MBUNGE GWAJIMA NA MWIGULU NCHEMBA 'WANYUKANA' KWA HOJA BUNGENI / BUNGE LAMOTO

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 8. 05. 2022
  • MBUNGE GWAJIMA NA MWIGULU NCHEMBA 'WANYUKANA' KWA HOJA BUNGENI / BUNGE LAMOTO
    WATCH WASAFI TVđŸ“ș
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM đŸ“»
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI đŸ“» | 104.1 DODOMA đŸ“» | 94.5 ARUSHA đŸ“» | 97.3 MBEYA đŸ“» | 94.9 MWANZA đŸ“» | SHINYANGA 106.3 đŸ“» | KIGOMA 101.7 đŸ“»
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    đ‘Ș𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 đ‘Ÿđ’‚đ’”đ’‚đ’‡đ’Š 𝑮𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑹𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáƙe • 682

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 Pƙed 2 lety +24

    Nshagundua,,,,,, magufuri alikuja kutengeneza njia km yohana mbatzaji na YESUKRISTO mkombozi yuko anakuja njiani ee mungubaba tupe gwajima aje awe mkomboz wetu

  • @danieltungira3837
    @danieltungira3837 Pƙed 2 lety +62

    Aliimba sana mzee john nileteen gwajima mwe ×3

  • @noelimafwele602
    @noelimafwele602 Pƙed 2 lety +78

    Nileteeeeni gwajimaaaa Nileteeeeni Gwajimaaaa Nileteeeeni Gwajimaaaaaaaa

  • @ellydaud1645
    @ellydaud1645 Pƙed 2 lety +32

    Gwajima simati sana hongera sana dady wetu mungu akupe uvumilivu naamini unaumia sana kunakitu unakiona rohoni

  • @mussahassan8751
    @mussahassan8751 Pƙed 2 lety +3

    Gwajima akigombea urais 2025 kura yangu nitampa bila kupepesa macho gwajima is đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„

  • @nyakikayepersion3822
    @nyakikayepersion3822 Pƙed 2 lety +41

    Gwajima uko vizuri, Mno !

  • @aishambise6529
    @aishambise6529 Pƙed 2 lety +15

    đŸ™đŸ»đŸ™đŸ»đŸ™đŸ»đŸ‡°đŸ‡Ș🇰đŸ‡Ș🇰đŸ‡ȘđŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„gwajuma watakuelewa tu mtumishi w mungu eti ukisimama wanasema muda hautoshi ju unawapa ukwel wasioutaka mungu ibarik tz đŸ”„đŸ‡°đŸ‡Ș

  • @stevenezekiel5670
    @stevenezekiel5670 Pƙed 2 lety +3

    Huyu jamaa namkubali sana .

  • @elvisrugims8298
    @elvisrugims8298 Pƙed 2 lety +25

    Nimependa jinsi nchemba alivyoingia kwenye mtego wa Gwajima, bila yeye mwenyewe kujua.

  • @abdulsaid4579
    @abdulsaid4579 Pƙed 2 lety +8

    huyu jamaa smart sana.👍🏿👍🏿👍🏿👍🏿
    in Shaa Allah naku support kw asilimia Mia moja... tuanze kuchimba wenyewe

  • @shaluamusics8812
    @shaluamusics8812 Pƙed 2 lety +3

    Our presdent to come Bishop Ngwajima

  • @ryobaadams3358
    @ryobaadams3358 Pƙed rokem

    Huyu mwigulu cjawahi kumwelewa!!!! Huo wasifu anaousungumzia wanaongelea tu amani tuliyonayo mbali si maendeleo anayoyasungumzia Gwajima!! Mungu asaidie nchi yetu tupate akina magufuri na akina Gwajima waongezeke.

  • @MsMasola
    @MsMasola Pƙed 2 lety +2

    Katiba ni tiba ya kueleweka. Mungu atusaidie tupate katiba mpya na ifuatwe tutatoka tulipo na tusonge mbele. Na haya anayosema Gwajima kila siku wapinzani wanayasema yeye ameyafikisha tu mbungeni na abarikiwe sana na Mungu.

