Tazama balaa la MAKOMANDO Hatari Zaidi na SIFA ZAO mbele ya Rais SAMIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 04. 2024
  • ..................
    Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
    Instagram, Twitter na Facebook
  • Zábava

Komentáře • 189

  • @JacksonCherk
    @JacksonCherk Před 2 měsíci +8

    Safi kaka jack saiv umeongezwa nyita hongera mama anafurah akikutazama

  • @user-fj5hk5kp7p
    @user-fj5hk5kp7p Před 2 měsíci +9

    Hongerani cn maraisi wetu wa tanzania na zanzibar kwa jitihada mnazozichukua katika kulinda na kutetea muungano wetu wa tanzania watakao nuna na wanune kazi iendelee

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward Před 2 měsíci +2

    Hongera JWTZ, tukumbuke kwenda na wakati. Technology na AI , ulinzi nawenye

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 Před 2 měsíci +8

    Magufuli alifuta hii sherehe akaagiza pesa zilizotengwa zikapanue barabara ya Mwenge to Morocco dar es salaam..RIP Magu.

    • @ayoubmtumishi50
      @ayoubmtumishi50 Před 2 měsíci

      Ilikuwa uhuru siyo hii 😢

    • @PeterJohn-sg4oe
      @PeterJohn-sg4oe Před 2 měsíci

      Wewe wa wapi? Barabara ya mwenge imejengwa kwa mkopo wa Japani, mlidanganywa tu

    • @mpajibinaisa7238
      @mpajibinaisa7238 Před 16 dny

      Huo ni uongo magufuli hakuwahi kuingilia shughuli yoyote ya jwtz hao ndio watu aliowaheshimu na aliwapa shavu sana kama unapinga njoo kwa hoja

    • @seneu.2128
      @seneu.2128 Před 16 dny

      @@mpajibinaisa7238 sikukuu ya Muungano ni ya jwtz? 😂 Kafate ada uliposomea walikuacha ukiwa empty kichwani

  • @alwiyiynmission2820
    @alwiyiynmission2820 Před 2 měsíci +6

    Jaman jaman!!!!
    Siku hizi vita Sio Kutunisha Misuli.
    Bali ni Technically, technology skills.
    Mtu Yupo IRAN ANAPIGA Telaviv

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee Před 2 měsíci

      HUJUI LOLOTE WEWE. UNADHANI UNAWEZA KUMUHAMISHA ASKARI ALIE SHAMBULIWA UWANJA WA MEDANI KWA DRONE..? AU KUBEBA SUPPLY YA ASKARI ALIE ENDA PATROL NDEFU MSITUNI..? KAANGALOE MAZOEZI YA NAVY SEAL,GREEN BERETS , SPETZNAZ.MARCOS AU JSTF NDO UTAELEWA. BAADA YA YOTE VITA NA MAPIGANO NI BODY PHYSICAL ACTIVITIES. HAO WAIRAN UNAO WASEMA JESHI LAO LINA ASKARI LAKI SITA NA ALAFU UNACOMMENT UPUUZI HAPA. KAMA VIT ANI TECHNOLOGIA WANALIPA HAO WATU WOYE WA NINI C ANGEKUWA ISHIRINI TU NA MAKOMBORA MILIONI..?

    • @DainessJames
      @DainessJames Před 2 měsíci

      Kabisa yan unajua nin sa hv vita za ngumi zishapitwa na wakati tuko kwenye technology

    • @user-gr7jk4vc7f
      @user-gr7jk4vc7f Před 2 měsíci

      Hiyo misuli imekatwa na wale muliowaita makunguru😂 Hawa na wa South Africa, wa rundi na .ajeshi wa DRC wakawekwa Kwa sufuriya mojaaa

    • @AlanWilliam-oq5qz
      @AlanWilliam-oq5qz Před 9 dny

      Ao ni combat ready special force we Bata

  • @robertmatabalo5454
    @robertmatabalo5454 Před 2 měsíci +6

    Ufahamu mdogo mnacoment upuuzi. Mwananchi smbae hathamini kitu chake amefilisiks akili

