Yaani mdogo wangu ungeingia bungeni kihalali ..kaelimu ka kuwafundisha ma CCM unako wape shule hao...wana tudanganya na skafu za serikali kulinda matumbo yao...wachape kwa maneno..
namuomba mungu sana sana huyu mwakilishi wa upinzani raisi amchague ampe nafasi yajuu sana serikalini hasa ya kiutendaji,huyu Dada ni zaidi ya mbunge na ni zaidi ya wabunge.>AMEN.
Na ujinga uuu bl kujua kuwa covid ndo imelaza chumi za nchi sasa zingeruka wapi wakati kulikuwa hakuna safari hata ma shirika makubwa duniani ni hivyo hivyo point hiyo ni nzuri lkn umeipanga hovyo sababu za kisiasa hina kosa maana na unaonekana mjinga wa kutafuta shari jifunze kwa mwenzio Ester matiku kichwaa hilebaya
I remember 2015/16 nikiwa office ya TR niliongoza timu ya wataalam kufanya OPERATIONAL and FINANCIAL audit ya ATCL! Tumeandika a very COMPREHENSIVE and GROUND-BREAKING report on ATCL and its sustainability. Ningeshauri hiyo report ISOMWE/IREJEWE kwani bado ni VALID kwa jinsi nilivyo sikiliza inputs za Mh. Halima Mdee.
Yaani sasa hili ndio bunge linalotakiwa. Loh ni mchnganyiko wa huzuni na kicheko. Well illustrated wote watoa mada regardless Chama kipi. Nchi ni ya kwetu JAMANI!!! Watu wakitoa ushauri mbadala wasikilizwe Loh!
Halima mdee ndio mbunge sasa . Sio hizo mbwa zingine za NDIO. mbowe awaache2 hawa covid 19 kwa heshima ya mdee. Maana yakibaki haya makondoo ya kijani hayo mambo mazito namna hyo yatajulikana vp . .ona2 wanavyobwabwanya.
Kwa Halima Mdee, wajuzi na wanafunzi wa tehama: Katika mawasilisiano kwa njia za runinga, hakuna haja ya kuongezea mbwembwe za "kinesics", yaani, "body language", kama lilivyo jukwaa au redio. TV is a "cool medium"; na "radio is a hot medium" [the late Marshall McLuhan].
Ukiangalia Bunge wanavyochangia utaona yupi anauwezo na yupi uwezo wake ni mdogo ila kazi ipo kwani wananchi wanaelewa zama za siasa za mdomo zimepita ni utendaji tu kwa sasa
Hawa watu wanapata wapi jeuri hii ikiwa hawana vyama na wanalipwa. Inamaana wanaiibia serikali mchana kweupe na Serikali imewahalalishia wizi waibe mpaka washibe ili mradi tu bunge lao liwe huru. Tulieni hivyo hivyo wawanyee kisawa sawa,hawana majukumu zaidi ya kuongea tu bungeni na kulipwa kwenda kula na familia zao.
Kama Wana nchi hamjamuelewa halima mdee na naona mnavyo mpinga hadi ushahidi wa nyaraka na tarehe ilio chapishwa anayo, basi mnastahiki kua na njaa hivyo hivyo mpaka mwisho wa Dunia. She's a brave a woman
Uwepo wao Bungeni ni aibu kwa chama cha CHADEMA Hawa wabunge na viongozi wa CHADEMA Taifa lao ni Moja. Haiwezekani Speak amesema hajapata barua toka CHADEMA kuwakana. Kama ni barua ndiyo inayo takiwa kipi kinakwamisha?
Kwa kweli na sio Siri Halima Mdee ni moja ya Wabunge makini sana. Jambo muhimu ambalo Waziri Fedha alitakiwe ajue, badala yake anadanganya kuwa shirika la ndege halidai popote mpaka ushahidi ulipoabikwa na Mbunge huyo Machari na msomi Halima James Mdee. Hongera sana
Unajua watu wana mihemko yaani mtu akitolewa na Magu ndio anaonekana afai kabisa siokweli wengine alikua anawasamehe na kuwarudisha mama kamkuta akiwa waziri mwigulu
@@patricknyiti5303 Magu alimrudisha akampa Wizara ambayo haina maumivu kabisa kwa WaTanzania !! Na ilionekana alimrudisha sababu bungeni km Mbunge alikuwa siyo mpinzani hakuwa na Kinyongo alimtetea Magufuri bungeni, umakini wa Magufuri ni kutompa Wizara zenye kuwaumiza waTanzania !!!! Mama Samia Nchi hii haiwezi, anakuja kumpa Wizara Nyeti kbisa matokeo yake tumeumizwa !!!!
