajia kutafuta na kupata mamlaka hawaiihitaji kwani ndiyo itakuwa kipimo chao cha uongozi. .wanataka wafanye watakavyo bila kupimwa na dira ya taifa ... ni sawa na kusoma shule pasiwepo mtihani...hutabaini nani ameweza nani hakuweza...eee.Mwenyezi Mungu tusaidie

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Kwa sasa kuna ILANI ya CCM. Wanapimwa kutokana na Ilani ya Chama, sio wanafanya watakavyo bila kupimwa! Lakini sio mbaya kuwa na Dira ya Taifa ya muda mrefu zaidi! Na hili sio jambo geni Afrika, hasa kwa majiirani zetu Rwanda, kulikuwa na dira ya Taifa 2000 - 2020. Kagame ameitekeleza na wamepiga hatua kubwa kimaendeleo. Na leo, wamejiwekea Sera 2020-2040.

  • @masihikalokora17
    @masihikalokora17 Před 2 lety +27

    Gwajima ni mtu tunayemuhitaji hapa Tanzania

  • @editrudesmbonde9051
    @editrudesmbonde9051 Před 2 lety +7

    Ilibidi kwanza kumshukuru Mungu,halafu ndio ushukuru wengine.😎

  • @sammasinga9030
    @sammasinga9030 Před 2 lety

    Well sayed Mh. Gwajima Mungu akulinde

  • @mussahaji905
    @mussahaji905 Před 2 lety +4

    Tatizo CCM wajeuri hawamsikilizi huu ndo ukweli ulivyo

  • @chamgiwadu
    @chamgiwadu Před 2 lety +6

    A politician thinks of the next election; a statesman, of the next generation.
    Mh Gwajima kwa maono hayo, you are a statesman

    • @juliansowani1176
      @juliansowani1176 Před 2 lety

      Shida watanzania kila kitu ni siasa na unafiki mtupu. Jamaa anachosema ni uhalisia mtupu ambao hata wasomi wetu wameshindwa kufanya, mfano CHUO KIKUU CHA Dar es Salaam hatuoni kikuwakomboa wananchi wa Tanzania kule Maswa au Nachingwea au Loliondo kwa kuziboresha project mbali mbali mbali za wanachuo na kuzipeleka kwenye uhalisia wa Maisha ya watanzania. well said Gwajima Boy

  • @kulthumbashiru864
    @kulthumbashiru864 Před 2 lety

    Salute kwako gwajima unauthubutu Mungu akubariki usiwe miongoni mwa wanafiq

  • @sifalinesamson3484
    @sifalinesamson3484 Před 2 lety +14

    Gwajima nakupatia zawadi kazome Ufunuo 21:8 waoga wataenda motoni.
    Ongea baba tuko nyuma yako

  • @vallenymugande5712
    @vallenymugande5712 Před 2 lety

    Barikiwa sana Gwajima sikujuw. Kuwa ww ni jembe kumbe wewe ni jembe tunakuandaa,ngoja tukupike baadae utatufaa kuwa Rais wetu

  • @joachimmapunda4125
    @joachimmapunda4125 Před 2 lety +1

    Never spoken facts before this lad

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Před 2 lety +5

    👏👏 Gwaji Boy

  • @edwinkaombwe831
    @edwinkaombwe831 Před 2 lety +5

    Gwaji Boy is very smart

  • @jakee2041
    @jakee2041 Před 2 lety +8

    God bless you Gwajima, i like your statements always. wish you many years.

  • @omarikinyory5785
    @omarikinyory5785 Před 2 lety

    Nice point ✍️ mh gwajima God blessed you for everything 😘 😘 😘 🥰

  • @allyrasi3515
    @allyrasi3515 Před 2 lety +6

    Maono na dira ya serikali ya ccm nikuona vyama vyaupinzani vinakufa baada ya miaka sitini ijayo.

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb Před 2 lety +2

    Tatizo ni hicho chama... yanaingia huku yanatoka kule.

  • @sifalinesamson3484
    @sifalinesamson3484 Před 2 lety +4

    Leo Gwajima ndio umeongea point Safi sana, ongea baba usikike

  • @innocent8974
    @innocent8974 Před 2 lety

    Gwajima ana point sana mungu akuongoze kiongozi wetu

  • @philiplenardsylvester6063

    Hata magufuli alisema Nileteeni gwajimaa rais wa maono aliona

  • @essenceonlinetv217
    @essenceonlinetv217 Před 2 lety +1

    Well said jembe .....

  • @jaymadeleka4670
    @jaymadeleka4670 Před 2 lety

    Big up brother 👍🏿 well said.