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 2 měsíci +1

    Ukiona Taifa Liko Na Vita Kila Wakati Usiulize Kwanini Asikari Wao Awako Vizuri Hata Tanzania Tungekuwa Na Jeshi Zaifu Mtambue Tungeishi Kwa Tabu Kubwa Sana Kwakuwa Matukio Ya Uwasi Yangekuwa Yamezaliwa Lakini Kwakua Tuko Na Makamanda Waziri Waasi Wanajua Taifa Alinuswi Kwa Uvamizi

  • @user-kk7wd1sm3x
    @user-kk7wd1sm3x Před 2 měsíci +5

    Twende mbele turudi nyuma hii mibaba inatisha 😅😅

  • @ayoubmtumishi50
    @ayoubmtumishi50 Před 2 měsíci +2

    Jeshi letu liko vizuri,,, lakini tuonyesheni itakuwaje kama tunapigana na nchi ya mbali zaidi.

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee Před 2 měsíci

      Hkuna hizo vita afrika. vita zote za afrika ni dhidi ya majirani au vikundi vya waasi msituni(ndani ya nchi yako) afrika hakuna nchi ilio wahi kupigana na mtu asie jirani yake kwa sababu ugomvi wetu pekee ni kwa sababu ya mipaka. kama una ushahidi wa nchi yoyote afrika ambayo imewahi kupigana na mtu ambae sio jirani yake tuambie

  • @YusufuKihongwe
    @YusufuKihongwe Před 2 měsíci +1

    Heshima kwa makomando vizuri sana mwenyezimungu awalinde ❤❤❤

  • @oliviersabushimike1124
    @oliviersabushimike1124 Před 2 měsíci +5

    Wapeleke Congo waende kupambana na M23 ndio watapata ujuzi zaidi

  • @starionwaheron
    @starionwaheron Před 2 měsíci +1

    Jakaya Kikwete aliwadanganya kuenda kupigana rahia wa Congo lakini hamuwezi kushinda vita ya M23

  • @BarakaJebaNgombo
    @BarakaJebaNgombo Před 2 měsíci +3

    Hakuna chochote hapa, Alshabab wawili tu wanaangamiza Tz nzima

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py Před 2 měsíci

    👋👋👋🇹🇿🇹🇿 Tanzania yetu mungu ibaliki, wabaliki viongozi wetu pamoja na majeshi yetu yonte, tunaishi tunaimani tuntembee. Kwa Hulu, watoto wetu mashuleni wanasoma kwa amani, kumbe tuna majeshi imala yanatulinda mungu baba balaki majeshi yatu amen amen

  • @Patrickmulecitizensempowerment

    Kujeni training kenya ,the king of defence

  • @eradiusdezideri
    @eradiusdezideri Před 2 měsíci

    Safi sana makomandoo wetu wa TANZANIA

  • @MajambereStephen
    @MajambereStephen Před 22 dny +1

    Long live Samia

  • @JonhsonMarius-qg4re
    @JonhsonMarius-qg4re Před 29 dny

    Awatusaidii chochote kila kitu saiv kinaliwa na wazungu wao wapo tu kupga raia mtoe mama madarakan ametuchosha

  • @kiregulichorogladys4422
    @kiregulichorogladys4422 Před 2 měsíci +1

    Hio michezo mpeleke DRC kwa M23 itawafundisha kikomando cha ukweli onground.

  • @robertlinuma6051
    @robertlinuma6051 Před 2 měsíci

    😮1980 kizaman sana ..tudili na teknolojia .
    Askari anajifungua kamba dk 3 😊

  • @DevotaIjumba
    @DevotaIjumba Před 2 měsíci

    Mko juu sana Makamado wetu.

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1ee Před 2 měsíci

    close-quarters combat 😍😍💥🔥🔥🔥

  • @venantrugabela6798
    @venantrugabela6798 Před 2 měsíci +1

    Wanaitwa WATAALAMU

  • @honestvictory7596
    @honestvictory7596 Před měsícem

    ❤❤

  • @mjinjasagamambi7531
    @mjinjasagamambi7531 Před 2 měsíci +2

    Namuona mdunguaji akinesa kwa umaridadi mkubwa

  • @OdangaIsaiah-rh3cm
    @OdangaIsaiah-rh3cm Před měsícem

    Tzd is Doing well

  • @oneviusonesphory6156
    @oneviusonesphory6156 Před 2 měsíci +1

    Hongereni vyombo vyote vya ulinzi

  • @jonasmbwambo3546
    @jonasmbwambo3546 Před 2 měsíci

    Hongereni wanajeshi wetu ila wekeni nguvu kubwa kwenye tecnologia ndipo Dunia ilipo sasaivi