Vichwa Kama hivo. Awepo tundu.lema.munyika ulaya John hche Peter Zito. Halima ester wangetosha kutuwakilisha walikuwa wanadema Hadi tunashiba Hilo bunge la CCM mnakula pesa zetu.hatuna haja yakuwasikiya.
Changamoto lazima zisemwe....hongera mabunge wetu. Ila mbunge wetu asiishie kulaumu tu bali atoe na mapendelezo ya nini kifanyika ili tujikwamue kutikavkwenye tatizo kama lipo.... kama wengine wnevyochangia kutoa solutions.
Sasa kwakweli kama huu ndiyo leadership ya kina mama basi tumekwisha huyu anaongea Nini.watanzania kote walikuwa wakitaka kwenda outside the country mpaka wapitiye kenya
Ukweli haupingiki kwamba mwenda zake alikurupuka kununua ndege nyng wakati biashara haipo jamani!🤓🤓 Pia tujifunze kufanya vitu kwa kutaka sifa kwa wanaotuzunguka aaaaaaamen!!!
Mwone mbuzi wa kiangazi huyu.. kama mwendazake alikurupuka mbona mama samia aliziongeza zingine?? Na wew bwege kweli ikitokea ukapewa nchi hata kwa dakika Moja uiongoze utajiharishia na kujikojolea Kila mahali.. Leo hii et unapata ujasiri wa kumkejeli shujaa Magufuli kuwa alikurupuka. Hata hio kazi ya kukusanya Kodi na kuwabana mafisadi mpaka kununua ndenge ni shughuli ya akili ya hali ya juu Sana.
Amakweli dunia simama nishuke banaadam simkamilifu mwenyrzi mungu kilakitu kakiumba kwa.mipango yake nakumbuka zamaani hapo ndege zoilikuwa kidogo sana hadi aibu yaani ilipofika wakati wa kampeni wezetu upande wapili wslitoa ahadi kama wakipata uraisi watanunua ndege kwawingi kuondoa aibu hii leo.ndege zimeletwa haohao walio aside watanunua ndege wanasema ndege nyingi zanini kwani wanaosafiri wotee nilazima watumie ndege? Kilamtu nauwezo wake mimikana sina uwezo wandege mwingine anao viwanja vifanye kazii atakae iba yeye namungu wakee
Wapinzani ni watu muhimu tunadanganywa sana wananchi
I like her voice more than the minds of her...Mwaaaaa!!
Bravo Mh. Halima Mdee.
Waziri anadanganya ...Hatakiwi kubakia ofisini dakika moja ijayo
Yaani mdogo wangu ungeingia bungeni kihalali ..kaelimu ka kuwafundisha ma CCM unako wape shule hao...wana tudanganya na skafu za serikali kulinda matumbo yao...wachape kwa maneno..
Sauti ya zege! Hongera sana.
Unaongea point san mdee
Mdee yupo vzur
Ee mungu we harima mdee
namuomba mungu sana sana huyu mwakilishi wa upinzani raisi amchague ampe nafasi yajuu sana serikalini hasa ya kiutendaji,huyu Dada ni zaidi ya mbunge na ni zaidi ya wabunge.>AMEN.
Na ujinga uuu bl kujua kuwa covid ndo imelaza chumi za nchi sasa zingeruka wapi wakati kulikuwa hakuna safari hata ma shirika makubwa duniani ni hivyo hivyo point hiyo ni nzuri lkn umeipanga hovyo sababu za kisiasa hina kosa maana na unaonekana mjinga wa kutafuta shari jifunze kwa mwenzio Ester matiku kichwaa hilebaya
Sawa Asante Halima
Tatizo hapo ni kwamba huwezi kabidhi ndege kwenye kampuni inayodaiwa, ndege zote zitashikwa na wadai, fikiria kabla ya kupiga kelele
Hujawahi kufeli point ata siku moja
Akili kubwa sana hii
Loh! well presented Yaani ni mpaka unasisimka mwili.
Sauti ya zege! Ila kwa kuwa si mmbunge halali najua anapuuzwa tu! Mfuateni Ndugai atawasikiliza.