  • @barakasanga9436
    @barakasanga9436 Pƙed 2 lety +8

    Mungu awalinde wabunge wanaomtumikia Mungu kwa uzalendo wa kulitetea taifa letu

  • @omarikessy2339
    @omarikessy2339 Pƙed 2 lety +6

    Unaona mbali sana Mheshimiwa gwajima,ndo Uzuri wa kupata kiongozi Mwenye fedha zake

  • @ernestfelix8596
    @ernestfelix8596 Pƙed 2 lety +2

    Great thinker Gwajima

  • @gracenyangusi6230
    @gracenyangusi6230 Pƙed 2 lety +26

    đŸ˜…đŸ˜…đŸ˜…đŸ€ŁđŸ‘đŸ‘đŸ‘đŸ”„đŸ”„Nakuelewa Baba Gwajima

  • @salehrashidshekidele1039
    @salehrashidshekidele1039 Pƙed 2 lety +43

    Sindano imeingia lazma maumiv yawe makali gwajima umeongea point Ukiongea ukwel mda unapungua

  • @yohanemwitumba3711
    @yohanemwitumba3711 Pƙed 2 lety +7

    Doctor gwajima unaongea kweli sana na unafanya vizur sana mungu mwenyewe anajua. Ila tuu umo bungeni wengi wapigaji awataki kabisa kukuelewa unacho zungumza ila ni jembe mweshimiwa mungu akupiganie

  • @masoudsigali4523
    @masoudsigali4523 Pƙed 2 lety +43

    Gwajima akawa raisi afu makamu wake akawa majaliwa au majaliwa akawa raisi afu makamu wake akawa gwajima.........R.I.P MAGUFUR😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @nathanielyohana7723
      @nathanielyohana7723 Pƙed 2 lety

      Mbona magu nae aliagiza au nani alianzisha reli kabla takuchimba chuma

    • @lewisikazoba698
      @lewisikazoba698 Pƙed 2 lety

      ​@@nathanielyohana7723 😂😂😂😂

    • @birianination7097
      @birianination7097 Pƙed 2 lety

      @@nathanielyohana7723 đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Pƙed 2 lety +15

    Namkubali doct gwajima ila wengine hawakuelewi baba

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo2633 Pƙed 2 lety +9

    Nakupenda sana GWAJIMA Mungu akupe afya njema.

  • @petertimothy7882
    @petertimothy7882 Pƙed 2 lety +12

    Tuwe Wazalendo. Mbele za Mungu na mbele za Watanzania Mch. Gwajima kaongea la maana sana. Hela hizo ni muhimu kwa maendeleo ya nchi kwa kuchimba chuma chetu kuliko kuacha na kunufaisha nchi zingine wakati tunahitaji maendeleo kwa ujumla wake. Mawazo yake yafanyiwe Kazi. Amegusa wengi. Katika maoni wengi sana wamefurahishwa naye.

    • @giftdresses6831
      @giftdresses6831 Pƙed rokem

      Sasa watapigaje pesa km wakichimba hapa na wapigaji ni walewale hawatosheki hawashiibii

  • @sweetbertkikarugaa8814
    @sweetbertkikarugaa8814 Pƙed 2 lety +7

    Thnx kwamchango mzr mchungaji waufufuo,viongoz wetu wangekuwa Kama ww bc nchi yetu ingekuwa mbali,, kuliko viongoz wapuuzi hawa wakina mwiguru wakutetea ushenzi waserikari nakulinda matumbo yao pamoja na uchama.mungu azidi kukusimamia mchungaji

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki5667 Pƙed 2 lety +13

    Kwanza sijui hata kama jamaa alielewa maana ya neno MAONO "VISION" kama Askofu alivyo changia. Yeye anazungumzia plan badala ya VISION. Askofu amezungumzia VISION na siyo PLAN. Yeye badala ya kuzungumzia VISION akajikanyaga na kuzungumzia plan.

    • @dickchambilo9138
      @dickchambilo9138 Pƙed 2 lety

      Halafu hao ndio vinala wa kuishauri serikali. Wakiambiwa ukweli wanapepesa macho Tena Bora wayafanyie kazi hayo.uzalendo Ni kazi kweli kweli , wengi wanatetea matumbo yao sio nchi!

