SPIKA AMPA ONYO KALI TABASAMU / KAULI YA KUMPONDA MBUNGE MWENZIE YAMFIKIA...

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 9. 05. 2022
  • SPIKA AMPA ONYO KALI TABASAMU / KAULI YA KUMPONDA MBUNGE MWENZIE YAMFIKIA...
    WATCH WASAFI TVđŸ“ș
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM đŸ“»
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI đŸ“» | 104.1 DODOMA đŸ“» | 94.5 ARUSHA đŸ“» | 97.3 MBEYA đŸ“» | 94.9 MWANZA đŸ“» | SHINYANGA 106.3 đŸ“» | KIGOMA 101.7 đŸ“»
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    đ‘Ș𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 đ‘Ÿđ’‚đ’”đ’‚đ’‡đ’Š 𝑮𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑹𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáƙe • 170

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Pƙed 2 lety +11

    Mimi humuelewa sana spika wetu, ana hekima za uongozi.Mungu azidi kumtunza..
    Pili
    Ni kweli kila mbunge anachangia kulingana na kile amekuja nacho kutoka alikotoka au cha kijamii..hamuwezi kuchangia jambo moja wote, mambo ni mengi.

    • @amoji126
      @amoji126 Pƙed 2 lety +1

      Hili ndio tatizo ambalo hata kwenye jamii zetu lipo yani wanataka wote tuwe uniform yn kuwa tofauti ni tatizo which is not right at all.

  • @novatikabangu5207
    @novatikabangu5207 Pƙed 2 lety +3

    Wakati huu siyo wakujadili sitalehe zakurewa taifa like tabani nauli kilakona ni gumuzo tatuweni Hilo siyo pombe

  • @moseskimaro3424
    @moseskimaro3424 Pƙed 2 lety +4

    Speaker wetu Dada Tulia una hekima na busara tele Mungu aendelee kukubariki

  • @eliaskahory7116
    @eliaskahory7116 Pƙed 2 lety +12

    Mr Tabasamu Upo vizuri. Ukwer wanawake Hamuwez kuingiza nchi. HV watu wanajadili Mambo ya Mama huyo Mdada analeta Mambo ya Pombe.

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 Pƙed 2 lety

      Msukuma alipochangia bangi kwa hiyo Msukuma alichaguliwa na wavuta bangi

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 Pƙed 2 lety

      Nadhani kama mambo ni hayo mbunge akichaguliwa na wvuvi atetee wavuvi,mheshimiwa kachaguliwa na waheshimiwa, kunaalie wahi kuchangia kufungua chuo Cha majambazi sjui nae alichaguliwa na majambazi, Kuna aliewahi kutetea MADEREVA wawe na mikataba mizuri sjui alichaguliwa na madereva

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 Pƙed 2 lety +7

    Kweli tuna wabunge wa hovyo sana shida hatukuwachagua ngoje Mungu atupe uhai 2025 hawarudi

  • @julianajohn5256
    @julianajohn5256 Pƙed 2 lety +8

    Huyo mbunge atakuwa alichaguliwa na walevi na yeye ni mlevi,badala ya kuleta hoja ya nvhi haina chakula analeta habari za kulewa.

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 Pƙed 2 lety +5

    Aliye angelea pombe na aliye ongelea mafuta na chakula wote wako sawa kwa sababu wabunge ni wengi kwa hio wote hawawezi ongelea kitu kimoja tu lazma utofauti wa michango au maswali yawe tofauti

  • @fredymahinda4024
    @fredymahinda4024 Pƙed 2 lety +1

    Nimegundua kwa muda mfupi Spika aliopita na kiti ulichopewa wewe Cha kuliongoza bunge ni tofauti kabisa. Ndugai alikuwa anaharibu bunge kabisa. Alikuwa utawala wake humo bumngeni kama anavyoitawala familia yake nyumbani. Aende zake na popote alipo Mungu atamueleleza kabla na baada ya maisha ya hapa Dunia. Chapakazi Tulia Akson Mungu akusimie ondoa uvyama wape haki wabunge wote kwa faida ya taifa letu.

