Halima Mdee atoa ushahidi bungeni | Mwigulu anyanyuka kumjibu | "Patachimbika, Sipendi kukera watu"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 04. 2022
  • Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Komentáře • 285

  • @harounmaarufu3241
    @harounmaarufu3241 Před 2 lety +30

    Wapinzani ni watu muhimu tunadanganywa sana wananchi

  • @hassanlikwenangu8471
    @hassanlikwenangu8471 Před 2 lety +10

    I like her voice more than the minds of her...Mwaaaaa!!

  • @azizabdallah585
    @azizabdallah585 Před 2 lety +8

    Bravo Mh. Halima Mdee.

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Před 2 lety +10

    Waziri anadanganya ...Hatakiwi kubakia ofisini dakika moja ijayo

  • @bonifacekalima5273
    @bonifacekalima5273 Před 2 lety +9

    Yaani mdogo wangu ungeingia bungeni kihalali ..kaelimu ka kuwafundisha ma CCM unako wape shule hao...wana tudanganya na skafu za serikali kulinda matumbo yao...wachape kwa maneno..

  • @asserytemba282
    @asserytemba282 Před 2 lety +4

    Sauti ya zege! Hongera sana.

  • @Mussajohn99
    @Mussajohn99 Před 2 lety +7

    Unaongea point san mdee

  • @vnhcstudios1943
    @vnhcstudios1943 Před 2 lety +7

    Mdee yupo vzur

  • @kagwilengaiza2050
    @kagwilengaiza2050 Před 2 lety +5

    Ee mungu we harima mdee

  • @walawioutreach4055
    @walawioutreach4055 Před 2 lety +8

    namuomba mungu sana sana huyu mwakilishi wa upinzani raisi amchague ampe nafasi yajuu sana serikalini hasa ya kiutendaji,huyu Dada ni zaidi ya mbunge na ni zaidi ya wabunge.>AMEN.

    • @queenpiscator6117
      @queenpiscator6117 Před 2 lety

      Na ujinga uuu bl kujua kuwa covid ndo imelaza chumi za nchi sasa zingeruka wapi wakati kulikuwa hakuna safari hata ma shirika makubwa duniani ni hivyo hivyo point hiyo ni nzuri lkn umeipanga hovyo sababu za kisiasa hina kosa maana na unaonekana mjinga wa kutafuta shari jifunze kwa mwenzio Ester matiku kichwaa hilebaya

  • @mandileykiritokangai3042
    @mandileykiritokangai3042 Před 2 lety +3

    Sawa Asante Halima

  • @makongorowassira6593
    @makongorowassira6593 Před 2 lety +3

    Tatizo hapo ni kwamba huwezi kabidhi ndege kwenye kampuni inayodaiwa, ndege zote zitashikwa na wadai, fikiria kabla ya kupiga kelele

  • @namankakindilo8121
    @namankakindilo8121 Před 2 lety +4

    Hujawahi kufeli point ata siku moja

  • @successconcious703
    @successconcious703 Před 2 lety +3

    Akili kubwa sana hii

  • @iam_deo
    @iam_deo Před 2 lety +2

    Loh! well presented Yaani ni mpaka unasisimka mwili.

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 Před 2 lety +6

    Sauti ya zege! Ila kwa kuwa si mmbunge halali najua anapuuzwa tu! Mfuateni Ndugai atawasikiliza.

    • @khadijamhapa3056
      @khadijamhapa3056 Před rokem

      Yani huyu dada yupo sahihi sana hayo wanayo bisha yatakuja kuwatokeya puani mbeleni mana kidonda usipo kitibu mapema kinaoza

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Před 2 lety +3

    Huyu ndy kamanda mwenyewe Sasa hanaga kususa kam wengine na bado anawapelekesha bungeni, H Mdee mitano tena.