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 Pƙed rokem +1

    Zitto ameliongea sana lkn alipuuzwa,hongera Gwaji boy

  • @ernestphilip256
    @ernestphilip256 Pƙed rokem +1

    Ahsante sana Mungu akulinde sana namungu akuone nakuteuwe uwe raisi wanchi hii

  • @godfreymalekela133
    @godfreymalekela133 Pƙed 2 lety +1

    Gwajima mungu akujaze maalifa na uzma

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 Pƙed 2 lety +9

    Majeshi majeshi my Bishop Dr josephat
    Silaha za vita za Bwana
    Hakika tunavuka tunavuka taifa ni muhimu tuwe na maono ya muda mrefu kwanzia miaka 59-100 sio maono ya miaka 5

  • @ibrahimtotti859
    @ibrahimtotti859 Pƙed 2 lety +1

    Hiki kichwa sanaa mungu amuweke sanaa

  • @hbdina
    @hbdina Pƙed 2 lety +38

    đŸ‡č🇿đŸ‡č🇿đŸ‡č🇿Huu ndio mfano wa Mawaziri tulionao serikalini hawawezi hata kujitetea kwa hoja nzuri wananyukwa na wanasita kupokea hoja nzuri.Watu weusi tuna tabu

    • @charlesmarwa4877
      @charlesmarwa4877 Pƙed 2 lety +4

      Kweli hatunaakili sijui nani alitoga kila ninapo kanyaga ardhi inayomilikiwa na watu weusi mambo ni hayo hayo from USA

    • @gamma9590
      @gamma9590 Pƙed 2 lety +1

      Na ndio raisi wako ajae

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 Pƙed 2 lety +1

      Mawaziri wanajibu kitaalamu sio wanajibu kushabikia Mtu kama hawezi kielewa maana ya mpango wa miaka 50 unakuwaje huyo ni tatizo

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 Pƙed 2 lety

      @@gamma9590 I don't live there anymore but I wish one day ngwajima to be a president

    • @nelsonshillah6618
      @nelsonshillah6618 Pƙed 2 lety

      Gwajima nimekuelewa vzr sana

  • @ditrickmotto2448
    @ditrickmotto2448 Pƙed 2 lety +2

    Akili kubwa saana Bishop,,, endelea kuwapa lecture hao wachumia tumbo pengine kwa neno lako nao watapona na kuanza kulitumikia Taifa LETU. Royal Tour ni kumwona gwajima akichangakia . So very exciting

  • @edwardsemwenda4726
    @edwardsemwenda4726 Pƙed 2 lety +1

    Gwajima mtu anaeona mbali sana mtumie vizuri

  • @khneesajumaa2052
    @khneesajumaa2052 Pƙed 2 lety +38

    Ngwajima hawa watu kukuelewa ni vigumu

  • @mathiaskizito9780
    @mathiaskizito9780 Pƙed 2 lety +21

    Hii nchi tunahitaji viongozi wenye uchungu na uzalendo na nchi Yao na sio masrahi Yao na familia zao😭😭😭
    Gwajima ana uchungu na nchi yake❀

  • @yohanemwitumba3711
    @yohanemwitumba3711 Pƙed 2 lety +2

    Waziri kuanzia Leo iyo tai ya bendela ya Taifa inabid uachekuvaa maana maono ya baba wa Taifa yanaendana kabisa na mchungaji gwajima lakin wew kila kitu ni kupinga tuu na huna hata hekima Wala busala pindi unapo toa majibu mungu tuu akusimamie.

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 Pƙed 2 lety +1

    Askofu Gwajima intelligent man đŸ’Ș👏👏👏

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 Pƙed 2 lety +11

    Gwajima ni mutu ya akili mingimingi 🙌🙌 Waziri kapuyanga

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 Pƙed 2 lety

      Sio ana akili bali ni mlopokaji tatizo hajui nchi ni kwa hali gani nchi inaweza kuwa na mpango wa miaka 50. Nchi yetu bado ni ya uchumi wa chini huwezi weka mpango wa miaka 50 Gwajima uwe mwelewa usiwe msemaji wa kutia wasikizaji.

