"KISUKUMA IWE LUGHA YA KUFUNDISHIA" - MBUNGE ALIVUNJA MBAVU BUNGE
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 10. 05. 2022
- "KISUKUMA IWE LUGHA YA KUFUNDISHIA" - MBUNGE ALIVUNJA MBAVU BUNGE
WATCH WASAFI TVđș
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM đ»
88.9 DAR/ZNZ/PWANI đ» | 104.1 DODOMA đ» | 94.5 ARUSHA đ» | 97.3 MBEYA đ» | 94.9 MWANZA đ» | SHINYANGA 106.3 đ» | KIGOMA 101.7 đ»
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
đȘđđđđđđđđ ©2021 đŸđđđđđ đŽđđ đđ. đšđđ đđđđđđ đđđđđđđđ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm - ZĂĄbava
Safi sana mbunge wangu ,hongera pigania unachokiamini ni faifa kwa taifa
Upumbavu
Nyambavuuu wew unaturudisha moja
Aisee kweli Huyu ni mbunge WA wananchi anataka kisukuma like lugha ya taiga. We Mungu tupe nguvu 2025 nikafanye tu jambo langu.mbunge unaongea pumba kweli. Inabidi kuwa mbunge wangeweka kanuni ya usomi.mama samia wabunge WA design hii kwenye chama wanakuangusha kweli.
Uko sahihi kabisa mkuu
Nimpenda Huyu mbungeđđđđđ
Sasa hapo alichoongea Cha maana ni Nini? Sikaongea ujinga tu
Da hatariiiiiiiiiiiiiiii sanaaaaaaa
Lugha ya taifa
Kisukuma hapana aisee matamshi yenyewe hovyo
WABUNGE MSIONGEE PUMBA ..... KISWAHILI NDIO LUGHA YA WATANZANIA.
Uko sawa kwa lugha nyingine
Hata waganda wanatumia kiganda hata wakolea wanatumia kikolea hata kwakufundisha na biashara
Kisukumaaaa oyeeeeeee
Huyu hana akili kabisa
Ukosawa wanao kucheka hawajui kama waingeleza walikataa kutumia kirumi wakatengeneza ruga yao ya kingeleza
Kingereza walikitoa kwenye kabila gani na linapatikana sehemu gani? Yaan watu mlioni 50+ uwafundishe lugha ya kabila moja?
Mi nadhani lugha ya Kiingereza ingekuwa ndo lugha ya kutumika BUNGENI hizi Pumba zisingeongelekađđ
@Humphrey Msengi unafikiri utani kakađđ hata shule zetu za St Kayumba wakisema "SPEAK ENGLISH"madarasan utulivu unakuwepo. Yan yeye mwenyew anahangaika na Kiswahili đđ
Haposafikisukuma nivyema
Moja wa mbunge alieongea pumba bungeni sijaona mbunge aliesema kiingereza kiwe first priority kuanzia shule ya msingi watoto wafundishwe kiingereza ili tusiwachanganye huku juu jaman dunia shv ni ya kidigitali zaidi hakuna namna ya kusema sisi turudi nyuma kwa kweli kiswahili hakijitoshelezi kwa Mambo mengi ya kisayansi na technologia yanaoendelea!!!!!
Aisee bora akesema kingeresa lakini hiyo ingine noo
Mimi nimesema nyerere alisema wasukuma wanyakyusa wahaya wachaga .nimakabira hatari Sana. Angalia ujinga huo.hamna. kazi mumeishiwa chakuzungumza yeye anadhani magufuri yupo.
