"KISUKUMA IWE LUGHA YA KUFUNDISHIA" - MBUNGE ALIVUNJA MBAVU BUNGE

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 10. 05. 2022
  • "KISUKUMA IWE LUGHA YA KUFUNDISHIA" - MBUNGE ALIVUNJA MBAVU BUNGE
    WATCH WASAFI TVđŸ“ș
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM đŸ“»
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI đŸ“» | 104.1 DODOMA đŸ“» | 94.5 ARUSHA đŸ“» | 97.3 MBEYA đŸ“» | 94.9 MWANZA đŸ“» | SHINYANGA 106.3 đŸ“» | KIGOMA 101.7 đŸ“»
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    đ‘Ș𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 đ‘Ÿđ’‚đ’”đ’‚đ’‡đ’Š 𝑮𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑹𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • ZĂĄbava

Komentáƙe • 148

  • @chomasongidion6047
    @chomasongidion6047 Pƙed 2 lety +2

    Safi sana mbunge wangu ,hongera pigania unachokiamini ni faifa kwa taifa

  • @chapaboyclassic3907
    @chapaboyclassic3907 Pƙed 2 lety +1

    Nyambavuuu wew unaturudisha moja

  • @georgemallya4311
    @georgemallya4311 Pƙed 2 lety

    Aisee kweli Huyu ni mbunge WA wananchi anataka kisukuma like lugha ya taiga. We Mungu tupe nguvu 2025 nikafanye tu jambo langu.mbunge unaongea pumba kweli. Inabidi kuwa mbunge wangeweka kanuni ya usomi.mama samia wabunge WA design hii kwenye chama wanakuangusha kweli.

  • @malenyadeyamajangitomaleny8701

    Uko sahihi kabisa mkuu

  • @mlyambisipaul8399
    @mlyambisipaul8399 Pƙed 2 lety +3

    Nimpenda Huyu mbunge😂😂🙌🙌🙌

    • @amiryluzilo4843
      @amiryluzilo4843 Pƙed 2 lety

      Sasa hapo alichoongea Cha maana ni Nini? Sikaongea ujinga tu

  • @philiplenardsylvester6063
    @philiplenardsylvester6063 Pƙed 2 lety +1

    Da hatariiiiiiiiiiiiiiii sanaaaaaaa

  • @ahmedhamis
    @ahmedhamis Pƙed 3 měsĂ­ci

    Lugha ya taifa

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 Pƙed 2 lety +1

    Kisukuma hapana aisee matamshi yenyewe hovyo

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 Pƙed 2 lety +2

    WABUNGE MSIONGEE PUMBA ..... KISWAHILI NDIO LUGHA YA WATANZANIA.

  • @japhetlaizer3919
    @japhetlaizer3919 Pƙed 2 lety +1

    Uko sawa kwa lugha nyingine

  • @safarinicas7238
    @safarinicas7238 Pƙed 2 lety +2

    Hata waganda wanatumia kiganda hata wakolea wanatumia kikolea hata kwakufundisha na biashara

  • @mabulatv3792
    @mabulatv3792 Pƙed 2 lety

    Kisukumaaaa oyeeeeeee

  • @meshmeshak1095
    @meshmeshak1095 Pƙed 2 lety +2

    Huyu hana akili kabisa

  • @safarinicas7238
    @safarinicas7238 Pƙed 2 lety +1

    Ukosawa wanao kucheka hawajui kama waingeleza walikataa kutumia kirumi wakatengeneza ruga yao ya kingeleza

    • @isakajunior7139
      @isakajunior7139 Pƙed 2 lety

      Kingereza walikitoa kwenye kabila gani na linapatikana sehemu gani? Yaan watu mlioni 50+ uwafundishe lugha ya kabila moja?