  • @ConfusedFrog-lc9db
    @ConfusedFrog-lc9db Před 2 měsíci

    🎉🎉🎉

  • @KhamisAlawi-dp5zw
    @KhamisAlawi-dp5zw Před měsícem

    Mbodi yangumi zakulipwa Tanzania

  • @mathaa719
    @mathaa719 Před 2 měsíci +1

    This is too much luggage for a person to curry incase the aduwei (enemy) comes how do you run for your self 😂😂😂😂

  • @user-sm7gj4mn5n
    @user-sm7gj4mn5n Před 2 měsíci +1

    Mimi maishani mwangu askari kweli wamejitoa kwaajili ya taifa letu si wengine eti anakuja mwanasiasa 😊

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Před 2 měsíci

    Mbona helikopta hız za kizaman sana bado tunatumıa hiz
    wwnzetu wa Defiant x ,MD 500,530 NOTAR........
    Hatr sanaaaa

  • @3hZakayo
    @3hZakayo Před 2 měsíci

    Tupo vzr Tanzania

  • @vannydizz1
    @vannydizz1 Před 2 měsíci +2

    Huyu si yule muuza nadafu😅😅😅

  • @ALNAVSINKINDOLE-tr9qs
    @ALNAVSINKINDOLE-tr9qs Před 2 měsíci

    Najiona apo mm 😊

  • @user-hw1fp6mb4s
    @user-hw1fp6mb4s Před měsícem

    Mpaka mama samia anaogopa jamani comando anatisha sana

  • @ericmoramagige3407
    @ericmoramagige3407 Před 2 měsíci +1

    Mambo ya kizamani yalisha pitwa na wakati, ndio wanaleta sasahivi watu hawapigani kwa style hii tena, wastage of money and time,
    Nani anapigana vita kwa style hii.

    • @enigmachu8983
      @enigmachu8983 Před měsícem

      Inaoneka mwenzetu ni muhudhuriaji mzuri wa vita.. 👏🏼👏🏼

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 2 měsíci

    Wako Wengine Wanapigwa Mpaka Na Wake Zao2 Lakini Kwakua Wako Na Simu Uruma Ya Mchina Mtu Aoni Asala Kulaumu Kitu Ambacho Ajui Anafanya Nini

  • @litimbaify
    @litimbaify Před 2 měsíci +4

    😂😂😂😂😂kweli ni nchi ya ahadi, sasa maonyesho ya vita inatusaidia nini kwenye nchi yenye changamoto tele za kijamii na uchumi

    • @charlesmaestro1092
      @charlesmaestro1092 Před 2 měsíci +1

      huna akili na ma imoji yako

    • @litimbaify
      @litimbaify Před 2 měsíci +1

      @@charlesmaestro1092 🤣🤣🤣🤣🤣ww ni mbunge wa jimbo la Kufikirika mwenye dhamana ya uwaziri wa sekta ya Ahadi kwenye nchi ya Kusadikika inayoongozwa na rais mteule Juha Ibn Abunuwasi.,,😌😌😌😌😌

    • @OnesmusAkwabi
      @OnesmusAkwabi Před 2 měsíci

      @@charlesmaestro1092 wewe mbona uko nyuma hivi.!!!
      Upumbavu wako unapita kikomo. Watu wahapigani kwa misuli siku hizi, Teknologia ni ya Nini.?? Hiyo Serikali ya Tanzania bado mko nyuma saaana. Njooni Kenya muone jinsi technology imenawiri.!!

  • @JacobJoel-cb3ni
    @JacobJoel-cb3ni Před 2 měsíci +1

    Huyu jamaa nilimuona akiuza madafu ile siku rais alivyofutulisha huyo anayeongea

  • @hoseanobocka7140
    @hoseanobocka7140 Před 2 měsíci +3

    Kwa kweli bei za bidhaa zmepanda bei kupindukia wana nchi watakufa kwa njaa

  • @user-gw4jj5nn2n
    @user-gw4jj5nn2n Před 2 měsíci +2

    Uwo ni Sawa na mchezo warambo

  • @user-gh4zf7jt2w
    @user-gh4zf7jt2w Před měsícem

    Congo mtapata shida djameni.Mtoke uko mapema!