  • @rajabuimori9333
    @rajabuimori9333 Pƙed 2 lety +8

    Muwe mnajadiri vitu vya mana maisha magumu mnajadiri mambo ya pombe

    • @faithjonathan3845
      @faithjonathan3845 Pƙed 2 lety

      Hiyo pombe inalipa kodi kubwa kabisa. Condom pia zinalipa kodi ambazo barabara mnazitumia hata nyie ' watakatifu'😀😀

  • @mchinjaayubu7559
    @mchinjaayubu7559 Pƙed 2 lety +5

    Narudia tena wanaume mnaopiga makofi mjitafakari SanađŸ€”đŸ€”đŸ€”đŸ€”
    Tabasamu uko sahihi..mtu wa ajabu hutoa hoja za ajabu ajabu

  • @nashonkibayayu3776
    @nashonkibayayu3776 Pƙed 2 lety +3

    Hongera spika kwa hekima yako.

  • @hassanmakamba7166
    @hassanmakamba7166 Pƙed 2 lety +2

    Mbunge umetenda haki Allah atakulipa....

  • @veronicacormack1043
    @veronicacormack1043 Pƙed 2 lety +4

    Ina sikitisha sana mnazungumzia pombe na hamjui madhara muende kutembelea sober house bagamoyo mjue madhara kwa vijana wetu pombe haina heshima mmekosea sana

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Pƙed 2 lety +4

    Wabunge walopita bila kupingwa Tanganyika wanawatu WajaabuđŸ€ŁđŸ€Ł hizo pombe tumieni kwenu Tanganyika

  • @patrickbeijuke669
    @patrickbeijuke669 Pƙed 2 lety +1

    Yaani gongo ndo kila kitu kwa maisha ya MTU Wa chini,

  • @nyasigojoseph4455
    @nyasigojoseph4455 Pƙed 2 lety +12

    Ni wakati wa kujadili vitu vya muhimu vitu vimepanda bei sio wakati wa kujadili pombe

    • @williamhalinga3584
      @williamhalinga3584 Pƙed 2 lety

      Hiyo pombe unayo idharau ndo imenifanya mm nisome hadi chuo kikuu na sio mm tu na wengine wengi

  • @ramadhanirashid9658
    @ramadhanirashid9658 Pƙed 2 lety +1

    Woooozaaa jumba la sanaaa

  • @arbogastemiykimario2721
    @arbogastemiykimario2721 Pƙed 2 lety +3

    Spika machozi yamenilenga lenga hasa ulipo omba Radhi kwa niaba ya mbunge, hata Kama kweli tupo kwenye Hali ya mtafaruku mbunge akutumia busara Kuliko kumkejeli mwenzake nje ya bunge.angemlipua mlemle ndani ya bunge.
    huo nao Ni umama.

  • @jastinjustus6878
    @jastinjustus6878 Pƙed 2 lety +7

    Kweli Tabasamu hakumwelewa ,hakuzungumzia Kwa nia mbaya Bali ni kuwasaidia wananchi wa hali za chini wanaokamatwa hawana soko wakati Kila siku pombe za kienyeji zinatoka nje Tena Kwa Bei ya juu hapa ndani haziruhusiwi

  • @gudluckhobela5049
    @gudluckhobela5049 Pƙed 2 lety +3

    Ila mchangiaji aliesemea pombe hizo zimeingizwa nchini kinyamela hiyo Kodi imetoka wapi

  • @mwigakatumpula6852
    @mwigakatumpula6852 Pƙed 2 lety +3

    Sasa itakuaje maana tulio wapa dhamana ya kuja kuwa tumaini kwa wanchi ila Sasa ndio wamegeuka pasua kichwa đŸ‘†đŸ‘†đŸ‘†đŸ€ŁđŸ™ŒđŸ˜€đŸ˜€đŸ™†đŸ™†

  • @richardbituro2386
    @richardbituro2386 Pƙed 2 lety +10

    Pombe, vipi mafuta, chakula je hari duni za wananchi? Yuko sawa tabasamu. Yule mbunge alisema wanaume hawana nguvu mlifanyaje?

  • @asnathmasegenya9890
    @asnathmasegenya9890 Pƙed 2 lety

    Safi sana mheshimiwa

  • @jaguartz8519
    @jaguartz8519 Pƙed 2 lety +1

    Safi sana

  • @abuushaakir9582
    @abuushaakir9582 Pƙed 2 lety +2

    Nyie mmekua Viaz kwelii yaan nyie watuu njaa zawaua nyie mwatuletea pmbe Bungen ....waajabu kwakuleta ulevii wake bungenii ..