Yani huyu dada yupo sahihi sana hayo wanayo bisha yatakuja kuwatokeya puani mbeleni mana kidonda usipo kitibu mapema kinaoza
Huyu ndy kamanda mwenyewe Sasa hanaga kususa kam wengine na bado anawapelekesha bungeni, H Mdee mitano tena.
I remember 2015/16 nikiwa office ya TR niliongoza timu ya wataalam kufanya OPERATIONAL and FINANCIAL audit ya ATCL! Tumeandika a very COMPREHENSIVE and GROUND-BREAKING report on ATCL and its sustainability. Ningeshauri hiyo report ISOMWE/IREJEWE kwani bado ni VALID kwa jinsi nilivyo sikiliza inputs za Mh. Halima Mdee.
Kufail ni sehemu muhimu sana katika kujifunza biashara
Wabunge wa Ccm wakubali ukweli.
Hawana Jipya na Mwigulu Hafai kabisa basi we msikilize
Uko vizur harima
Huyu dada kichwa sana akiliii anazo nyingi sana 2025 tunamrudisha mbunge wetu kawe 2025 kawe ni Halima James mdee
mm nampenda san anapwenti pambee
Yaani sasa hili ndio bunge linalotakiwa. Loh ni mchnganyiko wa huzuni na kicheko. Well illustrated wote watoa mada regardless Chama kipi. Nchi ni ya kwetu JAMANI!!! Watu wakitoa ushauri mbadala wasikilizwe Loh!
Halima mdee ndio mbunge sasa . Sio hizo mbwa zingine za NDIO.
mbowe awaache2 hawa covid 19 kwa heshima ya mdee. Maana yakibaki haya makondoo ya kijani hayo mambo mazito namna hyo yatajulikana vp . .ona2 wanavyobwabwanya.
Kwa Halima Mdee, wajuzi na wanafunzi wa tehama: Katika mawasilisiano kwa njia za runinga, hakuna haja ya kuongezea mbwembwe za "kinesics", yaani, "body language", kama lilivyo jukwaa au redio. TV is a "cool medium"; na "radio is a hot medium" [the late Marshall McLuhan].
Safi sana
Ukiangalia Bunge wanavyochangia utaona yupi anauwezo na yupi uwezo wake ni mdogo ila kazi ipo kwani wananchi wanaelewa zama za siasa za mdomo zimepita ni utendaji tu kwa sasa
Sawa kamanda✌️✌️✌️✌️
mdee wa 2015 siyo huy kabisa
Love you halima,,welcome Kilimanjaro
Mungu akubari sana mh hallima mdee usiogope kuongeya mungu yupo mbele yako
Kumbe taarifa za wabunge Ni kulinda na serikali
Mdee ombeni msamaha CHADEMA.Hapa mnazungumza huku mmefungwa kamba!
,nikweli jamaniiii
Halima mdee"chadema mwaka 2025 wakikuengua gombea kwa ccm"utapita rafiki yangu"uko juu
Hawa watu wanapata wapi jeuri hii ikiwa hawana vyama na wanalipwa. Inamaana wanaiibia serikali mchana kweupe na Serikali imewahalalishia wizi waibe mpaka washibe ili mradi tu bunge lao liwe huru. Tulieni hivyo hivyo wawanyee kisawa sawa,hawana majukumu zaidi ya kuongea tu bungeni na kulipwa kwenda kula na familia zao.
Kwanz kubali hoja yake then ,Hilo sawa
Kama wanaiba nawanasema ukweli hao ndio wazuri
@@sarahmmbwanji3782 wasaliti tatizo. Pengine wangegoma kwenda bungeni hayo wanayoyafokea yasingetokea. Kelele za chura tu hizo hakuna uhalisia
Kina Halima hawa walishinda uchaguzi kabisa waliporwa ushindi tusiwalaumu,Kwani Samia ulimchangua wewe?
@@halidnaamo6156 sawa walishinda lkn waliporwa. Wakanunuliwa nao wakakubali laiti wangekataa Bunge lisingekuwa na haki,we unajua nn labda?
Very good
Safi sana mdada
Sijalijua tatizo,majibu au watu wa kujibu ? Hoja hazihitaji hata kuwa bungeni au kuwa mbunge maskini Ndugai !
Anaemlaum Mh harima nichizi kwasababu Alichosoma ni report za CAG Pia kasoma taarifa ya Atcl nakataja hadi tarehe sasa kosa lake liko wapi?!.