  • @nivancewali8192
    @nivancewali8192 Před 2 měsíci

    Hongera Tanzania ❤❤

  • @ayakoongori4902
    @ayakoongori4902 Před 2 měsíci

    We need a friendly match na tanzania from Uganda

  • @gideonkipkoech3803
    @gideonkipkoech3803 Před 2 měsíci

    Safi sana

  • @Pakila711
    @Pakila711 Před 2 měsíci +3

    Makomando nyumbani sio kwenye uwanja wao vita,

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 Před 2 měsíci

    Peleka wote Urusi wakaongezee tena maana bado sn.

  • @kirotostima
    @kirotostima Před 2 měsíci

    Congratulations makomandoo wetu

  • @user-cl1rm6mp3b
    @user-cl1rm6mp3b Před 2 měsíci

    Mumeshindwa DRC, hamuna la kusema na hamutashinda hata kamwe hapo DRC.

  • @TeitukKipyegon
    @TeitukKipyegon Před 2 měsíci +1

    Kenya is far much ahead military

    • @chage97
      @chage97 Před 2 měsíci +2

      Kenya is far for what CDF anasafiri bila parachuti

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee Před 2 měsíci

      @@chage97 achan nae huyoo hajitambui . a country which is a far much ahead in military CDF anakufa in Helicopter crush in clear sky..? 🤣🤣🤣 Hii dunia nzima watakucheka. ani watu walio far ahead military pilot wao hawana hata landing skill manuever. hao kama mapilot wa indonesia tu walio gongana kwenye helicopter🤣🤣🤣🤣 ani hata kufany acheck tu ya helicopter before flight hamuwez what a shame.

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee Před 2 měsíci +1

      in hardware and military gear your far ahead ila in tactics and skills mtasubiri sana kwa TPDF. Hakuna jeshi lolote la East afrika lenye ujuzi na askari wenye weledi wa hali ya juu kuliko la Tanzania

    • @user-lk6bj8xf7h
      @user-lk6bj8xf7h Před 2 měsíci

      ​@@EdwardSamson-uf1ee😂😂😂😂

  • @emazacharia4455
    @emazacharia4455 Před 2 měsíci

    Ila twende nyuma turud nyuma SS baado tuko nyuma kabisa maana saiv vita vinapiganiwa ofsn Kwa compyuta ...hiz zet n mazoez ya kupigana na waas wa congo nasio mataifa ya ulaya

  • @WingochimpaaNamtema-oo2rt
    @WingochimpaaNamtema-oo2rt Před 2 měsíci

    Hya

  • @w4058
    @w4058 Před 2 měsíci

    Rambo Doto sio vitanda peke yake kuna maskini za MMungu walopatwa na mafuriko zingepelekwa zote huko wangepata neema kwa Allah kuliko kuharibiwa fedha za wavuja jasho kwa upuuzi wa muungano wenye kulazimishana

  • @user-yx3ex4vy7o
    @user-yx3ex4vy7o Před 2 měsíci

    Muungano wa Tanganyika na zanzibar

  • @JosephMaganga-wl3cn
    @JosephMaganga-wl3cn Před 2 měsíci

    Tanzania nijeshi kubwa

  • @WilsonKihanga-jb5fb
    @WilsonKihanga-jb5fb Před 2 měsíci

    Hapo Rais wa Burundi anawaona kaa wehu flani vile,cz wao washazoea kupigana😂😂😂😂

  • @johntaji3853
    @johntaji3853 Před 2 měsíci

    Tuombe friends match na urus

  • @DullahShop
    @DullahShop Před 2 měsíci

    Mama hali ya maisha ngumu huku nje achana na hizo sherehe bas zimetosha

  • @AndrewmngokeMngoke
    @AndrewmngokeMngoke Před 2 měsíci +1

    Kwahyo mnaonyesha sir ya kivita na plan zenu hadharan.
    Hii nchi Uhuru umezdi

  • @georgeouma-kenya1619
    @georgeouma-kenya1619 Před 2 měsíci

    Vita si mchezo hapo hakuna kitu

  • @user-tb4ol6yp6c
    @user-tb4ol6yp6c Před 2 měsíci

    Naamini hawa makomando wako imara zaidi ya uwanja wa vita kuliko hata hapa

  • @obedingilisho
    @obedingilisho Před 2 měsíci

    Ipo. Siku ntakua raisi pia

  • @user-vl5jj3oq3d
    @user-vl5jj3oq3d Před 2 měsíci

    Urusi ndo wazuri hao wengine ni bure kama samia

  • @gegerenne897
    @gegerenne897 Před 2 měsíci

    😂😂😂 m23 imewagonga mbaya congo wakakimbiya.awoo bure kaka.waweke vita njoo utajuaa kama hawana ma funzoo ya vita.