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115

    Hali Ni mbaya...jadilini vtu kwa ufanisi

  • @longinemuhumba3804
    @longinemuhumba3804 Pƙed 2 lety +6

    Ndio mambo mliyoyataka na mwendazake. Sasa wananchi wanamuoneni mpo mpo tu ,hakuna tunachojifunza hapo .

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 Pƙed 2 lety

    Asante sana Spika

  • @menchngonyani3744
    @menchngonyani3744 Pƙed 2 lety +2

    Jamani hili ni bunge gani na tuna speaker wa ajabu kutokea hapa duniani,yaani waTanzania tunapenda kutishana kinoma,tupunguze uoga

    • @fulgencemark7640
      @fulgencemark7640 Pƙed 2 lety

      Hii ndio hali hali halisi,eaendelee kutishana sana hadi hapo tuyakapojitambua na kuachana na watu wa aina hii iwe wameingia kwa wizi wa kura au kwa maagizo kama ilivyokuwa wakati huo wa mwendazake hadi kuzakisha wabunge ambao hawatokani na.chama cha siasa ili mradi tu kukamilisha usiginaji wa katiba waliyoapa kuilinda na kueshimu.Siku hazigandi wakati utafika watawajibishwa tuuuuuuu.

  • @charlesbarongo2778
    @charlesbarongo2778 Pƙed 2 lety +1

    Tuache unafiki.Mr.Tabasamu kateleza.

  • @yohanemwitumba3711
    @yohanemwitumba3711 Pƙed 2 lety +1

    Saw kabisa mweshimiwa Tabasam

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 Pƙed 2 lety +2

    yule Dada alieleweka, Bali huyu Tabasamu nimujinga sana, from Cedar Rapids IOWA STATE USA đŸ‡ș🇾.

  • @smartfredrick2797
    @smartfredrick2797 Pƙed 2 lety +2

    Unaenda bungeni kuchangia mada za gongo kweli na huku wananchi chakula kepanda Bei tatizo.mnaupiga mwingi

  • @queenraphaher7736
    @queenraphaher7736 Pƙed 2 lety +1

    Jadilin mambo Muhimu,Huku maisha ni Magumu.,pombe jamani,acheni,watu wanateseka

  • @leonardkalaba1693
    @leonardkalaba1693 Pƙed rokem

    Pamoja Sana Kaka

  • @christinammassy1550
    @christinammassy1550 Pƙed 2 lety +2

    Mh. Spika uko vizuri.

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115

    Hongera kwa busara yako Spka wa bunge

  • @arnoldthemistocles3308
    @arnoldthemistocles3308 Pƙed 2 lety +2

    yule Mama alikuwa sahihi kabisa izo gongo ndo zinawatoa watu wa nchi jirani km waganda maisha ya mtu moja mmoja yana unafuu kwasababu ndo yanapiga boster ya haraka.... bwana tabasamu amekosea sana yeye kama hatumii kilevi asiwe kikwazo kwa wanaonurudika na kupata kipato kupitia pombe

  • @nestorymwezimpya4077
    @nestorymwezimpya4077 Pƙed 2 lety +1

    Mbunge tababasamu alikosea dada nachalwe mchango wake ni sahii kabisa kwakua swala la kupanda mafuta na biza mbalimbali kiholela vilikuwa vimezungumziwa na kuwekewa italatibu hakuawa na haha ya kuendelea kuzungumzuwa tena tabasam ajilekebishe japo sijawai kumsikia na maneno ya ajabu

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 Pƙed 2 lety +1

    Mheshimiwa spika nimekuelewa sana mungu akubariki uendelee na hekima hiyo hiyo,huyo mbunge aliongea point sana

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 Pƙed 2 lety +1

    Tabasamu yupo juu ..huwezi changia kwenda shule wakati unayempeka ni mgonjwa..

  • @rogerioathumani9084
    @rogerioathumani9084 Pƙed 2 lety +1

    Ila sisi ambao tunajielewa tunampongeza sana mh tabasamu

  • @paulojoseph22
    @paulojoseph22 Pƙed 2 lety +3

    Yani ningekuwa wewe ndio mbunge wa jimbo langu bora niweke gogo bungeni we usiwepo

  • @zikirination6769
    @zikirination6769 Pƙed 2 lety +3

    Hawa dawa yao wapunguziwe mshahara na posho ndo watuwa na akili wakivimbiwa wanaleta hoja zakitoto Sana😁

  • @joramkimario9321
    @joramkimario9321 Pƙed 2 lety +4

    Lkn mbn nyie wanawake mnapenda kujishusha saaana yaan hamjiamin.kusema kwake mtu wa ajab mmeshakuzaaa et lbda kwa sabab yeye ni mwanamke

    • @neemaisrael688
      @neemaisrael688 Pƙed 2 lety

      Wanawake mnajishusha kujiamini. Msijishushe kwa ajili ya jinsi.