  • @balozimorwa2033
    @balozimorwa2033 Před 2 lety +2

    I remember 2015/16 nikiwa office ya TR niliongoza timu ya wataalam kufanya OPERATIONAL and FINANCIAL audit ya ATCL! Tumeandika a very COMPREHENSIVE and GROUND-BREAKING report on ATCL and its sustainability. Ningeshauri hiyo report ISOMWE/IREJEWE kwani bado ni VALID kwa jinsi nilivyo sikiliza inputs za Mh. Halima Mdee.

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo Před 2 lety +3

    Kufail ni sehemu muhimu sana katika kujifunza biashara

  • @harounmaarufu3241
    @harounmaarufu3241 Před 2 lety +7

    Wabunge wa Ccm wakubali ukweli.

    • @halidnaamo6156
      @halidnaamo6156 Před 2 lety

      Hawana Jipya na Mwigulu Hafai kabisa basi we msikilize

  • @elyotikyando199
    @elyotikyando199 Před 2 lety +2

    Uko vizur harima

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Před 2 lety +5

    Huyu dada kichwa sana akiliii anazo nyingi sana 2025 tunamrudisha mbunge wetu kawe 2025 kawe ni Halima James mdee

  • @iam_deo
    @iam_deo Před 2 lety +3

    Yaani sasa hili ndio bunge linalotakiwa. Loh ni mchnganyiko wa huzuni na kicheko. Well illustrated wote watoa mada regardless Chama kipi. Nchi ni ya kwetu JAMANI!!! Watu wakitoa ushauri mbadala wasikilizwe Loh!

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 Před 2 lety +5

    Halima mdee ndio mbunge sasa . Sio hizo mbwa zingine za NDIO.
    mbowe awaache2 hawa covid 19 kwa heshima ya mdee. Maana yakibaki haya makondoo ya kijani hayo mambo mazito namna hyo yatajulikana vp . .ona2 wanavyobwabwanya.

  • @rommelmauma8081
    @rommelmauma8081 Před 2 lety +3

    Kwa Halima Mdee, wajuzi na wanafunzi wa tehama: Katika mawasilisiano kwa njia za runinga, hakuna haja ya kuongezea mbwembwe za "kinesics", yaani, "body language", kama lilivyo jukwaa au redio. TV is a "cool medium"; na "radio is a hot medium" [the late Marshall McLuhan].

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 Před 2 lety +1

    Safi sana

  • @estermpagama9664
    @estermpagama9664 Před 2 lety +2

    Ukiangalia Bunge wanavyochangia utaona yupi anauwezo na yupi uwezo wake ni mdogo ila kazi ipo kwani wananchi wanaelewa zama za siasa za mdomo zimepita ni utendaji tu kwa sasa

  • @mathewmartin4413
    @mathewmartin4413 Před 2 lety +2

    Sawa kamanda✌️✌️✌️✌️

  • @ummuruwaida3440
    @ummuruwaida3440 Před 2 lety +6

    mdee wa 2015 siyo huy kabisa

  • @barakakimambo4528
    @barakakimambo4528 Před 2 lety +1

    Love you halima,,welcome Kilimanjaro

  • @lemburiskedoki8590
    @lemburiskedoki8590 Před rokem

    Mungu akubari sana mh hallima mdee usiogope kuongeya mungu yupo mbele yako

  • @paulombay6884
    @paulombay6884 Před 2 lety +3

    Kumbe taarifa za wabunge Ni kulinda na serikali

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 Před 2 lety +3

    Mdee ombeni msamaha CHADEMA.Hapa mnazungumza huku mmefungwa kamba!

