Kweli sana inaburudisha,inaelimisha na pia inatumika kukosoa,,da mh mbunge umenifulaisha sana kwa kutumia sanaa kufikisha ujumbe na pia umeniburudisha kisawa sawa yani nimecheka adi machozi yamenitoka,yani umenichekesha kuliko ata masanja joti na mpoki walivyokuwa wakinichekesha,,asante sana kwa kunipunguzia mastress,auna baya.Nakuunga mkono kwa harakati zako za kuwapigania wananchi wako
Wanasiasa wengi ni sanguine personalities, yaani wanapokuwa mbele ya umati wa watu wanaweza kufanya chochote. Hata kama ni baba/mama yako, wewe ndio utabaki unaona aibu. Rejea wabunge waliowahi kulia hadharani, kutishia kuvua nguo, kupiga magoti, kugalagala chini nk. Yaani ni haiba zao; na wala hawajutii au kuona aibu. 😄😄😛
Wasipotimiza Piga misarakasi bunge zima , mpk Kwa Spika
Huyu anaelewa anachokifanya
Waliomchagua hawajakosea
Nataman awe mbunge wetu 🙌🙌
Sawa,maana anaonesha msisitizo na kukumbusha serikali kuwa wananchi anaowawakilisha wanahitaji vitendo sio ahadi.
2ngekuwa na viongozi kama haw kama20 tz 2ngepiga hatua sanaaaaaaaaaaaaaaaaa
😂😂😂😂😂Safi sana
Nakupongeza Sana mheshimiwa natamani nikuone nikupe heshima yako
Mwanaumeeeeee
Nimempenda bure muheshimiwa
inabidi watu waonyeshane kua sasa watu hawana mchezo sio mizaha ambayo haina tija kabisa ,🤣🤣
Wewenimwanaume ongea baba tukusikie nawengine waige kutoka kwako
Asante mungu akupe umri sana kwakweli yani raaa anachangamsha bunge yy na halima wako mbele 😂😂😂😂😂😂
Hongera unatumia Kura yawanainch wako vizuri
Hongera Sana watakuelewa tu
inauma kwa kweli, watu wana shida,
ilibidi asisitize ki hivyo
Ewaaaaaa safii sana
Uhakika nakubali unaweza
Mbunge ni kwamba unahasira!!!!!!! Au
Hahahahah umetshaa wataelewa2
Kweli huyo ni kiongozi wa. Wananchi anafatilia majukumu yake. Ongera sana
Wangepaswa kumuwajibisha amelikosea Sana bunge
Nikweli kabisa mmbuge wetu,,
Daaa so sad
Naona bunge haliko sawa jamani tofauti na mwaka 2017,,
Jamani limekuwa mbunge ganihilo
Kweli sana inaburudisha,inaelimisha na pia inatumika kukosoa,,da mh mbunge umenifulaisha sana kwa kutumia sanaa kufikisha ujumbe na pia umeniburudisha kisawa sawa yani nimecheka adi machozi yamenitoka,yani umenichekesha kuliko ata masanja joti na mpoki walivyokuwa wakinichekesha,,asante sana kwa kunipunguzia mastress,auna baya.Nakuunga mkono kwa harakati zako za kuwapigania wananchi wako
Daah! Mbunge kaongea point tupu na kutuburudisha
Safi
hahahhahhaa hii nchii bhnaaa daaah
Kweli mkuu
Clauds fm
Angekuwa na uwezo angemchapa makofi mtu hapo
😮😮😢😢😢😂😂😂😂
Nikwli kabisa🔥🔥💞
Haaaaa kuna myeleka
Hakuna lolote hapo unafki tu analeta masiara kwenye Amna watu wanateseka we unapiga sarakasi mi namjua vzur huyu mtu
😅😅😅😅😅😅
Ujumbe umefika
Hahahaha
Ukiona hivyoo hamnaachakulaa upoo
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏🤗🤗👌👌Good
🤣🤣🤣🤣
Huuuuwiiiiii
czcams.com/video/d-3kQOSW-NI/video.html&feature=share
Wanasiasa wengi ni sanguine personalities, yaani wanapokuwa mbele ya umati wa watu wanaweza kufanya chochote.
Hata kama ni baba/mama yako, wewe ndio utabaki unaona aibu.
Rejea wabunge waliowahi kulia hadharani, kutishia kuvua nguo, kupiga magoti, kugalagala chini nk.
Yaani ni haiba zao; na wala hawajutii au kuona aibu. 😄😄😛
🤣🤣🤣🤣🤣
Wabunge kama hawa wanashusha hadhi ya Bunge!
Huyu alitakiwa kufukuzwa mle mjebgoni saaa ileile lakini kwa kuwa zizi ndio zizi kazi na iendelee kwani iko nini?
Safi
Hahahahahaa