MBUNGE WA MBULU VIJIJINI ARUKA SARAKASI BUNGENI, AKIDAI BUNGENI.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 05. 2022
  • Mbunge wa Mbulu Vijijini aruka Sarakasi Bungeni, akidai barabara.

Komentáře • 50

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před 29 dny +1

    Wasipotimiza Piga misarakasi bunge zima , mpk Kwa Spika

  • @fkirumba1463
    @fkirumba1463 Před 2 lety +5

    Huyu anaelewa anachokifanya
    Waliomchagua hawajakosea

  • @albertbiden6386
    @albertbiden6386 Před 2 lety +2

    Nataman awe mbunge wetu 🙌🙌

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 Před 2 lety +1

    Sawa,maana anaonesha msisitizo na kukumbusha serikali kuwa wananchi anaowawakilisha wanahitaji vitendo sio ahadi.

  • @gaspermolell5776
    @gaspermolell5776 Před 2 lety +1

    2ngekuwa na viongozi kama haw kama20 tz 2ngepiga hatua sanaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @bennyjohn1412
    @bennyjohn1412 Před 2 lety +2

    😂😂😂😂😂Safi sana

  • @hoseajoseph
    @hoseajoseph Před 2 lety +1

    Nakupongeza Sana mheshimiwa natamani nikuone nikupe heshima yako

  • @rastalukumai
    @rastalukumai Před 2 lety +1

    Mwanaumeeeeee

  • @jacquelinelekule426
    @jacquelinelekule426 Před 2 lety +1

    Nimempenda bure muheshimiwa

  • @f.a6043
    @f.a6043 Před 2 lety +2

    inabidi watu waonyeshane kua sasa watu hawana mchezo sio mizaha ambayo haina tija kabisa ,🤣🤣

  • @rastalukumai
    @rastalukumai Před 2 lety +1

    Wewenimwanaume ongea baba tukusikie nawengine waige kutoka kwako

  • @NaaalsGroup-us8bq
    @NaaalsGroup-us8bq Před rokem

    Asante mungu akupe umri sana kwakweli yani raaa anachangamsha bunge yy na halima wako mbele 😂😂😂😂😂😂

  • @siliviamashaka4326
    @siliviamashaka4326 Před 2 lety

    Hongera unatumia Kura yawanainch wako vizuri

  • @neemajulius1256
    @neemajulius1256 Před 2 lety

    Hongera Sana watakuelewa tu

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 Před 2 lety +2

    inauma kwa kweli, watu wana shida,
    ilibidi asisitize ki hivyo

  • @rajabushilingi4272
    @rajabushilingi4272 Před 2 lety

    Ewaaaaaa safii sana

  • @kubwadrray403
    @kubwadrray403 Před 2 lety

    Uhakika nakubali unaweza

  • @glorympuwa9599
    @glorympuwa9599 Před 2 lety +1

    Mbunge ni kwamba unahasira!!!!!!! Au

  • @johnmichael4535
    @johnmichael4535 Před 2 lety +1

    Hahahahah umetshaa wataelewa2

  • @gozbeelaurenty7812
    @gozbeelaurenty7812 Před 2 lety +1

    Kweli huyo ni kiongozi wa. Wananchi anafatilia majukumu yake. Ongera sana

  • @limbukitulanhawa4109
    @limbukitulanhawa4109 Před 2 lety +1

    Nikweli kabisa mmbuge wetu,,

  • @lydiavegula7641
    @lydiavegula7641 Před 23 dny

    Daaa so sad

  • @limbukitulanhawa4109
    @limbukitulanhawa4109 Před 2 lety

    Naona bunge haliko sawa jamani tofauti na mwaka 2017,,

  • @elineemamchomemchome9992
    @elineemamchomemchome9992 Před 2 lety +1

    Jamani limekuwa mbunge ganihilo

  • @lusajooden5185
    @lusajooden5185 Před 2 lety

    Kweli sana inaburudisha,inaelimisha na pia inatumika kukosoa,,da mh mbunge umenifulaisha sana kwa kutumia sanaa kufikisha ujumbe na pia umeniburudisha kisawa sawa yani nimecheka adi machozi yamenitoka,yani umenichekesha kuliko ata masanja joti na mpoki walivyokuwa wakinichekesha,,asante sana kwa kunipunguzia mastress,auna baya.Nakuunga mkono kwa harakati zako za kuwapigania wananchi wako

  • @masterngao5538
    @masterngao5538 Před 2 lety

    Safi

  • @mctikisa5316
    @mctikisa5316 Před 2 lety

    hahahhahhaa hii nchii bhnaaa daaah

  • @mohamedially5330
    @mohamedially5330 Před 2 lety

    Kweli mkuu

  • @pasichalmartin9386
    @pasichalmartin9386 Před 2 lety

    Clauds fm

  • @janemfinanga8258
    @janemfinanga8258 Před 2 lety +1

    Angekuwa na uwezo angemchapa makofi mtu hapo

  • @user-hv5sz6wj8m
    @user-hv5sz6wj8m Před 5 měsíci

    😮😮😢😢😢😂😂😂😂

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před 2 lety

    Nikwli kabisa🔥🔥💞

  • @mariamally1244
    @mariamally1244 Před 2 lety

    Haaaaa kuna myeleka

  • @oscarsakilu2494
    @oscarsakilu2494 Před 2 lety

    Hakuna lolote hapo unafki tu analeta masiara kwenye Amna watu wanateseka we unapiga sarakasi mi namjua vzur huyu mtu

  • @swalehbakari2667
    @swalehbakari2667 Před 20 dny

    😅😅😅😅😅😅

  • @hamadiabdallah3906
    @hamadiabdallah3906 Před 2 lety

    Ujumbe umefika

  • @mamuguda1704
    @mamuguda1704 Před 2 lety +1

    Hahahaha

  • @feisal6592
    @feisal6592 Před rokem

    Ukiona hivyoo hamnaachakulaa upoo

  • @mewasemanuel8413
    @mewasemanuel8413 Před 2 lety

    😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před 2 lety +1

    😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥👏👏👏🤗🤗👌👌Good

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 Před rokem

    🤣🤣🤣🤣

  • @wallesmdoe9164
    @wallesmdoe9164 Před 2 lety

    Huuuuwiiiiii
    czcams.com/video/d-3kQOSW-NI/video.html&feature=share

  • @lanlady2504
    @lanlady2504 Před 2 lety +1

    Wanasiasa wengi ni sanguine personalities, yaani wanapokuwa mbele ya umati wa watu wanaweza kufanya chochote.
    Hata kama ni baba/mama yako, wewe ndio utabaki unaona aibu.
    Rejea wabunge waliowahi kulia hadharani, kutishia kuvua nguo, kupiga magoti, kugalagala chini nk.
    Yaani ni haiba zao; na wala hawajutii au kuona aibu. 😄😄😛

  • @fulgencemark7640
    @fulgencemark7640 Před 2 lety

    Huyu alitakiwa kufukuzwa mle mjebgoni saaa ileile lakini kwa kuwa zizi ndio zizi kazi na iendelee kwani iko nini?

  • @abuushaymaatzkajoki7107

    Safi

  • @dalilaally6118
    @dalilaally6118 Před 2 lety

    Hahahahahaa