SPIKA AMPA ONYO KALI TABASAMU / KAULI YA KUMPONDA MBUNGE MWENZIE YAMFIKIA...
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 9. 05. 2022
- SPIKA AMPA ONYO KALI TABASAMU / KAULI YA KUMPONDA MBUNGE MWENZIE YAMFIKIA...
WATCH WASAFI TVđș
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM đ»
88.9 DAR/ZNZ/PWANI đ» | 104.1 DODOMA đ» | 94.5 ARUSHA đ» | 97.3 MBEYA đ» | 94.9 MWANZA đ» | SHINYANGA 106.3 đ» | KIGOMA 101.7 đ»
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
đȘđđđđđđđđ ©2021 đŸđđđđđ đŽđđ đđ. đšđđ đđđđđđ đđđđđđđđ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mimi humuelewa sana spika wetu, ana hekima za uongozi.Mungu azidi kumtunza..
Pili
Ni kweli kila mbunge anachangia kulingana na kile amekuja nacho kutoka alikotoka au cha kijamii..hamuwezi kuchangia jambo moja wote, mambo ni mengi.
Hili ndio tatizo ambalo hata kwenye jamii zetu lipo yani wanataka wote tuwe uniform yn kuwa tofauti ni tatizo which is not right at all.
Wakati huu siyo wakujadili sitalehe zakurewa taifa like tabani nauli kilakona ni gumuzo tatuweni Hilo siyo pombe
Speaker wetu Dada Tulia una hekima na busara tele Mungu aendelee kukubariki
Mr Tabasamu Upo vizuri. Ukwer wanawake Hamuwez kuingiza nchi. HV watu wanajadili Mambo ya Mama huyo Mdada analeta Mambo ya Pombe.
Msukuma alipochangia bangi kwa hiyo Msukuma alichaguliwa na wavuta bangi
Nadhani kama mambo ni hayo mbunge akichaguliwa na wvuvi atetee wavuvi,mheshimiwa kachaguliwa na waheshimiwa, kunaalie wahi kuchangia kufungua chuo Cha majambazi sjui nae alichaguliwa na majambazi, Kuna aliewahi kutetea MADEREVA wawe na mikataba mizuri sjui alichaguliwa na madereva
Kweli tuna wabunge wa hovyo sana shida hatukuwachagua ngoje Mungu atupe uhai 2025 hawarudi
Watarudi Mungu ni mwema
Huyo mbunge atakuwa alichaguliwa na walevi na yeye ni mlevi,badala ya kuleta hoja ya nvhi haina chakula analeta habari za kulewa.
Aliye angelea pombe na aliye ongelea mafuta na chakula wote wako sawa kwa sababu wabunge ni wengi kwa hio wote hawawezi ongelea kitu kimoja tu lazma utofauti wa michango au maswali yawe tofauti
Nimegundua kwa muda mfupi Spika aliopita na kiti ulichopewa wewe Cha kuliongoza bunge ni tofauti kabisa. Ndugai alikuwa anaharibu bunge kabisa. Alikuwa utawala wake humo bumngeni kama anavyoitawala familia yake nyumbani. Aende zake na popote alipo Mungu atamueleleza kabla na baada ya maisha ya hapa Dunia. Chapakazi Tulia Akson Mungu akusimie ondoa uvyama wape haki wabunge wote kwa faida ya taifa letu.
Muwe mnajadiri vitu vya mana maisha magumu mnajadiri mambo ya pombe
Hiyo pombe inalipa kodi kubwa kabisa. Condom pia zinalipa kodi ambazo barabara mnazitumia hata nyie ' watakatifu'đđ
Narudia tena wanaume mnaopiga makofi mjitafakari Sanađ€đ€đ€đ€
Tabasamu uko sahihi..mtu wa ajabu hutoa hoja za ajabu ajabu
Hongera spika kwa hekima yako.
Mbunge umetenda haki Allah atakulipa....