  • @kobatvonline
    @kobatvonline Pƙed 2 lety +3

    Mi nadhani lugha ya Kiingereza ingekuwa ndo lugha ya kutumika BUNGENI hizi Pumba zisingeongeleka😁😁

    • @kobatvonline
      @kobatvonline Pƙed 2 lety

      @Humphrey Msengi unafikiri utani kaka😂😂 hata shule zetu za St Kayumba wakisema "SPEAK ENGLISH"madarasan utulivu unakuwepo. Yan yeye mwenyew anahangaika na Kiswahili 😂😂

  • @papaamashana3962
    @papaamashana3962 Pƙed 2 lety +2

    Haposafikisukuma nivyema

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 Pƙed 2 lety

    Moja wa mbunge alieongea pumba bungeni sijaona mbunge aliesema kiingereza kiwe first priority kuanzia shule ya msingi watoto wafundishwe kiingereza ili tusiwachanganye huku juu jaman dunia shv ni ya kidigitali zaidi hakuna namna ya kusema sisi turudi nyuma kwa kweli kiswahili hakijitoshelezi kwa Mambo mengi ya kisayansi na technologia yanaoendelea!!!!!

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 Pƙed 2 lety

    Mimi nimesema nyerere alisema wasukuma wanyakyusa wahaya wachaga .nimakabira hatari Sana. Angalia ujinga huo.hamna. kazi mumeishiwa chakuzungumza yeye anadhani magufuri yupo.

    • @johnsinyinza7450
      @johnsinyinza7450 Pƙed 2 lety

      Mimi ni.ccm.lakini napenda vyama vingi kuwapekeyenu mnaleta kichefuchefu.wangekuwepo chadema wangekuchana . Wewe Chunga mifugo

  • @kambanimwanyulu7570
    @kambanimwanyulu7570 Pƙed 2 lety +1

    Bila kuwa na mapinduzi ya viwanda itakuwa ngumu. Kunadi lugha yetu nje ya nchi, zaidi zaidi watakuja kujifunza Kwa faida ya bidhaa zao ziweze kuuzika, lkn tukitengeza bidhaa zetu ambazo ni bora zaidi manual zake ziwe Kwa Kiswahili watalazimika kujifunza Kwa nguvu, kama vile Tanzanite tuichakate hapahapa siyo India kuonyesha dunia kwamba ni product ya Tz tunaweza kuinadi lugha yetu kirahisi kuliko sasa.

  • @joesephmihambo1487
    @joesephmihambo1487 Pƙed 2 lety

    Mbunge umeongea point

  • @filbetkalembe2806
    @filbetkalembe2806 Pƙed 2 lety +1

    Hawa ndio wabunge tuliowaoata hivi hawa wapo kwa kujenga nchi au kura posho za wananchi bure tu

  • @reginaldhhayuma6907
    @reginaldhhayuma6907 Pƙed 2 lety +1

    Duh. Ama kweli . Hao ndo watu tumewapa nchi watuongozee. For sure we are finished. Mungu atusaidie tu

  • @safarinicas7238
    @safarinicas7238 Pƙed 2 lety +2

    Kwasabau uliye leta wazo hiro hauna digri ndiyo maana nikama hauleweki kwao rakini kizuru kinaogewa kusini mwa Africa ipo siku hata kama sileo watakumbushwa

  • @edwardnambo1857
    @edwardnambo1857 Pƙed 2 lety +1

    Huyu jamaa ni Tajiri mno

  • @geofreywayesu5638
    @geofreywayesu5638 Pƙed 2 lety +1

    Wabunge wengine hawana hoja ikifika wakati Taifa iweke kiwango Cha Elimu Cha mtu kugombea ubunge na Udiwani

  • @francismbena7700
    @francismbena7700 Pƙed 2 lety +1

    Yani hii mitaara kweli ibadirishwe kwa mfano namba za kirumi zimebaki kwenye matishet na madera au desmali!

  • @tinluwna3783
    @tinluwna3783 Pƙed 2 lety

    Kweli jamani

  • @justerissaya9165
    @justerissaya9165 Pƙed 2 lety

    Hv hyu mbunge ni WA wapi anasema eti majengo tumepewa inamaana hajui Kam ni Kodi zetu kwanza tunaibiwa🙈😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @dmox8723
    @dmox8723 Pƙed rokem

    Ndio maana mwalimu nyerere hakutaka msukuma awe raisi kwakua hawa jamaaa wanaubaguzi sanaaaaaa! Hata tanzania ilipopata uhuru wasukuma walipendekeza kisukuma kiwe rugha ya taifa hapo ndipo nyerere alizidi kukasilika

  • @arnoldrwekaza2265
    @arnoldrwekaza2265 Pƙed 2 lety +2

    Hii sheria ya mbunge awe la saba tu, inahitaji kubadirishwa kwa sababu hatuwezi kuwa na watu wenye uwezo mdogo kifikra ndo watunge sheria.đŸ€Łjust imagine