  • @khamismssa7882
    @khamismssa7882 Před 2 lety +1

    ,nikweli jamaniiii

  • @abubakarikisuju80
    @abubakarikisuju80 Před 2 lety +2

    Halima mdee"chadema mwaka 2025 wakikuengua gombea kwa ccm"utapita rafiki yangu"uko juu

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před 2 lety +5

    Hawa watu wanapata wapi jeuri hii ikiwa hawana vyama na wanalipwa. Inamaana wanaiibia serikali mchana kweupe na Serikali imewahalalishia wizi waibe mpaka washibe ili mradi tu bunge lao liwe huru. Tulieni hivyo hivyo wawanyee kisawa sawa,hawana majukumu zaidi ya kuongea tu bungeni na kulipwa kwenda kula na familia zao.

    • @paulombay6884
      @paulombay6884 Před 2 lety +1

      Kwanz kubali hoja yake then ,Hilo sawa

    • @sarahmmbwanji3782
      @sarahmmbwanji3782 Před 2 lety +1

      Kama wanaiba nawanasema ukweli hao ndio wazuri

    • @malkavoice2570
      @malkavoice2570 Před 2 lety +1

      @@sarahmmbwanji3782 wasaliti tatizo. Pengine wangegoma kwenda bungeni hayo wanayoyafokea yasingetokea. Kelele za chura tu hizo hakuna uhalisia

    • @halidnaamo6156
      @halidnaamo6156 Před 2 lety +1

      Kina Halima hawa walishinda uchaguzi kabisa waliporwa ushindi tusiwalaumu,Kwani Samia ulimchangua wewe?

    • @malkavoice2570
      @malkavoice2570 Před 2 lety

      @@halidnaamo6156 sawa walishinda lkn waliporwa. Wakanunuliwa nao wakakubali laiti wangekataa Bunge lisingekuwa na haki,we unajua nn labda?

  • @emanueliunyakind1521
    @emanueliunyakind1521 Před 2 lety

    Very good

  • @stephensengo6877
    @stephensengo6877 Před 2 lety +1

    Safi sana mdada

  • @khamisminshehemafumbi1882

    Sijalijua tatizo,majibu au watu wa kujibu ? Hoja hazihitaji hata kuwa bungeni au kuwa mbunge maskini Ndugai !

  • @yuzotv458
    @yuzotv458 Před 2 lety +1

    Anaemlaum Mh harima nichizi kwasababu Alichosoma ni report za CAG Pia kasoma taarifa ya Atcl nakataja hadi tarehe sasa kosa lake liko wapi?!.

  • @orgeneslema9464
    @orgeneslema9464 Před 2 lety +1

    Hahaha - serikali hakuna deni. ATCL-kuna deni. Kusoma hatujui. Hata picha hatuoni?

  • @iamnormal8648
    @iamnormal8648 Před 2 lety +2

    Anatumia nguvu kubwa sana mpaka hoja inakosa ladha. Ona mpaka sauti inascratch kwenye around dakika hii 6:48

  • @binmassoud0459
    @binmassoud0459 Před 2 lety +2

    Hii ni ramadhan tunamuomba huyo Halim avae kidini japo kidogo nampenda sana Halima Mdee

  • @arsenalwenger4797
    @arsenalwenger4797 Před 2 lety

    Kama Wana nchi hamjamuelewa halima mdee na naona mnavyo mpinga hadi ushahidi wa nyaraka na tarehe ilio chapishwa anayo, basi mnastahiki kua na njaa hivyo hivyo mpaka mwisho wa Dunia. She's a brave a woman

  • @neemastanley3539
    @neemastanley3539 Před 2 lety

    Upinzan ndo unaleta maendeleo haiwezekan kila kitu iwe yes tu hawa ndo wanaleta challenge inayopelekea maendeleo katika nchi
    Bravo madame Mdee

  • @fredymwengela6763
    @fredymwengela6763 Před 2 lety +3

    Nyie bado ni watu muhimu bungeni chadema wanakuwa wakae na nyie myamalize

  • @mheleladavid2588
    @mheleladavid2588 Před 2 lety

    👏👏👏👏

  • @anganilemichael115
    @anganilemichael115 Před 2 lety +1

    Hivi huyu yupo bungeni kupitia chama gani hasa hii nchi 🚮🚮🚮🚮

  • @phchouse
    @phchouse Před 2 lety +1

    Uwepo wao Bungeni ni aibu kwa chama cha CHADEMA
    Hawa wabunge na viongozi wa CHADEMA Taifa lao ni Moja.
    Haiwezekani Speak amesema hajapata barua toka CHADEMA kuwakana. Kama ni barua ndiyo inayo takiwa kipi kinakwamisha?