Ina sikitisha sana mnazungumzia pombe na hamjui madhara muende kutembelea sober house bagamoyo mjue madhara kwa vijana wetu pombe haina heshima mmekosea sana
Wabunge walopita bila kupingwa Tanganyika wanawatu Wajaabuđ€Łđ€Ł hizo pombe tumieni kwenu Tanganyika
Yaani gongo ndo kila kitu kwa maisha ya MTU Wa chini,
Ni wakati wa kujadili vitu vya muhimu vitu vimepanda bei sio wakati wa kujadili pombe
Hiyo pombe unayo idharau ndo imenifanya mm nisome hadi chuo kikuu na sio mm tu na wengine wengi
Woooozaaa jumba la sanaaa
Spika machozi yamenilenga lenga hasa ulipo omba Radhi kwa niaba ya mbunge, hata Kama kweli tupo kwenye Hali ya mtafaruku mbunge akutumia busara Kuliko kumkejeli mwenzake nje ya bunge.angemlipua mlemle ndani ya bunge.
huo nao Ni umama.
Kweli Tabasamu hakumwelewa ,hakuzungumzia Kwa nia mbaya Bali ni kuwasaidia wananchi wa hali za chini wanaokamatwa hawana soko wakati Kila siku pombe za kienyeji zinatoka nje Tena Kwa Bei ya juu hapa ndani haziruhusiwi
Yan hii nchi mpk u ccm uxhe Bingen ndo tutaenda maan kwa xx vt vinapnda bei
Ni kweli hakumwelewa tu
Ila mchangiaji aliesemea pombe hizo zimeingizwa nchini kinyamela hiyo Kodi imetoka wapi
Sasa itakuaje maana tulio wapa dhamana ya kuja kuwa tumaini kwa wanchi ila Sasa ndio wamegeuka pasua kichwa đđđđ€Łđđđđđ
Pombe, vipi mafuta, chakula je hari duni za wananchi? Yuko sawa tabasamu. Yule mbunge alisema wanaume hawana nguvu mlifanyaje?
Kaaa pombe
Safi sana mheshimiwa
Safi sana
Nyie mmekua Viaz kwelii yaan nyie watuu njaa zawaua nyie mwatuletea pmbe Bungen ....waajabu kwakuleta ulevii wake bungenii ..
Hali Ni mbaya...jadilini vtu kwa ufanisi
Ndio mambo mliyoyataka na mwendazake. Sasa wananchi wanamuoneni mpo mpo tu ,hakuna tunachojifunza hapo .
Tunapata uhondo wa kugongewa meza mle ndani.
Asante sana Spika
Jamani hili ni bunge gani na tuna speaker wa ajabu kutokea hapa duniani,yaani waTanzania tunapenda kutishana kinoma,tupunguze uoga
Hii ndio hali hali halisi,eaendelee kutishana sana hadi hapo tuyakapojitambua na kuachana na watu wa aina hii iwe wameingia kwa wizi wa kura au kwa maagizo kama ilivyokuwa wakati huo wa mwendazake hadi kuzakisha wabunge ambao hawatokani na.chama cha siasa ili mradi tu kukamilisha usiginaji wa katiba waliyoapa kuilinda na kueshimu.Siku hazigandi wakati utafika watawajibishwa tuuuuuuu.
Tuache unafiki.Mr.Tabasamu kateleza.
Saw kabisa mweshimiwa Tabasam
yule Dada alieleweka, Bali huyu Tabasamu nimujinga sana, from Cedar Rapids IOWA STATE USA đșđž.
Unazingua
Unaenda bungeni kuchangia mada za gongo kweli na huku wananchi chakula kepanda Bei tatizo.mnaupiga mwingi
Jadilin mambo Muhimu,Huku maisha ni Magumu.,pombe jamani,acheni,watu wanateseka
Pamoja Sana Kaka
Mh. Spika uko vizuri.
Hongera kwa busara yako Spka wa bunge
yule Mama alikuwa sahihi kabisa izo gongo ndo zinawatoa watu wa nchi jirani km waganda maisha ya mtu moja mmoja yana unafuu kwasababu ndo yanapiga boster ya haraka.... bwana tabasamu amekosea sana yeye kama hatumii kilevi asiwe kikwazo kwa wanaonurudika na kupata kipato kupitia pombe
Mbunge tababasamu alikosea dada nachalwe mchango wake ni sahii kabisa kwakua swala la kupanda mafuta na biza mbalimbali kiholela vilikuwa vimezungumziwa na kuwekewa italatibu hakuawa na haha ya kuendelea kuzungumzuwa tena tabasam ajilekebishe japo sijawai kumsikia na maneno ya ajabu
Mheshimiwa spika nimekuelewa sana mungu akubariki uendelee na hekima hiyo hiyo,huyo mbunge aliongea point sana
Tabasamu yupo juu ..huwezi changia kwenda shule wakati unayempeka ni mgonjwa..