    • @mosseskanini255
      @mosseskanini255 Pƙed 2 lety

      @@blandinamwarabu5025 we ndo huna akil timamu,kwanza unajua mana ya mipango endelefu au unaropoka tu,ingekuwa nchi ina mpingo hiyo isingekuwa kila rais anayeingia madarakan anafanya analojisikia,mfano hiyo Royal tour iliyutumia zaid ya mabillion ilikuwa kwenye mipango ya nchi au ni maamuz tu ya uongoz uliopo moadarakan,acha kutumia akil kama kabat la nguo,We ni mmoja kati ya vijana wa hovyo tz.

    • @kepasibogosi2274
      @kepasibogosi2274 Pƙed 2 lety

      Nikweli kabisa...sio liganga na mchuchuma..hata elimu....afya..na hata baadhi ya viongozi..wa sector zingine easier wanna siasa..

  • @princepiuskamugisha5626
    @princepiuskamugisha5626 Pƙed 2 lety +10

    Raia wa hovyo kama Mwigulu, eeh Mungu tuondolee hiki kiumbe😭😭😭😭

  • @deusmtewele8757
    @deusmtewele8757 Pƙed 2 lety

    Hizi ni taranta tulizopewa na mungu tumeshindwa kutumia viongozi mkifa mtaulizea na mungu talanta alizotua tumezifanyieje

  • @richardmasanja6163
    @richardmasanja6163 Pƙed 2 lety

    Mh.Gwajima hongera sana Mungu akubariki sana Rais wetu mtarajiwa

  • @ericrukamba6802
    @ericrukamba6802 Pƙed 2 lety +14

    Wewe unajibu kisiasa tumechoka na hizo ngonjela,Gwajima tuko Sahihi kabisa,tunataka vitendo sivinginevyo

  • @gprinceofficial9908
    @gprinceofficial9908 Pƙed 2 lety

    Hadi aongee Gwajima Mbunge wa Ludewa kamonga anafanya nini huu ni upuuzi saana hongera Gwajima

  • @chrisbertludovick8908
    @chrisbertludovick8908 Pƙed 2 lety +5

    Mweshimiwa Gwajima mimi nakuelewa sana na unachomaanisha tatizo linaanzia kwenye elimu tunayo pewa uko mashuleni zinatutengeneza kama chombo na siyo manahotha

  • @fortunatusmkatakiu7718
    @fortunatusmkatakiu7718 Pƙed 2 lety +1

    Nadhani Bishop Gwajima angefaa kuwa waziri wa mipango na fedha kwa masilahi ya taifa hili!!

  • @nyaligwanyamizi8210
    @nyaligwanyamizi8210 Pƙed 2 lety +2

    Gwajima well done you always speak sensible 👏 👍

  • @reubennyamai8647
    @reubennyamai8647 Pƙed 2 lety +1

    Congratulations gwajima

  • @jacksonpetro9558
    @jacksonpetro9558 Pƙed 2 lety +17

    Nchi tunachelewa kupata Raisi kama Gwajima. Tunahitaji mkweli na mkali mwenye machungu na nchi yetu😱😱

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari2833 Pƙed 2 lety +2

    Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU endelea kuwaongoza vyema wabunge wetu

  • @people720
    @people720 Pƙed rokem +1

    excellent👍

  • @abiliamtv
    @abiliamtv Pƙed 2 lety +21

    This guy is very smart...tunahitaj watu wa dizain hii.