Mimi ni.ccm.lakini napenda vyama vingi kuwapekeyenu mnaleta kichefuchefu.wangekuwepo chadema wangekuchana . Wewe Chunga mifugo
Bila kuwa na mapinduzi ya viwanda itakuwa ngumu. Kunadi lugha yetu nje ya nchi, zaidi zaidi watakuja kujifunza Kwa faida ya bidhaa zao ziweze kuuzika, lkn tukitengeza bidhaa zetu ambazo ni bora zaidi manual zake ziwe Kwa Kiswahili watalazimika kujifunza Kwa nguvu, kama vile Tanzanite tuichakate hapahapa siyo India kuonyesha dunia kwamba ni product ya Tz tunaweza kuinadi lugha yetu kirahisi kuliko sasa.
Mbunge umeongea point
Hawa ndio wabunge tuliowaoata hivi hawa wapo kwa kujenga nchi au kura posho za wananchi bure tu
Duh. Ama kweli . Hao ndo watu tumewapa nchi watuongozee. For sure we are finished. Mungu atusaidie tu
Kwasabau uliye leta wazo hiro hauna digri ndiyo maana nikama hauleweki kwao rakini kizuru kinaogewa kusini mwa Africa ipo siku hata kama sileo watakumbushwa
Huyu jamaa ni Tajiri mno
Acha buana đ
Wabunge wengine hawana hoja ikifika wakati Taifa iweke kiwango Cha Elimu Cha mtu kugombea ubunge na Udiwani
Yani hii mitaara kweli ibadirishwe kwa mfano namba za kirumi zimebaki kwenye matishet na madera au desmali!
Kweli jamani
Hv hyu mbunge ni WA wapi anasema eti majengo tumepewa inamaana hajui Kam ni Kodi zetu kwanza tunaibiwađđđđđđđđđ
Ndio maana mwalimu nyerere hakutaka msukuma awe raisi kwakua hawa jamaaa wanaubaguzi sanaaaaaa! Hata tanzania ilipopata uhuru wasukuma walipendekeza kisukuma kiwe rugha ya taifa hapo ndipo nyerere alizidi kukasilika
Hii sheria ya mbunge awe la saba tu, inahitaji kubadirishwa kwa sababu hatuwezi kuwa na watu wenye uwezo mdogo kifikra ndo watunge sheria.đ€Łjust imagine
Musukuma la saba lakini anachangia sana bungeni kuliko hao wasomi wenye degree zao
Kusoma hakumtoi ujinga mtu wapo wamesoma sana lkn hawajafanya Cha maana tukaiga kwao zaidi ya kutuibia tu tafakari maisha siyo elimu Tena maisha nikupambana hebu angalia mtaani mwenye pesa nyingi niyule wa Drs la Saba au pengine hajasoma kabisa unakuta wasomi WANAENDA kukopa Kwake sema tu Usiasa siasa umetuathiri China lugha mbaya ila wanaitumia nawamefanikiwa sana
Jaman nchi imeishiwa pumzi Sasa haya mawozo gani? Yaan mbunge mzima hiyo ndiyo hoja aliyonayo kweli ! Tukiwa na wanbunge Kama Hawa nch haitakua maendeleo kwasababu bungeni hakuna kitu wanafanya ,haya niya kitoto
ambao hawajatembea hawatamuelewa kamwee
Kiswahili kinatosha tu.
Mambo ya ajabu sana.
Were ll and then Google
Mmmh! Sasa huyu nae kweli mmmh! hakika tutaisoma namba mwaka huu!
Kichaga
Huna hakili fundisha family yako
Daah nmesikitika sana pointless
Hivi hilo jimbo kwel hakuna watu had wakampa mtu km huyu mana n hovyo hovyo
Umeeza ukabila hujui kilichoko Uganda wewe hufai kuwa kiongozi hata
Upuuzi
Baba wa taifa alipigana kuondoa ukabila leo mnataka lugha za kabila moja kuwa lugha ya mawasiliano?
Inasikitisha sana ,
Kishwahili kinatosha.
Na wanao sema kusoma historia haisaidii , basi tusipo jua tulipo toka hata tunako enda hatuta fika.
Maendeleo ya nchi yanachangiwa na ujumla wa vitu vyote.sio sayansi tu.
