Hongerani cn maraisi wetu wa tanzania na zanzibar kwa jitihada mnazozichukua katika kulinda na kutetea muungano wetu wa tanzania watakao nuna na wanune kazi iendelee
HUJUI LOLOTE WEWE. UNADHANI UNAWEZA KUMUHAMISHA ASKARI ALIE SHAMBULIWA UWANJA WA MEDANI KWA DRONE..? AU KUBEBA SUPPLY YA ASKARI ALIE ENDA PATROL NDEFU MSITUNI..? KAANGALOE MAZOEZI YA NAVY SEAL,GREEN BERETS , SPETZNAZ.MARCOS AU JSTF NDO UTAELEWA. BAADA YA YOTE VITA NA MAPIGANO NI BODY PHYSICAL ACTIVITIES. HAO WAIRAN UNAO WASEMA JESHI LAO LINA ASKARI LAKI SITA NA ALAFU UNACOMMENT UPUUZI HAPA. KAMA VIT ANI TECHNOLOGIA WANALIPA HAO WATU WOYE WA NINI C ANGEKUWA ISHIRINI TU NA MAKOMBORA MILIONI..?
Ukiona Taifa Liko Na Vita Kila Wakati Usiulize Kwanini Asikari Wao Awako Vizuri Hata Tanzania Tungekuwa Na Jeshi Zaifu Mtambue Tungeishi Kwa Tabu Kubwa Sana Kwakuwa Matukio Ya Uwasi Yangekuwa Yamezaliwa Lakini Kwakua Tuko Na Makamanda Waziri Waasi Wanajua Taifa Alinuswi Kwa Uvamizi
Hkuna hizo vita afrika. vita zote za afrika ni dhidi ya majirani au vikundi vya waasi msituni(ndani ya nchi yako) afrika hakuna nchi ilio wahi kupigana na mtu asie jirani yake kwa sababu ugomvi wetu pekee ni kwa sababu ya mipaka. kama una ushahidi wa nchi yoyote afrika ambayo imewahi kupigana na mtu ambae sio jirani yake tuambie
👋👋👋🇹🇿🇹🇿 Tanzania yetu mungu ibaliki, wabaliki viongozi wetu pamoja na majeshi yetu yonte, tunaishi tunaimani tuntembee. Kwa Hulu, watoto wetu mashuleni wanasoma kwa amani, kumbe tuna majeshi imala yanatulinda mungu baba balaki majeshi yatu amen amen
Mambo ya kizamani yalisha pitwa na wakati, ndio wanaleta sasahivi watu hawapigani kwa style hii tena, wastage of money and time, Nani anapigana vita kwa style hii.
@@charlesmaestro1092 🤣🤣🤣🤣🤣ww ni mbunge wa jimbo la Kufikirika mwenye dhamana ya uwaziri wa sekta ya Ahadi kwenye nchi ya Kusadikika inayoongozwa na rais mteule Juha Ibn Abunuwasi.,,😌😌😌😌😌
@@charlesmaestro1092 wewe mbona uko nyuma hivi.!!! Upumbavu wako unapita kikomo. Watu wahapigani kwa misuli siku hizi, Teknologia ni ya Nini.?? Hiyo Serikali ya Tanzania bado mko nyuma saaana. Njooni Kenya muone jinsi technology imenawiri.!!
@@chage97 achan nae huyoo hajitambui . a country which is a far much ahead in military CDF anakufa in Helicopter crush in clear sky..? 🤣🤣🤣 Hii dunia nzima watakucheka. ani watu walio far ahead military pilot wao hawana hata landing skill manuever. hao kama mapilot wa indonesia tu walio gongana kwenye helicopter🤣🤣🤣🤣 ani hata kufany acheck tu ya helicopter before flight hamuwez what a shame.
in hardware and military gear your far ahead ila in tactics and skills mtasubiri sana kwa TPDF. Hakuna jeshi lolote la East afrika lenye ujuzi na askari wenye weledi wa hali ya juu kuliko la Tanzania
Ila twende nyuma turud nyuma SS baado tuko nyuma kabisa maana saiv vita vinapiganiwa ofsn Kwa compyuta ...hiz zet n mazoez ya kupigana na waas wa congo nasio mataifa ya ulaya
Rambo Doto sio vitanda peke yake kuna maskini za MMungu walopatwa na mafuriko zingepelekwa zote huko wangepata neema kwa Allah kuliko kuharibiwa fedha za wavuja jasho kwa upuuzi wa muungano wenye kulazimishana
@@user-pz5mf7ks9j hapo ndo umeongea sasa tofauti na mwanzo ulivyokua umesema make ulilenga chakula tu bila kutazama mafuta na bidhaa zingine zilivyo juu .