  • @dukeonchiri5037
    @dukeonchiri5037 Před 2 měsíci +3

    Tanzania shukurani kwa umoja wenu kuilinda nchi yenu..... Kenya tuko pamoja

  • @OnesmusAkwabi
    @OnesmusAkwabi Před 2 měsíci

    Wawawawa.... Tanzania kweli mko nyuma.

    • @user-qr7et3vl5z
      @user-qr7et3vl5z Před 2 měsíci

      Acha kukejeli ww nenda we pumbavu zako

    • @OnesmusAkwabi
      @OnesmusAkwabi Před 2 měsíci

      @@user-qr7et3vl5z hivi vitu mwafanya hapo ukija Kenya ni Grade 4 ndio wafanya hivo wakijifunza Scouting.!!

  • @maishacenter-eastafricatv3976
    @maishacenter-eastafricatv3976 Před 2 měsíci +3

    Na Rais wa Congo yupo hapo😂

  • @safeprint9418
    @safeprint9418 Před 2 měsíci

    huu ni upuzi mtupu tembea russia ama us uone mambo yanavyostahili kua

  • @OmarAbdalla-vg1qr
    @OmarAbdalla-vg1qr Před 2 měsíci

    Wapelekwe kinuni hao Kama wata toboa itakua wanafaa kupandishwa vyeo

  • @MbwaKasala
    @MbwaKasala Před 2 měsíci

    Hongereni sana lakini tukae tukijuwa Maisha yamebadilika siku izi vitani hawapigani kwa ngumi

    • @DainessJames
      @DainessJames Před 2 měsíci

      Kabisa yan unajua nin sa hv vita inapigwa kwa kutumia technology na kompyuta tu vita za ngumi zishapitwa na wakati asee tuko kwenye technology

    • @enigmachu8983
      @enigmachu8983 Před měsícem

      Je unahis kila mission ni mtatumia technology mwanzo mwisho???

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Před měsícem

    HUYO AKIYESHUKA NA KWENYE NDEGE NI KOMANDOO MUUZA MADAFU

  • @user-pz5mf7ks9j
    @user-pz5mf7ks9j Před 2 měsíci +1

    Kutuonyesha makomando haina maana kwa sisi wana nchi, punguza bei vyakula tukusifie mama,

    • @VeronicaAdam-lx8yd
      @VeronicaAdam-lx8yd Před 2 měsíci

      😂😂😂😂 Nan kakuambia uangalie

    • @user-sl8bu3we1m
      @user-sl8bu3we1m Před 2 měsíci

      Kalime

    • @user-pz5mf7ks9j
      @user-pz5mf7ks9j Před 2 měsíci

      Kwa mtazamo wako unaona ilikua na haja yoyote??? Me naona ni upuuzi tu, wana nchi tunateswa na bidhaa zote kupanda bei, hio mm naona ilikua haina haja

    • @user-sl8bu3we1m
      @user-sl8bu3we1m Před 2 měsíci

      @@user-pz5mf7ks9j hapo ndo umeongea sasa tofauti na mwanzo ulivyokua umesema make ulilenga chakula tu bila kutazama mafuta na bidhaa zingine zilivyo juu .

  • @josephmwangi5644
    @josephmwangi5644 Před 2 měsíci

    Hakuna vita wanaezana wakiwa wamebeba mizigo kama hiyo😂😂

  • @laurencematitah7046
    @laurencematitah7046 Před 2 měsíci

    Hahaha, Bongo movie

  • @Jacklinjohn-cr4vs
    @Jacklinjohn-cr4vs Před 2 měsíci +1

    Nendeni kwenye mafuliko makubwa tuone kma mnaweza

  • @user-zx5dx5jx2h
    @user-zx5dx5jx2h Před 2 měsíci

    Ni kommando ihi ao ni komedy. Afazali ata Burundi.