Obama once sad, " if you want to teach people about development then teach them their history"
Umeongea pumba kabisa
Wewe watu wengi atujuwi kigerenza tuache.tusomeshe rugha ya kimataifa ukitaka ujue yuriyozariwa mwaka 1986 wengi atukusoma ila memukwa ya yahati benjameni ilituokoa.kidogo tulikua kusoma nakuandika ata wewe yawezakua ilikua umojayao ulisomamemkwa
Acheni maneno tulidishiani memkwa tuedelee na masomo ivi mnafikili tumeelimika tanzania Bado sana
Musikubali kufundiaha kilugha,ni kuleta ukabilaa
Kwahyo kiswahili ni lugha ya nan
Nchi hii watu tunalia nauchumi wengine wanalilia kuongeza luga msitufanye sie wajinga na luga mnayoipinga hapo nikiingereza, akati nyiewabunge hapo watoto wenu wote munawahimiza wajue kiingereza kwani mmetuchukuliaje, taifa lachina mpaka sasa ndio taifa linaloongoza watuwake kujifunza kiingereza jiulize wamejifunza nini hadi waanze kujifunza kwanguvu zote kiingereza.
Hii ni akili upumbavu
Make nicheke kwanza đ€Łđ€Łđ€Łđ€Łđ€žđ€ž
Lakini kiswahili sindiyo idumishwe sasa,,, maana ndio lugha ya taifa
Mnapiga makofi? Duh.
Kuna wabuge wanachekesha san
Zipo mpaka bibulia ziliandikwa kisukuma Hata wa iziraeli wanatumia ruga yao kiebrania
Kuna Kaukweli Ndani yake japo tunaona ni pumba
Hahaaaa wacha nicheke,, nan utamchenga
Wasukumađ„đ„đ„đđ wangapi waliskia hii đđđđđđ
czcams.com/video/SgrMYz661Is/video.html
WATANZANIA BWANAA,
Hiyo X na y ni istilahi Tu ambayo walikaa watu wakajadili na ikawa NI kanuni na sisi maprofesa wakikaa itapatikana mbadala wake.
Nani aanze kuzungumza wangaruka
Naunga mkono hoja
Michango wenu ni hii Kila mwaka
elimu sio kutafuta lugha ambayo haitaeleweka kwa watu, hujaeleweka naona ukabila tuu hapo mbn unaturudisha kwenye kutambika kiswahili kipo thabit kabisa.
Kisukuma chenyew hakijakutoka eti umetembea nchi nying
Magufuli hangover ushunzi mtupu ukabila , yaani eti watu waongee kisukuma na lafudhi hiyo , hivi hili jamaa halijishitukii ni zuzu kutoa mawazo hayo
Ukabila
Mbona mawazo manyonge sana mbunge!!
Hebu shaurini vitu vyenye akili jamani. Kiswahili kimewashinda kukitengenezea misamiati sababu ya kutopenda kufanya utafiti.
Huyu fala saana
Yani mnaleta mzaha ninyi watoto wenu wako urusi eti
Kweli wewe mbunge wa Mbogweđ€Łđ€Łđ€Łđ€Ł
Nyerere aliona mbali kuhusu lugha ww mbunge vp unaongea utopolo gan,mbona enzi za magu mlikuwa hamropokiropok toa point
Maku ww
Huu ni utani, msukuma
Lugha ni English language kisukuma ni ufala fulani na kwanini mbunge aongee mambo yasio faa, Shigongo ni mwelewa Sana nampongeza na waziri amsikilize Sana huyu siyo huyo sukuma guy.
Sasa na hicho kiswahili SI ndio lugha ya kwetu??
Acha ukabila.Kwa hiyo umeona kiswahili hakifai msen.....
Zipo luga zipo zenye busala kuliko kisukuma jamani
Haupishani naye tu
Na kuna watu wanampigia makofi?