  • @goodluckshayo2593
    @goodluckshayo2593 Před 2 lety

    Kwa kweli na sio Siri Halima Mdee ni moja ya Wabunge makini sana. Jambo muhimu ambalo Waziri Fedha alitakiwe ajue, badala yake anadanganya kuwa shirika la ndege halidai popote mpaka ushahidi ulipoabikwa na Mbunge huyo Machari na msomi Halima James Mdee. Hongera sana

  • @sashahauke2032
    @sashahauke2032 Před 2 lety

    😭😭😭😭😭😭

  • @adamdemarch5565
    @adamdemarch5565 Před 2 lety +1

    Sabuni yakufulia kipande mianane ya kitanzania😭😭

  • @fredrickfrank851
    @fredrickfrank851 Před 2 lety +2

    Hii nchi mmm!

  • @josephmariba9897
    @josephmariba9897 Před 2 lety

    hongera sana halima nakupa salut japo tz hatuna rais

  • @seifsaidseifsaid1210
    @seifsaidseifsaid1210 Před 2 lety +1

    Tatizo hii nchi inaendeshwa kisisa uongo mwingi sana viongozi wengi hawana uwezo kuongoza blabla nyingi mpk kichefuchefu!

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Před 2 lety +3

    Dada yangu nakupenda Sana japo sikuhizi umekuwa ccm Ila Hoja zako zinamashiko

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 Před 2 lety

    Napenda sana jinsi Halima anavyojenga hoja, lakini naogopa anaweza kugeuka.

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo6949 Před 2 lety +3

    Wazili wa fedha ziro kutoka zamani ndio maana magu alishamtoa kwenye uwazili Mara tatu nashangaa uyu mama anamkumbatia Kuna nn

    • @patricknyiti5303
      @patricknyiti5303 Před 2 lety

      Magu alimrudisha tena...CCM ni ileile

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 Před 2 lety

      Unajua watu wana mihemko yaani mtu akitolewa na Magu ndio anaonekana afai kabisa siokweli wengine alikua anawasamehe na kuwarudisha mama kamkuta akiwa waziri mwigulu

    • @mandelamandela3150
      @mandelamandela3150 Před 2 lety

      @@patricknyiti5303 Magu alimrudisha akampa Wizara ambayo haina maumivu kabisa kwa WaTanzania !! Na ilionekana alimrudisha sababu bungeni km Mbunge alikuwa siyo mpinzani hakuwa na Kinyongo alimtetea Magufuri bungeni, umakini wa Magufuri ni kutompa Wizara zenye kuwaumiza waTanzania !!!! Mama Samia Nchi hii haiwezi, anakuja kumpa Wizara Nyeti kbisa matokeo yake tumeumizwa !!!!

    • @jumajumanne4997
      @jumajumanne4997 Před 2 lety

      Mpaka uvute bangi ndo umuelewe uyu jamaa

  • @francismwantolwa2329
    @francismwantolwa2329 Před 2 lety +1

    Safi sana Mdee

  • @emacratantara7434
    @emacratantara7434 Před 2 lety

    Duu Ngoma ikoli moto uko juu kamanda

  • @christianmwashala9760
    @christianmwashala9760 Před 2 lety

    We halima ndo mbunge wa Tanzania na watanzania sio ao wengine,,,,,aminia dad kichwa yako nomaaaaa

  • @papaamashana3962
    @papaamashana3962 Před 2 lety +1

    Majibuyakumunufaisha mutoatalifa ovyo

  • @maghanighanichali9519
    @maghanighanichali9519 Před 2 lety +1

    Wabunge kuvaa suluari naona wakatazwe.inaonekana kama yupo night club

  • @eppiemodest
    @eppiemodest Před 2 lety

    Waheshimiwa wabunge. Halima Mdee hamumwoni anaaibisha mavazi yake. Angalia kona ya mapaja. Duh kwa kweli mwanamama huyu.