Safi kaka jack saiv umeongezwa nyita hongera mama anafurah akikutazama
Hongerani cn maraisi wetu wa tanzania na zanzibar kwa jitihada mnazozichukua katika kulinda na kutetea muungano wetu wa tanzania watakao nuna na wanune kazi iendelee
0:00
Hongera JWTZ, tukumbuke kwenda na wakati. Technology na AI , ulinzi nawenye
Magufuli alifuta hii sherehe akaagiza pesa zilizotengwa zikapanue barabara ya Mwenge to Morocco dar es salaam..RIP Magu.
Ilikuwa uhuru siyo hii 😢
Wewe wa wapi? Barabara ya mwenge imejengwa kwa mkopo wa Japani, mlidanganywa tu
Huo ni uongo magufuli hakuwahi kuingilia shughuli yoyote ya jwtz hao ndio watu aliowaheshimu na aliwapa shavu sana kama unapinga njoo kwa hoja
@@mpajibinaisa7238 sikukuu ya Muungano ni ya jwtz? 😂 Kafate ada uliposomea walikuacha ukiwa empty kichwani
Jaman jaman!!!!
Siku hizi vita Sio Kutunisha Misuli.
Bali ni Technically, technology skills.
Mtu Yupo IRAN ANAPIGA Telaviv
HUJUI LOLOTE WEWE. UNADHANI UNAWEZA KUMUHAMISHA ASKARI ALIE SHAMBULIWA UWANJA WA MEDANI KWA DRONE..? AU KUBEBA SUPPLY YA ASKARI ALIE ENDA PATROL NDEFU MSITUNI..? KAANGALOE MAZOEZI YA NAVY SEAL,GREEN BERETS , SPETZNAZ.MARCOS AU JSTF NDO UTAELEWA. BAADA YA YOTE VITA NA MAPIGANO NI BODY PHYSICAL ACTIVITIES. HAO WAIRAN UNAO WASEMA JESHI LAO LINA ASKARI LAKI SITA NA ALAFU UNACOMMENT UPUUZI HAPA. KAMA VIT ANI TECHNOLOGIA WANALIPA HAO WATU WOYE WA NINI C ANGEKUWA ISHIRINI TU NA MAKOMBORA MILIONI..?
Kabisa yan unajua nin sa hv vita za ngumi zishapitwa na wakati tuko kwenye technology
Hiyo misuli imekatwa na wale muliowaita makunguru😂 Hawa na wa South Africa, wa rundi na .ajeshi wa DRC wakawekwa Kwa sufuriya mojaaa
Ao ni combat ready special force we Bata
Ufahamu mdogo mnacoment upuuzi. Mwananchi smbae hathamini kitu chake amefilisiks akili
Ukiona Taifa Liko Na Vita Kila Wakati Usiulize Kwanini Asikari Wao Awako Vizuri Hata Tanzania Tungekuwa Na Jeshi Zaifu Mtambue Tungeishi Kwa Tabu Kubwa Sana Kwakuwa Matukio Ya Uwasi Yangekuwa Yamezaliwa Lakini Kwakua Tuko Na Makamanda Waziri Waasi Wanajua Taifa Alinuswi Kwa Uvamizi
Twende mbele turudi nyuma hii mibaba inatisha 😅😅
Jeshi letu liko vizuri,,, lakini tuonyesheni itakuwaje kama tunapigana na nchi ya mbali zaidi.