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Pƙed 2 lety

      Musukuma la saba lakini anachangia sana bungeni kuliko hao wasomi wenye degree zao

    • @edwardmihale6579
      @edwardmihale6579 Pƙed 2 lety

      Kusoma hakumtoi ujinga mtu wapo wamesoma sana lkn hawajafanya Cha maana tukaiga kwao zaidi ya kutuibia tu tafakari maisha siyo elimu Tena maisha nikupambana hebu angalia mtaani mwenye pesa nyingi niyule wa Drs la Saba au pengine hajasoma kabisa unakuta wasomi WANAENDA kukopa Kwake sema tu Usiasa siasa umetuathiri China lugha mbaya ila wanaitumia nawamefanikiwa sana

  • @amiryluzilo4843
    @amiryluzilo4843 Pƙed 2 lety

    Jaman nchi imeishiwa pumzi Sasa haya mawozo gani? Yaan mbunge mzima hiyo ndiyo hoja aliyonayo kweli ! Tukiwa na wanbunge Kama Hawa nch haitakua maendeleo kwasababu bungeni hakuna kitu wanafanya ,haya niya kitoto

  • @user-km1dk2xr4v
    @user-km1dk2xr4v Pƙed 9 měsĂ­ci

    ambao hawajatembea hawatamuelewa kamwee

  • @arnoldrwekaza2265
    @arnoldrwekaza2265 Pƙed 2 lety

    Kiswahili kinatosha tu.

  • @hoseakavubu2844
    @hoseakavubu2844 Pƙed 2 lety

    Mambo ya ajabu sana.

  • @jumaamad1519
    @jumaamad1519 Pƙed 2 lety

    Were ll and then Google

  • @andreaotaigo40
    @andreaotaigo40 Pƙed 2 lety

    Mmmh! Sasa huyu nae kweli mmmh! hakika tutaisoma namba mwaka huu!

  • @teddyhenry2579
    @teddyhenry2579 Pƙed 2 lety

    Kichaga

  • @yucuphmsuya1514
    @yucuphmsuya1514 Pƙed 2 lety

    Huna hakili fundisha family yako

  • @mshangaemmanuel8964
    @mshangaemmanuel8964 Pƙed 2 lety

    Daah nmesikitika sana pointless

  • @frolianchanga220
    @frolianchanga220 Pƙed 2 lety +1

    Hivi hilo jimbo kwel hakuna watu had wakampa mtu km huyu mana n hovyo hovyo

  • @juliasmolellmolell4815
    @juliasmolellmolell4815 Pƙed 2 lety

    Umeeza ukabila hujui kilichoko Uganda wewe hufai kuwa kiongozi hata

  • @hamisimuhammad6225
    @hamisimuhammad6225 Pƙed 2 lety

    Upuuzi

  • @moshikilimanjaro5660
    @moshikilimanjaro5660 Pƙed 2 lety +1

    Baba wa taifa alipigana kuondoa ukabila leo mnataka lugha za kabila moja kuwa lugha ya mawasiliano?
    Inasikitisha sana ,
    Kishwahili kinatosha.
    Na wanao sema kusoma historia haisaidii , basi tusipo jua tulipo toka hata tunako enda hatuta fika.
    Maendeleo ya nchi yanachangiwa na ujumla wa vitu vyote.sio sayansi tu.

    • @barackhussein312
      @barackhussein312 Pƙed 2 lety

      Obama once sad, " if you want to teach people about development then teach them their history"

    • @sospetermungai7733
      @sospetermungai7733 Pƙed 2 lety

      Umeongea pumba kabisa

  • @zakayoeliasi6995
    @zakayoeliasi6995 Pƙed 2 lety

    Wewe watu wengi atujuwi kigerenza tuache.tusomeshe rugha ya kimataifa ukitaka ujue yuriyozariwa mwaka 1986 wengi atukusoma ila memukwa ya yahati benjameni ilituokoa.kidogo tulikua kusoma nakuandika ata wewe yawezakua ilikua umojayao ulisomamemkwa

    • @zakayoeliasi6995
      @zakayoeliasi6995 Pƙed 2 lety

      Acheni maneno tulidishiani memkwa tuedelee na masomo ivi mnafikili tumeelimika tanzania Bado sana