  • @obillaezra6205
    @obillaezra6205 Pƙed 2 lety

    Yaani ukigombana na Mwanamke eti kwa Sababu yy ni Mwanamke Duh

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Pƙed 2 lety +1

    Tabasamu ni mbunge mgeni yaani Njuka 😁...Ajifunze kanuni za Bunge asije akaitwa kwenye kamati ya nidhamu..Kwa nini hakuulizia utaratibu akiwa Bungeni

  • @seciliapaul366
    @seciliapaul366 Pƙed 2 lety

    Tunawasubiri 2025 mfyuuuuh 😎

  • @jumakilinja6341
    @jumakilinja6341 Pƙed 2 lety +3

    Ukweli unauma,uongo kwenu nyie ccm ni halali,na mtakulana sana kama si kupapasana

  • @williamwilifred6563
    @williamwilifred6563 Pƙed 2 lety

    Falawe Mzee pombeinajengauchumi unajifanyaunauchunguvitukupandapei nanifalaunamtangakuaunauchungunas mjingaww naonautu uzimasiohekma angeletahojahiyo Wazir wakousngesemaktu hujielew wemzee

  • @listerlujiso6009
    @listerlujiso6009 Pƙed 2 lety +1

    Huyo m'bunge pembeni anavyopga kofi kila neno hatarđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

    • @chaluriboxoffice9966
      @chaluriboxoffice9966 Pƙed 2 lety

      ni balaaa sanaa 😂😂

    • @listerlujiso6009
      @listerlujiso6009 Pƙed 2 lety

      @@chaluriboxoffice9966 đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Łyaan inaelekea hicho kitu kilimgusa sana

  • @jamessimba749
    @jamessimba749 Pƙed 2 lety +2

    HII NCHI TULIYOKABIDHI WANAWAKE TUTAKOMA

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Pƙed 2 lety

    Kweli kabisa

  • @rogerioathumani9084
    @rogerioathumani9084 Pƙed 2 lety +3

    Hy yanayo tokea hatuyashangai hata spika kutetea mambo ambayo hayana mpango hiyo ndio dhambi ya ufumo wa chama kimoja bungeni

  • @HassanHassan-si2rt
    @HassanHassan-si2rt Pƙed 2 lety

    Nchi ya hovyo sana hii aisee

  • @deepconcept2020
    @deepconcept2020 Pƙed 2 lety

    Spika unaielewa sana hii kazi

  • @omarykusah9719
    @omarykusah9719 Pƙed 2 lety

    Mnaaangalia wakat gan hyu Hali Tete ya maisha

  • @michaelmwambona3017
    @michaelmwambona3017 Pƙed 2 lety

    Ivi we we mwanamke unajua unacho ropoka hapo bungeni au unaropoka ilimladi sikuiende kwani hauoni vitu vilivyo panda being hapa nchini maana hata mapera baada ya kununua 100 tunanunua200 kwamoja

  • @paulojoseph22
    @paulojoseph22 Pƙed 2 lety

    Hyo kapitishea

  • @3kings63
    @3kings63 Pƙed 2 lety +2

    Wanaume wengi wana wadharau wanawake ki2 ambacho sio sawa
    Lakni ndilo lina wapoteza kila sikuu nakuwa na wingi wa matatizo kisa kuwaza huyu si mwanamke kwani atafanyaje
    Respect all womenđŸ‘©đŸ™đŸż

    • @rithadonatus8110
      @rithadonatus8110 Pƙed 2 lety

      Hapana dada kusema ukweli alichoongea huyu dada ni noses unaongelea kuhusu gongi wakati watu hawana chakula ...