Hkuna hizo vita afrika. vita zote za afrika ni dhidi ya majirani au vikundi vya waasi msituni(ndani ya nchi yako) afrika hakuna nchi ilio wahi kupigana na mtu asie jirani yake kwa sababu ugomvi wetu pekee ni kwa sababu ya mipaka. kama una ushahidi wa nchi yoyote afrika ambayo imewahi kupigana na mtu ambae sio jirani yake tuambie
Heshima kwa makomando vizuri sana mwenyezimungu awalinde ❤❤❤
Wapeleke Congo waende kupambana na M23 ndio watapata ujuzi zaidi
Aswa
Mamaeee😂😂
WAENDE MARA NGAPI SASA. MBONA HUKO WAPO TANGU 2012 AU HUJUI TANZBAT WEWE..?
Jakaya Kikwete aliwadanganya kuenda kupigana rahia wa Congo lakini hamuwezi kushinda vita ya M23
Hakuna chochote hapa, Alshabab wawili tu wanaangamiza Tz nzima
Nimecheka😅😅😅
😂
Una kichaa
👋👋👋🇹🇿🇹🇿 Tanzania yetu mungu ibaliki, wabaliki viongozi wetu pamoja na majeshi yetu yonte, tunaishi tunaimani tuntembee. Kwa Hulu, watoto wetu mashuleni wanasoma kwa amani, kumbe tuna majeshi imala yanatulinda mungu baba balaki majeshi yatu amen amen
Ibaliki nini
Kujeni training kenya ,the king of defence
Safi sana makomandoo wetu wa TANZANIA
Long live Samia
Awatusaidii chochote kila kitu saiv kinaliwa na wazungu wao wapo tu kupga raia mtoe mama madarakan ametuchosha
Hio michezo mpeleke DRC kwa M23 itawafundisha kikomando cha ukweli onground.
😮1980 kizaman sana ..tudili na teknolojia .
Askari anajifungua kamba dk 3 😊
Mko juu sana Makamado wetu.
close-quarters combat 😍😍💥🔥🔥🔥
Wanaitwa WATAALAMU
❤❤
Namuona mdunguaji akinesa kwa umaridadi mkubwa
Tzd is Doing well
Hongereni vyombo vyote vya ulinzi
😂 Mungu ibariki Africa ibariki Tanzania Amina
Hongereni wanajeshi wetu ila wekeni nguvu kubwa kwenye tecnologia ndipo Dunia ilipo sasaivi
🎉🎉🎉
Mbodi yangumi zakulipwa Tanzania
This is too much luggage for a person to curry incase the aduwei (enemy) comes how do you run for your self 😂😂😂😂
Mimi maishani mwangu askari kweli wamejitoa kwaajili ya taifa letu si wengine eti anakuja mwanasiasa 😊
Mbona helikopta hız za kizaman sana bado tunatumıa hiz
wwnzetu wa Defiant x ,MD 500,530 NOTAR........
Hatr sanaaaa
Tupo vzr Tanzania
Huyu si yule muuza nadafu😅😅😅
eee bwana😅😅😅
Najiona apo mm 😊
Mpaka mama samia anaogopa jamani comando anatisha sana
Mambo ya kizamani yalisha pitwa na wakati, ndio wanaleta sasahivi watu hawapigani kwa style hii tena, wastage of money and time,
Nani anapigana vita kwa style hii.
Inaoneka mwenzetu ni muhudhuriaji mzuri wa vita.. 👏🏼👏🏼
Wako Wengine Wanapigwa Mpaka Na Wake Zao2 Lakini Kwakua Wako Na Simu Uruma Ya Mchina Mtu Aoni Asala Kulaumu Kitu Ambacho Ajui Anafanya Nini
😂😂😂😂😂kweli ni nchi ya ahadi, sasa maonyesho ya vita inatusaidia nini kwenye nchi yenye changamoto tele za kijamii na uchumi
huna akili na ma imoji yako
@@charlesmaestro1092 🤣🤣🤣🤣🤣ww ni mbunge wa jimbo la Kufikirika mwenye dhamana ya uwaziri wa sekta ya Ahadi kwenye nchi ya Kusadikika inayoongozwa na rais mteule Juha Ibn Abunuwasi.,,😌😌😌😌😌
@@charlesmaestro1092 wewe mbona uko nyuma hivi.!!!
Upumbavu wako unapita kikomo. Watu wahapigani kwa misuli siku hizi, Teknologia ni ya Nini.?? Hiyo Serikali ya Tanzania bado mko nyuma saaana. Njooni Kenya muone jinsi technology imenawiri.!!