Hahaha - serikali hakuna deni. ATCL-kuna deni. Kusoma hatujui. Hata picha hatuoni?
Anatumia nguvu kubwa sana mpaka hoja inakosa ladha. Ona mpaka sauti inascratch kwenye around dakika hii 6:48
Ww sikuelewi
Hii ni ramadhan tunamuomba huyo Halim avae kidini japo kidogo nampenda sana Halima Mdee
Kama Wana nchi hamjamuelewa halima mdee na naona mnavyo mpinga hadi ushahidi wa nyaraka na tarehe ilio chapishwa anayo, basi mnastahiki kua na njaa hivyo hivyo mpaka mwisho wa Dunia. She's a brave a woman
Upinzan ndo unaleta maendeleo haiwezekan kila kitu iwe yes tu hawa ndo wanaleta challenge inayopelekea maendeleo katika nchi
Bravo madame Mdee
Nyie bado ni watu muhimu bungeni chadema wanakuwa wakae na nyie myamalize
👏👏👏👏
Hivi huyu yupo bungeni kupitia chama gani hasa hii nchi 🚮🚮🚮🚮
Uwepo wao Bungeni ni aibu kwa chama cha CHADEMA
Hawa wabunge na viongozi wa CHADEMA Taifa lao ni Moja.
Haiwezekani Speak amesema hajapata barua toka CHADEMA kuwakana. Kama ni barua ndiyo inayo takiwa kipi kinakwamisha?
Kwa kweli na sio Siri Halima Mdee ni moja ya Wabunge makini sana. Jambo muhimu ambalo Waziri Fedha alitakiwe ajue, badala yake anadanganya kuwa shirika la ndege halidai popote mpaka ushahidi ulipoabikwa na Mbunge huyo Machari na msomi Halima James Mdee. Hongera sana
😭😭😭😭😭😭
Sabuni yakufulia kipande mianane ya kitanzania😭😭
Hii nchi mmm!
Hatuna wataalam na wazarendo
hongera sana halima nakupa salut japo tz hatuna rais
Tatizo hii nchi inaendeshwa kisisa uongo mwingi sana viongozi wengi hawana uwezo kuongoza blabla nyingi mpk kichefuchefu!
Dada yangu nakupenda Sana japo sikuhizi umekuwa ccm Ila Hoja zako zinamashiko
Napenda sana jinsi Halima anavyojenga hoja, lakini naogopa anaweza kugeuka.
Wazili wa fedha ziro kutoka zamani ndio maana magu alishamtoa kwenye uwazili Mara tatu nashangaa uyu mama anamkumbatia Kuna nn
Magu alimrudisha tena...CCM ni ileile
Unajua watu wana mihemko yaani mtu akitolewa na Magu ndio anaonekana afai kabisa siokweli wengine alikua anawasamehe na kuwarudisha mama kamkuta akiwa waziri mwigulu
@@patricknyiti5303 Magu alimrudisha akampa Wizara ambayo haina maumivu kabisa kwa WaTanzania !! Na ilionekana alimrudisha sababu bungeni km Mbunge alikuwa siyo mpinzani hakuwa na Kinyongo alimtetea Magufuri bungeni, umakini wa Magufuri ni kutompa Wizara zenye kuwaumiza waTanzania !!!! Mama Samia Nchi hii haiwezi, anakuja kumpa Wizara Nyeti kbisa matokeo yake tumeumizwa !!!!
Mpaka uvute bangi ndo umuelewe uyu jamaa
Safi sana Mdee
Nami namkubari
Duu Ngoma ikoli moto uko juu kamanda
We halima ndo mbunge wa Tanzania na watanzania sio ao wengine,,,,,aminia dad kichwa yako nomaaaaa
Majibuyakumunufaisha mutoatalifa ovyo
Wabunge kuvaa suluari naona wakatazwe.inaonekana kama yupo night club
Waheshimiwa wabunge. Halima Mdee hamumwoni anaaibisha mavazi yake. Angalia kona ya mapaja. Duh kwa kweli mwanamama huyu.
Halima mdee upo cheers sana dada unaingea ya maana lakini unaacha maiki unaongelea pembeni vipi
Vichwa Kama hivo. Awepo tundu.lema.munyika ulaya John hche Peter
Zito. Halima ester wangetosha kutuwakilisha walikuwa wanadema Hadi tunashiba Hilo bunge la CCM mnakula pesa zetu.hatuna haja yakuwasikiya.