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 Před 2 měsíci

    Iyo mizigo ata makuli wanabeba mizigo zaidi ya kilo200

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 Před 2 měsíci

    MBONA HAMJATUONYESHA MAKOMBOLA YA MASAFA AU HAMNA???

  • @lukafbbwebelof3874
    @lukafbbwebelof3874 Před 2 měsíci

    Hivyo tu kwenye mahonyesho na Congo mnapigwa na waasi M23 . SI muwaonyeshe M23 hizo nguvu zenu?

  • @benalex4960
    @benalex4960 Před 2 měsíci +3

    Hawa wanauawa na allshababu watatu tu

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 Před 2 měsíci

    Uyu jamaa mwenyewe kusoma anabaatisha

  • @michaelstephano9058
    @michaelstephano9058 Před 2 měsíci

    Kujifanya muuza madafu huku wewe ni komando nikuwatia uchoro tu wa uzamadafu 😂😂

  • @user-jx9if6cd6t
    @user-jx9if6cd6t Před 2 měsíci

    😂😂😂😂haya nimaigizo kama maigizo mengine

  • @user-gr7jk4vc7f
    @user-gr7jk4vc7f Před 2 měsíci

    Hhhh ma fake commandos wamemalizwa na m23 hapo DRC, hivo wanavyofanya nikama mchezo wa comedians

  • @w4058
    @w4058 Před 2 měsíci +1

    Kama makomando wa kweli waende kuwapigania wenzao Falestine huko

  • @nkwabidonald4277
    @nkwabidonald4277 Před 2 měsíci

    Mh

  • @criminalminds7723
    @criminalminds7723 Před 2 měsíci

    Sasa si muombe vita za kirafiki jamani ?

  • @tuyishimiresaidi5596
    @tuyishimiresaidi5596 Před 2 měsíci

    Izinizongabo zikinyejana

  • @mylekaka4630
    @mylekaka4630 Před 2 měsíci

    Tz iko down sanaaa

    • @DainessJames
      @DainessJames Před 2 měsíci

      😂😂 kabisa yan unajua hayo mambo ni ya kizaman sa hv vita inapigwa kwa kutumia technology na kucheza na kompyuta tu

  • @ibrahlukumbo5907
    @ibrahlukumbo5907 Před 2 měsíci

    Salute huku umeshika bunduki😂😂😂

  • @WasiNjon
    @WasiNjon Před 2 měsíci

    Uongo mume chindwa vita Congo waongo nyinyi

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před 2 měsíci

    Makomando wanatusaidia nini wakati mafisadi watufilisi watanganyika

  • @gabrielsanga5313
    @gabrielsanga5313 Před 2 měsíci +1

    Muuza madafu yule

  • @meddyally4416
    @meddyally4416 Před 2 měsíci +1

    Madafu yapo wapi kaka

  • @SolfaAsegoKE
    @SolfaAsegoKE Před 2 měsíci

    Ruto is just wondering about those G4S you are calling Comandos🙃,come and see real Comandos in Kenya.

    • @anoldpotentin2446
      @anoldpotentin2446 Před 2 měsíci

      Embu weka link ya makomando wa Kenya twende tukacheke😂😂KDF SFs ni vichekesho niliona maonesho yenu mnazidiwa hadi na Uganda🙌🙌🙌 mje tuwafundishe kidgo

  • @GeofreyZewele
    @GeofreyZewele Před 2 měsíci

    Muuza madafu ikuru eti uyooo au amumuoni apo ila SS watanzania niwaongo mno

  • @vinny.morales
    @vinny.morales Před 2 měsíci

    Muuza madafu ghafla kabadilika komando😂.. nchi ngumu hii

  • @petergakinya1634
    @petergakinya1634 Před 2 měsíci

    M23 was Congo imewashinda makomando wenu. Ni stori tu!

    • @user-zo4mo7tl4i
      @user-zo4mo7tl4i Před 2 měsíci

      Hawa ndiyo wanasababisha Tanzania iwe nchi ya amani,adui hapati nafasi kupenya kwenye mipaka yetu

    • @anoldpotentin2446
      @anoldpotentin2446 Před 2 měsíci

      2013 tuliwapiga M23 hadi wakakimbilia Rwanda na Uganda. Sijui unaongelea nini😂