Mluhusu na bangii
Ila sisi ambao tunajielewa tunampongeza sana mh tabasamu
Yani ningekuwa wewe ndio mbunge wa jimbo langu bora niweke gogo bungeni we usiwepo
Hawa dawa yao wapunguziwe mshahara na posho ndo watuwa na akili wakivimbiwa wanaleta hoja zakitoto Sanađ
Lkn mbn nyie wanawake mnapenda kujishusha saaana yaan hamjiamin.kusema kwake mtu wa ajab mmeshakuzaaa et lbda kwa sabab yeye ni mwanamke
Wanawake mnajishusha kujiamini. Msijishushe kwa ajili ya jinsi.
Yaani ukigombana na Mwanamke eti kwa Sababu yy ni Mwanamke Duh
Tabasamu ni mbunge mgeni yaani Njuka đ...Ajifunze kanuni za Bunge asije akaitwa kwenye kamati ya nidhamu..Kwa nini hakuulizia utaratibu akiwa Bungeni
Tunawasubiri 2025 mfyuuuuh đ
Ukweli unauma,uongo kwenu nyie ccm ni halali,na mtakulana sana kama si kupapasana
Falawe Mzee pombeinajengauchumi unajifanyaunauchunguvitukupandapei nanifalaunamtangakuaunauchungunas mjingaww naonautu uzimasiohekma angeletahojahiyo Wazir wakousngesemaktu hujielew wemzee
Huyo m'bunge pembeni anavyopga kofi kila neno hatarđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€Ł
ni balaaa sanaa đđ
@@chaluriboxoffice9966 đ€Łđ€Łđ€Łyaan inaelekea hicho kitu kilimgusa sana
HII NCHI TULIYOKABIDHI WANAWAKE TUTAKOMA
Kweli kabisa
Hy yanayo tokea hatuyashangai hata spika kutetea mambo ambayo hayana mpango hiyo ndio dhambi ya ufumo wa chama kimoja bungeni
Nchi ya hovyo sana hii aisee
Spika unaielewa sana hii kazi
Mnaaangalia wakat gan hyu Hali Tete ya maisha
Ivi we we mwanamke unajua unacho ropoka hapo bungeni au unaropoka ilimladi sikuiende kwani hauoni vitu vilivyo panda being hapa nchini maana hata mapera baada ya kununua 100 tunanunua200 kwamoja
Hyo kapitishea
Wanaume wengi wana wadharau wanawake ki2 ambacho sio sawa
Lakni ndilo lina wapoteza kila sikuu nakuwa na wingi wa matatizo kisa kuwaza huyu si mwanamke kwani atafanyaje
Respect all womenđ©đđż
Hapana dada kusema ukweli alichoongea huyu dada ni noses unaongelea kuhusu gongi wakati watu hawana chakula ...
@@rithadonatus8110 stop what you say nnajua anacho angolea ni kweli lazima ikemewe ilo wanawake wengi wanaumia kwajili ya hiyo gongo kwasabab ni rahis wanaume wana acha majukumu yao ya familia wanaenda kulewa akirudi nyumban anataka chakula watoto ni mama anawahusu wakat baba naye anausika so think about it
Vijijin vijana wadogo đ now wanakunywa ukimwona sura kama babu wa mtuu kumbe maskin ni machoz ya Simba
Tulia mm nampengaga sana
Hata sijakuelewa mbunge, ACHA u gender!!! Wake-up
MBUNGE NI DHAMANA ila ubinadamu unabaki pale pale
Hufai kabisa
Ndio pumbavu fanyeni mambo ya maana bwana , wananchi wabunge kama hawa kwa nn mnawachagua tupa kule
Viwekwe vingezo vya mtu kuwa mbunge maana WABUNGE wengine wanachangia pombe
Kwa hapa nampa 5 spika Huyo tabasamu ana mawazo mgando
Yanina ww hovyo kabisa
Mluhusu bangii bangi mnauzi
Uko makini spika ww muelewa mzuri
Tabasamu yuko sawa jadili mambo yaliyopo watu wanakufa na shida nyie mnaleta mambo ya ajabu
Bei wapandishe wenyewe alafu wanatusikilizisha mjadala wa kutetea kupandishwa vitu Bei kwani waliopandisha Bei ni nani au kama ni wapinzani tuambieni waziwazi
Yan nilizan unaupeokiongoz wangukumbe hewa nakusubir 2025unamfumodume mjingaww
Hiyo pombe msiyotaka kuijadili inalipa kodi za miundombinu mnayotumia. Kila kinachoongelewa watanzania wengi wanasema hakifai. Tatizo ni kuwa watu hawaelewi jinsi kila kitu kinavohusiana katika jamii. Na mfano mnaosema dini ndiyo tu za kuongelewa, je hizo sadaka zetu huwa tunalipa kodi?? uelewa ni kuhimu kuliko kujidai ' mtakatifu' bila kufikiria.