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 Pƙed 2 lety

      Umeelewa lakini au unasema yuko smart unaelewa maana ya MPANGO na DIRA đŸ€Ł

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 Pƙed 2 lety

      👍🙌

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 Pƙed 2 lety +1

      Very true 👍

    • @abiliamtv
      @abiliamtv Pƙed 2 lety

      Naelewa na maana yake nimeielewa

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo Pƙed 2 lety +1

    Taifa liko chini ya watu wasio ongozwa na roho wa Mungu ndo maana hawajui hata wafanye nini mwisho wa siku wanaenda kutumia mabillion kuigiza movie wakati wananchi wengine wankufa njaa

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 Pƙed 2 lety +1

    I wish one you be came a president of Tanzania đŸ‡č🇿 🙏

  • @hopejohnson7352
    @hopejohnson7352 Pƙed 2 lety +1

    Jaman naomba gwajima ugombee urais bas 2025 maana unahofu ya mungu xna

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Pƙed 2 lety +18

    Pamoja na majibu mazuri ya mh,Mwigulu bado Gwajima anaongelea point KUBWA Kwa sababu gwajima anaongelea miaka 50-100 MH mwigulu anaongelea miaka 5 mitano,ndio maana Leo ukienda kwenye miji yetu ujenzi haueleweki bado watu wanajenga kiholela badala ya kujenga Kwa mipangilio ,na Kwa dunia ya sasa ilipaswa hata vijijini iwe tayari ardhi imepimwa.

    • @athanasmgaya4316
      @athanasmgaya4316 Pƙed 2 lety

      Anaongea nn mwigulu hana jicho lambali kweli

    • @athanasmgaya4316
      @athanasmgaya4316 Pƙed 2 lety +1

      Hi ana nifaliji ana punguza dakika

    • @nyaganyaga3876
      @nyaganyaga3876 Pƙed 2 lety +1

      Fuatilieni Mambo vizuri huo mpango wa maendeleo ambao ndio dira hasa ulianza mwaka 1994 na utafika mwisho mwaka 2025 na huu ulikua mpango wa muda mrefu ambao ulikua wa miaka 30 na kwenye mpango nikuhakikisha taifa linatoka kwenye uchumi wa chini hadi uchumi wa kati ifikapo 2025 lakini pia hiyo mipango ilipagwa kwa series ya miaka mitano mitano na moja ya mipango hiyo ni Kama MKUKUTA wa 2005 -2010 na Sasa tuna TASAF n.k na uchumi wa kati tulifika Toka mh. JPM akiwa hai na bahati mbaya Mambo yamekwenda mrama Tena hope tumeshuka chini Tena.

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Pƙed 2 lety +1

      Exactly!! ndo maana anasema viongozi wetu wako SHORT SIGHTED! HAWANA MAONO,MAONA YA NCHI INAYOTAKA KUPIGA HATU,NI MIPANGO YA MORE THAN 50YRS!!! WAZIRI ANGETULIA TU BADALA YA KUJIHABISHA

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 Pƙed 2 lety

      Tamaa na madaraka mbaya

  • @patriciasanga9848
    @patriciasanga9848 Pƙed 2 lety +5

    Mungu wa mbinguni,atupatie Gwajima aje kuwa rais wa Tanzania.

  • @joachimoissso2210
    @joachimoissso2210 Pƙed 2 lety +12

    Niseme tu kuwa nimemwelewa GWAJIMA. MWIGULU Anampotezea GWAJIBOY MUDA. So sad

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h Pƙed 7 měsĂ­ci

    Nakupongeza Mweshimiwa gwajima upo Kwa maslah ya taifa na huyumbushwi na unasema kweli pale penye ukweli bila kupepesa macho mungu akubariki

  • @restitutajohn3227
    @restitutajohn3227 Pƙed 2 lety +6

    Gwajima ni kicjwa Iseee

  • @tumsifusebastian9703
    @tumsifusebastian9703 Pƙed 2 lety +1

    Huyu ndugu Gwajima Mungu akupe maisha marefu

  • @OleSolomon1
    @OleSolomon1 Pƙed 2 lety +2

    Mh. Gwajima chukua form 2025, Tanzania deserves you 👏

  • @lispamagu5810
    @lispamagu5810 Pƙed 2 lety +28

    Mwiguru acha upumbuvu kubari nchi haina maono

  • @damasjoachim4451
    @damasjoachim4451 Pƙed rokem

    Heko Askof Gwajima uko juu sana

  • @TembeaNaYesu
    @TembeaNaYesu Pƙed 2 lety +4

    I love Gwajima, the way he embraces fear. He is very smart. Tunahitaji viongozi kama huyu hata nusu ya bunge tu inatosha sana.