    • @3kings63
      @3kings63 Pƙed 2 lety

      @@rithadonatus8110 stop what you say nnajua anacho angolea ni kweli lazima ikemewe ilo wanawake wengi wanaumia kwajili ya hiyo gongo kwasabab ni rahis wanaume wana acha majukumu yao ya familia wanaenda kulewa akirudi nyumban anataka chakula watoto ni mama anawahusu wakat baba naye anausika so think about it
      Vijijin vijana wadogo 🔞 now wanakunywa ukimwona sura kama babu wa mtuu kumbe maskin ni machoz ya Simba

  • @leinaamos
    @leinaamos Pƙed 2 lety

    Tulia mm nampengaga sana

  • @eng.magesakhamis493
    @eng.magesakhamis493 Pƙed 2 lety +4

    Hata sijakuelewa mbunge, ACHA u gender!!! Wake-up

  • @jamessimba749
    @jamessimba749 Pƙed 2 lety

    MBUNGE NI DHAMANA ila ubinadamu unabaki pale pale

  • @azzaazza3686
    @azzaazza3686 Pƙed 2 lety

    Hufai kabisa

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Pƙed 2 lety +4

    Ndio pumbavu fanyeni mambo ya maana bwana , wananchi wabunge kama hawa kwa nn mnawachagua tupa kule

  • @claudbusumilo3979
    @claudbusumilo3979 Pƙed 2 lety

    Viwekwe vingezo vya mtu kuwa mbunge maana WABUNGE wengine wanachangia pombe

  • @zephasiay7888
    @zephasiay7888 Pƙed 2 lety +4

    Kwa hapa nampa 5 spika Huyo tabasamu ana mawazo mgando

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Pƙed 2 lety +1

    Mluhusu bangii bangi mnauzi

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 Pƙed 2 lety

    Uko makini spika ww muelewa mzuri

  • @khneesajumaa2052
    @khneesajumaa2052 Pƙed 2 lety +3

    Tabasamu yuko sawa jadili mambo yaliyopo watu wanakufa na shida nyie mnaleta mambo ya ajabu

  • @frankjohn8706
    @frankjohn8706 Pƙed 2 lety

    Bei wapandishe wenyewe alafu wanatusikilizisha mjadala wa kutetea kupandishwa vitu Bei kwani waliopandisha Bei ni nani au kama ni wapinzani tuambieni waziwazi

  • @williamwilifred6563
    @williamwilifred6563 Pƙed 2 lety

    Yan nilizan unaupeokiongoz wangukumbe hewa nakusubir 2025unamfumodume mjingaww

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 Pƙed 2 lety

    Hiyo pombe msiyotaka kuijadili inalipa kodi za miundombinu mnayotumia. Kila kinachoongelewa watanzania wengi wanasema hakifai. Tatizo ni kuwa watu hawaelewi jinsi kila kitu kinavohusiana katika jamii. Na mfano mnaosema dini ndiyo tu za kuongelewa, je hizo sadaka zetu huwa tunalipa kodi?? uelewa ni kuhimu kuliko kujidai ' mtakatifu' bila kufikiria.

  • @justinakaronge5270
    @justinakaronge5270 Pƙed 2 lety

    Malizaneni wenyewe kwa wenyewe!! Sie yetu macho😃

  • @tabasamtv6728
    @tabasamtv6728 Pƙed 2 lety

    Tutayaona mengi

  • @eng.emmanuelh.cy.magazi4989
    @eng.emmanuelh.cy.magazi4989 Pƙed 2 lety +1

    Hatutaki mjadala wa pombe ni ujinga

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 Pƙed 2 lety

    Huyo aliyejadili pombe amekula ameshiba ndio anataka kujadili wewe mtu hela yakula huna hujui asubuhi wala mchana utawaza pombe inauzwa bei ? Watu wengine nao matope matupu vitu vya kujadili vipi mafuta shida nauli imepanda, vyakula bei juu umeme waka zimika alafu mnajadili pombe hamko sawa

  • @daimanyakunga6293
    @daimanyakunga6293 Pƙed 2 lety +1

    Pumbavu pombe inatuhusu nn

  • @williamwilifred6563
    @williamwilifred6563 Pƙed 2 lety

    Et anajadilivitukupanda beisasa babaang hukosingiokupotezamuda manavikipandaulikuepobungen unajadlinn Tena mjingaww

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Pƙed 2 lety

    Wewe umepeleka mjadala gani kwenda Marekani au kuleta hivo vyakula Tabasam acha sifa tafuta njia sio kuleta shida

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 Pƙed 2 lety

    WAKINA MAMA OYE!