Huyu ni mbunge? Analipwa mshahara?
SUKUMA GANG subirini hicho chama chenu cha UMOJA WA WASUKUMA PARTY kiongoze nchi ndio mtafanya kisukuma kiwe lugha ya Taifa.
Utoa ujinga wako fala ww
@@happinessclement6066 Kwani dada na wewe SUKUMA GANG?!!đ
Punguza uchiz
@@kaundasutikaunda7769 Apunguze uchizi huyo mbunge anaetaka kisukuma kiwe lugha ya Taifađ
Sooon tunakuja tutaondoa ujinga wote na wajinga.
Hiyo lugha yako ya Nyika baki nayo wewe mwenyewe. Vip Kama na mnyakyusa atataka nae kinyakyusa kwenye system au kila kabila litake hivyo utakavyo tutafika? Kiswahili kinatosha usiturudishe Nyikani
Wanajielewa bc ndugu yangu wao wanaangalia hapa sio miaka ijayo vizazi vijavyo wala hawawazi ilo kbs
Ina maana Mw/Nyerere alikosea kwa kutuunganisha watanzania lugha ya kiswahili? Kiswahili hoyeeeeeeeee
Nqona mmelewa ubunge sasa yaan kabila liwe ndani ya somo la taifa huo ujinga tu na ubaguzi wa makabila sasa pangeni uko kwenu mjitafute wasukuma wote mfungue shule yenu ya kisukuma uko
Hicho KINGELEZA ni lugha yenu? Mbona mnasoma?
@@jenyyusuph4973 Amka kiswahili cha wote makabila yote mkianza kuvutana kila kabila liwe kwenye somo la taifa hapatoshi hapa Wanyakyusa nao watataka Wahaya watataka srikali ijadili rugha yao taratibu mwisho wa siku jana
@@kennyrogers4734 si bora tuvutebe tujue luga zetu mbona wazungu wamevuta hadi lazima tuongee lugha yao isiyo tuhusu?
@@jenyyusuph4973 Sijakuelewa Jeny Yusuph em icheck vzr comment yako alafu ifanyie marekebisho vzr utupie tusome vzr sijui umemaanisha nini mdau
@@jenyyusuph4973 Kiswahili ndo luga yetu sio kabila flan ndo iwe luga ya nchi iyo mbaya sana inareta msigano mkubwa sana siku za usoni
Kama huna cha kuchangia, si ukae tu usubiri posho yako?
Poor point
Nyie,hahahahahaha
Wewe acha mambo yako.je kiswahili sio lugha...?
Hao ndio viongozi tulionao, tuna viongozi wa ovyo kabisa.....
kwanini watu hawavuti bangi iliyokomaa, yaani haya makushabu yanawaaribu sana... nyinyi wabunge hebu vuteni bangi zilizo komaa ili akili isiharibike
Hahhhah aiseee
Mbunge mpumbavu kuliko wote bungeni,ukabila hautakiwi ni bora aseme tutumie lugha ya Taifa,mbunge mbumbu wewe
Kiswahili ni lugha ya nchi IPI kam sio Tz? Nonsense
Mataifa gani yanakuja kujifunza wakati uchumi ni mbovu, ili lugha iwe na nguvu ni lazima uchumi wa nchi husika iwe na nguvu ili wao watuhitaji sisi, sasa iviii sisi ndio tunawaitaji wao,so ni lazima tuu tusome lugha zao, alafu mbona sasa nyie ndio mnawasomesha watoto wenu international school ambazo kiukweli ni English A to Z. Hapa kwakweli sijapata point kabisa.