    • @ahz6907
      @ahz6907 Pƙed 2 lety

      Tatizo anavutaga bangi sometimes đŸ€“

    • @helenarhobi1250
      @helenarhobi1250 Pƙed rokem

      Jamani mnaonaje tukimpa Bishop Gwajima urais? Jembe hili, Magufuli part two for sure!

    • @1961nungwi
      @1961nungwi Pƙed 7 měsĂ­ci

      Shida ni kwamba anaongea kama vile amewasilinTanzania Leo kutoka mwezini; completely devoid of Tanzania's political, economic and social history!!

  • @EliyacostantinoPius
    @EliyacostantinoPius Pƙed 2 lety +4

    Sema kwenye "LELI" hapo..Ila kwingine uko very smart

  • @labanimwanuke2310
    @labanimwanuke2310 Pƙed 2 lety +7

    Dah Hakika Elimu na ufaham wako unaweza kulisaidia taifa. Big up Bishop Gwajima.

  • @jamessanga7120
    @jamessanga7120 Pƙed 2 lety +2

    hongera bishopđŸ‡č🇿

  • @Chekakidogo2
    @Chekakidogo2 Pƙed 2 lety +3

    Nimekuelewa my Dad Bishop Gwajima.

  • @sagilododomamedelipeter1893
    @sagilododomamedelipeter1893 Pƙed 2 lety +2

    Waziri wa wapi huyu mungu wangu đŸ˜„

  • @altonkanjolonga2380
    @altonkanjolonga2380 Pƙed 2 lety +2

    Naungana na wewe Askofu uko sawa,unaongelea long term strategies.Waziri anaongelea short term strategies.Big up

  • @silvatv8294
    @silvatv8294 Pƙed 2 lety +4

    Gwajima ni fireeee jamn ukwelii ndio huoo kubali ubisheeeew huyuu ndo

  • @omarikessy2339
    @omarikessy2339 Pƙed 2 lety +1

    Gwajima anajua sana Kazi ya serikali wallah namfananisha na king Zitto Kabwe

  • @veronicajohn7645
    @veronicajohn7645 Pƙed 2 lety +1

    Hongera sana Gwajima Kaka

  • @munnawwaryaqub8524
    @munnawwaryaqub8524 Pƙed 2 lety +11

    Tuna dharau vya kwetu, bilioni 7 zimetupwa kushuti move

  • @mussahuyya7775
    @mussahuyya7775 Pƙed 2 lety +6

    Ndiyo Gwajima hill KUNDI siyo saizi yako ni mambumbu tupu,hivi unaweza kuwa na WAZIRI kama Mchemba nchi ikawa na maono,

  • @titus_maridhia
    @titus_maridhia Pƙed 2 lety +13

    Gwajiboy brain kubwa

  • @successconcious703
    @successconcious703 Pƙed 2 lety +9

    Katika maisha kuna mstari mwembamba sana kati ya HEKIMA na UNAFIKI. Mwigulu siku zote yeye ni kutetea tumbo lake hata kwenye vitu vya msingi. Kama waziri unatia aibu brother.

  • @biddii1972
    @biddii1972 Pƙed 2 lety +19

    Ugwajima mungu akubariki ila sisi sio kwamba niwajinga atuna akili ila tatizo ni TABIA YA UBINAFSI YAAANI UMIMI ndio ugonjwa wa sisi watu wa Tanzania

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Pƙed 2 lety +12

    Akili ya gwajima sio ya Kitanzania, akili ya Kitanzania ni kama hiyo ya Mwigulu

  • @sdrog6357
    @sdrog6357 Pƙed 2 lety +1

    Nimekuelewa sana mr, Gwajima

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 Pƙed 2 lety +22

    Bunge linataka wabunge wanamna hii na maranyingi wapo upande wa #UPINZANZI acheni wabunge wa Upinzani wawe Bungeni Kwa Faida ya Taifa

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Pƙed rokem +2

    Yes Gwajima you possess a very high vision, keep on brushing your ccm party to open mind to opposition system so that they help to bring strong leadership.