  • @nathaliashayo3289
    @nathaliashayo3289 Pƙed 2 lety

    Musikubali kufundiaha kilugha,ni kuleta ukabilaa

  • @justerissaya9165
    @justerissaya9165 Pƙed 2 lety

    Kwahyo kiswahili ni lugha ya nan

  • @meshackmwalongo1753
    @meshackmwalongo1753 Pƙed 2 lety

    Nchi hii watu tunalia nauchumi wengine wanalilia kuongeza luga msitufanye sie wajinga na luga mnayoipinga hapo nikiingereza, akati nyiewabunge hapo watoto wenu wote munawahimiza wajue kiingereza kwani mmetuchukuliaje, taifa lachina mpaka sasa ndio taifa linaloongoza watuwake kujifunza kiingereza jiulize wamejifunza nini hadi waanze kujifunza kwanguvu zote kiingereza.

  • @filbetkalembe2806
    @filbetkalembe2806 Pƙed 2 lety

    Hii ni akili upumbavu

  • @simasima8084
    @simasima8084 Pƙed 2 lety

    Make nicheke kwanza đŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€žđŸ€ž

  • @japhetlaizer3919
    @japhetlaizer3919 Pƙed 2 lety +1

    Lakini kiswahili sindiyo idumishwe sasa,,, maana ndio lugha ya taifa

  • @ChaSam-fr3pg
    @ChaSam-fr3pg Pƙed 2 lety

    Mnapiga makofi? Duh.

  • @florensjames3866
    @florensjames3866 Pƙed 2 lety

    Kuna wabuge wanachekesha san

  • @safarinicas7238
    @safarinicas7238 Pƙed 2 lety

    Zipo mpaka bibulia ziliandikwa kisukuma Hata wa iziraeli wanatumia ruga yao kiebrania

  • @user-kv7sc4cc7p
    @user-kv7sc4cc7p Pƙed 2 lety

    Kuna Kaukweli Ndani yake japo tunaona ni pumba

  • @simonmartinekombe7031
    @simonmartinekombe7031 Pƙed 2 lety

    Hahaaaa wacha nicheke,, nan utamchenga

  • @ollacamusic
    @ollacamusic Pƙed 2 lety +2

    WasukumađŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸ˜‚đŸ˜‚ wangapi waliskia hii 👇👇👇👇👇👇
    czcams.com/video/SgrMYz661Is/video.html

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Pƙed 2 lety

    WATANZANIA BWANAA,

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Pƙed 2 lety

    Hiyo X na y ni istilahi Tu ambayo walikaa watu wakajadili na ikawa NI kanuni na sisi maprofesa wakikaa itapatikana mbadala wake.

  • @mtegemeemungusiomwanadamu6618

    Nani aanze kuzungumza wangaruka

  • @shinjemackenzie6256
    @shinjemackenzie6256 Pƙed 2 lety

    Naunga mkono hoja

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Pƙed 2 lety

    Michango wenu ni hii Kila mwaka

  • @stevenkataluka1003
    @stevenkataluka1003 Pƙed 2 lety

    elimu sio kutafuta lugha ambayo haitaeleweka kwa watu, hujaeleweka naona ukabila tuu hapo mbn unaturudisha kwenye kutambika kiswahili kipo thabit kabisa.

  • @yucuphmsuya1514
    @yucuphmsuya1514 Pƙed 2 lety

    Kisukuma chenyew hakijakutoka eti umetembea nchi nying

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Pƙed 2 lety

    Magufuli hangover ushunzi mtupu ukabila , yaani eti watu waongee kisukuma na lafudhi hiyo , hivi hili jamaa halijishitukii ni zuzu kutoa mawazo hayo

  • @saidnangutto2944
    @saidnangutto2944 Pƙed 2 lety

    Ukabila

    • @patrickmsekwa7773
      @patrickmsekwa7773 Pƙed 2 lety

      Mbona mawazo manyonge sana mbunge!!

    • @patrickmsekwa7773
      @patrickmsekwa7773 Pƙed 2 lety

      Hebu shaurini vitu vyenye akili jamani. Kiswahili kimewashinda kukitengenezea misamiati sababu ya kutopenda kufanya utafiti.