  • @urumtewele9693
    @urumtewele9693 Pƙed 2 lety

    Wewe mzee umelelewa nanini? Mimi nimesoma kwa kuuza pombe na wazazi wengi wanasomesha watoto kwa kuuza pombe aliloonge mbunge nijema sana sana , virabu vi boreshwe ,na wajenge virabu vizuri. Ukiangalia uandaaji wa gongo watu wanasndaa kwakujificha namwisho wake wengi wanaungua sana sasa endapo serikali inawasaidia kuwafundisha kuiandaa kiutaalamu hawata ungua hata kidogo.

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Pƙed 2 lety

    Huyooo mbunge ni bule kabisa inafaa atwangwe makofi yani tunywe pombe ha sasa na ushoga mjadili na bangiii

  • @afuahussein9338
    @afuahussein9338 Pƙed rokem

    Upumbavu 2

  • @williamwilifred6563
    @williamwilifred6563 Pƙed 2 lety

    Halijielew hilozee

  • @KATOPE1
    @KATOPE1 Pƙed 2 lety

    Huyo mama hapo karibu yake nadhan ni. Mlevi sana naona anavyopiga meza

    • @teddyhenry2579
      @teddyhenry2579 Pƙed 2 lety +1

      Yani anapiga makofi kabla hata mtu hajaanza kuongea kwani waajabu inamaanisha mwanamke jamani

  • @barakabusima
    @barakabusima Pƙed 2 lety

    Kuweni na vipaumbele vya majadiliano...,umbea umbea tuu

  • @hajiabdallah3357
    @hajiabdallah3357 Pƙed 2 lety

    Du...

  • @edoyoseph4606
    @edoyoseph4606 Pƙed 2 lety

    Hawa ndio wabunge et mwanamke mzima anatetea ujinga

  • @charlestadeo1805
    @charlestadeo1805 Pƙed 2 lety

    watu tunauaba vyakula mafuta juu kwa hiyo kunawtu wa hajabu hatuna huwaba wa pombe jmaa yupo sawa wtu wengene hawana uchungu wanaleta komedi

  • @paulojoseph22
    @paulojoseph22 Pƙed 2 lety

    Hivi huyo mbunge au kuweka hapo pombe nini watu bidhaa zinapanda na wewe mbunge unaeongea hapo unainuka tu

  • @bekaashbai1781
    @bekaashbai1781 Pƙed 2 lety

    Vipi zikichuka chini pombe tutabakana humo bungeni mbona hamujielewi hakuna aciyekua na dini gani inaruhusu

  • @mchinjaayubu7559
    @mchinjaayubu7559 Pƙed 2 lety +1

    Wanaume manopiga makofi mezani mjitafakariđŸ€”đŸ€”đŸ€”

  • @witneskilinda5034
    @witneskilinda5034 Pƙed 2 lety

    sasa hivi mmeanza kupondana wenyewe kwa wenyewe

  • @filbetkalembe2806
    @filbetkalembe2806 Pƙed 2 lety

    Wabunge wa ajabu wamo

  • @philemonmagesa5548
    @philemonmagesa5548 Pƙed 2 lety

    Ni waajabu huyo mbunge Tabasamu hajakosea

  • @nickjuma3937
    @nickjuma3937 Pƙed 2 lety +3

    Mheshimiwa Tabasamu amekosea sana! hicho chakula anacho tetea watu watakinunua vipi bila kuwa na pesa! ninachofikiri mimi ni kwamba mtu atapika pombe na kupata kipato Kwa ajili ya matumizi mbali mbali ikiwamo kununua chakula pia school fees!

  • @paulojoseph22
    @paulojoseph22 Pƙed 2 lety

    Alafu wabunge mnapiga makofi wananchi wanapandisha bidhaa bora kusiwe na bunge tukae tu bila bunge sijaona cha maana pombe kweli bungeni

    • @emmanuelmwanzalima8337
      @emmanuelmwanzalima8337 Pƙed 2 lety

      Kaka wabunge pia spika wana tetea ugali kweli unapiga makofi kisa pombe fikilia sabun 500 kweli

  • @therobi7957
    @therobi7957 Pƙed 2 lety

    irudiwe mi sikuwepo nilikuwa nanywesha paka maziwa

  • @emmanuelmwanzalima8337
    @emmanuelmwanzalima8337 Pƙed 2 lety +1

    Achen mamboya ajabu bunge sio lakujadili pombe TABASAM yupo sawaaaaa