Huyu jamaa nilimuona akiuza madafu ile siku rais alivyofutulisha huyo anayeongea
Eee huyoo ni muuza madafu🤣🤣🤣
Kwa kweli bei za bidhaa zmepanda bei kupindukia wana nchi watakufa kwa njaa
Uwo ni Sawa na mchezo warambo
Congo mtapata shida djameni.Mtoke uko mapema!
Hongera Tanzania ❤❤
Akijawaka tungewaona wapo vipi
We need a friendly match na tanzania from Uganda
😂😂😂😂
So mnataka kulipiza kisasi sio
Safi sana
Makomando nyumbani sio kwenye uwanja wao vita,
Ulizeni habari zao hapo DRC😂😂😂
Peleka wote Urusi wakaongezee tena maana bado sn.
Congratulations makomandoo wetu
Mumeshindwa DRC, hamuna la kusema na hamutashinda hata kamwe hapo DRC.
Kenya is far much ahead military
Kenya is far for what CDF anasafiri bila parachuti
@@chage97 achan nae huyoo hajitambui . a country which is a far much ahead in military CDF anakufa in Helicopter crush in clear sky..? 🤣🤣🤣 Hii dunia nzima watakucheka. ani watu walio far ahead military pilot wao hawana hata landing skill manuever. hao kama mapilot wa indonesia tu walio gongana kwenye helicopter🤣🤣🤣🤣 ani hata kufany acheck tu ya helicopter before flight hamuwez what a shame.
in hardware and military gear your far ahead ila in tactics and skills mtasubiri sana kwa TPDF. Hakuna jeshi lolote la East afrika lenye ujuzi na askari wenye weledi wa hali ya juu kuliko la Tanzania
@@EdwardSamson-uf1ee😂😂😂😂
Ila twende nyuma turud nyuma SS baado tuko nyuma kabisa maana saiv vita vinapiganiwa ofsn Kwa compyuta ...hiz zet n mazoez ya kupigana na waas wa congo nasio mataifa ya ulaya
Hya
Rambo Doto sio vitanda peke yake kuna maskini za MMungu walopatwa na mafuriko zingepelekwa zote huko wangepata neema kwa Allah kuliko kuharibiwa fedha za wavuja jasho kwa upuuzi wa muungano wenye kulazimishana
Muungano wa Tanganyika na zanzibar
Tanzania nijeshi kubwa
Hapo Rais wa Burundi anawaona kaa wehu flani vile,cz wao washazoea kupigana😂😂😂😂
Tuombe friends match na urus
Mama hali ya maisha ngumu huku nje achana na hizo sherehe bas zimetosha
😂😂😂
Kwahyo mnaonyesha sir ya kivita na plan zenu hadharan.
Hii nchi Uhuru umezdi
Waende Congo 🇨🇩 jamani
Hazina effect hizo
Vita si mchezo hapo hakuna kitu
Naamini hawa makomando wako imara zaidi ya uwanja wa vita kuliko hata hapa
Ipo. Siku ntakua raisi pia
Urusi ndo wazuri hao wengine ni bure kama samia
😂😂😂 m23 imewagonga mbaya congo wakakimbiya.awoo bure kaka.waweke vita njoo utajuaa kama hawana ma funzoo ya vita.
Tanzania shukurani kwa umoja wenu kuilinda nchi yenu..... Kenya tuko pamoja
Wawawawa.... Tanzania kweli mko nyuma.
Acha kukejeli ww nenda we pumbavu zako
@@user-qr7et3vl5z hivi vitu mwafanya hapo ukija Kenya ni Grade 4 ndio wafanya hivo wakijifunza Scouting.!!
Na Rais wa Congo yupo hapo😂
sasa ulikua unahitaji aje kwenu nyumbani??
@@richardrichope3528 🤣🤣🤣🤣
huu ni upuzi mtupu tembea russia ama us uone mambo yanavyostahili kua
Wapelekwe kinuni hao Kama wata toboa itakua wanafaa kupandishwa vyeo
😂kunani uko
Hongereni sana lakini tukae tukijuwa Maisha yamebadilika siku izi vitani hawapigani kwa ngumi
Kabisa yan unajua nin sa hv vita inapigwa kwa kutumia technology na kompyuta tu vita za ngumi zishapitwa na wakati asee tuko kwenye technology
Je unahis kila mission ni mtatumia technology mwanzo mwisho???