  • @mheleladavid2588
    @mheleladavid2588 Pƙed 2 lety

    Huyu fala saana

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 Pƙed 2 lety

    Yani mnaleta mzaha ninyi watoto wenu wako urusi eti

  • @lusomyaonesmo1678
    @lusomyaonesmo1678 Pƙed 2 lety

    Kweli wewe mbunge wa MbogweđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€ŁđŸ€Ł

  • @mshangaemmanuel8964
    @mshangaemmanuel8964 Pƙed 2 lety

    Nyerere aliona mbali kuhusu lugha ww mbunge vp unaongea utopolo gan,mbona enzi za magu mlikuwa hamropokiropok toa point

  • @majimotomalole1809
    @majimotomalole1809 Pƙed 2 lety

    Maku ww

  • @josephmchila6467
    @josephmchila6467 Pƙed 2 lety

    Huu ni utani, msukuma

  • @meshmeshak1095
    @meshmeshak1095 Pƙed 2 lety +1

    Lugha ni English language kisukuma ni ufala fulani na kwanini mbunge aongee mambo yasio faa, Shigongo ni mwelewa Sana nampongeza na waziri amsikilize Sana huyu siyo huyo sukuma guy.

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Pƙed 2 lety

    Sasa na hicho kiswahili SI ndio lugha ya kwetu??

  • @majimotomalole1809
    @majimotomalole1809 Pƙed 2 lety +1

    Acha ukabila.Kwa hiyo umeona kiswahili hakifai msen.....

  • @abelimtega6223
    @abelimtega6223 Pƙed 2 lety

    Zipo luga zipo zenye busala kuliko kisukuma jamani

  • @fareskibera4224
    @fareskibera4224 Pƙed 2 lety

    Na kuna watu wanampigia makofi?

  • @fareskibera4224
    @fareskibera4224 Pƙed 2 lety

    Huyu ni mbunge? Analipwa mshahara?

  • @jambo3751
    @jambo3751 Pƙed 2 lety

    SUKUMA GANG subirini hicho chama chenu cha UMOJA WA WASUKUMA PARTY kiongoze nchi ndio mtafanya kisukuma kiwe lugha ya Taifa.

    • @happinessclement6066
      @happinessclement6066 Pƙed 2 lety

      Utoa ujinga wako fala ww

    • @jambo3751
      @jambo3751 Pƙed 2 lety

      @@happinessclement6066 Kwani dada na wewe SUKUMA GANG?!!😄

    • @kaundasutikaunda7769
      @kaundasutikaunda7769 Pƙed 2 lety

      Punguza uchiz

    • @jambo3751
      @jambo3751 Pƙed 2 lety

      @@kaundasutikaunda7769 Apunguze uchizi huyo mbunge anaetaka kisukuma kiwe lugha ya Taifa😄

    • @mwana4599
      @mwana4599 Pƙed 2 lety

      Sooon tunakuja tutaondoa ujinga wote na wajinga.

  • @husseinbongo7447
    @husseinbongo7447 Pƙed 2 lety +2

    Hiyo lugha yako ya Nyika baki nayo wewe mwenyewe. Vip Kama na mnyakyusa atataka nae kinyakyusa kwenye system au kila kabila litake hivyo utakavyo tutafika? Kiswahili kinatosha usiturudishe Nyikani

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 Pƙed 2 lety +1

      Wanajielewa bc ndugu yangu wao wanaangalia hapa sio miaka ijayo vizazi vijavyo wala hawawazi ilo kbs

    • @victoriabayo7704
      @victoriabayo7704 Pƙed 2 lety

      Ina maana Mw/Nyerere alikosea kwa kutuunganisha watanzania lugha ya kiswahili? Kiswahili hoyeeeeeeeee

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 Pƙed 2 lety +1

    Nqona mmelewa ubunge sasa yaan kabila liwe ndani ya somo la taifa huo ujinga tu na ubaguzi wa makabila sasa pangeni uko kwenu mjitafute wasukuma wote mfungue shule yenu ya kisukuma uko

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Pƙed 2 lety

      Hicho KINGELEZA ni lugha yenu? Mbona mnasoma?