  • @patrobamalema8631
    @patrobamalema8631 Před 2 lety

    YESU AKUTUNZE SANA BISHOP GWAJIMA.

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 Před 2 lety +3

    Huyu ndie kiongozi is smart in massaging

  • @charlesrwegalulila1069
    @charlesrwegalulila1069 Před 2 lety +1

    Hii ni sahihi sana

  • @ombeniruvugo7171
    @ombeniruvugo7171 Před 2 lety

    Mungu akuzindishie upon vzr kimawazo barikiwa sana

  • @390_siez
    @390_siez Před 2 lety

    The truth .. point salute gwaji boy ... We leave for a government to be considered about that.

  • @ushindiministry2556
    @ushindiministry2556 Před 2 lety +2

    Undeni kamati ya kuandaa maono ya Miaka 100 ya Tanzania ijayo na mheshimiwa Gwajima awe mwenyekiti

  • @lukassamwel5168
    @lukassamwel5168 Před 2 lety +1

    Uko sahihi kabisa

  • @agnesmbemba8073
    @agnesmbemba8073 Před 2 lety

    Exactly MR Gwajima,unafaa kuwa mshauri wa rais,,,Hongera kwa kuwa mbeba maono wa Taifa.Mungu ibariki Tanzania na viongozi wake Amen.

  • @jumongjr5837
    @jumongjr5837 Před 2 lety +7

    Ata uyu mama tulienae niwaajabu tu

  • @nemcashureiabdallbalaigwaa5937

    Big point 💪🔥ni kweli kbsa

  • @aidanbugufi6200
    @aidanbugufi6200 Před 2 lety +1

    Unaakili sana gwaji boy

  • @faisalkamara6122
    @faisalkamara6122 Před 2 lety +4

    True. Ila kajiondoa kwenye ubunge😅😅 Make ilo dongo

  • @yohanepeter6800
    @yohanepeter6800 Před 2 lety +1

    Lets keep this guy .....gwajima anaupeo

  • @chomasongidion6047
    @chomasongidion6047 Před 2 lety +5

    Gwajima anaakiri nyingi Sana.

  • @ynyynyyny
    @ynyynyyny Před 2 lety +1

    Big up mh. Askofu

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 Před 2 lety +1

    Hakika umeongea ukwe mtupu kabisaa na tunahitaji watu na wazarendo kama ww Gwajima lakini wengi wao nikupigania ilani ya chama2 nasio Nchi.
    Hongera Sana Sana 🙏🏼
    Gwajima ww ni kiongozi sina Mashaka na ww kabisa kwahiki ulicho kisema ni✅

  • @jumaabdala7530
    @jumaabdala7530 Před 2 lety +1

    Ilikuwa Nipite Ila Kama Ananikosha hojayake konk ✔️

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats Před 2 lety +3

    Hii hoja ya chadema kila siku wanaipigania.Ila vizuri umeileta bungeni

  • @sifamwakaniemba443
    @sifamwakaniemba443 Před 2 lety +2

    Gd point ndo nchi yetu lazma iwe na VISSION!!

  • @gladnesssidiu4922
    @gladnesssidiu4922 Před 2 lety +1

    Analogic sana huyu raisi wangu wa 2025
    Yaani usipogombea 2025 sipigi kura bora waniue
    Gwajima ana akili kubwa sana
    Hii nchi inawatu wenye akili kubwa sema hawana mamlaka wengi wao wenye mamlaka ni hopeless

  • @eliusngereza156
    @eliusngereza156 Před 2 lety +1

    Huyu jamaa kichwa Sana hii point ni mara ya pili anaizungumzia sasa cjui bunge linafanya nini kwani point kama hizi siyo za kupotezea zinaitajika kufanyiwa kazi

  • @user-dz5tq7zq9t
    @user-dz5tq7zq9t Před 9 měsíci

    Mungu akubariki mtumishi

  • @abdonmassawe49
    @abdonmassawe49 Před 2 lety

    Point Asante Gwajima 👏👏👏👏👏

  • @sittandaki2135
    @sittandaki2135 Před 2 lety

    Daaaahhhhh hongera sanaaaa mh.

  • @ayoubkalipesa5434
    @ayoubkalipesa5434 Před 2 lety +3

    Umeongea point Sana Yani kila raise anayekuja anaongoza kwa akili yake inavyomtuma

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Kwani huyo Jiwe hakukiuka hata Katiba ya Nchi?!

  • @kikalarashid9003
    @kikalarashid9003 Před 2 lety

    leo Gwaji boy umenifurahisha! umetisha!

  • @ernestmasanja2589
    @ernestmasanja2589 Před 2 lety +4

    Mhe. Gwajima anajua