Malizaneni wenyewe kwa wenyewe!! Sie yetu machođ
Tutayaona mengi
Hatutaki mjadala wa pombe ni ujinga
Huyo aliyejadili pombe amekula ameshiba ndio anataka kujadili wewe mtu hela yakula huna hujui asubuhi wala mchana utawaza pombe inauzwa bei ? Watu wengine nao matope matupu vitu vya kujadili vipi mafuta shida nauli imepanda, vyakula bei juu umeme waka zimika alafu mnajadili pombe hamko sawa
Pumbavu pombe inatuhusu nn
Et anajadilivitukupanda beisasa babaang hukosingiokupotezamuda manavikipandaulikuepobungen unajadlinn Tena mjingaww
Wewe umepeleka mjadala gani kwenda Marekani au kuleta hivo vyakula Tabasam acha sifa tafuta njia sio kuleta shida
WAKINA MAMA OYE!
Wewe mzee umelelewa nanini? Mimi nimesoma kwa kuuza pombe na wazazi wengi wanasomesha watoto kwa kuuza pombe aliloonge mbunge nijema sana sana , virabu vi boreshwe ,na wajenge virabu vizuri. Ukiangalia uandaaji wa gongo watu wanasndaa kwakujificha namwisho wake wengi wanaungua sana sasa endapo serikali inawasaidia kuwafundisha kuiandaa kiutaalamu hawata ungua hata kidogo.
Huyooo mbunge ni bule kabisa inafaa atwangwe makofi yani tunywe pombe ha sasa na ushoga mjadili na bangiii
Upumbavu 2
Halijielew hilozee
Huyo mama hapo karibu yake nadhan ni. Mlevi sana naona anavyopiga meza
Yani anapiga makofi kabla hata mtu hajaanza kuongea kwani waajabu inamaanisha mwanamke jamani
Kuweni na vipaumbele vya majadiliano...,umbea umbea tuu
Du...
Hawa ndio wabunge et mwanamke mzima anatetea ujinga
watu tunauaba vyakula mafuta juu kwa hiyo kunawtu wa hajabu hatuna huwaba wa pombe jmaa yupo sawa wtu wengene hawana uchungu wanaleta komedi
Hivi huyo mbunge au kuweka hapo pombe nini watu bidhaa zinapanda na wewe mbunge unaeongea hapo unainuka tu
Vipi zikichuka chini pombe tutabakana humo bungeni mbona hamujielewi hakuna aciyekua na dini gani inaruhusu
Wanaume manopiga makofi mezani mjitafakariđ€đ€đ€
sasa hivi mmeanza kupondana wenyewe kwa wenyewe
Wabunge wa ajabu wamo
Ni waajabu huyo mbunge Tabasamu hajakosea
Mheshimiwa Tabasamu amekosea sana! hicho chakula anacho tetea watu watakinunua vipi bila kuwa na pesa! ninachofikiri mimi ni kwamba mtu atapika pombe na kupata kipato Kwa ajili ya matumizi mbali mbali ikiwamo kununua chakula pia school fees!
Alafu wabunge mnapiga makofi wananchi wanapandisha bidhaa bora kusiwe na bunge tukae tu bila bunge sijaona cha maana pombe kweli bungeni
Kaka wabunge pia spika wana tetea ugali kweli unapiga makofi kisa pombe fikilia sabun 500 kweli
irudiwe mi sikuwepo nilikuwa nanywesha paka maziwa
đđđđ
Achen mamboya ajabu bunge sio lakujadili pombe TABASAM yupo sawaaaaa