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 Před 2 lety

    Halima mdee upo cheers sana dada unaingea ya maana lakini unaacha maiki unaongelea pembeni vipi

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 Před 2 lety

    Vichwa Kama hivo. Awepo tundu.lema.munyika ulaya John hche Peter
    Zito. Halima ester wangetosha kutuwakilisha walikuwa wanadema Hadi tunashiba Hilo bunge la CCM mnakula pesa zetu.hatuna haja yakuwasikiya.

  • @tungarazalucas1478
    @tungarazalucas1478 Před 2 lety +2

    Mwigulu sii waziri

    • @halidnaamo6156
      @halidnaamo6156 Před 2 lety

      Kweli kazi yake ni kuilinda Serikali na siyo Wananchi!Ajabu sana,ovyo kabisa

  • @KARINO_MUS
    @KARINO_MUS Před 2 lety

    Upo sahihi mama safiii waambie wamalizeee kwanza tatizoo ndo mambo mengine yaendeleee.........

  • @fanueltarimo509
    @fanueltarimo509 Před 2 lety

    Umepata wapi hzo

  • @rinaldaoman7892
    @rinaldaoman7892 Před 2 lety

    Wewe mwiguru CAG MUIHONGO

  • @mwandisimfukwe326
    @mwandisimfukwe326 Před 2 lety

    yaan hiyo taarifa wazir wa fedha hama du hatari

  • @charleslukumai7875
    @charleslukumai7875 Před 2 lety

    Kumbe ugoro wa Riftvalley alishalipwa.

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před 2 lety

    Changamoto lazima zisemwe....hongera mabunge wetu.
    Ila mbunge wetu asiishie kulaumu tu bali atoe na mapendelezo ya nini kifanyika ili tujikwamue kutikavkwenye tatizo kama lipo.... kama wengine wnevyochangia kutoa solutions.

  • @babuuwakitaa1302
    @babuuwakitaa1302 Před 2 lety +1

    Mdee dadangu ukovizuri tatizo ni19

  • @isayakipoi493
    @isayakipoi493 Před 2 lety

    Brava Halim md ^_^

  • @freddymtashi5020
    @freddymtashi5020 Před rokem

    Mwigulu kila kitu ni siasa2!! Haujui kitu!! Muongool

  • @congolo1457
    @congolo1457 Před 2 lety

    Sasa kwakweli kama huu ndiyo leadership ya kina mama basi tumekwisha huyu anaongea Nini.watanzania kote walikuwa wakitaka kwenda outside the country mpaka wapitiye kenya

  • @celinamutta5058
    @celinamutta5058 Před 2 lety

    Kama utani utani vile😳😳

  • @nathanielshauri5135
    @nathanielshauri5135 Před 2 lety

    Njoo uchukue buku la Soda maana cheche mzito tarifa hadi tarehe wote yani kirosafi

  • @masanyiwalubage9476
    @masanyiwalubage9476 Před 2 lety

    Da! Una sauti mbaya kweli yaani inanikera masikioni

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před 2 lety

    Hizo ngege wanapandaga viongozi waccm hazina faida yeyote ngege gani haiendi ulaya

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 Před rokem

    Hiki kichwa ni makini mno.Nimemuelewa vizuri mno maana hoja zimepangwa zikapangika