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 Pƙed 2 lety

      @@jenyyusuph4973 Amka kiswahili cha wote makabila yote mkianza kuvutana kila kabila liwe kwenye somo la taifa hapatoshi hapa Wanyakyusa nao watataka Wahaya watataka srikali ijadili rugha yao taratibu mwisho wa siku jana

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Pƙed 2 lety +1

      @@kennyrogers4734 si bora tuvutebe tujue luga zetu mbona wazungu wamevuta hadi lazima tuongee lugha yao isiyo tuhusu?

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 Pƙed 2 lety +1

      @@jenyyusuph4973 Sijakuelewa Jeny Yusuph em icheck vzr comment yako alafu ifanyie marekebisho vzr utupie tusome vzr sijui umemaanisha nini mdau

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 Pƙed 2 lety +1

      @@jenyyusuph4973 Kiswahili ndo luga yetu sio kabila flan ndo iwe luga ya nchi iyo mbaya sana inareta msigano mkubwa sana siku za usoni

  • @emmanuelzani2889
    @emmanuelzani2889 Pƙed 2 lety

    Kama huna cha kuchangia, si ukae tu usubiri posho yako?

  • @Eddyx21
    @Eddyx21 Pƙed rokem

    Poor point

  • @jellymbogo7246
    @jellymbogo7246 Pƙed 2 lety

    Nyie,hahahahahaha

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 Pƙed 2 lety

    Wewe acha mambo yako.je kiswahili sio lugha...?

  • @GloriousRestorationTV
    @GloriousRestorationTV Pƙed 2 lety +2

    Hao ndio viongozi tulionao, tuna viongozi wa ovyo kabisa.....

  • @mmake30
    @mmake30 Pƙed 2 lety +1

    kwanini watu hawavuti bangi iliyokomaa, yaani haya makushabu yanawaaribu sana... nyinyi wabunge hebu vuteni bangi zilizo komaa ili akili isiharibike

  • @peterkimingo3607
    @peterkimingo3607 Pƙed 2 lety

    Mbunge mpumbavu kuliko wote bungeni,ukabila hautakiwi ni bora aseme tutumie lugha ya Taifa,mbunge mbumbu wewe

  • @mudolyomanzil6502
    @mudolyomanzil6502 Pƙed 2 lety

    Kiswahili ni lugha ya nchi IPI kam sio Tz? Nonsense

  • @olarivolariv1313
    @olarivolariv1313 Pƙed 2 lety

    Mataifa gani yanakuja kujifunza wakati uchumi ni mbovu, ili lugha iwe na nguvu ni lazima uchumi wa nchi husika iwe na nguvu ili wao watuhitaji sisi, sasa iviii sisi ndio tunawaitaji wao,so ni lazima tuu tusome lugha zao, alafu mbona sasa nyie ndio mnawasomesha watoto wenu international school ambazo kiukweli ni English A to Z. Hapa kwakweli sijapata point kabisa.

  • @nasibupaizon5799
    @nasibupaizon5799 Pƙed 2 lety

    Kwel umezidiwa na ujinga wewe yaani umeacha watoto ubaenda kuongea upumbavu wa namna hyo acha ufala wewe

  • @athumaniikome1637
    @athumaniikome1637 Pƙed 2 lety

    Mungu alijua mpango wa kabila fulani akamuondoa kiongozi mapema ili yasitokee haya

    • @mwana4599
      @mwana4599 Pƙed 2 lety +1

      Hopeless wewe huku mnapanda na kufurahia madege yake. Huku mnapita kwenye mabarabara yake aliyojenga for more than 20 years. Wake up. And I tell you leavecalone JPM. ulivyo na elimu ndogo badala ya kuoinga hoja unazozana ba mtu adiyeqeza kukujibu.

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 Pƙed 2 lety +1

    Mjitafute wasukuma uko mfungue shule yenu sio taifa lijifunze kisukuma upumbavu mtupu hii ndio madhara ya bunge la chama kimoja kila mtu anaongea anachojiskia tu

    • @Kakamkubwa3564
      @Kakamkubwa3564 Pƙed 2 lety

      Acha kutukana ww Wasukuma ndio kabila kubwa na lenye watu makini zaidi

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 Pƙed 2 lety +1

      @@Kakamkubwa3564 Acha ubaguzi usiwe mawazo mgando ndigu muasisi wetu alishalikataa ilo amelipiga vita ikiingizwa kwenye masomo itareta shoda kunyanyapaana kuwa muelewa ndugu usiweke kabila mbele kbs

