We East Africans we should stick together especially in protecting our environmental biodiversity, Congrats to all Our presidents , Much love from Tanzania 🇹🇿.
Tunawapongeza waheshimiwa hawankwa kongamano zuri la kuondosha njaa ktk mazingira yetu kwani chakula ni uhai yaani Kula ni uhai na uhaibni Kula kabla ya utajiri wowote . Hongera Rai's Ruto na Rai's Samia mama yetu _ tuwaombee wayaweke ktk utendaji yote . Amen
Naangalia toka Dar es Salaam-Tanzania, na Mh.Ruto, amenifurahisha sana! Nimefurahi kwa hoja hii na umoja huu kwenye summit hii iliyokuja nyakati sahihi
Hey whoever vis talking at the background while while president ruto is speaking that one is unprofessional,it's unfair,am one of the snr international investigative tv journalist from Kenya,
kwa mtazamo wangu hawa ndio marais wasiopendwa na waninchi wa kawaida ira wanapendwa na viongozi wario wateua na familia zao na kwa mh samia kutokupendwa huku uswahilini ni kuuingiza ubaguzi kati ya bara na znz kuwapenda sana wabara kwa kuuza bandari za tanganyika na kuziacha za zanzibar inamaana anawachukia wa znz huo sii ubaguzi umeingia tz??? watatuchukia wa znz tutakwenda znzbarkweli wabara???
Lazima ujifunze Kiswahili tuache kuzungumza kiingereza hio ni lugha mseto lugha ni ya Kiswahili bunge letu tunaongea kiingereza Tanzania bunge lao laongea Kiswahili
We jamaa mbona ni mswahilina kabisa acha zako. Kiswahili unakijua mapungufu uliyonayo hata siye wengine watanzania tunayo wapo tulioathiliwa sana na makabila yetu.
Si eti atujui kuongea Kiswahili, ila tunaongea Kiswahili mufti nanyi mwaongea Kiswahili sanifu, so their is a bit difference but all we speak the same language and we are good neighbors
Kelele za wasanii zipuuzeni jenga nchini zenu agizeni mafuta ya kutosha maana najua kuna ndugu zenu wako kijijini usafiri wao bodaboda kwenda hospital umoja ni nguvu ✌👊
Rais Ruto, I have laughed my tail off. .....but you speak good kiswahili, you need not speak like them (Tanzanians) just like they sweat oil while speaking English.
I didn't vote for Ruto but now i love him & i wish him good health & good leadership.
💯
Ruto speaks good Swahili than kenyans
Bravo Ruto !
We East Africans we should stick together especially in protecting our environmental biodiversity, Congrats to all Our presidents ,
Much love from Tanzania 🇹🇿.
Nimecheka hadi mbavu sina!!!
Ruto you made my night!!!!
😂😂😂😂😂
Mr. President Ruto😂 you have made my day. Thank you sooo much. Much love from Tanzania.😂😂😂
RUTO NI SHUJAA WAKENYA
HONGERAAAA RAISI WETU
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Tunawapongeza waheshimiwa hawankwa kongamano zuri la kuondosha njaa ktk mazingira yetu kwani chakula ni uhai yaani Kula ni uhai na uhaibni Kula kabla ya utajiri wowote . Hongera Rai's Ruto na Rai's Samia mama yetu _ tuwaombee wayaweke ktk utendaji yote . Amen
Ruto umechekesha sana
Naangalia toka Dar es Salaam-Tanzania, na Mh.Ruto, amenifurahisha sana! Nimefurahi kwa hoja hii na umoja huu kwenye summit hii iliyokuja nyakati sahihi
Kwanini Africa tusikuwe na raiz moja ..pesa moja...soko moja
huyu jamaa ni mwanasiasa pure
Mr President ruto u make us laughing to much .your respect sir
Asanta Mheshimiwa Rais Dkt William Samoei Ruto hapo umeweza... Kiswahili kitukuzwe
Raisi ruto hongera kwa kiswahili
hongela rais ruto kuongea kiswahili shukrani
Ruto, evarst, na mama na wanaest afrca asanten sana
MbonaKishwahil chake ni safi kabisa..
Nimecheka kweli , kumbe rais Ruto ni mcheshi sana 😂😂
Hongera heshiwa raisi wetu
Nimecheka kweli
Hey whoever vis talking at the background while while president ruto is speaking that one is unprofessional,it's unfair,am one of the snr international investigative tv journalist from Kenya,
Hata mkubwa ukosea, kiongozi wake amemsaidia kusahihisha kile alichokusudia kuongelea.
kwa mtazamo wangu hawa ndio marais wasiopendwa na waninchi wa kawaida ira wanapendwa na viongozi wario wateua na familia zao na kwa mh samia kutokupendwa huku uswahilini ni kuuingiza ubaguzi kati ya bara na znz kuwapenda sana wabara kwa kuuza bandari za tanganyika na kuziacha za zanzibar inamaana anawachukia wa znz huo sii ubaguzi umeingia tz??? watatuchukia wa znz tutakwenda znzbarkweli wabara???