HUYO AKIYESHUKA NA KWENYE NDEGE NI KOMANDOO MUUZA MADAFU
Kutuonyesha makomando haina maana kwa sisi wana nchi, punguza bei vyakula tukusifie mama,
😂😂😂😂 Nan kakuambia uangalie
Kalime
Kwa mtazamo wako unaona ilikua na haja yoyote??? Me naona ni upuuzi tu, wana nchi tunateswa na bidhaa zote kupanda bei, hio mm naona ilikua haina haja
@@user-pz5mf7ks9j hapo ndo umeongea sasa tofauti na mwanzo ulivyokua umesema make ulilenga chakula tu bila kutazama mafuta na bidhaa zingine zilivyo juu .
Hakuna vita wanaezana wakiwa wamebeba mizigo kama hiyo😂😂
Hahaha, Bongo movie
Nendeni kwenye mafuliko makubwa tuone kma mnaweza
🤣🤣🤣 poor mind
@@EdwardSamson-uf1ee me or you 😏😏
Ni kommando ihi ao ni komedy. Afazali ata Burundi.
Iyo mizigo ata makuli wanabeba mizigo zaidi ya kilo200
Those are killing machines
MBONA HAMJATUONYESHA MAKOMBOLA YA MASAFA AU HAMNA???
Hivyo tu kwenye mahonyesho na Congo mnapigwa na waasi M23 . SI muwaonyeshe M23 hizo nguvu zenu?
Hawa wanauawa na allshababu watatu tu
😂😂😂😂 daaah ila we jamaa
Uyu jamaa mwenyewe kusoma anabaatisha
Muuza madafu feri
Kujifanya muuza madafu huku wewe ni komando nikuwatia uchoro tu wa uzamadafu 😂😂
😂😂😂😂haya nimaigizo kama maigizo mengine
Hhhh ma fake commandos wamemalizwa na m23 hapo DRC, hivo wanavyofanya nikama mchezo wa comedians
Kama makomando wa kweli waende kuwapigania wenzao Falestine huko
Iliiweje sasa
@@Allynyange-hw9bq tuone kama wameiva kweli
Naona umedhamiria kuwaua mazima bila huruma ,Palestine kweliii😂 mbona watakufa kama kuku wakideli.
😂😂😂😅😊@@Mary-fs4mc
@user-sl8😅😅😂bu3we1m
Mh
Sasa si muombe vita za kirafiki jamani ?
Izinizongabo zikinyejana
Tz iko down sanaaa
😂😂 kabisa yan unajua hayo mambo ni ya kizaman sa hv vita inapigwa kwa kutumia technology na kucheza na kompyuta tu
Salute huku umeshika bunduki😂😂😂
hii mwenyewe nimecheka🤣🤣🤣🤣
Uongo mume chindwa vita Congo waongo nyinyi
Unataka waje mfumuliwe??
Makomando wanatusaidia nini wakati mafisadi watufilisi watanganyika
😂😂
Muuza madafu yule
Madafu yapo wapi kaka
kwenye mabegi ya makomando
Ruto is just wondering about those G4S you are calling Comandos🙃,come and see real Comandos in Kenya.
Embu weka link ya makomando wa Kenya twende tukacheke😂😂KDF SFs ni vichekesho niliona maonesho yenu mnazidiwa hadi na Uganda🙌🙌🙌 mje tuwafundishe kidgo
Muuza madafu ikuru eti uyooo au amumuoni apo ila SS watanzania niwaongo mno
Muuza madafu ghafla kabadilika komando😂.. nchi ngumu hii
😅😅😅😅 hatari
M23 was Congo imewashinda makomando wenu. Ni stori tu!
Hawa ndiyo wanasababisha Tanzania iwe nchi ya amani,adui hapati nafasi kupenya kwenye mipaka yetu
2013 tuliwapiga M23 hadi wakakimbilia Rwanda na Uganda. Sijui unaongelea nini😂