  • @msingida33
    @msingida33 Před 2 lety

    Safi kwa hoja yako mdee viongozi fungukeni acheni kukava ukweli

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita476 Před 2 lety

    Tulipoteza jembe sana

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo6949 Před 2 lety

    Kweli ccm akuna kitu mnazikataa taharifa zenu wenyewe

  • @dassustephen5391
    @dassustephen5391 Před 2 lety

    So what mnataka?ATCL inahujumiwa hakuna lolote la maana.Magufuli alinununua nanyie mtumie akili kuziendesha kwa faida.Nonsense

  • @frankchaula8674
    @frankchaula8674 Před 2 lety

    Akili kubwa

  • @jacksonsaugah9120
    @jacksonsaugah9120 Před 2 lety +1

    Ukweli haupingiki kwamba mwenda zake alikurupuka kununua ndege nyng wakati biashara haipo jamani!🤓🤓 Pia tujifunze kufanya vitu kwa kutaka sifa kwa wanaotuzunguka aaaaaaamen!!!

    • @priscusjoseph7664
      @priscusjoseph7664 Před 2 lety

      Subir siku ulale njaa ndo akili itakaa sawa kuku ww

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 2 lety

      Mwone mbuzi wa kiangazi huyu.. kama mwendazake alikurupuka mbona mama samia aliziongeza zingine?? Na wew bwege kweli ikitokea ukapewa nchi hata kwa dakika Moja uiongoze utajiharishia na kujikojolea Kila mahali.. Leo hii et unapata ujasiri wa kumkejeli shujaa Magufuli kuwa alikurupuka. Hata hio kazi ya kukusanya Kodi na kuwabana mafisadi mpaka kununua ndenge ni shughuli ya akili ya hali ya juu Sana.

  • @shukuruwiliamu1357
    @shukuruwiliamu1357 Před 2 lety

    Hawa ndo watetezi wawananchi sio hawa wa ccm kilakitu ndiooooo

  • @hassanmuhammadamin2705

    Yuda

  • @akidajulius8397
    @akidajulius8397 Před 2 lety

    Tatazo hili bunge la CCM,lenyewe lipo kuipigia makofi serikali tu,hata kama kunajambo lakuibana serikali ,bungelenyewe nikupiga makofi,

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 Před 2 lety

    Amakweli dunia simama nishuke banaadam simkamilifu mwenyrzi mungu kilakitu kakiumba kwa.mipango yake nakumbuka zamaani hapo ndege zoilikuwa kidogo sana hadi aibu yaani ilipofika wakati wa kampeni wezetu upande wapili wslitoa ahadi kama wakipata uraisi watanunua ndege kwawingi kuondoa aibu hii leo.ndege zimeletwa haohao walio aside watanunua ndege wanasema ndege nyingi zanini kwani wanaosafiri wotee nilazima watumie ndege? Kilamtu nauwezo wake mimikana sina uwezo wandege mwingine anao viwanja vifanye kazii atakae iba yeye namungu wakee

  • @magdalenabenard4208
    @magdalenabenard4208 Před 2 lety

    Msaliti

  • @elinessclarence8585
    @elinessclarence8585 Před 2 lety

    Ya waziri anajibu kama katoka choooni inaudhiiii sana hiii mijituuuu

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 Před 2 lety

    Unajizalilisha na usomi wako maana haupo na baraka za chama mnatengeneza kesii.

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 Před 2 lety +1

    Kwanza utwambue uko chama gani? Ndio uendelee Acha u ubishi tu

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo6949 Před 2 lety

    Mwigulu ziro

  • @cyprianmachibula7122
    @cyprianmachibula7122 Před 2 lety

    KWA NINI MWIGURU NCHEMBA HATOI TAARIFA YA PATP LATOZO ? PIA ATUELEZE NI PESA ZILIZOTUMIKA KUPEREKA MISAFARA DUBAI NA MAREKANI TUKUE NASI

  • @luthermartin1098
    @luthermartin1098 Před 2 lety

    Waziri anapingana na CAG?