Lazima ujifunze Kiswahili tuache kuzungumza kiingereza hio ni lugha mseto lugha ni ya Kiswahili bunge letu tunaongea kiingereza Tanzania bunge lao laongea Kiswahili
PRESIDENT RUTO MADE MY DAY!!!! KARIBU SANA TANZANIA!!!
@Habari Digital tafsiri za nn mnatuchukuliaje ????
This guy is more of a comedian than a president 😅
Uko sawa broo ww nganganatu
Ruto❤❤
My president ❤ twende kazi ruto
Anaitua ruto Mr prezo 😂😂
Kura yangu hii,haikupotea wewe ni mwakilishi wa kweli, thanks Mr president
Kuchochea , ni kweli umeweza leta mambo mazuri. Wenye kuchocheya kwa mambo mbaya , ni wachawi , wasubiri kiloko kabisa kabisa
Mh. Ruto Hongera, Nadhani Wakalenji sio wabantu Lkn wewe unaongea Kiswahili kizuri kuliko hata Nomads wa Tz
Unajipa moyo
Mtafsiri angeacha..kiingereza ni lugha rasmi ya biashara kwa nchi yetu
cjui katumwa kazingua mbona Ruto hajamtafsiri
We jamaa mbona ni mswahilina kabisa acha zako. Kiswahili unakijua mapungufu uliyonayo hata siye wengine watanzania tunayo wapo tulioathiliwa sana na makabila yetu.
Wakenya wao wakiongea wenyewe huwa sawa ila hukosa amani wakiongea na watz wanahisi tz wanaufasaha zaidi
Eti Azimio ni nini Rais Mpendwa?! 😮❤
SWA mweshimiwa
Nice
Gods.must be crazy 1
Azimio kenya inatesa Ruto
😂😂😂😂My president
Umenichekesha kuliko wacheshi wengine
Ruto mtoshe WAJINGA wote . Muwapatishe ni vizuri kwa WOTE
Sura ya maamzi inaonekana katika maongezi.
marais wako pamja kkn wanayojiita kıoo cha jamii hujıfanya wao ndıo waoo.
Ruto hajuwi kiswahili?😂
Upovizuri
Ww ach siasa bwn ww ongea
Huyo wnaetafisiri anatupigia kelele..tumemuomba hiyo huduma??
Kswahili ni kizuri sana
Hapo ni wapi?nauliza jmn
😅😅😅😅
Ngorongoro
Sisi tunacheka😅.Ni vipi mkenya hajui kiswahili ila anazungumza kiingereza kwa ufasaha!?
Afrika bado ina safari ndefu...
Kiswahili chenyewe hatujui tunabananga maneno "kiswah-english"
Si eti atujui kuongea Kiswahili, ila tunaongea Kiswahili mufti nanyi mwaongea Kiswahili sanifu, so their is a bit difference but all we speak the same language and we are good neighbors
😂😂😂😂
Sisi hapa Kenya Tunakupenda Rais Suluhu Hassan, na Uongozi wake Bora. Na pia ametuonyesha kuwa mwanamke, anaweza kuongoza kuliko wanaume pia.
Kaa kwa kutulia ww hv unajisikia kweli
Nabii hasifiwi kwao lakn Samia aminia
Acha uzwazwa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ndio ujue Azimo wako na mambo mazuri
😂😂
Watu si wachinga bwna😂😂
Ruto hapo ulina ndipo
Kelele za wasanii zipuuzeni jenga nchini zenu agizeni mafuta ya kutosha maana najua kuna ndugu zenu wako kijijini usafiri wao bodaboda kwenda hospital umoja ni nguvu ✌👊
Kumbe unaakil meku
O
🤣🤣🤣azimio iko na fujo sana😂😂😂
Too much talking.
And Kenyans are starving and completely confused about their future.
Hata kujaza gas watu wameshindwa
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Congratulations for my president Ruto Kenya 🇰🇪
Enyewe rais mwenye anabeba mambo ya kwake kwa wenyewe ni ujinga
Azimio ni chama cha upinzani 😂😂
jama akiskia azimio anahaha chonde chonde waheshimiwa msitaje tena asije akakimbia ruto wa watu
😅😅😅
😂😂😂😂😂
Huyu president amechaguliwa na GOD alisema mambo ni matatu upizani ikaanza kelele soma maadiko diyo ujue ukweli
Rais Ruto, I have laughed my tail off.
.....but you speak good kiswahili, you need not speak like them (Tanzanians) just like they sweat oil while speaking English.