Mwigulu sii waziri
Kweli kazi yake ni kuilinda Serikali na siyo Wananchi!Ajabu sana,ovyo kabisa
Upo sahihi mama safiii waambie wamalizeee kwanza tatizoo ndo mambo mengine yaendeleee.........
Umepata wapi hzo
Wewe mwiguru CAG MUIHONGO
yaan hiyo taarifa wazir wa fedha hama du hatari
Kumbe ugoro wa Riftvalley alishalipwa.
Changamoto lazima zisemwe....hongera mabunge wetu.
Ila mbunge wetu asiishie kulaumu tu bali atoe na mapendelezo ya nini kifanyika ili tujikwamue kutikavkwenye tatizo kama lipo.... kama wengine wnevyochangia kutoa solutions.
Mdee dadangu ukovizuri tatizo ni19
Brava Halim md ^_^
Mwigulu kila kitu ni siasa2!! Haujui kitu!! Muongool
Sasa kwakweli kama huu ndiyo leadership ya kina mama basi tumekwisha huyu anaongea Nini.watanzania kote walikuwa wakitaka kwenda outside the country mpaka wapitiye kenya
Kama utani utani vile😳😳
Njoo uchukue buku la Soda maana cheche mzito tarifa hadi tarehe wote yani kirosafi
Da! Una sauti mbaya kweli yaani inanikera masikioni
Hizo ngege wanapandaga viongozi waccm hazina faida yeyote ngege gani haiendi ulaya
Hiki kichwa ni makini mno.Nimemuelewa vizuri mno maana hoja zimepangwa zikapangika
Safi kwa hoja yako mdee viongozi fungukeni acheni kukava ukweli
Tulipoteza jembe sana
Kweli ccm akuna kitu mnazikataa taharifa zenu wenyewe
So what mnataka?ATCL inahujumiwa hakuna lolote la maana.Magufuli alinununua nanyie mtumie akili kuziendesha kwa faida.Nonsense
Akili kubwa
Ukweli haupingiki kwamba mwenda zake alikurupuka kununua ndege nyng wakati biashara haipo jamani!🤓🤓 Pia tujifunze kufanya vitu kwa kutaka sifa kwa wanaotuzunguka aaaaaaamen!!!
Subir siku ulale njaa ndo akili itakaa sawa kuku ww
Mwone mbuzi wa kiangazi huyu.. kama mwendazake alikurupuka mbona mama samia aliziongeza zingine?? Na wew bwege kweli ikitokea ukapewa nchi hata kwa dakika Moja uiongoze utajiharishia na kujikojolea Kila mahali.. Leo hii et unapata ujasiri wa kumkejeli shujaa Magufuli kuwa alikurupuka. Hata hio kazi ya kukusanya Kodi na kuwabana mafisadi mpaka kununua ndenge ni shughuli ya akili ya hali ya juu Sana.
Hawa ndo watetezi wawananchi sio hawa wa ccm kilakitu ndiooooo
Yuda
Tatazo hili bunge la CCM,lenyewe lipo kuipigia makofi serikali tu,hata kama kunajambo lakuibana serikali ,bungelenyewe nikupiga makofi,
Amakweli dunia simama nishuke banaadam simkamilifu mwenyrzi mungu kilakitu kakiumba kwa.mipango yake nakumbuka zamaani hapo ndege zoilikuwa kidogo sana hadi aibu yaani ilipofika wakati wa kampeni wezetu upande wapili wslitoa ahadi kama wakipata uraisi watanunua ndege kwawingi kuondoa aibu hii leo.ndege zimeletwa haohao walio aside watanunua ndege wanasema ndege nyingi zanini kwani wanaosafiri wotee nilazima watumie ndege? Kilamtu nauwezo wake mimikana sina uwezo wandege mwingine anao viwanja vifanye kazii atakae iba yeye namungu wakee
Msaliti
6:02
10:35
Ya waziri anajibu kama katoka choooni inaudhiiii sana hiii mijituuuu
Unajizalilisha na usomi wako maana haupo na baraka za chama mnatengeneza kesii.
Kwanza utwambue uko chama gani? Ndio uendelee Acha u ubishi tu
Mwigulu ziro
KWA NINI MWIGURU NCHEMBA HATOI TAARIFA YA PATP LATOZO ? PIA ATUELEZE NI PESA ZILIZOTUMIKA KUPEREKA MISAFARA DUBAI NA MAREKANI TUKUE NASI
Waziri anapingana na CAG?