  • @japhetnyese2285
    @japhetnyese2285 Pƙed 2 lety +1

    Mungu ataendelea kukutumia hakika maana Gwajma amtumwa hakika ubarkwe

  • @jamesncheye969
    @jamesncheye969 Pƙed 2 lety +1

    Waambie waanzishe migodi ya serikali,Nchi hii ni tajiri Sana

  • @jakee2041
    @jakee2041 Pƙed 2 lety +1

    Congratulations Gwajimaaaaa. you. are always straight.

  • @wakembetajaphary3648
    @wakembetajaphary3648 Pƙed 2 lety +1

    Gwajima on đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ”„

  • @omarikessy2339
    @omarikessy2339 Pƙed 2 lety +1

    You deserve kuwa minister mheshimiwa Gwajima👍🏿

  • @atusbaraka
    @atusbaraka Pƙed 2 lety +9

    Absolutely amazing gwajima

  • @josephmoyo5617
    @josephmoyo5617 Pƙed 2 lety

    Safi Sana Askofu Gwajima

  • @donnyshule7432
    @donnyshule7432 Pƙed rokem

    Mzee askofu huko vizuri.sio maono TU hswana maarifa ya kutumia akiri zao

  • @jitathminitv3429
    @jitathminitv3429 Pƙed 2 lety +5

    "Nchi iwe na maono ya mda mrefu" GWAJIMA

  • @kimlolakimlolanelly6330
    @kimlolakimlolanelly6330 Pƙed 2 lety +2

    Speak man of God #bishopGwajima

  • @jeremialyati6092
    @jeremialyati6092 Pƙed 2 lety +7

    Peter Msigwa kaimba sana CCM wanajua kujichetua

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo Pƙed 2 lety +3

    In Tanzania any fool can be a leader especially on vital ministry like finance

  • @lilykarim8968
    @lilykarim8968 Pƙed 2 lety

    Gwaji hoooooyeeeeee amina kubwa

  • @furahamsabaha4238
    @furahamsabaha4238 Pƙed 2 lety +9

    Wakina mwigulu lazima watete chuma kununua njee ! Wanajua wanapata maslahi watakubali kuchimba liganga, wanajua hwatapatamaslahi, hiyo ndio sifa ya 🌍 africa! Kuwapata watetezi wa africa nikazi kubwa sana

  • @tushabefelician8075
    @tushabefelician8075 Pƙed 2 lety +30

    You deserve to be a president of this nationđŸ‡č🇿đŸ‡č🇿đŸ‡č🇿

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 Pƙed 2 lety

      Very true 👍
      When you look how they do everything they want to buy from other country why?
      We can use a our own staff to make money

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 Pƙed 2 lety +2

      We was almost started to wake up when magufuli came he use it to say we need to work hard but not depending on mabeberu

    • @noxlosingida2369
      @noxlosingida2369 Pƙed 2 lety

      @@ednaJF1028 But still people they didn't like our Hero Magufuli now he's gone they started see the difference

    • @ednaJF1028
      @ednaJF1028 Pƙed 2 lety

      @@noxlosingida2369 Exactly 💯 correct

    • @barikikabungo859
      @barikikabungo859 Pƙed 2 lety

      We all suppose to decide the future of this Nation, Our main problem is believing on others to lead the nation towards development, Lets take an example: If you anyone about anything regarding development of this nation, Actual will say Magufuri was the best, of which I don't disagree HE WAS THE BEST. But the question is JPM has gone, who will lead even more than JPM? That is our decision to decide.

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Pƙed 2 lety +3

    Maono ni muhimu nchi tunazo mezea mate vitu vyao kwa kuagiza hata wao walianza na maono. I agree with Gwajima 100%.lini tutajivunia vya kwetu. Just 1 item billions of dollars na hapa tunapata kujua sababu Gwajima ametufumbua macho. Mengine mangapi hela za walipa kodi zinatumika bila huruma bila aibu?

  • @joshuandabazaniye7642
    @joshuandabazaniye7642 Pƙed 7 měsĂ­ci

    congratulations for best vision

  • @kingbrazioanticlockwise3667

    Kiimani sikuamini Ila kisiasa nakubali🙏🙏🙏🙏🙏🙏umeongea point mzee