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 Pƙed 2 lety +1

      @@Kakamkubwa3564 Kama umejisahau kuwa mauwaji ya Rwanda wenyewe kwa wenyewe sababu makabila tu kubaguana Wahutu na Watusi liweke akilini mwako ilo madhara yake yatatokea vizazi vijavyo uko si sasa waza mbali

    • @Kakamkubwa3564
      @Kakamkubwa3564 Pƙed 2 lety

      @@kennyrogers4734 mtazamo WAKO ni sawa ila kweli lugha ndiyo iliyopelekea mauaji ya kibwetele?? Au hujafuatilia vizuri

    • @Kakamkubwa3564
      @Kakamkubwa3564 Pƙed 2 lety +1

      @@kennyrogers4734 shida watu ni wavivu wa kufikiri hapo hajasema ukabila ameongelea lugha au Mimi sijamwelewa!??

  • @paulrobertmapunda5483
    @paulrobertmapunda5483 Pƙed 2 lety

    wewe. acha kabisa Isha za ukabila ukome kabisa Kiswahili ni lugha ya kuuganisha taifa na afrika huyu anatakiwa afuluzwe bugeni na ubunge

  • @AhmedAli-gh1lm
    @AhmedAli-gh1lm Pƙed 2 lety +3

    Hii ndio shida ya kuwa na wabunge waliopita kwa wizi wa kura, hawana maono kabisa ya kulipeleka mbele taifa letu. Wanakuja na mawazo ya kijinga kabisa ya kulirejesha taifa miaka 50 nyuma. Eti watu "wafundishwe kisukuma". Yaani haijapata kutokea katika historia ya bunge la Tanzania kuwa na wabunge wa hovyo kabisa kama waliomo katika bunge hili. Huu ulikuwa ni mpango wa Magufuli kuwaweka hawa mazezeta bungeni ili apate kufanya atakavyo kwa baraka ya bunge hilo taahira, lakini Mungu si Osumani

    • @mwigarleysaid5406
      @mwigarleysaid5406 Pƙed 2 lety +1

      Kwanza wewe Ni mwaarabu umefikaje humu??? Tuache na nchi yetu

    • @fulgencemark7640
      @fulgencemark7640 Pƙed 2 lety +1

      Usisahau kuna MAPhd ya kisukuma mle keamaana hiyo kuna andiklo /chapishorejea kwa watafiti wetu.

    • @kijanyamoronga3639
      @kijanyamoronga3639 Pƙed 2 lety

      Ppppp0pppp

    • @user-km1dk2xr4v
      @user-km1dk2xr4v Pƙed 9 měsĂ­ci

      yuko sawa hata kenya nigeria wanapenda sana kutumia kikabila hadi kuna vitabu mashuleni

  • @davidchambulila6318
    @davidchambulila6318 Pƙed 2 lety

    Ujinga , kiswahili kinatosha

    • @simongabrielngwelusimongab550
      @simongabrielngwelusimongab550 Pƙed 2 lety

      Mimi naunga mkono kisukuma kufundishwa mashuleni au wangeifanya owe lugha ya biashara

    • @salvatorymtunga2802
      @salvatorymtunga2802 Pƙed 2 lety

      Huyo ni shetani mkubwa, tunasanbaza lugha ya kiswahili mpaka ulaya, china, east Africa, umoja wa nchi za kiafrika, sasa huyo anaeleweka?.Nyerere alionya sana juu ya makabila makubwa.Ila hii.ni aibu.

  • @raphaelkaswahili323
    @raphaelkaswahili323 Pƙed 2 lety

    Ww ndio mbunge mjinga Kutoka kwa wasukuma .........kakae kundi moja na Mwigulu nchemba

    • @edwardmihale6579
      @edwardmihale6579 Pƙed 2 lety

      Hujui unachokisema sema amani yetu Mungu ameilinda sana.ila tungefanya Kirundi Rwanda au Kenya twende kiukabila mbona wasukuma wamezunguka nchi nzima pote wapo ungewatoaje kwanamna yoyote wangeweza lkn Mungu pekee anatawala amani hii tuilinde

  • @mtabeagusti4553
    @mtabeagusti4553 Pƙed 2 lety

    apo akuna mbunge yan baada ya kuangalia mabadiliko ya mfumuko wa bei unaleta ukabila bungeni yan ni pooor poooor poooor kabiza