Kwel umezidiwa na ujinga wewe yaani umeacha watoto ubaenda kuongea upumbavu wa namna hyo acha ufala wewe
Mungu alijua mpango wa kabila fulani akamuondoa kiongozi mapema ili yasitokee haya
Hopeless wewe huku mnapanda na kufurahia madege yake. Huku mnapita kwenye mabarabara yake aliyojenga for more than 20 years. Wake up. And I tell you leavecalone JPM. ulivyo na elimu ndogo badala ya kuoinga hoja unazozana ba mtu adiyeqeza kukujibu.
Mjitafute wasukuma uko mfungue shule yenu sio taifa lijifunze kisukuma upumbavu mtupu hii ndio madhara ya bunge la chama kimoja kila mtu anaongea anachojiskia tu
Acha kutukana ww Wasukuma ndio kabila kubwa na lenye watu makini zaidi
@@Kakamkubwa3564 Acha ubaguzi usiwe mawazo mgando ndigu muasisi wetu alishalikataa ilo amelipiga vita ikiingizwa kwenye masomo itareta shoda kunyanyapaana kuwa muelewa ndugu usiweke kabila mbele kbs
@@Kakamkubwa3564 Kama umejisahau kuwa mauwaji ya Rwanda wenyewe kwa wenyewe sababu makabila tu kubaguana Wahutu na Watusi liweke akilini mwako ilo madhara yake yatatokea vizazi vijavyo uko si sasa waza mbali
@@kennyrogers4734 mtazamo WAKO ni sawa ila kweli lugha ndiyo iliyopelekea mauaji ya kibwetele?? Au hujafuatilia vizuri
@@kennyrogers4734 shida watu ni wavivu wa kufikiri hapo hajasema ukabila ameongelea lugha au Mimi sijamwelewa!??
wewe. acha kabisa Isha za ukabila ukome kabisa Kiswahili ni lugha ya kuuganisha taifa na afrika huyu anatakiwa afuluzwe bugeni na ubunge
Hili jamaa ni zuzu mkabila
Hii ndio shida ya kuwa na wabunge waliopita kwa wizi wa kura, hawana maono kabisa ya kulipeleka mbele taifa letu. Wanakuja na mawazo ya kijinga kabisa ya kulirejesha taifa miaka 50 nyuma. Eti watu "wafundishwe kisukuma". Yaani haijapata kutokea katika historia ya bunge la Tanzania kuwa na wabunge wa hovyo kabisa kama waliomo katika bunge hili. Huu ulikuwa ni mpango wa Magufuli kuwaweka hawa mazezeta bungeni ili apate kufanya atakavyo kwa baraka ya bunge hilo taahira, lakini Mungu si Osumani
Kwanza wewe Ni mwaarabu umefikaje humu??? Tuache na nchi yetu
Usisahau kuna MAPhd ya kisukuma mle keamaana hiyo kuna andiklo /chapishorejea kwa watafiti wetu.
Ppppp0pppp
yuko sawa hata kenya nigeria wanapenda sana kutumia kikabila hadi kuna vitabu mashuleni
Ujinga , kiswahili kinatosha
Mimi naunga mkono kisukuma kufundishwa mashuleni au wangeifanya owe lugha ya biashara
Huyo ni shetani mkubwa, tunasanbaza lugha ya kiswahili mpaka ulaya, china, east Africa, umoja wa nchi za kiafrika, sasa huyo anaeleweka?.Nyerere alionya sana juu ya makabila makubwa.Ila hii.ni aibu.
Ww ndio mbunge mjinga Kutoka kwa wasukuma .........kakae kundi moja na Mwigulu nchemba
Hujui unachokisema sema amani yetu Mungu ameilinda sana.ila tungefanya Kirundi Rwanda au Kenya twende kiukabila mbona wasukuma wamezunguka nchi nzima pote wapo ungewatoaje kwanamna yoyote wangeweza lkn Mungu pekee anatawala amani hii tuilinde
apo akuna mbunge yan baada ya kuangalia mabadiliko ya mfumuko wa bei unaleta ukabila bungeni yan ni pooor poooor poooor kabiza
Wavivu wa kufikiri